<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=uhifadhi&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/uhifadhi/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Tue, 01 Sep 2026 14:42:19 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Washukiwa wanne wakamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/#respond</comments>
					<pubDate>22 Agosti 2026 21:09:34 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/22210122/save-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2596</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kemikali, Kemikali za Kilimo, Kilimo, Mamalia Wakubwa, Mgogoro wa Binadam na Tembo, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Tembo, Uhifadhi, na  Uhifadhi wa Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Washukiwa wanne wamekamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli, huku kemikali zisizo na lebo kunaswa. Idadi ya vifo hivyo ilipanda kutoka 16 hadi 18 baada ya tembo wengine wawili kufariki mwezi Agosti, huku uchunguzi ukizidi kuashiria uwezekano kwamba tembo hao walitiwa sumu kwa makusudi. Waziri wa Utalii na Wanyamapori [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/" data-wpel-link="internal">Washukiwa wanne wakamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Washukiwa wanne wamekamatwa kuhusiana na vifo vya tembo 18 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli, huku kemikali zisizo na lebo kunaswa. Idadi ya vifo hivyo ilipanda kutoka 16 hadi 18 baada ya tembo wengine wawili kufariki mwezi Agosti, huku uchunguzi ukizidi kuashiria uwezekano kwamba tembo hao walitiwa sumu kwa makusudi. Waziri wa Utalii na Wanyamapori wa Kenya, Rebecca Miano, alisema katika taarifa rasmi iliyotumwa kwa Mongabay kwamba mshukiwa mwingine anayeaminika kuwa na taarifa muhimu kuhusu vifo hivyo bado anatafutwa. Maafisa wa KWS wakimwokoa tembo aliyekwama kwenye matope katika mojawapo ya mbuga za kitaifa nchini Kenya, Agosti 22, 2026. Picha kwa hisani ya KWS. Uchunguzi wa awali ulionyesha kwamba huenda tembo hao walikufa baada ya kumeza sumu. Vipimo kadhaa vya maabara vilionyesha uwepo wa sianidi. Inadhaniwa kwamba tembo hao walipata kemikali hiyo kupitia kwa nyanya iiliyonyunyiziwa dawa za kuua wadudu katika mashamba ya jirani, ingawa waziri alisema kuwa hilo bado halijathibitishwa kisayansi. Timu ya mashirika mbalimbali inayojumuisha Huduma ya Ujasusi wa Taifa, Polisi wa Taifa, Idara ya Uchunguzi wa Makosa ya Jinai, askari wa wanyamapori wa Kenya Wildlife Service (KWS), na mashirika mengine ya serikali imekuwa ikichunguza suala hilo, ikiwemo katika jamii zinazoishi karibu na hifadhi ya taifa. &#8220;Upekuzi uliofanywa Tikondo, Kimana ndani ya Kata Ndogo ya Loitoktok ulisababisha ugunduzi wa vitu mbalimbali, ikiwemo kemikali zinazoaminika kutoka nchi jirani. Kemikali hizi zinazoweza kuwa na sumu na zisizo na lebo zimehifadhiwa kwa uchambuzi zaidi wa kisayansi,&#8221; waziri alisema. Hadi kuthibitishwa hatia Hata hivyo, serikali ilisema kuwa watu hao wanne wataendelea kuchukuliwa kuwa washukiwa hadi washukiwa tu,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/washukiwa-wanne-wakamatwa-kuhusiana-na-vifo-vya-tembo-18-katika-mfumo-wa-ikolojia-wa-amboseli/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanauhifadhi John Salehe, aliyepigania uhifadhi shirikishi Tanzaia, afariki</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/#respond</comments>
					<pubDate>17 Agosti 2026 10:59:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Rhett Ayers Butler]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/17104948/Screenshot-2026-08-17-134842-768x490.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2494</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Filosofia ya Uhifadhi, Jamii Asili, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Maendeleo ya Jamii, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Migogoro ya Ardhi, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uendelevu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uongozi wa Uhifadhi, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, Ustawi wa Wanyama, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kati ya Ziwa Manyara na Tarangire, mstari kwenye ramani peke yake haukuwahi kuwa wa kutosha. Tembo, nyumbu, na wanyama wengine walipita kwenye ardhi iliyotumiwa na wafugaji na wakulima, ardhi ambayo barabara, mashamba na makazi yalikuwa yakizidi kusambaa. Kulinda ushoroba huo kulihitaji zaidi ya kuweka mipaka: kulihitaji kuwashawishi watu waliokaa hapo kwamba wanyamapori walikuwa na nafasi katika mustakabali wao. [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/" data-wpel-link="internal">Mwanauhifadhi John Salehe, aliyepigania uhifadhi shirikishi Tanzaia, afariki</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kati ya Ziwa Manyara na Tarangire, mstari kwenye ramani peke yake haukuwahi kuwa wa kutosha. Tembo, nyumbu, na wanyama wengine walipita kwenye ardhi iliyotumiwa na wafugaji na wakulima, ardhi ambayo barabara, mashamba na makazi yalikuwa yakizidi kusambaa. Kulinda ushoroba huo kulihitaji zaidi ya kuweka mipaka: kulihitaji kuwashawishi watu waliokaa hapo kwamba wanyamapori walikuwa na nafasi katika mustakabali wao. Kulihitaji kukabiliana na hasara ya mifugo iliyouawa na wanyama wakali, migogoro kuhusu mgawanyo wa mapato, na kazi ngumu ya kuimarisha taasisi za mitaa. John Gospel Yonazi Salehe, aliyefariki tarehe 19 Juni akiwa na umri wa miaka 71, alitumia sehemu kubwa ya maisha yake ya kazi kushughulikia changamoto kama hizo. Mtanzania huyu, aliyefunzwa katika taaluma ya misitu, alifanya kazi serikalini, kisha katika FAO, UNDP, WWF, na hatimaye African Wildlife Foundation, ambako alihudumu kama mkurugenzi wa Tanzania. Alifanya kazi kwa zaidi ya miongo minne katika sekta za misitu, maeneo ya wanyamapori, na miradi ya maendeleo katika Afrika Mashariki. Kwa Salehe, uhifadhi ulikuwa wa vitendo na wenye msingi imara wa kijamii. Katika Nyanda za Maasai, alijikita katika kulinda ushoroba wa wanyamapori na kuimarisha Maeneo ya Usimamizi wa Wanyamapori yanayosimamiwa na jamii. Alitaka faida za uhifadhi ziwafikie wanajamii, akiunga mkono ujenzi wa mazizi yaliyoimarishwa ili kulinda mifugo dhidi ya wanyama wakali, na utoaji wa fidia kwa hasara zilizosababishwa na wanyamapori. Kwa mtazamo wake, jamii haikuwa hadhira inayosubiri maamuzi ya wengine; ilikuwa nguzo ya msingi ya jinsi uhifadhi unavyopaswa kufanya kazi. Mtazamo huo huo uliongoza kazi yake katika sekta ya misitu. Katika maeneo ya kati ya Tanzania, ambapo uzalishaji wa mkaa na kilimo viliongeza shinikizo kubwa kwa misitu, Salehe alisisitiza&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/17/mwanauhifadhi-john-salehe-aliyepigania-uhifadhi-shirikishi-tanzaia-afariki/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Nguva wanakaribia kutoweka Kenya, jamii za pwani zapambana kuwarejesha kwa kupanda nyasi bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>11 Agosti 2026 20:01:52 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/11191616/Main-Mnyama-Nguva-akiwa-baharini-Picha-na-Mtandao-wa-Jamii-Forums-Tanzania.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2426</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Hifadhi, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Ikolojia, Jinsia na Uhifadhi, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mamalia, Mamalia wa Baharini, Mamalia Wakubwa, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo Ikolojia ya Pwani, Mifumo ya Ikolojia, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Tabia za Wanyama, Teknolojia na Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji wa Ikolojia, Ustawi wa Wanyama, Uzuri wa Kiikolojia, Wanawake katika Uhifadhi, Wanyama, na  Wanyama wa Baharini]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KWALE, Kenya – Zaidi ya miaka 20 imepita tangu Amiri Juma, mvuvi kutoka Kibuyuni, Kaunti ya Kwale, alipomwona nguva (Dugong dugon) katika eneo la Mipwa, kijiji jirani cha Wasini. Hii leo, akiwa na umri wa miaka 63, Juma bado anakumbuka vizuri siku ambayo wavuvi walimnasa mnyama huyo anayejulikana kama ng&#8217;ombe wa baharini na kumchinja. &#8220;Namjua nguva; aliwahi kushikwa na jarife. Aliyemshika wakati huo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/" data-wpel-link="internal">Nguva wanakaribia kutoweka Kenya, jamii za pwani zapambana kuwarejesha kwa kupanda nyasi bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KWALE, Kenya – Zaidi ya miaka 20 imepita tangu Amiri Juma, mvuvi kutoka Kibuyuni, Kaunti ya Kwale, alipomwona nguva (Dugong dugon) katika eneo la Mipwa, kijiji jirani cha Wasini. Hii leo, akiwa na umri wa miaka 63, Juma bado anakumbuka vizuri siku ambayo wavuvi walimnasa mnyama huyo anayejulikana kama ng&#8217;ombe wa baharini na kumchinja. &#8220;Namjua nguva; aliwahi kushikwa na jarife. Aliyemshika wakati huo sasa ni marehemu. Siku hiyo watu walipika na kuila nyama yake. Mimi sikuweza kuila kwa sababu niliposhika nyama yake, mwili wangu ulianza kuwasha,” alisema Juma. Amiri Juma, mvuvi kutoka kijiji cha Kibuyuni Kaunti ya Kwale akiwa katika ofisi ya BMU cha Kibuyuni. Picha na Ruth Keah, Mongabay. Kwa mujibu wa Juma, hilo lilikuwa tukio la kawaida, kwani hakukuwa na uelewa kuhusu umuhimu wa kumhifadhi nguva. Anasema ilikuwa rahisi sana kuwaona nguva, na hii pia ilikuwa ishara nzuri kwa wavuvi kuwa bahari ilikuwa na samaki wengi. Juma anaamini kutoweka kwa mnyama huyo baharini kumechochewa na shughuli nyingi za uvuvi. “Bahari imeingiliwa sana. Zamani kulikuwa na mitego tu. Sasa watu wanaingia kila sehemu, usiku na mchana. Wanyama wengi wamepotea. Hata samaki wamepungua,” anasema. Hapo zamani nguva alikuwa kitoweo kitamu sana kwa familia nyingi eneo la pwani, kabla ya kuwekwa kwa sheria inayopiga marufuku kumkamata. Faki Kassim, mvuvi kutoka kijiji cha Bodo, Kaunti ya Kwale, anasema takriban miaka 30 iliyopita, yeye na wavuvi wenzake walikuwa wakishika nguva, kumchinja na kuuza nyama yake. “Nguva ana ngozi ngumu sana. Nyama yake ni nyekundu na yenye mafuta mengi. Miaka mingi iliyopita tulikuwa tukiuza kipande kimoja cha nyama yake kwa shilingi moja,” anasema. Anaeleza kuwa kabla ya kumchinja nguva, walilazimika kutekeleza itikadi zao&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/11/nguva-wanakaribia-kutoweka-kenya-jamii-za-pwani-zapambana-kuwarejesha-kwa-kupanda-nyasi-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Aliyehukumiwa miaka 20 jela kwa kukutwa na mguu wa nyumbu, aachiwa huru</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/aliyehukumiwa-miaka-20-jela-kwa-kukutwa-na-mguu-wa-nyumbu-aachiwa-huru/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/aliyehukumiwa-miaka-20-jela-kwa-kukutwa-na-mguu-wa-nyumbu-aachiwa-huru/#respond</comments>
					<pubDate>05 Agosti 2026 17:00:11 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Tumaini Mgeni]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/05122556/nyumbu2-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2358</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Sheria, Uchumi, Uhalifu kwa Wanyamapori, Uhifadhi, Uokoaji wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Musoma, imemwachia huru Marwa Nyamhanga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali, kuingia na kumiliki silaha ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti baada ya kubaini dosari zilizojitokeza katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Mahakama hiyo Julai 20,2026 mbele ya Jaji Kamazima Kafanabo ilitengua hukumu ya Mahakama [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/aliyehukumiwa-miaka-20-jela-kwa-kukutwa-na-mguu-wa-nyumbu-aachiwa-huru/" data-wpel-link="internal">Aliyehukumiwa miaka 20 jela kwa kukutwa na mguu wa nyumbu, aachiwa huru</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Musoma, imemwachia huru Marwa Nyamhanga aliyetiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali, kuingia na kumiliki silaha ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti baada ya kubaini dosari zilizojitokeza katika ushahidi wa upande wa mashtaka. Mahakama hiyo Julai 20,2026 mbele ya Jaji Kamazima Kafanabo ilitengua hukumu ya Mahakama ya Wilaya ya Serengeti iliyokuwa imemhukumu Marwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa hayo baada ya kukubali rufaa yake na hoja za Jamhuri za kuunga mkono rufani hiyo huku wakibainisha kuwa hawakuweza kuthibisha mashtaka bila kuacha shaka. Mahakama ya Wilaya Serengeti Mahakama ya Wilaya ilimtia hatiani kwa makosa matatu ambayo ni; kuingia hifadhini bila kibali, kumiliki panga ndani ya hifadhi bila kibali pamoja na kumiliki sehemu ya mguu wa nyumbu ambao haukuwa umechunwa ikiwa ni nyara ya Serikali yenye thamani ya Sh 1,586,000 (Dola za Marekani 603). Wanyama aina ya nyumbu wakirejea katika makazi yao ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakitokea katika nchi ya jirani ya Kenya, hususan kwenye mbuya ya Masai Mara. Picha kwa hisasi Blogu ya Michuzi. Upande wa mashtaka ulidai mahakamani kuwa Desemba 7, 2025, askari wa hifadhi walimkamata mshtakiwa katika eneo la Korongo la Nyamburi ndani ya Hifadhi ya Serengeti akiwa na panga na sehemu hiyo ya nyumbu. Utetezi Mahakamani Alipojitetea, Marwa Nyamhanga alidai kuwa Desemba 6, 2025 alikuwa akitoka kwenye sherehe ya harusi akiwa amelewa, ndipo askari wa hifadhi walipomkamata akiwa njiani. Alidai kuwa askari hao walimshikilia katika kituo chao usiku kucha na asubuhi yake walimbambia panga pamoja&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/aliyehukumiwa-miaka-20-jela-kwa-kukutwa-na-mguu-wa-nyumbu-aachiwa-huru/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/05/aliyehukumiwa-miaka-20-jela-kwa-kukutwa-na-mguu-wa-nyumbu-aachiwa-huru/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 11:10:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dan Yessa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/22105214/Screenshot-2026-07-22-135015-768x479.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2170</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Elimu ya Mazingira, Gesi, Haki za Kimazingira, Hifadhi, Huduma za Mazingira, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Maji, Maji ya kunywa, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Misitu, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati safi, Sera za Mazingira, Shida ya Maji, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi wa Maji, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, Uchimbaji wa Mafuta, Udanganyifu wa Mazingira, Uhalifu wa Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Umeme, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utalii wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa mstari wa mbele katika kupinga uchimbaji wa madini, mafuta, na gesi katika Bonde la Kongo. Kupitia kampeni na juhudi za kuielimisha jamii, wao na wenzao walifanikiwa kuzuia mipango ya utafutaji wa mafuta ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga. Kwa sasa, Mirindi anapambana dhidi ya uchimbaji katika maeneo mapya 30 ya mafuta yanayochukua asilimia 72 ya Ukanda wa Kijani wa Kongo, mradi muhimu zaidi wa uhifadhi nchini humo unaoenea katika sehemu kubwa ya Bonde la Kongo, eneo ambalo ni makazi ya maelfu ya wanyama na tegemeo muhimu kwa jamii nyingi nchini DRC. Mnamo mwezi Juni, Mirindi alizungumza na Mongabay kuhusu anachomaanisha kupinga uharibifu akiwa ndani ya nchi husika na kuleta mabadiliko katika ngazi ya kimataifa, huku akilinda makazi ya viumbe walio hatarini kutoweka kama vile sokwe wa milimani (Gorilla beringei beringei) na okapi au twiga wa msituni (Okapia johnstoni), ambao hupatikana katika eneo hilo pekee. Ziara ya kwanza ya Pascal Mirindi kwa mkurugenzi wa Hifadhi ya Taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, mwaka wa 2022. Picha kwa hisani ya Pascal Mirindi. Mahojiano haya yametafsiriwa kutoka Kifaransa na kuhaririwa ili kuzingatia urefu na uwazi. Mongabay: Pascal Mirindi ni nani? Pascal Mirindi: Mimi ni raia wa Kongo; nilizaliwa Goma mnamo mwaka wa 1999.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Katika Mkondo wa Mida nchini Kenya, wavuvi sasa wanakabiliana na mabadiliko ya bahari kwa matumaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/#respond</comments>
					<pubDate>29 Juni 2026 14:08:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/29134931/Screenshot-2026-06-29-164657-768x499.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1948</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Eneo Lililolindwa Baharini, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jinsia na Uhifadhi, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Ongezeko la Joto Baharini, Sehemu za Bioanuwai, Suluhisho za Asili, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Baharini, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uvuvi, Uvuvi wa Kupita Kiasi, Viwango vya Bahari, na  Wanawake katika Uhifadhi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>WATAMU, Kenya &#8211; Kufikia adhuhuri, samaki walikuwa bado hawajafika. Tangu saa mbili asubuhi, Alice Kazungu alikuwa ameketi kwenye bandari ya samaki katika eneo la Mkondo wa Mida kwenye pwani ya Bahari ya Hindi ya Kenya, akisubiri wavuvi warudi kutoka majini. Saa kadhaa baadaye, alikuwa bado anasubiri. Karibu naye, mwanamke mwingine anaangalia mkondo ili kuona dalili za mitumbwi inayokaribia. Baadhi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/" data-wpel-link="internal">Katika Mkondo wa Mida nchini Kenya, wavuvi sasa wanakabiliana na mabadiliko ya bahari kwa matumaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[WATAMU, Kenya &#8211; Kufikia adhuhuri, samaki walikuwa bado hawajafika. Tangu saa mbili asubuhi, Alice Kazungu alikuwa ameketi kwenye bandari ya samaki katika eneo la Mkondo wa Mida kwenye pwani ya Bahari ya Hindi ya Kenya, akisubiri wavuvi warudi kutoka majini. Saa kadhaa baadaye, alikuwa bado anasubiri. Karibu naye, mwanamke mwingine anaangalia mkondo ili kuona dalili za mitumbwi inayokaribia. Baadhi ya wavuvi walikuwa tayari wamerudi mikono mitupu. Wengine walikuwa hawajarudi kabisa. Kwa Kazungu, mfanyabiashara wa samaki na naibu mwenyekiti wa Kitengo kipya cha Usimamizi wa Pwani wa Mida (BMU), kusubiri kwa muda mrefu kumekuwa sehemu ya maisha ya kila siku. Kitengo cha Usimamizi wa Pwani (BMU) ni mfumo wa usimamizi shirikishi wa uvuvi nchini Kenya, ukiwaleta pamoja wadau katika sekta hiyo wakiwemo wavuvi, wauza samaki na wafanyabiashara. Alice Kazungu, mfanyabiashara wa samaki na naibu mwenyekiti wa Kitengo cha Usimamizi wa Pwani ya Mida (BMU) kilichoanzishwa hivi karibuni huko Watamu, Kenya. Picha na David Akana/Mongabay. &#8220;Kuna wakati ambapo samaki walikuwa wengi hapa,&#8221; anasema, akionyesha mkondo wa bahari uliommzunguka. &#8220;Sasa [wavuvi] wanarudi na kilo mbili au tatu tu.&#8221; Kwa Kazungu, kupungua kwa samaki kumekuwa suala la kuishi. Akiwa ameolewa na mwenye watoto, anategemea karibu kabisa kuuza samaki ili kupata mapato. Wakati hakuna samaki, mara kwa mara anauza mnazi, aina ya mvinyo wa mitende kutoka kwa minazi. Lakini hiyo haitoshi kuchukua nafasi ya riziki iliyojengwa karibu na bahari. &#8220;Ninarejea nyumbani, watoto hutaka chakula,&#8221; anasema. &#8220;Hilo ndilo linalonitia wasiwasi.&#8221; Hadithi yake inaakisi hali ilivyo katika Mkondo wa Mida, mtandao mkubwa wa mikoko, matope na mifereji ya maji ambayo ni sehemu ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/29/katika-mkondo-wa-mida-nchini-kenya-wavuvi-wanakabiliana-na-mabadiliko-ya-bahari-kwa-matumaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Sehemu sita za hifadhi baharini zatambuliwa kama Mbuga za Buluu, nne kati yake zikiwa Afrika</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/26/sehemu-sita-za-hifadhi-baharini-zatambuliwa-kama-mbuga-za-buluu-nne-kati-yake-zikiwa-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/26/sehemu-sita-za-hifadhi-baharini-zatambuliwa-kama-mbuga-za-buluu-nne-kati-yake-zikiwa-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>26 Juni 2026 14:25:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Malavika Vyawahare]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/26135310/Screenshot-2026-06-26-165251.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1937</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kaskazini, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, Bahari ya Pasifiki, Kenya, na  Senegal]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Bahari ya Kina, Baharini, Bioanuai wa Baharini, Eneo Lililolindwa Baharini, Kasa wa baharini, Maeneo yaliyolindwa, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Ongezeko la Joto Baharini, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Baharini, Uhifadhi wa Kaboni, Uhifadhi wa Misitu, Uvuvi, na  Viwango vya Bahari]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>MOMBASA, Kenya — Katika kongamano la “Our Ocean” mjini Mombasa, Kenya, ujumbe ulisisitizwa katika vikao vyote: Maeneo yaliyohifadhiwa ya baharini (MPAs) ni muhimu katika kulinda bahari. Tuzo za Blue Park, zilizoanzishwa na Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari yenye makao yake makuu nchini Marekani, zinaangazia maeneo yaliyohifadhiwa yanayokidhi viwango vinavyohitajika. Mwaka huu, sita zilitambuliwa&#60;: Eneo Lililolindwa la [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/26/sehemu-sita-za-hifadhi-baharini-zatambuliwa-kama-mbuga-za-buluu-nne-kati-yake-zikiwa-afrika/" data-wpel-link="internal">Sehemu sita za hifadhi baharini zatambuliwa kama Mbuga za Buluu, nne kati yake zikiwa Afrika</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[MOMBASA, Kenya — Katika kongamano la “Our Ocean” mjini Mombasa, Kenya, ujumbe ulisisitizwa katika vikao vyote: Maeneo yaliyohifadhiwa ya baharini (MPAs) ni muhimu katika kulinda bahari. Tuzo za Blue Park, zilizoanzishwa na Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari yenye makao yake makuu nchini Marekani, zinaangazia maeneo yaliyohifadhiwa yanayokidhi viwango vinavyohitajika. Mwaka huu, sita zilitambuliwa&lt;: Eneo Lililolindwa la Bahari la Banc-des-Américains nchini Kanada; Eneo Lililolindwa la Rapa Nui nchini Chile; eneo la turathi ya Jamii asili ya Kawawana nchini Senegali; na Hifadhi ya Kitaifa ya Nosy Hara, Mbuga ya Kitaifa ya Sahamalaza – Îles Radama, na Hifadhi ya Kitaifa ya Nosy Tanihely (pia huandikwa Tanikely) ya Madagaska. Kongamano hilo lililofanyika mjini Mombasa kuanzia Juni 16-18 lilishuhudia zaidi ya wajumbe 6,000 kutoka serikali mbalimbali, mashirika yasiyo ya faida, sekta ya kibinafsi na taasisi nyingine wakikusanyika kuzungumzia uhifadhi wa bahari. Wanachama wa ICCA wa Kawawana nchini Senegal. Picha kwa hisani ya Chama cha Wavuvi cha Jamii ya Vijijini ya Mangagoulack. Chini ya Mfumo wa Kimataifa wa Bioanuwai wa Kunming-Montreal uliopitishwa na washiriki wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Anuwai wa Kibiolojia mwaka wa 2022, mataifa yalikubaliana kulinda 30% ya ardhi, maji safi na maeneo ya baharini duniani ifikapo 2030, katika kile kinachofahamika kuwa lengo la 30 kwa 30. &#8220;Kundi hili la hifadhi za buluu ni ukumbusho wa nguvu wa kile ambacho lengo la 30 kwa 30 linahitaji,&#8221; Lance Morgan, rais wa Taasisi ya Uhifadhi wa Bahari, alisema katika tangazo la tuzo huko Mombasa mnamo Juni 16. &#8220;Maeneo haya sita yaliyohifadhiwa baharini, yanayolinda mifumo mbalimbali ya ikolojia&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/26/sehemu-sita-za-hifadhi-baharini-zatambuliwa-kama-mbuga-za-buluu-nne-kati-yake-zikiwa-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/26/sehemu-sita-za-hifadhi-baharini-zatambuliwa-kama-mbuga-za-buluu-nne-kati-yake-zikiwa-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/#respond</comments>
					<pubDate>18 Juni 2026 19:09:16 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Solomon Yimer]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/18185147/Screenshot-2026-06-18-215028-768x445.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1883</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Ethiopia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyama Wanyama, Biashara ya Wanyamapori, Bustani za wanyama, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Matumizi ya Wanyamapori, Mazingira, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Nyani, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Tabia za Wanyama, Teknolojia ya Uhifadhi Mazingira ya Porini, Tembo, Ufugaji wa Uhifadhi, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uhifadhi wa Wanyamapori, Ukanda wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Uongozi wa Uhifadhi, Ustawi wa Wanyama, Utawala, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature unaonyesha kuwa maeneo ya hifadhi ya Ethiopia yalipunguza kasi ya ukataji miti na upanuzi wa kilimo, huku yakisaidia kudumisha nyanda za malisho. Lakini utafiti pia unapendekeza kuwa faida zile zile za uhifadhi zinaweza pia kuhusishwa na kupungua kwa usalama wa chakula na ustawi kwa jamii zilizo karibu, huku ukisisitiza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature unaonyesha kuwa maeneo ya hifadhi ya Ethiopia yalipunguza kasi ya ukataji miti na upanuzi wa kilimo, huku yakisaidia kudumisha nyanda za malisho. Lakini utafiti pia unapendekeza kuwa faida zile zile za uhifadhi zinaweza pia kuhusishwa na kupungua kwa usalama wa chakula na ustawi kwa jamii zilizo karibu, huku ukisisitiza baadhi ya tahadhari katika matokeo yao. Utafiti huo, uliofanywa kwa ushirikiano kati ya watafiti nchini Ethiopia na Uingereza, na Mamlaka ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Ethiopia, ulitathmini matokeo ya kimazingira na kijamii katika maeneo 25 yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia katika kipindi cha mwaka wa 2000-2020. Walipima kiwango cha misitu, upanuzi wa kilimo, nyanda za malisho, usalama wa chakula, utofauti wa lishe na ustawi wa nyenzo. Ingawa maeneo yaliyohifadhiwa yalikuwa na ufanisi mkubwa katika kupunguza uharibifu wa mazingira licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa ukuaji wa idadi ya watu, upanuzi wa kilimo, na mahitaji ya ardhi, watafiti waligundua mchangamano wa maslahi (trade-offs) kati ya matokeo ya mazingira na kijamii katika tathmini zao. Maeneo 12 yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo mazuri ya kimazingira kwa gharama ya ustawi wa jamii. Wakati huo huo, maeneo matano kati ya maeneo yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo ya &#8220;faida kwa wote&#8221; kwa uhifadhi wa bioanuwai na ustawi wa jamii na maeneo matatu yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo ya &#8220;hasara kwa wote&#8221;. &#8220;Ethiopia ina utajiri wa viumbe hai, lakini pia inakabiliwa na changamoto kubwa kuhusu umaskini, usalama wa chakula na mahitaji ya ardhi,&#8221; alisema Sophie Jago, mwandishi mkuu wa utafiti na msaidizi wa utafiti katika Bustani za Kifalme za Mimea za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/#respond</comments>
					<pubDate>11 Juni 2026 11:57:25 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Manuel Fonseca]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/11113159/Screenshot-2026-06-11-143059.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1834</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Ikolojia, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Misitu, Moto, Moto wa Misitu, Reptilia, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Uzuri ni laana &#8211; angalau kwa mjusi mdogo wa rangi ya samawati (turquoise dwarf gecko) anayepatikana katikati mwa Tanzania. Kati ya Desemba 2004 na Julai 2009, mahitaji ya mjusi huyu kutoka kwa wakusanyaji wa wanyama barani Ulaya yaliongezeka sana, jambo lililosababisha kukamatwa na kusafirishwa nje ya Tanzania kwa takriban mijusi 40,000 ya aina hii iliyokuwa na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/" data-wpel-link="internal">Namna marufuku ya biashara ya wanyama na juhudi za uhifadhi zilivyosaidia kuokoa mijusi ya samawati</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Uzuri ni laana &#8211; angalau kwa mjusi mdogo wa rangi ya samawati (turquoise dwarf gecko) anayepatikana katikati mwa Tanzania. Kati ya Desemba 2004 na Julai 2009, mahitaji ya mjusi huyu kutoka kwa wakusanyaji wa wanyama barani Ulaya yaliongezeka sana, jambo lililosababisha kukamatwa na kusafirishwa nje ya Tanzania kwa takriban mijusi 40,000 ya aina hii iliyokuwa na mwonekano wa kuvutia. “Nakumbuka nilipowaona kwa mara ya kwanza katika maonyesho ya wanyama, bei yao ilikuwa dola za Marekani 700 kwa kila mmoja ambazo ni sawa na zaidi ya shilingi za Tanzania milioni 1.8,” alisema Dennis Rödder, mtaalamu wa wanyama watambaao kutoka Leibniz Institute for the Analysis of Biodiversity Change nchini Ujerumani, katika mahojiano na Mongabay yaliyofanyika kwa njia ya video. “Nadhani ndani ya miaka mitatu au minne, spishi hii ilikuwa imeenea kote Ulaya. Ilikuwa ni rahisi kuinunua kutoka duka lolote la wanyama wa kufugwa.” Mijusi hawa wanaojulikana kisayansi kama (Lygodactylus williamsi) hukua hadi kufikia urefu wa sentimita 6–9 (takriban inchi 2.5–3.5). Wanapatikana tu katika maeneo mawili madogo ya misitu nchini Tanzania: Hifadhi ya Misitu ya Kimboza na Hifadhi ya Ruvu. Maeneo haya yaliyohifadhiwa yana ukubwa wa jumla ya kilomita za mraba 34 (takriban maili za mraba 13). Majike waliokomaa wana rangi ya kijani-kahawia inayofanana na majani ya miti wanayoishi, jambo linalowasaidia kujificha dhidi ya maadui. Hata hivyo, madume huwa na ngozi ya samawati ang’avu inayovutia sana. Rangi hii ni miongoni mwa rangi adimu zaidi kupatikana kiasili, na hutumika kuwavutia majike wakati wa uzazi. Mjusi mdogo wa rangi ya samawati (Lygodactylus williamsi). Picha: © Simon kupitia iNaturalist (CC&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/11/namna-marufuku-ya-biashara-ya-wanyama-na-juhudi-za-uhifadhi-zilivyosaidia-kuokoa-mijusi-ya-samawati/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 19:10:28 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09143738/EACOP-Main-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1826</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Maji, Mazingira, Maziwa, Mgogoro wa Mazingira, Mimea, Samaki, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, Utawala, Uvuvi, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linaloanzia kwenye vitalu vya mafuta ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi mji wa bandari wa Tanga nchini Tanzania, limeanza tena kuchunguzwa kwa karibu baada ya kutolewa kwa ripoti mpya inayobainisha maeneo ya bioanuwai na makazi ya wanyamapori ambayo bomba hilo linapitia au ambayo liko karibu nayo. Kwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/" data-wpel-link="internal">EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linaloanzia kwenye vitalu vya mafuta ya Ziwa Albert nchini Uganda hadi mji wa bandari wa Tanga nchini Tanzania, limeanza tena kuchunguzwa kwa karibu baada ya kutolewa kwa ripoti mpya inayobainisha maeneo ya bioanuwai na makazi ya wanyamapori ambayo bomba hilo linapitia au ambayo liko karibu nayo. Kwa kutumia takwimu za ramani na makadirio ya thamani ya kiuchumi, ripoti ya Earth Insight, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu nchini Marekani, inaonyesha kuwa bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 liko karibu na maeneo muhimu kwa maisha ya mamilioni ya watu na usalama wa maji, na pia sehemu ambazo hutumika kama njia za uhamaji wa wanyama. Kutokana na uchambuzi huo, ripoti hiyo inahitimisha kuwa ujenzi wa bomba hilo tayari umeathiri jamii na mazingira, na kwamba usafirishaji wa mafuta utaleta hatari zaidi za muda mrefu. EACOP ni mradi wa ubia kati ya  kampuni ya TotalEnergies yenye asilimia 62 ya hisa, serikali za Uganda na Tanzania kila moja ikiwa na asilimia 15, pamoja na China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) yenye asilimia 8. EACOP itasafirisha mafuta yanayochimbwa kutoka vitalu viwili kwenye bonde la Ziwa Albert: Kingfisher, linalomilikiwa na CNOOC; na Tilenga, linalomilikiwa na TotalEnergies. Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) nchini Uganda. Picha kwa hisani ya Thomas Lewton. Kwa mujibu wa Earth Insight, mradi huo unakaribia kukamilika na mafuta ya kwanza yataanza kusafirishwa mapema mwaka 2026. “Linapita moja kwa moja katika maeneo ya viumbe walio hatarini kutoweka, na eneo muhimu zaidi ni la&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/eacop-latishia-mifumo-ya-maji-safi-na-njia-za-uhamaji-wa-wanyamapori-ripoti-yabaini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 13:12:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09111629/Screenshot-2026-06-09-141545.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1799</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia ya wenzao. Hata hivyo, licha ya jukumu lao kuu katika kulinda bayoanuwai na baadhi ya misitu muhimu zaidi ulimwenguni, wengi wanaendelea kufanya kazi wakiwa na usaidizi mdogo, mishahara midogo, na hali hatarishi sana. Kwa Emmanuel Bahati Lukoo, ukweli huu ni wa kibinafsi sana. Aliwahi kuwa mlinzi katika mbuga ya kitaifa ya Virunga ambapo kwa sasa ni afisa katika Hifadhi ya Kitaifa ya Kahuzi-Biega, alinusurika kifo katika shambulizi la kushutukizia mnamo mwaka wa 2018 na kikundi cha wanamgambo wa jamii kinachojulikana kama Mai-Mai. Wenzake kadhaa waliuawa kwa kuviziwa. Alipigwa risasi, alijeruhiwa na kupata kiwewe cha kisaikolojia, na baadaye kufunguliwa mashitaka mbele ya mahakama ya kijeshi katika kesi iliyohusishwa na ulinzi wa hifadhi, angeweza kuondoka. Badala yake, Bahati alichagua kusimulia hadithi yake katika kitabu kiitwacho Conservation at the Cost of My Youth: The Survival of a Ranger, simulizi ghafi ya dhabihu, hofu, shinikizo za kisiasa, na mara nyingi hali halisi isiyoonekana inayowakabili walinzi wa misitu mashariki mwa DRC. Kwenye mahojiano ya ana kwa ana na Mongabay, Bahati anatafakari safari yake, shambulizi lililokaribia kumuua, kiwewe walichopata walinzi, migogoro kati ya uhifadhi na maisha ya jamii ya eneo hilo, na uingiliaji wa kisiasa unaotatiza ulinzi wa maeneo yaliyohifadhiwa. Zaidi ya hadithi ya kibinafsi,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/#respond</comments>
					<pubDate>03 Juni 2026 15:48:26 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Benjamin Jumbe]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/03150618/Screenshot-2026-06-03-180555-768x498.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1759</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Suluhu za Uhifadhi, Tembo, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kulingana na taarifa zilizopatikana kupitia kola za kufuatilia na Wakfu wa Mlima Elgon (MEF), mwaka jana tembo wasiopungua 60 walivuka kutoka Kenya hadi upande wa Uganda wa Mlima Elgon, mlima mkubwa wa volkeno ulioko mpakani mwa Uganda na Kenya, na kurudi kwenye sehemu ya asili yao ambapo hawajaonekana kwa zaidi ya miaka 40. MEF hufadhili miradi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/" data-wpel-link="internal">Tembo warudi upande wa Uganda wa Mlima Elgon baada ya zaidi ya miongo minne</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kulingana na taarifa zilizopatikana kupitia kola za kufuatilia na Wakfu wa Mlima Elgon (MEF), mwaka jana tembo wasiopungua 60 walivuka kutoka Kenya hadi upande wa Uganda wa Mlima Elgon, mlima mkubwa wa volkeno ulioko mpakani mwa Uganda na Kenya, na kurudi kwenye sehemu ya asili yao ambapo hawajaonekana kwa zaidi ya miaka 40. MEF hufadhili miradi ya jamii inayolenga kupunguza uharibifu wa misitu na kuongeza ufahamu wa masuala ya mazingira, pamoja na timu ya maskauti wa jamii 18 katika upande wa Kenya wa mlima, sehemu ya Mradi wa Tembo wa Mlima Elgon unaotekelezwa na Shirika la Wanyamapori la Afrika Mashariki. Mwenyekiti wa wakfu wa MEF, Chris Powles, aliiambia Mongabay kwamba mnamo mwaka 2022, maskauti walifuatilia tembo wanne wakivuka mto Suam, ambao unaashiria mpaka kati ya nchi hizo mbili. Picha za video zilizorekodiwa kwa ndege isiyo na rubani zikionyesha tembo upande wa Uganda wa Mlima Elgon. Picha kwa hisani ya UWA. Katika mahojiano kupitia barua pepe, Powles alisema sababu kadhaa zinaweza kuelezea kurudi kwa tembo, ingawa haiwezekani kusema kwa uhakika ni nini kiliwachochea kurejea katika eneo hilo. &#8220;[Hizi] ni pamoja na ongezeko la idadi ya tembo upande wa Kenya, kuongezeka kwa shinikizo la binadamu kwa upande wa Kenya, usalama wanaoupata wakiwa upande wa Uganda, ambako eneo hilo lote liko ndani ya mbuga ya taifa, tofauti na upande wa Kenya,&#8221; aliandika. &#8220;Na, labda, tembo walio hai tangu wakati wengine wao waliuawa nchini Uganda sasa wamekufa kawaida na hivyo huenda kumbukumbu ya hatari zilizowakabili nchini Uganda imefifia kadri vizazi vilivyobadilika.&#8221; Mwishoni mwa miaka ya 1970 na mwanzoni mwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/tembo-warudi-upande-wa-uganda-wa-mlima-elgon-baada-ya-zaidi-ya-miongo-minne/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mei 2026 21:58:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Las Junior]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/31214131/Atuwa-akiwa-amezamia-bahari-kwenye-kazi-ya-kurekebisha-matumbawe-kwenye-bahari-ya-kisiwa-cha-Mnemba-Zanzibar.jpeg-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1733</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Barafu ya bahari, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maji, Mazingira, Miamba ya Matumbawe, Samaki, Samaki wa Maji Chumvi, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Upaukaji wa Matumbawe, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Zaidi ya futi 40 (takriban mita 12.2) chini ya Bahari ya Hindi, karibu na Kisiwa cha Mnemba kilichopo Zanzibar, Atuwa Omari na wahifadhi wengine huzama hadi kwenye sakafu ya bahari kwa lengo la kushiriki katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe iliyoharibika. Anapokuwa katika eneo hilo, mawimbi humsukuma huku makundi ya samaki yenye rangi mbalimbali kama vile wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/" data-wpel-link="internal">Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Zaidi ya futi 40 (takriban mita 12.2) chini ya Bahari ya Hindi, karibu na Kisiwa cha Mnemba kilichopo Zanzibar, Atuwa Omari na wahifadhi wengine huzama hadi kwenye sakafu ya bahari kwa lengo la kushiriki katika urejeshaji wa miamba ya matumbawe iliyoharibika. Anapokuwa katika eneo hilo, mawimbi humsukuma huku makundi ya samaki yenye rangi mbalimbali kama vile wa bluu, njano na kijani hupita juu ya kichwa chake huku mwanga wa jua ukionekana kwa mbali ndani ya maji. Juu ya uso wa bahari, watalii huwa wanazunguka katika maji bila kufahamu kuhusu mfumo dhaifu wa ikolojia unaopambana kuendelea kuishi chini yake. Kwa mujibu wa waajiri wake, Atuwa, mwenye umri wa miaka 23, anaelezwa kuwa mwanamke pekee Zanzibar anayeshiriki kazi hiyo ya uzamiaji wa urejeshaji wa matumbawe. Mamlaka za Zanzibar zinaeleza kuwa miaka mitatu iliyopita, eneo la Mnemba ambako Atuwa hufanya kazi, ambalo lina baadhi ya miamba muhimu ya matumbawe ya Zanzibar, liliharibika. Makame Omar Makame, Mkurugenzi wa Idara ya Uhifadhi Baharini Zanzibar, anasema eneo hilo la Mnemba liliathiriwa na shughuli za kibinadamu zilizokithiri. “Kulikuwa na shughuli nyingi za uvuvi zisizofuata utaratibu, msongamano wa watalii, ambapo takribani boti 200 zenye watalii zilikuwa zikiingia katika eneo la mita 200 za ukanda wa pwani kila siku,” Makame aliieleza Mongabay. Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, ili kulinda mazingira, Serikali ya Zanzibar iliamua kupunguza idadi ya wageni hadi 80 kwa siku na kuongeza ada ya uhifadhi kutoka $3 hadi $25 kwa mtalii mmoja, kusitisha kwa muda shughuli za uvuvi na pia kutoa elimu kwa jamii. Hilo lilikuwa jambo muhimu kwa Atuwa na wenzake ambao wanaamini jamii zao zilihitaji mazingira&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/31/atuwa-mwanamke-pekee-zanzibar-anayezamia-ili-kurejesha-miamba-ya-matumbawe-iliyoharibika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>25 Mei 2026 14:00:30 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/25123328/Black-Mamba-Snake-2-Courtesy-Inncocent-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1687</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Nyoka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na kupotelea mitini, Maghanga alichukua simu na kupiga picha yake, aliyochapisha kwenye Facebook. Lengo lake lilikuwa kufahamu mengi kuhusu nyoka huyo. Alistaajabu kugundua kuwa nyoka huyo alikuwa mwenye sumu kali. Mongabay ilimtembelea Maghanga na kumpata akiwa ametoka kuhamasisha wanajamii kuhusu nyoka na jinsi ya kuishi nao kwa amani. Alielezea jinsi tukio hilo lilibadili mienendo yake: “Baada ya tukio hilo, uoga wangu kwa nyoka ulianza kufifia, na polepole nikataka kufahamu zaidi kuwahusu. Sasa mimi ni mshauri na mtaalamu wa kukamata nyoka na kuwahamisha sehemu salama.” John Maghanga akimtoa nyoka aliyekuwa ameingia kwa nyumba ya mkaazi wa Taita Taveta. Picha na Linah Mwamachi. Katika vijiji vilivyo milimani na tambarare zinazopakana na mbuga za wanyama za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, kusini mashariki mwa Kenya, wengi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu kwa upesi na wengine kuachwa na makovu ya ulemavu. Migogoro kati ya binadamu na nyoka mara nyingi hutokea katika msimu wa mvua, wanyama hao wanapotoroka hifadhi zao na kutangamana na binadamu. Katika maeneo yaliyopakana na mbuga za wanyamapori za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, binadamu pia huwaua nyoka kiholela, kutokana na uoga wa kuumwa, japo si nyoka wote ni hatari. Kupitia shirika la Snake Community Action Now (SCAN) Maghanga sasa anahamasisha umma jinsi ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania kuandaa mwongozo wa kuhakikisha shughuli za uvuvi na ufugaji haziathiri mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/serikali-kuandaa-mwongozo-wa-kuhakikisha-shughuli-za-uvuvi-na-ufugaji-haziathiri-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/serikali-kuandaa-mwongozo-wa-kuhakikisha-shughuli-za-uvuvi-na-ufugaji-haziathiri-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>25 Mei 2026 13:35:19 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/25133402/Screenshot-2026-05-25-163250.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1712</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Haki ya Tabianchi, Haki za Kimazingira, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Uhifadhi, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ili kuhakikisha shughuli zinazofanywa na sekta ya mifugo na uvuvi zinazingatia uhifadhi wa mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali, serikali ya Tanzania imepanga kuandaa mwongozo utakaoweka mikakati ya uhifadhi wa mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Bashiru Ally, amesema mpango huo wa kwanza wa usimamizi wa mazingira utakaotekelezwa kwa miaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/serikali-kuandaa-mwongozo-wa-kuhakikisha-shughuli-za-uvuvi-na-ufugaji-haziathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Tanzania kuandaa mwongozo wa kuhakikisha shughuli za uvuvi na ufugaji haziathiri mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ili kuhakikisha shughuli zinazofanywa na sekta ya mifugo na uvuvi zinazingatia uhifadhi wa mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali, serikali ya Tanzania imepanga kuandaa mwongozo utakaoweka mikakati ya uhifadhi wa mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Bashiru Ally, amesema mpango huo wa kwanza wa usimamizi wa mazingira utakaotekelezwa kwa miaka mitano kuanzia mwaka 2027/2028 hadi 2032/2033, pia utatoa miongozo kuhusu matumizi endelevu ya rasilimali na namna ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2026/2027 ya wizara yake, akiwa katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika makao makuu ya nchi, Dodoma, Bashiru alisema katika kipindi cha mwaka 2026/2027, Wizara ya Mifugo na Uvuvi pia imepanga kufanya tathmini ya athari za mazingira katika miradi ya ujenzi wa minada ya mifugo, mialo na masoko ya samaki. Kwa mujibu wa Bashiru, mpango mwingine utakaofanywa na wizara yake katika kipindi cha mwaka wa fedha 2026/2027 ni kutoa elimu kwa wafugaji na wavuvi 1,000 katika ukanda wa pwani, kaskazini na nyanda za juu kusini kuhusu utunzaji wa mazingira kwa uvuvi na ufugaji unaostahimili mabadiliko ya tabianchi. “Vilevile, Wizara itaendelea kufanya tathmini ya athari za mabadiliko ya tabianchi na kuandaa mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa ukanda wa pwani,” alisema Bashiru. Alisema katika mwaka 2026/2027, wizara yake itafanya ukaguzi wa mazingira kwa miradi 10 ya uwekezaji katika sekta za mifugo na uvuvi ili kuhakikisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na miongozo ya usimamizi wa mazingira. Pia, wizara hiyo itaendelea na utekelezaji wa Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/serikali-kuandaa-mwongozo-wa-kuhakikisha-shughuli-za-uvuvi-na-ufugaji-haziathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/serikali-kuandaa-mwongozo-wa-kuhakikisha-shughuli-za-uvuvi-na-ufugaji-haziathiri-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/#respond</comments>
					<pubDate>23 Mei 2026 21:35:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/23214326/Screenshot-2026-05-24-004210-768x468.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1696</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uhifadhi, na  Umeme]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mnamo Mei 21, wakazi wa Sakwa Kusini Mashariki mwa Kenya, walikusanyika kupinga mpango wa Serikali wa kujenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia karibu na makazi yao, kandokando ya Ziwa Victoria. Sakwa, iliyopo katika kaunti ya Siaya, ni makazi ya jamii ya Waluo na iko kwenye mwambao wa ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mnamo Mei 21, wakazi wa Sakwa Kusini Mashariki mwa Kenya, walikusanyika kupinga mpango wa Serikali wa kujenga kinu cha kuzalisha umeme wa nyuklia karibu na makazi yao, kandokando ya Ziwa Victoria. Sakwa, iliyopo katika kaunti ya Siaya, ni makazi ya jamii ya Waluo na iko kwenye mwambao wa ziwa hilo kubwa zaidi lenye maji safi barani Afrika, ambalo linapatikana Kenya, Uganda na Tanzania. Mwisho wa Machi 2026, wakati wa kongamano la kimataifa kuhusu nishati ya nyuklia, Rais wa Kenya William Ruto alitangaza ujenzi wa kinu cha nyuklia chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,000 katika eneo hilo. Kwa sasa hakuna taarifa rasmi kuhusu mpango huo kwenye tovuti ya Nuclear Power and Energy Agency (NuPEA). Hata hivyo, Ruto alisema ujenzi utaanza mwaka ujao na kinu hicho kinatarajiwa kuanza kuzalisha umeme mwaka 2034. “Hakuna nchi yoyote duniani iliyowahi kufanikisha malengo yake ya maendeleo bila kuwa na nishati ya kutosha na ya kuaminika,” alisema Ruto. Pia alisisitiza kuwa nishati ya nyuklia inatambuliwa na Umoja wa Mataifa kama chanzo cha nishati chenye kiwango kidogo cha uzalishaji wa hewa ukaa na muhimu katika kufanikisha Agenda ya Maendeleo Endelevu ya 2030. “Kuunganisha nishati ya nyuklia katika gridi ya taifa ni hatua ya kimkakati ya kupata suluhisho la muda mrefu litakalokidhi ongezeko la mahitaji ya umeme nchini Kenya,” alisema. Katika hotuba yake, Ruto alifafanua kuwa tayari alikuwa ameshauriana na wakazi wa Siaya na kujiridhisha kuwa jamii za eneo hilo zinaunga mkono mradi huo. Hata hivyo, maandamano ya hivi karibuni yanaonyesha hali halisi ni tofauti. Aidha, ombi la kupinga mradi huo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/23/wakazi-wa-sakwa-wapinga-mpango-wa-kujenga-kinu-cha-nyuklia-karibu-na-ziwa-victoria/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/#respond</comments>
					<pubDate>18 Mei 2026 20:49:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/18204618/moto1.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1647</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Misitu, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika juhudi za kubaini matukio ya moto mapema na kuudhibiti kabla ya kuenea na kusababisha madhara makubwa katika hifadhi za misitu, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania unafanya ufuatiliaji wa moto nchi nzima kwa kutumia teknolojia ya satelaiti. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Ashatu Kijaji wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/" data-wpel-link="internal">Teknolojia ya satelaiti yatumika kubaini na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika juhudi za kubaini matukio ya moto mapema na kuudhibiti kabla ya kuenea na kusababisha madhara makubwa katika hifadhi za misitu, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania unafanya ufuatiliaji wa moto nchi nzima kwa kutumia teknolojia ya satelaiti. Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Ashatu Kijaji wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/2027 mnamo Mei 15, katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika mji mkuu wa nchi, Dodoma. Kijaji alisema kupitia juhudi hizo, matukio ya moto yamepungua kwa wastani wa asilimia 11 kwa mwaka. Aidha, ukubwa wa maeneo yanayoathirika na moto kila mwaka unaendelea kupungua. Katika hotuba yake, Waziri alisema pia kuwa Wakala umesafisha njia za kuzuia moto zenye urefu wa kilomita 2,723, kusimamia minara 17 ya kuangalizia moto pamoja na vituo saba vya kufuatilia na kudhibiti moto katika maeneo ya hifadhi, huku ukidhibiti matukio 92 ya moto. Waziri huyo aliongeza kuwa Wakala umetoa mafunzo ya mbinu za kukabiliana na kudhibiti moto kwa vikosi 45 vyenye jumla ya watu 705. Vilevile, mafunzo yametolewa kwa wananchi 20,297 kutoka vijiji 245 vinavyopakana na hifadhi za misitu na mashamba ya miti yaliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. “Wakala utaendelea kuzuia na kupambana na matukio ya moto kwa kufanya kampeni 295 za kuzuia moto katika vijiji 337 pamoja na kuunda vikundi 49 vyenye jumla ya watu 588 kwa ajili ya kuzuia na kudhibiti moto kwenye hifadhi za misitu,” Kijaji alisema katika hotuba yake. Aidha, kwa mujibu wa Kijaji, Wakala utafungua kilomita 114 za njia mpya za kuzuia moto na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/18/teknolojia-ya-satelaiti-yatumika-kubaini-na-kudhibiti-moto-kwenye-hifadhi-za-misitu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/#respond</comments>
					<pubDate>17 Mei 2026 04:00:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Liz Kimbrough]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/15150736/Screenshot-2026-05-15-141515-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1632</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Ikolojia, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wanaharakati sita wa mazingira kutoka ulimwenguni kote walitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman tarehe 20 Aprili. Ikitambulika kama &#8220;Tuzo ya Nobel ya Kijani,&#8221; Tuzo ya Goldman huwaheshimu wanaharakati kutoka kanda sita za mabara yenye wakazi. Kwa mara ya kwanza katika historia, washindi wote sita ni wanawake. Washindi wa mwaka huu walipambana kulinda popo adimu nchini Nigeria [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/" data-wpel-link="internal">Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wanaharakati sita wa mazingira kutoka ulimwenguni kote walitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman tarehe 20 Aprili. Ikitambulika kama &#8220;Tuzo ya Nobel ya Kijani,&#8221; Tuzo ya Goldman huwaheshimu wanaharakati kutoka kanda sita za mabara yenye wakazi. Kwa mara ya kwanza katika historia, washindi wote sita ni wanawake. Washindi wa mwaka huu walipambana kulinda popo adimu nchini Nigeria kwa kutoa mafunzo kwa wanajamii kuhusu kuzuia moto katika maeneo ya nyika; walishinda kesi ya kihistoria mahakamani nchini Korea Kusini na kulazimisha serikali kuweka malengo madhubuti ya hali ya hewa; walisimamisha mradi wa kuchimba mafuta nchini Uingereza baada ya miaka kumi ya vita vya kisheria; waliishinikiza kampuni kubwa ya uchimbaji madini duniani kusafisha mgodi ulioachwa wenye sumu huko Papua New Guinea; walizuia mgodi mkubwa wa shimo wazi uliopendekezwa katika historia ya Marekani Kaskazini huko Alaska; na wakasaidia kusimamisha miradi ya uchimbaji mafuta kwa mbinu ya kupasua miamba nchini Colombia. &#8220;Wakati tunaendelea kupigana kulinda mazingira na kutekeleza sera za hali ya hewa za kuokoa maisha nchini Marekani na duniani kote, ni wazi kwamba viongozi wa kweli wako miongoni mwetu,&#8221; alisema John Goldman, makamu wa rais wa wakfu wa mazingira wa Goldman. &#8220;Nimefurahi sana kuheshimu kundi letu la kwanza kabisa la wanawake sita, kwani hili ni onyesho kubwa la nafasi ambayo wanawake wanaendelea kuchukua katika jamii ya mazingira ulimwenguni.&#8221; Washindi walitunukiwa katika hafla iliyofanyika San Francisco nchini Marekani tarehe 20 Aprili, iliyoandaliwa na mtangazaji wa Telemundo Vanessa Hauc, pamoja na burudani ya muziki kutoka kundi la Caminos Flamencos. Tukio hilo lilionyeshwa moja kwa moja kuanzia saa 5:30&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/#respond</comments>
					<pubDate>15 Mei 2026 10:00:23 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anne Ngugi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/13194410/IMG-20260513-WA0002-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1602</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Mazingira, Migogoro, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika nyanda za Olemoncho, ndani ya upeo mpana wa Maasai Mara, maisha huanza mapema. Kwa wengi, maisha hayo huanza ardhini. Kuna mdundo wa kipekee ndani ya nyika za Olemoncho; mdundo wa kengele za ng’ombe na nyayo zinazochora njia kwenye udongo mnyevunyevu baada ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kwa muda mrefu, anga la Maasai Mara lilitawaliwa na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/" data-wpel-link="internal">Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika nyanda za Olemoncho, ndani ya upeo mpana wa Maasai Mara, maisha huanza mapema. Kwa wengi, maisha hayo huanza ardhini. Kuna mdundo wa kipekee ndani ya nyika za Olemoncho; mdundo wa kengele za ng’ombe na nyayo zinazochora njia kwenye udongo mnyevunyevu baada ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kwa muda mrefu, anga la Maasai Mara lilitawaliwa na tai na ndege kubwa za kitalii, lakini leo, kuna mlio mpya wa helikopta unaoashiria mabadiliko ya zama. Hapa ndipo ilipoanzia safari ya Wilson Sairowua &#8216;Tate&#8217;; kijana ambaye mikono yake, iliyozoea kushika fimbo ya uchungaji huku akitembea miguu peku katika mfumo huu wa ekolojia, sasa imeshika usukani wa teknolojia ya kisasa. Wilson si rubani tu, ni daraja la amani linalotumia mbingu kulinda urithi wa ardhi ambapo hatima ya binadamu na tembo zimeunganishwa. Rubani Wilson Sairowua akiwa pamoja na askari wa MEP katika makao makuu ya MEP kwenye eneo la hifadhi la Lemek wakati wa mafunzo ya matumizi ya droni. Picha kwa hisani ya MEP. Kabla hajavaa jaketi la rubani lenye nembo ya shirika la Mara Elephant Project (MEP), au kushika usukani wa helikopta, Wilson alikuwa kijana wa kawaida wa Kimaasai, mchungaji mdogo, mara nyingi akitembea miguu peku, akifuatilia mifugo chini ya jua kali la mchana. Alijua kila mti na kila njia ya siri ya maji, na alikuwa hodari wa kutafsiri nyayo za wanyamapori. Vazi lake lilikuwa shuka na kaptula. Suruali ya kwanza aliivaa akiwa na umri wa miaka 14, alipoingia shule ya upili. “Tulikuwa tunatembea umbali mrefu sana kwenda shule. Wengine wetu hata hatukuwa na viatu. Nikiwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/#respond</comments>
