Uhifadhi Habari

RSS
51 Habari

Wamiliki binafsi wa ardhi nchini Kenya waungana kulinda ushoroba wa wanyamapori

Sharti Zanzibar ichukue hatua ili kuhifadhi uasilia na utamaduni wa turati yake kwa siku za usoni (maoni)

Kasuku wa Kiafrika waliookolewa warudishwa katika misitu ya DRC

Aloyce Mwakisoma, mhifadhi wa maarifa ya misitu katika Milima ya Udzungwa, afariki na miaka 45

Viwango vya ‘kutisha’ vya sumu vyapatikana kwenye mayai ya kuku wa kienyeji karibu na majaa ya taka

Tembo wanaohama wapata nafasi ya kuzurura kupitia juhudi za uhifadhi wa jamii

Ziwa kuu zaidi barani Afrika huenda likawa eneo la kinu cha nyuklia cha Kenya

Wanasayansi wafikiria upya idadi za uhamiaji za Serengeti kwa kutumia setilaiti na zana za AI

Mwanzilishi wa Mongabay Rhett Butler atajwa kwenye Orodha ya Viongozi wa Uendelevu wa Forbes

Namna uandishi wa habari unavyosaidia kubadilisha taarifa kuwa matokeo

Jinsi Akili Bandia inavyosaidia Wahifadhi Kuwaelewa vizuri Twiga na Kuwalinda

Mpango wa PELIS wa Kenya ‘wauza’ bioanuai ili kupata riziki na faida za miti

Je, tunaitambuaje bayoanuwai? Tunaweza kuiona na kuisikia

Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua hatua kuwalinda kasuku wa kijivu wa Afrika kutokana na biashara haramu

Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake

Kenya: Utata waibuka kuhusu hoteli ya Ritz-Carlton iliyomo kwenye Hifadhi ya Maasai Mara, katikati ya shoruba ya uhamaji wa wanyama

Mpango wa mikopo ya bioanuai ya baharini Kenya yarejesha mikoko – na kuboresha maisha ya watu

Chui waliosahaulika wazidi kutoweka kwenye kivuli cha uwindaji haramu na biashara

Kujengwa kwa bandari mpya Kenya, tishio kwa viumbe baharini, vitega uchumi

Faru 70 kutoka Afrika Kusini wawasili makao mapya nchini Rwanda

Hatari, ustahimilivu vyaelezea maisha ya wahifadhi Afrika

Ufichuaji wa uharibifu wa misitu katika hifadhi ya sokwe baada ya mashambulizi ya M23 nchini DRC

Ili kukusanya mbegu za asili bora, wataalamu wa mimea Uganda hukwea miti mirefu ya msituni

Kwa mara ya pili sasa, mradi wa kaboni wa Kenya wasimamishwa

Olivier Nsengimana wa Rwanda ahamasisha ulinzi wa Korongo wa Kijivu Afrika Mashariki

Ugunduzi wa popo walio hatarini kutoweka nchini Rwanda waibua mazungumzo ya uhifadhi

Mizimu ya kikoloni ya Mbuga ya ‘Malkia Elizabeth’ yaitesa Uganda

Mkakati mpya wa kulinda bioanuai muhimu wazinduliwa Tanzania

Wakulima wadogo Afrika wanufaika na matumizi ya nishati jadidifu

‘Auawa akiwinda kiharamu’: Utekelezaji wa sheria za wanyamapori unapogeuka vurugu

Utafiti wabaini hifadhi za baharini Tanzania zina manufaa ya muda mrefu kwa jamii

Miti ya miaka 3,000 Tanzania sasa yatambuliwa kama spishi mpya