<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=bioanuai&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/bioanuai/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Fri, 28 Aug 2026 16:47:28 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Mbuzi mwitu maarufu wa Ethiopia warejea kwenye hatari kubwa ya kutoweka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/#respond</comments>
					<pubDate>05 Agosti 2026 12:30:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Shreya Dasgupta]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/05122610/Screenshot-2026-08-05-152416-768x496.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2357</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Ethiopia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Bustani za wanyama, Ikolojia, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Matumizi ya Wanyamapori, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Spishi Zilizo Hatarini Sana, Ujangili, Uokoaji wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mbuzi mwitu wa Walia, spishi adimu ya mbuzi anayepatikana kaskazini mwa Ethiopia pekee, kwa mara nyingine ametambuliwa kama mnyama aliye katika hatari kubwa ya kutoweka(Critically Endangered) baada ya tathmini za hivi karibuni kuonyesha idadi yake imeendelea kupungua na kushuka chini ya kiwango muhimu kinachotumiwa na wataalamu wa uhifadhi. Mnyama huyo maarufu hupatikana zaidi kwenye miamba mirefu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Mbuzi mwitu maarufu wa Ethiopia warejea kwenye hatari kubwa ya kutoweka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mbuzi mwitu wa Walia, spishi adimu ya mbuzi anayepatikana kaskazini mwa Ethiopia pekee, kwa mara nyingine ametambuliwa kama mnyama aliye katika hatari kubwa ya kutoweka(Critically Endangered) baada ya tathmini za hivi karibuni kuonyesha idadi yake imeendelea kupungua na kushuka chini ya kiwango muhimu kinachotumiwa na wataalamu wa uhifadhi. Mnyama huyo maarufu hupatikana zaidi kwenye miamba mirefu na maeneo magumu kufikika ya Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Simien. Awali alikuwa ameorodheshwa katika kundi la wanyama walio hatarini (Vulnerable) kwenye Orodha Nyekundu ya Muungano wa Kimataifa wa Uhifadhi wa Mazingira (IUCN). Hali ya uhifadhi wa Walia ibex (Capra walie) imekuwa ikibadilika kwa miaka. Mwaka 1986, iliorodheshwa kuwa katika hatari ya kutoweka (Endangered), kisha ikawekwa katika kundi la walio katika hatari kubwa ya kutoweka (Critically Endangered) mwaka 1996, kabla ya kurejeshwa tena katika kundi la walio katika hatari ya kutoweka (Endangered) mwaka 2008. Kati ya mwaka 2009 na 2012, tafiti zilionyesha idadi ya Walia ibex iliongezeka kutoka wanyama 680 hadi 850. Kutokana na mwenendo huo, watafiti walikadiria kuwa ifikapo mwaka 2020, idadi hiyo ingefikia wanyama 975. Kwa msingi huo, walihitimisha kuwa hali ya spishi hiyo ilikuwa imeimarika na kuishusha hadi kundi la walio hatarini (Vulnerable). Hata hivyo, tathmini ya mwaka 2020 ilibaini kuwa mwaka 2019 idadi ya Walia ibex ilifikia 619 pekee, lakini ilihitimisha kuwa rekodi hiyo ya mwaka mmoja haikubadilisha mwenendo wa jumla wa ongezeko la idadi yao. “Kwa uelewa tulionao sasa, hitimisho hilo halikuwa sahihi,” alisema Paul Scholte, mshauri mwandamizi wa Mamlaka ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Ethiopia na kiongozi wa tathmini&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/mbuzi-mwitu-maarufu-wa-ethiopia-warejea-kwenye-hatari-kubwa-ya-kutoweka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Safari ya Tanzania kuelekea matumizi ya nishati safi katika usafiri: Nini kimefanyika hadi sasa?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/30/safari-ya-tanzania-kuelekea-matumizi-ya-nishati-safi-katika-usafiri-nini-kimefanyika-hadi-sasa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/30/safari-ya-tanzania-kuelekea-matumizi-ya-nishati-safi-katika-usafiri-nini-kimefanyika-hadi-sasa/#respond</comments>
					<pubDate>30 Julai 2026 12:22:39 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/30073721/Magari2-1-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2264</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Halijoto, Kaboni, Mabadiliko ya Tabianchi, Maliasili, Mazingira, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, Nishati safi, Sera ya Mabadiliko ya Tabianchi, Sera za Mazingira, Serikali, Sheria, Siasa za Mabadiliko ya Tabianchi, Siasa za Mazingira, Siasa za Nishati, Siasa za Tabianchi, Teknolojia, Uendelevu, na  Ufanisi wa nishati]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Na Mpango wa Tanzania wa kuhamia matumizi ya nishati safi katika usafiri ili kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa inayotokana na mafuta ya magari, umeanza kutekelezwa. Hadi sasa baadhi ya hatua za mpango huo zinaendelea kutekelezwa kwa mafanikio ingawa pia kuna changamoto kadhaa zinazohitaji kushughulikiwa. Juni 12, mwaka huu, serikali ya Tanzania ilitangaza dhamira yake ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/30/safari-ya-tanzania-kuelekea-matumizi-ya-nishati-safi-katika-usafiri-nini-kimefanyika-hadi-sasa/" data-wpel-link="internal">Safari ya Tanzania kuelekea matumizi ya nishati safi katika usafiri: Nini kimefanyika hadi sasa?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Na Mpango wa Tanzania wa kuhamia matumizi ya nishati safi katika usafiri ili kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa inayotokana na mafuta ya magari, umeanza kutekelezwa. Hadi sasa baadhi ya hatua za mpango huo zinaendelea kutekelezwa kwa mafanikio ingawa pia kuna changamoto kadhaa zinazohitaji kushughulikiwa. Juni 12, mwaka huu, serikali ya Tanzania ilitangaza dhamira yake ya kuhamia matumizi ya nishati safi kwenye vyombo vya usafiri kwa kuzielekeza taasisi zote za umma kuanza kujumuisha ununuzi wa magari yanayotumia umeme na gesi asilia katika mipango na bajeti zao. Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omari, wakati akiwasilisha bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 bungeni jijini Dodoma, alisema lengo la mpango huo ni kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa inayotokana na mafuta ya magari ambayo huchochea athari za mabadiliko ya tabianchi pamoja na kupunguza gharama kubwa za kununua mafuta. Bajaji zinazotumia umeme. Picha ya Jenifer Gilla, Mongabay. Hatua hiyo pia ni sehemu ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050  na Michango ya Taifa Iliyoamuliwa (NDCs) chini ya Mkataba wa Paris ambapo Tanzania imeahidi kupunguza uzalishaji wa gesi chafu kupitia sekta za nishati na usafiri. Uzalishaji wa hewa ya ukaa Mpango wa kutumia nishati safi kwenye vyombo vya usafiri nchini Tanzania, iwapo utafanikiwa, utapunguza kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa hewa ukaa inayotokana na mafuta ya magari ambayo huchochea athari za mabadiliko ya tabianchi. Msololo Onditi, Mtaalam wa mabadiliko ya tabianchi na Mshauri wa Masuala ya mabadiliko ya tabianchi katika Shirika la Maendeleo la Ujerumani Tanzania (GIZ), anasema kila lita moja ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/30/safari-ya-tanzania-kuelekea-matumizi-ya-nishati-safi-katika-usafiri-nini-kimefanyika-hadi-sasa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/30/safari-ya-tanzania-kuelekea-matumizi-ya-nishati-safi-katika-usafiri-nini-kimefanyika-hadi-sasa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Teknolojia ya kisasa yabadilisha ukulima wa mwani na kuongeza kipato cha wakulima Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/teknolojia-ya-kisasa-yabadilisha-ukulima-wa-mwani-na-kuongeza-kipato-cha-wakulima-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/teknolojia-ya-kisasa-yabadilisha-ukulima-wa-mwani-na-kuongeza-kipato-cha-wakulima-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>28 Julai 2026 17:58:22 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Mazera Ndurya]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/28172645/Screenshot-2026-07-28-202121-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2245</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Bahari ya Kina, Baharini, Biashara, Biashara Endelevu, Biashara ya Kilimo, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Jinsia na Uhifadhi, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mimea, Ongezeko la Joto Baharini, na  Viwango vya Bahari]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KWALE, Kenya &#8211; Kadri changamoto za soko zinavyoongezeka ndivyo wakulima wa mwani wanavyochangamkia mbinu mpya za uzalishaji na uuzaji wa mmea huo wa baharini. Wakisaidiwa na utafiti, ubunifu na teknolojia, wakulima wa mwani katika vijiji vya Kibuyuni, Kijiweni, Mtimbwani na Changai, katika ukanda wa pwani wa Shimoni-Vanga, Kaunti ya Kwale, wameanza kuona matunda ya mbinu tofauti-tofauti [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/teknolojia-ya-kisasa-yabadilisha-ukulima-wa-mwani-na-kuongeza-kipato-cha-wakulima-kenya/" data-wpel-link="internal">Teknolojia ya kisasa yabadilisha ukulima wa mwani na kuongeza kipato cha wakulima Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KWALE, Kenya &#8211; Kadri changamoto za soko zinavyoongezeka ndivyo wakulima wa mwani wanavyochangamkia mbinu mpya za uzalishaji na uuzaji wa mmea huo wa baharini. Wakisaidiwa na utafiti, ubunifu na teknolojia, wakulima wa mwani katika vijiji vya Kibuyuni, Kijiweni, Mtimbwani na Changai, katika ukanda wa pwani wa Shimoni-Vanga, Kaunti ya Kwale, wameanza kuona matunda ya mbinu tofauti-tofauti wanazotumia baharini na hata katika kutafuta soko. Marinda Masudi, mwenye umri wa miaka 40, ni miongoni mwa wakulima waliojitosa katika ukulima wa mwani kama njia moja ya kukidhi mahitaji ya familia yake. Ilimchukua muda kuamua kujiingiza katika kilimo hicho, lakini biashara yake ya mahamri ilipoanza kudorora, hakuwa na la ziada. Wanawake kutoka Mwazaro, Kaunti ya Kwale, wakionyesha baadhi ya bidhaa, zikiwemo krimu na sabuni walizotengeneza kutoka kwa mwani. Picha na Mazera Ndurya, Mongabay. “Baada ya kujisajili na Kitengo cha Kusimamia Fukwe (BMU) cha Kibuyuni, nilionyeshwa sehemu ya kuanza kulima mwani, na baada ya takriban miezi miwili nilianza kuvuna mwani, kuukausha na kuuuza. Mapato niliyopata nilimsaidia mume wangu kuwasomesha watoto. Mara ya kwanza nilipovuna na kuuza mwani kutoka kwa bloki mbili, nilipata kima cha KSh30,000 ($230),” alisema Marinda. Kama ilivyokuwa na wakulima wengine, alipoanza ukulima, walikuwa wakitumia mbinu ile ambayo imetumika tangu jadi, ambayo hufanyika katika maeneo karibu na ufuo wa bahari. “Mkulima alihitajika kuingia msituni na kukata vigingi vingi vya kufungia kamba na kuweka mbegu. Kwa shamba moja la vipande sita, mtu alihitaji vigingi 300 kufanikisha ukulima wa mwani,” Marinda alieleza. Mbinu ya jadi ilijulikana kama sikio moja au mfungo mmoja, yaani kufunga mbegu moja moja kwenye kamba. Kwa mujibu wa kitabu “Sea Level Rise and Ocean Health in the&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/teknolojia-ya-kisasa-yabadilisha-ukulima-wa-mwani-na-kuongeza-kipato-cha-wakulima-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/teknolojia-ya-kisasa-yabadilisha-ukulima-wa-mwani-na-kuongeza-kipato-cha-wakulima-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kukutwa na meno ya tembo: Mahakama yatupa rufaa ya Jamhuri</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/#respond</comments>
					<pubDate>28 Julai 2026 10:16:11 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/28111600/Tembo-6-1.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2227</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Haramu, Biashara ya Pembe za Ndovu, Bioanuai, Pembe za Ndovu, Sehemu za Bioanuwai, Sheria, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro imeitupilia mbali rufaa ya Jamhuri ya kupinga hukumu iliyowaachia huru Yahaya Juma na mwenzake. Washitakiwa hao walikuwa wanadaiwa kukutwa na vipande 18 na meno matatu ya tembo yenye thamani ya Dola za Marekani 120,000. Hukumu ya Mahakama hiyo ilitolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Stephen Magoiga [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kukutwa na meno ya tembo: Mahakama yatupa rufaa ya Jamhuri</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro imeitupilia mbali rufaa ya Jamhuri ya kupinga hukumu iliyowaachia huru Yahaya Juma na mwenzake. Washitakiwa hao walikuwa wanadaiwa kukutwa na vipande 18 na meno matatu ya tembo yenye thamani ya Dola za Marekani 120,000. Hukumu ya Mahakama hiyo ilitolewa na Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Stephen Magoiga baada ya kusikiliza mawasilisho ya pande zote mbili. Rufani hiyo iliyowasilishwa na Wakili wa Serikali Paulina Massawe ilitokana na uamuzi wa Mahakama ya Wilaya ya Morogoro uliowaachia huru Yahaya Juma na Masima Mlugu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kukutwa na vipande 18 na meno matatu ya tembo yenye thamani ya Dola za Marekani 120,000 bila kibali halali. Mahakama ya Wilaya Katika Mahakama ya Wilaya, upande wa mashtaka uliwasilisha mashahidi sita, akiwemo mtunza vielelezo, askari aliyefanya ukamataji, shahidi huru aliyeshuhudia upekuzi na ukamataji, mhifadhi wa wanyamapori aliyefanya uthamini wa meno ya tembo, askari wa TANAPA aliyeshiriki operesheni pamoja na mpelelezi wa kesi. Upande wa mashtaka uliwasilisha vielelezo saba, vikiwemo vipande 18 vya meno ya tembo, meno matatu kamili ya tembo, magunia mawili ya salfeti yaliyobebea meno hayo, pikipiki aina ya FEKON yenye namba T43 CNF, hati ya ukamataji na ripoti ya uthamini iliyoonyesha kuwa nyara hizo zilikuwa na thamani hiyo. Kwa upande wa utetezi, washtakiwa wote wawili walitoa ushahidi wao wenyewe. Mshtakiwa wa kwanza aliwasilisha pia flashi diski iliyokuwa na video ya YouTube akidai kuwa meno ya tembo yaliyoonyeshwa kwenye taarifa ya habari hayakuwa na alama, tofauti na yale yaliyowasilishwa mahakamani kama vielelezo. Mahakama ya Wilaya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-ya-kukutwa-na-meno-ya-tembo-mahakama-yatupa-rufaa-ya-jamhuri/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kesi ya kumiliki nyara za Serikali: Mahakama yabatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/#respond</comments>
					<pubDate>28 Julai 2026 10:03:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/28112229/ELEPHANT-3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2230</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Haramu, Biashara ya Kimataifa, Biashara ya Pembe za Ndovu, Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Pembe za Ndovu, Sheria, Tembo, Uhalifu, Usafirishaji wa Wanyamapori, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR-ES-SALAAM, Tanzania — Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imekubali rufaa ya Yegela Nchola na kubatilisha hukumu ya kutiwa hatiani na kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria. Mahakama hiyo pia mbele ya Jaji Musa Pomo imeamuru kesi hiyo isikilizwe upya mbele ya mahakama yenye mamlaka. Awali, Mahakama [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/" data-wpel-link="internal">Kesi ya kumiliki nyara za Serikali: Mahakama yabatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR-ES-SALAAM, Tanzania — Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imekubali rufaa ya Yegela Nchola na kubatilisha hukumu ya kutiwa hatiani na kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria. Mahakama hiyo pia mbele ya Jaji Musa Pomo imeamuru kesi hiyo isikilizwe upya mbele ya mahakama yenye mamlaka. Awali, Mahakama ya Wilaya ya Songwe ilimhukumu mshtakiwa baada ya kutiwa hatiani kwa kukutwa na vipande 10 vya meno ya tembo vyenye thamani ya $60,000 bila kibali halali. Upande wa mashtaka uliita mashahidi sita na kuwasilisha vielelezo mbalimbali, huku mshtakiwa akikana mashtaka na kudai alikamatwa kimakosa alipokuwa amekwenda kununua mahindi na hakuwa na shahidi. Mamlaka ya mahakama Katika rufaa yake, Nchola alijiwakilisha mwenyewe, alipinga hukumu hiyo akidai miongoni mwa mambo mengine kuwa Mahakama ya Wilaya haikuwa na mamlaka ya kusikiliza shauri hilo kwa kuwa kumbukumbu za kesi hazikuonyesha kuwepo kwa hati ya idhini ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) pamoja na cheti cha mamlaka vinavyotakiwa kisheria katika makosa ya uhujumu uchumi. Katika kuunga mkono rufaa yake, mrufani alidai kuwa upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha shtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote ya msingi. Alidai kuwa ushahidi wa shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka (PW1) kuhusu uthamini wa nyara za Serikali haukuwa wa kuaminika. Pia alidai kuwa mlolongo wa utunzaji wa vielelezo haukuthibitishwa kwa sababu shahidi muhimu hakuitwa kutoa ushahidi. Aidha alidai kuwa mashahidi wa upande wa mashtaka walishindwa kuvitambua ipasavyo vielelezo walipokuwa wakitoa ushahidi mahakamani. Uhalali wa vielelezo Aliongeza kuwa hata mahakama ya mwanzo ilionyesha mashaka kuhusu uhalali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/28/kesi-kumiliki-nyara-za-serikali-mahakama-yabatilisha-hukumu-ya-kifungo-cha-miaka-20-jela/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/#respond</comments>
					<pubDate>24 Julai 2026 16:13:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/24162115/Boulengerula-niedeni_John-Measey-1000x667-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2211</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Amfibia, Ardhi iliyoharibika, Biashara ya mbao, Bioanuai, Elimu, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kutoweka, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mbao, Miti, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Upandaji Miti, Urejesho wa Asili, na  Wanyama wasio na Mifupa ya Mgongo]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka tambarare za mji wa Voi, Mongabay ilizuru msitu huo wa Sagalla unaoweza kufikiwa kwa gari na pikipiki hadi sehemu fulani, na sehemu iliyosalia hufikiwa kwa miguu. Mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni. Picha na Patrick Malonza. Mongabay ilitaka kufahamu iwapo jamii inatambua spishi hii na faida zake kwa ikolojia, na ilifanikiwa kukutana na wanajiji wakiwa katika shughuli zao za kila siku shambani. “Mimi sikuwa nafahamu mnyama huyu. Nilikuwa namuona shambani kisha namkatakata kwa jembe au namgonga kwa mawe ili afe, kwa sababu anafanana na nyoka,” anasema Jemimah Mwaiga. Sasa Mwaiga anafahamisha Mongabay kuhusu umuhimu wa kiumbe huyo, na kufafanua jinsi walihusishwa katika kutafuta jina lake la kinyumbani, “kilima mrota”. “Tulijifunza kuwa kiumbe huyo husaidia katika ukulima na ubora wa mchanga kwa kuchanganya mchanga na virutubisho vilivyo mchangani na kuongeza rutuba ya asili ya mchanga,” Mwaiga anaelezea Mongabay. Mwanasayansi wa masuala ya mchanga na mazingira Kenneth Macharia wa shirika la Edge of Existence, anasema kiumbe huyu ni wa kipekee katika mlima wa Sagalla. Huishi katika mazingira yenye unyevunyevu, na mchanga wenye rutuba. Macharia anaongeza: “Jamii zinaweza kuimarisha kilimo pamoja na utunzaji wa mazingira kwa kutumia mbinu bora katika mchanga kama vile kupanda miti ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2026 18:48:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amina Chombo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/16182830/Dangote-thehabarinetwork-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2128</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara ya Kimataifa, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mashirika, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Misitu, Nishati, Samaki, Serikali, Siasa za Nishati, Spishi, Uanaharakati, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Uchumi, Uharakati wa Mazingira, Utawala, Uvuvi, na  Viwanda]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>LAMU, Kenya – Pendekezo la bilionea wa Nigeria Aliko Dangote kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta cha $17 bilioni katika Kaunti ya Lamu, nchini Kenya, limezua mjadala mkali, huku serikali ikikitaja kama kichocheo cha uchumi, na wanaharakati wakionya kuhusu athari zake kwa ikolojia na maisha ya jamii za pwani. Dangote achagua Kenya Baada ya miezi kadhaa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[LAMU, Kenya – Pendekezo la bilionea wa Nigeria Aliko Dangote kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta cha $17 bilioni katika Kaunti ya Lamu, nchini Kenya, limezua mjadala mkali, huku serikali ikikitaja kama kichocheo cha uchumi, na wanaharakati wakionya kuhusu athari zake kwa ikolojia na maisha ya jamii za pwani. Dangote achagua Kenya Baada ya miezi kadhaa ya uvumi kuhusu iwapo kiwanda hicho kingejengwa Kenya, Uganda au Tanzania, kampuni ya Dangote Industries ilichagua Kenya kuwa mwenyeji wa uwekezaji huo. Katika ripoti iliyochapishwa na Reuters, Makamu Rais wa Kitengo cha Mafuta na Gesi wa Dangote Industries Limited, Edwin Devakumar, alithibitisha kuwa kiwanda hicho chenye uwezo wa kusafisha mapipa 700,000 ya mafuta ghafi kwa siku kitajengwa katika Kisiwa cha Lamu na kinatarajiwa kukamilika ndani ya miaka mitatu. Mafuta ghafi yanatarajiwa kupatikana kutoka nchi za Afrika Mashariki, zikiwemo Uganda, Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Iwapo mradi huo utakamilika, utafuata mfano wa kiwanda cha Dangote kilichopo karibu na Lagos, Nigeria, chenye uwezo wa kusafisha mapipa 650,000 kwa siku, na ambacho kilianza uzalishaji mwaka 2024 na ndicho kikubwa zaidi barani Afrika. Serikali yaeleza manufaa Rais William Ruto, akimteua naibu wake Kithure Kindiki kusimamia mradi huo, alisema Kenya imefikia makubaliano na Dangote ya kuendeleza mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta. Rais wa Kenya, William Ruto, akizungumza katika ikulu ya Nairobi mnamo Julai 8, 2026. Picha kwa hisani ya PSC. Kwa mujibu wa Ruto, kiwanda hicho kitahudumia masoko ya Afrika Mashariki na Afrika ya Kati, na kinatarajiwa kuunda takribani nafasi za ajira 60,000 wakati wa ujenzi na uendeshaji wake. Wanaharakati wapinga Wakati serikali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/mradi-wa-kiwanda-cha-kusafisha-mafuta-lamu-wazua-hofu-za-wanaharakati-wa-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kuboresha uvuvi unaozidi kutapatapa, Kenya yaongeza ukusanyaji wa takwimu za boti za wavuvi wadogo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2026 08:18:04 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anthony Langat]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/16074828/Screenshot-2026-07-16-003002-768x499.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2110</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Sehemu za Bioanuwai, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, Uzuri wa Kiikolojia, na  Viwango vya Bahari]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>MTWAPA, Kenya — Katika asubuhi moja ya mwezi wa Machi, Mohamed Mwazigona, mwenye umri wa miaka 58, alikuwa amepata mavuno madogo sana ya samaki kwenye ufukwe wa mji wa Mtwapa, ulioko pwani ya kaskazini mwa Kenya. Wafanyakazi wake walikuwa wakilitayarisha boti kwa ajili ya safari ya pili baharini, wakitumai kupata bahati nzuri zaidi. Huku wafanyabiashara [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/" data-wpel-link="internal">Kuboresha uvuvi unaozidi kutapatapa, Kenya yaongeza ukusanyaji wa takwimu za boti za wavuvi wadogo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[MTWAPA, Kenya — Katika asubuhi moja ya mwezi wa Machi, Mohamed Mwazigona, mwenye umri wa miaka 58, alikuwa amepata mavuno madogo sana ya samaki kwenye ufukwe wa mji wa Mtwapa, ulioko pwani ya kaskazini mwa Kenya. Wafanyakazi wake walikuwa wakilitayarisha boti kwa ajili ya safari ya pili baharini, wakitumai kupata bahati nzuri zaidi. Huku wafanyabiashara walipoanza kuwasili ili kununua samaki, Mwazigona alikaa juu ya boti iliyovunjika na kupinduliwa akitazama upeo wa bahari. Safari yake ya asubuhi ilikuwa imemletea kilo 2 pekee za samaki. Alikuwa na hofu kuhusu kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mavuno yake ya samaki katika miaka ya hivi karibuni. &#8220;Idadi ya wavuvi imeongezeka; tumekuwa wengi mno,&#8221; alisema. Hiyo ndiyo sababu kuu iliyomfanya aondoke kijijini kwake Shariani, kilichoko umbali wa kilomita 40 kuelekea kaskazini, ili kufanyia shughuli zake za uvuvi Mtwapa; eneo aliloona kuwa na wavuvi wachache na uwezekano mzuri zaidi wa kufikia masoko. Nchini Kenya, vitengo vya usimamizi wa fukwe (BMU), kama vile Mtwapa BMU Mtwapa BMU ambayo Mwazigona ni mali yake, vina mamlaka ya kisheria ya kusaidia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi kwa ajili ya kuwasilishwa kwa serikali: hasa aina ya samaki ambao wanachama wake huvua na uzito. Takwimu hizi zinalenga kufahamisha uamuzi wa serikali kuhusu uvuvi mdogo ili iweze kusaidia kubadilisha ushindani wa kupungua kwa samaki ambao Mwazigona na wenzake wanashuhudia. Pia zinalenga kuwasaidia wavuvi wenyewe kufanya maamuzi kuhusu wapi na wakati wa kuvua. Hata hivyo, takwimu za uvuvi mdogo za BMU hazijakuwa sahihi na haipatikani kwa wadau. Ili kushughulikia tatizo hili na kuboresha uendelevu wa uvuvi mdogo wa Kenya,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/kuboresha-uvuvi-unaoendelea-kutapatapa-kenya-yaongeza-ukusanyaji-wa-takwimu-za-boti-za-wavuvi-wadogo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ushirikishwaji wa jamii, wadau warejesha ikolojia ya bahari Namakongoro</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/#respond</comments>
					<pubDate>15 Julai 2026 11:11:59 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/14191215/Namakongoro-4-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2075</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Maziwa, Mifumo ya Ikolojia, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, Uvuvi wa Kupita Kiasi, na  Uzuri wa Kiikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Miaka minne iliyopita, ikolojia ya bahari katika kijiji cha Namakongoro kilichopo katika Kata ya Limaliyao, Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, kwenye ukanda wa kusini wa Bahari ya Hindi, ikiwamo matumbawe, nyasi bahari na mikoko iliharibika vibaya kutokana na kukithiri kwa matukio ya uvuvi haramu hasa wa kutumia vilipuzi kama baruti. Hali hiyo ilisababisha uharibifu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/" data-wpel-link="internal">Ushirikishwaji wa jamii, wadau warejesha ikolojia ya bahari Namakongoro</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Miaka minne iliyopita, ikolojia ya bahari katika kijiji cha Namakongoro kilichopo katika Kata ya Limaliyao, Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, kwenye ukanda wa kusini wa Bahari ya Hindi, ikiwamo matumbawe, nyasi bahari na mikoko iliharibika vibaya kutokana na kukithiri kwa matukio ya uvuvi haramu hasa wa kutumia vilipuzi kama baruti. Hali hiyo ilisababisha uharibifu mkubwa wa makazi ya viumbe baharini, hivyo kupunguza idadi ya samaki, pweza na viumbe wengine wanaotegemea mazingira hayo kuishi na kuzaliana. Baadhi ya viumbe walihamia kwenye maeneo yenye kina kirefu, jambo lililovuruga mfumo wa ikolojia wa bahari na kupunguza bioanuwai. Hata hivyo, tangu mwaka 2021 hali ilianza kubadilika kufuatia juhudi za pamoja za jamii, Serikali, Kitengo cha Usimamizi Shirikishi wa Ufukwe (BMU) na taasisi ya Sea Sense, inayojihusisha na uhifadhi wa mazingira ya bahari na ukanda wa pwani, kuanzisha mikakati ya uhifadhi wa bahari. Wavuvi wa Namakongoro wakipewa mafunzo ya uhifadhi bahari kupitia njia za uvuvi endelevu na Maofisa wa Halmashauri ya Namakongoro pamoja na Taasisi ya Seasense. Picha kwa hisani ya SeaSense. Juhudi hizo zimeleta mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kusaidia kurejesha matumbawe, kuongeza wingi wa samaki waliokuwa wamepungua pamoja na kupungua kwa kiwango kikubwa kwa uvuvi haramu. Kurejesha uhai wa bahari Mafanikio ya kurejesha uhai wa bahari Namakongoro yametokana na ushirikiano wa karibu kati ya wanakijiji, Kitengo cha Usimamizi Shirikishi wa Ufukwe (BMU), Sea Sense na Serikali. Baada ya kubaini kuwa chanzo kikuu cha uharibifu huo kilikuwa ni uvuvi haramu, taasisi ya Sea Sense iliingia katika kijiji cha Namakongoro. Mratibu wa Mradi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/15/ushirikishwaji-wa-jamii-wadau-warejesha-ikolojia-ya-bahari-namakongoro/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kelele baharini: Vita vya jamii kulinda viumbe wa baharini vyapata msukumo wa kimataifa</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/14/kelele-baharini-vita-vya-jamii-kulinda-viumbe-wa-baharini-vyapata-msukumo-wa-kimataifa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/14/kelele-baharini-vita-vya-jamii-kulinda-viumbe-wa-baharini-vyapata-msukumo-wa-kimataifa/#respond</comments>
					<pubDate>14 Julai 2026 18:14:27 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/14175046/Omar-Shafi-akishona-nyavu-yake-yakuvulia-samaki-katika-eneo-la-Mtangawanda-kaunti-ya-LamuKenya.-Picha-na-Ruth-Keah.-2-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2062</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, na  Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Majadiliano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Sayansi, Sayansi ya Hali ya Tabianchi, Sayansi ya Uhifadhi wa Mazingira ya Kitropiki, Sehemu za Bioanuwai, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Ustawi wa Wanyama, Utafiti, Uvuvi, Wanyama, na  Wanyama wa Baharini]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika eneo la jeti, Mtangawanda, Kaunti ya Lamu, kwenye ufuo wa Bahari ya Hindi, mwendo wa saa sita mchana, Omar Shafi ameketi kwenye kivuli cha banda la wavuvi, akikarabati kwa makini nyavu yake ya kuvulia samaki. Ni shughuli ambayo anaifanya kila siku baada ya kutoka baharini kuvua samaki. Anapomaliza, yeye huiweka sehemu salama kwa ajili ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/14/kelele-baharini-vita-vya-jamii-kulinda-viumbe-wa-baharini-vyapata-msukumo-wa-kimataifa/" data-wpel-link="internal">Kelele baharini: Vita vya jamii kulinda viumbe wa baharini vyapata msukumo wa kimataifa</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika eneo la jeti, Mtangawanda, Kaunti ya Lamu, kwenye ufuo wa Bahari ya Hindi, mwendo wa saa sita mchana, Omar Shafi ameketi kwenye kivuli cha banda la wavuvi, akikarabati kwa makini nyavu yake ya kuvulia samaki. Ni shughuli ambayo anaifanya kila siku baada ya kutoka baharini kuvua samaki. Anapomaliza, yeye huiweka sehemu salama kwa ajili ya uvuvi kesho yake. “Tangu nianze uvuvi miaka 40 sasa, nimekuwa nikitumia nyavu hizi za uzi kuvua samaki kwa sababu haziharibu mazingira ya bahari,” anasema Shafi. Omar Shafi akishona nyavu yake yakuvulia samaki katika eneo la Mtangawanda kaunti ya Lamu, Kenya. Picha na Ruth Keah, Mongabay. Kulingana naye, ujio wa zana mbalimbali za kuvulia samaki umeharibu mazingira ya bahari kiasi cha kwamba samaki na viumbe wengine baharini wamepungua sana. “Kuna zana nyingi ambazo wavuvi wanatumia, ambazo zinaharibu utulivu wa bahari. Hivyo husababisha baadhi ya viumbe baharini kupungua,” anasema. Vifaa vinavyosababisha kelele baharini ni kama meli kubwa za mizigo na abiria, boti za mwendo kasi, zana za kuvulia samaki kama trola, mitambo ya utafiti na uchimbaji na mitambo ya ujenzi wa miundombinu ya baharini. Vifaa hivi vimetajwa kusababisha kelele ambazo huathiri uwezo wa viumbe hao kuwasiliana, kusafiri na kusaka chakula. Kama anavyoeleza Shafi, nguva ni miongoni mwa wanyama baharini ambao alikuwa akikutana nao mara kwa mara alipoanza uvuvi hasa katika maeneo ya Manda na Dodori, kaunti ya Lamu. Lakini sasa imekuwa vigumu sana kwake kuwaona. Nguva bado yuko “Kwa maoni yangu, mnyama huyu nguva bado yuko, lakini kwa sababu bahari haina utulivu kutokana na kelele za vyombo vya uvuvi, nguva hukimbia, siwaoni tena,” anasema Omar. Taswira hiyo haielezwi na Shafi peke yake, bali pia&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/14/kelele-baharini-vita-vya-jamii-kulinda-viumbe-wa-baharini-vyapata-msukumo-wa-kimataifa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/14/kelele-baharini-vita-vya-jamii-kulinda-viumbe-wa-baharini-vyapata-msukumo-wa-kimataifa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ana kwa ana na kinara anayefungua njia na kutetea wanawake wa Uganda katika sekta ya uvuvi barani</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>13 Julai 2026 17:28:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/13171052/Screenshot-2026-07-13-195700-768x442.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2046</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Endelevu, Bioanuai, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Jinsia na Uhifadhi, Maji, Maziwa, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Samaki wa Maji safi, Sehemu za Bioanuwai, Uchafuzi wa Maji, Ufugaji Samaki, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, na  Uzuri wa Kiikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Akizungumza kwenye mkutano wa vikundi vya uhifadhi wa bahari na wataalamu wa maendeleo huko Watamu, Kenya, Lovin Kobusingye alikuwa na ujumbe mfupi: Wanawake wanaovua, wanaosindika na wanaouza samaki bado hawako kwenye mazungumzo kuhusu uchumi wa bahari unaokua barani Afrika. Kwa Kobusingye, changamoto zinazowakabili wanawake katika uvuvi ni sehemu ya maisha yake ya kila siku. &#8220;Uhalisia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Ana kwa ana na kinara anayefungua njia na kutetea wanawake wa Uganda katika sekta ya uvuvi barani</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Akizungumza kwenye mkutano wa vikundi vya uhifadhi wa bahari na wataalamu wa maendeleo huko Watamu, Kenya, Lovin Kobusingye alikuwa na ujumbe mfupi: Wanawake wanaovua, wanaosindika na wanaouza samaki bado hawako kwenye mazungumzo kuhusu uchumi wa bahari unaokua barani Afrika. Kwa Kobusingye, changamoto zinazowakabili wanawake katika uvuvi ni sehemu ya maisha yake ya kila siku. &#8220;Uhalisia wangu kila siku ni kwamba naamka na mtu mwenye bidii ya kazi akichukua sehemu yangu ya kutua, akichukua eneo langu la uvuvi,&#8221; aliiambia hadhira, akielezea jinsi maendeleo ya utalii na uwekezaji mwingine wa pwani yanavyoendelea kushindana na jamii za uvuvi wa jadi kwa ajili ya kupata ufikiaji wa bahari. Kobusingye alisema wanawake wengi wanakabiliwa na hatari katika sekta ya uvuvi, mazingira duni ya kazi na shinikizo linaloongezeka kutoka kwa maendeleo yanayozidi kusukuma shughuli za uvuvi pembezoni. Katika baadhi ya jamii, haki za kitamaduni zinapuuzwa na serikali; huku kuongezeka kwa kina cha bahari, mmomonyoko wa udongo na kupungua kwa samaki wanaovuliwa kukifanya maisha ambayo tayari ni magumu kuwa magumu zaidi, aliwaambia waliohudhuria mkutano ulioandaliwa na Ocean Resilience Climate Alliance (ORCA). Licha ya changamoto hizi, Kobusingye alisema wanawake wanasalia kuwa muhimu katika kuendeleza uvuvi na uchumi wa pwani. Husindika samaki, huuza vyakula vya baharini na kusaidia familia zao, ikiwa ni pamoja na kulipa ada za shule, kutokana na mapato wanayopata. Hata hivyo, licha ya jukumu lao katika sekta hiyo, wanawake wengi bado hawana usemi mkubwa katika jinsi uvuvi unavyosimamiwa. Lovin Kobusingye pia ni mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Kati Farms Ltd, kampuni ya usindikaji wa mazao ya kilimo. Picha kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/ana-kwa-ana-na-lovin-kobusingye-kinara-anayefungua-njia-na-kutetea-wanawake-wa-uganda-katika-sekta-ya-uvuvi-barani-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>‘Mpito wa pekee unaowezekana ni mpito wa haki’: Mahojiano na Clemence Schmid wa WEF</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/mpito-wa-pekee-unaowezekana-ni-mpito-wa-haki-mahojiano-na-clemence-schmid-wa-jukwaa-la-uchumi-duniani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/mpito-wa-pekee-unaowezekana-ni-mpito-wa-haki-mahojiano-na-clemence-schmid-wa-jukwaa-la-uchumi-duniani/#respond</comments>
					<pubDate>13 Julai 2026 16:04:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/13150952/Screenshot-2026-07-13-180713-768x466.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2039</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Chembechembe ndogo za plastiki, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Plastiki, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Samaki wa Maji safi, Sehemu za Bioanuwai, Sera ya Mabadiliko ya Tabianchi, na  Siasa za Mabadiliko ya Tabianchi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati wa Mkutano wa 11 wa Our Ocean uliofanyika katika jiji la pwani la Mombasa, serikali ya Kenya, pamoja na Ushirikiano wa Kimataifa wa Hatua dhidi ya Plastiki (GPAP) wa Jukwaa la Uchumi Duniani na UNDP Kenya, walizindua rasmi Ushirikiano wa Kitaifa wa Hatua Dhidi ya Plastiki wa Kenya (NPAP Kenya). Takriban tani milioni 14 za plastiki [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/mpito-wa-pekee-unaowezekana-ni-mpito-wa-haki-mahojiano-na-clemence-schmid-wa-jukwaa-la-uchumi-duniani/" data-wpel-link="internal">‘Mpito wa pekee unaowezekana ni mpito wa haki’: Mahojiano na Clemence Schmid wa WEF</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati wa Mkutano wa 11 wa Our Ocean uliofanyika katika jiji la pwani la Mombasa, serikali ya Kenya, pamoja na Ushirikiano wa Kimataifa wa Hatua dhidi ya Plastiki (GPAP) wa Jukwaa la Uchumi Duniani na UNDP Kenya, walizindua rasmi Ushirikiano wa Kitaifa wa Hatua Dhidi ya Plastiki wa Kenya (NPAP Kenya). Takriban tani milioni 14 za plastiki huishia baharini kila mwaka na zinachangia 80% ya uchafu wote wa baharini unaopatikana katika uso wa bahari na mashapo ya bahari kuu. Kenya inakabiliwa na changamoto kubwa za uchafuzi wa plastiki, haswa katika vituo vya mijini na kando ya pwani yake. Plastiki huchangia takriban 20% ya tani 22,000 za taka zinazozalishwa kila siku nchini Kenya, kulingana na makadirio. Ni 27% tu ya taka za plastiki zinakusanywa, ambapo 8% huchakatwa tena na 19% zilizobaki hutupwa katika majaa ya taka au madampo holela. Taka za plastiki ambazo hazijakusanywa na kusimamiwa vyema mara nyingi huishia kwenye mito na baharini. Huvuruga mifumo ikolojia, huhatarisha wanyamapori, na huathiri utalii na uvuvi. Mwaka wa 2017, Kenya ilianzisha marufuku ya matumizi, utengenezaji na uingizaji wa mifuko ya plastiki ya matumizi ya mara moja. Mnamo 2020, marufuku hiyo iliongezwa hadi plastiki zinazotumika mara moja katika maeneo yaliyohifadhiwa. Ushirikiano wa Kitaifa wa Hatua Dhidi ya Plastiki (NPAP Kenya) utasaidia kuharakisha mpito wa nchi hiyo kuelekea uchumi wa plastiki wa mviringo, kulingana na Clemence Schmid, Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Hatua dhidi ya Plastiki (Global Plastic Action Partnership – GPAP) katika Jukwaa la Uchumi Duniani (World Economic Forum – WEF). Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Hatua&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/mpito-wa-pekee-unaowezekana-ni-mpito-wa-haki-mahojiano-na-clemence-schmid-wa-jukwaa-la-uchumi-duniani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/13/mpito-wa-pekee-unaowezekana-ni-mpito-wa-haki-mahojiano-na-clemence-schmid-wa-jukwaa-la-uchumi-duniani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>03 Julai 2026 14:13:03 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Asha Bekidusa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/03133945/George-Kimau-akionyesha-eneo-la-Mrima-ambapo-ndani-ya-ardhi-hiyo-kuna-madini-ya-niobium-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1986</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Dawa ya Asili, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Milima, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Kitropiki, Misitu ya Milimani, Miti, Nyani, Sheria, Sheria ya Mazingira, Tamaduni za Kiasili, Teknolojia, Uchimbaji Madini, Uchumi, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Ukataji Miti, Utafiti, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa Mombasa. Anakumbuka mashimo yaliyoachwa baada ya baadhi ya sehemu za msitu kukatwa wakati kampuni zilipokuwa zikifanya tafiti za kutafuta madini. Zaidi ya mwongo mmoja baadaye, anasema, mashimo hayo yanaendelea kujiziba yenyewe. Ukitembea msituni, si rahisi kuona mashimo hayo madogo kwani yamefinikwa, baada ya mimea ya asili kuota tena kwa zaidi ya muongo mmoja. Mrima. Picha na Asha Bekidusa, Mongabay. Neno ‘Mrima’ linatoka katika jamii ya Wadigo, kumaanisha mlima. Msitu huu wa Mrima una rutuba kubwa na bioanuwai ya kipekee. Kadri unavyozidi kupanda mlimani, msitu huwa mnene zaidi na mwanga hupungua. Eneo hili liko kimya, isipokuwa sauti za wanyama, wadudu na miti ambayo mara kwa mara inatikisika kutokana na upepo unaovuma. Kwa mujibu wa Key Biodiversity Areas (KBA), eneo la Mrima lenye umuhimu wa bioanuwai lina ukubwa wa takriban kilomita za mraba 3.76 (sawa na takriban hekta 376), ambapo asilimia 95.77 ya eneo hilo iko chini ya hadhi mbalimbali za ulinzi wa kisheria. Utafiti na uharibifu wa misitu Kutokea miaka ya 1950, wataalamu wa jiolojia na makampuni ya madini wamekuwa wakifanya tafiti katika eneo la Mrima kutathmini uwepo wa madini ya niobium na madini adimu mengine. Stakabadhi za rekodi za kesi ya kampuni ya Cortec zinaonyesha kuwa utafiti wa awali ulifanywa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/#respond</comments>
					<pubDate>01 Julai 2026 12:04:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/29121017/meno-ya-tembo-3.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1945</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Ikolojia, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Tembo, Uhalifu, Uhalifu kwa Wanyamapori, Uhalifu uliopangwa, Uhalifu wa Mazingira, Usafirishaji wa Wanyamapori, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Katavi imemuondolea adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela Elvis Kalonga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali kwa sababu ya dosari na mkanganyiko uliobainika katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Jaji Mfawidhi, Godfrey Isaya ilitoa hukumu Juni 16,2026 baada ya kusikiliza rufani iliyowasilishwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/" data-wpel-link="internal">Aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali aondolewa adhabu ya kifungo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Katavi imemuondolea adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela Elvis Kalonga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali kwa sababu ya dosari na mkanganyiko uliobainika katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Jaji Mfawidhi, Godfrey Isaya ilitoa hukumu Juni 16,2026 baada ya kusikiliza rufani iliyowasilishwa na Kalonga dhidi ya Jamhuri akipinga kutiwa hatiani pamoja na adhabu aliyopewa Awali, Mahakama ya Wilaya ya Mlele ilimhukumu Kalonga kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa manne ya kumiliki nyara za Serikali kinyume cha sheria, pamoja na kosa la kuingia hifadhi ya taifa bila kibali na kubeba silaha ndani ya hifadhi. Ilidaiwa kwamba Novemba 8, 2025, askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi walimkamata Kalonga katika eneo la Kasandalala ndani ya hifadhi hiyo akiwa hana kibali na akiwa na silaha mbalimbali zikiwemo panga, shoka, vipande vya nondo, goroli na unga wa baruti. Pia alidaiwa kukutwa na nyama na viungo vya wanyamapori vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya TSh17,800,000. Sehemu ya ushahidi wa Jamhuri Upande wa mashtaka ulidai kuwa mshtakiwa alikamatwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi akiwa na nyara za Serikali na vifaa vinavyohusishwa na uwindaji haramu. Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa mahakamani, Novemba 8, 2025 askari wanyamapori Joel Kabuga ambaye alikuwa shahidi wa pili (PW2), Christian Ruyemamu (PW3) na Rahimu Hamadi Yusuf (PW4) wakiwa doria eneo la Kasandalala ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi waliona moshi ukitoka porini. Mashahidi hao kwa nyakati tofauti wakidai kuwa walipofuatilia chanzo cha moshi huo walikuta watu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/01/aliyetiwa-hatiani-kwa-kukutwa-na-nyara-za-serikali-aondolewa-adhabu-ya-kifungo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Katika Mkondo wa Mida nchini Kenya, wavuvi sasa wanakabiliana na mabadiliko ya bahari kwa matumaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/#respond</comments>
					<pubDate>29 Juni 2026 14:08:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/29134931/Screenshot-2026-06-29-164657-768x499.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1948</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Eneo Lililolindwa Baharini, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jinsia na Uhifadhi, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Ongezeko la Joto Baharini, Sehemu za Bioanuwai, Suluhisho za Asili, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Baharini, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uvuvi, Uvuvi wa Kupita Kiasi, Viwango vya Bahari, na  Wanawake katika Uhifadhi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>WATAMU, Kenya &#8211; Kufikia adhuhuri, samaki walikuwa bado hawajafika. Tangu saa mbili asubuhi, Alice Kazungu alikuwa ameketi kwenye bandari ya samaki katika eneo la Mkondo wa Mida kwenye pwani ya Bahari ya Hindi ya Kenya, akisubiri wavuvi warudi kutoka majini. Saa kadhaa baadaye, alikuwa bado anasubiri. Karibu naye, mwanamke mwingine anaangalia mkondo ili kuona dalili za mitumbwi inayokaribia. Baadhi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/" data-wpel-link="internal">Katika Mkondo wa Mida nchini Kenya, wavuvi sasa wanakabiliana na mabadiliko ya bahari kwa matumaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[WATAMU, Kenya &#8211; Kufikia adhuhuri, samaki walikuwa bado hawajafika. Tangu saa mbili asubuhi, Alice Kazungu alikuwa ameketi kwenye bandari ya samaki katika eneo la Mkondo wa Mida kwenye pwani ya Bahari ya Hindi ya Kenya, akisubiri wavuvi warudi kutoka majini. Saa kadhaa baadaye, alikuwa bado anasubiri. Karibu naye, mwanamke mwingine anaangalia mkondo ili kuona dalili za mitumbwi inayokaribia. Baadhi ya wavuvi walikuwa tayari wamerudi mikono mitupu. Wengine walikuwa hawajarudi kabisa. Kwa Kazungu, mfanyabiashara wa samaki na naibu mwenyekiti wa Kitengo kipya cha Usimamizi wa Pwani wa Mida (BMU), kusubiri kwa muda mrefu kumekuwa sehemu ya maisha ya kila siku. Kitengo cha Usimamizi wa Pwani (BMU) ni mfumo wa usimamizi shirikishi wa uvuvi nchini Kenya, ukiwaleta pamoja wadau katika sekta hiyo wakiwemo wavuvi, wauza samaki na wafanyabiashara. Alice Kazungu, mfanyabiashara wa samaki na naibu mwenyekiti wa Kitengo cha Usimamizi wa Pwani ya Mida (BMU) kilichoanzishwa hivi karibuni huko Watamu, Kenya. Picha na David Akana/Mongabay. &#8220;Kuna wakati ambapo samaki walikuwa wengi hapa,&#8221; anasema, akionyesha mkondo wa bahari uliommzunguka. &#8220;Sasa [wavuvi] wanarudi na kilo mbili au tatu tu.&#8221; Kwa Kazungu, kupungua kwa samaki kumekuwa suala la kuishi. Akiwa ameolewa na mwenye watoto, anategemea karibu kabisa kuuza samaki ili kupata mapato. Wakati hakuna samaki, mara kwa mara anauza mnazi, aina ya mvinyo wa mitende kutoka kwa minazi. Lakini hiyo haitoshi kuchukua nafasi ya riziki iliyojengwa karibu na bahari. &#8220;Ninarejea nyumbani, watoto hutaka chakula,&#8221; anasema. &#8220;Hilo ndilo linalonitia wasiwasi.&#8221; Hadithi yake inaakisi hali ilivyo katika Mkondo wa Mida, mtandao mkubwa wa mikoko, matope na mifereji ya maji ambayo ni sehemu ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Azimio la Mombasa: Nchi 15 zajitolea kushiriki taarifa za uvuvi ili kukabiliana na uvuvi haramu </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/21/azimio-la-mombasa-nchi-15-zajitolea-kushiriki-taarifa-za-uvuvi-ili-kukabiliana-na-uvuvi-haramu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/21/azimio-la-mombasa-nchi-15-zajitolea-kushiriki-taarifa-za-uvuvi-ili-kukabiliana-na-uvuvi-haramu/#respond</comments>
					<pubDate>21 Juni 2026 19:47:20 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/23195215/Screenshot-2026-06-23-225148-768x510.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1925</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, na  Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Chakula, Eneo Lililolindwa Baharini, Kasa wa baharini, Mamalia wa Baharini, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Msukosuko wa chakula, Ongezeko la Joto Baharini, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Sehemu za Bioanuwai, Ufugaji Samaki, Uhifadhi wa Baharini, upatikanaji wa chakula, Uvuvi, na  Wanyama wa Baharini]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Nchi 15 kutoka mabara ya Afrika, Asia, Amerika Kusini na Ulaya zilipitisha Azimio la Mombasa  Azimio la Mombasa mnamo Juni 17, mwaka 2026. Kwa pamoja, mataifa hayo yalijitolea kuendeleza uwazi katika sekta ya uvuvi duniani na kuimarisha jitihada za kukabiliana na uvuvi haramu, usioripotiwa na usiodhibitiwa (IUU). Tamko hilo lilipitishwa wakati wa mkutano wa 11 wa Kongamano la [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/21/azimio-la-mombasa-nchi-15-zajitolea-kushiriki-taarifa-za-uvuvi-ili-kukabiliana-na-uvuvi-haramu/" data-wpel-link="internal">Azimio la Mombasa: Nchi 15 zajitolea kushiriki taarifa za uvuvi ili kukabiliana na uvuvi haramu </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Nchi 15 kutoka mabara ya Afrika, Asia, Amerika Kusini na Ulaya zilipitisha Azimio la Mombasa  Azimio la Mombasa mnamo Juni 17, mwaka 2026. Kwa pamoja, mataifa hayo yalijitolea kuendeleza uwazi katika sekta ya uvuvi duniani na kuimarisha jitihada za kukabiliana na uvuvi haramu, usioripotiwa na usiodhibitiwa (IUU). Tamko hilo lilipitishwa wakati wa mkutano wa 11 wa Kongamano la Kimataifa la Bahari Yetu, lililofanyika mjini Mombasa, Kenya. Bara la Afrika ilikuwa na mataifa mengi zaidi yaliyosaini yakiwemo: Cameroon, Gambia, Ghana, Guinea, Liberia, Jamhuri ya Kongo na Somalia. &#8220;Katika nchi yangu, kuwepo kwetu kunategemea sana samaki,&#8221; alisema Emelia Arthur, Waziri wa Uvuvi na Ufugaji wa samaki wa Ghana, katika taarifa iliyopeanwa na Mongabay. &#8220;Asilimia 60 ya protini ya wanyama &lt;tunayotumia inatokana na samaki, na asilimia kumi ya wakazi wetu wanategemea mnyororo wa thamani wa uvuvi ili kujipatia riziki. Uvuvi ni suala la utamaduni na usalama wa taifa kwetu. Nina furaha kuwa Ghana ni miongoni mwa mataifa ya kwanza kutia saini Azimio la Mombasa,&#8221; aliongeza. Nchi zina matumaini kwamba kwa kufanya kazi pamoja, kuoanisha kanuni na kushiriki habari kuhusu meli zinazovua katika maeneo yao ya maji, zitakuwa na ufanisi zaidi katika vita vyao dhidi ya uvuvi haramu, usioripotiwa na usiodhibitiwa IUU. &#8220;Wahusika wa uvuvi haramu wanaendelea kuwa wa kisasa zaidi katika mbinu zao za kukwepa sheria na kanuni za nchi moja kwa kuhamia nchi nyingine,&#8221; Cephas Asare aliiambia Mongabay kupitia kwa njia ya simu. Asare ni meneja wa kanda ya Afrika Magharibi wa Wakfu wa Haki ya Mazingira (EJF), Shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Uingereza linayofanya kazi kupambana&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/21/azimio-la-mombasa-nchi-15-zajitolea-kushiriki-taarifa-za-uvuvi-ili-kukabiliana-na-uvuvi-haramu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/21/azimio-la-mombasa-nchi-15-zajitolea-kushiriki-taarifa-za-uvuvi-ili-kukabiliana-na-uvuvi-haramu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Miaka kadhaa ya kujenga imani yao: Mazoea ya sokwe watu katika Mbuga ya Kitaifa ya Salonga, DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/#respond</comments>
					<pubDate>19 Juni 2026 16:08:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/19153844/Screenshot-2026-06-19-182917-768x445.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1891</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Bioanuai, Bioanuai ya Misitu ya Mvua, Bustani za wanyama, Chakula, Cites, Elimu, Elimu ya Mazingira, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Huduma za Mazingira, Idadi ya watu, Ikolojia, Jamii Asili, Jamii ya Nyani Wakubwa, Jamii za Misitu ya Mvua, Kijani, Makazi, na  Mamalia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>HIFADHI YA KITAIFA YA SALONGA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kabla ya jua kuchomoza, huku sehemu kubwa ya msitu wa mvua ukiwa umefunikwa na kiza, kundi la watafiti na wafuatiliaji laondoka katika kambi ya utafiti ya Inkomu. Marudio yao ni eneo la viota ambako kundi la bonobo lililala usiku uliopita, ndani kabisa ya msitu wa Salonga, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/" data-wpel-link="internal">Miaka kadhaa ya kujenga imani yao: Mazoea ya sokwe watu katika Mbuga ya Kitaifa ya Salonga, DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[HIFADHI YA KITAIFA YA SALONGA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kabla ya jua kuchomoza, huku sehemu kubwa ya msitu wa mvua ukiwa umefunikwa na kiza, kundi la watafiti na wafuatiliaji laondoka katika kambi ya utafiti ya Inkomu. Marudio yao ni eneo la viota ambako kundi la bonobo lililala usiku uliopita, ndani kabisa ya msitu wa Salonga, ulio katikati mwa DRC. Dhamira yao ni kuwashawishi bonobo (Pan paniscus) kukubali uwepo wa binadamu kama sehemu ya asili ya mazingira yao. Kwa kupata uaminifu wa wanyama, watafiti wanatumai kuunda fursa za kuelewa vyema tabia, ikolojia na afya zao. Mchakato huu wenye bidii wa kuwazoesha bonobo uwepo wa binadamu unahusisha kutumia wakati karibu na nyani siku baada ya siku hadi watakapozoea watu hatua kwa hatua. Ni kazi ya polepole na inayohitaji juhudi kubwa ambayo inaweza kuchukua miaka, inayohitaji uvumilivu, uthabiti na maelfu ya masaa msituni. Muda mrefu kabla ya mapambazuko, mara nyingi karibu saa 3 alfajiri, wafuatiliaji, baadhi yao wakiwa wawindaji haramu wa zamani, ambao ujuzi wao kuhusu msitu umekuwa rasilimali muhimu ya uhifadhi, wanaanza kuelekea kwenye eneo la viota usiku uliopita. Ni lazima wafike kabla kundi hilo la bonobo halijaamka. Kisha huanza harakati za kutwa nzima kupitia moja ya misitu ya mvua iliyo mbali zaidi Duniani, kufuatia nyani kutoka alfajiri hadi wajenge viota vipya kwa ajili ya usiku. &#8220;Wazo zima la kuwazoesha bonobo uwepo wa binadamu ni kukutana nao kila siku kwa njia ya kirafiki sana, isiyo ya mwingiliano ili wakukubali kama sehemu ya msitu,&#8221; anasema Felix Bofeko, mtafiti msaidizi anayefanya kazi na programu ya mazoea ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>FAO: Ufugaji wa viumbe vya majini waweka rekodi mpya huku biashara ya dunia ikifikia dola bilioni 184</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/16/fao-ufugaji-wa-viumbe-vya-majini-waweka-rekodi-mpya-huku-biashara-ya-dunia-ikifikia-dola-bilioni-184/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/16/fao-ufugaji-wa-viumbe-vya-majini-waweka-rekodi-mpya-huku-biashara-ya-dunia-ikifikia-dola-bilioni-184/#respond</comments>
					<pubDate>16 Juni 2026 15:28:54 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Las Junior]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/16152623/Aquatic-animal-production-from-aquaculture-topped-100-million-tonnes-for-the-first-time-in-2024-according-to-FAOs-latest-State-of-World-Fisheries-and-Aquaculture-report-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1861</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Asia, na  Bahari ya Hindi]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Bahari, Baharini, Biashara ya Kimataifa, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Kasa wa baharini, Mamalia wa Baharini, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Ongezeko la Joto Baharini, Sehemu za Bioanuwai, Uhifadhi wa Baharini, Utafiti, Uvuvi, Viwango vya Bahari, Wanyama wa Baharini, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kufikia mwaka 2024, biashara ya bidhaa za majini duniani ilifika $186 bilioni. Kati ya hizo, $184 bilioni zilihusishwa na biashara ya bidhaa za majini pekee, ilhali $2 bilioni zilihusishwa na biashara ya mwani na mazao mengine. Biashara hiyo ilihusisha maeneo ya kiuchumi 230 kote ulimwenguni. Hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa [FAO] ambayo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/16/fao-ufugaji-wa-viumbe-vya-majini-waweka-rekodi-mpya-huku-biashara-ya-dunia-ikifikia-dola-bilioni-184/" data-wpel-link="internal">FAO: Ufugaji wa viumbe vya majini waweka rekodi mpya huku biashara ya dunia ikifikia dola bilioni 184</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kufikia mwaka 2024, biashara ya bidhaa za majini duniani ilifika $186 bilioni. Kati ya hizo, $184 bilioni zilihusishwa na biashara ya bidhaa za majini pekee, ilhali $2 bilioni zilihusishwa na biashara ya mwani na mazao mengine. Biashara hiyo ilihusisha maeneo ya kiuchumi 230 kote ulimwenguni. Hii ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa [FAO] ambayo pia imeeleza kuwa sekta hiyo inayohusiana na uvuvi na ufugaji wa samaki na viumbe wengine wa majini iliajiri wafanyakazi zaidi ya milioni 65, na hivyo kuwa tegemeo la maisha ya watu zaidi ya milioni 600 kote duniani. FAO ilizindua ripoti hiyo mpya ya Hali ya Uvuvi na Ufugaji wa Viumbe vya Majini Duniani (SOFIA 2026) kwenye mkutano wa 11 wa Bahari Yetu [11th Our Ocean Conference] uliofanyika jijini Mombasa, nchini Kenya. Ripoti hiyo imeeleza kuwa uzalishaji wa uvuvi na ufugaji wa viumbe vya majini duniani ulifikia rekodi ya tani milioni 235 kwa mwaka 2024. Pia uzalishaji wa wanyama wa majini ulifikia tani milioni 195 na umeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 3.2 kwa mwaka tangu miaka ya 1950. Pia ripoti ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa imeonyesha kuwa uvuvi wa asili umeendelea kuwa thabiti kwa kiasi kikubwa tangu mwishoni mwa miaka ya 1980, hali inayochangiwa na juhudi za usimamizi wa uvuvi na uhifadhi wa mazingira katika baadhi ya maeneo. Aidha, ilibainika kuwa ufugaji wa viumbe vya majini ulizalisha tani milioni 103 za wanyama wa majini, rekodi ya juu zaidi kuwahi kushuhudiwa. Hii ni sawa na asilimia 53 ya uzalishaji wote wa viumbe vya majini duniani, na zaidi ya asilimia 59&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/16/fao-ufugaji-wa-viumbe-vya-majini-waweka-rekodi-mpya-huku-biashara-ya-dunia-ikifikia-dola-bilioni-184/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/16/fao-ufugaji-wa-viumbe-vya-majini-waweka-rekodi-mpya-huku-biashara-ya-dunia-ikifikia-dola-bilioni-184/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 13:46:29 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11131849/Screenshot-2026-06-11-161609.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1841</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Urusi, Zambia, na  Zimbabwe]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Utafiti, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Matumizi ya makaa ya mawe duniani kote yaliendelea kupungua mnamo mwaka 2025, lakini kulikuwa na ongezeko la uwezo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya kikundi cha uchambuzi wa data Global Energy Monitor. Uzalishaji wa umeme kutoka kwa makaa ya mawe kwa ujumla ulipungua kwa 0.6% mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Matumizi ya makaa ya mawe duniani yapungua mwaka 2025 huku uwezo wa mitambo ukiendelea kuongezeka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Matumizi ya makaa ya mawe duniani kote yaliendelea kupungua mnamo mwaka 2025, lakini kulikuwa na ongezeko la uwezo wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe, kulingana na ripoti ya kila mwaka ya kikundi cha uchambuzi wa data Global Energy Monitor. Uzalishaji wa umeme kutoka kwa makaa ya mawe kwa ujumla ulipungua kwa 0.6% mwaka jana, lakini uwezo wa akiba wa mitambo ya makaa ya mawe unaoweza kutumika wakati wa mahitaji makubwa ya umeme uliongezeka kwa 3.5%. Sehemu kubwa ya ongezeko hilo ilitokea nchini Uchina, ambapo uwezo wa ziada wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe unazidi kuchukuliwa kuwa chaguo mbadala ili kuhakikisha usalama wa nishati. Wakati Uchina iliongeza gigawati 78.1 za uwezo wa nishati ya makaa ya mawe mnamo 2025, matumizi yake halisi ya nishati ya makaa ya mawe yalipungua kwa 1.2%. Kupungua huku kulidhihirika wazi kwani kulikuja huku kukiwa na ongezeko la jumla la mahitaji ya nishati ya Uchina. Kulingana na ripoti hiyo, zaidi ya 90% ya ongezeko hilo la mahitaji ya nishati lilikidhiwa na nishati ya upepo na jua badala ya makaa ya mawe. Wakati Uchina inasalia kuwa mtumiaji mkubwa zaidi wa makaa ya mawe duniani, mahitaji yake zaidi ya nishati yanatimizwa kwa njia mbadala. India ilirekodi ongezeko la pili kwa ukubwa la uwezo wa nishati ya makaa ya mawe mnamo mwaka 2025, lakini pia ilionyesha harakati kuelekea gridi safi zaidi. Pamoja na nyongeza za rekodi za nishati ya jua na upepo, nishati jadidifu zilichangia zaidi ya nusu ya uwezo wa jumla wa nishati nchini kwa mara ya kwanza. Christine Shearer, mtafiti&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/matumizi-ya-makaa-ya-mawe-duniani-yapungua-mwaka-wa-2025-huku-uwezo-wa-mitambo-ukiendelea-kuongezeka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 11:57:25 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Manuel Fonseca]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11113159/Screenshot-2026-06-11-143059.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1834</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Ikolojia, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Misitu, Moto, Moto wa Misitu, Reptilia, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Uzuri ni laana &#8211; angalau kwa mjusi mdogo wa rangi ya samawati (turquoise dwarf gecko) anayepatikana katikati mwa Tanzania. Kati ya Desemba 2004 na Julai 2009, mahitaji ya mjusi huyu kutoka kwa wakusanyaji wa wanyama barani Ulaya yaliongezeka sana, jambo lililosababisha kukamatwa na kusafirishwa nje ya Tanzania kwa takriban mijusi 40,000 ya aina hii iliyokuwa na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/" data-wpel-link="internal">Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Uzuri ni laana &#8211; angalau kwa mjusi mdogo wa rangi ya samawati (turquoise dwarf gecko) anayepatikana katikati mwa Tanzania. Kati ya Desemba 2004 na Julai 2009, mahitaji ya mjusi huyu kutoka kwa wakusanyaji wa wanyama barani Ulaya yaliongezeka sana, jambo lililosababisha kukamatwa na kusafirishwa nje ya Tanzania kwa takriban mijusi 40,000 ya aina hii iliyokuwa na mwonekano wa kuvutia. “Nakumbuka nilipowaona kwa mara ya kwanza katika maonyesho ya wanyama, bei yao ilikuwa dola za Marekani 700 kwa kila mmoja ambazo ni sawa na zaidi ya shilingi za Tanzania milioni 1.8,” alisema Dennis Rödder, mtaalamu wa wanyama watambaao kutoka Leibniz Institute for the Analysis of Biodiversity Change nchini Ujerumani, katika mahojiano na Mongabay yaliyofanyika kwa njia ya video. “Nadhani ndani ya miaka mitatu au minne, spishi hii ilikuwa imeenea kote Ulaya. Ilikuwa ni rahisi kuinunua kutoka duka lolote la wanyama wa kufugwa.” Mijusi hawa wanaojulikana kisayansi kama (Lygodactylus williamsi) hukua hadi kufikia urefu wa sentimita 6–9 (takriban inchi 2.5–3.5). Wanapatikana tu katika maeneo mawili madogo ya misitu nchini Tanzania: Hifadhi ya Misitu ya Kimboza na Hifadhi ya Ruvu. Maeneo haya yaliyohifadhiwa yana ukubwa wa jumla ya kilomita za mraba 34 (takriban maili za mraba 13). Majike waliokomaa wana rangi ya kijani-kahawia inayofanana na majani ya miti wanayoishi, jambo linalowasaidia kujificha dhidi ya maadui. Hata hivyo, madume huwa na ngozi ya samawati ang’avu inayovutia sana. Rangi hii ni miongoni mwa rangi adimu zaidi kupatikana kiasili, na hutumika kuwavutia majike wakati wa uzazi. Mjusi mdogo wa rangi ya samawati (Lygodactylus williamsi). Picha: © Simon kupitia iNaturalist (CC&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 19:10:28 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09143738/EACOP-Main-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1826</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mazingira, Maziwa, Mgogoro wa Mazingira, Mimea, Samaki, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, Utawala, Uvuvi, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linaloanzia kwenye vitalu vya mafuta ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi mji wa bandari wa Tanga nchini Tanzania, limeanza tena kuchunguzwa kwa karibu baada ya kutolewa kwa ripoti mpya inayobainisha maeneo ya bioanuwai na makazi ya wanyamapori ambayo bomba hilo linapitia au ambayo liko karibu nayo. Kwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/" data-wpel-link="internal">EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linaloanzia kwenye vitalu vya mafuta ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi mji wa bandari wa Tanga nchini Tanzania, limeanza tena kuchunguzwa kwa karibu baada ya kutolewa kwa ripoti mpya inayobainisha maeneo ya bioanuwai na makazi ya wanyamapori ambayo bomba hilo linapitia au ambayo liko karibu nayo. Kwa kutumia takwimu za ramani na makadirio ya thamani ya kiuchumi, ripoti ya Earth Insight, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu nchini Marekani, inaonyesha kuwa bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 liko karibu na maeneo muhimu kwa maisha ya mamilioni ya watu na usalama wa maji, na pia sehemu ambazo hutumika kama njia za uhamaji wa wanyama. Kutokana na uchambuzi huo, ripoti hiyo inahitimisha kuwa ujenzi wa bomba hilo tayari umeathiri jamii na mazingira, na kwamba usafirishaji wa mafuta utaleta hatari zaidi za muda mrefu. EACOP ni mradi wa ubia kati ya  kampuni ya TotalEnergies yenye asilimia 62 ya hisa, serikali za Uganda na Tanzania kila moja ikiwa na asilimia 15, pamoja na China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) yenye asilimia 8. EACOP itasafirisha mafuta yanayochimbwa kutoka vitalu viwili kwenye bonde la Ziwa Albert: Kingfisher, linalomilikiwa na CNOOC; na Tilenga, linalomilikiwa na TotalEnergies. Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) nchini Uganda. Picha kwa hisani ya Thomas Lewton. Kwa mujibu wa Earth Insight, mradi huo unakaribia kukamilika na mafuta ya kwanza yataanza kusafirishwa mapema mwaka 2026. “Linapita moja kwa moja katika maeneo ya viumbe walio hatarini kutoweka, na eneo muhimu zaidi ni la&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kupungua kwa ushoroba wa Kwakuchinja kwatishia uhamaji wa wanyamapori</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 14:29:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Isack Dickson]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09125042/3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1810</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ushoroba wa Kwakuchinja, ambao katika toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu manufaa ya ushoroba nchini Tanzania, ulielezwa kuleta manufaa makubwa kwa uhifadhi na pia kwa jamii zinazozunguka hifadhi ya Burunge, uko hatarini kutokana na kuendelea kupungua siku hadi siku. Ushoroba huo uko Kaskazini mwa Tanzania, kati ya Hifadhi za Taifa za Tarangire na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/" data-wpel-link="internal">Kupungua kwa ushoroba wa Kwakuchinja kwatishia uhamaji wa wanyamapori</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ushoroba wa Kwakuchinja, ambao katika toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu manufaa ya ushoroba nchini Tanzania, ulielezwa kuleta manufaa makubwa kwa uhifadhi na pia kwa jamii zinazozunguka hifadhi ya Burunge, uko hatarini kutokana na kuendelea kupungua siku hadi siku. Ushoroba huo uko Kaskazini mwa Tanzania, kati ya Hifadhi za Taifa za Tarangire na Ziwa Manyara, na unaokatiza maeneo ya Babati, Monduli na Simanjiro, umeendelea kuwa kiunganishi muhimu cha mifumo ya ikolojia katika ukanda huo wenye utajiri mkubwa wa viumbe hai. Kwa miongo kadhaa umekuwa njia muhimu ya kupita kwa wanyamapori wanaohama kutoka eneo moja kwenda lingine. Wanyama aina ya pundamilia wakiwa katika ushoroba wa Kwakuchinja. Picha na Isack Dickson. Revocatus Meney, mtafiti kutoka TAWIRI, anasema ushoroba huo umekuwa ukipungua siku hadi siku kutokana na ongezeko la shughuli za kibinadamu. Makazi, kilimo na mifugo vinaendelea kuubana mwaka hadi mwaka na kuufanya uwe finyu. Kwa mujibu wa tafiti za TAWIRI, miaka ya 1970, ushoroba wa Kwakuchinja ulikuwa na ukubwa unaofikia kilomita za mraba 600. Hata hivyo, Meney anasema kutokana na ongezeko la shughuli za kibinadamu ikiwemo makazi, kilimo na matumizi mengine ya ardhi, eneo hilo limeendelea kupungua na kufikia takribani kilomita za mraba 274.45 kwa sasa. Kupungua huku kunamaanisha kuwa zaidi ya nusu ya eneo la awali la ushoroba limepotea ndani ya kipindi cha takribani miongo mitano. Meney anasema hakuna kiwango kimoja cha upana kinachotumika kwa ushoroba kwa sababu hutegemea aina ya wanyama wanaoutumia na mazingira husika. Hata hivyo, anasema kadri ushoroba unavyokuwa mpana na usio na vikwazo vya shughuli&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/kupungua-kwa-ushoroba-wa-kwakuchinja-kwatishia-uhamaji-wa-wanyamapori/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 13:12:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09111629/Screenshot-2026-06-09-141545.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1799</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia ya wenzao. Hata hivyo, licha ya jukumu lao kuu katika kulinda bayoanuwai na baadhi ya misitu muhimu zaidi ulimwenguni, wengi wanaendelea kufanya kazi wakiwa na usaidizi mdogo, mishahara midogo, na hali hatarishi sana. Kwa Emmanuel Bahati Lukoo, ukweli huu ni wa kibinafsi sana. Aliwahi kuwa mlinzi katika mbuga ya kitaifa ya Virunga ambapo kwa sasa ni afisa katika Hifadhi ya Kitaifa ya Kahuzi-Biega, alinusurika kifo katika shambulizi la kushutukizia mnamo mwaka wa 2018 na kikundi cha wanamgambo wa jamii kinachojulikana kama Mai-Mai. Wenzake kadhaa waliuawa kwa kuviziwa. Alipigwa risasi, alijeruhiwa na kupata kiwewe cha kisaikolojia, na baadaye kufunguliwa mashitaka mbele ya mahakama ya kijeshi katika kesi iliyohusishwa na ulinzi wa hifadhi, angeweza kuondoka. Badala yake, Bahati alichagua kusimulia hadithi yake katika kitabu kiitwacho Conservation at the Cost of My Youth: The Survival of a Ranger, simulizi ghafi ya dhabihu, hofu, shinikizo za kisiasa, na mara nyingi hali halisi isiyoonekana inayowakabili walinzi wa misitu mashariki mwa DRC. Kwenye mahojiano ya ana kwa ana na Mongabay, Bahati anatafakari safari yake, shambulizi lililokaribia kumuua, kiwewe walichopata walinzi, migogoro kati ya uhifadhi na maisha ya jamii ya eneo hilo, na uingiliaji wa kisiasa unaotatiza ulinzi wa maeneo yaliyohifadhiwa. Zaidi ya hadithi ya kibinafsi,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ripoti: Njia za meli kubwa za kusafirisha gesi nchini Tanzania zitapita katika maeneo nyeti kiikolojia</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/ripoti-njia-za-meli-kubwa-za-kusafirisha-gesi-nchini-tanzania-zitapita-katika-maeneo-nyeti-kiikolojia-na-kibaiolojia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/ripoti-njia-za-meli-kubwa-za-kusafirisha-gesi-nchini-tanzania-zitapita-katika-maeneo-nyeti-kiikolojia-na-kibaiolojia/#respond</comments>
					<pubDate>05 Juni 2026 20:21:22 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/05201200/Screenshot-2026-06-05-231142-768x490.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1791</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mikoko, Nishati, Siasa za Nishati, Uchafuzi, na  Uchafuzi wa Maji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati Serikali ya Tanzania ikijiandaa kutia saini makubaliano ya mwisho kabla ya kusainiwa kwa makubaliano ya mwisho wa mradi wa kuchakata na kusafirisha gesi asilia iliyoyeyushwa (LNG), ripoti mpya iliyotolewa na mashirika zaidi ya kumi imeweka wazi athari mbalimbali zinazoweza kusababishwa na upanuzi wa miradi ya mafuta na gesi katika maeneo ya pwani na baharini. Ripoti hiyo inayojulikana [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/ripoti-njia-za-meli-kubwa-za-kusafirisha-gesi-nchini-tanzania-zitapita-katika-maeneo-nyeti-kiikolojia-na-kibaiolojia/" data-wpel-link="internal">Ripoti: Njia za meli kubwa za kusafirisha gesi nchini Tanzania zitapita katika maeneo nyeti kiikolojia</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati Serikali ya Tanzania ikijiandaa kutia saini makubaliano ya mwisho kabla ya kusainiwa kwa makubaliano ya mwisho wa mradi wa kuchakata na kusafirisha gesi asilia iliyoyeyushwa (LNG), ripoti mpya iliyotolewa na mashirika zaidi ya kumi imeweka wazi athari mbalimbali zinazoweza kusababishwa na upanuzi wa miradi ya mafuta na gesi katika maeneo ya pwani na baharini. Ripoti hiyo inayojulikana kama “Fossil Fuel Threats to the Ocean: Marine Life and Coastal Communities at Risk” pamoja na mambo mengine, inaeleza kuwa upanuzi wa shughuli za mafuta na gesi baharini unaweza kusababisha madhara makubwa yatokanayo na uchimbaji wa visima, umwagikaji wa mafuta, uchimbaji wa sakafu ya bahari (deep-sea mining) pamoja na kuongezeka kwa shughuli za usafirishaji wa meli. Ripoti hiyo ilitolewa Juni 4, 2026 na shirika la Earth Insight kwa ushirikiano na mashirika 12 ya kiraia, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani inayoadhimishwa Juni 8. Ripoti iliandaliwa kutokana na utafiti uliohusisha nchi 11 kutoka sehemu mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania. Katika utafiti huo, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo zinaendelea kuhamasisha uwekezaji mkubwa katika sekta ya mafuta na gesi. Nchi nyingine zilizotajwa ni Kenya, Australia, Cameroon, Indonesia, Jamaica, Norway, Trinidad na Tobago, Argentina na Mexico. Kwa Tanzania, mradi huo unapangwa kujengwa katika eneo la Likong’o, kusini mwa mkoa wa Lindi. Lengo ni kuchakata gesi asilia inayopatikana baharini na kuibadilisha kuwa gesi asilia iliyoyeyushwa (LNG) kwa ajili ya kuuzwa katika masoko ya kimataifa. Ripoti hiyo imetolewa siku chache baada ya Waziri wa Nishati, Dkt Deogratius Ndejembi, kuliambia Bunge kwamba makubaliano ya kibiashara na kodi kati ya serikali na wawekezaji wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/ripoti-njia-za-meli-kubwa-za-kusafirisha-gesi-nchini-tanzania-zitapita-katika-maeneo-nyeti-kiikolojia-na-kibaiolojia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/ripoti-njia-za-meli-kubwa-za-kusafirisha-gesi-nchini-tanzania-zitapita-katika-maeneo-nyeti-kiikolojia-na-kibaiolojia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/#respond</comments>
					<pubDate>05 Juni 2026 15:09:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Hellen Nachilongo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/05125337/Baadhi-ya-wavuvi-katika-eneo-la-Kigambani-wakipakia-chakula-yakiwemo-mafuta-ya-kula-na-mahindi-tayari-kwenda-Mafia-kuvua-samaki.-Picha-na-Hellen-Nachilongo.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1784</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Maudhui ya mazingira yanayoonyesha mabadiliko chanya, Mazingira, Maziwa, Sera za Mazingira, na  Sheria ya Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Mazingira Duniani tarehe 5 Juni mwaka huu kwa msisitizo wa kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hiyo huku ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kulinda Bahari ya Hindi inayozidi kuathiriwa na uchafuzi wa mazingira, hasa ongezeko la taka za plastiki, uvuvi usio [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Mazingira Duniani tarehe 5 Juni mwaka huu kwa msisitizo wa kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hiyo huku ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kulinda Bahari ya Hindi inayozidi kuathiriwa na uchafuzi wa mazingira, hasa ongezeko la taka za plastiki, uvuvi usio endelevu pamoja na uharibifu wa mifumo ya ikolojia ya pwani. Hali ikoje? Remy Lema, Meneja wa Kiufundi wa mradi wa ‘Pamoja Tuhifadhi Bahari Yetu’ kutoka International Union for Conservation of Nature (IUCN), anasema sehemu kubwa ya uchafuzi wa bahari inatokana na taka ngumu. Anasema kuwa kwa sasa zaidi ya asilimia 80 ya uchafuzi unaopatikana baharini unatokana na taka ngumu, huku asilimia 10 hadi 12 ikihusishwa na vimiminika mbalimbali, yakiwemo mafuta, kemikali na taka nyingine za majimaji zinazomwagika kwenye mazingira ya bahari. “Bila hatua za haraka za kulinda bahari, Tanzania inaweza kupoteza moja ya rasilimali zake muhimu zaidi za kiikolojia na kiuchumi katika miaka ijayo,” anasema Lema. Uchafuzi wa bahari umegeuka kilio kwa wavuvi. Salum Khamis, anayefanyia kazi zake za uvuvi katika maeneo ya Kunduchi amelalamikia kuongezeka kwa uchafuzi wa bahari, akisema hali hiyo imeanza kuathiri shughuli zao za kila siku na kupunguza kipato kinachotegemea uvuvi. “Kwa sasa plastiki nyingi zinaelea baharini na nyingine huzama. Samaki wanakufa au kuhama maeneo haya…hii inaathiri sana kiasi cha samaki kinachopatikana,” anasema. Mvuvi mwingine kutoka eneo la Feri, Juma Said, anasema mara nyingi nyavu zao hunasa takataka badala ya samaki, jambo linalowaongezea gharama za matengenezo ya vifaa. “Zamani tulikuwa tukipata&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/#respond</comments>
					<pubDate>04 Juni 2026 12:55:05 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/04131449/Screenshot-2026-06-04-161427.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1773</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Bahari ya Hindi, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Gesi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Mabadiliko ya Tabianchi, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira ya Baharini, Miamba ya Matumbawe, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Samaki, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Utafiti, Utawala, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ripoti mpya imebainisha kuwa asilimia 100 ya miamba ya matumbawe, misitu ya mikoko, maeneo ya hifadhi za baharini pamoja na maeneo muhimu ya bayoanuwai katika ukanda wa pwani ya Kenya yamo ndani ya maeneo yaliyotengwa kwa shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi. Maeneo hayo pia ni sehemu za bahari ambazo ni muhimu kiikolojia na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/" data-wpel-link="internal">Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ripoti mpya imebainisha kuwa asilimia 100 ya miamba ya matumbawe, misitu ya mikoko, maeneo ya hifadhi za baharini pamoja na maeneo muhimu ya bayoanuwai katika ukanda wa pwani ya Kenya yamo ndani ya maeneo yaliyotengwa kwa shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi. Maeneo hayo pia ni sehemu za bahari ambazo ni muhimu kiikolojia na kibayolojia. Ripoti hiyo iliyopewa jina la Fossil Fuel Threats to the Ocean: Marine Life and Coastal Communities at Risk ilitolewa leo, siku chache kabla ya mkutano wa 11 unaohusu masuala ya bahari, mkutano wa ‘Our Ocean Conference’ unaotarajiwa kufanyika kuanzia Juni 16 hadi 18 mjini Mombasa, Kenya. Ripoti hiyo inaeleza kuwa upanuzi wa shughuli za mafuta na gesi baharini unaweza kusababisha madhara makubwa yatokanayo na uchimbaji wa visima, umwagikaji wa mafuta, uchimbaji wa kina cha bahari pamoja na kuongezeka kwa shughuli za usafirishaji wa meli. Bonde la Lamu limetajwa kuwa eneo linalopewa kipaumbele, ambapo miradi minane ya mafuta inayotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu, imepangwa kutekelezwa katika ukanda huo wa pwani wenye historia na utajiri mkubwa wa kiikolojia. “Uchambuzi wetu unaonesha kuwa asilimia 100 ya Miamba ya matumbawe na misitu ya mikoko katika eneo hili imefunikwa na vitalu vya mafuta na gesi. Kwa asilimia 100, maeneo haya ni ya hifadhi za baharini na pwani lakini pia ni muhimu kwa bayoanuwai,” ripoti hiyo imeeleza. Katika ripoti hiyo, Kenya imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi ambazo zinaendelea kuhamasisha uwekezaji mkubwa katika sekta ya mafuta na gesi. Ripoti hiyo ilitolewa na shirika la Earth Insight kwa ushirikiano na mashirika 12 ya kiraia,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/04/ripoti-mpya-yafichua-miradi-ya-mafuta-baharini-kenya-ni-hatari-kwa-mifumo-muhimu-ya-ikolojia-ya-pwani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/#respond</comments>
					<pubDate>03 Juni 2026 15:48:26 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Benjamin Jumbe]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/03150618/Screenshot-2026-06-03-180555-768x498.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1759</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Suluhu za Uhifadhi, Tembo, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kulingana na taarifa zilizopatikana kupitia kola za kufuatilia na Wakfu wa Mlima Elgon (MEF), mwaka jana tembo wasiopungua 60 walivuka kutoka Kenya hadi upande wa Uganda wa Mlima Elgon, mlima mkubwa wa volkeno ulioko mpakani mwa Uganda na Kenya, na kurudi kwenye sehemu ya asili yao ambapo hawajaonekana kwa zaidi ya miaka 40. MEF hufadhili miradi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/" data-wpel-link="internal">Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kulingana na taarifa zilizopatikana kupitia kola za kufuatilia na Wakfu wa Mlima Elgon (MEF), mwaka jana tembo wasiopungua 60 walivuka kutoka Kenya hadi upande wa Uganda wa Mlima Elgon, mlima mkubwa wa volkeno ulioko mpakani mwa Uganda na Kenya, na kurudi kwenye sehemu ya asili yao ambapo hawajaonekana kwa zaidi ya miaka 40. MEF hufadhili miradi ya jamii inayolenga kupunguza uharibifu wa misitu na kuongeza ufahamu wa masuala ya mazingira, pamoja na timu ya maskauti wa jamii 18 katika upande wa Kenya wa mlima, sehemu ya Mradi wa Tembo wa Mlima Elgon unaotekelezwa na Shirika la Wanyamapori la Afrika Mashariki. Mwenyekiti wa wakfu wa MEF, Chris Powles, aliiambia Mongabay kwamba mnamo mwaka 2022, maskauti walifuatilia tembo wanne wakivuka mto Suam, ambao unaashiria mpaka kati ya nchi hizo mbili. Picha za video zilizorekodiwa kwa ndege isiyo na rubani zikionyesha tembo upande wa Uganda wa Mlima Elgon. Picha kwa hisani ya UWA. Katika mahojiano kupitia barua pepe, Powles alisema sababu kadhaa zinaweza kuelezea kurudi kwa tembo, ingawa haiwezekani kusema kwa uhakika ni nini kiliwachochea kurejea katika eneo hilo. &#8220;[Hizi] ni pamoja na ongezeko la idadi ya tembo upande wa Kenya, kuongezeka kwa shinikizo la binadamu kwa upande wa Kenya, usalama wanaoupata wakiwa upande wa Uganda, ambako eneo hilo lote liko ndani ya mbuga ya taifa, tofauti na upande wa Kenya,&#8221; aliandika. &#8220;Na, labda, tembo walio hai tangu wakati wengine wao waliuawa nchini Uganda sasa wamekufa kawaida na hivyo huenda kumbukumbu ya hatari zilizowakabili nchini Uganda imefifia kadri vizazi vilivyobadilika.&#8221; Mwishoni mwa miaka ya 1970 na mwanzoni mwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mei 2026 21:58:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Las Junior]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/31214131/Atuwa-akiwa-amezamia-bahari-kwenye-kazi-ya-kurekebisha-matumbawe-kwenye-bahari-ya-kisiwa-cha-Mnemba-Zanzibar.jpeg-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1733</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Barafu ya bahari, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maji, Mazingira, Miamba ya Matumbawe, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Upaukaji wa Matumbawe, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Zaidi ya futi 40 (takriban mita 12.2) chini ya Bahari ya Hindi, karibu na Kisiwa cha Mnemba kilichopo Zanzibar, Atuwa Omari na wahifadhi wengine huzama hadi kwenye sakafu ya bahari kwa lengo la kushiriki katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe iliyoharibika. Anapokuwa katika eneo hilo, mawimbi humsukuma huku makundi ya samaki yenye rangi mbalimbali kama vile wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/" data-wpel-link="internal">Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Zaidi ya futi 40 (takriban mita 12.2) chini ya Bahari ya Hindi, karibu na Kisiwa cha Mnemba kilichopo Zanzibar, Atuwa Omari na wahifadhi wengine huzama hadi kwenye sakafu ya bahari kwa lengo la kushiriki katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe iliyoharibika. Anapokuwa katika eneo hilo, mawimbi humsukuma huku makundi ya samaki yenye rangi mbalimbali kama vile wa bluu, njano na kijani hupita juu ya kichwa chake huku mwanga wa jua ukionekana kwa mbali ndani ya maji. Juu ya uso wa bahari, watalii huwa wanazunguka katika maji bila kufahamu kuhusu mfumo dhaifu wa ikolojia unaopambana kuendelea kuishi chini yake. Kwa mujibu wa waajiri wake, Atuwa, mwenye umri wa miaka 23, anaelezwa kuwa mwanamke pekee Zanzibar anayeshiriki kazi hiyo ya uzamiaji wa urejeshaji wa matumbawe. Mamlaka za Zanzibar zinaeleza kuwa miaka mitatu iliyopita, eneo la Mnemba ambako Atuwa hufanya kazi, ambalo lina baadhi ya miamba muhimu ya matumbawe ya Zanzibar, liliharibika. Makame Omar Makame, Mkurugenzi wa Idara ya Uhifadhi Baharini Zanzibar, anasema eneo hilo la Mnemba liliathiriwa na shughuli za kibinadamu zilizokithiri. “Kulikuwa na shughuli nyingi za uvuvi zisizofuata utaratibu, msongamano wa watalii, ambapo takribani boti 200 zenye watalii zilikuwa zikiingia katika eneo la mita 200 za ukanda wa pwani kila siku,” Makame aliieleza Mongabay. Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, ili kulinda mazingira, Serikali ya Zanzibar iliamua kupunguza idadi ya wageni hadi 80 kwa siku na kuongeza ada ya uhifadhi kutoka $3 hadi $25 kwa mtalii mmoja, kusitisha kwa muda shughuli za uvuvi na pia kutoa elimu kwa jamii. Hilo lilikuwa jambo muhimu kwa Atuwa na wenzake ambao wanaamini jamii zao zilihitaji mazingira&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/#respond</comments>
					<pubDate>26 Mei 2026 17:35:57 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/26172956/Usenge-Beach-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1717</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Maji, Mazingira, Maziwa, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, Nishati safi, Nishati ya Jua, Samaki, Samaki wa Maji safi, Sera za Mazingira, Siasa za Mazingira, Siasa za Nishati, upatikanaji wa chakula, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA) ya Kenya imetangaza mipango ya kufanya kampeni mpya za wazi, madhubuti na za ngazi mbalimbali za uelimishaji wa umma ili kutafuta muafaka juu ya wasiwasi uliopo kuhusu usalama wa nishati ya nyuklia, haki za ardhi, na maisha ya wananchi kabla ya kuanza kwa ujenzi wa mradi wa nishati ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/" data-wpel-link="internal">NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA) ya Kenya imetangaza mipango ya kufanya kampeni mpya za wazi, madhubuti na za ngazi mbalimbali za uelimishaji wa umma ili kutafuta muafaka juu ya wasiwasi uliopo kuhusu usalama wa nishati ya nyuklia, haki za ardhi, na maisha ya wananchi kabla ya kuanza kwa ujenzi wa mradi wa nishati ya nyuklia wenye thamani ya shilingi bilioni 500 za Kenya katika kaunti ya Siaya. “Kama wakala wa nishati ya nyuklia, tunasikia na kuheshimu sauti za wakazi wa Siaya. Ushiriki wa umma si jambo la kufuata taratibu tu. Ni haki ya kikatiba,” shirika hilo lilisema katika taarifa yake. Taarifa hiyo ilitolewa siku mbili baada ya wakazi wa Sakwa, Bondo katika Kaunti ya Siaya inayopakana na Ziwa Victoria, kuandamana kupinga mradi huo. Wakazi hao walieleza hofu kuhusu hatari za kimazingira iwapo ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi barani Afrika na lenye utajiri mkubwa wa ikolojia litachafuliwa. Pia walitaja hofu ya kupoteza riziki, chakula na mahitaji mengine muhimu. Katika taarifa yake ya kujibu maandamano hayo, iliyotiwa saini na Afisa Mkuu Mtendaji wa NuPEA, Justus Wabuyabom, shirika hilo lilisema kuwa ujenzi wa mradi huo hautaanza hadi wakazi wa Siaya waelimishwe kikamilifu na wakubaliane na mradi huo. NuPEA kubadili mkakati NuPEA iliongeza kuwa itabadilisha mkakati wake “kutoka mipango ya kitaasisi ya ngazi za juu kwenda katika uhamasishaji wa kina kwa wananchi wa vijijini” kuhusu mradi huo unaotarajiwa kuzalisha megawati 2,000. Wakati huohuo, Power Shift Africa (PSA) imekosoa msisitizo wa kutumia nishati ya nyuklia kama chanzo cha umeme, ikisema kuwa hatua hiyo inaweza&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/26/nupea-yajibu-maandamano-kupinga-ujenzi-wa-mtambo-wa-nyuklia-yaahidi-majadiliano-zaidi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>25 Mei 2026 14:00:30 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/25123328/Black-Mamba-Snake-2-Courtesy-Inncocent-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1687</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Nyoka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na kupotelea mitini, Maghanga alichukua simu na kupiga picha yake, aliyochapisha kwenye Facebook. Lengo lake lilikuwa kufahamu mengi kuhusu nyoka huyo. Alistaajabu kugundua kuwa nyoka huyo alikuwa mwenye sumu kali. Mongabay ilimtembelea Maghanga na kumpata akiwa ametoka kuhamasisha wanajamii kuhusu nyoka na jinsi ya kuishi nao kwa amani. Alielezea jinsi tukio hilo lilibadili mienendo yake: “Baada ya tukio hilo, uoga wangu kwa nyoka ulianza kufifia, na polepole nikataka kufahamu zaidi kuwahusu. Sasa mimi ni mshauri na mtaalamu wa kukamata nyoka na kuwahamisha sehemu salama.” John Maghanga akimtoa nyoka aliyekuwa ameingia kwa nyumba ya mkaazi wa Taita Taveta. Picha na Linah Mwamachi. Katika vijiji vilivyo milimani na tambarare zinazopakana na mbuga za wanyama za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, kusini mashariki mwa Kenya, wengi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu kwa upesi na wengine kuachwa na makovu ya ulemavu. Migogoro kati ya binadamu na nyoka mara nyingi hutokea katika msimu wa mvua, wanyama hao wanapotoroka hifadhi zao na kutangamana na binadamu. Katika maeneo yaliyopakana na mbuga za wanyamapori za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, binadamu pia huwaua nyoka kiholela, kutokana na uoga wa kuumwa, japo si nyoka wote ni hatari. Kupitia shirika la Snake Community Action Now (SCAN) Maghanga sasa anahamasisha umma jinsi ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/#respond</comments>
					<pubDate>23 Mei 2026 21:35:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/23214326/Screenshot-2026-05-24-004210-768x468.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1696</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uhifadhi, na  Umeme]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mnamo Mei 21, wakazi wa Sakwa Kusini Mashariki mwa Kenya, walikusanyika kupinga mpango wa Serikali wa kujenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia karibu na makazi yao, kandokando ya Ziwa Victoria. Sakwa, iliyopo katika kaunti ya Siaya, ni makazi ya jamii ya Waluo na iko kwenye mwambao wa ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mnamo Mei 21, wakazi wa Sakwa Kusini Mashariki mwa Kenya, walikusanyika kupinga mpango wa Serikali wa kujenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia karibu na makazi yao, kandokando ya Ziwa Victoria. Sakwa, iliyopo katika kaunti ya Siaya, ni makazi ya jamii ya Waluo na iko kwenye mwambao wa ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi barani Afrika, ambalo linapatikana Kenya, Uganda na Tanzania. Mwisho wa Machi 2026, wakati wa kongamano la kimataifa kuhusu nishati ya nyuklia, Rais wa Kenya William Ruto alitangaza ujenzi wa kinu cha nyuklia chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,000 katika eneo hilo. Kwa sasa hakuna taarifa rasmi kuhusu mpango huo kwenye tovuti ya Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA). Hata hivyo, Ruto alisema ujenzi utaanza mwaka ujao na kinu hicho kinatarajiwa kuanza kuzalisha umeme mwaka 2034. “Hakuna nchi yoyote duniani iliyowahi kufanikisha malengo yake ya maendeleo bila kuwa na nishati ya kutosha na ya kuaminika,” alisema Ruto. Pia alisisitiza kuwa nishati ya nyuklia inatambuliwa na Umoja wa Mataifa kama chanzo cha nishati chenye kiwango kidogo cha uzalishaji wa hewa ukaa na muhimu katika kufanikisha Agenda ya Maendeleo Endelevu ya 2030. “Kuunganisha nishati ya nyuklia katika gridi ya taifa ni hatua ya kimkakati ya kupata suluhisho la muda mrefu litakalokidhi ongezeko la mahitaji ya umeme nchini Kenya,” alisema. Katika hotuba yake, Ruto alifafanua kuwa tayari alikuwa ameshauriana na wakazi wa Siaya na kujiridhisha kuwa jamii za eneo hilo zinaunga mkono mradi huo. Hata hivyo, maandamano ya hivi karibuni yanaonyesha hali halisi ni tofauti. Aidha, ombi la kupinga mradi huo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>21 Mei 2026 16:53:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/21160452/2-Iringa-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1680</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mimea, Misitu, Miti, Upandaji Miti, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka 2024 pekee, ikipoteza hekta 271,000. Sababu zinazotajwa kuchangia upotevu huo ni pamoja na shughuli za binadamu zinazochochewa na hitaji la kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, kupanuka kwa miji na ukataji wa miti kwa ajili ya kujengea nyumba. Chanzo kikuu ni utegemezi mkubwa wa nishati itokayo na miti ambapo zaidi ya asilimia 85 ya kaya nchini Tanzania hutegemea mkaa na kuni kwa ajili ya kupikia. Dk Elikana John, Meneja wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), anasema ili kuingilia kati uharibifu huo, TFS ikishirikiana na taasisi na wadau wa mazingira nchini, imekuwa ikitoa miche ya matunda na ya vivuli ili kutekeleza miradi ya kupanda miti sehemu mbalimbali ikiwemo mashuleni, hospitalini na majumbani. Mwanafunzi Charles Godfrey wa Shule ya Msingi Makweli, Kata ya Vugiri, Halmashauri ya Korogwe akipanda miti katika eneo la shule ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Eco-Schools. Picha na Jenifer Gilla. Katika mikoa ya Morogoro, Iringa na Tanga, baadhi ya shule za msingi na sekondari zimeanzisha utaratibu wa kurejesha miti iliyotoweka kupitia programu ya Eco-Schools ambapo wanafunzi ni washiriki wakuu katika uhifadhi wa mazingira. Programu hiyo inafadhiliwa na Shirika la uhifadhi wa misitu la Tanzania Forest Conservation Group (TFCG).&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>