					<pubDate>11 Mei 2026 15:28:34 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11150848/Lethome-5-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1551</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Umeme, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu zaidi ya 82. Mongabay ilimtembelea Sheikh Ibrahim Lethome alipokuwa kwenye mfungo wa Ramadhani ili kupata maoni yake kuhusu juhudi zake katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira. Lethome amejitaja kuwa aliyetekeleza kile ambacho huenda kilionekana kama jukumu dogo katika juhudi za kupinga mradi wa umeme wa makaa ya mawe huko Lamu, Kenya. Juhudi hizo ziliongozwa na viongozi wa Save Lamu pamoja na wawakilishi wa jamii, mawakili wa masuala ya mazingira, wanaharakati na taasisi za serikali pamoja na mamlaka za udhibiti kama NEMA na mahakama za mazingira. Hatimaye, mradi huo ulisitishwa Desemba mwaka 2025. Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano yake na Lynet Otieno wa Mongabay, yaliyofanyika katika ofisi za Msikiti wa Jamiah jijini Nairobi. Mongabay: Tafadhali tueleze kwa ufupi wewe ni nani, kama msomi, kiongozi wa kidini na mwanaharakati wa mazingira. Lethome: Mimi kitaaluma ni mwanasheria na msomi wa elimu ya Kiislamu. Ninafanya kazi katika fani zote mbili. Nimekuwa mwanachama wa Msikiti wa Jamiah kwa miaka 32 sasa. Ninaongoza Idara ya Dini. Pia ni mwanachama wa bodi ya kimataifa ya GreenFaith, na mwenyekiti wa bodi ya GreenFaith-Afrika, taasisi inayotumia mafundisho ya dini kuhamasisha uhifadhi wa mazingira. Mwelekeo wangu ni kuangalia jinsi mafundisho ya dini yanavyoweza kutumika kushughulikia changamoto nyingi ambazo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/#respond</comments>
					<pubDate>08 Mei 2026 20:33:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/10203241/A-participant-asks-questions-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1530</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kaskazini, Afrika Kusini, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, Afrika ya Ikweta, Afrika ya Kati, Kenya, na  Kusini mwa Afrika]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Chakula, Fedha za Uhifadhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Jinsia na Uhifadhi, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Teknolojia na Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Baada ya mkutano wa siku mbili wa kujadili huduma za mifumo ya ikolojia ya nyanda za malisho na jamii za wafugaji wa kuhamahama, Mkutano wa nane wa jukwaa la Global Landscapes Forum umehitimishwa jijini Nairobi kwa tamko lililosisitiza umuhimu wa jamii ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikionekana kama kikwazo kwa maendeleo. Katika mkutano huo uliofanyika katika [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/" data-wpel-link="internal">GLF: Nyanda za malisho na wafugaji ni raslimali katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na si tatizo</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Baada ya mkutano wa siku mbili wa kujadili huduma za mifumo ya ikolojia ya nyanda za malisho na jamii za wafugaji wa kuhamahama, Mkutano wa nane wa jukwaa la Global Landscapes Forum umehitimishwa jijini Nairobi kwa tamko lililosisitiza umuhimu wa jamii ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikionekana kama kikwazo kwa maendeleo. Katika mkutano huo uliofanyika katika kituo cha CIFOR-ICRAF na kuhudhuriwa na maafisa wa serikali, wanasayansi pamoja na wawakilishi wa jamii za asili kutoka nchi 135, mjadala ulijikita katika mifumo ya ikolojia inayosaidia bioanuwai, usalama wa chakula, maisha ya watu, utamaduni, uhifadhi wa kaboni na huduma nyingine za kiikolojia bila kuvuruga maisha endelevu na tamaduni za jamii za wafugaji, badala ya kuweka msisitizo kwenye uwekezaji unaoshinikizwa na serikali kwa lengo la kupata faida. “Tunapaswa kujiuliza: Maendeleo haya yanafanywa kwa ajili ya nani? Je, jamii zinahusishwa katika maamuzi kuhusu uwekezaji unaofanywa kwenye ardhi yao? Na ni kwa manufaa ya nani miradi hii ya kibiashara inayowasilishwa kana kwamba ni juhudi za kutoa ajira na fursa nyingine kwa wakazi? Sauti zao zina umuhimu,” alisema Tahira Mohamed Shariff kutoka Jameel Observatory for Food Security Early Action siku ya kwanza ya mkutano huo. Baadhi ya waliohudhuria kongamano Nairobi, Kenya. Picha na GLF. Monicah Yator, Wakili na Mwanzilishi wa Indigenous Women and Girls Initiative, alisema kuwa ufugaji wa kuhamahama si shughuli ya mifugo pekee. “Ni mfumo wa maisha, chakula na utamaduni. Kuna sera zinazowalinda wafugaji. Sasa wafugaji wanafahamu kwamba ardhi yao inaweza kubadilishiwa matumizi,” alisema, akiongeza kuwa maarifa ya asili bado ni muhimu na yenye mchango mkubwa katika&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/08/nyanda-za-malisho-na-wafugaji-ni-raslimali-katika-kukabiliana-na-mabadiliko-ya-tabianchi-na-si-tatizo-mkutano-wa-kimataifa-watangaza/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/#respond</comments>
					<pubDate>06 Mei 2026 13:26:49 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dalle Abraham]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/06170355/Screenshot-2026-05-06-200329-768x497.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1525</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo Kenya, imeamuru kwamba kesi ya hatua ya ngazi ya juu dhidi ya kampuni kubwa ya mafuta ya Uingereza ya BP inaweza kuendelea kusikizwa kikamilifu. Katika kesi hiyo, inadaiwa kuwa taka za sumu zilizoachwa kutokana na uchimbaji wa mafuta katika miaka ya 1980 zilichafua maji ya ardhini kaskazini mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/" data-wpel-link="internal">Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo Kenya, imeamuru kwamba kesi ya hatua ya ngazi ya juu dhidi ya kampuni kubwa ya mafuta ya Uingereza ya BP inaweza kuendelea kusikizwa kikamilifu. Katika kesi hiyo, inadaiwa kuwa taka za sumu zilizoachwa kutokana na uchimbaji wa mafuta katika miaka ya 1980 zilichafua maji ya ardhini kaskazini mwa Kenya, na kuua zaidi ya watu 500 na maelfu ya mifugo. Kesi hiyo, iliyofunguliwa Februari na walalamikaji 299 katika Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo, ilifikishwa mahakamani na wakazi wa Kargi na Kalacha, makazi mawili yaliyoko katika kaunti ya Marsabit. Inadaiwa katika kesi hiyo kuwa shughuli za uchimbaji wa mafuta zilizofanywa kati ya mwaka 1985 na mwaka 1993 kaskazini na kaskazini-magharibi mwa Kenya na Shirika la Amoco, ambalo lilinunuliwa na BP mwaka wa 1998, vichafuzi hatari na sumu vilimwagwa kwenye mazingira, na kuchafua maji ya ardhini ambayo jamii hutegemea kwa kunywa na kwa mifugo yao. Hati za korti zinadai kuwa taka za kuchimba visima zilizo na isotopu za radiamu, aseniki, madini ya risasi na nitrati, zilitupwa kwenye mashimo yaliyoachwa wazi au ambayo hayakuwekwa katika hali inayotakiwa kiusalama. Katika kesi hiyo, washitakiwa ni pamoja na kampuni ya British Petroleum PLC ambayo ni mshitakiwa wa kwanza, huku wengine 11 wakiwa ni Shirika la Kitaifa la Mafuta la Kenya; mawaziri wa mazingira, maji, afya na madini; Mamlaka ya Rasilimali za Maji; serikali ya kaunti ya Marsabit; mwanasheria mkuu; Mamlaka ya Kitaifa ya Usimamizi wa Mazingira; Mamlaka ya Udhibiti wa nishati ya Nyuklia ya Kenya pamoja na Taasisi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>05 Mei 2026 22:27:36 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David AkanaRhett Ayers Butler]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/05212300/Screenshot-2026-05-06-000526-768x504.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1504</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na  Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Maendeleo Endelevu, Mamalia, Mazingira, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Mvua, Uhifadhi, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, volkeno, misitu, na ardhi oevu ndani ya eneo moja lililohifadhiwa. Pia ipo ndani ya mazingira iliyoundwa kwa miongo kadhaa ya ukosefu wa utulivu, ambapo makundi yaliojihami kwa silaha, uchumi usio rasmi, na utawala dhaifu ni sehemu ya maisha ya kila siku. Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga. Picha kwa hisani ya Bitini Ndiyanabo Kanane. Emmanuel de Merode, ambaye ameiongoza Virunga tangu mwaka wa 2008, haanzii na ikolojia. Mafunzo yake ni ya anthropolojia, hali inayounda namna anavyoelezea hifadhi. Anapendekeza kuwa hali ya wanyamapori hutokana na nguvu za kina. Upotevu wa misitu, ujangili, na ukosefu wa usalama sio shida za mazingira pekee. Yanatokana na namna watu wanavyopata riziki, namna mamlaka inavyofanya kazi, na jinsi pesa na rasilimali zinavyozunguka. Katika sehemu ya Mashariki mwa Kongo, uhifadhi hauwezi kutenganishwa na uchumi. Kwa jamii nyingi zinazoizunguka Virunga, chaguo lao ni la haraka. Kuifyeka misitu kwa ajili ya ukulima au kutengeza mkaa kunaweza kuzalisha kipato cha kuendesha maisha. Faida za uhifadhi ni ngumu kuonekana na mara nyingi huonekana zaidi nje ya eneo hilo. Ukosefu wa usawa unajitokeza katika maamuzi ya kila siku kuhusu mafuta, chakula na upatikanaji wa ardhi. Kama De Merode anavyoelezea, mfumo unawalazimisha baadhi ya watu maskini zaidi kubeba gharama ya kulinda mali zinazothaminiwa kimataifa. Shinikizo kwenye mbuga&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ndege 1,000,000 walisafirishwa kutoka Afrika hadi Asia katika kipindi cha miaka 15; chiriku waongoza orodha</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/04/takriban-ndege-milioni-moja-walisafirishwa-kutoka-afrika-hadi-asia-katika-kipindi-cha-miaka-15-chiriku-waongoza-orodha/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/04/takriban-ndege-milioni-moja-walisafirishwa-kutoka-afrika-hadi-asia-katika-kipindi-cha-miaka-15-chiriku-waongoza-orodha/#respond</comments>
					<pubDate>04 Mei 2026 13:28:14 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Spoorthy Raman]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/04145740/Screenshot-2026-05-04-160903.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1493</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kaskazini, Afrika Magharibi, Asia, Asia ya Kusini-mashariki, Guinea, Indonesia, Mali, Msumbiji, Senegal, Singapore, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Aina Vamizi, Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Magonjwa, Matumizi ya Wanyamapori, Mazingira, Ndege, Ugonjwa wa Kuambukiza wa Wanyamapori, Uhalifu, Uhalifu kwa Wanyamapori, Uhifadhi, Usafirishaji wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ulimwenguni kote, watu hununua na kuwinda karibu nusu ya spishi 11,000 za ndege waliopo. Katika mabara ya Asia, Ulaya, Amerika Kaskazini na Amerika Kusini, ndege wa kuimba na kasuku ni ndege wa kufugwa nyumbani wanaotamanika sana. Wafugaji wa ndege hao hulipa pesa nyingi sana kwa spishi adimu au ndege wenye sauti nzuri ili kushindana katika mashindano [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/04/takriban-ndege-milioni-moja-walisafirishwa-kutoka-afrika-hadi-asia-katika-kipindi-cha-miaka-15-chiriku-waongoza-orodha/" data-wpel-link="internal">Ndege 1,000,000 walisafirishwa kutoka Afrika hadi Asia katika kipindi cha miaka 15; chiriku waongoza orodha</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ulimwenguni kote, watu hununua na kuwinda karibu nusu ya spishi 11,000 za ndege waliopo. Katika mabara ya Asia, Ulaya, Amerika Kaskazini na Amerika Kusini, ndege wa kuimba na kasuku ni ndege wa kufugwa nyumbani wanaotamanika sana. Wafugaji wa ndege hao hulipa pesa nyingi sana kwa spishi adimu au ndege wenye sauti nzuri ili kushindana katika mashindano ya uimbaji wa hali ya juu. Wafugaji wa ndege aina ya vipanga na wawindaji wa michezo hukamata au kuua ndege wa porini. Matambiko ya imani za jadi katika Afrika Magharibi hujumuisha viwiliwili vya tai. Wanunuzi kutoka Marekani ya Kaskazini hutafuta hondohondo na ndege mvumaji waliokufa kama mapambo ya nyumbani. Orodha inaendelea. Biashara hii kubwa inatisha zaidi ya spishi 200 za ndege kutoweka. Sasa, huku masoko ya mtandaoni yakiongezeka, wateja wanaweza kuagiza ndege kwa kubonyeza simu zao za mkononi kutoka mahali popote katika sayari. Kusafirisha ndege kote ulimwenguni pia husambaza magonjwa hatari, kama vile homa ya ndege na virusi vwa circovirus, na wakati ndege wasio wa asili wanapotoroka au kuachiliwa, wanaweza kuongezeka kuwashinda spishi za asili. &#8220;Kuna ukosefu wa ufahamu na kuthamini ukubwa wa biashara hii, na umakini mchache sana juu ya athari ambazo hii inaweza kuwa nayo kwa wakazi wa porini au hatari za kuenea kwa viumbe vamizi na magonjwa ya kuambukiza,&#8221; Rowan Martin ni mkurugenzi wa biashara ya ndege katika shirika lisilo la faida la World Parrot Trust. &#8220;Ikiwa watu hawajui kwamba hili linafanyika, basi tutawezaje kupunguza hatari zinazohusiana nayo?&#8221; Katika kujaribu kuelewa ukubwa wa biashara ya ndege hai, Martin na wenzake walitumia hifadhidata ya Umoja wa Mataifa ya Comtrade (UN Comtrade), hifadhidata inayojumlisha taarifa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/04/takriban-ndege-milioni-moja-walisafirishwa-kutoka-afrika-hadi-asia-katika-kipindi-cha-miaka-15-chiriku-waongoza-orodha/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/04/takriban-ndege-milioni-moja-walisafirishwa-kutoka-afrika-hadi-asia-katika-kipindi-cha-miaka-15-chiriku-waongoza-orodha/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>01 Mei 2026 15:34:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/01152749/Antoine-Moses-akipanda-miche-ya-miti-ya-mikoko-katika-eneo-la-Tudor-Mombasa.-Picha-kwa-hisani-ya-Wizara-ya-Mazingira-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1485</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maji, Mazingira, Mikoko, Misitu, Miti, Samaki, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kenya wiki hii imekuwa kitovu cha harakati za kuvunja rekodi za dunia za Guinness baada ya mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada, Antoine Moses, kuvunja rekodi yake mwenyewe ya kupanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 tu. Idadi hiyo ilithibitishwa Mei 1, saa 8:01, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi hilo. Antoine alikuwa nchini [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kenya wiki hii imekuwa kitovu cha harakati za kuvunja rekodi za dunia za Guinness baada ya mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada, Antoine Moses, kuvunja rekodi yake mwenyewe ya kupanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 tu. Idadi hiyo ilithibitishwa Mei 1, saa 8:01, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi hilo. Antoine alikuwa nchini humo kwa siku 10 kabla ya tukio hilo, ambapo alipanda miti mingine 13,600 ili kujenga stamina katika maandalizi ya rekodi mpya. “Tumekuwa Kenya kwa siku 10 zilizopita tukipanda mikoko, tukijifunza kutoka kwa jamii na kutengeneza kumbukumbu zisizosahaulika na marafiki wapya,” alisema kabla ya jaribio hilo, na kuongeza: “Baada ya kufikia miti 10,000 chini ya saa nne wakati wa mazoezi, nilijua tuko tayari kusonga mbele zaidi.” Waziri wa Mazingira wa Kenya, Deborah Barasa, alimkaribisha Antoine na alikuwepo alipokuwa akipanda mche wake wa kwanza. Alisema: “Kenya imepata heshima kumkaribisha Antoine Moses… Jaribio lake la kijasiri la kupanda mikoko 40,000 ndani ya saa 24 katika eneo la Tudor Creek, Kaunti ya Mombasa, halimaanishi tu kuweka rekodi mpya, bali ni kubadili mwenendo wa uharibifu wa misitu kabla haujafikia hatua ya hatari. Uwepo wake unaimarisha nafasi ya Kenya kama kiongozi anayeaminika katika juhudi za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.” Timu iliyoratibiwa ya wanajamii, wahifadhi wa mazingira, maafisa wa Huduma ya Misitu Kenya, akiwemo Katibu Mkuu Gitonga Mugambi, pamoja na washirika kutoka Earthlungs, walimpa hamasa, wakitembea pamoja naye ili kumsaidia kutimiza malengo yake. Awali, Antoine aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwamba malengo yake ni kupanda miche 35,500 ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/kenya-yawapokea-kihistoria-swala-wa-milimani-adimu-waliorudishwa-kutoka-bustani-za-wanyama-ulaya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/kenya-yawapokea-kihistoria-swala-wa-milimani-adimu-waliorudishwa-kutoka-bustani-za-wanyama-ulaya/#respond</comments>
					<pubDate>01 Mei 2026 10:52:01 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/01105311/Swala-wa-milimani-aliye-hatarini-kutoweka-akiwa-kwenye-Bustani-ya-Chester-Cheshire-Uingereza.-Picha-kwa-hisani-ya-Chester-Zoo-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1481</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wiki hii Kenya imepokea kundi la swala wa milimani walio katika hatari kubwa ya kutoweka, wakitokea Jamhuri ya Czech ambako walikuwa wakihifadhiwa chini ya usimamizi wa Bustani ya Wanyama ya Zoo Dvůr Králové. Urejeshaji wa swala hao wanne dume, waliokulia katika bustani mbalimbali za wanyama chini ya mpango wa uhifadhi nchini Uingereza, ni hatua muhimu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/kenya-yawapokea-kihistoria-swala-wa-milimani-adimu-waliorudishwa-kutoka-bustani-za-wanyama-ulaya/" data-wpel-link="internal">Kenya yawapokea Swala wa milimani adimu waliorudishwa kutoka bustani za wanyama Ulaya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wiki hii Kenya imepokea kundi la swala wa milimani walio katika hatari kubwa ya kutoweka, wakitokea Jamhuri ya Czech ambako walikuwa wakihifadhiwa chini ya usimamizi wa Bustani ya Wanyama ya Zoo Dvůr Králové. Urejeshaji wa swala hao wanne dume, waliokulia katika bustani mbalimbali za wanyama chini ya mpango wa uhifadhi nchini Uingereza, ni hatua muhimu katika juhudi za Kenya kurejesha wanyama ambao kiasili wana nguvu na hupenda kuzunguka milimani kwa uhuru katika makazi yao ya asili. Hatua hii pia inaendana na mkakati wa kitaifa wa urejeshaji wa mwaka 2019–2023 unaolenga kuokoa spishi hiyo iliyokuwa hatarini kutoweka, juhudi ambazo zimeendelea hata miaka kadhaa baadaye. Swala hao watahifadhiwa katika Kituo cha Uhifadhi wa Wanyamapori cha Mount Kenya (MKWC), kilichopo katika maeneo ya milimani ya Laikipia. Uhamisho huo uliongozwa na wataalamu kutoka Bustani ya Wanyama ya Chester nchini Uingereza, kwa ushirikiano na Huduma ya Wanyamapori Kenya (KWS) pamoja na Chama cha Ulaya cha Bustani za Wanyama na Hifadhi za Majini. Akizungumza wakati wa kupokea swala hao waliowasili kwa ndege ya mizigo ya KLM katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi, Waziri Mkuu Msaidizi na Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Diaspora, Musalia Mudavadi, alisema kuwa simulizi ya swala wa milimani inaakisi hali pana ya mazingira nchini humo. Alisema: “Waliwahi kustawi katika misitu ya milimani, kuanzia Aberdares hadi Mlima Kenya, Mau na Eburu, lakini sasa spishi hii ya kipekee inakabiliwa na ukweli mchungu wa kuwa katika hatari ya kutoweka kabisa.” Wadau wengine kadhaa waliokuwepo ni pamoja na Waziri&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/kenya-yawapokea-kihistoria-swala-wa-milimani-adimu-waliorudishwa-kutoka-bustani-za-wanyama-ulaya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/kenya-yawapokea-kihistoria-swala-wa-milimani-adimu-waliorudishwa-kutoka-bustani-za-wanyama-ulaya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/#respond</comments>
					<pubDate>24 Aprili 2026 13:21:39 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/24153344/Screenshot-2026-04-24-183249-768x492.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1441</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Misitu, Misitu ya Kitropiki, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uharakati wa Mazingira, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Upandaji Miti, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kijana mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya mazingira, ameweka rekodi mpya ya dunia kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24, akivunja rekodi ya awali ya Guinness ya kupanda miti 23,060. Hillary Kiplagat Kibiwott alianzia zoezi hilo katika Kituo cha Misitu cha Kessup kilichoko katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet, tarehe 22 [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/" data-wpel-link="internal">Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kijana mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya mazingira, ameweka rekodi mpya ya dunia kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24, akivunja rekodi ya awali ya Guinness ya kupanda miti 23,060. Hillary Kiplagat Kibiwott alianzia zoezi hilo katika Kituo cha Misitu cha Kessup kilichoko katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet, tarehe 22 Aprili, 2026 chini ya uangalizi mkali wa wawakilishi wa Guinness World Records, Huduma ya Misitu ya Kenya (Kenya Forest Service) pamoja na wahudumu wa afya. Alikamilisha zoezi hilo Alhamisi, tarehe 23 Aprili. Hillary Kibiwott baada ya kukamilisha zoezi la kupanda miti 24,000 ndani ya saa 24 tu. Picha na Uzalendo News. Timu yake kuu ilijumuisha vijana waliokuwa wakichimba mashimo katika eneo la msitu lililoharibiwa lenye ukubwa wa ekari 30 na kumpa miche ya miti, pamoja na baba yake ambaye alimwelekeza na kumsaidia wakati wa zoezi hilo. Akihamasishwa na umati wa watu waliokuwa wakiimba na kushangilia huku wakitaja jina lake, wakiwemo wanafunzi wa shule za msingi, Hillary alipanda wastani wa miche 16 kwa dakika. Zoezi hilo lilikuwa likirushwa moja kwa moja mtandaoni. Wakati anafikia mwisho wa zoezi hilo, alikuwa amechoka sana kiasi kwamba alisafirishwa kwa gari la wagonjwa, lakini alirejea baada ya zaidi ya saa moja akiwa tayari kuzungumza na waandishi wa habari na umati uliokuwa ukimsubiri. Alisema lengo lake lilikuwa kuonyesha kuwa mpango wa kupanda miti bilioni 15 uliozinduliwa na Rais wa Kenya, William Ruto, unawezekana. Kuhusu changamoto wakati wa zoezi hilo, alitaja ardhi yenye milima, joto kali la mchana na baridi ya usiku kuwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/#respond</comments>
