Uhifadhi wa wanyamapori Habari

RSS
43 Habari

Pilipili na usingizi wa amani: Kinamama wa Maasai Mara waandika upya hadithi ya kuishi na tembo waharibifu

Ujangili na biashara ya nyama ya porini vyachangia kutoweka kwa nyati nchini Burundi

Mahakama Kuu ya Tanzania yampa dhamana anayedaiwa kukutwa na nyara za Serikali

Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji

Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo dhidi ya raia wa Korea Kaskazini yapigwa tarehe tena

Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne

Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka

Mfumo wa malipo ya fidia kwa wananchi walioathirika na matukio ya uharibifu wa wanyamapori waboreshwa

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara

Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania

Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Kenya kupokea swala wa milimani wanne kutoka bustani za wanyama barani Ulaya

Taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori yaelekeza nguvu kwenye mafunzo ya vitendo kulinda mazingira

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Askari wa hifadhi wa Kenya, zaidi ya kazi ya usalama, akumbukwa kwa umahiri

Kadri ujangili unavyoendelea, Tanzania inaongeza silaha mpya: mbwa wa kunusa nyara za wanyamapori

Shughuli za eneo la mapumziko la kifahari kisiwani Pemba zinaendelea licha ya hofu

Mbinu za utalii endelevu zapewa kipaumbele katika mkutano wa kimataifa

Kutoka kulipiza kisasi hadi kuishi kwa amani: Ukuta hai wamaliza migogoro baina ya watu na wanyamapori

Kenya yahifadhi mabaki ya Craig, tembo mashuhuri ‘Super Tusker’

Kenya yaomboleza Craig, jitu mpole aliyekuwa mmoja wa ‘Super tuskers’ waliosalia barani Afrika

Tembo wanaohama wapata nafasi ya kuzurura kupitia juhudi za uhifadhi wa jamii

Wanasayansi wafikiria upya idadi za uhamiaji za Serengeti kwa kutumia setilaiti na zana za AI

Je, tunaitambuaje bayoanuwai? Tunaweza kuiona na kuisikia

Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua hatua kuwalinda kasuku wa kijivu wa Afrika kutokana na biashara haramu

Faru 70 kutoka Afrika Kusini wawasili makao mapya nchini Rwanda

Hatari, ustahimilivu vyaelezea maisha ya wahifadhi Afrika

Mizimu ya kikoloni ya Mbuga ya ‘Malkia Elizabeth’ yaitesa Uganda