Afrika Habari

RSS
230 Habari

Teknolojia inayolenga kubadilisha usimamizi wa taka Kenya, huku ikiibua maswali kuhusu ajira

Wataalam wa mazingira wazungumzia athari za moto ulioteketeza maduka Burundi

Washukiwa wanne wakamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli

Ndani ya Kibera, vijana wageuza mapambano dhidi ya taka kuwa kinga dhidi ya mafuriko 

Miaka 40 baada ya mpango mkubwa wa upandaji miti Burundi: Nini kilitokea? Nini kinafanyika?

Wanawake wa jamii za kiasili wanaourejesha Msitu wa Mau nchini Kenya na kubadilisha majkumu ya kijinsia

Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025

Kuhusu pembe za ndovu, fuatilia mitandao ya usafirishaji haramu, si vichwa vya habari tu (maoni)

Mwanauhifadhi John Salehe, aliyepigania uhifadhi shirikishi Tanzaia, afariki

Je, rekodi za upanzi wa mikoko ni suluhu ya urejeshaji wa misitu iliyoangamia?

Nchi sita za Afrika sasa zinaunga mkono kusitishwa kwa uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari

Vita Mashariki ya Kati kuathiri uhakika wa chakula nchini Tanzania

Waliofungwa miaka 20 kwa kukutwa na nyama ya kiboko washinda rufani, waachiwa huru

Kutoka baharini hadi sokoni: Wanawake wanaoendesha biashara ya dagaa Vanga

Nguva wanakaribia kutoweka Kenya, jamii za pwani zapambana kuwarejesha kwa kupanda nyasi bahari

Vifaa vya uvuvi vilivyokatazwa vyateketezwa kupambana na uvuvi haramu Ziwa Tanganyika

Sensa: Idadi ya tembo Tanzania bado ni chini ya nusu ya ilivyokuwa miaka 20 iliyopita

Shinikizo laongezeka kwa Kenya kuchunguza vifo vya tembo 15 Amboseli, ikiwemo uchimbaji dhahabu

Aliyehukumiwa miaka 20 jela kwa kukutwa na mguu wa nyumbu, aachiwa huru

Mbuzi mwitu maarufu wa Ethiopia warejea kwenye hatari kubwa ya kutoweka

Sensa yaonyesha ongezekelo la spishi nyingi za wanyama, tishio jipya kwa wanyamapori Tanzania

Wakenya wanaopinga kiwanda cha nyuklia wakabiliwa na uchunguzi wa ugaidi

Magugumaji ya Salvinia yaendelea kuhatarisha mazingira na ikolojia ya Ziwa Victoria

Siku ya Walinzi wa Wanyamapori: Walinzi wa jamii wabeba mzigo wa uhifadhi huku ufadhili ukipungua

Safari ya Tanzania kuelekea matumizi ya nishati safi katika usafiri: Nini kimefanyika hadi sasa?

Kenya inachunguza vifo vya kutatanisha vya tembo 15 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli

Teknolojia ya kisasa yabadilisha ukulima wa mwani na kuongeza kipato cha wakulima Kenya

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo: Mahakama yatupa rufaa ya Jamhuri

Kesi ya kumiliki nyara za Serikali: Mahakama yabatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela

Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani

Njia safi za kupikia zinaongezeka kwa kasi barani Afrika, lakini  bado haziendani na ongezeko la watu

Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati