Uhifadhi Habari

RSS
79 Habari

Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa Uhifadhi na Jamii Kaskazini mwa Tanzania

Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Kenya kupokea swala wa milimani wanne kutoka bustani za wanyama barani Ulaya

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa

Taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori yaelekeza nguvu kwenye mafunzo ya vitendo kulinda mazingira

Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi

Safari ya mvuvi wa pwani ya Kenya anayeongoza juhudi za vijana za kuokoa kasa wa baharini

Kasa 350 wawekwa katika viota maalum kufuatia hatari ya kutoweka katika bahari ya Zanzibar

Kadri ujangili unavyoendelea, Tanzania inaongeza silaha mpya: mbwa wa kunusa nyara za wanyamapori

Shughuli za eneo la mapumziko la kifahari kisiwani Pemba zinaendelea licha ya hofu

Jamii yajitahidi kuzuia kutokomea kabisa kwa chura asiyepatikana kwingineko isipokuwa nchini Kenya

Uelewa mdogo unavyochochea kutoweka kimya kimya kwa kakakuona Tanzania

Utashi wa kisiasa ni kila kitu: Mahojiano na Waziri wa Mazingira Deborah Barasa

Rekodi juu ya rekodi: Truphena Muthoni atambuliwa tena na Guinness kwa saa 72 za kukumbatia mti

Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya

Kenya yahifadhi mabaki ya Craig, tembo mashuhuri ‘Super Tusker’

Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria

Uhifadhi wa mazingira ya bahari kupitia tengefu unaleta matumaini kwa wavuvi katika pwani ya Kenya

Kenya yaomboleza Craig, jitu mpole aliyekuwa mmoja wa ‘Super tuskers’ waliosalia barani Afrika

Toka uhai hadi kifo: Maana ya maisha marefu ya Craig kwa uhifadhi wa tembo

Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha

Wamiliki binafsi wa ardhi nchini Kenya waungana kulinda ushoroba wa wanyamapori

Sharti Zanzibar ichukue hatua ili kuhifadhi uasilia na utamaduni wa turati yake kwa siku za usoni (maoni)

Kasuku wa Kiafrika waliookolewa warudishwa katika misitu ya DRC

Aloyce Mwakisoma, mhifadhi wa maarifa ya misitu katika Milima ya Udzungwa, afariki na miaka 45