<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=ikolojia&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/ikolojia/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Tue, 01 Sep 2026 14:42:19 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Wakati Tanzania Ikiandaa COP12, Wadau Washauri Vipaumbele vya Bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>30 Agosti 2026 06:15:40 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Christopher Kidanka]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/28161458/4-nyasi--768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2639</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Mikoko, Serikali, Taka, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, na  Uvuvi Haramu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Zikiwa zimesalia siku 39 kabla ya kufanyika kwa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 6–9 Oktoba, na Tanzania kuwa mwenyeji wake, wadau mbalimbali wameeleza matarajio yao kuhusu tukio hilo na fursa ambazo Tanzania inaweza kuzipata kutokana na nafasi yake hiyo. Wakizungumza na Mongabay kwa nyakati tofauti, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/" data-wpel-link="internal">Wakati Tanzania Ikiandaa COP12, Wadau Washauri Vipaumbele vya Bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Zikiwa zimesalia siku 39 kabla ya kufanyika kwa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 6–9 Oktoba, na Tanzania kuwa mwenyeji wake, wadau mbalimbali wameeleza matarajio yao kuhusu tukio hilo na fursa ambazo Tanzania inaweza kuzipata kutokana na nafasi yake hiyo. Wakizungumza na Mongabay kwa nyakati tofauti, wanaharakati wa uhifadhi wa baionuai za bahari wameshauri masuala muhimu ambayo ujumbe wa Tanzania unapaswa kuyasimamia ili kutatua changamoto mbalimbali za uhifadhi nchini. Nyasi bahari ni moja ya spishi zinazoathiriwa na uchafuzi wa bahari. Picha kwa Hisani ya SOA Tanzania. Laura Rosset, Mwanzilishi na Mshauri wa Kisayansi wa asasi ya utunzaji wa mazingira ya bahari, Under the Wave anashauri Tanzania itumie mkutano huo kukutafuta ushirikiano na fursa zaidi za kuimarisha ulinzi na urejeshaji wa mifumo ya ikolojia ya baharini, hususan miamba ya matumbawe, misitu ya mikoko, nyasi bahari, pamoja na viumbe wa baharini walio katika hatari ya kutoweka. Laura anasema kuwa Tanzania itakuwa na fursa kubwa kama mwenyej wa mkutano huo kusukuma ajenda zitakazoweza kuchangia kuleta suluhisho kwa changamoto mbalimbali za uhifadhi wa bahari zinazoikabili nchi kwa sasa “Tanzania inapaswa kusisitiza umuhimu wa uhifadhi unaoshirikisha jamii, utalii endelevu, elimu ya mazingira, pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya jamii za wenyeji, mashirika yasiyo ya kiserikali, serikali, wanasayansi, na sekta ya utalii,” Laura ameiambia Mongabay katika mahojiano. Taka za plastiki ni tishio Kwa Laura, moja ya maeneo ambayo Tanzania inapaswa kuyapa kipaumbele ni usimamizi wa taka na kupunguza uchafuzi wa bahari. Anasema taka, hasa plastiki, zinaendelea kutishia&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Namna wawezeshaji wanavyobadili sura ya urejeshaji wa mikoko</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/#respond</comments>
					<pubDate>28 Agosti 2026 16:31:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Marina Martinez]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/28160336/Screenshot-2026-08-28-190238-768x436.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2636</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Fedha ya mfumo wa ikolojia, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Malipo kwa Huduma za Mfumo wa Ikolojia, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mikoko, na  Mikopo ya Kaboni]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Misitu ya mikoko, inayopatikana kando ya pwani za kitropiki, inazidi kutambuliwa kwa jukumu lake katika kuzuia majanga ya hali ya hewa, kuhifadhi kaboni, kusaidia wanyamapori na maisha ya jamii za pwani. Hata hivyo, hata kama nia ya uhifadhi na urejeshaji wa mikoko imeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, miradi mingi hushindwa, miche hufa, maeneo huharibika [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/" data-wpel-link="internal">Namna wawezeshaji wanavyobadili sura ya urejeshaji wa mikoko</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Misitu ya mikoko, inayopatikana kando ya pwani za kitropiki, inazidi kutambuliwa kwa jukumu lake katika kuzuia majanga ya hali ya hewa, kuhifadhi kaboni, kusaidia wanyamapori na maisha ya jamii za pwani. Hata hivyo, hata kama nia ya uhifadhi na urejeshaji wa mikoko imeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, miradi mingi hushindwa, miche hufa, maeneo huharibika zaidi au jamii hujitenga. Sababu moja, kulingana na Catherine Lovelock, profesa katika Shule ya Mazingira katika Chuo Kikuu cha Queensland nchini Australia na mtaalamu wa ikolojia ya mikoko, ni kwamba juhudi za urejeshaji mara nyingi huongozwa na vikundi vidogo vya jamii vyenye rasilimali na utaalamu finyu. Kwa kweli, tafiti zimeonyesha kuwa karibu 70% ya miradi ya urejeshaji mikoko katika baadhi ya maeneo, hasa Asia ya Kusini-mashariki na Amerika Kusini, huwa na viwango vya chini vya mafanikio. Ili kuziba pengo hili, mashirika mengi yasiyo ya faida yanatumia uzoefu wao wa kutafuta fedha na uhamasishaji wa rasilimali ili kusaidia jamii za wenyeji kufanya urejeshaji kwa ufanisi zaidi. Seatrees, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu huko California (zamani lilijulikana kama Sustainable Surf), ni mojawapo ya mashirika hayo. Badala ya kuendesha miradi yenyewe, shirika hilo linashirikiana na vikundi vya jamii na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali, likitoa ufadhili, utaalamu wa kisayansi na usaidizi wa vyombo vya habari ili kuongeza jitihada za urejeshaji wa pwani na baharini duniani kote, ikiwa ni pamoja na mikoko. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, shirika la Seatrees limeunga mkono miradi ya urejeshaji wa mikoko nchini Kenya, Mexico, Marekani na Indonesia &#8220;kwa kutoa fedha zinazohitajika sana ili kuongeza upandaji&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wataalam wa mazingira wazungumzia athari za moto ulioteketeza maduka Burundi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/#respond</comments>
					<pubDate>26 Agosti 2026 08:06:55 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Thérence Hategekimana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/26065117/1-Duka-la-Ndayizamba-linateketea-kwa-moto.-Pica-na-Therence-Hategekimana-720x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2602</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Maji, Moto, Uchafuzi wa Hewa, na  Uchafuzi wa Maji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Moto mkubwa umezuka katika majengo ya maduka ya ETS Ndayizamba na Le Parisien, yaliyoko katikati ya mji wa kiuchumi, Bujumbura, Burundi. Kwa wafanyabiashara, moto huo umesababisha hasara kubwa kiuchumi lakini kwa wana mazingira, moto huo unaweza kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hewa. Hilaire Habarugira, mtaalamu wa mazingira nchini Burundi aliiambia Mongabay kuwa moshi wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/" data-wpel-link="internal">Wataalam wa mazingira wazungumzia athari za moto ulioteketeza maduka Burundi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Moto mkubwa umezuka katika majengo ya maduka ya ETS Ndayizamba na Le Parisien, yaliyoko katikati ya mji wa kiuchumi, Bujumbura, Burundi. Kwa wafanyabiashara, moto huo umesababisha hasara kubwa kiuchumi lakini kwa wana mazingira, moto huo unaweza kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hewa. Hilaire Habarugira, mtaalamu wa mazingira nchini Burundi aliiambia Mongabay kuwa moshi wa bidhaa zilizoharibiwa na moto vikiwemo vifaa vya plastiki, nguo, viatu, vifaa vya kufungashia, betri, mafuta, kemikali pamoja na vifaa vya kielektroniki, unaweza kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hewa. &#8220;Mabaki ya moto yanaweza kuendelea kuchafua mazingira hata baada ya moto kuzimwa,&#8221; alisema Habarugira. Pierre Nduwayo ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya mazingira, aliiambia Mongabay kuwa mabaki ya moto huo pia yanaweza kusababisha uchafuzi wa maji. &#8220;Wakati wa mvua, majivu na kemikali zenye sumu vinaweza kusombwa na maji kuingia kwenye mifereji, mito na maziwa, na hivyo kuchafua vyanzo vya maji,&#8221; alisema. Kwa kuwa baadhi ya mifereji ya maji ya Bujumbura humwaga maji yake katika Ziwa Tanganyika, mfumo wa ikolojia wa ziwa hilo unaweza kuwa hatarini iwapo hatua madhubuti hazitachukuliwa. Moto huo ambao chanzo chake hakijafahamika ulianza majira ya saa kumi na mbili asubuhi katika mojawapo ya ghorofa za majengo hayo. Walinzi wa majengo hayo walidai kuwa licha huduma za zimamoto Licha ya idara ya Zimamoto kufika haraka eneo la tukio ili kujaribu kuudhibiti, moto uliendelea kuteketeza maduka hayo kwa saa kadhaa, na kuharibu kabisa maduka yote mawili. Makamu wa Rais wa Jamhuri, Prosper Bazombanza, akiwa pamoja na Gavana wa Mkoa wa Bujumbura, walitembelea eneo la tukio.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/#respond</comments>
					<pubDate>18 Agosti 2026 11:37:22 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/18111439/Screenshot-2026-08-18-141220-768x439.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2525</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika na .Zambia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Makampuni Yanayokiuka Sheria za Mazingira, Mashirika Yanayokiuka Kanuni za Mazingira, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira ya Baharini, Mifumo ya Ikolojia, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Mimea, Sayansi ya Uhifadhi wa Mazingira ya Kitropiki, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Taka, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Ufujaji wa Mafuta, na  Uhalifu wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwaka mmoja na nusu baada ya kubomoka kwa bwawa la kuhifadhia mabaki ya madini katika Mkoa wa Copperbelt nchini Zambia, wakazi bado wanakabili athari za kimazingira na kibinadamu za kumwagika kwa taka zenye sumu, wanachama wa asasi za kiraia wameiambia Mongabay. Bwawa hilo, ambalo hutumika kuhifadhi taka za madini na linamilikiwa na kampuni ya China [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/" data-wpel-link="internal">Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwaka mmoja na nusu baada ya kubomoka kwa bwawa la kuhifadhia mabaki ya madini katika Mkoa wa Copperbelt nchini Zambia, wakazi bado wanakabili athari za kimazingira na kibinadamu za kumwagika kwa taka zenye sumu, wanachama wa asasi za kiraia wameiambia Mongabay. Bwawa hilo, ambalo hutumika kuhifadhi taka za madini na linamilikiwa na kampuni ya China ya uchimbaji shaba, Sino-Metals Leach Zambia, lilipasuka tarehe 18 Februari 2025, katika mji wa Chambishi kaskazini-kati mwa Zambia. Lilitoa mamilioni ya lita za taka za madini zenye asidi kwenye mifumo ya maji iliyounganishwa na Mto Kafue. Ukiwa na urefu wa kilomita 1,576 (maili 979), Kafue ndiyo mto mrefu zaidi ulio ndani kabisa ya Zambia na ni tegemeo muhimu la maisha ya mamilioni ya watu nchini humo. Utafiti uliofanywa na watafiti wa Chuo Kikuu cha Copperbelt nchini Zambia na kuchapishwa katika Jarida la Journal of Hazardous Materials Advances mnamo Mei 2026 ni tathmini ya kwanza huru ya kisayansi ya athari za ikolojia za tukio hilo. Watafiti waligundua kuharibika kwa ubora wa maji, viwango vya juu vya metali nzito katika maji, samaki, mashapo na malisho, na ushahidi kwamba vitu vyenye sumu vilikuwa vimeingia kwenye mnyororo wa chakula. Mfumo mpana wa Mto Kafue ni chanzo cha maji kwa takriban nusu ya wakazi wa Zambia. Mto huo hutiririka hadi kwenye Mto Zambezi na kuhifadhi mifumo ya ikolojia ya ardhioevu yenye viumbe hai wengi, ikiwemo Kinamasi cha Lukanga na tambarare za Kafue Flats. Kwa sababu ya utafiti huo, wanasayansi walikusanya sampuli za maji kutoka maeneo matano katika eneo lililoathiriwa na sampuli moja katika eneo lisiloathiriwa lililotumiwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tengefu za baharini zinafunika chini ya asilimia 10 ya maeneo ya papa na papa-kolee, utafiti umebaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/#respond</comments>
					<pubDate>17 Agosti 2026 18:17:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Madeline Shaw]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/17180117/Screenshot-2026-08-17-205839-768x495.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2501</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai wa Baharini, Ikolojia, Mamalia wa Baharini, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Papa, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, na  Spishi Zilizo Hatarini Sana]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwaka 2022, nchi 196 ziliafiki lengo kuu la uhifadhi linaloitwa &#8220;30×30&#8221;: kutenga asilimia 30 ya maeneo ya pwani na bahari ya sayari hii kwa ajili ya uhifadhi ifikapo mwaka 2030, chini ya Mfumo wa Kimataifa wa Bioanuwai wa Kunming-Montreal. Sasa, huku mwaka 2030 ukiwa umebakisha takriban miaka minne, asilimia kumi tu ya bahari ndiyo imefunikwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/" data-wpel-link="internal">Tengefu za baharini zinafunika chini ya asilimia 10 ya maeneo ya papa na papa-kolee, utafiti umebaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwaka 2022, nchi 196 ziliafiki lengo kuu la uhifadhi linaloitwa &#8220;30×30&#8221;: kutenga asilimia 30 ya maeneo ya pwani na bahari ya sayari hii kwa ajili ya uhifadhi ifikapo mwaka 2030, chini ya Mfumo wa Kimataifa wa Bioanuwai wa Kunming-Montreal. Sasa, huku mwaka 2030 ukiwa umebakisha takriban miaka minne, asilimia kumi tu ya bahari ndiyo imefunikwa na maeneo yaliyolindwa — hali inayoacha nchi nyingi mbali sana na lengo hilo la bioanuwai. Na hata ndani ya tengefu zilizopo, utafiti mpya unafichua mapungufu makubwa katika ulinzi wa moja ya makundi yaliyo hatarini zaidi baharini: papa na papa-kolee. Utafiti uliochapishwa katika jarida la Conservation Letters mwezi Julai unabainisha kwamba kwa spishi nyingi za papa na papa-kolee, chini ya asilimia kumi ya maeneo yao ya makazi yanaangukia ndani ya tengefu za baharini, huku spishi zilizo hatarini na karibu kutoweka zikiathirika zaidi. Uchambuzi huo pia unafichua mapungufu makubwa katika uripoti wa kiwango cha vizuizi vya uvuvi na uvunaji ndani ya tengefu hizo — kinachojulikana kama take&#8211;status — jambo muhimu katika kutathmini ufanisi wa ulinzi kwa wanyama hawa. “Kuongeza tu ukubwa wa bahari iliyolindwa hakumaanishi kwamba tunazilinda kwa kweli spishi hizo zilizo hatarini,&#8221; Amanda Arnold, mtafiti wa bayoanuwai ya baharini katika Chuo Kikuu cha Simon Fraser nchini Kanada na mwandishi mkuu wa utafiti huo, alimwambia Mongabay. &#8220;Haifuniki upana wote wa bioanuwai.&#8221; Papa-mchanga (Carcharias taurus), spishi iliyo Karibu Kutoweka kulingana na IUCN. Picha na mattdowse kupitia iNaturalist (CC BY-NC 4.0). Ili tengefu za baharini zitoe manufaa ya uhifadhi yanayopimika, zinapaswa kufunika angalau asilimia kumi ya makazi ya spishi fulani — na ufunikaji wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Nchi sita za Afrika sasa zinaunga mkono kusitishwa kwa uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>14 Agosti 2026 00:00:08 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/13193448/Screenshot-2026-08-13-223025-768x442.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2467</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, Afrika ya Ikweta, Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Madagaska, Malawi, Mauritius, na  Msumbiji]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Bahari, Bahari ya Kina, Baharini, Bioanuai wa Baharini, Ikolojia, Mafuriko, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Uchimbaji Kina wa Madini ya Baharini, Uchimbaji Madini, na  Uchimbaji Madini Haramu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Nchi tatu zaidi za Afrika zimejiunga na wito wa kusitisha kwa tahadhari uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari, hadi athari za kimazingira, kijamii na kiuchumi za shughuli hiyo zifahamike vizuri zaidi. Hatua hii inafikisha idadi ya nchi za Afrika zinazounga mkono zuio hilo kuwa sita. Mauritius, Msumbiji na Jamhuri ya Kongo zilitangaza kuunga mkono kusitishwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/" data-wpel-link="internal">Nchi sita za Afrika sasa zinaunga mkono kusitishwa kwa uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Nchi tatu zaidi za Afrika zimejiunga na wito wa kusitisha kwa tahadhari uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari, hadi athari za kimazingira, kijamii na kiuchumi za shughuli hiyo zifahamike vizuri zaidi. Hatua hii inafikisha idadi ya nchi za Afrika zinazounga mkono zuio hilo kuwa sita. Mauritius, Msumbiji na Jamhuri ya Kongo zilitangaza kuunga mkono kusitishwa kwa shughuli hiyo kama hatua ya tahadhari wakati wa mkutano wa mwaka wa Mamlaka ya Kimataifa ya Sakafu ya Bahari (ISA) uliofanyika Kingston, Jamaica, mwezi Julai. Zilijiunga na Malawi, Kenya na Madagaska, ambazo zilikuwa zimetangaza msimamo huo mapema. Serikali ya Mauritius ilisema wazi katika taarifa yake wakati wa mkutano huo kwamba “maendeleo endelevu ya Mauritius yanategemea kwa kiasi kikubwa bahari yenye afya na ustahimilivu”. Maafisa wake walisisitiza kwamba maamuzi kuhusu uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari lazima yafanywe kwa kuzingatia “ushahidi bora zaidi wa kisayansi unaopo na mbinu ya tahadhari, kama inavyoainishwa katika Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Sheria ya Bahari.” Malawi ilikuwa nchi ya kwanza ya Afrika kuunga mkono kusitishwa kwa shughuli hiyo kama hatua ya tahadhari, mnamo Mei 2026. Kenya na Madagaska zilifuata msimamo huo mwezi Juni. “Msingi wa nchi hizi zote, huku zikizingatia mazingira yao ya kipekee, ni ukosefu wa ushahidi wa kutosha wa kisayansi na mapungufu ya utawala yanayoendelea,” David Willima kutoka Deep Sea Conservation Coalition (DSCC) — muungano wa mashirika zaidi ya 140 ya kiraia na asasi mbalimbali — aliiambia Mongabay kupitia barua pepe. Nchi hizo sita za Afrika ziko miongoni mwa nchi 46 duniani zinazounga mkono zuio au kusitishwa kwa shughuli hiyo kama hatua&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka baharini hadi sokoni: Wanawake wanaoendesha biashara ya dagaa Vanga</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/12/kutoka-baharini-hadi-sokoni-wanawake-wanaoendesha-biashara-ya-dagaa-vanga/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/12/kutoka-baharini-hadi-sokoni-wanawake-wanaoendesha-biashara-ya-dagaa-vanga/#respond</comments>
					<pubDate>12 Agosti 2026 22:37:07 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Asha Bekidusa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/12222728/Boti-zikiwa-katika-ufuo-wa-Vanga-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2439</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai wa Baharini, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, na  Spishi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KWALE, Kenya &#8211; Wawakilishi kutoka sehemu mbalimbali za dunia walipokongamana mjini Mombasa wakati wa Our Ocean Conference, suala la nafasi ya wanawake kama uti wa mgongo wa sekta ya bahari na uvuvi lilijitokeza pakubwa. Hii ilibainika huku utafiti kutoka WorldFish ukionyesha kuwa barani Afrika, asilimia 90 ya wanawake katika sekta ya uvuvi na ufugaji samaki wameajiriwa katika shughuli za [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/12/kutoka-baharini-hadi-sokoni-wanawake-wanaoendesha-biashara-ya-dagaa-vanga/" data-wpel-link="internal">Kutoka baharini hadi sokoni: Wanawake wanaoendesha biashara ya dagaa Vanga</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KWALE, Kenya &#8211; Wawakilishi kutoka sehemu mbalimbali za dunia walipokongamana mjini Mombasa wakati wa Our Ocean Conference, suala la nafasi ya wanawake kama uti wa mgongo wa sekta ya bahari na uvuvi lilijitokeza pakubwa. Hii ilibainika huku utafiti kutoka WorldFish ukionyesha kuwa barani Afrika, asilimia 90 ya wanawake katika sekta ya uvuvi na ufugaji samaki wameajiriwa katika shughuli za uvunaji na uhifadhi wa samaki baada ya kuvuliwa. Mmoja wa wasaidizi wa Sauda Hassan akidondoa dagaa katika kijiji cha Jimbo, Kwale. Pamoja naye ni mfanyabiashara aliyekuja kuchukua mzigo wake. Picha na Asha Bekidusa, Mongabay. Kwa baadhi ya wanawake katika kijiji cha Vanga, hili ni jambo la kawaida. Wengi wao wanajihusisha na biashara ya dagaa, ambapo kila asubuhi hukusanyika katika ufuo wa Vanga wakisubiri boti kutoka baharini. Wanawake hao huchukua dagaa hao kuwachemsha, kuwakausha na kuwauza katika sehemu mbalimbali nchini Kenya na nje ya nchi. Miongoni mwa dagaa hao ni katashingo (Sardinella neglecta), kimalawari (Stolephorus indicus) na simsimu (ecapterus macrosoma). Kama wanawake wengine Vanga, Mwanakombo Shee alianza biashara yake takriban miaka nane iliyopita. Mtaji wake ulikuwa KSh10,000 ($77.36) ambao alipata kupitia chama cha kuweka na kukopa alichokuwa mwanachama pamoja na wenzake. “Nilianza biashara hii nilipoona wenzangu kule Jimbo wakifanya biashara,” anasema Mwanakombo. Sauda Hassan, mfanyabiashara wa dagaa kwa mwaka 10 sasa, na ambaye ni mwenyeji wa Jimbo, hakumbuki kiasi halisi cha mtaji wake. Hata hivyo, ni kupitia chama na akiba yake kidogo kidogo ambapo aliweza kuanzisha biashara yake. Biashara hii imemuwezesha kulipa karo ya shule na madrasa kwa watoto wake. “Sikumbuki ni pesa ngapi lakini tulifanya mradi wa mikoko nikapata pesa, nikaongeza na zangu nyengine kidogo kidogo,” anakumbuka&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/12/kutoka-baharini-hadi-sokoni-wanawake-wanaoendesha-biashara-ya-dagaa-vanga/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/12/kutoka-baharini-hadi-sokoni-wanawake-wanaoendesha-biashara-ya-dagaa-vanga/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Nguva wanakaribia kutoweka Kenya, jamii za pwani zapambana kuwarejesha kwa kupanda nyasi bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>11 Agosti 2026 20:01:52 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/11191616/Main-Mnyama-Nguva-akiwa-baharini-Picha-na-Mtandao-wa-Jamii-Forums-Tanzania.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2426</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Hifadhi, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Jinsia na Uhifadhi, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mamalia, Mamalia wa Baharini, Mamalia Wakubwa, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Tabia za Wanyama, Teknolojia na Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji wa Ikolojia, Ustawi wa Wanyama, Uzuri wa Kiikolojia, Wanawake katika Uhifadhi, Wanyama, na  Wanyama wa Baharini]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KWALE, Kenya – Zaidi ya miaka 20 imepita tangu Amiri Juma, mvuvi kutoka Kibuyuni, Kaunti ya Kwale, alipomwona nguva (Dugong dugon) katika eneo la Mipwa, kijiji jirani cha Wasini. Hii leo, akiwa na umri wa miaka 63, Juma bado anakumbuka vizuri siku ambayo wavuvi walimnasa mnyama huyo anayejulikana kama ng&#8217;ombe wa baharini na kumchinja. &#8220;Namjua nguva; aliwahi kushikwa na jarife. Aliyemshika wakati huo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/" data-wpel-link="internal">Nguva wanakaribia kutoweka Kenya, jamii za pwani zapambana kuwarejesha kwa kupanda nyasi bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KWALE, Kenya – Zaidi ya miaka 20 imepita tangu Amiri Juma, mvuvi kutoka Kibuyuni, Kaunti ya Kwale, alipomwona nguva (Dugong dugon) katika eneo la Mipwa, kijiji jirani cha Wasini. Hii leo, akiwa na umri wa miaka 63, Juma bado anakumbuka vizuri siku ambayo wavuvi walimnasa mnyama huyo anayejulikana kama ng&#8217;ombe wa baharini na kumchinja. &#8220;Namjua nguva; aliwahi kushikwa na jarife. Aliyemshika wakati huo sasa ni marehemu. Siku hiyo watu walipika na kuila nyama yake. Mimi sikuweza kuila kwa sababu niliposhika nyama yake, mwili wangu ulianza kuwasha,” alisema Juma. Amiri Juma, mvuvi kutoka kijiji cha Kibuyuni Kaunti ya Kwale akiwa katika ofisi ya BMU cha Kibuyuni. Picha na Ruth Keah, Mongabay. Kwa mujibu wa Juma, hilo lilikuwa tukio la kawaida, kwani hakukuwa na uelewa kuhusu umuhimu wa kumhifadhi nguva. Anasema ilikuwa rahisi sana kuwaona nguva, na hii pia ilikuwa ishara nzuri kwa wavuvi kuwa bahari ilikuwa na samaki wengi. Juma anaamini kutoweka kwa mnyama huyo baharini kumechochewa na shughuli nyingi za uvuvi. “Bahari imeingiliwa sana. Zamani kulikuwa na mitego tu. Sasa watu wanaingia kila sehemu, usiku na mchana. Wanyama wengi wamepotea. Hata samaki wamepungua,” anasema. Hapo zamani nguva alikuwa kitoweo kitamu sana kwa familia nyingi eneo la pwani, kabla ya kuwekwa kwa sheria inayopiga marufuku kumkamata. Faki Kassim, mvuvi kutoka kijiji cha Bodo, Kaunti ya Kwale, anasema takriban miaka 30 iliyopita, yeye na wavuvi wenzake walikuwa wakishika nguva, kumchinja na kuuza nyama yake. “Nguva ana ngozi ngumu sana. Nyama yake ni nyekundu na yenye mafuta mengi. Miaka mingi iliyopita tulikuwa tukiuza kipande kimoja cha nyama yake kwa shilingi moja,” anasema. Anaeleza kuwa kabla ya kumchinja nguva, walilazimika kutekeleza itikadi zao&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mbuzi mwitu maarufu wa Ethiopia warejea kwenye hatari kubwa ya kutoweka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/#respond</comments>
					<pubDate>05 Agosti 2026 12:30:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Shreya Dasgupta]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/05122610/Screenshot-2026-08-05-152416-768x496.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2357</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Ethiopia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Bustani za wanyama, Ikolojia, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Matumizi ya Wanyamapori, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Spishi Zilizo Hatarini Sana, Ujangili, Uokoaji wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mbuzi mwitu wa Walia, spishi adimu ya mbuzi anayepatikana kaskazini mwa Ethiopia pekee, kwa mara nyingine ametambuliwa kama mnyama aliye katika hatari kubwa ya kutoweka(Critically Endangered) baada ya tathmini za hivi karibuni kuonyesha idadi yake imeendelea kupungua na kushuka chini ya kiwango muhimu kinachotumiwa na wataalamu wa uhifadhi. Mnyama huyo maarufu hupatikana zaidi kwenye miamba mirefu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Mbuzi mwitu maarufu wa Ethiopia warejea kwenye hatari kubwa ya kutoweka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mbuzi mwitu wa Walia, spishi adimu ya mbuzi anayepatikana kaskazini mwa Ethiopia pekee, kwa mara nyingine ametambuliwa kama mnyama aliye katika hatari kubwa ya kutoweka(Critically Endangered) baada ya tathmini za hivi karibuni kuonyesha idadi yake imeendelea kupungua na kushuka chini ya kiwango muhimu kinachotumiwa na wataalamu wa uhifadhi. Mnyama huyo maarufu hupatikana zaidi kwenye miamba mirefu na maeneo magumu kufikika ya Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Simien. Awali alikuwa ameorodheshwa katika kundi la wanyama walio hatarini (Vulnerable) kwenye Orodha Nyekundu ya Muungano wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Mazingira (IUCN). Hali ya uhifadhi wa Walia ibex (Capra walie) imekuwa ikibadilika kwa miaka. Mwaka 1986, iliorodheshwa kuwa katika hatari ya kutoweka (Endangered), kisha ikawekwa katika kundi la walio katika hatari kubwa ya kutoweka (Critically Endangered) mwaka 1996, kabla ya kurejeshwa tena katika kundi la walio katika hatari ya kutoweka (Endangered) mwaka 2008. Kati ya mwaka 2009 na 2012, tafiti zilionyesha idadi ya Walia ibex iliongezeka kutoka wanyama 680 hadi 850. Kutokana na mwenendo huo, watafiti walikadiria kuwa ifikapo mwaka 2020, idadi hiyo ingefikia wanyama 975. Kwa msingi huo, walihitimisha kuwa hali ya spishi hiyo ilikuwa imeimarika na kuishusha hadi kundi la walio hatarini (Vulnerable). Hata hivyo, tathmini ya mwaka 2020 ilibaini kuwa mwaka 2019 idadi ya Walia ibex ilifikia 619 pekee, lakini ilihitimisha kuwa rekodi hiyo ya mwaka mmoja haikubadilisha mwenendo wa jumla wa ongezeko la idadi yao. “Kwa uelewa tulionao sasa, hitimisho hilo halikuwa sahihi,” alisema Paul Scholte, mshauri mwandamizi wa Mamlaka ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Ethiopia na kiongozi wa tathmini&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tafiti: Uchafuzi wa plastiki ndogondogo unaweza kuchochea ongezeko la usugu dhidi ya antibiotiki</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/03/uchafuzi-wa-plastiki-ndogondogo-unaweza-kuchochea-ongezeko-la-usugu-dhidi-ya-dawa-za-viuavijasumu-tafiti-zinaonyesha/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/03/uchafuzi-wa-plastiki-ndogondogo-unaweza-kuchochea-ongezeko-la-usugu-dhidi-ya-dawa-za-viuavijasumu-tafiti-zinaonyesha/#respond</comments>
					<pubDate>03 Agosti 2026 13:35:49 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Claire Asher]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/03130229/Screenshot-2026-08-03-155156-768x493.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2306</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Chembechembe ndogo za plastiki, Ikolojia, Kemikali, Maji, Maji ya kunywa, Mazingira, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Plastiki, Uchafuzi, na  Uchafuzi wa Maji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Uchafuzi wa plastiki ni miongoni mwa majanga makubwa zaidi ya kimazingira yanayolikabili wanadamu. Uzalishaji wa plastiki tangu mwaka 1950 umezidi tani milioni 8,300, huku sehemu kubwa ya taka za plastiki ikiishia katika mazingira na kuathiri wanyamapori, utendaji kazi wa mfumo wa ikolojia, pamoja na afya ya binadamu. Sambamba na hayo, uwezo wa bakteria wanaosababisha magonjwa kustahimili [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/03/uchafuzi-wa-plastiki-ndogondogo-unaweza-kuchochea-ongezeko-la-usugu-dhidi-ya-dawa-za-viuavijasumu-tafiti-zinaonyesha/" data-wpel-link="internal">Tafiti: Uchafuzi wa plastiki ndogondogo unaweza kuchochea ongezeko la usugu dhidi ya antibiotiki</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Uchafuzi wa plastiki ni miongoni mwa majanga makubwa zaidi ya kimazingira yanayolikabili wanadamu. Uzalishaji wa plastiki tangu mwaka 1950 umezidi tani milioni 8,300, huku sehemu kubwa ya taka za plastiki ikiishia katika mazingira na kuathiri wanyamapori, utendaji kazi wa mfumo wa ikolojia, pamoja na afya ya binadamu. Sambamba na hayo, uwezo wa bakteria wanaosababisha magonjwa kustahimili dawa moja au zaidi za viuavijasumu (hali inayojulikana kama usugu dhidi ya dawa za vijiumbe, au AMR) umeongezeka kwa kasi na kuwa dharura ya afya ya umma, huku sasa ukisababisha vifo takriban milioni 5 duniani kote kila mwaka. &#8220;AMR ni tishio la kibinadamu,&#8221; anasema Tim Walsh, profesa katika Chuo Kikuu cha Oxford na mkurugenzi wa biolojia katika Taasisi ya Utafiti wa Antimicrobial ya Ineos Oxford ya Uingereza, ambaye alizungumza na Mongabay kupitia njia ya simu ya video. &#8220;Itaua watu wengi zaidi [kila mwaka] kuliko Kifua Kikuu, VVU na malaria, na iwapo haitapingwa inaweza kuipita saratani kama muuaji mkubwa zaidi.&#8221; Hadi hivi karibuni, migogoro hii miwili ya kimataifa, uchafuzi wa plastiki na usugu dhidi ya viuavijasumu, ilizingatiwa tofauti na wanasayansi na watunga sera. Lakini utafiti mpya unaonyesha kuwa inahusiana kwa karibu: Taka za plastiki hukaliwa kwa haraka na vijiumbe, hivyo kuunda aina mpya ya mfumo wa ikolojia unaoitwa &#8220;plastisphere.&#8221; Aidha, bakteria wanaoishi katika mfumo huo wanastawisha uwezo mkubwa wa kustahimili viuavijasumu kwa kasi isiyo na kifani. Kipande cha plastiki ya aina ya polyethylene (kinachojulikana kama &#8220;bio-bead&#8221;), kinachotumika kusaidia kuvunja-vunja uchafu katika mitambo ya kusafisha maji taka, ambacho kimekaliwa na fangasi pamoja na vijiumbe vingine. Wakati mwingine, vipande hivi vya plastiki&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/03/uchafuzi-wa-plastiki-ndogondogo-unaweza-kuchochea-ongezeko-la-usugu-dhidi-ya-dawa-za-viuavijasumu-tafiti-zinaonyesha/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/03/uchafuzi-wa-plastiki-ndogondogo-unaweza-kuchochea-ongezeko-la-usugu-dhidi-ya-dawa-za-viuavijasumu-tafiti-zinaonyesha/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/#respond</comments>
					<pubDate>24 Julai 2026 16:13:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/24162115/Boulengerula-niedeni_John-Measey-1000x667-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2211</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Amfibia, Ardhi iliyoharibika, Biashara ya mbao, Bioanuai, Elimu, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kutoweka, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mbao, Miti, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Upandaji Miti, Urejesho wa Asili, na  Wanyama wasio na Mifupa ya Mgongo]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka tambarare za mji wa Voi, Mongabay ilizuru msitu huo wa Sagalla unaoweza kufikiwa kwa gari na pikipiki hadi sehemu fulani, na sehemu iliyosalia hufikiwa kwa miguu. Mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni. Picha na Patrick Malonza. Mongabay ilitaka kufahamu iwapo jamii inatambua spishi hii na faida zake kwa ikolojia, na ilifanikiwa kukutana na wanajiji wakiwa katika shughuli zao za kila siku shambani. “Mimi sikuwa nafahamu mnyama huyu. Nilikuwa namuona shambani kisha namkatakata kwa jembe au namgonga kwa mawe ili afe, kwa sababu anafanana na nyoka,” anasema Jemimah Mwaiga. Sasa Mwaiga anafahamisha Mongabay kuhusu umuhimu wa kiumbe huyo, na kufafanua jinsi walihusishwa katika kutafuta jina lake la kinyumbani, “kilima mrota”. “Tulijifunza kuwa kiumbe huyo husaidia katika ukulima na ubora wa mchanga kwa kuchanganya mchanga na virutubisho vilivyo mchangani na kuongeza rutuba ya asili ya mchanga,” Mwaiga anaelezea Mongabay. Mwanasayansi wa masuala ya mchanga na mazingira Kenneth Macharia wa shirika la Edge of Existence, anasema kiumbe huyu ni wa kipekee katika mlima wa Sagalla. Huishi katika mazingira yenye unyevunyevu, na mchanga wenye rutuba. Macharia anaongeza: “Jamii zinaweza kuimarisha kilimo pamoja na utunzaji wa mazingira kwa kutumia mbinu bora katika mchanga kama vile kupanda miti ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 12:20:20 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/23122231/park-7-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2193</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Maliasili, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira, Mgogoro wa Rasilimali, Sheria, Sheria ya Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uanaharakati, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Kitropiki, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Misitu, Uokoaji wa Wanyamapori, Usimamizi Endelevu wa Misitu, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Utowekaji wa Misitu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya – Shirika la Huduma za Wanyamapori Kenya (KWS) limeshutumiwa kwa kuwazuia na kuwanyanyasa walalamikaji wenza katika kesi inayopinga uhamishaji wa Kituo cha Kuhifadhi Wanyama Yatima cha Nairobi (Nairobi Animal Orphanage). Mnamo Julai 16, Mahakama ya Mazingira na Ardhi jijini Nairobi ilimwagiza Naibu Msajili wake, Vincent Kiplagat, kutembelea eneo linalobishaniwa akiwa pamoja na pande [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/" data-wpel-link="internal">Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya – Shirika la Huduma za Wanyamapori Kenya (KWS) limeshutumiwa kwa kuwazuia na kuwanyanyasa walalamikaji wenza katika kesi inayopinga uhamishaji wa Kituo cha Kuhifadhi Wanyama Yatima cha Nairobi (Nairobi Animal Orphanage). Mnamo Julai 16, Mahakama ya Mazingira na Ardhi jijini Nairobi ilimwagiza Naibu Msajili wake, Vincent Kiplagat, kutembelea eneo linalobishaniwa akiwa pamoja na pande zote katika kesi hiyo ili kuandaa na kuwasilisha ripoti mahakamani. Katika taarifa iliyotumwa kwa Mongabay, shirika la Save the Nairobi National Park (SaveNNP) lililaani kile lilichokiita &#8220;vitisho na vitendo vya kutisha&#8221; kutoka kwa maafisa wa KWS, pamoja na hatua ya kuwanyima wanaharakati hao ruhusa ya kuingia katika eneo la ziara. SaveNNP ilisema hatua hiyo inapingana na mwaliko wa KWS kwa vyombo vya habari kushiriki katika ziara hiyo ya mahakama. Ujenzi unaendelea katika maeneo yanayobishaniwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Nairobi huku Mahakama ya Mazingira na Ardhi ikiendelea kusikiliza kesi iliyowasilishwa na wanaharakati wa mazingira. Picha kwa hisani ya SaveNNP. Mongabay iliona barua ya KWS iliyowaalika wanahabari kuhudhuria ziara ya eneo hilo iliyoongozwa na Msajili wa Mahakama ya Mazingira. Katika taarifa yao, SaveNNP na JustAct ziliishutumu KWS kwa kutaka &#8220;kudhibiti simulizi&#8221; kuhusu mradi huo na kuhakikisha sauti za Wakenya hazisikiki mahakamani wala kupitia vyombo vya habari wakati wa ukaguzi wa eneo hilo. Madai kama hayo pia yalitolewa na Friends of Nairobi National Park. Msemaji wa KWS, Duncan Wanyama, alisema wageni hao hawakuzuiwa kuingia, na kwam ba askari wa wanyamapori walikuwa wakitekeleza tu taratibu za kawaida zinazotumika ndani ya hifadhi hiyo, vyombo vya habari vya ndani&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/pande-zapingana-wakati-mahakama-yatembelea-eneo-la-ujenzi-katika-hifadhi-ya-taifa-ya-nairobi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Raia wa Korea Kaskazini anayedaiwa kukutwa na meno ya tembo, aachiwa huru</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/raia-wa-korea-kaskazini-anayedaiwa-kukutwa-na-meno-ya-tembo-aachiwa-huru/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/raia-wa-korea-kaskazini-anayedaiwa-kukutwa-na-meno-ya-tembo-aachiwa-huru/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 10:40:20 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/21195128/Raia-wa-Korea-Kaskazini.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2165</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Haramu, Biashara ya Pembe za Ndovu, Biashara ya Wanyama Wanyama, Biashara ya Wanyamapori, Bustani za wanyama, Ikolojia, Matumizi ya Wanyamapori, Mifumo ya Ikolojia, Uokoaji wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemwachilia huru na kuamuru aondoke nchini Raia wa Korea Kaskazini Un Hyok Ra (37) aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuomba hivyo kwa maelezo kwamba upande wa Jamhuri hawana nia ya kuendelea na shauri hilo. Maombi hayo ya Jamhuri [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/raia-wa-korea-kaskazini-anayedaiwa-kukutwa-na-meno-ya-tembo-aachiwa-huru/" data-wpel-link="internal">Raia wa Korea Kaskazini anayedaiwa kukutwa na meno ya tembo, aachiwa huru</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemwachilia huru na kuamuru aondoke nchini Raia wa Korea Kaskazini Un Hyok Ra (37) aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuomba hivyo kwa maelezo kwamba upande wa Jamhuri hawana nia ya kuendelea na shauri hilo. Maombi hayo ya Jamhuri yaliwasilishwa mahakamani na Wakili wa Serikali Mkuu, Twawabu Issa mbele ya Hakimu Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mwasha aliyekuwa akisikiliza shauri hilo dhidi ya mshtakiwa Ra aliyedaiwa kukutwa na vipande 504 vya meno ya tembo bila kibali. Wakili Twawabu alidai kuwa DPP kwa mamlaka aliyonayo kisheria aliwasilisha uamuzi wa kusitisha mashtaka (nolle prosequi)  (chini ya Kifungu cha 92 cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA) sura ya 20 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2023 ambapo zamani kilikuwa Kifungu cha 91 kabla ya marekebisho ya 2022) akionyesha kuwa Jamhuri haina nia ya kuendelea na shauri hilo hivyo akaomba mahakama imwachie huru mshtakiwa. Mshitakiwa atakiwa kuondoka nchini Upande wa mashtaka pia uliwasilisha maombi &#8220;persona non grata&#8221; kuonyesha kuwa mshtakiwa huyo hatakiwi kuendelea kubaki nchini Tanzania na anatakiwa kuondoka. Mahakama baada ya kusikiliza maombi hayo iliyakubali na kuamuru mshtakiwa aachiliwe huru na aondoke nchini. Katika shauri lolote la jinai na katika hatua yoyote kabla ya hukumu au uamuzi, DPP anaweza kuwasilisha nolle prosequi kwa kuitaarifu Mahakama kuwa Jamhuri haitaendelea na mashtaka lakini haizuii kumshtaki tena mshtakiwa pale inapohitajika kufanya hivyo. Ra alifikishwa mahakamani mara ya kwanza Mei 5 , 2026 akikabiliwa na mashtaka mawili, kukutwa akimiliki nyara za Serikali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/raia-wa-korea-kaskazini-anayedaiwa-kukutwa-na-meno-ya-tembo-aachiwa-huru/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/raia-wa-korea-kaskazini-anayedaiwa-kukutwa-na-meno-ya-tembo-aachiwa-huru/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kadri akiba ya samaki inavyozidi kupungua katika Ziwa Victoria, wavuvi wageukia vizimba kama tumaini jipya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/21/kadri-akiba-ya-samaki-inavyopungua-katika-ziwa-victoria-wavuvi-wageukia-vizimba-kama-tumaini-jipya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/21/kadri-akiba-ya-samaki-inavyopungua-katika-ziwa-victoria-wavuvi-wageukia-vizimba-kama-tumaini-jipya/#respond</comments>
					<pubDate>21 Julai 2026 17:56:03 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Kelvin Matuku]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/21171918/Screenshot-2026-07-21-201312.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2148</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Endelevu, Fedha ya mfumo wa ikolojia, Ikolojia, Maji, Mazingira, Maziwa, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Samaki, Samaki wa Maji safi, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Uchumi wa Mazingira, Ufugaji Samaki, Uvuvi, na  Uvuvi wa Kupita Kiasi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati wa mapambazuko katika ufukwe wa Paga, Kaunti ya Kisumu, wavuvi wanaonekana wakivuta boti zao hadi ufuoni baada ya kukesha usiku mzima katika Ziwa Victoria. Lakini tofauti na miaka iliyopita, wengi wao walirejea na samaki wachache sana. Mvuvi Hesbone Otieno anasema kupungua kwa akiba ya samaki hakutishii tu riziki zao bali pia kunalazimisha jamii zinazotegemea ziwa hilo kutafakari [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/21/kadri-akiba-ya-samaki-inavyopungua-katika-ziwa-victoria-wavuvi-wageukia-vizimba-kama-tumaini-jipya/" data-wpel-link="internal">Kadri akiba ya samaki inavyozidi kupungua katika Ziwa Victoria, wavuvi wageukia vizimba kama tumaini jipya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati wa mapambazuko katika ufukwe wa Paga, Kaunti ya Kisumu, wavuvi wanaonekana wakivuta boti zao hadi ufuoni baada ya kukesha usiku mzima katika Ziwa Victoria. Lakini tofauti na miaka iliyopita, wengi wao walirejea na samaki wachache sana. Mvuvi Hesbone Otieno anasema kupungua kwa akiba ya samaki hakutishii tu riziki zao bali pia kunalazimisha jamii zinazotegemea ziwa hilo kutafakari upya mustakabali wa uvuvi katika ziwa hilo, ambalo ndilo kubwa zaidi barani Afrika. “Wakati mwingine nakaa ziwani usiku mzima na kurudi na kati ya samaki 300 na 359 pekee,” anasema Otieno, ambaye amevua katika Ziwa Victoria kwa miongo kadhaa. “Samaki ni wachache na kipato pia kinapungua. Kama mvuvi, naona njia ambayo imebakia ni kukumbatia vizimba vya samaki ili tuweze kuendelea kuishi.” Ufukwe wa Paga kwenye Ziwa Victoria. Picha na Kelvin Matuku, Mongabay. Ziwa Victoria ni chanzo cha kujikimu kwa jamii za wavuvi nchini Kenya, Uganda na Tanzania, kupitia uvuvi na biashara zinazohusiana nao. Hata hivyo, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa mwaka 2023, katika miaka ya hivi karibuni, Ziwa Victoria na eneo lake la vyanzo vya maji vimeathirika vibaya kutokana na “uvuvi kupita kiasi, umwagikaji wa mafuta, utiririshaji wa taka ambazo hazijatibiwa, kuenea kwa spishi vamizi, uchotaji wa maji kupita kiasi kutoka bonde la ziwa, na mabadiliko ya tabianchi, miongoni mwa sababu nyingine.” Kushuka kwa uzalishaji wa samaki Kwa mujibu wa Shirika la Huduma za Uvuvi Kenya (KeFS), uzalishaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka takriban tani za metriki 94,349 mwaka wa 2021 hadi 67,575 mwaka wa 2024. Huu ni upungufu wa zaidi ya tani 27,700 katika kipindi cha miaka mitatu. Upungufu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/21/kadri-akiba-ya-samaki-inavyopungua-katika-ziwa-victoria-wavuvi-wageukia-vizimba-kama-tumaini-jipya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/21/kadri-akiba-ya-samaki-inavyopungua-katika-ziwa-victoria-wavuvi-wageukia-vizimba-kama-tumaini-jipya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2026 18:48:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amina Chombo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/16182830/Dangote-thehabarinetwork-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2128</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara ya Kimataifa, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mashirika, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Misitu, Nishati, Samaki, Serikali, Siasa za Nishati, Spishi, Uanaharakati, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Uchumi, Uharakati wa Mazingira, Utawala, Uvuvi, na  Viwanda]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>LAMU, Kenya – Pendekezo la bilionea wa Nigeria Aliko Dangote kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta cha $17 bilioni katika Kaunti ya Lamu, nchini Kenya, limezua mjadala mkali, huku serikali ikikitaja kama kichocheo cha uchumi, na wanaharakati wakionya kuhusu athari zake kwa ikolojia na maisha ya jamii za pwani. Dangote achagua Kenya Baada ya miezi kadhaa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[LAMU, Kenya – Pendekezo la bilionea wa Nigeria Aliko Dangote kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta cha $17 bilioni katika Kaunti ya Lamu, nchini Kenya, limezua mjadala mkali, huku serikali ikikitaja kama kichocheo cha uchumi, na wanaharakati wakionya kuhusu athari zake kwa ikolojia na maisha ya jamii za pwani. Dangote achagua Kenya Baada ya miezi kadhaa ya uvumi kuhusu iwapo kiwanda hicho kingejengwa Kenya, Uganda au Tanzania, kampuni ya Dangote Industries ilichagua Kenya kuwa mwenyeji wa uwekezaji huo. Katika ripoti iliyochapishwa na Reuters, Makamu Rais wa Kitengo cha Mafuta na Gesi wa Dangote Industries Limited, Edwin Devakumar, alithibitisha kuwa kiwanda hicho chenye uwezo wa kusafisha mapipa 700,000 ya mafuta ghafi kwa siku kitajengwa katika Kisiwa cha Lamu na kinatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu. Mafuta ghafi yanatarajiwa kupatikana kutoka nchi za Afrika Mashariki, zikiwemo Uganda, Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Iwapo mradi huo utakamilika, utafuata mfano wa kiwanda cha Dangote kilichopo karibu na Lagos, Nigeria, chenye uwezo wa kusafisha mapipa 650,000 kwa siku, na ambacho kilianza uzalishaji mwaka 2024 na ndicho kikubwa zaidi barani Afrika. Serikali yaeleza manufaa Rais William Ruto, akimteua naibu wake Kithure Kindiki kusimamia mradi huo, alisema Kenya imefikia makubaliano na Dangote ya kuendeleza mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta. Rais wa Kenya, William Ruto, akizungumza katika ikulu ya Nairobi mnamo Julai 8, 2026. Picha kwa hisani ya PSC. Kwa mujibu wa Ruto, kiwanda hicho kitahudumia masoko ya Afrika Mashariki na Afrika ya Kati, na kinatarajiwa kuunda takribani nafasi za ajira 60,000 wakati wa ujenzi na uendeshaji wake. Wanaharakati wapinga Wakati serikali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kuboresha uvuvi unaozidi kutapatapa, Kenya yaongeza ukusanyaji wa takwimu za boti za wavuvi wadogo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2026 08:18:04 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anthony Langat]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/16074828/Screenshot-2026-07-16-003002-768x499.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2110</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Sehemu za Bioanuwai, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, Uzuri wa Kiikolojia, na  Viwango vya Bahari]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>MTWAPA, Kenya — Katika asubuhi moja ya mwezi wa Machi, Mohamed Mwazigona, mwenye umri wa miaka 58, alikuwa amepata mavuno madogo sana ya samaki kwenye ufukwe wa mji wa Mtwapa, ulioko pwani ya kaskazini mwa Kenya. Wafanyakazi wake walikuwa wakilitayarisha boti kwa ajili ya safari ya pili baharini, wakitumai kupata bahati nzuri zaidi. Huku wafanyabiashara [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/" data-wpel-link="internal">Kuboresha uvuvi unaozidi kutapatapa, Kenya yaongeza ukusanyaji wa takwimu za boti za wavuvi wadogo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[MTWAPA, Kenya — Katika asubuhi moja ya mwezi wa Machi, Mohamed Mwazigona, mwenye umri wa miaka 58, alikuwa amepata mavuno madogo sana ya samaki kwenye ufukwe wa mji wa Mtwapa, ulioko pwani ya kaskazini mwa Kenya. Wafanyakazi wake walikuwa wakilitayarisha boti kwa ajili ya safari ya pili baharini, wakitumai kupata bahati nzuri zaidi. Huku wafanyabiashara walipoanza kuwasili ili kununua samaki, Mwazigona alikaa juu ya boti iliyovunjika na kupinduliwa akitazama upeo wa bahari. Safari yake ya asubuhi ilikuwa imemletea kilo 2 pekee za samaki. Alikuwa na hofu kuhusu kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mavuno yake ya samaki katika miaka ya hivi karibuni. &#8220;Idadi ya wavuvi imeongezeka; tumekuwa wengi mno,&#8221; alisema. Hiyo ndiyo sababu kuu iliyomfanya aondoke kijijini kwake Shariani, kilichoko umbali wa kilomita 40 kuelekea kaskazini, ili kufanyia shughuli zake za uvuvi Mtwapa; eneo aliloona kuwa na wavuvi wachache na uwezekano mzuri zaidi wa kufikia masoko. Nchini Kenya, vitengo vya usimamizi wa fukwe (BMU), kama vile Mtwapa BMU Mtwapa BMU ambayo Mwazigona ni mali yake, vina mamlaka ya kisheria ya kusaidia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi kwa ajili ya kuwasilishwa kwa serikali: hasa aina ya samaki ambao wanachama wake huvua na uzito. Takwimu hizi zinalenga kufahamisha uamuzi wa serikali kuhusu uvuvi mdogo ili iweze kusaidia kubadilisha ushindani wa kupungua kwa samaki ambao Mwazigona na wenzake wanashuhudia. Pia zinalenga kuwasaidia wavuvi wenyewe kufanya maamuzi kuhusu wapi na wakati wa kuvua. Hata hivyo, takwimu za uvuvi mdogo za BMU hazijakuwa sahihi na haipatikani kwa wadau. Ili kushughulikia tatizo hili na kuboresha uendelevu wa uvuvi mdogo wa Kenya,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ushirikishwaji wa jamii, wadau warejesha ikolojia ya bahari Namakongoro</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/#respond</comments>
					<pubDate>15 Julai 2026 11:11:59 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/14191215/Namakongoro-4-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2075</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Maziwa, Mifumo ya Ikolojia, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, Uvuvi wa Kupita Kiasi, na  Uzuri wa Kiikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Miaka minne iliyopita, ikolojia ya bahari katika kijiji cha Namakongoro kilichopo katika Kata ya Limaliyao, Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, kwenye ukanda wa kusini wa Bahari ya Hindi, ikiwamo matumbawe, nyasi bahari na mikoko iliharibika vibaya kutokana na kukithiri kwa matukio ya uvuvi haramu hasa wa kutumia vilipuzi kama baruti. Hali hiyo ilisababisha uharibifu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/" data-wpel-link="internal">Ushirikishwaji wa jamii, wadau warejesha ikolojia ya bahari Namakongoro</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Miaka minne iliyopita, ikolojia ya bahari katika kijiji cha Namakongoro kilichopo katika Kata ya Limaliyao, Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, kwenye ukanda wa kusini wa Bahari ya Hindi, ikiwamo matumbawe, nyasi bahari na mikoko iliharibika vibaya kutokana na kukithiri kwa matukio ya uvuvi haramu hasa wa kutumia vilipuzi kama baruti. Hali hiyo ilisababisha uharibifu mkubwa wa makazi ya viumbe baharini, hivyo kupunguza idadi ya samaki, pweza na viumbe wengine wanaotegemea mazingira hayo kuishi na kuzaliana. Baadhi ya viumbe walihamia kwenye maeneo yenye kina kirefu, jambo lililovuruga mfumo wa ikolojia wa bahari na kupunguza bioanuwai. Hata hivyo, tangu mwaka 2021 hali ilianza kubadilika kufuatia juhudi za pamoja za jamii, Serikali, Kitengo cha Usimamizi Shirikishi wa Ufukwe (BMU) na taasisi ya Sea Sense, inayojihusisha na uhifadhi wa mazingira ya bahari na ukanda wa pwani, kuanzisha mikakati ya uhifadhi wa bahari. Wavuvi wa Namakongoro wakipewa mafunzo ya uhifadhi bahari kupitia njia za uvuvi endelevu na Maofisa wa Halmashauri ya Namakongoro pamoja na Taasisi ya Seasense. Picha kwa hisani ya SeaSense. Juhudi hizo zimeleta mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kusaidia kurejesha matumbawe, kuongeza wingi wa samaki waliokuwa wamepungua pamoja na kupungua kwa kiwango kikubwa kwa uvuvi haramu. Kurejesha uhai wa bahari Mafanikio ya kurejesha uhai wa bahari Namakongoro yametokana na ushirikiano wa karibu kati ya wanakijiji, Kitengo cha Usimamizi Shirikishi wa Ufukwe (BMU), Sea Sense na Serikali. Baada ya kubaini kuwa chanzo kikuu cha uharibifu huo kilikuwa ni uvuvi haramu, taasisi ya Sea Sense iliingia katika kijiji cha Namakongoro. Mratibu wa Mradi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ana kwa ana na kinara anayefungua njia na kutetea wanawake wa Uganda katika sekta ya uvuvi barani</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>13 Julai 2026 17:28:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/13171052/Screenshot-2026-07-13-195700-768x442.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2046</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Jinsia na Uhifadhi, Maji, Maziwa, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Samaki wa Maji safi, Sehemu za Bioanuwai, Uchafuzi wa Maji, Ufugaji Samaki, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, na  Uzuri wa Kiikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Akizungumza kwenye mkutano wa vikundi vya uhifadhi wa bahari na wataalamu wa maendeleo huko Watamu, Kenya, Lovin Kobusingye alikuwa na ujumbe mfupi: Wanawake wanaovua, wanaosindika na wanaouza samaki bado hawako kwenye mazungumzo kuhusu uchumi wa bahari unaokua barani Afrika. Kwa Kobusingye, changamoto zinazowakabili wanawake katika uvuvi ni sehemu ya maisha yake ya kila siku. &#8220;Uhalisia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Ana kwa ana na kinara anayefungua njia na kutetea wanawake wa Uganda katika sekta ya uvuvi barani</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Akizungumza kwenye mkutano wa vikundi vya uhifadhi wa bahari na wataalamu wa maendeleo huko Watamu, Kenya, Lovin Kobusingye alikuwa na ujumbe mfupi: Wanawake wanaovua, wanaosindika na wanaouza samaki bado hawako kwenye mazungumzo kuhusu uchumi wa bahari unaokua barani Afrika. Kwa Kobusingye, changamoto zinazowakabili wanawake katika uvuvi ni sehemu ya maisha yake ya kila siku. &#8220;Uhalisia wangu kila siku ni kwamba naamka na mtu mwenye bidii ya kazi akichukua sehemu yangu ya kutua, akichukua eneo langu la uvuvi,&#8221; aliiambia hadhira, akielezea jinsi maendeleo ya utalii na uwekezaji mwingine wa pwani yanavyoendelea kushindana na jamii za uvuvi wa jadi kwa ajili ya kupata ufikiaji wa bahari. Kobusingye alisema wanawake wengi wanakabiliwa na hatari katika sekta ya uvuvi, mazingira duni ya kazi na shinikizo linaloongezeka kutoka kwa maendeleo yanayozidi kusukuma shughuli za uvuvi pembezoni. Katika baadhi ya jamii, haki za kitamaduni zinapuuzwa na serikali; huku kuongezeka kwa kina cha bahari, mmomonyoko wa udongo na kupungua kwa samaki wanaovuliwa kukifanya maisha ambayo tayari ni magumu kuwa magumu zaidi, aliwaambia waliohudhuria mkutano ulioandaliwa na Ocean Resilience Climate Alliance (ORCA). Licha ya changamoto hizi, Kobusingye alisema wanawake wanasalia kuwa muhimu katika kuendeleza uvuvi na uchumi wa pwani. Husindika samaki, huuza vyakula vya baharini na kusaidia familia zao, ikiwa ni pamoja na kulipa ada za shule, kutokana na mapato wanayopata. Hata hivyo, licha ya jukumu lao katika sekta hiyo, wanawake wengi bado hawana usemi mkubwa katika jinsi uvuvi unavyosimamiwa. Lovin Kobusingye pia ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kati Farms Ltd, kampuni ya usindikaji wa mazao ya kilimo. Picha kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/#respond</comments>
					<pubDate>01 Julai 2026 12:04:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/29121017/meno-ya-tembo-3.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1945</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Ikolojia, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Tembo, Uhalifu, Uhalifu kwa Wanyamapori, Uhalifu uliopangwa, Uhalifu wa Mazingira, Usafirishaji wa Wanyamapori, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Katavi imemuondolea adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela Elvis Kalonga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali kwa sababu ya dosari na mkanganyiko uliobainika katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Jaji Mfawidhi, Godfrey Isaya ilitoa hukumu Juni 16,2026 baada ya kusikiliza rufani iliyowasilishwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/" data-wpel-link="internal">Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Katavi imemuondolea adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela Elvis Kalonga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali kwa sababu ya dosari na mkanganyiko uliobainika katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Jaji Mfawidhi, Godfrey Isaya ilitoa hukumu Juni 16,2026 baada ya kusikiliza rufani iliyowasilishwa na Kalonga dhidi ya Jamhuri akipinga kutiwa hatiani pamoja na adhabu aliyopewa Awali, Mahakama ya Wilaya ya Mlele ilimhukumu Kalonga kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa manne ya kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria, pamoja na kosa la kuingia hifadhi ya taifa bila kibali na kubeba silaha ndani ya hifadhi. Ilidaiwa kwamba Novemba 8, 2025, askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi walimkamata Kalonga katika eneo la Kasandalala ndani ya hifadhi hiyo akiwa hana kibali na akiwa na silaha mbalimbali zikiwemo panga, shoka, vipande vya nondo, goroli na unga wa baruti. Pia alidaiwa kukutwa na nyama na viungo vya wanyamapori vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya TSh17,800,000. Sehemu ya ushahidi wa Jamhuri Upande wa mashtaka ulidai kuwa mshtakiwa alikamatwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi akiwa na nyara za Serikali na vifaa vinavyohusishwa na uwindaji haramu. Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa mahakamani, Novemba 8, 2025 askari wanyamapori Joel Kabuga ambaye alikuwa shahidi wa pili (PW2), Christian Ruyemamu (PW3) na Rahimu Hamadi Yusuf (PW4) wakiwa doria eneo la Kasandalala ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi waliona moshi ukitoka porini. Mashahidi hao kwa nyakati tofauti wakidai kuwa walipofuatilia chanzo cha moshi huo walikuta watu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake wapiga doria katika bahari ya Pemba katika juhudi za jamii za kulinda rasilimali za baharini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/30/wanawake-wapiga-doria-katika-bahari-ya-pemba-tanzania-katika-juhudi-zinazoongozwa-na-jamii-kulinda-rasilimali-za-baharini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/30/wanawake-wapiga-doria-katika-bahari-ya-pemba-tanzania-katika-juhudi-zinazoongozwa-na-jamii-kulinda-rasilimali-za-baharini/#respond</comments>
					<pubDate>30 Juni 2026 18:54:15 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/30183954/Screenshot-2026-06-30-213942-768x489.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1962</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Bahari ya Kina, Biashara Endelevu, Bioanuai wa Baharini, Chakula, Fedha, Haki ya Tabianchi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Halijoto, Hifadhi, Huduma za Mazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mikoko, Misitu ya Kitropiki, Ongezeko la Joto Baharini, Uhifadhi wa Baharini, Uvuvi, na  Uvuvi wa Kupita Kiasi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>PEMBA, Tanzania — Kufanya doria baharini si aina ya kazi ambayo wanawake wengi katika Kisiwa cha Pemba nchini Tanzania wanatarajiwa kufanya. Hata hivyo, kwa Amina Gharib Issa, amekuwa akifanya kazi hiyo katika miaka ya hivi karibuni. Issa, mwenye umri wa miaka 55, ametumia muda mwingi baharini akiwa mvuvi. Lakini samaki walipoanza kupungua na jamii ilipoanza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/30/wanawake-wapiga-doria-katika-bahari-ya-pemba-tanzania-katika-juhudi-zinazoongozwa-na-jamii-kulinda-rasilimali-za-baharini/" data-wpel-link="internal">Wanawake wapiga doria katika bahari ya Pemba katika juhudi za jamii za kulinda rasilimali za baharini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[PEMBA, Tanzania — Kufanya doria baharini si aina ya kazi ambayo wanawake wengi katika Kisiwa cha Pemba nchini Tanzania wanatarajiwa kufanya. Hata hivyo, kwa Amina Gharib Issa, amekuwa akifanya kazi hiyo katika miaka ya hivi karibuni. Issa, mwenye umri wa miaka 55, ametumia muda mwingi baharini akiwa mvuvi. Lakini samaki walipoanza kupungua na jamii ilipoanza kutekeleza vipindi vya kufunga maeneo ya uvuvi kwa muda ili kuruhusu viumbe vya baharini kuzaliana tena na kurejesha idadi yake, alichukua jukumu la kusaidia doria katika maji ili kuhakikisha sheria zinafuatwa. Yeye ni mmoja wa watu saba katika timu ya doria ya jamii ambayo huenda kufanya doria baharini mara nane kwa mwezi, kuangalia boti, zana za uvuvi na leseni. Kazi hiyo inachukua muda mrefu majini, wakati mwingine katika hali mbaya, kwa malipo ya takriban $8 kwa siku. Katika sehemu kubwa ya Pemba, wanawake hushiriki sana katika uvuvi, lakini kupiga doria mbali na ufukwe na wanaume ni jambo jingine. Jamii hiyo ina idadi kubwa ya Waislamu, na majukumu ya kijinsia yanaweza kuchunguzwa kwa karibu. &#8220;Baadhi ya wanawake hawaruhusiwi na waume zao,&#8221; Ali Said Hamad, mjumbe wa timu ya Mwambao, alisema, akielezea mojawapo ya sababu zinazowafanya wanawake wengi wasijiunge. Hamad ametumia muda mwingi baharini, si kama afisa wa utekelezaji bali akisaidia kutekeleza programu za uhifadhi zinazoongozwa na jamii. Kwa wanawake wanaofanya doria baharini, usaidizi wa familia unaweza kuleta mabadiliko. Issa alisema mume wake aliuunga mkono uamuzi wake wa kushiriki. Kazi yake ni sehemu ya juhudi pana za uhifadhi zinazoongozwa na jamii zinazoungwa mkono na Kikundi cha Jamii za Pwani (Mwambao&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/30/wanawake-wapiga-doria-katika-bahari-ya-pemba-tanzania-katika-juhudi-zinazoongozwa-na-jamii-kulinda-rasilimali-za-baharini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/30/wanawake-wapiga-doria-katika-bahari-ya-pemba-tanzania-katika-juhudi-zinazoongozwa-na-jamii-kulinda-rasilimali-za-baharini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Miaka kadhaa ya kujenga imani yao: Mazoea ya sokwe watu katika Mbuga ya Kitaifa ya Salonga, DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/#respond</comments>
					<pubDate>19 Juni 2026 16:08:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/19153844/Screenshot-2026-06-19-182917-768x445.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1891</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Bioanuai, Bioanuai ya Misitu ya Mvua, Bustani za wanyama, Chakula, Cites, Elimu, Elimu ya Mazingira, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Huduma za Mazingira, Idadi ya watu, Ikolojia, Jamii Asili, Jamii ya Nyani Wakubwa, Jamii za Misitu ya Mvua, Kijani, Makazi, na  Mamalia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>HIFADHI YA KITAIFA YA SALONGA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kabla ya jua kuchomoza, huku sehemu kubwa ya msitu wa mvua ukiwa umefunikwa na kiza, kundi la watafiti na wafuatiliaji laondoka katika kambi ya utafiti ya Inkomu. Marudio yao ni eneo la viota ambako kundi la bonobo lililala usiku uliopita, ndani kabisa ya msitu wa Salonga, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/" data-wpel-link="internal">Miaka kadhaa ya kujenga imani yao: Mazoea ya sokwe watu katika Mbuga ya Kitaifa ya Salonga, DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[HIFADHI YA KITAIFA YA SALONGA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kabla ya jua kuchomoza, huku sehemu kubwa ya msitu wa mvua ukiwa umefunikwa na kiza, kundi la watafiti na wafuatiliaji laondoka katika kambi ya utafiti ya Inkomu. Marudio yao ni eneo la viota ambako kundi la bonobo lililala usiku uliopita, ndani kabisa ya msitu wa Salonga, ulio katikati mwa DRC. Dhamira yao ni kuwashawishi bonobo (Pan paniscus) kukubali uwepo wa binadamu kama sehemu ya asili ya mazingira yao. Kwa kupata uaminifu wa wanyama, watafiti wanatumai kuunda fursa za kuelewa vyema tabia, ikolojia na afya zao. Mchakato huu wenye bidii wa kuwazoesha bonobo uwepo wa binadamu unahusisha kutumia wakati karibu na nyani siku baada ya siku hadi watakapozoea watu hatua kwa hatua. Ni kazi ya polepole na inayohitaji juhudi kubwa ambayo inaweza kuchukua miaka, inayohitaji uvumilivu, uthabiti na maelfu ya masaa msituni. Muda mrefu kabla ya mapambazuko, mara nyingi karibu saa 3 alfajiri, wafuatiliaji, baadhi yao wakiwa wawindaji haramu wa zamani, ambao ujuzi wao kuhusu msitu umekuwa rasilimali muhimu ya uhifadhi, wanaanza kuelekea kwenye eneo la viota usiku uliopita. Ni lazima wafike kabla kundi hilo la bonobo halijaamka. Kisha huanza harakati za kutwa nzima kupitia moja ya misitu ya mvua iliyo mbali zaidi Duniani, kufuatia nyani kutoka alfajiri hadi wajenge viota vipya kwa ajili ya usiku. &#8220;Wazo zima la kuwazoesha bonobo uwepo wa binadamu ni kukutana nao kila siku kwa njia ya kirafiki sana, isiyo ya mwingiliano ili wakukubali kama sehemu ya msitu,&#8221; anasema Felix Bofeko, mtafiti msaidizi anayefanya kazi na programu ya mazoea ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 13:46:29 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11131849/Screenshot-2026-06-11-161609.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1841</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Urusi, Zambia, na  Zimbabwe]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Utafiti, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Matumizi ya makaa ya mawe duniani kote yaliendelea kupungua mnamo mwaka 2025, lakini kulikuwa na ongezeko la uwezo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya kikundi cha uchambuzi wa data Global Energy Monitor. Uzalishaji wa umeme kutoka kwa makaa ya mawe kwa ujumla ulipungua kwa 0.6% mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Matumizi ya makaa ya mawe duniani kote yaliendelea kupungua mnamo mwaka 2025, lakini kulikuwa na ongezeko la uwezo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya kikundi cha uchambuzi wa data Global Energy Monitor. Uzalishaji wa umeme kutoka kwa makaa ya mawe kwa ujumla ulipungua kwa 0.6% mwaka jana, lakini uwezo wa akiba wa mitambo ya makaa ya mawe unaoweza kutumika wakati wa mahitaji makubwa ya umeme uliongezeka kwa 3.5%. Sehemu kubwa ya ongezeko hilo ilitokea nchini Uchina, ambapo uwezo wa ziada wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe unazidi kuchukuliwa kuwa chaguo mbadala ili kuhakikisha usalama wa nishati. Wakati Uchina iliongeza gigawati 78.1 za uwezo wa nishati ya makaa ya mawe mnamo 2025, matumizi yake halisi ya nishati ya makaa ya mawe yalipungua kwa 1.2%. Kupungua huku kulidhihirika wazi kwani kulikuja huku kukiwa na ongezeko la jumla la mahitaji ya nishati ya Uchina. Kulingana na ripoti hiyo, zaidi ya 90% ya ongezeko hilo la mahitaji ya nishati lilikidhiwa na nishati ya upepo na jua badala ya makaa ya mawe. Wakati Uchina inasalia kuwa mtumiaji mkubwa zaidi wa makaa ya mawe duniani, mahitaji yake zaidi ya nishati yanatimizwa kwa njia mbadala. India ilirekodi ongezeko la pili kwa ukubwa la uwezo wa nishati ya makaa ya mawe mnamo mwaka 2025, lakini pia ilionyesha harakati kuelekea gridi safi zaidi. Pamoja na nyongeza za rekodi za nishati ya jua na upepo, nishati jadidifu zilichangia zaidi ya nusu ya uwezo wa jumla wa nishati nchini kwa mara ya kwanza. Christine Shearer, mtafiti&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 11:57:25 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Manuel Fonseca]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11113159/Screenshot-2026-06-11-143059.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1834</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Ikolojia, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Misitu, Moto, Moto wa Misitu, Reptilia, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Uzuri ni laana &#8211; angalau kwa mjusi mdogo wa rangi ya samawati (turquoise dwarf gecko) anayepatikana katikati mwa Tanzania. Kati ya Desemba 2004 na Julai 2009, mahitaji ya mjusi huyu kutoka kwa wakusanyaji wa wanyama barani Ulaya yaliongezeka sana, jambo lililosababisha kukamatwa na kusafirishwa nje ya Tanzania kwa takriban mijusi 40,000 ya aina hii iliyokuwa na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/" data-wpel-link="internal">Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Uzuri ni laana &#8211; angalau kwa mjusi mdogo wa rangi ya samawati (turquoise dwarf gecko) anayepatikana katikati mwa Tanzania. Kati ya Desemba 2004 na Julai 2009, mahitaji ya mjusi huyu kutoka kwa wakusanyaji wa wanyama barani Ulaya yaliongezeka sana, jambo lililosababisha kukamatwa na kusafirishwa nje ya Tanzania kwa takriban mijusi 40,000 ya aina hii iliyokuwa na mwonekano wa kuvutia. “Nakumbuka nilipowaona kwa mara ya kwanza katika maonyesho ya wanyama, bei yao ilikuwa dola za Marekani 700 kwa kila mmoja ambazo ni sawa na zaidi ya shilingi za Tanzania milioni 1.8,” alisema Dennis Rödder, mtaalamu wa wanyama watambaao kutoka Leibniz Institute for the Analysis of Biodiversity Change nchini Ujerumani, katika mahojiano na Mongabay yaliyofanyika kwa njia ya video. “Nadhani ndani ya miaka mitatu au minne, spishi hii ilikuwa imeenea kote Ulaya. Ilikuwa ni rahisi kuinunua kutoka duka lolote la wanyama wa kufugwa.” Mijusi hawa wanaojulikana kisayansi kama (Lygodactylus williamsi) hukua hadi kufikia urefu wa sentimita 6–9 (takriban inchi 2.5–3.5). Wanapatikana tu katika maeneo mawili madogo ya misitu nchini Tanzania: Hifadhi ya Misitu ya Kimboza na Hifadhi ya Ruvu. Maeneo haya yaliyohifadhiwa yana ukubwa wa jumla ya kilomita za mraba 34 (takriban maili za mraba 13). Majike waliokomaa wana rangi ya kijani-kahawia inayofanana na majani ya miti wanayoishi, jambo linalowasaidia kujificha dhidi ya maadui. Hata hivyo, madume huwa na ngozi ya samawati ang’avu inayovutia sana. Rangi hii ni miongoni mwa rangi adimu zaidi kupatikana kiasili, na hutumika kuwavutia majike wakati wa uzazi. Mjusi mdogo wa rangi ya samawati (Lygodactylus williamsi). Picha: © Simon kupitia iNaturalist (CC&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/#respond</comments>
					<pubDate>10 Juni 2026 18:36:08 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/10161044/Meno-ya-tembo-2.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1830</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Kupambana na ujangili, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Sheria ya Mazingira, Tembo, Uhifadhi wa Wanyamapori, Ujangili, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia mmoja wa Korea Kaskazini, Un Hyok Ra (37), anayeshitakiwa kwa kukutwa akimiliki nyara za Serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6.4 bilioni, imepigwa tarehe tena kwa madai kuwa upelelezi wake haujakamilika. Shauri hilo limetajwa leo Juni 9, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili raia mmoja wa Korea Kaskazini, Un Hyok Ra (37), anayeshitakiwa kwa kukutwa akimiliki nyara za Serikali ambazo ni vipande 504 vya meno ya tembo vyenye thamani ya TSh6.4 bilioni, imepigwa tarehe tena kwa madai kuwa upelelezi wake haujakamilika. Shauri hilo limetajwa leo Juni 9, 2026 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Salome Mwasha. Akiwakilisha upande wa Mashtaka, Wakili wa Serikali Mwandamizi, Florida Wenceslaus aliomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kutajwa kwa kesi hiyo kwa kile alichoeleza kuwa upelelezi wa shauri hilo bado haujakamilika. Mshtakiwa, ambaye anaendelea kusota rumande, hakuwepo mahakamani leo kama ilivyokuwa wakati kesi hiyo ilipotajwa Mei 25, na pia hakuwa na mwakilishi. Hakimu Mwasha alikubali ombi la upande wa mashitaka na akaahirisha shauri hilo hadi Juni 23 mwaka huu, kesi itakapotajwa tena. Mshtakiwa Ra alipanda kizimbani kwa mara ya kwanza mwanzoni mwa Mei mwaka huu. Shauri lilipotajwa baada ya siku 14, yaani Mei 25 mwaka huu, mshtakiwa huyo hakufikishwa mahakamani na badala yake shauri liliahirishwa bila yeye kuwepo. Kabla ya kuahirisha kesi hiyo, hakimu aliamuru hati ya kumfikisha mshtakiwa kortini itolewe ili kesi itakapotajwa Juni 9, 2026, mshtakiwa aletwe kortini. Hata hivyo leo mshtakiwa hakufikishwa kortini na hakuna maelezo yoyote yaliyotolewa kwa nini mshatakiwa hakuwepo. Awali upande wa Jamhuri ulidai katika hati ya mashtaka kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka mawili, kukutwa akimiliki nyara za Serikali na kujihusisha na biashara hiyo bila kibali. Ilidaiwa kuwa Aprili 19, 2026 katika eneo la Hoteli ya Golden Tulip–Masaki,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/10/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-dhidi-ya-raia-wa-korea-kaskazini-yapigwa-tarehe-tena/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mabadiliko ya tabianchi yatishia ikolojia ya bahari Zanzibar &#8211; Serikali</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 11:55:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09103711/ZANZIBAR-ECOLOGY.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1795</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Huduma za Mazingira, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Uzuri wa Kiikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Licha ya juhudi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhifadhi ikolojia ya bahari kupitia usimamizi endelevu wa rasilimali zake, mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa mazingira hayo na ustawi wa jamii zinazoyategemea. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema athari za mabadiliko ya tabianchi zinahatarisha mafanikio ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/" data-wpel-link="internal">Mabadiliko ya tabianchi yatishia ikolojia ya bahari Zanzibar &#8211; Serikali</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Licha ya juhudi za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuhifadhi ikolojia ya bahari kupitia usimamizi endelevu wa rasilimali zake, mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa mazingira hayo na ustawi wa jamii zinazoyategemea. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema athari za mabadiliko ya tabianchi zinahatarisha mafanikio ya uchumi wa buluu kutokana na kuongezeka kwa kina cha bahari, kupauka kwa miamba ya matumbawe, dhoruba kali pamoja na kupungua kwa samaki baharini. Kulinda ikolojia ya Zanzibar ni hatua muhimu katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kujenga uchumi wa buluu wenye tija. Picha kutoka mtandaoni. Aliyasema hayo katika Warsha ya 29 ya Mwaka ya Utafiti iliyoandaliwa na Taasisi ya Utafiti na Kupunguza Umasikini [REPOA], iliyowaweka pamoja serikali za Tanzania bara na Zanzibar pamoja na wadau wa bahari kujadili namna ya kuimarisha ikolojia hiyo. Abdulla alisema Zanzibar imekuwa kivutio kikubwa cha utalii duniani kutokana na utajiri wa ikolojia yake ya bahari, utamaduni wa watu wake na mazingira ya amani na utulivu lakini ongezeko la joto duniani linaendelea kuathiri mifumo ya bahari inayochangia kwa kiasi kikubwa uchumi wa Zanzibar kupitia utalii, uvuvi na shughuli nyingine za kiuchumi zinazotegemea bahari. Nini kifanyike Makamu wa Pili wa Rais alishauri kujengwa kwa miundombinu himilivu  na mifumo madhubuti ya tahadhari ya mapema ili kulinda ikolojia ya bahari na maisha ya wananchi. Alishauri kuwepo ushirikiano kati ya taasisi za mafunzo ya uvuvi na bahari pamoja na vyuo vikuu katika kuendeleza uchumi wa buluu kwa muda mrefu, sambamba na kuingiza elimu ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/mabadiliko-ya-tabianchi-yatishia-ikolojia-ya-bahari-zanzibar/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/#respond</comments>
					<pubDate>03 Juni 2026 15:48:26 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Benjamin Jumbe]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/03150618/Screenshot-2026-06-03-180555-768x498.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1759</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Suluhu za Uhifadhi, Tembo, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kulingana na taarifa zilizopatikana kupitia kola za kufuatilia na Wakfu wa Mlima Elgon (MEF), mwaka jana tembo wasiopungua 60 walivuka kutoka Kenya hadi upande wa Uganda wa Mlima Elgon, mlima mkubwa wa volkeno ulioko mpakani mwa Uganda na Kenya, na kurudi kwenye sehemu ya asili yao ambapo hawajaonekana kwa zaidi ya miaka 40. MEF hufadhili miradi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/" data-wpel-link="internal">Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kulingana na taarifa zilizopatikana kupitia kola za kufuatilia na Wakfu wa Mlima Elgon (MEF), mwaka jana tembo wasiopungua 60 walivuka kutoka Kenya hadi upande wa Uganda wa Mlima Elgon, mlima mkubwa wa volkeno ulioko mpakani mwa Uganda na Kenya, na kurudi kwenye sehemu ya asili yao ambapo hawajaonekana kwa zaidi ya miaka 40. MEF hufadhili miradi ya jamii inayolenga kupunguza uharibifu wa misitu na kuongeza ufahamu wa masuala ya mazingira, pamoja na timu ya maskauti wa jamii 18 katika upande wa Kenya wa mlima, sehemu ya Mradi wa Tembo wa Mlima Elgon unaotekelezwa na Shirika la Wanyamapori la Afrika Mashariki. Mwenyekiti wa wakfu wa MEF, Chris Powles, aliiambia Mongabay kwamba mnamo mwaka 2022, maskauti walifuatilia tembo wanne wakivuka mto Suam, ambao unaashiria mpaka kati ya nchi hizo mbili. Picha za video zilizorekodiwa kwa ndege isiyo na rubani zikionyesha tembo upande wa Uganda wa Mlima Elgon. Picha kwa hisani ya UWA. Katika mahojiano kupitia barua pepe, Powles alisema sababu kadhaa zinaweza kuelezea kurudi kwa tembo, ingawa haiwezekani kusema kwa uhakika ni nini kiliwachochea kurejea katika eneo hilo. &#8220;[Hizi] ni pamoja na ongezeko la idadi ya tembo upande wa Kenya, kuongezeka kwa shinikizo la binadamu kwa upande wa Kenya, usalama wanaoupata wakiwa upande wa Uganda, ambako eneo hilo lote liko ndani ya mbuga ya taifa, tofauti na upande wa Kenya,&#8221; aliandika. &#8220;Na, labda, tembo walio hai tangu wakati wengine wao waliuawa nchini Uganda sasa wamekufa kawaida na hivyo huenda kumbukumbu ya hatari zilizowakabili nchini Uganda imefifia kadri vizazi vilivyobadilika.&#8221; Mwishoni mwa miaka ya 1970 na mwanzoni mwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>02 Juni 2026 09:54:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Njagi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/02094948/Screenshot-2026-06-02-124936-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1742</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Biashara ya Kaboni, Fedha za Kaboni, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kaboni, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mikopo ya Kaboni, Siasa za Mazingira, Soko ya Kaboni, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Naito Leshao alionyesha hisia za kuchoshwa na miradi ya biashara ya fidia ya hewa ukaa katika mkutano wa kimataifa uitwao Global Landscapes Forum (GLF) wa mwaka 2026 uliofanyika Nairobi, Kenya. Akiwa na hisia kali, Leshao aliuliza maswali kadhaa: kwa nini miradi mikubwa ya kaboni inayodaiwa kuwa kwa ajili ya watu waliolinda ardhi kwa miaka mingi hupitia mikononi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Naito Leshao alionyesha hisia za kuchoshwa na miradi ya biashara ya fidia ya hewa ukaa katika mkutano wa kimataifa uitwao Global Landscapes Forum (GLF) wa mwaka 2026 uliofanyika Nairobi, Kenya. Akiwa na hisia kali, Leshao aliuliza maswali kadhaa: kwa nini miradi mikubwa ya kaboni inayodaiwa kuwa kwa ajili ya watu waliolinda ardhi kwa miaka mingi hupitia mikononi mwa watu wengi kiasi kwamba malipo yanapowafikia wanajamii, wanapata kiasi kidogo sana? Leshao, aliyekuwa akiwakilisha jamii yake kutoka Maasai Mara, aliendelea kwa swali jingine: Je, mnatarajia jamii za kiasili ziendelee kuhifadhi ardhi huku zikilinda mifumo yao ya malisho, wakati matatizo yao hayasikilizwi kuhusu namna mabadiliko ya tabianchi yanavyowaathiri? Maswali tata Maswali yake si mapya katika mijadala ya uhifadhi wa mazingira. Yameendelea kujitokeza tangu Mkataba wa Paris ulipoweka msingi wa ushirikiano wa kimataifa katika biashara ya kaboni kupitia Kifungu cha 6 kama njia ya kupambana na ongezeko la joto duniani huku ukiwa na lengo la kupambana na ongezeko la joto duniani na kuzalisha mapato. Hata hivyo, vigezo vya mfumo huo mara nyingi vimekuwa vikionekana kuwa vya upendeleo, vikiegemea zaidi kwa waendelezaji wa miradi katika mnyororo wa biashara ya kaboni. “Wanakuja na asilimia fulani, lakini nani anaamua hizo asilimia? Nani anasema kwamba jamii hii inapaswa kupata asilimia 10 au 15? Unajuaje kwamba hicho ndicho kiasi kinachokidhi uendeshaji wa jamii hii? Pamoja na kukosekana kwa usawa katika mchakato huu, bado dunia inazihitaji jamii za kiasili kuhifadhi mazingira,” alisema Leshao. Hakukuwa na majibu ya haraka kwa maswali yake, licha ya makadirio mapya kuonyesha kwamba mapato yanayotokana na soko la kimataifa la&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mei 2026 21:58:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Las Junior]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/31214131/Atuwa-akiwa-amezamia-bahari-kwenye-kazi-ya-kurekebisha-matumbawe-kwenye-bahari-ya-kisiwa-cha-Mnemba-Zanzibar.jpeg-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1733</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Barafu ya bahari, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maji, Mazingira, Miamba ya Matumbawe, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Upaukaji wa Matumbawe, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Zaidi ya futi 40 (takriban mita 12.2) chini ya Bahari ya Hindi, karibu na Kisiwa cha Mnemba kilichopo Zanzibar, Atuwa Omari na wahifadhi wengine huzama hadi kwenye sakafu ya bahari kwa lengo la kushiriki katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe iliyoharibika. Anapokuwa katika eneo hilo, mawimbi humsukuma huku makundi ya samaki yenye rangi mbalimbali kama vile wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/" data-wpel-link="internal">Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Zaidi ya futi 40 (takriban mita 12.2) chini ya Bahari ya Hindi, karibu na Kisiwa cha Mnemba kilichopo Zanzibar, Atuwa Omari na wahifadhi wengine huzama hadi kwenye sakafu ya bahari kwa lengo la kushiriki katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe iliyoharibika. Anapokuwa katika eneo hilo, mawimbi humsukuma huku makundi ya samaki yenye rangi mbalimbali kama vile wa bluu, njano na kijani hupita juu ya kichwa chake huku mwanga wa jua ukionekana kwa mbali ndani ya maji. Juu ya uso wa bahari, watalii huwa wanazunguka katika maji bila kufahamu kuhusu mfumo dhaifu wa ikolojia unaopambana kuendelea kuishi chini yake. Kwa mujibu wa waajiri wake, Atuwa, mwenye umri wa miaka 23, anaelezwa kuwa mwanamke pekee Zanzibar anayeshiriki kazi hiyo ya uzamiaji wa urejeshaji wa matumbawe. Mamlaka za Zanzibar zinaeleza kuwa miaka mitatu iliyopita, eneo la Mnemba ambako Atuwa hufanya kazi, ambalo lina baadhi ya miamba muhimu ya matumbawe ya Zanzibar, liliharibika. Makame Omar Makame, Mkurugenzi wa Idara ya Uhifadhi Baharini Zanzibar, anasema eneo hilo la Mnemba liliathiriwa na shughuli za kibinadamu zilizokithiri. “Kulikuwa na shughuli nyingi za uvuvi zisizofuata utaratibu, msongamano wa watalii, ambapo takribani boti 200 zenye watalii zilikuwa zikiingia katika eneo la mita 200 za ukanda wa pwani kila siku,” Makame aliieleza Mongabay. Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, ili kulinda mazingira, Serikali ya Zanzibar iliamua kupunguza idadi ya wageni hadi 80 kwa siku na kuongeza ada ya uhifadhi kutoka $3 hadi $25 kwa mtalii mmoja, kusitisha kwa muda shughuli za uvuvi na pia kutoa elimu kwa jamii. Hilo lilikuwa jambo muhimu kwa Atuwa na wenzake ambao wanaamini jamii zao zilihitaji mazingira&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/#respond</comments>
					<pubDate>26 Mei 2026 17:35:57 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/26172956/Usenge-Beach-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1717</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Maji, Mazingira, Maziwa, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, Nishati safi, Nishati ya Jua, Samaki, Samaki wa Maji safi, Sera za Mazingira, Siasa za Mazingira, Siasa za Nishati, upatikanaji wa chakula, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA) ya Kenya imetangaza mipango ya kufanya kampeni mpya za wazi, madhubuti na za ngazi mbalimbali za uelimishaji wa umma ili kutafuta muafaka juu ya wasiwasi uliopo kuhusu usalama wa nishati ya nyuklia, haki za ardhi, na maisha ya wananchi kabla ya kuanza kwa ujenzi wa mradi wa nishati ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/" data-wpel-link="internal">NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA) ya Kenya imetangaza mipango ya kufanya kampeni mpya za wazi, madhubuti na za ngazi mbalimbali za uelimishaji wa umma ili kutafuta muafaka juu ya wasiwasi uliopo kuhusu usalama wa nishati ya nyuklia, haki za ardhi, na maisha ya wananchi kabla ya kuanza kwa ujenzi wa mradi wa nishati ya nyuklia wenye thamani ya shilingi bilioni 500 za Kenya katika kaunti ya Siaya. “Kama wakala wa nishati ya nyuklia, tunasikia na kuheshimu sauti za wakazi wa Siaya. Ushiriki wa umma si jambo la kufuata taratibu tu. Ni haki ya kikatiba,” shirika hilo lilisema katika taarifa yake. Taarifa hiyo ilitolewa siku mbili baada ya wakazi wa Sakwa, Bondo katika Kaunti ya Siaya inayopakana na Ziwa Victoria, kuandamana kupinga mradi huo. Wakazi hao walieleza hofu kuhusu hatari za kimazingira iwapo ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi barani Afrika na lenye utajiri mkubwa wa ikolojia litachafuliwa. Pia walitaja hofu ya kupoteza riziki, chakula na mahitaji mengine muhimu. Katika taarifa yake ya kujibu maandamano hayo, iliyotiwa saini na Afisa Mkuu Mtendaji wa NuPEA, Justus Wabuyabom, shirika hilo lilisema kuwa ujenzi wa mradi huo hautaanza hadi wakazi wa Siaya waelimishwe kikamilifu na wakubaliane na mradi huo. NuPEA kubadili mkakati NuPEA iliongeza kuwa itabadilisha mkakati wake “kutoka mipango ya kitaasisi ya ngazi za juu kwenda katika uhamasishaji wa kina kwa wananchi wa vijijini” kuhusu mradi huo unaotarajiwa kuzalisha megawati 2,000. Wakati huohuo, Power Shift Africa (PSA) imekosoa msisitizo wa kutumia nishati ya nyuklia kama chanzo cha umeme, ikisema kuwa hatua hiyo inaweza&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>25 Mei 2026 14:00:30 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/25123328/Black-Mamba-Snake-2-Courtesy-Inncocent-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1687</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Nyoka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na kupotelea mitini, Maghanga alichukua simu na kupiga picha yake, aliyochapisha kwenye Facebook. Lengo lake lilikuwa kufahamu mengi kuhusu nyoka huyo. Alistaajabu kugundua kuwa nyoka huyo alikuwa mwenye sumu kali. Mongabay ilimtembelea Maghanga na kumpata akiwa ametoka kuhamasisha wanajamii kuhusu nyoka na jinsi ya kuishi nao kwa amani. Alielezea jinsi tukio hilo lilibadili mienendo yake: “Baada ya tukio hilo, uoga wangu kwa nyoka ulianza kufifia, na polepole nikataka kufahamu zaidi kuwahusu. Sasa mimi ni mshauri na mtaalamu wa kukamata nyoka na kuwahamisha sehemu salama.” John Maghanga akimtoa nyoka aliyekuwa ameingia kwa nyumba ya mkaazi wa Taita Taveta. Picha na Linah Mwamachi. Katika vijiji vilivyo milimani na tambarare zinazopakana na mbuga za wanyama za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, kusini mashariki mwa Kenya, wengi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu kwa upesi na wengine kuachwa na makovu ya ulemavu. Migogoro kati ya binadamu na nyoka mara nyingi hutokea katika msimu wa mvua, wanyama hao wanapotoroka hifadhi zao na kutangamana na binadamu. Katika maeneo yaliyopakana na mbuga za wanyamapori za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, binadamu pia huwaua nyoka kiholela, kutokana na uoga wa kuumwa, japo si nyoka wote ni hatari. Kupitia shirika la Snake Community Action Now (SCAN) Maghanga sasa anahamasisha umma jinsi ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/#respond</comments>
					<pubDate>23 Mei 2026 21:35:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/23214326/Screenshot-2026-05-24-004210-768x468.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1696</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uhifadhi, na  Umeme]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mnamo Mei 21, wakazi wa Sakwa Kusini Mashariki mwa Kenya, walikusanyika kupinga mpango wa Serikali wa kujenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia karibu na makazi yao, kandokando ya Ziwa Victoria. Sakwa, iliyopo katika kaunti ya Siaya, ni makazi ya jamii ya Waluo na iko kwenye mwambao wa ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mnamo Mei 21, wakazi wa Sakwa Kusini Mashariki mwa Kenya, walikusanyika kupinga mpango wa Serikali wa kujenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia karibu na makazi yao, kandokando ya Ziwa Victoria. Sakwa, iliyopo katika kaunti ya Siaya, ni makazi ya jamii ya Waluo na iko kwenye mwambao wa ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi barani Afrika, ambalo linapatikana Kenya, Uganda na Tanzania. Mwisho wa Machi 2026, wakati wa kongamano la kimataifa kuhusu nishati ya nyuklia, Rais wa Kenya William Ruto alitangaza ujenzi wa kinu cha nyuklia chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,000 katika eneo hilo. Kwa sasa hakuna taarifa rasmi kuhusu mpango huo kwenye tovuti ya Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA). Hata hivyo, Ruto alisema ujenzi utaanza mwaka ujao na kinu hicho kinatarajiwa kuanza kuzalisha umeme mwaka 2034. “Hakuna nchi yoyote duniani iliyowahi kufanikisha malengo yake ya maendeleo bila kuwa na nishati ya kutosha na ya kuaminika,” alisema Ruto. Pia alisisitiza kuwa nishati ya nyuklia inatambuliwa na Umoja wa Mataifa kama chanzo cha nishati chenye kiwango kidogo cha uzalishaji wa hewa ukaa na muhimu katika kufanikisha Agenda ya Maendeleo Endelevu ya 2030. “Kuunganisha nishati ya nyuklia katika gridi ya taifa ni hatua ya kimkakati ya kupata suluhisho la muda mrefu litakalokidhi ongezeko la mahitaji ya umeme nchini Kenya,” alisema. Katika hotuba yake, Ruto alifafanua kuwa tayari alikuwa ameshauriana na wakazi wa Siaya na kujiridhisha kuwa jamii za eneo hilo zinaunga mkono mradi huo. Hata hivyo, maandamano ya hivi karibuni yanaonyesha hali halisi ni tofauti. Aidha, ombi la kupinga mradi huo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>21 Mei 2026 16:53:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/21160452/2-Iringa-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1680</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mimea, Misitu, Miti, Upandaji Miti, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka 2024 pekee, ikipoteza hekta 271,000. Sababu zinazotajwa kuchangia upotevu huo ni pamoja na shughuli za binadamu zinazochochewa na hitaji la kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, kupanuka kwa miji na ukataji wa miti kwa ajili ya kujengea nyumba. Chanzo kikuu ni utegemezi mkubwa wa nishati itokayo na miti ambapo zaidi ya asilimia 85 ya kaya nchini Tanzania hutegemea mkaa na kuni kwa ajili ya kupikia. Dk Elikana John, Meneja wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), anasema ili kuingilia kati uharibifu huo, TFS ikishirikiana na taasisi na wadau wa mazingira nchini, imekuwa ikitoa miche ya matunda na ya vivuli ili kutekeleza miradi ya kupanda miti sehemu mbalimbali ikiwemo mashuleni, hospitalini na majumbani. Mwanafunzi Charles Godfrey wa Shule ya Msingi Makweli, Kata ya Vugiri, Halmashauri ya Korogwe akipanda miti katika eneo la shule ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Eco-Schools. Picha na Jenifer Gilla. Katika mikoa ya Morogoro, Iringa na Tanga, baadhi ya shule za msingi na sekondari zimeanzisha utaratibu wa kurejesha miti iliyotoweka kupitia programu ya Eco-Schools ambapo wanafunzi ni washiriki wakuu katika uhifadhi wa mazingira. Programu hiyo inafadhiliwa na Shirika la uhifadhi wa misitu la Tanzania Forest Conservation Group (TFCG).&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>