Tanzania Habari

RSS
20 Habari

Sharti Zanzibar ichukue hatua ili kuhifadhi uasilia na utamaduni wa turati yake kwa siku za usoni (maoni)

Aloyce Mwakisoma, mhifadhi wa maarifa ya misitu katika Milima ya Udzungwa, afariki na miaka 45

Wanasayansi wafikiria upya idadi za uhamiaji za Serengeti kwa kutumia setilaiti na zana za AI

Jinsi Akili Bandia inavyosaidia Wahifadhi Kuwaelewa vizuri Twiga na Kuwalinda

Kenya: Utata waibuka kuhusu hoteli ya Ritz-Carlton iliyomo kwenye Hifadhi ya Maasai Mara, katikati ya shoruba ya uhamaji wa wanyama

Mkakati mpya wa kulinda bioanuai muhimu wazinduliwa Tanzania

Utafiti: Uzio wa nyaya za chuma wasaidia ulinzi wa mifugo dhidi ya mashambulizi ya wanyama wakali Tanzania

Utafiti wabaini hifadhi za baharini Tanzania zina manufaa ya muda mrefu kwa jamii

Miti ya miaka 3,000 Tanzania sasa yatambuliwa kama spishi mpya

Kutoonekana kwa tumbili wala gundi Tanzania kwaibua hofu ya kutoweka kwa spishi hiyo

Mauaji ya tai kwa sumu kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yawashtua na kuwatatanisha wahifadhi

Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Wamaasai wa Tanzania yabidi wapunguze mifugo, waongeze miti

Wafichua taarifa wahusisha kampuni ya uwindaji wa kifahari na ujangili Tanzania

Uwindaji pembe za ndovu wa Amboseli Tanzania wazua hasira, watu wataka usitishwe

Masoko ya Afrika yanakabiliana na mabadiliko ya tabianchi na ukosefu wa uhakika wa chakula, lakini yanakosa uwekezaji

‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora

Bomba la mafuta la Afrika Mashariki latupiwa lawama kwa kuharibu makaburi 

Kutoka kwa iliki hadi kaboni: Mradi mpya kabambe nchini Tanzania warejesha msitu wa mvua

Kipunji: Nyani adimu anayehifadhiwa nchini Tanzania

Utajiri wa bioanuai wa Milima ya Tao la Mashariki: Aina mpya sita za vinyonga zatambuliwa Tanzania