Uhifadhi Habari

RSS
99 Habari

Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji

Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati

EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini

Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC

Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne

Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika

Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka

Tanzania kuandaa mwongozo wa kuhakikisha shughuli za uvuvi na ufugaji haziathiri mazingira

Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria

Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu

Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo

Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea

Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?

Ndege 1,000,000 walisafirishwa kutoka Afrika hadi Asia katika kipindi cha miaka 15; chiriku waongoza orodha

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya

Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania

Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Kenya kupokea swala wa milimani wanne kutoka bustani za wanyama barani Ulaya

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa

Taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori yaelekeza nguvu kwenye mafunzo ya vitendo kulinda mazingira

Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi