Haki za binadamu Habari

RSS
38 Habari

Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira

Kupanda kwa kina cha maji na shinikizo vinakutana katika Ziwa Turkana nchini Kenya

Wanawake wapiga doria katika bahari ya Pemba katika juhudi za jamii za kulinda rasilimali za baharini

Kenya yawa nchi ya kwanza barani Afrika kupokea ufadhili wa kukabiliana na majanga ya tabianchi

Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi

Hatua za FIFA kukabiliana na joto katika Kombe la Dunia huenda zisitoshe, mtaalamu anaonya

Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? 

NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya

Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka

Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira

Mfumo wa malipo ya fidia kwa wananchi walioathirika na matukio ya uharibifu wa wanyamapori waboreshwa

Uendelezaji wa viwanda vya kijani na haki ya tabianchi zaongoza mjadala katika Africa Forward Summit

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo

Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania

Vita dhidi ya uchimbaji holela wa mawe Mwanza yahitaji elimu na uwajibikaji kuishinda

Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Mkakati mpya wa kudhibiti upungufu wa papa nchini Kenya unalenga kuwashirikisha wavuvi

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi

Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara 

Kutoka taka hadi thamani: Jinsi mradi unavyogeuza taka kuwa silaha dhidi ya mabadiliko ya tabianchi

Uelewa mdogo unavyochochea kutoweka kimya kimya kwa kakakuona Tanzania

Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu

Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria

Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha