<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?byline=jack-otieno&#038;post_type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/by/jack-otieno/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Wed, 16 Sep 2026 17:46:29 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Asilimia 45 ya spishi za ndege wahamiaji zinapungua, mkutano wa Nairobi watoa tahadhari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/asilimia-45-ya-spishi-za-ndege-wahamiaji-zinapungua-mkutano-wa-nairobi-watoa-tahadhari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/asilimia-45-ya-spishi-za-ndege-wahamiaji-zinapungua-mkutano-wa-nairobi-watoa-tahadhari/#respond</comments>
					<pubDate>16 Septemba 2026 17:28:42 +0000</pubDate>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/16171159/Screenshot-2026-09-16-201011-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2841</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Ndege, Ndege wa Bharini, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Spishi Zilizo Hatarini Sana, na  Uhamishaji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya — Kupungua kwa makundi mengi ya ndege wahamiaji ni ishara ya onyo kwamba mifumo ya ikolojia duniani kote inazidi kukabiliwa na shinikizo — na wataalamu wa uhifadhi wanasema wakati umefika kwa serikali kushirikiana na kuratibu juhudi zao kuvuka mipaka ya kitaifa. Wawakilishi wa serikalini, mashirika ya uhifadhi, taasisi za fedha na wafadhili walikutanika [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/asilimia-45-ya-spishi-za-ndege-wahamiaji-zinapungua-mkutano-wa-nairobi-watoa-tahadhari/" data-wpel-link="internal">Asilimia 45 ya spishi za ndege wahamiaji zinapungua, mkutano wa Nairobi watoa tahadhari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya — Kupungua kwa makundi mengi ya ndege wahamiaji ni ishara ya onyo kwamba mifumo ya ikolojia duniani kote inazidi kukabiliwa na shinikizo — na wataalamu wa uhifadhi wanasema wakati umefika kwa serikali kushirikiana na kuratibu juhudi zao kuvuka mipaka ya kitaifa. Wawakilishi wa serikalini, mashirika ya uhifadhi, taasisi za fedha na wafadhili walikutanika Nairobi kuanzia tarehe 8 hadi 11 Septemba katika Global Flyways Summit, iliyoandaliwa na BirdLife International kwa kushirikiana na Nature Kenya. Lengo lilikuwa kushughulikia vitisho vinavyoongezeka kwa ndege wahamiaji na makazi wanayoyategemea. BirdLife iliwasilisha toleo jipya la ripoti yake ya kila baada ya miaka minne ya &#8220;State of the World&#8217;s Birds,&#8221; ikiripoti kwamba asilimia 45 ya spishi za ndege wahamiaji zinapungua, huku takriban moja kati ya tisa ikiwa katika hatari ya kutoweka. Ndege wa ufukweni na ndege wa baharini walitambuliwa kuwa miongoni mwa makundi yanayopitia upungufu mkubwa zaidi. Great snipe (Gallinago media) huko Nigde, Türkiye. Ndege hawa walio karibu na kutoweka huzaliana Scandinavia na magharibi mwa Urusi, na hutumia maeneo mbalimbali ya Afrika Magharibi, Kati na Mashariki wakati wa majira ya baridi. Kulingana na IUCN, idadi ya spishi hii inapungua kwa kasi kutokana na upotevu wa makazi na shinikizo la uwindaji. Picha © Koray Öğreten kupitia iNaturalist (CC BY-NC 4.0). Kiashiria cha Orodha Nyekundu kinachoonyesha hali ya spishi za ndege wahamiaji, pamoja na mifano ya spishi zilizopandishwa na kushushwa hadhi na visababishi vikuu vya mabadiliko hayo. Picha kwa hisani ya BirdLife International, 2026. Shirika hilo la uhifadhi lilibainisha kwamba visababishi vikuu ni upotevu wa makazi, kilimo, uwindaji, uchafuzi wa mazingira,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/asilimia-45-ya-spishi-za-ndege-wahamiaji-zinapungua-mkutano-wa-nairobi-watoa-tahadhari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/asilimia-45-ya-spishi-za-ndege-wahamiaji-zinapungua-mkutano-wa-nairobi-watoa-tahadhari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Rastafari wanaogeuza taka kuwa silaha ya kuhifadhi mazingira katika kitongoji duni kikubwa zaidi Afrika</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/wanaharakati-wa-rastafari-wageuza-taka-kuwa-silaha-ya-kuhifadhi-mazingira-katika-kitongoji-duni-kikubwa-zaidi-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/wanaharakati-wa-rastafari-wageuza-taka-kuwa-silaha-ya-kuhifadhi-mazingira-katika-kitongoji-duni-kikubwa-zaidi-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>16 Septemba 2026 00:00:51 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Mary Mwendwa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/15210326/Screenshot-2026-09-16-000220-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2820</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Fedha za Uhifadhi, Kilimo, Kilimo cha Kujikimu, Kilimo cha Viwanda, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, na  Uhifadhi wa Ndani]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KIBERA, Kenya — Jua kali la mchana, na upepo wa wastani, vimetanda Magumoini, kijiji cha makazi ndani ya kitongoji duni cha Kibera, Nairobi. Eneo hili liko karibu na Bwawa la Nairobi, mahali ambapo mafuriko na uchafuzi wa mazingira ni matatizo ya kawaida. Nickson Ndeda, mwanamume mwenye umri wa miaka 27, na baba wa watoto watatu, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/wanaharakati-wa-rastafari-wageuza-taka-kuwa-silaha-ya-kuhifadhi-mazingira-katika-kitongoji-duni-kikubwa-zaidi-afrika/" data-wpel-link="internal">Rastafari wanaogeuza taka kuwa silaha ya kuhifadhi mazingira katika kitongoji duni kikubwa zaidi Afrika</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KIBERA, Kenya — Jua kali la mchana, na upepo wa wastani, vimetanda Magumoini, kijiji cha makazi ndani ya kitongoji duni cha Kibera, Nairobi. Eneo hili liko karibu na Bwawa la Nairobi, mahali ambapo mafuriko na uchafuzi wa mazingira ni matatizo ya kawaida. Nickson Ndeda, mwanamume mwenye umri wa miaka 27, na baba wa watoto watatu, anatoka nyumbani kwake — nyumba ya bati iliyosimama ukingoni mwa Mto Ngong — akiwa amevaa T-shirt ya kijivu na kofia iliyofunika nywele zake za dreadlocks. Anasalimia timu ya Mongabay kwa kugongesha ngumi, akiwa kimya na imara. Hii ni salamu ya kawaida miongoni mwa jamii ya Rastafari. Pembeni ya nyumba yake vimewekwa vifaa mbalimbali, vikiwemo makopo ya plastiki anayopanga kuyatumia tena. Katika ua huo mdogo pia kunaonekana ndoo za plastiki na vyungu vya udongo vyenye mimea. Anachukua plastiki moja na kuitumia kuchota maji na kumwagilia mimea hiyo. Nickson Ndeda akisimama katika eneo alikopanda aina mbalimbali za miti. Picha na Mary Mwendwa, Mongabay. Ndeda anazungumza Sheng — lugha ya mitaani ya Kenya inayochanganya Kiswahili, Kiingereza, na lugha nyingine za Kenya. &#8220;Mimi ni mwanachama wa kikundi cha Rastafari, na ninafanya kilimo cha mjini na kukusanya taka. Tunaamini katika kutunza mazingira, kwani hii ni sehemu ya utamaduni wetu,&#8221; anasema. Ndeda anaelezea Mongabay jinsi kilimo kwa kutumia vifaa vinavyopatikana katika mtaa huo, ambako nafasi ya ardhi ni finyu, kimemfurahisha. &#8220;Nilianza kulima kwa kutumia makopo ya plastiki ya taka na vyombo vya maziwa. Nilikuwa nikivikusanya, kuvijaza udongo, na kupanda mimea ya matunda na mimea ya dawa ndani yake,&#8221; alisema. Hatua kwa hatua, Ndeda ameunda bustani ndogo katika ua wa nyumba yake ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/wanaharakati-wa-rastafari-wageuza-taka-kuwa-silaha-ya-kuhifadhi-mazingira-katika-kitongoji-duni-kikubwa-zaidi-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/16/wanaharakati-wa-rastafari-wageuza-taka-kuwa-silaha-ya-kuhifadhi-mazingira-katika-kitongoji-duni-kikubwa-zaidi-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yageukia uchumi wa kijani kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/tanzania-yageukia-uchumi-wa-kijani-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/tanzania-yageukia-uchumi-wa-kijani-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>15 Septemba 2026 20:52:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Chimba Jerry]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/15165817/3-green-summit-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2806</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Kaboni, Fedha za Kaboni, Kaboni, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, na  Teknolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Tanzania imepanga kutumia hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kama kichocheo cha uwekezaji, biashara na ajira, huku ikisisitiza ushiriki wa vijana katika uchumi unaozingatia utunzajii wa mazingira. Mtazamo huo umeibuliwa katika Tanzania Green Summit 2026, inayofanyika jijini Dar es Salaam ikiwakutanisha zaidi ya washiriki 900 kutoka mataifa mbalimbali, wakiwemo viongozi wa Serikali, wawekezaji, taasisi za fedha, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/tanzania-yageukia-uchumi-wa-kijani-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Tanzania yageukia uchumi wa kijani kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Tanzania imepanga kutumia hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kama kichocheo cha uwekezaji, biashara na ajira, huku ikisisitiza ushiriki wa vijana katika uchumi unaozingatia utunzajii wa mazingira. Mtazamo huo umeibuliwa katika Tanzania Green Summit 2026, inayofanyika jijini Dar es Salaam ikiwakutanisha zaidi ya washiriki 900 kutoka mataifa mbalimbali, wakiwemo viongozi wa Serikali, wawekezaji, taasisi za fedha, sekta binafsi, wataalamu, washirika wa maendeleo na vijana. Mkutano huo wenye kaulimbiu “Turning Climate Action into Opportunity” kwa Kiswahili ikimaanisha, &#8220;Kugeuza Hatua za Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi kuwa Fursa’’, unalenga kuangalia namna hatua za ulinzi wa mazingira zinavyoweza kwenda zaidi ya kupunguza athari za tabianchi na kuwa chanzo cha fursa za kiuchumi. Akizungumza kwa niaba ya Makamu wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yusuf amesema mabadiliko ya tabianchi hayawezi tena kutazamwa kama suala la mazingira pekee, kwa kuwa yana uhusiano wa moja kwa moja na maendeleo ya uchumi. Baadhi ya washiriki wakifuatilia mkutano wa Tanzania Green Summit. Picha na Chimba Jerry. Mabadiliko ya tabianchi “Mabadiliko ya tabianchi si changamoto ya kimazingira pekee; ni pamoja na masuala ya maendeleo ya kiuchumi,” amesema Waziri Masauni. Ameongeza kuwa changamoto hiyo inapaswa kugeuzwa kuwa fursa za uwekezaji katika uchumi wa kijani, ajira, ubunifu, nishati safi, kilimo kinachozingatia mabadiliko ya tabianchi, utalii endelevu, usimamizi wa taka na suluhisho zinazotegemea mifumo ya asili. Badala ya mijadala ya sera pekee, Tanzania Green Summit, inaunganisha majadiliano kuhusu fedha za kijani, uwekezaji, biashara , ubunifu wa vijana, nishati jadidifu, masoko ya kaboni,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/tanzania-yageukia-uchumi-wa-kijani-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/tanzania-yageukia-uchumi-wa-kijani-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Vijana watumie changamoto za mabadiliko ya tabianchi kama fursa za ubunifu na ajira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/vijana-watumie-changamoto-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kama-fursa-za-ubunifu-na-ajira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/vijana-watumie-changamoto-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kama-fursa-za-ubunifu-na-ajira/#respond</comments>
					<pubDate>15 Septemba 2026 20:49:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Grace Mwakalinga]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/15172117/2-green-summit-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2811</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Kaboni, Kaboni, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo, Maendeleo Endelevu, Majadiliano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Teknolojia, na  Uendelevu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR-ES-ALAAM, Tanzania &#8211; Vijana wametakiwa kutumia changamoto za mabadiliko ya tabianchi kama fursa ya kujiajiri, kuanzisha biashara na kubuni suluhisho  zitakazochochea ukuaji wa uchumi wa kijani nchini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema hayo   jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano wa Tanzania Green Summit [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/vijana-watumie-changamoto-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kama-fursa-za-ubunifu-na-ajira/" data-wpel-link="internal">Vijana watumie changamoto za mabadiliko ya tabianchi kama fursa za ubunifu na ajira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR-ES-ALAAM, Tanzania &#8211; Vijana wametakiwa kutumia changamoto za mabadiliko ya tabianchi kama fursa ya kujiajiri, kuanzisha biashara na kubuni suluhisho  zitakazochochea ukuaji wa uchumi wa kijani nchini. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amesema hayo   jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano wa Tanzania Green Summit 2026, wenye kaulimbiu “Turning Climate Action into Opportunity” (Kugeuza Hatua za Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi Kuwa Fursa). &nbsp; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yussuf Masauni akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Miradi ya Kijani (SFU) kutoka Banki ya CRDB, Ramla Msuya wakati akikagua mabanda ya maonesho kabla ya kufungua Mkutano wa Tanzania Green Summit unaofanyika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Septemba 15, 2026. Picha na Grace Mwakalinga. Masauni amesema vijana hawapaswi kutazamwa kama wanufaika pekee wa programu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, bali wanapaswa kutambuliwa kama wabunifu, wajasiriamali, watafiti na viongozi wa uchumi wa kijani. “Vijana wanapaswa kutambuliwa kama wabunifu, wajasiriamali, watafiti na viongozi wa uchumi wa kijani, na si wanufaika pekee wa programu za tabianchi,” amesema. Mhandisi Masauni ametoa wito  kwa Serikali, sekta binafsi na taasisi za fedha kuweka mazingira yatakayowawezesha vijana kuanzisha na kukuza biashara zinazozingatia utunzaji wa mazingira. Hatua katika agenda ya mazingira Kwa mujibu wa Masauni, Tanzania imeendelea kuchukua hatua katika agenda ya mazingira na tabianchi, ikiwemo kuwa mwenyeji wa Kituo cha Afrika cha Vijana cha Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabianchi pamoja na Ofisi ya Kikanda ya Santiago Network&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/vijana-watumie-changamoto-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kama-fursa-za-ubunifu-na-ajira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/15/vijana-watumie-changamoto-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kama-fursa-za-ubunifu-na-ajira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Raia watatu wa DRC wafutiwa adhabu ya kufanya uvuvi haramu Ziwa Tanganyika</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/10/raia-watatu-wa-drc-wafutiwa-adhabu-ya-kufanya-uvuvi-haramu-ziwa-tanganyika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/10/raia-watatu-wa-drc-wafutiwa-adhabu-ya-kufanya-uvuvi-haramu-ziwa-tanganyika/#respond</comments>
					<pubDate>10 Septemba 2026 09:30:25 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/10070140/1-nyangumi.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2790</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Sheria, Uvuvi, na  Uvuvi Haramu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga, imefuta hukumu na adhabu dhidi ya wavuvi watatu raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC) waliopatikana na hatia ya kuvua bila leseni na kukiuka sheria za uhamiaji, baada ya kubaini utata kuhusu eneo ambalo makosa hayo yalidaiwa kutendeka. Uamuzi huo umetolewa katika rufaa ya kesi ya jinai [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/10/raia-watatu-wa-drc-wafutiwa-adhabu-ya-kufanya-uvuvi-haramu-ziwa-tanganyika/" data-wpel-link="internal">Raia watatu wa DRC wafutiwa adhabu ya kufanya uvuvi haramu Ziwa Tanganyika</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga, imefuta hukumu na adhabu dhidi ya wavuvi watatu raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC) waliopatikana na hatia ya kuvua bila leseni na kukiuka sheria za uhamiaji, baada ya kubaini utata kuhusu eneo ambalo makosa hayo yalidaiwa kutendeka. Uamuzi huo umetolewa katika rufaa ya kesi ya jinai namba 62 ya mwaka 2026. Washitakiwa katika kesi hiyo iliyosikilizwa mbele ya Jaji Thadeo Mwenempazi ni Godson Chilambe, Kalunga Kandulwe na Francois Katuta wa Katuta ndhidi ya Jamhuri. Wavuvi hao walihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Nkasi, Namanyere, baada ya kukiri mashitaka yaliyohusishwa na tukio la Desemba 4, 2025 katika eneo la Kalubamba, Wilaya ya Nkasi mkoni Rukwa. Matumizi ya njia haramu za uvuvi, licha ya kuharibu mazingira ya majini huvuruga uwiano wa mifumo ya ikolojia. Pichani, vifaa vya uvuvi vilivyokatazwa vyateketezwa kupambana na uvuvi haramu . Picha kwa hisani ya AMPF. Kwa mujibu wa hukumu hiyo, mashitaka dhidi yao yalihusisha kuvua bila leseni halali, huku Godson Chilambe akikabiliwa pia na shitaka la kumiliki nyavu kinyume cha sheria. Wote watatu pia walishitakiwa kwa kuwa nchini Tanzania bila nyaraka halali za kuwaruhusu kuingia au kuishi nchini. Ushahidi wa Jamhuri Ilidaiwa na upande wa Jamhuri kuwa Polisi wa Tanzania waliokuwa kwenye doria katika Ziwa Tanganyika waliwakuta washitakiwa wakivua samaki bila kuwa na leseni halali za uvuvi. Baada ya kukamatwa na kupekuliwa, mshtakiwa wa kwanza alidaiwa kukutwa akiwa na nyavu haramu aina ya gill net, ambayo ni miongoni mwa zana za uvuvi zilizopigwa marufuku. Ilidaiwa kuwa walikutwa wakitumia&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/10/raia-watatu-wa-drc-wafutiwa-adhabu-ya-kufanya-uvuvi-haramu-ziwa-tanganyika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/10/raia-watatu-wa-drc-wafutiwa-adhabu-ya-kufanya-uvuvi-haramu-ziwa-tanganyika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Aliyekutwa na nyama ya nyati kusota jela miaka 20, rufani yake yatupwa</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/09/aliyekutwa-na-nyama-ya-nyati-kusota-jela-miaka-20-rufani-yake-yatupwa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/09/aliyekutwa-na-nyama-ya-nyati-kusota-jela-miaka-20-rufani-yake-yatupwa/#respond</comments>
					<pubDate>09 Septemba 2026 09:23:27 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/10082305/1wanyama.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2798</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Nyama ya Porini, Sheria, Uhalifu kwa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyama maarufu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imebariki Evarist Alfred kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kukutwa na vipande saba vya nyama ya nyati, bila kuwa na kibali cha Mkurugenzi wa Wanyamapori. Hukumu hiyo imetolewa mbele ya Jaji Thadeo Mwenempazi katika rufani namba 000005245 ya mwaka 2026, iliyotokana na hukumu iliyotolewa na Mahakama ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/09/aliyekutwa-na-nyama-ya-nyati-kusota-jela-miaka-20-rufani-yake-yatupwa/" data-wpel-link="internal">Aliyekutwa na nyama ya nyati kusota jela miaka 20, rufani yake yatupwa</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Sumbawanga imebariki Evarist Alfred kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kukutwa na vipande saba vya nyama ya nyati, bila kuwa na kibali cha Mkurugenzi wa Wanyamapori. Hukumu hiyo imetolewa mbele ya Jaji Thadeo Mwenempazi katika rufani namba 000005245 ya mwaka 2026, iliyotokana na hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Mlele katika kesi namba 000035443 of 2024. Jaji Mwenempanzi alitupilia mbali rufani iliyowasilishwa na Alfred akipinga kutiwa hatiani na adhabu iliyotolewa na Mahakama ya Wilaya ya Mlele dhidi yake baada ya kuona haina mashiko. Alikutwa na nyama za nyati Upande wa mashitaka ulidai kuwa Desemba 5, 2024, katika Kituo cha Kijiji cha Kanoge, Wilaya ya Mlele, Mkoa wa Katavi, Evarist alikutwa akiwa na vipande saba vya nyama ya nyati vilivyokuwa na thamani ya Dola za Marekani 2,500, sawa na takribani Sh milioni 6.6. Nyama hiyo ilidaiwa kuwa mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwamba Evarist hakuwa na kibali kutoka kwa Mkurugenzi wa Wanyamapori cha kumruhusu kuwa nayo. Alikana shtaka hilo. Upande wa mashtaka uliita mashahidi saba na kuwasilisha vielelezo vitano, huku Evarist akitoa ushahidi wa kiapo na kuita mashahidi wawili wa utetezi waliopinga kuhusika kufanya makosa hayo. Mahakama ya Wilaya ya Mlele iliridhika kuwa kosa lilikuwa limethibitishwa pasipo shaka na kumtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 20 jela. Alikata rufaa kupinga hukumu Baada ya kutoridhishwa na hukumu hiyo, Evarist aliamua kukata rufaa Mahakama Kuu akipinga hatia pamoja na adhabu. Mrufani aliwakilishwa na Wakili Laurence Mwalabila na aliweka hoja&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/09/aliyekutwa-na-nyama-ya-nyati-kusota-jela-miaka-20-rufani-yake-yatupwa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/09/aliyekutwa-na-nyama-ya-nyati-kusota-jela-miaka-20-rufani-yake-yatupwa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi yatimiza miaka 80 huku wanamazingira wakipinga miradi ya maendeleo </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/#respond</comments>
					<pubDate>07 Septemba 2026 15:25:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anne Ngugi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/07154652/1000658672-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2777</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Udanganyifu wa Mazingira, na  Uharakati wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya — Jumapili ni siku ambayo barabara za Nairobi huwa na shughuli nyingi za kijamii, lakini Agosti 30, kando ya barabara ya Lang&#8217;ata yenye shughuli nyingi, mkabala wa Bomas of Kenya, kundi la watu lilikuwa na ujumbe tofauti. Wakiwa wamevalia mavazi ya kijani, wakibeba mabango na kuimba nyimbo za kuitaka Mbuga ya Kitaifa ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/" data-wpel-link="internal">Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi yatimiza miaka 80 huku wanamazingira wakipinga miradi ya maendeleo </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya — Jumapili ni siku ambayo barabara za Nairobi huwa na shughuli nyingi za kijamii, lakini Agosti 30, kando ya barabara ya Lang&#8217;ata yenye shughuli nyingi, mkabala wa Bomas of Kenya, kundi la watu lilikuwa na ujumbe tofauti. Wakiwa wamevalia mavazi ya kijani, wakibeba mabango na kuimba nyimbo za kuitaka Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi ilindwe, watoto na watu wazima walikusanyika kuunga mkono kampeni dhidi ya mipango ya maendeleo ambayo waandamanaji wanasema inaweza kuathiri sehemu ya hifadhi hiyo. Ilikuwa pia siku ambayo Nairobi National Park iliadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwake. Miongoni mwa washiriki wachanga zaidi walikuwa mapacha wenye umri wa miaka 10, Tumaini Mwangi na Malikia Mwangi, walioandamana na mama yao Wanjiru Mwangi. Tumaini alisema alishiriki katika maandamano hayo kwa sababu alitaka hifadhi hiyo ilindwe kwa ajili ya watoto na vizazi vijavyo. &#8220;Nataka kuokoa hifadhi ili watoto wangu wa baadaye waweze kuwaona wanyama,” alisema. Baadhi ya wanaharakati walioshiriki katika maandamano ya kuadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwa Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi na kupinga shughuli za ujenzi ndani ya hifadhi hiyo pamoja na mpango wa kuhamisha Nairobi Animal Orphanage. Picha na Anne Ngugi, Mongabay. Alisema angependa serikali, pamoja na Rais William Ruto, ifahamu kwamba watoto na wananchi wanajali kuhusu mustakabali wa hifadhi hiyo. Pacha wake, Malikia, alisema pia aliamua kujiunga na wanaharakati wengine siku hiyo kwa sababu hakutaka kufikia wakati ambapo kizazi chake kitawajua wanyama wa Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi kupitia picha pekee. Mama yao alisema uhusiano wake na hifadhi hiyo ulianza miaka mingi iliyopita, alipokuwa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mabadiliko ya tabianchi na uwekezaji katika kilimo vyapewa kipaumbele AFSF 2026</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mabadiliko-ya-tabianchi-na-uwekezaji-katika-kilimo-vyapewa-kipaumbele-afsf-2026/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mabadiliko-ya-tabianchi-na-uwekezaji-katika-kilimo-vyapewa-kipaumbele-afsf-2026/#respond</comments>
					<pubDate>07 Septemba 2026 07:37:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Christopher Karenzi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/05124433/VIONGOZI.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2768</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Rwanda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Mafuriko, Majadiliano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Sekta ya Chakula, Sera za tabianchi, Serikali, Uchumi, na  Uendelevu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuimarisha mifumo ya uzalishaji wa chakula ni miongoni mwa masuala yaliyopewa kipaumbele katika Kongamano la Mifumo ya Chakula Afrika (AFSF 2026), lilinalofanyika Kigali, Rwanda. Washiriki zaidi ya 5,000 Kongamano hilo lenye kaulimbiu, “Kuwekeza katika Mifumo ya Klimo na Chakula Barani Afrika,’’ liliwakutanisha zaidi ya wajumbe 5,000 kutoka zaidi ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mabadiliko-ya-tabianchi-na-uwekezaji-katika-kilimo-vyapewa-kipaumbele-afsf-2026/" data-wpel-link="internal">Mabadiliko ya tabianchi na uwekezaji katika kilimo vyapewa kipaumbele AFSF 2026</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuimarisha mifumo ya uzalishaji wa chakula ni miongoni mwa masuala yaliyopewa kipaumbele katika Kongamano la Mifumo ya Chakula Afrika (AFSF 2026), lilinalofanyika Kigali, Rwanda. Washiriki zaidi ya 5,000 Kongamano hilo lenye kaulimbiu, “Kuwekeza katika Mifumo ya Klimo na Chakula Barani Afrika,’’ liliwakutanisha zaidi ya wajumbe 5,000 kutoka zaidi ya nchi 50. Miongoni mwa mambo muhimu yaliyojadiliwa ni uwekezaji katika kilimo, miundombinu ya kilimo, ajira kwa vijana, usalama wa chakula na namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Dk. Robin Arani Buruchara, mtaalamu wa utafiti na maendeleo ya kilimo kutoka Kenya, amesema Serikali za Afrika zinapaswa kujiandaa mapema kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa, ikiwemo uwezekano wa El Niño. Amesisitiza pia umuhimu wa kuwekeza katika umwagiliaji, hifadhi ya maji, mbegu zinazostahimili ukame na mafuriko, pamoja na mifumo ya utabiri na tahadhari za mapema, ili kulinda uzalishaji wa chakula. Bayella Thiam, Afisa Mkuu wa Uendeshaji wa IFDC (kushoto), na Alice Ruhweza, Rais wa AGRA wakipeana mikono baada ya kusaini Mkataba wa Makubaliano (MoU). Picha na Christopher Karenzi. Prof Jean Jacques Muhinda, Mkurugenzi wa Masuala ya Kilimo wa AGRA, katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini, amesema kongamano hilo limejikita katika maeneo matatu muhimu: ‘’kuunda ajira kwa vijana, kuwekeza katika miundombinu ya kilimo na kuongeza uwekezaji wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi’’. Mifumo ya umwagiliaji Akizungumzia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Muhinda amepongeza Serikali ya Rwanda kwa kuendeleza mifumo ya umwagiliaji katika Wilaya za Nyagatare, Bugesera na maeneo mengine. Amesema mifumo hiyo inawawezesha wakulima kuendelea&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mabadiliko-ya-tabianchi-na-uwekezaji-katika-kilimo-vyapewa-kipaumbele-afsf-2026/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mabadiliko-ya-tabianchi-na-uwekezaji-katika-kilimo-vyapewa-kipaumbele-afsf-2026/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania inawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku ikilinda spishi zilizo hatarini kutoweka?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/#respond</comments>
					<pubDate>05 Septemba 2026 00:00:40 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Hillary Mrosso]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/04131104/1-mimeadawa-1-737x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2746</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Dawa ya Asili, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Ikolojia, Kuokoa Misitu, Kupambana na ujangili, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Matumizi kupita Kiasi, Mifumo ya Ikolojia, Mimea yenye Tiba, Misitu, Misitu ya Asili, Miti, Uokoaji wa Misitu, na  Uwindaji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Matumizi ya mimea na miti kama dawa yanaendelea kuongezeka kwa kasi, hali inayotishia uhai wa baadhi ya spishi, bioanuwai na afya ya misitu. Hali hii inazua swali muhimu: Je, jamii  nchini Tanzania zinawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku spishi zilizo hatarini na misitu vikiendelea kulindwa? Matumizi ya mimea dawa: Hali halisi Taarifa zilizopo zinaonyesha [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Tanzania inawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku ikilinda spishi zilizo hatarini kutoweka?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Matumizi ya mimea na miti kama dawa yanaendelea kuongezeka kwa kasi, hali inayotishia uhai wa baadhi ya spishi, bioanuwai na afya ya misitu. Hali hii inazua swali muhimu: Je, jamii  nchini Tanzania zinawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku spishi zilizo hatarini na misitu vikiendelea kulindwa? Matumizi ya mimea dawa: Hali halisi Taarifa zilizopo zinaonyesha nchi nyingi duniani sasa zinatumia  mimea kama dawa. Kwa mfano, Ripoti ya mwaka 2019 ya Shirika la Afya Duniani, (WHO) kuhusu mimea na tiba asili ilionyesha kuwa nchi wanachama (nchi ambazo WHO inafanya kazi) 170 kati ya 194, sawa na asilimia 88, zilikuwa zinatumia mimea kutibu maradhi mbalimbali. Aina mbalimbali za mimea ya dawa iliyovunwa kutoka kwenye mimea asilia ikiwa imewekwa tayari kwa kuuzwa kwenye maduka ya dawa asilia katika maeneo ya Morogoro mjini: Picha na Hillary Mrosso. Barani Afrika, ambapo kuna upatikanaji wa mimea na misitu mingi asilia, hali ya matumizi ya mimea dawa ni kubwa zaidi. Kwa mujibu wa ripoti ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2010 kuhusu matumizi ya dawa asili barani Afrika, kati ya asilimia 70 hadi 80 ya Waafrika wanategemea mimea kwa ajili ya afya zao. Nchini Tanzania, Chapisho la WHO linaonyesha kuwa kati ya asilimia 60 hadi 80 ya wananchi wanatumia mimea dawa kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu na wanyama wa kufugwa. Kwa mujibu wa chapisho hilo, matumizi hayo yanakwenda sambamba na uwepo wa mtandao mpana wa waganga wa jadi, wanaokadiriwa kufikia 75,000 ambao kwa kiasi kikubwa hutegemea mimea hiyo kama chanzo cha&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Nyaraka zilizo kwenye lugha ya Kireno zakwamisha upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/nyaraka-zilizo-kwenye-lugha-ya-kireno-zakwamisha-upelelezi-wa-kesi-ya-uhujumu-uchumi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/nyaraka-zilizo-kwenye-lugha-ya-kireno-zakwamisha-upelelezi-wa-kesi-ya-uhujumu-uchumi/#respond</comments>
					<pubDate>04 Septemba 2026 17:56:37 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/04160201/1-simba.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2759</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Faru, Simba, Tembo, Uhalifu, na  Uhalifu kwa Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR-ES-SALAAM, Tanzania &#8211; Upelelezi wa shauri la Uhujumu Uchumi linalomkabili Abdul Hamad na wenzake wanaoshtakiwa kwa kuongoza genge la uhalifu, kukutwa na meno ya tembo, kucha na mifupa ya simba bila kibali haujakamilika kutokana na Jamhuri kuendelea kutafsiri nyaraka zilizoandikwa kwa lugha ya Kireno kutoka Msumbiji. Hatua ya kutafsiri nyaraka Akiiwakilisha Jamhuri, Wakili wa Serikali, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/nyaraka-zilizo-kwenye-lugha-ya-kireno-zakwamisha-upelelezi-wa-kesi-ya-uhujumu-uchumi/" data-wpel-link="internal">Nyaraka zilizo kwenye lugha ya Kireno zakwamisha upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR-ES-SALAAM, Tanzania &#8211; Upelelezi wa shauri la Uhujumu Uchumi linalomkabili Abdul Hamad na wenzake wanaoshtakiwa kwa kuongoza genge la uhalifu, kukutwa na meno ya tembo, kucha na mifupa ya simba bila kibali haujakamilika kutokana na Jamhuri kuendelea kutafsiri nyaraka zilizoandikwa kwa lugha ya Kireno kutoka Msumbiji. Hatua ya kutafsiri nyaraka Akiiwakilisha Jamhuri, Wakili wa Serikali, Pankasia Protas, alidai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam mbele mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Gwantwa Mwankuga, kuwa upelelezi wa shauri hilo haujakamilika kwa sababu Jamhuri imefikia hatua ya kutafsiri nyaraka kutoka nchini Msumbiji zilizoandikwa kwa lugha ya Kireno. &#8220;Tunapambana kutafsiri nyaraka zilizotolewa Msumbiji, ziko kwenye lugha ya Kireno. Tunaomba mahakama ipange tarehe nyingine ya kesi kutajwa ,&#8221; alisema Wakili Protas, ombi ambalo mahakama ililikubali na kuahirisha shauri hilo hadi Oktoba 6, 2026, litakapoletwa kwa ajili ya kutajwa tena. Shauri hilo lilifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza, mwaka 2023, likiwa na washitakiwa; Abdul Hamad, Kampuni ya AB Marine Products Ltd iliyopo Ubungo Maziwa, Roseline Wandera, Kennedy Mwambeta na Noel Kasaro. Wengine ni Tito Mwabe na Erasto Makinda, Theresia Lukanga, Abubakari Pazi, Haipeng Guo, Yassir Husein, Peter Kikweka. Hati ya mashitaka Washitakiwa katika shauri hilo wanadaiwa kuwa kati ya Januari Mosi, mwaka 2019 na Mei 27 mwaka 2023, katika uwanja wa ndege wa Pemba na Cabo Delgado Province, nchini Msumbiji, waliongoza genge la uhalifu kwa kupokea, kuuza na kusafirisha vipande 166 vya meno ya tembo, mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Msumbiji, bila kuwa na kibali kutoka kwa Wakurugenzi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/nyaraka-zilizo-kwenye-lugha-ya-kireno-zakwamisha-upelelezi-wa-kesi-ya-uhujumu-uchumi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/nyaraka-zilizo-kwenye-lugha-ya-kireno-zakwamisha-upelelezi-wa-kesi-ya-uhujumu-uchumi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka nyasi bahari hadi plastiki: Wanawake wageuza uhifadhi kuwa chanzo cha kipato</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/kutoka-nyasi-bahari-hadi-plastiki-wanawake-wa-lamu-wageuza-uhifadhi-kuwa-chanzo-cha-kipato/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/kutoka-nyasi-bahari-hadi-plastiki-wanawake-wa-lamu-wageuza-uhifadhi-kuwa-chanzo-cha-kipato/#respond</comments>
					<pubDate>04 Septemba 2026 11:09:46 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/04081325/Website-Use-KNY-0022-DMO-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2736</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Jinsia na Uhifadhi, Mamalia wa Baharini, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Suluhu za Uhifadhi, Ufugaji wa Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Baharini, Uhifadhi wa Misitu, Wanawake katika Uhifadhi, na  Wanyama wa Baharini]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni sehemu ya pili ya mfululizo wa makala kuhusua wanawake wanaovunja mila na kurejesha bahari Lamu. Soma Sehemu ya Kwanza hapa.   LAMU, Kenya — Kwa wanawake katika baadhi ya jamii za pwani ya Lamu, kuingia baharini kwa muda mrefu kulionekana kwenda kinyume na mila. Lakini kwa wengine wao, bahari imekuwa mahali pa kuhifadhi mazingira, kuelimisha [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/kutoka-nyasi-bahari-hadi-plastiki-wanawake-wa-lamu-wageuza-uhifadhi-kuwa-chanzo-cha-kipato/" data-wpel-link="internal">Kutoka nyasi bahari hadi plastiki: Wanawake wageuza uhifadhi kuwa chanzo cha kipato</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni sehemu ya pili ya mfululizo wa makala kuhusua wanawake wanaovunja mila na kurejesha bahari Lamu. Soma Sehemu ya Kwanza hapa.   LAMU, Kenya — Kwa wanawake katika baadhi ya jamii za pwani ya Lamu, kuingia baharini kwa muda mrefu kulionekana kwenda kinyume na mila. Lakini kwa wengine wao, bahari imekuwa mahali pa kuhifadhi mazingira, kuelimisha jamii na kutafuta riziki. Amina: Samaki wanarudi baada ya wanawake kurejesha nyasi bahari Amina Bakari, mwanamke kutoka wadi ya Faza, eneo la Shanga Shakani, kisiwani Pate, anajulikana kama Mama Nyasi Bahari, kutokana na kazi ya uhifadhi ambayo amekuwa akifanya baharini. Mwanamke huyu alisoma hadi darasa la nane. Anatumia elimu yake hiyo kuwafundisha wanajamii kuhusu umuhimu wa kulinda nyasi bahari. Amina Bakari, mwanamke kutoka wadi ya Faza, eneo la Shanga Shakani, kisiwani Pate, anayejulikana kama Mama Nyasi Bahari. Picha kwa hisani ya Duncan Moore, Flora &amp; Fauna.Amina ni kiongozi wa kikundi cha wanawake cha Shanga Itifaq, kinachofanya kazi ya kuhifadhi ikolojia ya bahari kwa kupanda nyasi bahari na mwani, huku kikilenga kuzuia kuendelea kupungua kwa viumbe wa baharini. Utafitiunaonyesha kuwa kati ya mwaka 2000 na 2016, eneo la nyasi bahari nchini Kenya lilikuwa likipungua. Kwa wastani, kila eneo la kilomita za mraba 25 lilipoteza kilomita za mraba 1.9 za nyasi bahari. Shanga Itifaq ilianzishwa mwaka 2018 ikiwa na wanawake 13 na wanaume sita. Siku moja kila wiki, wanachama wake hupanda angalau gunia 17 za kilo 50 za nyasi bahari katika eneo lao la tengefu lililoko Pate Marine Community Conservancy (PMCC), lenye ukubwa wa jumla ya ekari 9,290. Kwa sasa wamepanda&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/kutoka-nyasi-bahari-hadi-plastiki-wanawake-wa-lamu-wageuza-uhifadhi-kuwa-chanzo-cha-kipato/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/kutoka-nyasi-bahari-hadi-plastiki-wanawake-wa-lamu-wageuza-uhifadhi-kuwa-chanzo-cha-kipato/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake wa Lamu wavunja vikwazo vya kitamaduni kuingia baharini na kurejesha matumbawe na mikoko</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/wanawake-wa-lamu-wavunja-vikwazo-vya-kitamaduni-kuingia-baharini-na-kurejesha-matumbawe-na-mikoko/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/wanawake-wa-lamu-wavunja-vikwazo-vya-kitamaduni-kuingia-baharini-na-kurejesha-matumbawe-na-mikoko/#respond</comments>
					<pubDate>04 Septemba 2026 00:00:30 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/03115352/Screenshot-2026-09-03-145135-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2722</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai wa Baharini, Huduma za Mazingira, Jinsia na Uhifadhi, Kasa, Kasa wa baharini, Maji, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Miamba ya Matumbawe, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Samaki wa Maji Chumvi, Sayansi ya Uhifadhi wa Mazingira ya Kitropiki, Uchafuzi wa Maji, Uchumi wa Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Baharini, Uhifadhi wa Misitu, Uuzaji wa Mazingira, na  Wanyama wa Baharini]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni sehemu ya kwanza ya mfululizo wa makala kuhusua wanawake wanaovunja mila na kurejesha bahari Lamu. Soma Sehemu ya pili hapa.   LAMU, Kenya — Mwanasha Mbwana, mkazi wa Shangarubu, Kaunti ya Lamu, anakumbuka vizuri jinsi bahari ilivyomsaidia kupata pesa na kujiendeleza kimasomo akiwa na umri mdogo. Mama Corals: Kutoka kukusanya makome hadi kurejesha matumbawe [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/wanawake-wa-lamu-wavunja-vikwazo-vya-kitamaduni-kuingia-baharini-na-kurejesha-matumbawe-na-mikoko/" data-wpel-link="internal">Wanawake wa Lamu wavunja vikwazo vya kitamaduni kuingia baharini na kurejesha matumbawe na mikoko</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni sehemu ya kwanza ya mfululizo wa makala kuhusua wanawake wanaovunja mila na kurejesha bahari Lamu. Soma Sehemu ya pili hapa.   LAMU, Kenya — Mwanasha Mbwana, mkazi wa Shangarubu, Kaunti ya Lamu, anakumbuka vizuri jinsi bahari ilivyomsaidia kupata pesa na kujiendeleza kimasomo akiwa na umri mdogo. Mama Corals: Kutoka kukusanya makome hadi kurejesha matumbawe Mwanamke huyo, maarufu kama Mama Corals, anasema baada ya kukamilisha shule ya msingi mwaka 1997, alikuwa na hamu ya kuendeleza masomo yake. Lakini kwa sababu ya hali ya umasikini iliyokabili familia yake wakati huo, hakufanikiwa. Lakini hakukata tamaa. Alijikita baharini kutafuta makome (cowrie shells) na kutengeneza mikufu aliyouzia watalii na wenyeji. Kwa siku, angepata faida ya kati ya KSh70 ($0.54) na KSh100 ($0.77), ambazo aliziweka akiba na baadaye zikamlipia karo ya shule ya upili. Mwanasha Mbwana, anayejulikana kama Mama Coral au Mama Matumbawe, ni mwogeleaji mahiri aliyechagua kujikita katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe—eneo ambalo kwa kawaida huhusishwa zaidi na wanaume. Yeye ni bingwa wa urejeshaji wa miamba ya matumbawe na pia ni mwalimu wa shule ya awali. Picha kwa hisani ya Duncan Moore, Fauna &amp; Flora. “Nilisoma kupitia shughuli za bahari. Wakati wa likizo, wenzangu wakienda kujivinjari, mimi nilikuwa nikizama baharini kukusanya makome,” anaeleza Mwanasha. Hatimaye alijisomesha hadi taasisi ya mafunzo ya elimu ya chekechea (Early Childhood Development Education, ECDE) na sasa ni mwalimu wa chekechea. “Sikutaka kuolewa nikiwa na umri mdogo. Sasa, kama mwalimu wa chekechea, maisha yangu yameinuka,” anasema. Lakini bahari ambayo ilimsaidia Mwanasha kupata elimu pia ilimfunza somo jingine: kwamba rasilimali hizo hazikuwa zisizo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/wanawake-wa-lamu-wavunja-vikwazo-vya-kitamaduni-kuingia-baharini-na-kurejesha-matumbawe-na-mikoko/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/04/wanawake-wa-lamu-wavunja-vikwazo-vya-kitamaduni-kuingia-baharini-na-kurejesha-matumbawe-na-mikoko/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Walioomba amri ya mahakama kupinga tamko la Rais kuhusu Hifadhi ya Ruaha wakwama</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/03/walioomba-amri-ya-mahakama-kupinga-tamko-la-rais-kuhusu-hifadhi-ya-ruaha-wakwama/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/03/walioomba-amri-ya-mahakama-kupinga-tamko-la-rais-kuhusu-hifadhi-ya-ruaha-wakwama/#respond</comments>
					<pubDate>03 Septemba 2026 07:34:35 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/02181502/Hifadhi-ya-Ruaha.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2707</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Serikali, na  Sheria]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama ya Rufani ya Tanzania Mbeya, imesema ombi la kisheria lililowasilishwa baada ya muda uliowekwa na sheria linapaswa kutupiliwa mbali (dismissed) na siyo kufutwa (struck out), hata kama shauri hilo linahusu masuala ya maslahi ya umma. Uamuzi huo ulitolewa katika Rufaa ya Madai Na.105 ya 2024, kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/03/walioomba-amri-ya-mahakama-kupinga-tamko-la-rais-kuhusu-hifadhi-ya-ruaha-wakwama/" data-wpel-link="internal">Walioomba amri ya mahakama kupinga tamko la Rais kuhusu Hifadhi ya Ruaha wakwama</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama ya Rufani ya Tanzania Mbeya, imesema ombi la kisheria lililowasilishwa baada ya muda uliowekwa na sheria linapaswa kutupiliwa mbali (dismissed) na siyo kufutwa (struck out), hata kama shauri hilo linahusu masuala ya maslahi ya umma. Uamuzi huo ulitolewa katika Rufaa ya Madai Na.105 ya 2024, kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya Mathia Mligo na wenzake watatu waliotaka ruhusa ya kuomba amri za kimahakama kupinga tamko la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la Oktoba 20, 2023 kuhusu marekebisho ya mipaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, maarufu kama “Tamko la Kurekebisha Mipaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha 2023.” Jopo la majaji watatu wa Mahakama hiyo, Jaji Gerald Ndika, Benhaji Masoud na Yose Mlyambina baada ya kusikiliza rufani walikubaliana kuwa Mahakama Kuu ilikosea kisheria kwa kufuta ombi badala ya kulitupilia mbali baada ya kubaini kuwa liliwasilishwa nje ya muda uliowekwa. Shauri hilo lilitokana na ombi lililowasilishwa Mahakama Kuu Aprili 9, 2024, likilenga kupata ruhusa ya kuomba amri za kimahakama kupinga tamko la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la Oktoba 20, 2023 kuhusu marekebisho ya mipaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha. Rekodi ya shauri ilionyesha kuwa Mei 23, 2024, wakili wa walalamikaji, Jebra Kambole aliomba kuondoa ombi hilo baada ya kubaini kuwa maombi ya judicial review yalipaswa kushughulikiwa ndani ya siku 14 tangu kuwasilishwa na muda huo ulikuwa umepita. Wanyama kama hawa ni kivutio kikubwa kwenye hifadhi za wanyama. Picha kwa hisani ya Tanapa Ruaha National Park. Mahakama&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/03/walioomba-amri-ya-mahakama-kupinga-tamko-la-rais-kuhusu-hifadhi-ya-ruaha-wakwama/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/03/walioomba-amri-ya-mahakama-kupinga-tamko-la-rais-kuhusu-hifadhi-ya-ruaha-wakwama/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ngorongoro na mustakabali wa Wamasai: Kiongozi wa jamii ya Wamaasai Tanzania avunja ukimya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/02/ngorongoro-na-mustakabali-wa-wamasai-kiongozi-wa-jamii-ya-wamaasai-tanzania-avunja-ukimya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/02/ngorongoro-na-mustakabali-wa-wamasai-kiongozi-wa-jamii-ya-wamaasai-tanzania-avunja-ukimya/#respond</comments>
					<pubDate>02 Septemba 2026 09:16:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Manyerere Jackton]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/02071800/p2-_31I4857-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2690</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi, Ikolojia, Maarifa ya Jadi, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Maliasili, Malisho ya Ng'ombe, Mashujaa wa Mazingira, Matumizi kupita Kiasi, Mazingira, Mifugo, Serikali, Uendelevu, Uhifadhi, na  Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ni vigumu kuzungumzia uhifadhi katika maeneo ya Ngorongoro bila kugusia mvutano wa muda mrefu unaohusu uwiano kati ya uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, shughuli za utalii, pamoja na haki na maisha ya jamii zinazooishi katika eneo hilo, hususan jamii ya Wamaasai. Uwiano kati ya uhifadhi na haki za jamii Msingi wa mvutano huo ni namna [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/02/ngorongoro-na-mustakabali-wa-wamasai-kiongozi-wa-jamii-ya-wamaasai-tanzania-avunja-ukimya/" data-wpel-link="internal">Ngorongoro na mustakabali wa Wamasai: Kiongozi wa jamii ya Wamaasai Tanzania avunja ukimya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ni vigumu kuzungumzia uhifadhi katika maeneo ya Ngorongoro bila kugusia mvutano wa muda mrefu unaohusu uwiano kati ya uhifadhi wa mazingira na wanyamapori, shughuli za utalii, pamoja na haki na maisha ya jamii zinazooishi katika eneo hilo, hususan jamii ya Wamaasai. Uwiano kati ya uhifadhi na haki za jamii Msingi wa mvutano huo ni namna ya kusawazisha mahitaji ya uhifadhi na haki za jamii kuendelea kuishi na kunufaika na ardhi ambayo imekuwa sehemu ya maisha yao kwa muda mrefu. Serikali kwa upande wake inataka baadhi ya wakazi wahame kutoka eneo la hifadhi kwenda maeneo yaliyotengwa kama Msomera, ikieleza kuwa ongezeko la watu na mifugo limeongeza shinikizo kwa ardhi, malisho, mazingira na uhifadhi wa wanyamapori. Mwenyekiti wa Jamii ya Wamaasai, Alaigwanani ole Kisongo akihutubia Baraza la Mila la Maarya jijini Arusha. Picha na Lekoko Lepilal. Kwa upande wa jamii zinazoishi eneo hilo, baadhi wanapinga kuondoka wakidai kuwa Ngorongoro ni ardhi yao ya asili, ambako wameishi na kuendesha shughuli za ufugaji kwa vizazi, huku maeneo hayo yakiwa na umuhimu wa kiutamaduni na kiimani.Mjadala ulichukua sura mpya mwaka 2022 wakati Serikali ilipoanza kutekeleza mpango wa kuwahamisha kwa hiari baadhi ya wakazi kutoka eneo la Ngorongoro kwenda maeneo mengine, ikieleza kuwa ongezeko la watu na mifugo lilikuwa linaongeza shinikizo kwenye ardhi na rasilimali za hifadhi. Hata hivyo, zoezi hilo lilikumbwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wakazi na wadau, waliodai kuwa uhamaji huo haukuwa wa hiari na kwamba wananchi hawakushirikishwa ipasavyo katika zoezi hilo. Tume za rais Kutokana na mvutano huo, Rais Samia Suluhu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/02/ngorongoro-na-mustakabali-wa-wamasai-kiongozi-wa-jamii-ya-wamaasai-tanzania-avunja-ukimya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/02/ngorongoro-na-mustakabali-wa-wamasai-kiongozi-wa-jamii-ya-wamaasai-tanzania-avunja-ukimya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa Pemba wa majongoo ya baharini unaolenga kuoanisha biashara na uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/01/mradi-wa-pemba-wa-majongoo-ya-baharini-unaolenga-kuoanisha-biashara-na-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/01/mradi-wa-pemba-wa-majongoo-ya-baharini-unaolenga-kuoanisha-biashara-na-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>01 Septemba 2026 14:42:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/01142610/Screenshot-2026-09-01-172043-768x479.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2679</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Biashara, Biashara Endelevu, Biashara ya Kilimo, Bioanuai wa Baharini, Chakula, Dawa ya Jadi ya Kichina, Eneo Lililolindwa Baharini, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Uchumi wa Mazingira, Uhifadhi wa Baharini, na  Utalii wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>PEMBA, Tanzania — Kama jamii nyingi za pwani kote Afrika Mashariki, wakazi wa Shamiani wamezoea kutazama bahari ikitoa mavuno yanayozidi kupungua. Maji yenye joto, makazi ya baharini yaliyoharibika na miongo kadhaa ya shinikizo la uvuvi vyote vimeathiri rasilimali ambazo hapo awali ziliendeleza riziki za wenyeji, kulingana na wanajamii. Katika Kisiwa cha Pemba cha Tanzania, kisiwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/01/mradi-wa-pemba-wa-majongoo-ya-baharini-unaolenga-kuoanisha-biashara-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mradi wa Pemba wa majongoo ya baharini unaolenga kuoanisha biashara na uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[PEMBA, Tanzania — Kama jamii nyingi za pwani kote Afrika Mashariki, wakazi wa Shamiani wamezoea kutazama bahari ikitoa mavuno yanayozidi kupungua. Maji yenye joto, makazi ya baharini yaliyoharibika na miongo kadhaa ya shinikizo la uvuvi vyote vimeathiri rasilimali ambazo hapo awali ziliendeleza riziki za wenyeji, kulingana na wanajamii. Katika Kisiwa cha Pemba cha Tanzania, kisiwa kinachounda sehemu ya Zanzibar, Shamiani si tofauti. Hata hivyo, hapa, wakazi wanajaribu kitu tofauti. Kamba sasa zinaweka mipaka ya maene yenye nyasi za bahari katika maji ya kina kifupi, hatua iliyofikiwa baada ya miezi kadhaa ya mikutano na majadiliano ya jamii kuhusu namna eneo hilo linapaswa kusimamiwa. Kwa vizazi vingi, maji ya pwani ya kisiwa hicho yamesaidia familia za wavuvi. Lakini katika miaka ya hivi majuzi, wakazi wengi wanasema rasilimali za karibu na pwani zimepungua kwa kasi. Majongoo ya baharini, ambayo hapo awali yalikuwa mengi na kuvunwa kwa ajili ya kusindikwa nchini, yamekuwa machache zaidi. Wavuvi na wavunaji sasa wanafanya kazi kwa bidii zaidi kwa mapato madogo, wakijaribu kupata riziki kutokana na rasilimali za pwani ambazo wengi wanasema si nyingi tena kama ilivyokuwa hapo awali. Mwonekano wa eneo la marufuku ya uvuvi linalosimamiwa na kampuni ya Asili huko Shamiani, katika Kisiwa cha Pemba; hapa, maeneo yaliyohifadhiwa yenye nyasi za bahari katika maji ya kina kifupi hutumika kufugia majongoo ya baharini. Eneo hilo lilianzishwa kufuatia miezi kadhaa ya mikutano ya jamii na majadiliano kuhusu usimamizi wake. Picha na David Akana, Mongabay. Kupungua huko ndiko kulikosukuma Asili, kampuni ya ufugaji wa viumbe vya majini yenye makao yake nchini Tanzania na inayoshirikiana na jamii za Pemba&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/01/mradi-wa-pemba-wa-majongoo-ya-baharini-unaolenga-kuoanisha-biashara-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/01/mradi-wa-pemba-wa-majongoo-ya-baharini-unaolenga-kuoanisha-biashara-na-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kampuni ya Kichina ya uchimbaji wa mchanga wenye madini mazito yahusishwa na uharibifu wa mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/31/kampuni-ya-kichina-inayoongoza-uchimbaji-wa-mchanga-wenye-madini-mazito-nchini-msumbiji-yahusishwa-na-uharibifu-wa-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/31/kampuni-ya-kichina-inayoongoza-uchimbaji-wa-mchanga-wenye-madini-mazito-nchini-msumbiji-yahusishwa-na-uharibifu-wa-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>31 Agosti 2026 14:18:27 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Malavika Vyawahare]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/31140708/Screenshot-2026-08-31-170449-768x442.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2668</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Mashariki, na  Msumbiji]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Jukumu la Kampuni Katika Uhifadhi, Maji, Makampuni Yanayokiuka Sheria za Mazingira, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Mikoko, Sehemu za Bioanuwai, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Kitropiki, na  Wajibu wa Kampuni]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>ZAMBEZI, Msumbiji &#8211; Uchunguzi wa Mongabay umebaini kuwa shughuli za uchimbaji wa mchanga kando ya pwani ya Mkoa wa Zambezia, katikati mwa Msumbiji, imeharibu mamia ya hekta za misitu ya mikoko katika miaka michache tu. Eneo hilo liko chini ya leseni ya kampuni ya Mozambique Heavy Sand Company VIII, ambayo inamilikiwa kwa sehemu na Jinan Yuxiao [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/31/kampuni-ya-kichina-inayoongoza-uchimbaji-wa-mchanga-wenye-madini-mazito-nchini-msumbiji-yahusishwa-na-uharibifu-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Kampuni ya Kichina ya uchimbaji wa mchanga wenye madini mazito yahusishwa na uharibifu wa mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[ZAMBEZI, Msumbiji &#8211; Uchunguzi wa Mongabay umebaini kuwa shughuli za uchimbaji wa mchanga kando ya pwani ya Mkoa wa Zambezia, katikati mwa Msumbiji, imeharibu mamia ya hekta za misitu ya mikoko katika miaka michache tu. Eneo hilo liko chini ya leseni ya kampuni ya Mozambique Heavy Sand Company VIII, ambayo inamilikiwa kwa sehemu na Jinan Yuxiao Group, kampuni ya uchimbaji madini ya China yenye ushawishi mkubwa, inayodai kumiliki zaidi ya hekta 500,000 (ekari milioni 1.24) za ardhi kwa ajili ya shughuli za uchimbaji nchini Msumbiji. Maeneo hayo ya uchimbaji hulenga zaidi mchanga wenye madini mazito, ambayo huwa na madini yenye titani, hasa ilmeniti na rutaili, yanayotumika katika utengenezaji wa bidhaa mbalimbali, kuanzia rangi na plastiki hadi krimu za kujikinga dhidi ya jua. Wanaharakati wa mazingira wanatoa tahadhari kuhusu hatari zinazotokana na uchimbaji wa madini mazito kando ya pwani ya Msumbiji, na vyombo vya habari vya ndani vimeandika kuhusu tishio linaloongezeka kutokana na shughuli hiyo. &#8220;Maeneo yetu yote ya pwani yana miradi hii ya mchanga wenye madini mazito,&#8221; alisema Fatima Mimbire, mtetezi wa uwazi katika sekta ya madini nchini Msumbiji katika mahojiano na Mongabay. Aliongeza kwamba kampuni nyingi zinazochimba mchanga huo wenye madini nchini Msumbiji ni za Kichina. &#8220;Kampuni hizi zinasababisha uharibifu bila kujali mazingira wala watu wanaoathiriwa.&#8221; Global Mangrove Watch (GMW) ni jukwaa lililoundwa kufuatilia maeneo ambayo mikoko inarejea na yale ambayo inapotea, ndilo lililotoa tahadhari ya kwanza kuhusu upotevu wa mikoko katika wilaya ya Chinde mkoani Zambezia. Lammert Hilarides, mtaalamu wa uchunguzi wa Dunia kwa kutumia picha za setlaiti kutoka shirika la Wetlands International (WI),&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/31/kampuni-ya-kichina-inayoongoza-uchimbaji-wa-mchanga-wenye-madini-mazito-nchini-msumbiji-yahusishwa-na-uharibifu-wa-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/31/kampuni-ya-kichina-inayoongoza-uchimbaji-wa-mchanga-wenye-madini-mazito-nchini-msumbiji-yahusishwa-na-uharibifu-wa-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wakati Tanzania Ikiandaa COP12, Wadau Washauri Vipaumbele vya Bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>30 Agosti 2026 06:15:40 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Christopher Kidanka]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/28161458/4-nyasi--768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2639</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Mikoko, Serikali, Taka, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, na  Uvuvi Haramu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Zikiwa zimesalia siku 39 kabla ya kufanyika kwa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 6–9 Oktoba, na Tanzania kuwa mwenyeji wake, wadau mbalimbali wameeleza matarajio yao kuhusu tukio hilo na fursa ambazo Tanzania inaweza kuzipata kutokana na nafasi yake hiyo. Wakizungumza na Mongabay kwa nyakati tofauti, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/" data-wpel-link="internal">Wakati Tanzania Ikiandaa COP12, Wadau Washauri Vipaumbele vya Bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Zikiwa zimesalia siku 39 kabla ya kufanyika kwa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 6–9 Oktoba, na Tanzania kuwa mwenyeji wake, wadau mbalimbali wameeleza matarajio yao kuhusu tukio hilo na fursa ambazo Tanzania inaweza kuzipata kutokana na nafasi yake hiyo. Wakizungumza na Mongabay kwa nyakati tofauti, wanaharakati wa uhifadhi wa baionuai za bahari wameshauri masuala muhimu ambayo ujumbe wa Tanzania unapaswa kuyasimamia ili kutatua changamoto mbalimbali za uhifadhi nchini. Nyasi bahari ni moja ya spishi zinazoathiriwa na uchafuzi wa bahari. Picha kwa Hisani ya SOA Tanzania. Laura Rosset, Mwanzilishi na Mshauri wa Kisayansi wa asasi ya utunzaji wa mazingira ya bahari, Under the Wave anashauri Tanzania itumie mkutano huo kukutafuta ushirikiano na fursa zaidi za kuimarisha ulinzi na urejeshaji wa mifumo ya ikolojia ya baharini, hususan miamba ya matumbawe, misitu ya mikoko, nyasi bahari, pamoja na viumbe wa baharini walio katika hatari ya kutoweka. Laura anasema kuwa Tanzania itakuwa na fursa kubwa kama mwenyej wa mkutano huo kusukuma ajenda zitakazoweza kuchangia kuleta suluhisho kwa changamoto mbalimbali za uhifadhi wa bahari zinazoikabili nchi kwa sasa “Tanzania inapaswa kusisitiza umuhimu wa uhifadhi unaoshirikisha jamii, utalii endelevu, elimu ya mazingira, pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya jamii za wenyeji, mashirika yasiyo ya kiserikali, serikali, wanasayansi, na sekta ya utalii,” Laura ameiambia Mongabay katika mahojiano. Taka za plastiki ni tishio Kwa Laura, moja ya maeneo ambayo Tanzania inapaswa kuyapa kipaumbele ni usimamizi wa taka na kupunguza uchafuzi wa bahari. Anasema taka, hasa plastiki, zinaendelea kutishia&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/30/wakati-tanzania-ikiandaa-cop12-wadau-washauri-vipaumbele-vya-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Namna wawezeshaji wanavyobadili sura ya urejeshaji wa mikoko</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/#respond</comments>
					<pubDate>28 Agosti 2026 16:31:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Marina Martinez]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/28160336/Screenshot-2026-08-28-190238-768x436.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2636</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Fedha ya mfumo wa ikolojia, Ikolojia, Irejeshaji wa Mfumo wa Ikolojia, Malipo kwa Huduma za Mfumo wa Ikolojia, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mikoko, na  Mikopo ya Kaboni]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Misitu ya mikoko, inayopatikana kando ya pwani za kitropiki, inazidi kutambuliwa kwa jukumu lake katika kuzuia majanga ya hali ya hewa, kuhifadhi kaboni, kusaidia wanyamapori na maisha ya jamii za pwani. Hata hivyo, hata kama nia ya uhifadhi na urejeshaji wa mikoko imeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, miradi mingi hushindwa, miche hufa, maeneo huharibika [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/" data-wpel-link="internal">Namna wawezeshaji wanavyobadili sura ya urejeshaji wa mikoko</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Misitu ya mikoko, inayopatikana kando ya pwani za kitropiki, inazidi kutambuliwa kwa jukumu lake katika kuzuia majanga ya hali ya hewa, kuhifadhi kaboni, kusaidia wanyamapori na maisha ya jamii za pwani. Hata hivyo, hata kama nia ya uhifadhi na urejeshaji wa mikoko imeongezeka katika miaka ya hivi karibuni, miradi mingi hushindwa, miche hufa, maeneo huharibika zaidi au jamii hujitenga. Sababu moja, kulingana na Catherine Lovelock, profesa katika Shule ya Mazingira katika Chuo Kikuu cha Queensland nchini Australia na mtaalamu wa ikolojia ya mikoko, ni kwamba juhudi za urejeshaji mara nyingi huongozwa na vikundi vidogo vya jamii vyenye rasilimali na utaalamu finyu. Kwa kweli, tafiti zimeonyesha kuwa karibu 70% ya miradi ya urejeshaji mikoko katika baadhi ya maeneo, hasa Asia ya Kusini-mashariki na Amerika Kusini, huwa na viwango vya chini vya mafanikio. Ili kuziba pengo hili, mashirika mengi yasiyo ya faida yanatumia uzoefu wao wa kutafuta fedha na uhamasishaji wa rasilimali ili kusaidia jamii za wenyeji kufanya urejeshaji kwa ufanisi zaidi. Seatrees, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu huko California (zamani lilijulikana kama Sustainable Surf), ni mojawapo ya mashirika hayo. Badala ya kuendesha miradi yenyewe, shirika hilo linashirikiana na vikundi vya jamii na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali, likitoa ufadhili, utaalamu wa kisayansi na usaidizi wa vyombo vya habari ili kuongeza jitihada za urejeshaji wa pwani na baharini duniani kote, ikiwa ni pamoja na mikoko. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, shirika la Seatrees limeunga mkono miradi ya urejeshaji wa mikoko nchini Kenya, Mexico, Marekani na Indonesia &#8220;kwa kutoa fedha zinazohitajika sana ili kuongeza upandaji&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/28/namna-wawezeshaji-wanavyobadili-sura-ya-urejeshaji-wa-mikoko/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Sharti dunia ijifunze kwa yaliyopita ili kujiandaa kwa tukio lisilo la kawaida la El Niño linaloweza kutokea</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/#respond</comments>
					<pubDate>26 Agosti 2026 20:21:14 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Sean Mowbray]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/26193037/Screenshot-2026-08-26-222742-768x495.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2618</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Amazon, Amerika ya Kaskazini, Amerika ya Kati, Amerika ya Kusini, Asia, Ethiopia, India, Sri Lanka, Ukraine, Ulaya, Ulimwenguni, na  Urusi]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Halijoto, Huduma za Mazingira, Mafuriko, Magonjwa, Maji, Maji ya kunywa, Mazao, Mazingira, Ongezeko la Joto Duniani, Uhamishaji, Ukame, upatikanaji wa chakula, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mataifa ulimwenguni kote yanajiandaa kwa tukio la El Niño ambalo linazidi kuonekana kuwa ya kihistoria; mifumo ya kisasa ya utabiri ikionyesha kuwa tukio la 2026-2027 huenda likawa na nguvu zaidi kuwahi kuripotiwa, na huenda likavunja rekodi kwa kiwango kikubwa na cha hatari. Mashirika ya kimataifa, yakiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika la Hali ya Hewa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/" data-wpel-link="internal">Sharti dunia ijifunze kwa yaliyopita ili kujiandaa kwa tukio lisilo la kawaida la El Niño linaloweza kutokea</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mataifa ulimwenguni kote yanajiandaa kwa tukio la El Niño ambalo linazidi kuonekana kuwa ya kihistoria; mifumo ya kisasa ya utabiri ikionyesha kuwa tukio la 2026-2027 huenda likawa na nguvu zaidi kuwahi kuripotiwa, na huenda likavunja rekodi kwa kiwango kikubwa na cha hatari. Mashirika ya kimataifa, yakiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), yanazihimiza mataifa kujiandaa kwa hali mbaya ya hewa na athari zitakazofuata katika sekta za afya, chakula na nishati. Tayari baadhi ya mataifa yanachukua hatua: Brazil imeajiri wazima moto wengi kupambana na moto wa misitu unaotarajiwa katika Amazon. Peru, iliyokumbwa na mvua kubwa, mafuriko na maporomoko ya ardhi katika matukio ya El Niño yaliyopita, imetangaza hali ya hatari katika 40% ya maeneo ya nchi hiyo. Sri Lanka imepanga kuwapatia maji watu karibu 72,000 katika wilaya saba zinazokabiliwa na ukame, na India inalenga wilaya 300 zinazokabiliwa na ukame, ikiimarisha mipango ya dharura ya kilimo na kuongeza mipango ya umwagiliaji. Umoja wa Afrika unatoa wito kwa nchi wanachama kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema ili kulinda &#8220;maisha, riziki na uchumi katika miezi ijayo.&#8221; Ukame mkali nchini Ethiopia  wakati wa tukio la El Niño mwaka 2015 ulisababisha mgogoro wa kibinadamu uliowaathiri zaidi ya watu milioni 10. Hapa, Umoja wa Ulaya (EU) na shirika lisilo la kiserikali la Oxfam zinasambaza lori la kusafirisha maji ili kutoa maji ya dharura nayohitajika. Picha na ©EU/ECHO/Anouk Delafortrie kupitia Flickr (CC BY-NC-ND 2.0). Hata hivyo, nchi nyingi hazijajiandaa: Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetoa wito wa dharura wa $202 milioni kwa ajili ya Wito wa pamoja wa kuchukua&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/sharti-dunia-ijifunze-kwa-yaliyopita-ili-kujiandaa-kwa-tukio-lisilo-la-kawaida-la-el-nino-linaloweza-kutokea/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Teknolojia inayolenga kubadilisha usimamizi wa taka Kenya, huku ikiibua maswali kuhusu ajira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/teknolojia-ya-kiotomatiki-inalenga-kubadilisha-usimamizi-wa-taka-kenya-huku-ikiibua-maswali-kuhusu-ajira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/teknolojia-ya-kiotomatiki-inalenga-kubadilisha-usimamizi-wa-taka-kenya-huku-ikiibua-maswali-kuhusu-ajira/#respond</comments>
					<pubDate>26 Agosti 2026 08:42:44 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[George Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/26082122/Taka-Taka-Ni-Mali-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2605</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, India, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Haki za Kimazingira, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Taka, Teknolojia, Teknolojia na Uhifadhi, Teknolojia ya Uhifadhi Mazingira ya Porini, Uchumi wa Mazingira, na  Uharakati wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya &#8211; Asubuhi inapopambazuka juu ya Dandora, moshi wa kijivu hutanda angani. Kabla ya wakazi wengi wa Nairobi kuamka, wakusanya taka tayari wako kwenye kilima, wameinama juu ya taka za asubuhi, wakitenganisha plastiki, vioo, mabaki ya chakula na vifaa vingine kwa mikono mitupu. Miongoni mwao ni Nick Mulwa, ambaye amefanya kazi kwenye dampo hili kwa miaka saba na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/teknolojia-ya-kiotomatiki-inalenga-kubadilisha-usimamizi-wa-taka-kenya-huku-ikiibua-maswali-kuhusu-ajira/" data-wpel-link="internal">Teknolojia inayolenga kubadilisha usimamizi wa taka Kenya, huku ikiibua maswali kuhusu ajira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya &#8211; Asubuhi inapopambazuka juu ya Dandora, moshi wa kijivu hutanda angani. Kabla ya wakazi wengi wa Nairobi kuamka, wakusanya taka tayari wako kwenye kilima, wameinama juu ya taka za asubuhi, wakitenganisha plastiki, vioo, mabaki ya chakula na vifaa vingine kwa mikono mitupu. Miongoni mwao ni Nick Mulwa, ambaye amefanya kazi kwenye dampo hili kwa miaka saba na anaweza kukadiria bei ya kilo ya plastiki kwa jicho tu. “Nimekulia vijijini Kitui na pia nimeishi hapa Dandora. Nimefanya kazi kwenye dampo hili kwa muda mrefu, lakini hata na uzoefu wangu, si rahisi kujua ni nini kinaweza kukuumiza. Nimenusurika mikato, majeraha ya kuchomwa na vitu vyenye ncha kali, na majeraha mengine yanayohusiana na kazi hii,” Mulwa aliiambia Mongabay kwa lugha ya mtaani ya Sheng, huku akionyesha alama za mikato aliyopata kutokana na kubeba magunia ya taka, kwenye mikono, miguu na shingo yake. Kazi yake ni kiungo cha kwanza katika mnyororo wa taka nchini Kenya na ni miongoni mwa kazi ngumu zaidi. Utafiti wa mwaka 2025 kuhusu wakusanya taka wa Dandora ulibaini kuwa asilimia 96 walikuwa wamejeruhiwa katika eneo hilo, na asilimia 71 waliripoti matatizo ya kiafya, huku asilimia 15 waliotumia vifaa kamili vya kujikinga. Wengi hupata kati ya KSh300 na KSh500 ($2.23 na $3.86) kwa siku, na karibu saba kati ya kumi wanasema kiasi hicho hakitoshi kukidhi mahitaji yao. Dampo hili lilitangazwa kuwa limejaa mwaka 2001, robo karne iliyopita, lakini bado hupokea takribani tani 2,000 za taka za jiji kila siku, na kila asubuhi, yeye na maelfu kama yeye wanalisubiri. Tabitha Kiarie (kushoto) na Mary Ngechu wakisimama kuzungumza katika&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/teknolojia-ya-kiotomatiki-inalenga-kubadilisha-usimamizi-wa-taka-kenya-huku-ikiibua-maswali-kuhusu-ajira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/teknolojia-ya-kiotomatiki-inalenga-kubadilisha-usimamizi-wa-taka-kenya-huku-ikiibua-maswali-kuhusu-ajira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wataalam wa mazingira wazungumzia athari za moto ulioteketeza maduka Burundi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/#respond</comments>
					<pubDate>26 Agosti 2026 08:06:55 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Thérence Hategekimana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/26065117/1-Duka-la-Ndayizamba-linateketea-kwa-moto.-Pica-na-Therence-Hategekimana-720x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2602</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ikolojia, Maji, Moto, Uchafuzi wa Hewa, na  Uchafuzi wa Maji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Moto mkubwa umezuka katika majengo ya maduka ya ETS Ndayizamba na Le Parisien, yaliyoko katikati ya mji wa kiuchumi, Bujumbura, Burundi. Kwa wafanyabiashara, moto huo umesababisha hasara kubwa kiuchumi lakini kwa wana mazingira, moto huo unaweza kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hewa. Hilaire Habarugira, mtaalamu wa mazingira nchini Burundi aliiambia Mongabay kuwa moshi wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/" data-wpel-link="internal">Wataalam wa mazingira wazungumzia athari za moto ulioteketeza maduka Burundi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Moto mkubwa umezuka katika majengo ya maduka ya ETS Ndayizamba na Le Parisien, yaliyoko katikati ya mji wa kiuchumi, Bujumbura, Burundi. Kwa wafanyabiashara, moto huo umesababisha hasara kubwa kiuchumi lakini kwa wana mazingira, moto huo unaweza kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hewa. Hilaire Habarugira, mtaalamu wa mazingira nchini Burundi aliiambia Mongabay kuwa moshi wa bidhaa zilizoharibiwa na moto vikiwemo vifaa vya plastiki, nguo, viatu, vifaa vya kufungashia, betri, mafuta, kemikali pamoja na vifaa vya kielektroniki, unaweza kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa hewa. &#8220;Mabaki ya moto yanaweza kuendelea kuchafua mazingira hata baada ya moto kuzimwa,&#8221; alisema Habarugira. Pierre Nduwayo ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya mazingira, aliiambia Mongabay kuwa mabaki ya moto huo pia yanaweza kusababisha uchafuzi wa maji. &#8220;Wakati wa mvua, majivu na kemikali zenye sumu vinaweza kusombwa na maji kuingia kwenye mifereji, mito na maziwa, na hivyo kuchafua vyanzo vya maji,&#8221; alisema. Kwa kuwa baadhi ya mifereji ya maji ya Bujumbura humwaga maji yake katika Ziwa Tanganyika, mfumo wa ikolojia wa ziwa hilo unaweza kuwa hatarini iwapo hatua madhubuti hazitachukuliwa. Moto huo ambao chanzo chake hakijafahamika ulianza majira ya saa kumi na mbili asubuhi katika mojawapo ya ghorofa za majengo hayo. Walinzi wa majengo hayo walidai kuwa licha huduma za zimamoto Licha ya idara ya Zimamoto kufika haraka eneo la tukio ili kujaribu kuudhibiti, moto uliendelea kuteketeza maduka hayo kwa saa kadhaa, na kuharibu kabisa maduka yote mawili. Makamu wa Rais wa Jamhuri, Prosper Bazombanza, akiwa pamoja na Gavana wa Mkoa wa Bujumbura, walitembelea eneo la tukio.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/26/wataalam-wa-mazingira-wazungumzia-athari-za-moto-ulioteketeza-maduka-burundi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Washukiwa wanne wakamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/#respond</comments>
					<pubDate>22 Agosti 2026 21:09:34 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/22210122/save-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2596</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kemikali, Kemikali za Kilimo, Kilimo, Mamalia Wakubwa, Mgogoro wa Binadam na Tembo, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Tembo, Uhifadhi, na  Uhifadhi wa Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Washukiwa wanne wamekamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli, huku kemikali zisizo na lebo kunaswa. Idadi ya vifo hivyo ilipanda kutoka 16 hadi 18 baada ya tembo wengine wawili kufariki mwezi Agosti, huku uchunguzi ukizidi kuashiria uwezekano kwamba tembo hao walitiwa sumu kwa makusudi. Waziri wa Utalii na Wanyamapori [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/" data-wpel-link="internal">Washukiwa wanne wakamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Washukiwa wanne wamekamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli, huku kemikali zisizo na lebo kunaswa. Idadi ya vifo hivyo ilipanda kutoka 16 hadi 18 baada ya tembo wengine wawili kufariki mwezi Agosti, huku uchunguzi ukizidi kuashiria uwezekano kwamba tembo hao walitiwa sumu kwa makusudi. Waziri wa Utalii na Wanyamapori wa Kenya, Rebecca Miano, alisema katika taarifa rasmi iliyotumwa kwa Mongabay kwamba mshukiwa mwingine anayeaminika kuwa na taarifa muhimu kuhusu vifo hivyo bado anatafutwa. Maafisa wa KWS wakimwokoa tembo aliyekwama kwenye matope katika mojawapo ya mbuga za kitaifa nchini Kenya, Agosti 22, 2026. Picha kwa hisani ya KWS. Uchunguzi wa awali ulionyesha kwamba huenda tembo hao walikufa baada ya kumeza sumu. Vipimo kadhaa vya maabara vilionyesha uwepo wa sianidi. Inadhaniwa kwamba tembo hao walipata kemikali hiyo kupitia kwa nyanya iiliyonyunyiziwa dawa za kuua wadudu katika mashamba ya jirani, ingawa waziri alisema kuwa hilo bado halijathibitishwa kisayansi. Timu ya mashirika mbalimbali inayojumuisha Huduma ya Ujasusi wa Taifa, Polisi wa Taifa, Idara ya Uchunguzi wa Makosa ya Jinai, askari wa wanyamapori wa Kenya Wildlife Service (KWS), na mashirika mengine ya serikali imekuwa ikichunguza suala hilo, ikiwemo katika jamii zinazoishi karibu na hifadhi ya taifa. &#8220;Upekuzi uliofanywa Tikondo, Kimana ndani ya Kata Ndogo ya Loitoktok ulisababisha ugunduzi wa vitu mbalimbali, ikiwemo kemikali zinazoaminika kutoka nchi jirani. Kemikali hizi zinazoweza kuwa na sumu na zisizo na lebo zimehifadhiwa kwa uchambuzi zaidi wa kisayansi,&#8221; waziri alisema. Hadi kuthibitishwa hatia Hata hivyo, serikali ilisema kuwa watu hao wanne wataendelea kuchukuliwa kuwa washukiwa hadi washukiwa tu,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ndani ya Kibera, vijana wageuza mapambano dhidi ya taka kuwa kinga dhidi ya mafuriko </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/#respond</comments>
					<pubDate>22 Agosti 2026 00:16:57 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Mary Mwendwa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/21145204/Screenshot-2026-08-21-175140-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2561</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Huduma za Mazingira, Mafuriko, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mito, Plastiki, Taka, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, na  Uhalifu wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KIBERA, Kenya — Safu za paa za bati, kuta za udongo na njia nyembamba zilizojaa watu ndizo unazokutana nazo unapofika katika eneo hili mashariki mwa Mto Ngong. Hii ni Kibera, mojawapo ya makazi duni makubwa barani Afrika, yaliyoko kilomita sita kutoka katikati ya mji mkuu wa Kenya. Makazi hayo yanaenea katika eneo la hekta 225 [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/" data-wpel-link="internal">Ndani ya Kibera, vijana wageuza mapambano dhidi ya taka kuwa kinga dhidi ya mafuriko </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KIBERA, Kenya — Safu za paa za bati, kuta za udongo na njia nyembamba zilizojaa watu ndizo unazokutana nazo unapofika katika eneo hili mashariki mwa Mto Ngong. Hii ni Kibera, mojawapo ya makazi duni makubwa barani Afrika, yaliyoko kilomita sita kutoka katikati ya mji mkuu wa Kenya. Makazi hayo yanaenea katika eneo la hekta 225 karibu na Mto Ngong na vijito vyake, na idadi ya watu inayokadiriwa kufikia 700,000. Sehemu ya Katwekera, ndani ya Kibera, Nairobi. Picha na Mary Mwendwa, Mongabay. Katika baadhi ya maeneo ya makazi hayo, serikali ya Kenya inaendelea na ujenzi wa nyumba za bei nafuu. Mwonekano wa Kibera umeanza kubadilika. Hata hivyo, katika Gatwekera, mojawapo ya vijiji 14 vya Kibera, wakazi wa kipato cha chini wanategemea kazi za muda na biashara ndogo ndogo kando ya njia nyembamba. Asubuhi hiyo ya Jumapili, muziki mkubwa unaotoka madukani na majumbani unachanganyika na mlio wa pikipiki zinazobeba abiria na mizigo kwenye njia hizo. Licha ya msongamano huo, watu wanaonekana kuwa waangalifu. Baadhi yao walionekana kuelekea ibadani. Katikati ya msongamano huo, vijana watatu wanasukuma mkokoteni uliojaa mifuko myeusi ya plastiki iliyojaa taka, wakiteremka mteremko unaopelekea daraja la miguu ndani ya Gatwekera. Nyumba ya mwisho waliyotembelea ilikuwa ya Syprose Akinyi, iliyoko takriban mita 100 kutoka walipokuwa. Wanaelekea eneo la kukusanyia taka, ambapo taka hizo zinapangwa na baadhi yake kuuzwa kwa ajili ya kuchakatwa. Taka zilizobaki husafirishwa hadi dampo la Dandora, lililo umbali wa takriban kilomita 10, kwa kutumia magari ya serikali ya kaunti. Wanachama wa West Family Group wakipanga taka zilizokusanywa kutoka majumbani huko Gatwekera. Vijana hao&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Miaka 40 baada ya mpango mkubwa wa upandaji miti Burundi: Nini kilitokea? Nini kinafanyika?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/#respond</comments>
					<pubDate>21 Agosti 2026 18:34:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Thérence Hategekimana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/21141024/3misituMiti_iliyokatwa_kwa_ajili_ya_viazi-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2565</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kutoweka, Misitu, Miti, Moto, na  Moto wa Misitu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Unapoingia ndani ya misitu iliyopandwa na Serikali ya awamu ya pili ya Burundi chini ya Rais Jean-Baptiste Bagaza, utasikitika. Misitu hiyo ambayo hapo awali ilikuwa imestawi vizuri na kuwa ya kijani kibichi, ikitoa makazi kwa aina mbalimbali za wanyama na mimea, ikilinda udongo dhidi ya mmomonyoko na kuchangia katika uhifadhi wa vyanzo vya maji, leo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/" data-wpel-link="internal">Miaka 40 baada ya mpango mkubwa wa upandaji miti Burundi: Nini kilitokea? Nini kinafanyika?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Unapoingia ndani ya misitu iliyopandwa na Serikali ya awamu ya pili ya Burundi chini ya Rais Jean-Baptiste Bagaza, utasikitika. Misitu hiyo ambayo hapo awali ilikuwa imestawi vizuri na kuwa ya kijani kibichi, ikitoa makazi kwa aina mbalimbali za wanyama na mimea, ikilinda udongo dhidi ya mmomonyoko na kuchangia katika uhifadhi wa vyanzo vya maji, leo hii katika baadhi ya maeneo, imepoteza sehemu kubwa ya uoto wake. Miti imetoweka, na kuacha maeneo yaliyoharibiwa, yenye miti michache na yaliyo wazi zaidi. Mpango huo mkubwa wa kitaifa wa upandaji miti nchi nzima, ulianza kutekelezwa kuanzia mwaka 1978. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Shirika la Chakula na Kilimo, (FAO), eneo lililopandwa miti katika kampeni hiyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 1978 hadi 1991, lilikadiriwa kuwa na ukubwa jumla ya hekta 56,430. Taarifa zaidi kutoka FAO zinaonyesha kwamba takribani hekta 30,000 za misitu iliyopandwa na binadamu ziliharibiwa wakati wa mgogoro wa Oktoba 1993. Sehemu ya mti iliyokatwa katika kijiji cha Kigozi. Pichah na Thérence Hategekimana. Chapisho la FAO linaonyesha kwamba wakati wa kipindi cha upandaji miti kitaifa, takribani hekta 10,080 kati ya 12,000 zilikuwa zimepangwa kupandwa miti hasa aina za Pinus na Callitris katika eneo la Mugamba-Bututsi. Hata hivyo, utafiti wa hivi karibuni uliochapishwa na Global Forest Watch unaonyesha kwamba, kati ya mwaka 2001 na 2025, takribani hekta 760 za uoto wa miti zilipotea katika eneo hilo.Licha ya misitu ya serikali, maeneo mengine ya misitu nchini Burundi yanakabiliwa na uharibifu. Kulingana na utafiti mwingine uliochapishwa mwaka 2026, Burundi ilipoteza asilimia 40.5 ya eneo la misitu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake wa jamii za kiasili wanaourejesha Msitu wa Mau nchini Kenya na kubadilisha majkumu ya kijinsia</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/#respond</comments>
					<pubDate>20 Agosti 2026 21:39:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Juliet Akoth Ojwang]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/20210525/Screenshot-2026-08-21-000438-768x493.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2541</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ahadi za kutokomeza ukataji miti, Ardhi iliyoharibika, Ardhi ya Peati, Dawa ya Asili, Jinsia na Uhifadhi, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Mageuzi ya Ardhi, Mimea, Mimea yenye Tiba, Misitu ya Asili, Miti, Nishati ya mimea, Suluhisho za Asili, Tamaduni za Kiasili, Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili, Upandaji Miti, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kabla ya kupambazuka katika kijiji cha Eor Ewaso, kusini-magharibi mwa Kenya, Judy Mukut huwa tayari ameamka. Kufikia saa kumi na mbili na nusu asubuhi, anakuwa ameshateka maji, kukamua ng&#8217;ombe wa familia, kuandaa kiamsha kinywa, kusafisha nyumba na kuwasindikiza watoto wake shuleni. Baada ya hapo huondoka nyumbani kuelekea kituo cha rasilimali kinachoendeshwa na shirika la wanawake [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/" data-wpel-link="internal">Wanawake wa jamii za kiasili wanaourejesha Msitu wa Mau nchini Kenya na kubadilisha majkumu ya kijinsia</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kabla ya kupambazuka katika kijiji cha Eor Ewaso, kusini-magharibi mwa Kenya, Judy Mukut huwa tayari ameamka. Kufikia saa kumi na mbili na nusu asubuhi, anakuwa ameshateka maji, kukamua ng&#8217;ombe wa familia, kuandaa kiamsha kinywa, kusafisha nyumba na kuwasindikiza watoto wake shuleni. Baada ya hapo huondoka nyumbani kuelekea kituo cha rasilimali kinachoendeshwa na shirika la wanawake wa kiasili la Paran, ambako kazi ya uhifadhi ya siku hiyo huanza. Kwa Mukut, kazi ya uhifadhi wa Msitu wa Mau hufanywa ndani ya saa chache zilizosalia baada ya kutimiza majukumu yake kama mke na mama katika jamii ya Wamaasai. Hata hivyo, juhudi hizi za kusawazisha majukumu zinaakisi mabadiliko ya kimya kimya yanayoendelea katika mojawapo ya mifumo ikolojia muhimu zaidi ya misitu nchini Kenya. Huku wanawake wa jamii za kiasili wanaporejesha hali ya maeneo yaliyoharibiwa ya Msitu wa Mau, wanajipatia pia mapato ya kujitegemea, kushiriki katika maamuzi ya nyumbani na kufufua maarifa ya kiasili kuhusu mazingira, maarifa ambayo kwa vizazi vingi yamekuwa muhimu kwa maisha ya jamii zao kwa vizazi vingi kabla ya kupotea au kusahaulika. Baada ya kuanzishwa mwaka wa 2025, kikundi cha Wanawake cha Paran imekuwa na kufikia mtandao wa vikundi 64 vya wanawake wa kiasili vilivyosajiliwa, vingi vikitoka katika jamii za Wamasai na Waogiek katika kaunti ya Narok, pamoja na jamii katika kaunti za West Pokot na Samburu. Kupitia vitalu vya miti vinavyosimamiwa na jamii, bustani za jikoni, vikundi vya akiba vya vijiji, ufugaji wa nyuki na urejeshaji wa mazingira, shirika hilo limeunganisha uhifadhi wa mazingira na uwezeshaji wa wanawake. Ili kuratibu mtandao wake unaopanuka,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/#respond</comments>
					<pubDate>18 Agosti 2026 11:37:22 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/18111439/Screenshot-2026-08-18-141220-768x439.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2525</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika na .Zambia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Makampuni Yanayokiuka Sheria za Mazingira, Mashirika Yanayokiuka Kanuni za Mazingira, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira ya Baharini, Mifumo ya Ikolojia, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Mimea, Sayansi ya Uhifadhi wa Mazingira ya Kitropiki, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Taka, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, Ufujaji wa Mafuta, na  Uhalifu wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwaka mmoja na nusu baada ya kubomoka kwa bwawa la kuhifadhia mabaki ya madini katika Mkoa wa Copperbelt nchini Zambia, wakazi bado wanakabili athari za kimazingira na kibinadamu za kumwagika kwa taka zenye sumu, wanachama wa asasi za kiraia wameiambia Mongabay. Bwawa hilo, ambalo hutumika kuhifadhi taka za madini na linamilikiwa na kampuni ya China [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/" data-wpel-link="internal">Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwaka mmoja na nusu baada ya kubomoka kwa bwawa la kuhifadhia mabaki ya madini katika Mkoa wa Copperbelt nchini Zambia, wakazi bado wanakabili athari za kimazingira na kibinadamu za kumwagika kwa taka zenye sumu, wanachama wa asasi za kiraia wameiambia Mongabay. Bwawa hilo, ambalo hutumika kuhifadhi taka za madini na linamilikiwa na kampuni ya China ya uchimbaji shaba, Sino-Metals Leach Zambia, lilipasuka tarehe 18 Februari 2025, katika mji wa Chambishi kaskazini-kati mwa Zambia. Lilitoa mamilioni ya lita za taka za madini zenye asidi kwenye mifumo ya maji iliyounganishwa na Mto Kafue. Ukiwa na urefu wa kilomita 1,576 (maili 979), Kafue ndiyo mto mrefu zaidi ulio ndani kabisa ya Zambia na ni tegemeo muhimu la maisha ya mamilioni ya watu nchini humo. Utafiti uliofanywa na watafiti wa Chuo Kikuu cha Copperbelt nchini Zambia na kuchapishwa katika Jarida la Journal of Hazardous Materials Advances mnamo Mei 2026 ni tathmini ya kwanza huru ya kisayansi ya athari za ikolojia za tukio hilo. Watafiti waligundua kuharibika kwa ubora wa maji, viwango vya juu vya metali nzito katika maji, samaki, mashapo na malisho, na ushahidi kwamba vitu vyenye sumu vilikuwa vimeingia kwenye mnyororo wa chakula. Mfumo mpana wa Mto Kafue ni chanzo cha maji kwa takriban nusu ya wakazi wa Zambia. Mto huo hutiririka hadi kwenye Mto Zambezi na kuhifadhi mifumo ya ikolojia ya ardhioevu yenye viumbe hai wengi, ikiwemo Kinamasi cha Lukanga na tambarare za Kafue Flats. Kwa sababu ya utafiti huo, wanasayansi walikusanya sampuli za maji kutoka maeneo matano katika eneo lililoathiriwa na sampuli moja katika eneo lisiloathiriwa lililotumiwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/wakazi-bado-wanakabili-athari-za-mgodi-uliochafua-mto-kafue-nchini-zambia-mwaka-2025/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kuhusu pembe za ndovu, fuatilia mitandao ya usafirishaji haramu, si vichwa vya habari tu (maoni)</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/kuhusu-pembe-za-ndovu-fuatilia-mitandao-ya-usafirishaji-haramu-si-vichwa-vya-habari-tu-maoni/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/kuhusu-pembe-za-ndovu-fuatilia-mitandao-ya-usafirishaji-haramu-si-vichwa-vya-habari-tu-maoni/#respond</comments>
					<pubDate>18 Agosti 2026 06:16:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Mary Rice]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/18060350/Screenshot-2026-08-18-090213-768x492.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2511</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Magharibi, Afrika ya Kati, Angola, Asia, Botswana, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Msumbiji, Namibia, Nigeria, Tanzania, Vietnam, na  Zambia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Biashara Haramu, Biashara ya Pembe za Ndovu, Biashara ya Wanyama Wanyama, Cites, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mamalia, Mamalia Wakubwa, Spishi, Tembo, Uhalifu, Uhalifu kwa Wanyamapori, Uhalifu uliopangwa, na  Usafirishaji wa Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwanzoni mwa Machi 2026, mamlaka za Zambia zilikamata mzigo wa zaidi ya kilo 500 (zaidi ya paundi 1,100) za pembe za ndovu — hatua iliyofuata taarifa za kijasusi zilizotolewa na shirika langu, Environmental Investigation Agency (EIA) la Uingereza. Pamoja na mzigo huo, mshukiwa mwenye historia ndefu ya usafirishaji haramu wa pembe za ndovu katika eneo hilo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/kuhusu-pembe-za-ndovu-fuatilia-mitandao-ya-usafirishaji-haramu-si-vichwa-vya-habari-tu-maoni/" data-wpel-link="internal">Kuhusu pembe za ndovu, fuatilia mitandao ya usafirishaji haramu, si vichwa vya habari tu (maoni)</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwanzoni mwa Machi 2026, mamlaka za Zambia zilikamata mzigo wa zaidi ya kilo 500 (zaidi ya paundi 1,100) za pembe za ndovu — hatua iliyofuata taarifa za kijasusi zilizotolewa na shirika langu, Environmental Investigation Agency (EIA) la Uingereza. Pamoja na mzigo huo, mshukiwa mwenye historia ndefu ya usafirishaji haramu wa pembe za ndovu katika eneo hilo alikamatwa pia. Mshukiwa huyo alikuwa amehukumiwa mwaka 2019 kwa kumiliki zaidi ya kilo 200 (karibu paundi 441) za pembe za ndovu, na mwaka 2020 alipewa kifungo cha miaka mitano gerezani. Hata hivyo, aliachiwa huru baada ya miezi michache tu, na tangu wakati huo amekuwa akiendelea na biashara hiyo haramu. Zambia imekuwa ikitumiwa vibaya na mitandao ya wahalifu tangu angalau mwaka 2002, na sasa iko tena chini ya mwanga wa uchunguzi. Kinachosumbua hasa ni ushiriki wa makundi ya wahalifu kutoka Kongo, ambayo yanafanya kazi kwa uhuru mkubwa ndani ya Zambia na nchi jirani. Makundi hayo yanakusanya na kusafirisha bidhaa za wanyamapori — pembe za ndovu za tembo, pembe za kifaru, magamba ya pangolin na paka wakubwa — kupitia njia ngumu za kimataifa kuelekea Asia, huku Vietnam mara nyingi ikitumika kama kituo muhimu cha kupitishia. Mitandao hii inajinufaisha na ukosefu wa nia ya kisiasa, utekelezaji dhaifu wa sheria, maafisa wafisadi na jamii zilizotengwa. Inaandaa misafara ya ujangili katika nchi jirani na kutumia wasuluhishi wa Zambia kupanua minyororo yake ya biashara haramu. Ukamataji wa Zambia — ukijumlishwa na matukio mawili ya ukamataji mkubwa uliofanywa Tanzania na Botswana mnamo Aprili na Mei mtawalia — unaleta jumla ya pembe za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/kuhusu-pembe-za-ndovu-fuatilia-mitandao-ya-usafirishaji-haramu-si-vichwa-vya-habari-tu-maoni/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/18/kuhusu-pembe-za-ndovu-fuatilia-mitandao-ya-usafirishaji-haramu-si-vichwa-vya-habari-tu-maoni/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tengefu za baharini zinafunika chini ya asilimia 10 ya maeneo ya papa na papa-kolee, utafiti umebaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/#respond</comments>
					<pubDate>17 Agosti 2026 18:17:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Madeline Shaw]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/17180117/Screenshot-2026-08-17-205839-768x495.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2501</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai wa Baharini, Ikolojia, Mamalia wa Baharini, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Papa, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, na  Spishi Zilizo Hatarini Sana]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwaka 2022, nchi 196 ziliafiki lengo kuu la uhifadhi linaloitwa &#8220;30×30&#8221;: kutenga asilimia 30 ya maeneo ya pwani na bahari ya sayari hii kwa ajili ya uhifadhi ifikapo mwaka 2030, chini ya Mfumo wa Kimataifa wa Bioanuwai wa Kunming-Montreal. Sasa, huku mwaka 2030 ukiwa umebakisha takriban miaka minne, asilimia kumi tu ya bahari ndiyo imefunikwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/" data-wpel-link="internal">Tengefu za baharini zinafunika chini ya asilimia 10 ya maeneo ya papa na papa-kolee, utafiti umebaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwaka 2022, nchi 196 ziliafiki lengo kuu la uhifadhi linaloitwa &#8220;30×30&#8221;: kutenga asilimia 30 ya maeneo ya pwani na bahari ya sayari hii kwa ajili ya uhifadhi ifikapo mwaka 2030, chini ya Mfumo wa Kimataifa wa Bioanuwai wa Kunming-Montreal. Sasa, huku mwaka 2030 ukiwa umebakisha takriban miaka minne, asilimia kumi tu ya bahari ndiyo imefunikwa na maeneo yaliyolindwa — hali inayoacha nchi nyingi mbali sana na lengo hilo la bioanuwai. Na hata ndani ya tengefu zilizopo, utafiti mpya unafichua mapungufu makubwa katika ulinzi wa moja ya makundi yaliyo hatarini zaidi baharini: papa na papa-kolee. Utafiti uliochapishwa katika jarida la Conservation Letters mwezi Julai unabainisha kwamba kwa spishi nyingi za papa na papa-kolee, chini ya asilimia kumi ya maeneo yao ya makazi yanaangukia ndani ya tengefu za baharini, huku spishi zilizo hatarini na karibu kutoweka zikiathirika zaidi. Uchambuzi huo pia unafichua mapungufu makubwa katika uripoti wa kiwango cha vizuizi vya uvuvi na uvunaji ndani ya tengefu hizo — kinachojulikana kama take&#8211;status — jambo muhimu katika kutathmini ufanisi wa ulinzi kwa wanyama hawa. “Kuongeza tu ukubwa wa bahari iliyolindwa hakumaanishi kwamba tunazilinda kwa kweli spishi hizo zilizo hatarini,&#8221; Amanda Arnold, mtafiti wa bayoanuwai ya baharini katika Chuo Kikuu cha Simon Fraser nchini Kanada na mwandishi mkuu wa utafiti huo, alimwambia Mongabay. &#8220;Haifuniki upana wote wa bioanuwai.&#8221; Papa-mchanga (Carcharias taurus), spishi iliyo Karibu Kutoweka kulingana na IUCN. Picha na mattdowse kupitia iNaturalist (CC BY-NC 4.0). Ili tengefu za baharini zitoe manufaa ya uhifadhi yanayopimika, zinapaswa kufunika angalau asilimia kumi ya makazi ya spishi fulani — na ufunikaji wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/tengefu-za-baharini-zinafunika-chini-ya-asilimia-10-ya-maeneo-ya-papa-na-papa-kolee-utafiti-umebaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanauhifadhi John Salehe, aliyepigania uhifadhi shirikishi Tanzaia, afariki</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/#respond</comments>
					<pubDate>17 Agosti 2026 10:59:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Rhett Ayers Butler]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/17104948/Screenshot-2026-08-17-134842-768x490.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2494</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Filosofia ya Uhifadhi, Jamii Asili, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Maendeleo ya Jamii, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Migogoro ya Ardhi, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uendelevu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uongozi wa Uhifadhi, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, Ustawi wa Wanyama, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kati ya Ziwa Manyara na Tarangire, mstari kwenye ramani peke yake haukuwahi kuwa wa kutosha. Tembo, nyumbu, na wanyama wengine walipita kwenye ardhi iliyotumiwa na wafugaji na wakulima, ardhi ambayo barabara, mashamba na makazi yalikuwa yakizidi kusambaa. Kulinda ushoroba huo kulihitaji zaidi ya kuweka mipaka: kulihitaji kuwashawishi watu waliokaa hapo kwamba wanyamapori walikuwa na nafasi katika mustakabali wao. [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/" data-wpel-link="internal">Mwanauhifadhi John Salehe, aliyepigania uhifadhi shirikishi Tanzaia, afariki</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kati ya Ziwa Manyara na Tarangire, mstari kwenye ramani peke yake haukuwahi kuwa wa kutosha. Tembo, nyumbu, na wanyama wengine walipita kwenye ardhi iliyotumiwa na wafugaji na wakulima, ardhi ambayo barabara, mashamba na makazi yalikuwa yakizidi kusambaa. Kulinda ushoroba huo kulihitaji zaidi ya kuweka mipaka: kulihitaji kuwashawishi watu waliokaa hapo kwamba wanyamapori walikuwa na nafasi katika mustakabali wao. Kulihitaji kukabiliana na hasara ya mifugo iliyouawa na wanyama wakali, migogoro kuhusu mgawanyo wa mapato, na kazi ngumu ya kuimarisha taasisi za mitaa. John Gospel Yonazi Salehe, aliyefariki tarehe 19 Juni akiwa na umri wa miaka 71, alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya kazi kushughulikia changamoto kama hizo. Mtanzania huyu, aliyefunzwa katika taaluma ya misitu, alifanya kazi serikalini, kisha katika FAO, UNDP, WWF, na hatimaye African Wildlife Foundation, ambako alihudumu kama mkurugenzi wa Tanzania. Alifanya kazi kwa zaidi ya miongo minne katika sekta za misitu, maeneo ya wanyamapori, na miradi ya maendeleo katika Afrika Mashariki. Kwa Salehe, uhifadhi ulikuwa wa vitendo na wenye msingi imara wa kijamii. Katika Nyanda za Maasai, alijikita katika kulinda ushoroba wa wanyamapori na kuimarisha Maeneo ya Usimamizi wa Wanyamapori yanayosimamiwa na jamii. Alitaka faida za uhifadhi ziwafikie wanajamii, akiunga mkono ujenzi wa mazizi yaliyoimarishwa ili kulinda mifugo dhidi ya wanyama wakali, na utoaji wa fidia kwa hasara zilizosababishwa na wanyamapori. Kwa mtazamo wake, jamii haikuwa hadhira inayosubiri maamuzi ya wengine; ilikuwa nguzo ya msingi ya jinsi uhifadhi unavyopaswa kufanya kazi. Mtazamo huo huo uliongoza kazi yake katika sekta ya misitu. Katika maeneo ya kati ya Tanzania, ambapo uzalishaji wa mkaa na kilimo viliongeza shinikizo kubwa kwa misitu, Salehe alisisitiza&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, rekodi za upanzi wa mikoko ni suluhu ya urejeshaji wa misitu iliyoangamia?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/15/je-rekodi-za-upanzi-wa-mikoko-ni-suluhu-ya-urejeshaji-wa-misitu-iliyoangamia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/15/je-rekodi-za-upanzi-wa-mikoko-ni-suluhu-ya-urejeshaji-wa-misitu-iliyoangamia/#respond</comments>
					<pubDate>15 Agosti 2026 00:00:39 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amina Chombo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/14205646/EMMANUEL-KARISA-AKIWA-NA-JAMII-WAKIPANDA-MIKOKO-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2477</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mashirika Yanayokiuka Kanuni za Mazingira, Mazingira, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mikoko, Uanaharakati, Uchumi wa Mazingira, Urejeshaji, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kenya imetambuliwa kimataifa baada ya kupanda miche 4,124 ya mikoko kwa muda wa chini ya sekunde 30, kwa lengo la kuhamasisha juhudi za kurejesha misitu ya mikoko iliyoharibiwa na kuchangia lengo la kitaifa la kuongeza idadi ya miti. Hatua hii iliipa nchi hiyo rekodi ya Guinness World Records. Rekodi hii iliafikiwa katika eneo la Jomvu Kuu, kaunti ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/15/je-rekodi-za-upanzi-wa-mikoko-ni-suluhu-ya-urejeshaji-wa-misitu-iliyoangamia/" data-wpel-link="internal">Je, rekodi za upanzi wa mikoko ni suluhu ya urejeshaji wa misitu iliyoangamia?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kenya imetambuliwa kimataifa baada ya kupanda miche 4,124 ya mikoko kwa muda wa chini ya sekunde 30, kwa lengo la kuhamasisha juhudi za kurejesha misitu ya mikoko iliyoharibiwa na kuchangia lengo la kitaifa la kuongeza idadi ya miti. Hatua hii iliipa nchi hiyo rekodi ya Guinness World Records. Rekodi hii iliafikiwa katika eneo la Jomvu Kuu, kaunti ya Mombasa tarehe Julai 26, 2026, ambayo ni Siku ya Mikoko Duniani. Watu 4,124 kati ya 4,196 waliojitokeza walithibitishwa na Guinness World Records kutimiza masharti ya kupanda miti hiyo kwa pamoja. Sehemu ya mikoko iliyopandwa na kutunzwa na Bidii Creek Conservancy CBO. Picha kwa hisani ya BCC. Shirika la Mpesa Foundation lilifadhili shughuli hiyo kupitia mradi wake wa mazingira, likishirikiana na jamii, huku Kenya Scouts Association ikihamasisha na kuleta maelfu ya vijana na skauti wa eneo la pwani. Bidii Creek Conservancy CBO ilishiriki katika utafutaji wa miche ya mikoko kutoka kwa jamii zinazojishughulisha na uhifadhi wa mikoko, huku serikali, kupitia Shirika la Huduma kwa Misitu (KFS), ikitoa mwongozo wa kitaalamu wa uhifadhi na upandaji wa mikoko. Rekodi za upanzi wa mikoko 2026  Mwaka 2026 umeshuhudia kuongezeka kwa kampeni za upanzi wa mikoko, huku wadau mbalimbali wakivunja rekodi na kuhamasisha juhudi za urejeshaji wa misitu hiyo. Mapema mwaka huu, mwanaharakati wa mazingira Antoine Moses alipanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 katika mkondo wa bahari wa Tudor, Mombasa kabla ya kutwaa taji la mtu aliyepanda miti mingi zaidi ya mikoko ndani ya saa 24. Wiki chache baadaye, tarehe Mei 23, Kikosi cha Ulinzi cha Kenya (KDF), kwa kushirikiana na jamii na wanafunzi,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/15/je-rekodi-za-upanzi-wa-mikoko-ni-suluhu-ya-urejeshaji-wa-misitu-iliyoangamia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/15/je-rekodi-za-upanzi-wa-mikoko-ni-suluhu-ya-urejeshaji-wa-misitu-iliyoangamia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Nchi sita za Afrika sasa zinaunga mkono kusitishwa kwa uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>14 Agosti 2026 00:00:08 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/13193448/Screenshot-2026-08-13-223025-768x442.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2467</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, Afrika ya Ikweta, Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kenya, Madagaska, Malawi, Mauritius, na  Msumbiji]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Bahari, Bahari ya Kina, Baharini, Bioanuai wa Baharini, Ikolojia, Mafuriko, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Uchimbaji Kina wa Madini ya Baharini, Uchimbaji Madini, na  Uchimbaji Madini Haramu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Nchi tatu zaidi za Afrika zimejiunga na wito wa kusitisha kwa tahadhari uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari, hadi athari za kimazingira, kijamii na kiuchumi za shughuli hiyo zifahamike vizuri zaidi. Hatua hii inafikisha idadi ya nchi za Afrika zinazounga mkono zuio hilo kuwa sita. Mauritius, Msumbiji na Jamhuri ya Kongo zilitangaza kuunga mkono kusitishwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/" data-wpel-link="internal">Nchi sita za Afrika sasa zinaunga mkono kusitishwa kwa uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Nchi tatu zaidi za Afrika zimejiunga na wito wa kusitisha kwa tahadhari uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari, hadi athari za kimazingira, kijamii na kiuchumi za shughuli hiyo zifahamike vizuri zaidi. Hatua hii inafikisha idadi ya nchi za Afrika zinazounga mkono zuio hilo kuwa sita. Mauritius, Msumbiji na Jamhuri ya Kongo zilitangaza kuunga mkono kusitishwa kwa shughuli hiyo kama hatua ya tahadhari wakati wa mkutano wa mwaka wa Mamlaka ya Kimataifa ya Sakafu ya Bahari (ISA) uliofanyika Kingston, Jamaica, mwezi Julai. Zilijiunga na Malawi, Kenya na Madagaska, ambazo zilikuwa zimetangaza msimamo huo mapema. Serikali ya Mauritius ilisema wazi katika taarifa yake wakati wa mkutano huo kwamba “maendeleo endelevu ya Mauritius yanategemea kwa kiasi kikubwa bahari yenye afya na ustahimilivu”. Maafisa wake walisisitiza kwamba maamuzi kuhusu uchimbaji wa madini katika kina kirefu cha bahari lazima yafanywe kwa kuzingatia “ushahidi bora zaidi wa kisayansi unaopo na mbinu ya tahadhari, kama inavyoainishwa katika Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Sheria ya Bahari.” Malawi ilikuwa nchi ya kwanza ya Afrika kuunga mkono kusitishwa kwa shughuli hiyo kama hatua ya tahadhari, mnamo Mei 2026. Kenya na Madagaska zilifuata msimamo huo mwezi Juni. “Msingi wa nchi hizi zote, huku zikizingatia mazingira yao ya kipekee, ni ukosefu wa ushahidi wa kutosha wa kisayansi na mapungufu ya utawala yanayoendelea,” David Willima kutoka Deep Sea Conservation Coalition (DSCC) — muungano wa mashirika zaidi ya 140 ya kiraia na asasi mbalimbali — aliiambia Mongabay kupitia barua pepe. Nchi hizo sita za Afrika ziko miongoni mwa nchi 46 duniani zinazounga mkono zuio au kusitishwa kwa shughuli hiyo kama hatua&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/14/nchi-sita-za-afrika-sasa-zinaunga-mkono-kusitishwa-kwa-uchimbaji-wa-madini-katika-kina-kirefu-cha-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Vita Mashariki ya Kati kuathiri uhakika wa chakula nchini Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/13/vita-mashariki-ya-kati-kuathiri-uhakika-wa-chakula-nchini-tanzania/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/13/vita-mashariki-ya-kati-kuathiri-uhakika-wa-chakula-nchini-tanzania/#respond</comments>
					<pubDate>13 Agosti 2026 17:54:25 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Nkwimba Nkwimba]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/13114334/4mboleaIMG_8242-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2447</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Chakula, Kilimo, na  upatikanaji wa chakula]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mvutano wa kijeshi unaoendelea Mashariki ya Kati ukihusisha Marekani, Iran na Israeli, unaendelea kuleta  madhara makubwa kwa Tanzania, hasa kwenye sekta ya kilimo, na hali hiyo ikiendelea, kuna uwezekano mgogoro huo utasababisha uhaba mkubwa wa chakula. Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde ameiambia Mongabay kuwa mgogoro huo umeathiri mnyororo mzima wa usafirishaji mbolea duniani kutokana na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/13/vita-mashariki-ya-kati-kuathiri-uhakika-wa-chakula-nchini-tanzania/" data-wpel-link="internal">Vita Mashariki ya Kati kuathiri uhakika wa chakula nchini Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mvutano wa kijeshi unaoendelea Mashariki ya Kati ukihusisha Marekani, Iran na Israeli, unaendelea kuleta  madhara makubwa kwa Tanzania, hasa kwenye sekta ya kilimo, na hali hiyo ikiendelea, kuna uwezekano mgogoro huo utasababisha uhaba mkubwa wa chakula. Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde ameiambia Mongabay kuwa mgogoro huo umeathiri mnyororo mzima wa usafirishaji mbolea duniani kutokana na hofu iliyotanda katika Mlango wa Hormuz — njia mojawapo muhimu zaidi ya usafirishaji wa mafuta duniani. Ugumu katika usafirishaji umechangia kuwapo ucheleweshaji mbolea, kuongezeka kwa gharama za usafirishaji mbolea na pembejeo nyingine kuelekea Tanzania, pamoja na kuongeza ushindani wa kupata mbolea. Moja ya mashamba ya pamba katika Halmashauri ya Ushetu ambalo linahitaji mbolea ya kukuzia ambayo imeadimika nchini, Picha na Nkwimba Nkwimba. Kwa mujibu wa taarifa za Wizara ya Kilimo, sekta ya kilimo inachangia kiasi cha nusu ya pato la taifa na ni chanzo cha chakula pamoja na utoaji fursa za ajira kwa zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania. Hivyo, changamoto kwenye sekta hiyo huathiri moja kwa moja pato la nchi na usalama wa chakula. Mahitaji ya mbolea Silinde anasema kwa ujumla Tanzania inahitaji zaidi ya tani milioni 1.08 za mbolea kwa mwaka, na zaidi ya asilimia 80 ya mbolea hiyo inaagizwa kutoka nje ya nchi. Uzalishaji wa ndani unakidhi kwa chini ya asilimia 20 pekee. “Zaidi ya tani 800,000 huagizwa kutoka nje kila mwaka, zikiwamo zaidi ya tani 528,000 za mbolea za kukuzia kama Urea Calcium Ammonium Nitrate (aina ya mbolea ya nitrojeni inayotumika kuongeza ukuaji wa mazao),’’ anasema Silinde. Anaeleza kuwa takwimu hizo za Wizara ya Kilimo zinaonyesha kuwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/13/vita-mashariki-ya-kati-kuathiri-uhakika-wa-chakula-nchini-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/13/vita-mashariki-ya-kati-kuathiri-uhakika-wa-chakula-nchini-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>