Haki za kimazingira Habari

RSS
43 Habari

Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria

Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi

Mabadiliko ya tabianchi yaathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi nchini Tanzania

Uendelezaji wa viwanda vya kijani na haki ya tabianchi zaongoza mjadala katika Africa Forward Summit

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

Facebook imegeuka kuwa kitovu cha biashara haramu ya wanyamapori kutokana na muundo wake, ripoti yasema

GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo

Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea

Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24

‘Earth Day’ yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa Uhifadhi na Jamii Kaskazini mwa Tanzania

Vita dhidi ya uchimbaji holela wa mawe Mwanza yahitaji elimu na uwajibikaji kuishinda

Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Kenya kupokea swala wa milimani wanne kutoka bustani za wanyama barani Ulaya

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi

Engaroni: Njia ya asili inayosaidia ulinzi wa ardhi na mifumo ya ikolojia

Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara 

Kadri ujangili unavyoendelea, Tanzania inaongeza silaha mpya: mbwa wa kunusa nyara za wanyamapori

Kutoka taka hadi thamani: Jinsi mradi unavyogeuza taka kuwa silaha dhidi ya mabadiliko ya tabianchi

Shughuli za eneo la mapumziko la kifahari kisiwani Pemba zinaendelea licha ya hofu

Mbinu za utalii endelevu zapewa kipaumbele katika mkutano wa kimataifa

Utashi wa kisiasa ni kila kitu: Mahojiano na Waziri wa Mazingira Deborah Barasa

Kutoka kulipiza kisasi hadi kuishi kwa amani: Ukuta hai wamaliza migogoro baina ya watu na wanyamapori

Rekodi juu ya rekodi: Truphena Muthoni atambuliwa tena na Guinness kwa saa 72 za kukumbatia mti

Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu

Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya