Mazingira Habari

RSS
138 Habari

NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya

Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka

Tanzania kuandaa mwongozo wa kuhakikisha shughuli za uvuvi na ufugaji haziathiri mazingira

Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria

Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi

Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira

Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu

Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara

Wanafunzi wawili kutoka Kenya washinda tuzo ya Earth Prize kwa kubuni kichujio nafuu cha moshi wa magari

Mimea vamizi yatishia mifumo ya ikolojia ya hifadhi maarufu za taifa nchini Tanzania

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

Facebook imegeuka kuwa kitovu cha biashara haramu ya wanyamapori kutokana na muundo wake, ripoti yasema

GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo

Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea

Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?

Ndege 1,000,000 walisafirishwa kutoka Afrika hadi Asia katika kipindi cha miaka 15; chiriku waongoza orodha

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya

Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri sekta ya uvuvi nchini Tanzania na mikakati ya kujenga ustahimilivu

Kufutwa kwa leseni 40 za utafiti wa madini Tanzania kwafichua ukweli wa athari za mazingira

Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24

‘Earth Day’ yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania

Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda

Vita dhidi ya uchimbaji holela wa mawe Mwanza yahitaji elimu na uwajibikaji kuishinda

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Mikakati kuokoa misitu Tanzania: Mafanikio, changamoto na mipango ya baadaye