<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=utawala&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/utawala/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Mon, 31 Aug 2026 14:23:41 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Sharti dunia ijifunze kwa yaliyopita ili kujiandaa kwa tukio lisilo la kawaida la El Niño linaloweza kutokea</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/#respond</comments>
					<pubDate>26 Agosti 2026 20:21:14 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Sean Mowbray]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/26193037/Screenshot-2026-08-26-222742-768x495.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2618</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Amazon, Amerika ya Kaskazini, Amerika ya Kati, Amerika ya Kusini, Asia, Ethiopia, India, Sri Lanka, Ukraine, Ulaya, Ulimwenguni, na  Urusi]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Halijoto, Huduma za Mazingira, Mafuriko, Magonjwa, Maji, Maji ya kunywa, Mazao, Mazingira, Ongezeko la Joto Duniani, Uhamishaji, Ukame, upatikanaji wa chakula, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mataifa ulimwenguni kote yanajiandaa kwa tukio la El Niño ambalo linazidi kuonekana kuwa ya kihistoria; mifumo ya kisasa ya utabiri ikionyesha kuwa tukio la 2026-2027 huenda likawa na nguvu zaidi kuwahi kuripotiwa, na huenda likavunja rekodi kwa kiwango kikubwa na cha hatari. Mashirika ya kimataifa, yakiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika la Hali ya Hewa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/" data-wpel-link="internal">Sharti dunia ijifunze kwa yaliyopita ili kujiandaa kwa tukio lisilo la kawaida la El Niño linaloweza kutokea</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mataifa ulimwenguni kote yanajiandaa kwa tukio la El Niño ambalo linazidi kuonekana kuwa ya kihistoria; mifumo ya kisasa ya utabiri ikionyesha kuwa tukio la 2026-2027 huenda likawa na nguvu zaidi kuwahi kuripotiwa, na huenda likavunja rekodi kwa kiwango kikubwa na cha hatari. Mashirika ya kimataifa, yakiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), yanazihimiza mataifa kujiandaa kwa hali mbaya ya hewa na athari zitakazofuata katika sekta za afya, chakula na nishati. Tayari baadhi ya mataifa yanachukua hatua: Brazil imeajiri wazima moto wengi kupambana na moto wa misitu unaotarajiwa katika Amazon. Peru, iliyokumbwa na mvua kubwa, mafuriko na maporomoko ya ardhi katika matukio ya El Niño yaliyopita, imetangaza hali ya hatari katika 40% ya maeneo ya nchi hiyo. Sri Lanka imepanga kuwapatia maji watu karibu 72,000 katika wilaya saba zinazokabiliwa na ukame, na India inalenga wilaya 300 zinazokabiliwa na ukame, ikiimarisha mipango ya dharura ya kilimo na kuongeza mipango ya umwagiliaji. Umoja wa Afrika unatoa wito kwa nchi wanachama kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema ili kulinda &#8220;maisha, riziki na uchumi katika miezi ijayo.&#8221; Ukame mkali nchini Ethiopia  wakati wa tukio la El Niño mwaka 2015 ulisababisha mgogoro wa kibinadamu uliowaathiri zaidi ya watu milioni 10. Hapa, Umoja wa Ulaya (EU) na shirika lisilo la kiserikali la Oxfam zinasambaza lori la kusafirisha maji ili kutoa maji ya dharura nayohitajika. Picha na ©EU/ECHO/Anouk Delafortrie kupitia Flickr (CC BY-NC-ND 2.0). Hata hivyo, nchi nyingi hazijajiandaa: Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa wito wa dharura wa $202 milioni kwa ajili ya Wito wa pamoja wa kuchukua&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Sensa: Idadi ya tembo Tanzania bado ni chini ya nusu ya ilivyokuwa miaka 20 iliyopita</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/06/sensa-tembo-tanzania-sasa-ni-asilimia-49-ya-waliokuwepo-mwaka-2005-2006/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/06/sensa-tembo-tanzania-sasa-ni-asilimia-49-ya-waliokuwepo-mwaka-2005-2006/#respond</comments>
					<pubDate>06 Agosti 2026 18:04:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/06180552/Screenshot-2026-08-06-175346-768x497.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2393</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyama Wanyama, Biashara ya Wanyamapori, Bustani za wanyama, Matumizi ya Wanyamapori, Tabia za Wanyama, Tembo, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Ustawi wa Wanyama, Utafiti, Utawala, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Idadi ya tembo nchini Tanzania sasa ni takriban asilimia 49.6 ya waliokuwepo mwaka 2005/2006, wakati idadi yao ilikuwa 134,588. Takwimu hizo zimetolewa na Ripoti ya Sensa ya Taifa ya Wanyamapori ya mwaka 2024/2025. Zoezi hili lilifanywa na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa lengo la kubaini idadi, mtawanyiko, mwenendo na hali ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/06/sensa-tembo-tanzania-sasa-ni-asilimia-49-ya-waliokuwepo-mwaka-2005-2006/" data-wpel-link="internal">Sensa: Idadi ya tembo Tanzania bado ni chini ya nusu ya ilivyokuwa miaka 20 iliyopita</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Idadi ya tembo nchini Tanzania sasa ni takriban asilimia 49.6 ya waliokuwepo mwaka 2005/2006, wakati idadi yao ilikuwa 134,588. Takwimu hizo zimetolewa na Ripoti ya Sensa ya Taifa ya Wanyamapori ya mwaka 2024/2025. Zoezi hili lilifanywa na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa lengo la kubaini idadi, mtawanyiko, mwenendo na hali ya ustawi wa wanyamapori nchini. Ripoti ya sensa hiyo iliyofanyika kuanzia Septemba 2024 hadi Oktoba 2025 ilikabidhiwa kwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika hafla iliyofanyika katika Ikulu jijini Dar es Salaam. Matokeo ya sensa hiyo yalitangazwa jijini Arusha na Mkurugenzi Mkuu wa TAWIRI, Dkt Eblate Mjingo, katika hafla iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa uhifadhi. Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Ashatu Kijaji, aliyemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya tembo iliyopatikana mwaka 2024/2025, ambayo ni 66,714, ni asilimia 49.6 ya tembo 134,588 waliokuwepo mwaka 2005/2006. Uwepo wa mifugo kwa wingi, sambamba na makazi ya binadamu yaliyoambatana na shughuli za kilimo pembezoni/ndani ya maeneo hifadhi, ni miongoni mwa sababu zinaathiri ustawi wa wanyama. Picha kwa hisani ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Mkurugenzi wa Utafiti wa TAWIRI Julius Keyyu alisema kuwa idadi ya tembo nchini ilishuka kutoka takriban tembo 134,000 waliokuwepo mwaka 2005/2006 hadi 46,408 mwaka 2014 kutokana na kuenea kwa ujangili unaolenga pembe za ndovu. Hata hivyo, alisema kuwa hatua mahsusi zilizochukuliwa na serikali, ikiwa ni pamoja na kupambana na ujangili na kuimarisha usimamizi wa hifadhi, zilisaidia idadi ya tembo kuanza kuongezeka tena. Aidha, Keyyu alibainisha kuwa ingawa idadi ya tembo imeongezeka,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/06/sensa-tembo-tanzania-sasa-ni-asilimia-49-ya-waliokuwepo-mwaka-2005-2006/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/06/sensa-tembo-tanzania-sasa-ni-asilimia-49-ya-waliokuwepo-mwaka-2005-2006/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Shinikizo laongezeka kwa Kenya kuchunguza vifo vya tembo 15 Amboseli, ikiwemo uchimbaji dhahabu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/hinikizo-laongezeka-kwa-serikali-ya-kenya-kuchunguza-kwa-kina-vifo-vya-tembo-15-amboseli/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/hinikizo-laongezeka-kwa-serikali-ya-kenya-kuchunguza-kwa-kina-vifo-vya-tembo-15-amboseli/#respond</comments>
					<pubDate>05 Agosti 2026 21:03:20 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/05202638/1An-elephant-relocation-exercise-in-one-of-the-National-Parks-in-Kenya-in-2025.-Photo-courtesy-of-KWS-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2370</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Utalii, Utalii wa Mazingira, Utawala, Uthibitisho, Uwazi, Uzuri wa Kiikolojia, Wanyama, Wanyama maarufu, Wanyamapori, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KAJIADO, Kenya &#8211; Shinikizo linaendelea kuongezeka dhidi ya Serikali ya Kenya ikitakiwa kufanya uchunguzi wa kina na huru kuhusu vifo vya tembo 15 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli. Hii ni siku chache tu baada ya Mkurugenzi Mkuu wa Kenya Wildlife Service (KWS) Erustus Kanga kuthibitisha kwamba wanyama hao walikufa baada ya kumeza sumu ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/hinikizo-laongezeka-kwa-serikali-ya-kenya-kuchunguza-kwa-kina-vifo-vya-tembo-15-amboseli/" data-wpel-link="internal">Shinikizo laongezeka kwa Kenya kuchunguza vifo vya tembo 15 Amboseli, ikiwemo uchimbaji dhahabu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KAJIADO, Kenya &#8211; Shinikizo linaendelea kuongezeka dhidi ya Serikali ya Kenya ikitakiwa kufanya uchunguzi wa kina na huru kuhusu vifo vya tembo 15 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli. Hii ni siku chache tu baada ya Mkurugenzi Mkuu wa Kenya Wildlife Service (KWS) Erustus Kanga kuthibitisha kwamba wanyama hao walikufa baada ya kumeza sumu ya sianidi. KWS ilithibitisha kwamba sianidi ndiyo iliyosababisha vifo hivyo, na ilisema labda tembo walipata sumu hiyo kupitia maji yaliyochafuliwa na dawa ya kuua wadudu iliyonyunyiziwa kwenye mashamba ya nyanya katika eneo la Kimana. Hata hivyo, shirika hilo bado halijabainisha kama vifo hivyo vilikuwa vya bahati mbaya au vilifanywa kwa makusudi. KWS iliiambia Mongabay kwamba uchunguzi unaendelea ili kuthibitisha matokeo ya maabara mbalimbali zinazoshiriki katika kuchunguza vifo hivyo vilivyotokea kati ya 24 Juni na 24 Julai 2026. &#8220;Maabara mbalimbali zimebadilishana sampuli ili kila moja ithibitishe matokeo ambayo tayari yanasubiriwa na umma. Maabara zinahitaji angalau siku 14 kukamilisha zoezi hili,&#8221; Mkurugenzi wa Mawasiliano wa KWS Duncan Wanyama aliiambia Mongabay kwa simu. Maabara zinazohusika ni pamoja na Maabara ya Mkemia wa Serikali na ya Chuo Kikuu cha Nairobi. Matokeo kutangazwa KWS ilisema itatangaza matokeo yoyote muhimu ya uchunguzi kutoka eneo la tukio na  vipimo vya maabara. &#8220;Wachunguzi watahakikisha wanapata kiini cha suala hili. Sampuli zinazobadilishwa ni pamoja na damu, ini na baadhi ya vimiminika vingine vya mwili vilivyokusanywa kutoka kwenye mizoga hiyo. Jana, maabara moja iliomba sampuli za damu zaidi. Kila maabara ilikuwa imechukua vielelezo tofauti vya sampuli, na sasa zinahitaji kupima zile ambazo hazikuchukuliwa awali,&#8221; Wanyama aliiambia&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/hinikizo-laongezeka-kwa-serikali-ya-kenya-kuchunguza-kwa-kina-vifo-vya-tembo-15-amboseli/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/hinikizo-laongezeka-kwa-serikali-ya-kenya-kuchunguza-kwa-kina-vifo-vya-tembo-15-amboseli/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kukutwa na meno ya tembo: Mahakama yatupa rufaa ya Jamhuri</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/#respond</comments>
					<pubDate>28 Julai 2026 10:16:11 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/28111600/Tembo-6-1.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2227</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Haramu, Biashara ya Pembe za Ndovu, Bioanuai, Pembe za Ndovu, Sehemu za Bioanuwai, Sheria, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro imeitupilia mbali rufaa ya Jamhuri ya kupinga hukumu iliyowaachia huru Yahaya Juma na mwenzake. Washitakiwa hao walikuwa wanadaiwa kukutwa na vipande 18 na meno matatu ya tembo yenye thamani ya Dola za Marekani 120,000. Hukumu ya Mahakama hiyo ilitolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Stephen Magoiga [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kukutwa na meno ya tembo: Mahakama yatupa rufaa ya Jamhuri</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro imeitupilia mbali rufaa ya Jamhuri ya kupinga hukumu iliyowaachia huru Yahaya Juma na mwenzake. Washitakiwa hao walikuwa wanadaiwa kukutwa na vipande 18 na meno matatu ya tembo yenye thamani ya Dola za Marekani 120,000. Hukumu ya Mahakama hiyo ilitolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Stephen Magoiga baada ya kusikiliza mawasilisho ya pande zote mbili. Rufani hiyo iliyowasilishwa na Wakili wa Serikali Paulina Massawe ilitokana na uamuzi wa Mahakama ya Wilaya ya Morogoro uliowaachia huru Yahaya Juma na Masima Mlugu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kukutwa na vipande 18 na meno matatu ya tembo yenye thamani ya Dola za Marekani 120,000 bila kibali halali. Mahakama ya Wilaya Katika Mahakama ya Wilaya, upande wa mashtaka uliwasilisha mashahidi sita, akiwemo mtunza vielelezo, askari aliyefanya ukamataji, shahidi huru aliyeshuhudia upekuzi na ukamataji, mhifadhi wa wanyamapori aliyefanya uthamini wa meno ya tembo, askari wa TANAPA aliyeshiriki operesheni pamoja na mpelelezi wa kesi. Upande wa mashtaka uliwasilisha vielelezo saba, vikiwemo vipande 18 vya meno ya tembo, meno matatu kamili ya tembo, magunia mawili ya salfeti yaliyobebea meno hayo, pikipiki aina ya FEKON yenye namba T43 CNF, hati ya ukamataji na ripoti ya uthamini iliyoonyesha kuwa nyara hizo zilikuwa na thamani hiyo. Kwa upande wa utetezi, washtakiwa wote wawili walitoa ushahidi wao wenyewe. Mshtakiwa wa kwanza aliwasilisha pia flashi diski iliyokuwa na video ya YouTube akidai kuwa meno ya tembo yaliyoonyeshwa kwenye taarifa ya habari hayakuwa na alama, tofauti na yale yaliyowasilishwa mahakamani kama vielelezo. Mahakama ya Wilaya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kumiliki nyara za Serikali: Mahakama yabatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/#respond</comments>
					<pubDate>28 Julai 2026 10:03:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/28112229/ELEPHANT-3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2230</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Haramu, Biashara ya Kimataifa, Biashara ya Pembe za Ndovu, Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Pembe za Ndovu, Sheria, Tembo, Uhalifu, Usafirishaji wa Wanyamapori, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR-ES-SALAAM, Tanzania — Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imekubali rufaa ya Yegela Nchola na kubatilisha hukumu ya kutiwa hatiani na kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria. Mahakama hiyo pia mbele ya Jaji Musa Pomo imeamuru kesi hiyo isikilizwe upya mbele ya mahakama yenye mamlaka. Awali, Mahakama [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kumiliki nyara za Serikali: Mahakama yabatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR-ES-SALAAM, Tanzania — Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imekubali rufaa ya Yegela Nchola na kubatilisha hukumu ya kutiwa hatiani na kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria. Mahakama hiyo pia mbele ya Jaji Musa Pomo imeamuru kesi hiyo isikilizwe upya mbele ya mahakama yenye mamlaka. Awali, Mahakama ya Wilaya ya Songwe ilimhukumu mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani kwa kukutwa na vipande 10 vya meno ya tembo vyenye thamani ya $60,000 bila kibali halali. Upande wa mashtaka uliita mashahidi sita na kuwasilisha vielelezo mbalimbali, huku mshtakiwa akikana mashtaka na kudai alikamatwa kimakosa alipokuwa amekwenda kununua mahindi na hakuwa na shahidi. Mamlaka ya mahakama Katika rufaa yake, Nchola alijiwakilisha mwenyewe, alipinga hukumu hiyo akidai miongoni mwa mambo mengine kuwa Mahakama ya Wilaya haikuwa na mamlaka ya kusikiliza shauri hilo kwa kuwa kumbukumbu za kesi hazikuonyesha kuwepo kwa hati ya idhini ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) pamoja na cheti cha mamlaka vinavyotakiwa kisheria katika makosa ya uhujumu uchumi. Katika kuunga mkono rufaa yake, mrufani alidai kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha shtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote ya msingi. Alidai kuwa ushahidi wa shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka (PW1) kuhusu uthamini wa nyara za Serikali haukuwa wa kuaminika. Pia alidai kuwa mlolongo wa utunzaji wa vielelezo haukuthibitishwa kwa sababu shahidi muhimu hakuitwa kutoa ushahidi. Aidha alidai kuwa mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuvitambua ipasavyo vielelezo walipokuwa wakitoa ushahidi mahakamani. Uhalali wa vielelezo Aliongeza kuwa hata mahakama ya mwanzo ilionyesha mashaka kuhusu uhalali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 12:20:20 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/23122231/park-7-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2193</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Maliasili, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira, Mgogoro wa Rasilimali, Sheria, Sheria ya Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uanaharakati, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Kitropiki, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Misitu, Uokoaji wa Wanyamapori, Usimamizi Endelevu wa Misitu, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Utowekaji wa Misitu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya – Shirika la Huduma za Wanyamapori Kenya (KWS) limeshutumiwa kwa kuwazuia na kuwanyanyasa walalamikaji wenza katika kesi inayopinga uhamishaji wa Kituo cha Kuhifadhi Wanyama Yatima cha Nairobi (Nairobi Animal Orphanage). Mnamo Julai 16, Mahakama ya Mazingira na Ardhi jijini Nairobi ilimwagiza Naibu Msajili wake, Vincent Kiplagat, kutembelea eneo linalobishaniwa akiwa pamoja na pande [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/" data-wpel-link="internal">Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya – Shirika la Huduma za Wanyamapori Kenya (KWS) limeshutumiwa kwa kuwazuia na kuwanyanyasa walalamikaji wenza katika kesi inayopinga uhamishaji wa Kituo cha Kuhifadhi Wanyama Yatima cha Nairobi (Nairobi Animal Orphanage). Mnamo Julai 16, Mahakama ya Mazingira na Ardhi jijini Nairobi ilimwagiza Naibu Msajili wake, Vincent Kiplagat, kutembelea eneo linalobishaniwa akiwa pamoja na pande zote katika kesi hiyo ili kuandaa na kuwasilisha ripoti mahakamani. Katika taarifa iliyotumwa kwa Mongabay, shirika la Save the Nairobi National Park (SaveNNP) lililaani kile lilichokiita &#8220;vitisho na vitendo vya kutisha&#8221; kutoka kwa maafisa wa KWS, pamoja na hatua ya kuwanyima wanaharakati hao ruhusa ya kuingia katika eneo la ziara. SaveNNP ilisema hatua hiyo inapingana na mwaliko wa KWS kwa vyombo vya habari kushiriki katika ziara hiyo ya mahakama. Ujenzi unaendelea katika maeneo yanayobishaniwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Nairobi huku Mahakama ya Mazingira na Ardhi ikiendelea kusikiliza kesi iliyowasilishwa na wanaharakati wa mazingira. Picha kwa hisani ya SaveNNP. Mongabay iliona barua ya KWS iliyowaalika wanahabari kuhudhuria ziara ya eneo hilo iliyoongozwa na Msajili wa Mahakama ya Mazingira. Katika taarifa yao, SaveNNP na JustAct ziliishutumu KWS kwa kutaka &#8220;kudhibiti simulizi&#8221; kuhusu mradi huo na kuhakikisha sauti za Wakenya hazisikiki mahakamani wala kupitia vyombo vya habari wakati wa ukaguzi wa eneo hilo. Madai kama hayo pia yalitolewa na Friends of Nairobi National Park. Msemaji wa KWS, Duncan Wanyama, alisema wageni hao hawakuzuiwa kuingia, na kwam ba askari wa wanyamapori walikuwa wakitekeleza tu taratibu za kawaida zinazotumika ndani ya hifadhi hiyo, vyombo vya habari vya ndani&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2026 18:48:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amina Chombo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/16182830/Dangote-thehabarinetwork-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2128</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara ya Kimataifa, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mashirika, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Misitu, Nishati, Samaki, Serikali, Siasa za Nishati, Spishi, Uanaharakati, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Uchumi, Uharakati wa Mazingira, Utawala, Uvuvi, na  Viwanda]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>LAMU, Kenya – Pendekezo la bilionea wa Nigeria Aliko Dangote kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta cha $17 bilioni katika Kaunti ya Lamu, nchini Kenya, limezua mjadala mkali, huku serikali ikikitaja kama kichocheo cha uchumi, na wanaharakati wakionya kuhusu athari zake kwa ikolojia na maisha ya jamii za pwani. Dangote achagua Kenya Baada ya miezi kadhaa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[LAMU, Kenya – Pendekezo la bilionea wa Nigeria Aliko Dangote kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta cha $17 bilioni katika Kaunti ya Lamu, nchini Kenya, limezua mjadala mkali, huku serikali ikikitaja kama kichocheo cha uchumi, na wanaharakati wakionya kuhusu athari zake kwa ikolojia na maisha ya jamii za pwani. Dangote achagua Kenya Baada ya miezi kadhaa ya uvumi kuhusu iwapo kiwanda hicho kingejengwa Kenya, Uganda au Tanzania, kampuni ya Dangote Industries ilichagua Kenya kuwa mwenyeji wa uwekezaji huo. Katika ripoti iliyochapishwa na Reuters, Makamu Rais wa Kitengo cha Mafuta na Gesi wa Dangote Industries Limited, Edwin Devakumar, alithibitisha kuwa kiwanda hicho chenye uwezo wa kusafisha mapipa 700,000 ya mafuta ghafi kwa siku kitajengwa katika Kisiwa cha Lamu na kinatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu. Mafuta ghafi yanatarajiwa kupatikana kutoka nchi za Afrika Mashariki, zikiwemo Uganda, Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Iwapo mradi huo utakamilika, utafuata mfano wa kiwanda cha Dangote kilichopo karibu na Lagos, Nigeria, chenye uwezo wa kusafisha mapipa 650,000 kwa siku, na ambacho kilianza uzalishaji mwaka 2024 na ndicho kikubwa zaidi barani Afrika. Serikali yaeleza manufaa Rais William Ruto, akimteua naibu wake Kithure Kindiki kusimamia mradi huo, alisema Kenya imefikia makubaliano na Dangote ya kuendeleza mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta. Rais wa Kenya, William Ruto, akizungumza katika ikulu ya Nairobi mnamo Julai 8, 2026. Picha kwa hisani ya PSC. Kwa mujibu wa Ruto, kiwanda hicho kitahudumia masoko ya Afrika Mashariki na Afrika ya Kati, na kinatarajiwa kuunda takribani nafasi za ajira 60,000 wakati wa ujenzi na uendeshaji wake. Wanaharakati wapinga Wakati serikali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>03 Julai 2026 14:13:03 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Asha Bekidusa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/03133945/George-Kimau-akionyesha-eneo-la-Mrima-ambapo-ndani-ya-ardhi-hiyo-kuna-madini-ya-niobium-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1986</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Dawa ya Asili, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Milima, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Kitropiki, Misitu ya Milimani, Miti, Nyani, Sheria, Sheria ya Mazingira, Tamaduni za Kiasili, Teknolojia, Uchimbaji Madini, Uchumi, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Ukataji Miti, Utafiti, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa Mombasa. Anakumbuka mashimo yaliyoachwa baada ya baadhi ya sehemu za msitu kukatwa wakati kampuni zilipokuwa zikifanya tafiti za kutafuta madini. Zaidi ya mwongo mmoja baadaye, anasema, mashimo hayo yanaendelea kujiziba yenyewe. Ukitembea msituni, si rahisi kuona mashimo hayo madogo kwani yamefinikwa, baada ya mimea ya asili kuota tena kwa zaidi ya muongo mmoja. Mrima. Picha na Asha Bekidusa, Mongabay. Neno ‘Mrima’ linatoka katika jamii ya Wadigo, kumaanisha mlima. Msitu huu wa Mrima una rutuba kubwa na bioanuwai ya kipekee. Kadri unavyozidi kupanda mlimani, msitu huwa mnene zaidi na mwanga hupungua. Eneo hili liko kimya, isipokuwa sauti za wanyama, wadudu na miti ambayo mara kwa mara inatikisika kutokana na upepo unaovuma. Kwa mujibu wa Key Biodiversity Areas (KBA), eneo la Mrima lenye umuhimu wa bioanuwai lina ukubwa wa takriban kilomita za mraba 3.76 (sawa na takriban hekta 376), ambapo asilimia 95.77 ya eneo hilo iko chini ya hadhi mbalimbali za ulinzi wa kisheria. Utafiti na uharibifu wa misitu Kutokea miaka ya 1950, wataalamu wa jiolojia na makampuni ya madini wamekuwa wakifanya tafiti katika eneo la Mrima kutathmini uwepo wa madini ya niobium na madini adimu mengine. Stakabadhi za rekodi za kesi ya kampuni ya Cortec zinaonyesha kuwa utafiti wa awali ulifanywa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/#respond</comments>
					<pubDate>01 Julai 2026 12:04:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/29121017/meno-ya-tembo-3.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1945</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Ikolojia, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Tembo, Uhalifu, Uhalifu kwa Wanyamapori, Uhalifu uliopangwa, Uhalifu wa Mazingira, Usafirishaji wa Wanyamapori, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Katavi imemuondolea adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela Elvis Kalonga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali kwa sababu ya dosari na mkanganyiko uliobainika katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Jaji Mfawidhi, Godfrey Isaya ilitoa hukumu Juni 16,2026 baada ya kusikiliza rufani iliyowasilishwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/" data-wpel-link="internal">Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Katavi imemuondolea adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela Elvis Kalonga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali kwa sababu ya dosari na mkanganyiko uliobainika katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Jaji Mfawidhi, Godfrey Isaya ilitoa hukumu Juni 16,2026 baada ya kusikiliza rufani iliyowasilishwa na Kalonga dhidi ya Jamhuri akipinga kutiwa hatiani pamoja na adhabu aliyopewa Awali, Mahakama ya Wilaya ya Mlele ilimhukumu Kalonga kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa manne ya kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria, pamoja na kosa la kuingia hifadhi ya taifa bila kibali na kubeba silaha ndani ya hifadhi. Ilidaiwa kwamba Novemba 8, 2025, askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi walimkamata Kalonga katika eneo la Kasandalala ndani ya hifadhi hiyo akiwa hana kibali na akiwa na silaha mbalimbali zikiwemo panga, shoka, vipande vya nondo, goroli na unga wa baruti. Pia alidaiwa kukutwa na nyama na viungo vya wanyamapori vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya TSh17,800,000. Sehemu ya ushahidi wa Jamhuri Upande wa mashtaka ulidai kuwa mshtakiwa alikamatwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi akiwa na nyara za Serikali na vifaa vinavyohusishwa na uwindaji haramu. Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa mahakamani, Novemba 8, 2025 askari wanyamapori Joel Kabuga ambaye alikuwa shahidi wa pili (PW2), Christian Ruyemamu (PW3) na Rahimu Hamadi Yusuf (PW4) wakiwa doria eneo la Kasandalala ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi waliona moshi ukitoka porini. Mashahidi hao kwa nyakati tofauti wakidai kuwa walipofuatilia chanzo cha moshi huo walikuta watu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/#respond</comments>
					<pubDate>18 Juni 2026 19:09:16 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Solomon Yimer]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/18185147/Screenshot-2026-06-18-215028-768x445.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1883</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Ethiopia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyama Wanyama, Biashara ya Wanyamapori, Bustani za wanyama, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Matumizi ya Wanyamapori, Mazingira, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Nyani, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Tabia za Wanyama, Teknolojia ya Uhifadhi Mazingira ya Porini, Tembo, Ufugaji wa Uhifadhi, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uhifadhi wa Wanyamapori, Ukanda wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Uongozi wa Uhifadhi, Ustawi wa Wanyama, Utawala, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature unaonyesha kuwa maeneo ya hifadhi ya Ethiopia yalipunguza kasi ya ukataji miti na upanuzi wa kilimo, huku yakisaidia kudumisha nyanda za malisho. Lakini utafiti pia unapendekeza kuwa faida zile zile za uhifadhi zinaweza pia kuhusishwa na kupungua kwa usalama wa chakula na ustawi kwa jamii zilizo karibu, huku ukisisitiza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature unaonyesha kuwa maeneo ya hifadhi ya Ethiopia yalipunguza kasi ya ukataji miti na upanuzi wa kilimo, huku yakisaidia kudumisha nyanda za malisho. Lakini utafiti pia unapendekeza kuwa faida zile zile za uhifadhi zinaweza pia kuhusishwa na kupungua kwa usalama wa chakula na ustawi kwa jamii zilizo karibu, huku ukisisitiza baadhi ya tahadhari katika matokeo yao. Utafiti huo, uliofanywa kwa ushirikiano kati ya watafiti nchini Ethiopia na Uingereza, na Mamlaka ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Ethiopia, ulitathmini matokeo ya kimazingira na kijamii katika maeneo 25 yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia katika kipindi cha mwaka wa 2000-2020. Walipima kiwango cha misitu, upanuzi wa kilimo, nyanda za malisho, usalama wa chakula, utofauti wa lishe na ustawi wa nyenzo. Ingawa maeneo yaliyohifadhiwa yalikuwa na ufanisi mkubwa katika kupunguza uharibifu wa mazingira licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa ukuaji wa idadi ya watu, upanuzi wa kilimo, na mahitaji ya ardhi, watafiti waligundua mchangamano wa maslahi (trade-offs) kati ya matokeo ya mazingira na kijamii katika tathmini zao. Maeneo 12 yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo mazuri ya kimazingira kwa gharama ya ustawi wa jamii. Wakati huo huo, maeneo matano kati ya maeneo yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo ya &#8220;faida kwa wote&#8221; kwa uhifadhi wa bioanuwai na ustawi wa jamii na maeneo matatu yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo ya &#8220;hasara kwa wote&#8221;. &#8220;Ethiopia ina utajiri wa viumbe hai, lakini pia inakabiliwa na changamoto kubwa kuhusu umaskini, usalama wa chakula na mahitaji ya ardhi,&#8221; alisema Sophie Jago, mwandishi mkuu wa utafiti na msaidizi wa utafiti katika Bustani za Kifalme za Mimea za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kenya yawa nchi ya kwanza barani Afrika kupokea ufadhili wa kukabiliana na majanga ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/kenya-yawa-nchi-ya-kwanza-barani-afrika-kupokea-ufadhili-wa-kukabiliana-na-majanga-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/kenya-yawa-nchi-ya-kwanza-barani-afrika-kupokea-ufadhili-wa-kukabiliana-na-majanga-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 19:43:31 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11194040/Vijana-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1846</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Fedha, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kenya imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika na ya pili duniani kunufaika na ufadhili huo wa kukabiliana na majanga ya tabianchi, msaada unaolenga kusaidia waliopata hasara na uharibifu unaotokana na mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Fedha hizo, kiasi cha KSh90 milioni ($700,000) kutoka Santiago Network on Loss and Damage, mfumo wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/kenya-yawa-nchi-ya-kwanza-barani-afrika-kupokea-ufadhili-wa-kukabiliana-na-majanga-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Kenya yawa nchi ya kwanza barani Afrika kupokea ufadhili wa kukabiliana na majanga ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kenya imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika na ya pili duniani kunufaika na ufadhili huo wa kukabiliana na majanga ya tabianchi, msaada unaolenga kusaidia waliopata hasara na uharibifu unaotokana na mabadiliko ya tabianchi katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Fedha hizo, kiasi cha KSh90 milioni ($700,000) kutoka Santiago Network on Loss and Damage, mfumo wa Umoja wa Mataifa wenye makao yake nchini Uswisi unaofadhiliwa kupitia michango ya hiari kutoka kwa nchi zilizoendelea na jumuiya ya kimataifa, zitatolewa kupitia serikali na kusambazwa kwa jamii mbalimbali nchini zinazokabiliwa na majanga mbalimbali yanayochochewa na mabadiliko ya tabianchi. Majanga hayo ni pamoja na ukame wa mara kwa mara, mafuriko, kupungua kwa uzalishaji wa mazao, uharibifu wa mazao na matukio mengine ya hali mbaya ya hewa. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mazingira, Mabadiliko ya Tabianchi na Misitu wa Kenya, Festus Ng’eno, alisema msaada huo ni hatua muhimu sana. Ng’eno alisema hatua hiyo inaifanya Kenya kuwa nchi ya kwanza barani Afrika na ya pili duniani kunufaika na mfuko huo. Vanuatu, taifa la funguvisiwa lenye maeneo mengi ya mwinuko wa chini, ndiyo iliyokuwa nchi ya kwanza duniani kupata ufadhili huo. Ng’eno alitoa taarifa hiyo katika mazungumzo yaliyofanyika sambamba na mazungumzo ya kiufundi ya tabianchi ya UNFCCC Subsidiary Bodies (SB64) yanayoendelea huko Bonn, Ujerumani. Katika taarifa aliyochapisha mtandaoni, akithibitisha habari iliyochapishwa na gazeti la People Daily mnamo Juni 10, Dkt Ng’eno alisema kuwa licha ya Kenya kupitia baadhi ya majanga makubwa zaidi ya tabianchi katika Afrika Mashariki, nchi hiyo haijawahi kupima kikamilifu kiwango halisi cha hasara iliyopata kutokana na majanga hayo. &#8220;Hali hiyo sasa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/kenya-yawa-nchi-ya-kwanza-barani-afrika-kupokea-ufadhili-wa-kukabiliana-na-majanga-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/kenya-yawa-nchi-ya-kwanza-barani-afrika-kupokea-ufadhili-wa-kukabiliana-na-majanga-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 13:46:29 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11131849/Screenshot-2026-06-11-161609.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1841</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Urusi, Zambia, na  Zimbabwe]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Utafiti, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Matumizi ya makaa ya mawe duniani kote yaliendelea kupungua mnamo mwaka 2025, lakini kulikuwa na ongezeko la uwezo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya kikundi cha uchambuzi wa data Global Energy Monitor. Uzalishaji wa umeme kutoka kwa makaa ya mawe kwa ujumla ulipungua kwa 0.6% mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Matumizi ya makaa ya mawe duniani kote yaliendelea kupungua mnamo mwaka 2025, lakini kulikuwa na ongezeko la uwezo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya kikundi cha uchambuzi wa data Global Energy Monitor. Uzalishaji wa umeme kutoka kwa makaa ya mawe kwa ujumla ulipungua kwa 0.6% mwaka jana, lakini uwezo wa akiba wa mitambo ya makaa ya mawe unaoweza kutumika wakati wa mahitaji makubwa ya umeme uliongezeka kwa 3.5%. Sehemu kubwa ya ongezeko hilo ilitokea nchini Uchina, ambapo uwezo wa ziada wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe unazidi kuchukuliwa kuwa chaguo mbadala ili kuhakikisha usalama wa nishati. Wakati Uchina iliongeza gigawati 78.1 za uwezo wa nishati ya makaa ya mawe mnamo 2025, matumizi yake halisi ya nishati ya makaa ya mawe yalipungua kwa 1.2%. Kupungua huku kulidhihirika wazi kwani kulikuja huku kukiwa na ongezeko la jumla la mahitaji ya nishati ya Uchina. Kulingana na ripoti hiyo, zaidi ya 90% ya ongezeko hilo la mahitaji ya nishati lilikidhiwa na nishati ya upepo na jua badala ya makaa ya mawe. Wakati Uchina inasalia kuwa mtumiaji mkubwa zaidi wa makaa ya mawe duniani, mahitaji yake zaidi ya nishati yanatimizwa kwa njia mbadala. India ilirekodi ongezeko la pili kwa ukubwa la uwezo wa nishati ya makaa ya mawe mnamo mwaka 2025, lakini pia ilionyesha harakati kuelekea gridi safi zaidi. Pamoja na nyongeza za rekodi za nishati ya jua na upepo, nishati jadidifu zilichangia zaidi ya nusu ya uwezo wa jumla wa nishati nchini kwa mara ya kwanza. Christine Shearer, mtafiti&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/#respond</comments>
