Sheria ya mazingira Habari

RSS
49 Habari

Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025

Vifaa vya uvuvi vilivyokatazwa vyateketezwa kupambana na uvuvi haramu Ziwa Tanganyika

Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati

Taka, wanawake na haki za kimazingira: Ana kwa ana na mwanaharakati wa mazingira Malasen Hamida

Taka hadi rasilimali: Jinsi lava wa nzi chuma wanavyopunguza tatizo la taka oza jijini Dar es Salaam

Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?

Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji

Kenya yawa nchi ya kwanza barani Afrika kupokea ufadhili wa kukabiliana na majanga ya tabianchi

Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena

Kupungua kwa ushoroba wa Kwakuchinja kwatishia uhamaji wa wanyamapori

Mabadiliko ya tabianchi yatishia ikolojia ya bahari Zanzibar – Serikali

Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka

Biashara ya chupa za plastiki yaleta mageuzi katika juhudi za uhifadhi wa mazingira mijini

Kesi ya kukutwa na nyara za tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yatajwa

Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria

Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira

Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo

Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea

Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri sekta ya uvuvi nchini Tanzania na mikakati ya kujenga ustahimilivu

‘Earth Day’ yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Mkakati mpya wa kudhibiti upungufu wa papa nchini Kenya unalenga kuwashirikisha wavuvi

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi

Engaroni: Njia ya asili inayosaidia ulinzi wa ardhi na mifumo ya ikolojia

Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara