Wanyamapori Habari

RSS
58 Habari

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo iliyokaa kortini kwa miaka kumi yaendelea kusikilizwa

Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji

Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena

EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini

Kupungua kwa ushoroba wa Kwakuchinja kwatishia uhamaji wa wanyamapori

Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC

Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne

Kesi ya kukutwa na nyara za tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yatajwa

Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka

Mfumo wa malipo ya fidia kwa wananchi walioathirika na matukio ya uharibifu wa wanyamapori waboreshwa

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara

Facebook imegeuka kuwa kitovu cha biashara haramu ya wanyamapori kutokana na muundo wake, ripoti yasema

Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?

Ndege 1,000,000 walisafirishwa kutoka Afrika hadi Asia katika kipindi cha miaka 15; chiriku waongoza orodha

Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania

Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Kenya kupokea swala wa milimani wanne kutoka bustani za wanyama barani Ulaya

Taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori yaelekeza nguvu kwenye mafunzo ya vitendo kulinda mazingira

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Askari wa hifadhi wa Kenya, zaidi ya kazi ya usalama, akumbukwa kwa umahiri

Kadri ujangili unavyoendelea, Tanzania inaongeza silaha mpya: mbwa wa kunusa nyara za wanyamapori

Shughuli za eneo la mapumziko la kifahari kisiwani Pemba zinaendelea licha ya hofu

Uelewa mdogo unavyochochea kutoweka kimya kimya kwa kakakuona Tanzania

Mbinu za utalii endelevu zapewa kipaumbele katika mkutano wa kimataifa

Kutoka kulipiza kisasi hadi kuishi kwa amani: Ukuta hai wamaliza migogoro baina ya watu na wanyamapori

Kenya yahifadhi mabaki ya Craig, tembo mashuhuri ‘Super Tusker’

Toka uhai hadi kifo: Maana ya maisha marefu ya Craig kwa uhifadhi wa tembo