Mabadiliko ya tabianchi Habari

RSS
59 Habari

Wanawake wapiga doria katika bahari ya Pemba katika juhudi za jamii za kulinda rasilimali za baharini

Kutoka uwanjani hadi jukwaa la tabianchi: Kijana wa miaka 13 aongoza vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi

Kenya yawa nchi ya kwanza barani Afrika kupokea ufadhili wa kukabiliana na majanga ya tabianchi

Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka

Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati

EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini

Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC

Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka

Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi

Hatua za FIFA kukabiliana na joto katika Kombe la Dunia huenda zisitoshe, mtaalamu anaonya

Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? 

Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka

Tanzania kuandaa mwongozo wa kuhakikisha shughuli za uvuvi na ufugaji haziathiri mazingira

Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi

Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na Norway katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi

Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026

Uendelezaji wa viwanda vya kijani na haki ya tabianchi zaongoza mjadala katika Africa Forward Summit

Wanafunzi wawili kutoka Kenya washinda tuzo ya Earth Prize kwa kubuni kichujio nafuu cha moshi wa magari

Mimea vamizi yatishia mifumo ya ikolojia ya hifadhi maarufu za taifa nchini Tanzania

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya

Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24

‘Earth Day’ yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko

Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji

GCF yaongeza washirika hadi 168 huku Kenya ikipata miradi ya tabianchi ya $493 milioni

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi

Tanzania yakamilisha awamu ya kwanza ya mradi wa umemejua wa MW 50 Kishapu

Wanawake na mabadiliko ya tabianchi: Athari, changamoto na ushiriki wao katika mipango na maamuzi

Kenya yaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani huku vifo kutokana na mafuriko vikifikia 81

Engaroni: Njia ya asili inayosaidia ulinzi wa ardhi na mifumo ya ikolojia

Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara