Misitu Habari

RSS
23 Habari

Kasuku wa Kiafrika waliookolewa warudishwa katika misitu ya DRC

Mjini Kivu nchini DRC, Moringa unatoa manufaa muhimu kiafya

Mpango wa PELIS wa Kenya ‘wauza’ bioanuai ili kupata riziki na faida za miti

Je, tunaitambuaje bayoanuwai? Tunaweza kuiona na kuisikia

Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua hatua kuwalinda kasuku wa kijivu wa Afrika kutokana na biashara haramu

Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake

Ufichuaji wa uharibifu wa misitu katika hifadhi ya sokwe baada ya mashambulizi ya M23 nchini DRC

Ili kukusanya mbegu za asili bora, wataalamu wa mimea Uganda hukwea miti mirefu ya msituni

Mizimu ya kikoloni ya Mbuga ya ‘Malkia Elizabeth’ yaitesa Uganda

Mkakati mpya wa kulinda bioanuai muhimu wazinduliwa Tanzania

Miji Kenya yatumia mbinu ya Miyawaki kurejesha hadhi iliyopotea ya ikolojia

Miti ya miaka 3,000 Tanzania sasa yatambuliwa kama spishi mpya

Ushirikiano, ukusanyaji takwimu na ufuatiliaji vyachochea kufikiwa kwa malengo ya Ukuta wa Kijani wa Afrika

‘Kama wewe, mimi pia nahofia kuangamia kwa tembo’

Kutoonekana kwa tumbili wala gundi Tanzania kwaibua hofu ya kutoweka kwa spishi hiyo

Jamii ya Ogiek walaumiwa na kufukuzwa kwa uharibifu wa misitu, lakini ukataji miti ovyo haujakoma

Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Wamaasai wa Tanzania yabidi wapunguze mifugo, waongeze miti

Mradi wa kurejesha mto nchini Kenya wajigharimia na kuleta faida zaidi

Uwindaji pembe za ndovu wa Amboseli Tanzania wazua hasira, watu wataka usitishwe

‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora

`Mlima wa jongoo’ wa Tanzania watoa spishi sita mpya

Kutoka kwa iliki hadi kaboni: Mradi mpya kabambe nchini Tanzania warejesha msitu wa mvua

Utajiri wa bioanuai wa Milima ya Tao la Mashariki: Aina mpya sita za vinyonga zatambuliwa Tanzania