Mazingira Habari

RSS
69 Habari

Mauaji katika Ziwa Naivasha, Kenya yazua maswali kuhusu jukumu la walinzi wa pwani

Jitihada  za Ethiopia kuingiza zao la kienyeji la enseti kwenye lishe

Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake

Kenya: Utata waibuka kuhusu hoteli ya Ritz-Carlton iliyomo kwenye Hifadhi ya Maasai Mara, katikati ya shoruba ya uhamaji wa wanyama

Kujengwa kwa bandari mpya Kenya, tishio kwa viumbe baharini, vitega uchumi

Hatari, ustahimilivu vyaelezea maisha ya wahifadhi Afrika

Ili kukusanya mbegu za asili bora, wataalamu wa mimea Uganda hukwea miti mirefu ya msituni

Kwa mara ya pili sasa, mradi wa kaboni wa Kenya wasimamishwa

Olivier Nsengimana wa Rwanda ahamasisha ulinzi wa Korongo wa Kijivu Afrika Mashariki

Ugunduzi wa popo walio hatarini kutoweka nchini Rwanda waibua mazungumzo ya uhifadhi

Mizimu ya kikoloni ya Mbuga ya ‘Malkia Elizabeth’ yaitesa Uganda

Mkakati mpya wa kulinda bioanuai muhimu wazinduliwa Tanzania

Wakulima wadogo Afrika wanufaika na matumizi ya nishati jadidifu

‘Auawa akiwinda kiharamu’: Utekelezaji wa sheria za wanyamapori unapogeuka vurugu

Miti ya miaka 3,000 Tanzania sasa yatambuliwa kama spishi mpya

Kutafuta amani, kupata tumaini: Filamu mpya yachunguza migogoro vijijini mwa Kenya

Ushirikiano, ukusanyaji takwimu na ufuatiliaji vyachochea kufikiwa kwa malengo ya Ukuta wa Kijani wa Afrika

‘Kama wewe, mimi pia nahofia kuangamia kwa tembo’

Kenya yaanzisha mabasi ya umeme kukabili uchafuzi wa hewa

Jamii ya Ogiek walaumiwa na kufukuzwa kwa uharibifu wa misitu, lakini ukataji miti ovyo haujakoma

Mauaji ya tai kwa sumu kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yawashtua na kuwatatanisha wahifadhi

Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Wamaasai wa Tanzania yabidi wapunguze mifugo, waongeze miti

Mradi wa kurejesha mto nchini Kenya wajigharimia na kuleta faida zaidi

Hatua ndogo zafungua njia kwa lengo kubwa la kuhifadhi maeneo oevu ya Afrika Mashariki

Jinsi vijana ndugu walivyolinusuru Ziwa Victoria kutokana na hatari ya plastiki

Masoko ya Afrika yanakabiliana na mabadiliko ya tabianchi na ukosefu wa uhakika wa chakula, lakini yanakosa uwekezaji

‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora

Wakulima Kenya wageukia mtandao wa WhatsApp na akili mnemba kukabiliana na magonjwa ya mimea

`Mlima wa jongoo’ wa Tanzania watoa spishi sita mpya

Shinikizo kwa mabwawa ya mafunjo Ziwa Viktoria latishia usalama na riziki ya wenyeji

Kwenye mafuriko yanayohusiana na tabianchi, mto nchini Uganda wageuka kuwa sumu

Wanakijiji Kenya waonyesha namna ya kuvuna pweza wengi kwa kuvua kidogo