Afrika mashariki Habari

RSS
187 Habari

Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani

Njia safi za kupikia zinaongezeka kwa kasi barani Afrika, lakini  bado haziendani na ongezeko la watu

Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati

Raia wa Korea Kaskazini anayedaiwa kukutwa na meno ya tembo, aachiwa huru

Kadri akiba ya samaki inavyozidi kupungua katika Ziwa Victoria, wavuvi wageukia vizimba kama tumaini jipya

Taka, wanawake na haki za kimazingira: Ana kwa ana na mwanaharakati wa mazingira Malasen Hamida

Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira

Taka hadi rasilimali: Jinsi lava wa nzi chuma wanavyopunguza tatizo la taka oza jijini Dar es Salaam

Kuboresha uvuvi unaozidi kutapatapa, Kenya yaongeza ukusanyaji wa takwimu za boti za wavuvi wadogo

Taka za kielektroniki ni janga hatari kwa mazingira na afya ya watu

Ushirikishwaji wa jamii, wadau warejesha ikolojia ya bahari Namakongoro

Kelele baharini: Vita vya jamii kulinda viumbe wa baharini vyapata msukumo wa kimataifa

Ana kwa ana na kinara anayefungua njia na kutetea wanawake wa Uganda katika sekta ya uvuvi barani

‘Mpito wa pekee unaowezekana ni mpito wa haki’: Mahojiano na Clemence Schmid wa WEF

Pilipili na usingizi wa amani: Kinamama wa Maasai Mara waandika upya hadithi ya kuishi na tembo waharibifu

Kupanda kwa kina cha maji na shinikizo vinakutana katika Ziwa Turkana nchini Kenya

Usalama wa chakula mashakani: Namna mvutano wa Ghuba unavyotikisa upatikanaji wa mbolea nchini Kenya

Ujangili na biashara ya nyama ya porini vyachangia kutoweka kwa nyati nchini Burundi

Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?

Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo

Mahakama Kuu ya Tanzania yampa dhamana anayedaiwa kukutwa na nyara za Serikali

Wanawake wapiga doria katika bahari ya Pemba katika juhudi za jamii za kulinda rasilimali za baharini

Katika Mkondo wa Mida nchini Kenya, wavuvi sasa wanakabiliana na mabadiliko ya bahari kwa matumaini

Sehemu sita za hifadhi baharini zatambuliwa kama Mbuga za Buluu, nne kati yake zikiwa Afrika

Elimu asili yapewa nafasi muhimu katika juhudi za kimataifa za kulinda bahari

Kutoka uwanjani hadi jukwaa la tabianchi: Kijana wa miaka 13 aongoza vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo iliyokaa kortini kwa miaka kumi yaendelea kusikilizwa

Azimio la Mombasa: Nchi 15 zajitolea kushiriki taarifa za uvuvi ili kukabiliana na uvuvi haramu 

Siku ya Twiga Duniani: Teknolojia yasaidia kufuatilia twiga wanaokabiliwa na shinikizo la maendeleo

Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji

Mashirika ya baharini yanayoongozwa na jamii za Kiafrika ni muhimu kwa mafanikio ya lengo la 30×30

Mbinu za uchakachuaji wa mwani zaongeza juhudi za kuimarisha soko nchini