					<pubDate>10 Juni 2026 18:36:08 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/10161044/Meno-ya-tembo-2.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1830</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Kupambana na ujangili, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Sheria ya Mazingira, Tembo, Uhifadhi wa Wanyamapori, Ujangili, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia mmoja wa Korea Kaskazini, Un Hyok Ra (37), anayeshitakiwa kwa kukutwa akimiliki nyara za Serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6.4 bilioni, imepigwa tarehe tena kwa madai kuwa upelelezi wake haujakamilika. Shauri hilo limetajwa leo Juni 9, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia mmoja wa Korea Kaskazini, Un Hyok Ra (37), anayeshitakiwa kwa kukutwa akimiliki nyara za Serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6.4 bilioni, imepigwa tarehe tena kwa madai kuwa upelelezi wake haujakamilika. Shauri hilo limetajwa leo Juni 9, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Salome Mwasha. Akiwakilisha upande wa Mashtaka, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Florida Wenceslaus aliomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa kwa kesi hiyo kwa kile alichoeleza kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika. Mshtakiwa, ambaye anaendelea kusota rumande, hakuwepo mahakamani leo kama ilivyokuwa wakati kesi hiyo ilipotajwa Mei 25, na pia hakuwa na mwakilishi. Hakimu Mwasha alikubali ombi la upande wa mashitaka na akaahirisha shauri hilo hadi Juni 23 mwaka huu, kesi itakapotajwa tena. Mshtakiwa Ra alipanda kizimbani kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa Mei mwaka huu. Shauri lilipotajwa baada ya siku 14, yaani Mei 25 mwaka huu, mshtakiwa huyo hakufikishwa mahakamani na badala yake shauri liliahirishwa bila yeye kuwepo. Kabla ya kuahirisha kesi hiyo, hakimu aliamuru hati ya kumfikisha mshtakiwa kortini itolewe ili kesi itakapotajwa Juni 9, 2026, mshtakiwa aletwe kortini. Hata hivyo leo mshtakiwa hakufikishwa kortini na hakuna maelezo yoyote yaliyotolewa kwa nini mshatakiwa hakuwepo. Awali upande wa Jamhuri ulidai katika hati ya mashtaka kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka mawili, kukutwa akimiliki nyara za Serikali na kujihusisha na biashara hiyo bila kibali. Ilidaiwa kuwa Aprili 19, 2026 katika eneo la Hoteli ya Golden Tulip–Masaki,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 19:10:28 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09143738/EACOP-Main-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1826</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mazingira, Maziwa, Mgogoro wa Mazingira, Mimea, Samaki, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, Utawala, Uvuvi, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linaloanzia kwenye vitalu vya mafuta ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi mji wa bandari wa Tanga nchini Tanzania, limeanza tena kuchunguzwa kwa karibu baada ya kutolewa kwa ripoti mpya inayobainisha maeneo ya bioanuwai na makazi ya wanyamapori ambayo bomba hilo linapitia au ambayo liko karibu nayo. Kwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/" data-wpel-link="internal">EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linaloanzia kwenye vitalu vya mafuta ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi mji wa bandari wa Tanga nchini Tanzania, limeanza tena kuchunguzwa kwa karibu baada ya kutolewa kwa ripoti mpya inayobainisha maeneo ya bioanuwai na makazi ya wanyamapori ambayo bomba hilo linapitia au ambayo liko karibu nayo. Kwa kutumia takwimu za ramani na makadirio ya thamani ya kiuchumi, ripoti ya Earth Insight, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu nchini Marekani, inaonyesha kuwa bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 liko karibu na maeneo muhimu kwa maisha ya mamilioni ya watu na usalama wa maji, na pia sehemu ambazo hutumika kama njia za uhamaji wa wanyama. Kutokana na uchambuzi huo, ripoti hiyo inahitimisha kuwa ujenzi wa bomba hilo tayari umeathiri jamii na mazingira, na kwamba usafirishaji wa mafuta utaleta hatari zaidi za muda mrefu. EACOP ni mradi wa ubia kati ya  kampuni ya TotalEnergies yenye asilimia 62 ya hisa, serikali za Uganda na Tanzania kila moja ikiwa na asilimia 15, pamoja na China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) yenye asilimia 8. EACOP itasafirisha mafuta yanayochimbwa kutoka vitalu viwili kwenye bonde la Ziwa Albert: Kingfisher, linalomilikiwa na CNOOC; na Tilenga, linalomilikiwa na TotalEnergies. Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) nchini Uganda. Picha kwa hisani ya Thomas Lewton. Kwa mujibu wa Earth Insight, mradi huo unakaribia kukamilika na mafuta ya kwanza yataanza kusafirishwa mapema mwaka 2026. “Linapita moja kwa moja katika maeneo ya viumbe walio hatarini kutoweka, na eneo muhimu zaidi ni la&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kupungua kwa ushoroba wa Kwakuchinja kwatishia uhamaji wa wanyamapori</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 14:29:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Isack Dickson]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09125042/3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1810</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ushoroba wa Kwakuchinja, ambao katika toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu manufaa ya ushoroba nchini Tanzania, ulielezwa kuleta manufaa makubwa kwa uhifadhi na pia kwa jamii zinazozunguka hifadhi ya Burunge, uko hatarini kutokana na kuendelea kupungua siku hadi siku. Ushoroba huo uko Kaskazini mwa Tanzania, kati ya Hifadhi za Taifa za Tarangire na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/" data-wpel-link="internal">Kupungua kwa ushoroba wa Kwakuchinja kwatishia uhamaji wa wanyamapori</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ushoroba wa Kwakuchinja, ambao katika toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu manufaa ya ushoroba nchini Tanzania, ulielezwa kuleta manufaa makubwa kwa uhifadhi na pia kwa jamii zinazozunguka hifadhi ya Burunge, uko hatarini kutokana na kuendelea kupungua siku hadi siku. Ushoroba huo uko Kaskazini mwa Tanzania, kati ya Hifadhi za Taifa za Tarangire na Ziwa Manyara, na unaokatiza maeneo ya Babati, Monduli na Simanjiro, umeendelea kuwa kiunganishi muhimu cha mifumo ya ikolojia katika ukanda huo wenye utajiri mkubwa wa viumbe hai. Kwa miongo kadhaa umekuwa njia muhimu ya kupita kwa wanyamapori wanaohama kutoka eneo moja kwenda lingine. Wanyama aina ya pundamilia wakiwa katika ushoroba wa Kwakuchinja. Picha na Isack Dickson. Revocatus Meney, mtafiti kutoka TAWIRI, anasema ushoroba huo umekuwa ukipungua siku hadi siku kutokana na ongezeko la shughuli za kibinadamu. Makazi, kilimo na mifugo vinaendelea kuubana mwaka hadi mwaka na kuufanya uwe finyu. Kwa mujibu wa tafiti za TAWIRI, miaka ya 1970, ushoroba wa Kwakuchinja ulikuwa na ukubwa unaofikia kilomita za mraba 600. Hata hivyo, Meney anasema kutokana na ongezeko la shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo na matumizi mengine ya ardhi, eneo hilo limeendelea kupungua na kufikia takribani kilomita za mraba 274.45 kwa sasa. Kupungua huku kunamaanisha kuwa zaidi ya nusu ya eneo la awali la ushoroba limepotea ndani ya kipindi cha takribani miongo mitano. Meney anasema hakuna kiwango kimoja cha upana kinachotumika kwa ushoroba kwa sababu hutegemea aina ya wanyama wanaoutumia na mazingira husika. Hata hivyo, anasema kadri ushoroba unavyokuwa mpana na usio na vikwazo vya shughuli&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 13:12:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09111629/Screenshot-2026-06-09-141545.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1799</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia ya wenzao. Hata hivyo, licha ya jukumu lao kuu katika kulinda bayoanuwai na baadhi ya misitu muhimu zaidi ulimwenguni, wengi wanaendelea kufanya kazi wakiwa na usaidizi mdogo, mishahara midogo, na hali hatarishi sana. Kwa Emmanuel Bahati Lukoo, ukweli huu ni wa kibinafsi sana. Aliwahi kuwa mlinzi katika mbuga ya kitaifa ya Virunga ambapo kwa sasa ni afisa katika Hifadhi ya Kitaifa ya Kahuzi-Biega, alinusurika kifo katika shambulizi la kushutukizia mnamo mwaka wa 2018 na kikundi cha wanamgambo wa jamii kinachojulikana kama Mai-Mai. Wenzake kadhaa waliuawa kwa kuviziwa. Alipigwa risasi, alijeruhiwa na kupata kiwewe cha kisaikolojia, na baadaye kufunguliwa mashitaka mbele ya mahakama ya kijeshi katika kesi iliyohusishwa na ulinzi wa hifadhi, angeweza kuondoka. Badala yake, Bahati alichagua kusimulia hadithi yake katika kitabu kiitwacho Conservation at the Cost of My Youth: The Survival of a Ranger, simulizi ghafi ya dhabihu, hofu, shinikizo za kisiasa, na mara nyingi hali halisi isiyoonekana inayowakabili walinzi wa misitu mashariki mwa DRC. Kwenye mahojiano ya ana kwa ana na Mongabay, Bahati anatafakari safari yake, shambulizi lililokaribia kumuua, kiwewe walichopata walinzi, migogoro kati ya uhifadhi na maisha ya jamii ya eneo hilo, na uingiliaji wa kisiasa unaotatiza ulinzi wa maeneo yaliyohifadhiwa. Zaidi ya hadithi ya kibinafsi,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mabadiliko ya tabianchi yatishia ikolojia ya bahari Zanzibar &#8211; Serikali</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 11:55:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09103711/ZANZIBAR-ECOLOGY.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1795</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Huduma za Mazingira, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Uzuri wa Kiikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Licha ya juhudi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhifadhi ikolojia ya bahari kupitia usimamizi endelevu wa rasilimali zake, mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa mazingira hayo na ustawi wa jamii zinazoyategemea. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema athari za mabadiliko ya tabianchi zinahatarisha mafanikio ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/" data-wpel-link="internal">Mabadiliko ya tabianchi yatishia ikolojia ya bahari Zanzibar &#8211; Serikali</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Licha ya juhudi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhifadhi ikolojia ya bahari kupitia usimamizi endelevu wa rasilimali zake, mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa mazingira hayo na ustawi wa jamii zinazoyategemea. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema athari za mabadiliko ya tabianchi zinahatarisha mafanikio ya uchumi wa buluu kutokana na kuongezeka kwa kina cha bahari, kupauka kwa miamba ya matumbawe, dhoruba kali pamoja na kupungua kwa samaki baharini. Kulinda ikolojia ya Zanzibar ni hatua muhimu katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kujenga uchumi wa buluu wenye tija. Picha kutoka mtandaoni. Aliyasema hayo katika Warsha ya 29 ya Mwaka ya Utafiti iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti na Kupunguza Umasikini [REPOA], iliyowaweka pamoja serikali za Tanzania bara na Zanzibar pamoja na wadau wa bahari kujadili namna ya kuimarisha ikolojia hiyo. Abdulla alisema Zanzibar imekuwa kivutio kikubwa cha utalii duniani kutokana na utajiri wa ikolojia yake ya bahari, utamaduni wa watu wake na mazingira ya amani na utulivu lakini ongezeko la joto duniani linaendelea kuathiri mifumo ya bahari inayochangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Zanzibar kupitia utalii, uvuvi na shughuli nyingine za kiuchumi zinazotegemea bahari. Nini kifanyike Makamu wa Pili wa Rais alishauri kujengwa kwa miundombinu himilivu  na mifumo madhubuti ya tahadhari ya mapema ili kulinda ikolojia ya bahari na maisha ya wananchi. Alishauri kuwepo ushirikiano kati ya taasisi za mafunzo ya uvuvi na bahari pamoja na vyuo vikuu katika kuendeleza uchumi wa buluu kwa muda mrefu, sambamba na kuingiza elimu ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/#respond</comments>
					<pubDate>04 Juni 2026 12:55:05 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/04131449/Screenshot-2026-06-04-161427.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1773</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Bahari ya Hindi, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Gesi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Mabadiliko ya Tabianchi, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira ya Baharini, Miamba ya Matumbawe, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Samaki, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Utafiti, Utawala, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ripoti mpya imebainisha kuwa asilimia 100 ya miamba ya matumbawe, misitu ya mikoko, maeneo ya hifadhi za baharini pamoja na maeneo muhimu ya bayoanuwai katika ukanda wa pwani ya Kenya yamo ndani ya maeneo yaliyotengwa kwa shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi. Maeneo hayo pia ni sehemu za bahari ambazo ni muhimu kiikolojia na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/" data-wpel-link="internal">Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ripoti mpya imebainisha kuwa asilimia 100 ya miamba ya matumbawe, misitu ya mikoko, maeneo ya hifadhi za baharini pamoja na maeneo muhimu ya bayoanuwai katika ukanda wa pwani ya Kenya yamo ndani ya maeneo yaliyotengwa kwa shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi. Maeneo hayo pia ni sehemu za bahari ambazo ni muhimu kiikolojia na kibayolojia. Ripoti hiyo iliyopewa jina la Fossil Fuel Threats to the Ocean: Marine Life and Coastal Communities at Risk ilitolewa leo, siku chache kabla ya mkutano wa 11 unaohusu masuala ya bahari, mkutano wa ‘Our Ocean Conference’ unaotarajiwa kufanyika kuanzia Juni 16 hadi 18 mjini Mombasa, Kenya. Ripoti hiyo inaeleza kuwa upanuzi wa shughuli za mafuta na gesi baharini unaweza kusababisha madhara makubwa yatokanayo na uchimbaji wa visima, umwagikaji wa mafuta, uchimbaji wa kina cha bahari pamoja na kuongezeka kwa shughuli za usafirishaji wa meli. Bonde la Lamu limetajwa kuwa eneo linalopewa kipaumbele, ambapo miradi minane ya mafuta inayotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu, imepangwa kutekelezwa katika ukanda huo wa pwani wenye historia na utajiri mkubwa wa kiikolojia. “Uchambuzi wetu unaonesha kuwa asilimia 100 ya Miamba ya matumbawe na misitu ya mikoko katika eneo hili imefunikwa na vitalu vya mafuta na gesi. Kwa asilimia 100, maeneo haya ni ya hifadhi za baharini na pwani lakini pia ni muhimu kwa bayoanuwai,” ripoti hiyo imeeleza. Katika ripoti hiyo, Kenya imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi ambazo zinaendelea kuhamasisha uwekezaji mkubwa katika sekta ya mafuta na gesi. Ripoti hiyo ilitolewa na shirika la Earth Insight kwa ushirikiano na mashirika 12 ya kiraia,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Hatua za FIFA kukabiliana na joto katika Kombe la Dunia huenda zisitoshe, mtaalamu anaonya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/hatua-za-fifa-kukabiliana-na-joto-katika-kombe-la-dunia-huenda-zisitoshe-mtaalamu-anaonya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/hatua-za-fifa-kukabiliana-na-joto-katika-kombe-la-dunia-huenda-zisitoshe-mtaalamu-anaonya/#respond</comments>
					<pubDate>03 Juni 2026 10:41:59 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Naina Rao]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/03103608/Screenshot-2026-06-03-132733-768x475.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1749</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Amerika ya Kaskazini, Marekani, na  Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Halijoto, Kudhibiti Ongezeko la Joto Duniani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Ongezeko la Joto Duniani, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hatua zinazopendekezwa na waandaaji wa Kombe la Dunia lijalo la FIFA hazitatosha kuwalinda wachezaji na mashabiki dhidi ya hatari ya joto kali na unyevunyevu unaotarajiwa katika mashindano ya mwaka huu, mtaalamu wa matibabu anaonya. Mnamo Desemba mwaka 2025, FIFA ilitangaza kuwa kutakuwa na mapumziko ya dakika tatu kwa ajili ya kunywa maji kwa wachezaji katika kila [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/hatua-za-fifa-kukabiliana-na-joto-katika-kombe-la-dunia-huenda-zisitoshe-mtaalamu-anaonya/" data-wpel-link="internal">Hatua za FIFA kukabiliana na joto katika Kombe la Dunia huenda zisitoshe, mtaalamu anaonya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hatua zinazopendekezwa na waandaaji wa Kombe la Dunia lijalo la FIFA hazitatosha kuwalinda wachezaji na mashabiki dhidi ya hatari ya joto kali na unyevunyevu unaotarajiwa katika mashindano ya mwaka huu, mtaalamu wa matibabu anaonya. Mnamo Desemba mwaka 2025, FIFA ilitangaza kuwa kutakuwa na mapumziko ya dakika tatu kwa ajili ya kunywa maji kwa wachezaji katika kila nusu ya kila mchezo &#8220;ili kuhakikisha hali bora zaidi kwa wachezaji&#8221;. Hata hivyo, uchambuzi wa hivi majuzi unasema Kombe la Dunia la 2026, lililoandaliwa kwa pamoja na Marekani, Meksiko na Kanada, litakuwa na joto kali zaidi kuliko mashindano ya Marekani ya &#8217;94. Wanasayansi kutoka World Weather Attribution (WWA), mtandao wa kimataifa wa watafiti wanaochunguza mchango wa mabadiliko ya tabianchi katika matukio ya hali mbaya ya hewa, wanaonya kuwa mabadiliko ya tabianchi yameongeza karibu mara mbili uwezekano wa joto kali tangu wakati huo. Hiyo inafanya iwe vigumu zaidi kuondoa joto mwilini, alisema Chris Mullington, mshauri wa kutia ganzi na mhadhiri mkuu wa kliniki katika Imperial College London. &#8220;Hiyo ni muhimu kwa sababu wanasoka huzalisha kiasi kikubwa cha joto mwilini wanapokimbia mara kwa mara, kuongeza kasi na kucheza kwa kiwango cha juu cha ushindani,&#8221; alisema katika mkutano na waandishi wa habari. &#8220;WBGT inapoongezeka, mifumo ya kawaida ya kupoeza ya mwili inakuwa dhaifu.&#8221; WBGT ni kipimo cha joto kinachojumuisha halijoto ya hewa, unyevunyevu, mionzi ya jua na kasi ya upepo, na hutoa &#8220;hisia halisi&#8221; ya joto kwenye mwili wa mwanadamu. Mullington alisema viwango vya juu vya WBGT vinaweza kulazimisha wachezaji &#8220;kupunguza kasi ya kukimbia mara kwa mara, kujiendesha kwa uangalifu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/hatua-za-fifa-kukabiliana-na-joto-katika-kombe-la-dunia-huenda-zisitoshe-mtaalamu-anaonya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/hatua-za-fifa-kukabiliana-na-joto-katika-kombe-la-dunia-huenda-zisitoshe-mtaalamu-anaonya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>02 Juni 2026 09:54:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Njagi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/02094948/Screenshot-2026-06-02-124936-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1742</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Biashara ya Kaboni, Fedha za Kaboni, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kaboni, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mikopo ya Kaboni, Siasa za Mazingira, Soko ya Kaboni, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Naito Leshao alionyesha hisia za kuchoshwa na miradi ya biashara ya fidia ya hewa ukaa katika mkutano wa kimataifa uitwao Global Landscapes Forum (GLF) wa mwaka 2026 uliofanyika Nairobi, Kenya. Akiwa na hisia kali, Leshao aliuliza maswali kadhaa: kwa nini miradi mikubwa ya kaboni inayodaiwa kuwa kwa ajili ya watu waliolinda ardhi kwa miaka mingi hupitia mikononi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Naito Leshao alionyesha hisia za kuchoshwa na miradi ya biashara ya fidia ya hewa ukaa katika mkutano wa kimataifa uitwao Global Landscapes Forum (GLF) wa mwaka 2026 uliofanyika Nairobi, Kenya. Akiwa na hisia kali, Leshao aliuliza maswali kadhaa: kwa nini miradi mikubwa ya kaboni inayodaiwa kuwa kwa ajili ya watu waliolinda ardhi kwa miaka mingi hupitia mikononi mwa watu wengi kiasi kwamba malipo yanapowafikia wanajamii, wanapata kiasi kidogo sana? Leshao, aliyekuwa akiwakilisha jamii yake kutoka Maasai Mara, aliendelea kwa swali jingine: Je, mnatarajia jamii za kiasili ziendelee kuhifadhi ardhi huku zikilinda mifumo yao ya malisho, wakati matatizo yao hayasikilizwi kuhusu namna mabadiliko ya tabianchi yanavyowaathiri? Maswali tata Maswali yake si mapya katika mijadala ya uhifadhi wa mazingira. Yameendelea kujitokeza tangu Mkataba wa Paris ulipoweka msingi wa ushirikiano wa kimataifa katika biashara ya kaboni kupitia Kifungu cha 6 kama njia ya kupambana na ongezeko la joto duniani huku ukiwa na lengo la kupambana na ongezeko la joto duniani na kuzalisha mapato. Hata hivyo, vigezo vya mfumo huo mara nyingi vimekuwa vikionekana kuwa vya upendeleo, vikiegemea zaidi kwa waendelezaji wa miradi katika mnyororo wa biashara ya kaboni. “Wanakuja na asilimia fulani, lakini nani anaamua hizo asilimia? Nani anasema kwamba jamii hii inapaswa kupata asilimia 10 au 15? Unajuaje kwamba hicho ndicho kiasi kinachokidhi uendeshaji wa jamii hii? Pamoja na kukosekana kwa usawa katika mchakato huu, bado dunia inazihitaji jamii za kiasili kuhifadhi mazingira,” alisema Leshao. Hakukuwa na majibu ya haraka kwa maswali yake, licha ya makadirio mapya kuonyesha kwamba mapato yanayotokana na soko la kimataifa la&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kukutwa na nyara za tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yatajwa</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/28/kesi-ya-kukutwa-na-nyara-za-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yatajwa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/28/kesi-ya-kukutwa-na-nyara-za-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yatajwa/#respond</comments>
					<pubDate>28 Mei 2026 15:30:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/28152908/Tembo-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1727</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Pembe za Ndovu, Biashara ya Wanyamapori, Pembe za Ndovu, Sheria ya Mazingira, Tembo, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Raia wa Korea Kaskazini Un Hyok Ra (37), anayekabiliwa na mashtaka ya kukutwa akimiliki nyara za serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6.4 bilioni anaendelea kusota rumande kufuatia upelelezi wa kesi hiyo kutokamilika. Kesi hiyo imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Hata hivyo mshtakiwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/28/kesi-ya-kukutwa-na-nyara-za-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yatajwa/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kukutwa na nyara za tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yatajwa</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Raia wa Korea Kaskazini Un Hyok Ra (37), anayekabiliwa na mashtaka ya kukutwa akimiliki nyara za serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6.4 bilioni anaendelea kusota rumande kufuatia upelelezi wa kesi hiyo kutokamilika. Kesi hiyo imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Hata hivyo mshtakiwa hakuwepo mahakamani. Un Hyok Ra anakabiliwa na mashtaka mawili: kukutwa akimiliki nyara za serikali na kujihusisha na biashara hiyo. Akiwakilisha upande wa Mashtaka, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Florida Wancelaus amemwambia Hakimu Mkazi Mkuu Salome Mshasha anayesikiliza kesi hiyo kuwa upelelezi bado haujakamilika na akaomba shauri lipangiwe tarehe nyingine ya kutajwa. Hakimu Mshasha baada ya kusikiliza hoja za upande wa Mashtaka, aliamuru hati ya kumfikisha mshtakiwa mahakamani itolewe ili kesi itakapotajwa Juni 9, 2026, mshtakiwa aletwe kortini. Awali, ilidaiwa katika hati ya mashtaka kuwa Ra, ambaye ni mkazi wa Mikocheni, Dar es Salaam, Aprili 19, 2026, katika eneo la Hoteli ya Golden Tulip, Masaki, Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, alikutwa akimiliki nyara za serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6,476,534,750 ($2,481,433) mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bila kuwa na kibali wala leseni kutoka kwa Mkurugenzi wa Wanyamapori. Katika shtaka la pili, Ra anatuhumiwa kuwa tarehe hiyo na mahali hapo, alijihusisha na biashara haramu ya nyara za serikali kwa kuuza vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6,476,534,750 ($2,481,433) mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bila kuwa na kibali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/28/kesi-ya-kukutwa-na-nyara-za-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yatajwa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/28/kesi-ya-kukutwa-na-nyara-za-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yatajwa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mabadiliko ya tabianchi yaathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi nchini Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mei 2026 20:07:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/20200154/Picture2.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1672</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DODOMA, Tanzania &#8211; Mabadiliko ya tabianchi yametajwa kama changamoto kubwa iliyoathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi katika kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi Tanzania, Abdallah Ulega, wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/2027, mnamo Mei 20, katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika Makao [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/" data-wpel-link="internal">Mabadiliko ya tabianchi yaathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi nchini Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DODOMA, Tanzania &#8211; Mabadiliko ya tabianchi yametajwa kama changamoto kubwa iliyoathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi katika kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi Tanzania, Abdallah Ulega, wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/2027, mnamo Mei 20, katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika Makao Makuu ya Nchi, Dodoma. Amesema majanga yaliyosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, kama vile mafuriko, yalisababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara na madaraja katika maeneo mbalimbali nchini. Ili kukabiliana na hali kama hiyo, Waziri alisema wizara yake inaboresha miongozo ya usanifu na matumizi ya malighafi za ujenzi kwa kuzingatia uhimilivu wa miundombinu. Upandaji miti kando ya barabara kuu ni miongoni mwa hatua zinazochukuliwa na Serikali kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Picha kwa hisani ya Wizara ya Ujenzi Tanzania. “Vilevile, wizara imepanga kupanda miti 40,000 katika barabara kuu na barabara za mikoa, na kuanza maandalizi ya mpango wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi wa Sekta ya Ujenzi,” amesema waziri. Aidha, amesema wizara itaendelea kuchukua hatua za haraka kurejesha na kujenga upya miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko pamoja na athari nyingine za mabadiliko ya tabianchi. Gharama za uharibifu “Barabara na madaraja yaliyoathirika yatajengwa kwa viwango vinavyoweza kuhimili majanga hayo, ili kuepuka kuongeza mzigo kwa serikali kugharamia uharibifu unaojitokeza kila msimu wa mvua kubwa na kuhakikisha barabara zetu zinapitika majira yote ya mwaka hata wakati wa changamoto za hali ya hewa,” amesema Waziri. Kauli hiyo ya Waziri imekuja kipindi ambacho taifa bado linaugulia maumivu ya hasara kubwa zilizosababishwa na athari za mabadiliko ya tabianchi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mei 2026 12:50:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/20124420/Waziri-Shemdoe-1-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1650</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Ikolojia, Maji, Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Taka, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Serikali ya Tanzania imeandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Taka (2025-2030) ambao unalenga kupunguza uzalishaji wa taka kwa kutumia dhana ya uchumi wa mzunguko ili kutunza mazingira, kuimarisha afya ya jamii na kukuza maendeleo endelevu ya miji. Mkakati huo umekuja kipindi ambacho uzalishaji wa taka ngumu unazidi kuongezeka nchini huku usimamizi wake ukiwa wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/" data-wpel-link="internal">Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Serikali ya Tanzania imeandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Taka (2025-2030) ambao unalenga kupunguza uzalishaji wa taka kwa kutumia dhana ya uchumi wa mzunguko ili kutunza mazingira, kuimarisha afya ya jamii na kukuza maendeleo endelevu ya miji. Mkakati huo umekuja kipindi ambacho uzalishaji wa taka ngumu unazidi kuongezeka nchini huku usimamizi wake ukiwa wa kiwango cha chini. Kwa mujibu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Tanzania huzalisha kati ya tani milioni 14.4 hadi milioni 20.7 za taka ngumu kila mwaka. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe, jijini Dodoma katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira mijini. Mkutano huo uliwakutanisha viongozi waandamizi wa serikali, washirika wa maendeleo, na wataalamu wa mazingira kwa lengo la kutathmini maendeleo yaliyofikiwa na kuweka mikakati ya kuboresha mifumo ya usimamizi wa taka. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Profesa Riziki Shemdoe na wadau wa usimamizi wa taka wakifuatilia mijadala katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira katika Jiji la Dodoma. Picha: Maktaba ya Wizara. Taka na fursa za kiuchumi Waziri Riziki alisema kuwa usimamizi wa taka unapaswa kuingizwa katika mikakati mipana ya uwezeshaji wa kiuchumi kwa kuwa taka zinapaswa kuonekana kama rasilimali ya kiuchumi inayoweza kuzalisha ajira na kipato ikiwa zitasimamiwa ipasavyo. Aliziagiza mamlaka za serikali za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/#respond</comments>
					<pubDate>18 Mei 2026 20:49:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/18204618/moto1.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1647</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Misitu, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika juhudi za kubaini matukio ya moto mapema na kuudhibiti kabla ya kuenea na kusababisha madhara makubwa katika hifadhi za misitu, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania unafanya ufuatiliaji wa moto nchi nzima kwa kutumia teknolojia ya satelaiti. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Ashatu Kijaji wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/" data-wpel-link="internal">Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika juhudi za kubaini matukio ya moto mapema na kuudhibiti kabla ya kuenea na kusababisha madhara makubwa katika hifadhi za misitu, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania unafanya ufuatiliaji wa moto nchi nzima kwa kutumia teknolojia ya satelaiti. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Ashatu Kijaji wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/2027 mnamo Mei 15, katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika mji mkuu wa nchi, Dodoma. Kijaji alisema kupitia juhudi hizo, matukio ya moto yamepungua kwa wastani wa asilimia 11 kwa mwaka. Aidha, ukubwa wa maeneo yanayoathirika na moto kila mwaka unaendelea kupungua. Katika hotuba yake, Waziri alisema pia kuwa Wakala umesafisha njia za kuzuia moto zenye urefu wa kilomita 2,723, kusimamia minara 17 ya kuangalizia moto pamoja na vituo saba vya kufuatilia na kudhibiti moto katika maeneo ya hifadhi, huku ukidhibiti matukio 92 ya moto. Waziri huyo aliongeza kuwa Wakala umetoa mafunzo ya mbinu za kukabiliana na kudhibiti moto kwa vikosi 45 vyenye jumla ya watu 705. Vilevile, mafunzo yametolewa kwa wananchi 20,297 kutoka vijiji 245 vinavyopakana na hifadhi za misitu na mashamba ya miti yaliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. “Wakala utaendelea kuzuia na kupambana na matukio ya moto kwa kufanya kampeni 295 za kuzuia moto katika vijiji 337 pamoja na kuunda vikundi 49 vyenye jumla ya watu 588 kwa ajili ya kuzuia na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu,” Kijaji alisema katika hotuba yake. Aidha, kwa mujibu wa Kijaji, Wakala utafungua kilomita 114 za njia mpya za kuzuia moto na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/#respond</comments>
					<pubDate>17 Mei 2026 04:00:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Liz Kimbrough]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/15150736/Screenshot-2026-05-15-141515-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1632</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Ikolojia, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wanaharakati sita wa mazingira kutoka ulimwenguni kote walitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman tarehe 20 Aprili. Ikitambulika kama &#8220;Tuzo ya Nobel ya Kijani,&#8221; Tuzo ya Goldman huwaheshimu wanaharakati kutoka kanda sita za mabara yenye wakazi. Kwa mara ya kwanza katika historia, washindi wote sita ni wanawake. Washindi wa mwaka huu walipambana kulinda popo adimu nchini Nigeria [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/" data-wpel-link="internal">Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wanaharakati sita wa mazingira kutoka ulimwenguni kote walitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman tarehe 20 Aprili. Ikitambulika kama &#8220;Tuzo ya Nobel ya Kijani,&#8221; Tuzo ya Goldman huwaheshimu wanaharakati kutoka kanda sita za mabara yenye wakazi. Kwa mara ya kwanza katika historia, washindi wote sita ni wanawake. Washindi wa mwaka huu walipambana kulinda popo adimu nchini Nigeria kwa kutoa mafunzo kwa wanajamii kuhusu kuzuia moto katika maeneo ya nyika; walishinda kesi ya kihistoria mahakamani nchini Korea Kusini na kulazimisha serikali kuweka malengo madhubuti ya hali ya hewa; walisimamisha mradi wa kuchimba mafuta nchini Uingereza baada ya miaka kumi ya vita vya kisheria; waliishinikiza kampuni kubwa ya uchimbaji madini duniani kusafisha mgodi ulioachwa wenye sumu huko Papua New Guinea; walizuia mgodi mkubwa wa shimo wazi uliopendekezwa katika historia ya Marekani Kaskazini huko Alaska; na wakasaidia kusimamisha miradi ya uchimbaji mafuta kwa mbinu ya kupasua miamba nchini Colombia. &#8220;Wakati tunaendelea kupigana kulinda mazingira na kutekeleza sera za hali ya hewa za kuokoa maisha nchini Marekani na duniani kote, ni wazi kwamba viongozi wa kweli wako miongoni mwetu,&#8221; alisema John Goldman, makamu wa rais wa wakfu wa mazingira wa Goldman. &#8220;Nimefurahi sana kuheshimu kundi letu la kwanza kabisa la wanawake sita, kwani hili ni onyesho kubwa la nafasi ambayo wanawake wanaendelea kuchukua katika jamii ya mazingira ulimwenguni.&#8221; Washindi walitunukiwa katika hafla iliyofanyika San Francisco nchini Marekani tarehe 20 Aprili, iliyoandaliwa na mtangazaji wa Telemundo Vanessa Hauc, pamoja na burudani ya muziki kutoka kundi la Caminos Flamencos. Tukio hilo lilionyeshwa moja kwa moja kuanzia saa 5:30&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Uendelezaji wa viwanda vya kijani na haki ya tabianchi zaongoza mjadala katika Africa Forward Summit</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/13/uendelezaji-wa-viwanda-vya-kijani-na-haki-ya-tabianchi-zaongoza-mjadala-katika-mkutano-wa-africa-forward/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/13/uendelezaji-wa-viwanda-vya-kijani-na-haki-ya-tabianchi-zaongoza-mjadala-katika-mkutano-wa-africa-forward/#respond</comments>
					<pubDate>13 Mei 2026 21:59:31 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/13211054/XXX-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1601</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kaskazini, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, na  Afrika Mashariki]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mkutano wa Africa Forward Summit ulifungwa jijini Nairobi Mei 12 kwa tamko la pamoja la kisiasa lililosisitiza kuwa Afrika inapaswa kutambuliwa “siyo tu kama soko la baadaye, bali kama mshirika katika uzalishaji, ubunifu na uongozi wa uchumi wa dunia.” Mkutano huo uliandaliwa kwa ushirikiano wa Kenya na Ufaransa. Ulihudhuriwa na wakuu wa nchi takribani 30, wafanyabiashara wakubwa, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/13/uendelezaji-wa-viwanda-vya-kijani-na-haki-ya-tabianchi-zaongoza-mjadala-katika-mkutano-wa-africa-forward/" data-wpel-link="internal">Uendelezaji wa viwanda vya kijani na haki ya tabianchi zaongoza mjadala katika Africa Forward Summit</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mkutano wa Africa Forward Summit ulifungwa jijini Nairobi Mei 12 kwa tamko la pamoja la kisiasa lililosisitiza kuwa Afrika inapaswa kutambuliwa “siyo tu kama soko la baadaye, bali kama mshirika katika uzalishaji, ubunifu na uongozi wa uchumi wa dunia.” Mkutano huo uliandaliwa kwa ushirikiano wa Kenya na Ufaransa. Ulihudhuriwa na wakuu wa nchi takribani 30, wafanyabiashara wakubwa, watunga sera, taasisi za kimataifa, na wadau wa masuala ya tabianchi, mijadala iligusa mpito wa nishati ya kijani na umuhimu wa kuhakikisha makosa ya zamani ya uchimbaji na unyonyaji wa rasilimali hayarudiwi. Badala yake, mjadala ulisisitiza haki ya tabianchi, upatikanaji sawa wa fedha na teknolojia, pamoja na ulinzi wa mazingira. Awali, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, alipohutubia kikao cha ngazi ya juu katika mkutano huo, alisisitiza suala la haki ya tabianchi. Alieleza mchango mdogo wa Afrika katika ongezeko la joto duniani, na akibainisha kuwa licha ya hali hiyo, bara hilo bado linaendelea kuathirika zaidi na madhara ya mabadiliko ya tabianchi. Hali hiyo iliakisiwa katika tamko la mwisho la mkutano huo, ambalo liliahidi “kuendeleza mifumo ya haki na usawa katika ufadhili wa miradi ya tabianchi na maendeleo endelevu, wakati Afrika ikipewa sauti kubwa zaidi katika maamuzi ya kimataifa, utawala, uwekaji wa viwango na utungaji wa sheria.” Guterres pia alizungumzia uwezo mkubwa wa Afrika katika nishati jadidifu, akisema kuwa kuna pengo kubwa la uwekezaji katika sekta ya nishati safi duniani. “Afrika ina asilimia 60 ya maeneo bora zaidi duniani kwa uzalishaji wa nishati ya jua lakini inapokea asilimia 2 pekee ya uwekezaji wa kimataifa katika&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/13/uendelezaji-wa-viwanda-vya-kijani-na-haki-ya-tabianchi-zaongoza-mjadala-katika-mkutano-wa-africa-forward/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/13/uendelezaji-wa-viwanda-vya-kijani-na-haki-ya-tabianchi-zaongoza-mjadala-katika-mkutano-wa-africa-forward/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanafunzi wawili kutoka Kenya washinda tuzo ya Earth Prize kwa kubuni kichujio nafuu cha moshi wa magari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/#respond</comments>
					<pubDate>12 Mei 2026 04:00:21 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Malavika VyawahareMary Mwendwa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11220722/671089-DSC_0303-5f9eed-original-1777544684-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1589</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Ubunifu wa Kijani, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya: Wanafunzi wawili wenye umri wa miaka 17 kutoka kaunti ya Kiambu nchini Kenya, walitangazwa washindi wa Earth Prize kwa kanda ya Afrika mnamo Mei 12, kwa kubuni mfumo wa gharama nafuu wa kuchuja moshi wa magari unaotumia viguguta vya mahindi na maganda ya nazi wa magari walioubuni. Fredrick Njoroge Kariuki na Miron Onsarigo, wanafunzi wa taasisi ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/" data-wpel-link="internal">Wanafunzi wawili kutoka Kenya washinda tuzo ya Earth Prize kwa kubuni kichujio nafuu cha moshi wa magari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya: Wanafunzi wawili wenye umri wa miaka 17 kutoka kaunti ya Kiambu nchini Kenya, walitangazwa washindi wa Earth Prize kwa kanda ya Afrika mnamo Mei 12, kwa kubuni mfumo wa gharama nafuu wa kuchuja moshi wa magari unaotumia viguguta vya mahindi na maganda ya nazi wa magari walioubuni. Fredrick Njoroge Kariuki na Miron Onsarigo, wanafunzi wa taasisi ya Mpesa Foundation Academy, walitengeneza mfumo huo, HewaSafi, unaomaanisha “hewa ambayo ni safi” kwa Kiswahili, baada ya kuona marafiki na familia wakiugua maradhi yanayohusishwa na uchafuzi wa hewa. Shirika la Earth Foundation, lenye makao yake makuu nchini Uswizi, linatoa Tuzo ya Dunia, ambayo sasa iko katika mwaka wake wa tano, na inatambua vijana wenye umri wa miaka 13 hadi 19 wanaofanya kazi katika kutatua changamoto za mazingira. Timu ya HewaSafi sasa inawania tuzo ya kimataifa, ambayo upigaji kura kwa umma utafunguliwa tarehe 18 Mei, na kufungwa mnamo Mei 27. Mshindi wa toleo la kimataifa atatangazwa tarehe 29 Mei. &#8220;Tatizo la uchafuzi wa hewa lilikuwa la kibinafsi sana kwetu, na ndiyo maana tukaanza kufikiria kupata suluhu,&#8221; Kariuki aliiambia Mongabay. &#8220;Ilikuwa hamasa kubwa kabla ya kuwa mradi.&#8221; Kariuki, ambaye alikulia katika eneo lenye viwanda vingi katika Kaunti ya Nakuru nchini Kenya, alipata ugonjwa sugu wa mapafu akiwa na umri wa miaka 10 ambao bado unamhitaji kutumia dawa kila wiki. Onsarigo, ambaye alikulia magharibi mwa Kenya, alishuhudia vifo na magonjwa mabaya yanayohusiana na hewa chafu. Takwimu kutoka kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa uchafuzi wa hewa husababisha vifo vya mapema milioni 4.4 ulimwenguni kila mwaka. Moshi wa magari ni chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira katika maeneo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mimea vamizi yatishia mifumo ya ikolojia ya hifadhi maarufu za taifa nchini Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/mimea-vamizi-yatishia-mifumo-ya-ikolojia-ya-hifadhi-maarufu-za-taifa-nchini-tanzania/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/mimea-vamizi-yatishia-mifumo-ya-ikolojia-ya-hifadhi-maarufu-za-taifa-nchini-tanzania/#respond</comments>
					<pubDate>11 Mei 2026 18:55:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Christopher Kidanka]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11183630/Vibarua-na-watumishi-wa-Mamlaka-ya-Eneo-la-Hifadhi-Ngorongoro-wakiondoa-mimea-vamizi-hifadhini.-Picha-kwa-hisani-ya-NCAA-768x471.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1578</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Mimea, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Isaack James amesimama kimya katikati ya hifadhi ya wanyama huku akitazama nyasi ndefu zenye mchanganyiko wa rangi ya kijani kibichi na ya njano zilizonyauka kiasi. Kwa mtu wa kawaida kama Isaack, mandhari hii inavutia, lakini kwa wataalamu wa mazingira na watafiti, badala ya kuwafurahisha, mandhari hiyo inawaogopesha. Kwa nini? Hizo nyasi zilizokauka tayari zimeshambuliwa na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/mimea-vamizi-yatishia-mifumo-ya-ikolojia-ya-hifadhi-maarufu-za-taifa-nchini-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mimea vamizi yatishia mifumo ya ikolojia ya hifadhi maarufu za taifa nchini Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Isaack James amesimama kimya katikati ya hifadhi ya wanyama huku akitazama nyasi ndefu zenye mchanganyiko wa rangi ya kijani kibichi na ya njano zilizonyauka kiasi. Kwa mtu wa kawaida kama Isaack, mandhari hii inavutia, lakini kwa wataalamu wa mazingira na watafiti, badala ya kuwafurahisha, mandhari hiyo inawaogopesha. Kwa nini? Hizo nyasi zilizokauka tayari zimeshambuliwa na mimea vamizi ambayo ni hatari, si tu kwa ustawi wake bali hata kwa ikolojia ya eneo hilo. Mimea vamizi ni spishi za kigeni zinazoingia katika maeneo mapya na kuanza kukua kwa kasi na kuizidi mimea ya asili huku ikihatarisha uhai wa mimea ya asili. Kwa mujibu wa Kituo cha Taifa cha Taarifa za Spishi Vamizi, mimea ya aina hiyo huingizwa eneo jipya kupitia njia mbalimbali; ikiwa ni pamoja na mbegu zake kushika kwenye nguo za watu wanaotembelea sehemu yenye mimea hiyo, kusafirishwa kwenye magari bila wahusika kujua, au kuingizwa katika maeneo jirani kwa matumizi mengine kama maua au malisho ya mifugo na baadaye mbegu hizo kupeperushwa na upepo hadi eneo jingine. Watafiti kutoka Taasisi ya Tathmini ya Rasilimali (IRA) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika andiko lao “Status, Impact and Management of Invasive Alien Species in Tanzania,&#8221; wanasema mimea vamizi iligundulika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mwaka 1945 kwenye mashamba ya mkonge na baadaye kuenea kwenye karanga na migomba katika maeneo mbalimbali. Kwa mujibu wa andiko hilo, kutokana na ongezeko la wageni wanaotembelea maeneo yaliyoathirika, mimea vamizi iliendelea kusambaa katika maeneo mbalimbali na kuendelea kuathiri mimea asilia. Vibarua na watumishi wa Mamlaka&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/mimea-vamizi-yatishia-mifumo-ya-ikolojia-ya-hifadhi-maarufu-za-taifa-nchini-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/mimea-vamizi-yatishia-mifumo-ya-ikolojia-ya-hifadhi-maarufu-za-taifa-nchini-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/#respond</comments>
					<pubDate>11 Mei 2026 15:28:34 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11150848/Lethome-5-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1551</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Umeme, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu zaidi ya 82. Mongabay ilimtembelea Sheikh Ibrahim Lethome alipokuwa kwenye mfungo wa Ramadhani ili kupata maoni yake kuhusu juhudi zake katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira. Lethome amejitaja kuwa aliyetekeleza kile ambacho huenda kilionekana kama jukumu dogo katika juhudi za kupinga mradi wa umeme wa makaa ya mawe huko Lamu, Kenya. Juhudi hizo ziliongozwa na viongozi wa Save Lamu pamoja na wawakilishi wa jamii, mawakili wa masuala ya mazingira, wanaharakati na taasisi za serikali pamoja na mamlaka za udhibiti kama NEMA na mahakama za mazingira. Hatimaye, mradi huo ulisitishwa Desemba mwaka 2025. Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano yake na Lynet Otieno wa Mongabay, yaliyofanyika katika ofisi za Msikiti wa Jamiah jijini Nairobi. Mongabay: Tafadhali tueleze kwa ufupi wewe ni nani, kama msomi, kiongozi wa kidini na mwanaharakati wa mazingira. Lethome: Mimi kitaaluma ni mwanasheria na msomi wa elimu ya Kiislamu. Ninafanya kazi katika fani zote mbili. Nimekuwa mwanachama wa Msikiti wa Jamiah kwa miaka 32 sasa. Ninaongoza Idara ya Dini. Pia ni mwanachama wa bodi ya kimataifa ya GreenFaith, na mwenyekiti wa bodi ya GreenFaith-Afrika, taasisi inayotumia mafundisho ya dini kuhamasisha uhifadhi wa mazingira. Mwelekeo wangu ni kuangalia jinsi mafundisho ya dini yanavyoweza kutumika kushughulikia changamoto nyingi ambazo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Facebook imegeuka kuwa kitovu cha biashara haramu ya wanyamapori kutokana na muundo wake, ripoti yasema</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/10/facebook-ni-kitovu-cha-biashara-haramu-ya-wanyamapori-kutokana-na-muundo-wake-ripoti-inasema/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/10/facebook-ni-kitovu-cha-biashara-haramu-ya-wanyamapori-kutokana-na-muundo-wake-ripoti-inasema/#respond</comments>
					<pubDate>10 Mei 2026 21:34:16 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Spoorthy Raman]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/08205611/Screenshot-2026-05-08-235542-768x500.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1539</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kaskazini, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, Afrika ya Kati, na  Kusini mwa Afrika]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyamapori, Biashara ya Wanyamapori ya China, Bioanuai, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mamalia, Matumizi ya Wanyamapori, Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uhalifu kwa Wanyamapori, Usafirishaji wa Wanyamapori, Utafiti, Utawala, Wanyama, Wanyama maarufu, Wanyama wanaokula nyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa kubonyeza tu kitufe au kutelezesha vidole kwenye simu, unaweza kununua karibu chochote mtandaoni, ikiwemo wanyama adimu au walio hatarini. Kuanzia nyara za kipekee za papa hadi ndege hai wa kigeni, pembe za faru au pembe za ndovu, wanunuzi wanaweza kwenda kwenye majukwaa ya biashara ya mtandaoni na kuzipata zote. Wasafirishaji hujificha nyuma ya skrini [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/10/facebook-ni-kitovu-cha-biashara-haramu-ya-wanyamapori-kutokana-na-muundo-wake-ripoti-inasema/" data-wpel-link="internal">Facebook imegeuka kuwa kitovu cha biashara haramu ya wanyamapori kutokana na muundo wake, ripoti yasema</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa kubonyeza tu kitufe au kutelezesha vidole kwenye simu, unaweza kununua karibu chochote mtandaoni, ikiwemo wanyama adimu au walio hatarini. Kuanzia nyara za kipekee za papa hadi ndege hai wa kigeni, pembe za faru au pembe za ndovu, wanunuzi wanaweza kwenda kwenye majukwaa ya biashara ya mtandaoni na kuzipata zote. Wasafirishaji hujificha nyuma ya skrini zao huku wakinufaika kutokana na mauzo ya mtandaoni ya spishi za wanyama wanaolindwa huku wanyama hawa wakipungua porini. &#8220;Ni soko kubwa zaidi la wanyamapori,&#8221; alisema mtafiti wa biashara ya wanyamapori Chris Shepherd kutoka Kituo cha Biolojia Anuwai. &#8220;Ni rahisi, unaweza kufanya kazi bila kujulikana ukiwa nyumbani kwako. Hakuna gharama za kuanzisha duka.&#8221; Biashara ya mtandaoni katika bidhaa haramu za wanyamapori inaendelea kukua, ikihusisha spishi zaidi na jiografia pana. Ni tasnia haramu inayoendeshwa na mitandao ya uhalifu iliyopangwa vizuri, na ni vigumu kushtaki. Kukamata wahalifu mtandaoni ni changamoto sana. &#8220;Masoko ya wanyamapori yamehamia kutoka maeneo halisi hadi maeneo ya mitandaoni, na hiyo inaakisi mwelekeo mpana zaidi wa uchumi wa dunia,&#8221; alisema Simone Haysom, mkurugenzi wa programu za uhalifu wa kimazingira katika shirika lenye makao yake makuu Uswizi la Global Initiative Against Transnational Organised Crime. Katika ripoti ya hivi karibuni, Haysom na mwenzake Russell Gray walichanganua data ya biashara ya wanyamapori mtandaoni kuanzia mwezi wa Aprili 2024 hadi mwezi Machi 2026. Waliangazia mataifa 10 katika mabara matatu, mahali ambapo uhalifu wa kimazingira na matumizi ya intaneti ni mkubwa, na kuyafanya kuwa mazingira yanayochochea biashara ya wanyamapori mtandaoni. Walipata bidhaa 266,535 za wanyamapori zilizochapishwa kwenye masoko 61 ya mitandaoni, yenye thamani&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/10/facebook-ni-kitovu-cha-biashara-haramu-ya-wanyamapori-kutokana-na-muundo-wake-ripoti-inasema/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/10/facebook-ni-kitovu-cha-biashara-haramu-ya-wanyamapori-kutokana-na-muundo-wake-ripoti-inasema/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/#respond</comments>
					<pubDate>08 Mei 2026 20:33:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/10203241/A-participant-asks-questions-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1530</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kaskazini, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, Afrika ya Ikweta, Afrika ya Kati, Kenya, na  Kusini mwa Afrika]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Chakula, Fedha za Uhifadhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Jinsia na Uhifadhi, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Teknolojia na Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Baada ya mkutano wa siku mbili wa kujadili huduma za mifumo ya ikolojia ya nyanda za malisho na jamii za wafugaji wa kuhamahama, Mkutano wa nane wa jukwaa la Global Landscapes Forum umehitimishwa jijini Nairobi kwa tamko lililosisitiza umuhimu wa jamii ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikionekana kama kikwazo kwa maendeleo. Katika mkutano huo uliofanyika katika [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/" data-wpel-link="internal">GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Baada ya mkutano wa siku mbili wa kujadili huduma za mifumo ya ikolojia ya nyanda za malisho na jamii za wafugaji wa kuhamahama, Mkutano wa nane wa jukwaa la Global Landscapes Forum umehitimishwa jijini Nairobi kwa tamko lililosisitiza umuhimu wa jamii ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikionekana kama kikwazo kwa maendeleo. Katika mkutano huo uliofanyika katika kituo cha CIFOR-ICRAF na kuhudhuriwa na maafisa wa serikali, wanasayansi pamoja na wawakilishi wa jamii za asili kutoka nchi 135, mjadala ulijikita katika mifumo ya ikolojia inayosaidia bioanuwai, usalama wa chakula, maisha ya watu, utamaduni, uhifadhi wa kaboni na huduma nyingine za kiikolojia bila kuvuruga maisha endelevu na tamaduni za jamii za wafugaji, badala ya kuweka msisitizo kwenye uwekezaji unaoshinikizwa na serikali kwa lengo la kupata faida. “Tunapaswa kujiuliza: Maendeleo haya yanafanywa kwa ajili ya nani? Je, jamii zinahusishwa katika maamuzi kuhusu uwekezaji unaofanywa kwenye ardhi yao? Na ni kwa manufaa ya nani miradi hii ya kibiashara inayowasilishwa kana kwamba ni juhudi za kutoa ajira na fursa nyingine kwa wakazi? Sauti zao zina umuhimu,” alisema Tahira Mohamed Shariff kutoka Jameel Observatory for Food Security Early Action siku ya kwanza ya mkutano huo. Baadhi ya waliohudhuria kongamano Nairobi, Kenya. Picha na GLF. Monicah Yator, Wakili na Mwanzilishi wa Indigenous Women and Girls Initiative, alisema kuwa ufugaji wa kuhamahama si shughuli ya mifugo pekee. “Ni mfumo wa maisha, chakula na utamaduni. Kuna sera zinazowalinda wafugaji. Sasa wafugaji wanafahamu kwamba ardhi yao inaweza kubadilishiwa matumizi,” alisema, akiongeza kuwa maarifa ya asili bado ni muhimu na yenye mchango mkubwa katika&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/#respond</comments>
					<pubDate>06 Mei 2026 13:26:49 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dalle Abraham]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/06170355/Screenshot-2026-05-06-200329-768x497.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1525</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo Kenya, imeamuru kwamba kesi ya hatua ya ngazi ya juu dhidi ya kampuni kubwa ya mafuta ya Uingereza ya BP inaweza kuendelea kusikizwa kikamilifu. Katika kesi hiyo, inadaiwa kuwa taka za sumu zilizoachwa kutokana na uchimbaji wa mafuta katika miaka ya 1980 zilichafua maji ya ardhini kaskazini mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/" data-wpel-link="internal">Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo Kenya, imeamuru kwamba kesi ya hatua ya ngazi ya juu dhidi ya kampuni kubwa ya mafuta ya Uingereza ya BP inaweza kuendelea kusikizwa kikamilifu. Katika kesi hiyo, inadaiwa kuwa taka za sumu zilizoachwa kutokana na uchimbaji wa mafuta katika miaka ya 1980 zilichafua maji ya ardhini kaskazini mwa Kenya, na kuua zaidi ya watu 500 na maelfu ya mifugo. Kesi hiyo, iliyofunguliwa Februari na walalamikaji 299 katika Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo, ilifikishwa mahakamani na wakazi wa Kargi na Kalacha, makazi mawili yaliyoko katika kaunti ya Marsabit. Inadaiwa katika kesi hiyo kuwa shughuli za uchimbaji wa mafuta zilizofanywa kati ya mwaka 1985 na mwaka 1993 kaskazini na kaskazini-magharibi mwa Kenya na Shirika la Amoco, ambalo lilinunuliwa na BP mwaka wa 1998, vichafuzi hatari na sumu vilimwagwa kwenye mazingira, na kuchafua maji ya ardhini ambayo jamii hutegemea kwa kunywa na kwa mifugo yao. Hati za korti zinadai kuwa taka za kuchimba visima zilizo na isotopu za radiamu, aseniki, madini ya risasi na nitrati, zilitupwa kwenye mashimo yaliyoachwa wazi au ambayo hayakuwekwa katika hali inayotakiwa kiusalama. Katika kesi hiyo, washitakiwa ni pamoja na kampuni ya British Petroleum PLC ambayo ni mshitakiwa wa kwanza, huku wengine 11 wakiwa ni Shirika la Kitaifa la Mafuta la Kenya; mawaziri wa mazingira, maji, afya na madini; Mamlaka ya Rasilimali za Maji; serikali ya kaunti ya Marsabit; mwanasheria mkuu; Mamlaka ya Kitaifa ya Usimamizi wa Mazingira; Mamlaka ya Udhibiti wa nishati ya Nyuklia ya Kenya pamoja na Taasisi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>