					<pubDate>21 Aprili 2026 00:42:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anne Ngugi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/20151506/Screenshot-2026-04-20-165755-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1399</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kaskazini mwa Kenya, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bustani za wanyama, Elimu ya Mazingira, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Sheria ya Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Tabia za Wanyama, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Usafirishaji wa Wanyamapori, Wanyama, Wanyama maarufu, Wanyama wanaokula nyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>WAJIR, Kenya &#8211; Katika maeneo kame ya kaskazini mwa Kenya, maisha hayapimwi kwa saa au dakika, bali kwa uvumilivu wa nafsi dhidi ya mazingira. Hapa, katika Kaunti ya Wajir, ardhi imepasuka kwa jua kali, na upepo wa vumbi hubeba harufu ya jasho la mifugo na matumaini ya mvua isiyotabirika. Maisha ya jamii za wafugaji ni [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/" data-wpel-link="internal">Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[WAJIR, Kenya &#8211; Katika maeneo kame ya kaskazini mwa Kenya, maisha hayapimwi kwa saa au dakika, bali kwa uvumilivu wa nafsi dhidi ya mazingira. Hapa, katika Kaunti ya Wajir, ardhi imepasuka kwa jua kali, na upepo wa vumbi hubeba harufu ya jasho la mifugo na matumaini ya mvua isiyotabirika. Maisha ya jamii za wafugaji ni mzunguko usiokwisha wa kutafuta malisho na maji. Lakini ndani ya moyo wa jangwa hili, kumeibuka hadithi inayopinga mantiki ya asili &#8211; ya upendo uliopitiliza, hatari iliyojificha, na mipaka inayofifia kati ya binadamu na mnyama mwitu mwenye kasi kubwa. Ni hadithi ya Bishara Abdirahman Omar, mama wa watoto tisa, ambaye kwa zaidi ya miaka miwili alifanya jambo ambalo wengi wangeliona kama hukumu ya kifo. Mama huyu aliishi na duma ndani ya nyumba kama sehemu ya familia yake. Bishara anakumbuka siku hiyo kwa uwazi kabisa, kana kwamba ilitokea jana. Ilikuwa ni asubuhi yenye joto kali, na yeye alikuwa akitembea porini kutafuta kuni na kuangalia mifugo yake. Katika kichaka kimoja cha miiba, alisikia sauti dhaifu; kilio kidogo kilichofanana na kile cha mtoto wa paka aliyeishiwa nguvu. Aliposogea, alimkuta mtoto wa duma, akiwa mdogo kiasi cha kutoshea kwenye viganja vyake, macho yake yakiwa bado na ukungu wa upofu wa utotoni. “Alikuwa hana msaada kabisa. Nilimwangalia, nikatazama huku na huko nikitarajia kumuona mama yake, lakini hapakuwa na dalili yoyote. Alikuwa ameachwa peke yake kufa kwa njaa au kuliwa na fisi,” Bishara alisimulia, huku akitazama upeo wa macho. Kwa Bishara, hakuona mnyama hatari, bali aliona kiumbe aliyehitaji maziwa na joto. Bila&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/jinsi-tanzania-inavyoweza-kubadili-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kuwa-chanzo-endelevu-cha-maji/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/jinsi-tanzania-inavyoweza-kubadili-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kuwa-chanzo-endelevu-cha-maji/#respond</comments>
					<pubDate>20 Aprili 2026 20:58:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/20205640/Picha1--768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1416</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Haki za Binadamu, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, na  Uhifadhi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR es SALAAM, Tanzania &#8211; Mvua imenyesha bila kukoma usiku kucha. Nyumba zimejaa maji, nyingine zimesombwa kabisa. Katikati ya taharuki hiyo, Salehe na familia yake wanajaribu kujiokoa kwa kushikilia chochote kilicho karibu nao, wengine wanashikilia miti, wengine magodoro na makabati yanayoelea juu ya maji. Hata hivyo, taswira inayotia uchungu zaidi ni ya madumu yale yale ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/jinsi-tanzania-inavyoweza-kubadili-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kuwa-chanzo-endelevu-cha-maji/" data-wpel-link="internal">Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR es SALAAM, Tanzania &#8211; Mvua imenyesha bila kukoma usiku kucha. Nyumba zimejaa maji, nyingine zimesombwa kabisa. Katikati ya taharuki hiyo, Salehe na familia yake wanajaribu kujiokoa kwa kushikilia chochote kilicho karibu nao, wengine wanashikilia miti, wengine magodoro na makabati yanayoelea juu ya maji. Hata hivyo, taswira inayotia uchungu zaidi ni ya madumu yale yale ya njano ambayo hutumika wakati wa ukame kununulia maji, sasa yanaelea juu ya maji mengi kupita kiasi. Ni picha inayobeba ukweli mchungu: katika enzi ya mabadiliko ya tabianchi, jamii zinakabiliwa na ukame na mafuriko kwa wakati mmoja. Swali la msingi ni: Ni kwa namna gani kero ya mvua kubwa inaweza kugeuzwa kuwa suluhisho endelevu la changamoto ya upatikanaji wa maji? Hilo ndilo swali la msingi kwa sasa, ambalo baadhi ya wataalam wanalijibu katika makala haya. Taarifa za mamlaka kuhusu mvua za masika Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu mvua za masika. Katika taarifa yake ya mwelekeo wa mvua za masika Machi-Mei, 2026 inasema kuwa mvua hizo katika maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka (kanda ya Ziwa Victoria, nyanda za juu Kaskazini mashariki, Pwani ya kaskazini pamoja na maeneo yaliyopo kaskazini mwa mkoa wa Kigoma) katika kipindi cha miezi hiyo, vipindi vifupi vya mvua kubwa vinaweza kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi. Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Ladislaus Chang’a anasema matukio haya yanaweza kuleta uharibifu wa miundombinu na mazingira, milipuko ya magonjwa, pamoja na upotevu wa mali na maisha. Anahimiza Idara ya Usimamizi wa Maafa, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/jinsi-tanzania-inavyoweza-kubadili-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kuwa-chanzo-endelevu-cha-maji/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/jinsi-tanzania-inavyoweza-kubadili-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi-kuwa-chanzo-endelevu-cha-maji/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/#respond</comments>
					<pubDate>20 Aprili 2026 08:59:43 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Isack Dickson]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/20075539/Tembo-kwenye-ushoroba-wa-Kwakuchinja-upande-wa-Ziwa-Manyara.-Picha-na-Isack-Dikson.--768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1384</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati miale ya jua asubuhi ikiangaza wilaya ya Babati kaskazini mwa Tanzania, watoto kutoka kijiji cha Sangaiwe wanapita katika njia zilizopo katikati ya misitu ya asili na kwingine mashambani. Ni umbali isiozidi nusu kilomita kuelekea shule ya Msingi Burunge. Katarina Claudi mwenye umri wa miaka 12, na rafiki yake Magdalena Gabriel ni miongoni mwa wanafunzi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/" data-wpel-link="internal">Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati miale ya jua asubuhi ikiangaza wilaya ya Babati kaskazini mwa Tanzania, watoto kutoka kijiji cha Sangaiwe wanapita katika njia zilizopo katikati ya misitu ya asili na kwingine mashambani. Ni umbali isiozidi nusu kilomita kuelekea shule ya Msingi Burunge. Katarina Claudi mwenye umri wa miaka 12, na rafiki yake Magdalena Gabriel ni miongoni mwa wanafunzi wa shule hiyo. Kutoka nyumbani kwao hadi hapo shuleni wanatumia dakika 20 tu. Ukiwa katikati ya madarasa ya shule hiyo iliyopo kwenye mteremko wa mlima mdogo wenye mawe makubwa kwa madogo, utasikia sauti za watoto wakiimba na kukariri masomo yao zikiwa zimechanganyikana na sauti za ndege wa porini, na kutengeneza taswira ya kipekee ya maisha yanayoendelea pembezoni mwa moja kati ya mapito muhimu zaidi ya wanyamapori nchini Tanzania. Ushoroba wa Kwakuchinja ni njia muhimu ya asili inayounganisha Hifadhi za Taifa za Tarangire na Ziwa Manyara. Wanyamapori kama tembo, nyumbu, pundamilia na twiga huutumia kuhama kwa uhuru kutoka sehemu moja kwenda nyingine kutafuta maji na malisho. Manufaa ya ushoroba Wilfred Mariani Makamu mwenyekiti wa hifadhi ya Burunge, anasema kuwepo kwa ushoroba kwa huo kumeleta manufaa makubwa si kwa uhifadhi tu, bali pia kwa jamii zinazozunguka hifadhi ya Burunge. Anasema kutokana na kuwepo kwa ushoroba huo wananchi kwanza wananufaika na mapato yanayopatikana kupitia utalii ambayo kwa usimamizi mzuri wa Jumuiya ya Hifadhi ya Jamii ya Burunge, (Burunge WMA) hurudi moja kwa moja kwa wananchi kupitia njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na miradi ya maendeleo, kielimu na kijamii. Kwa mfano, kupitia ushoroba huo, shule mbili; sekondari ya Burunge&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/17/uhasama-waikumba-jamii-adimu-ya-sokwe-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-uganda/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/17/uhasama-waikumba-jamii-adimu-ya-sokwe-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-uganda/#respond</comments>
					<pubDate>17 Aprili 2026 07:28:46 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Keith Anthony Fabro]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/23073935/Screenshot-2026-04-23-103518-768x507.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1433</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bustani za wanyama, Ikolojia, Magonjwa ya Zoonotiki, Mazingira, Misitu, Sokwe, Tabia za Wanyama, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Jamii ya sokwe katika Mbuga ya Kitaifa ya Kibale nchini Uganda iligawanyika katika makundi hasimu na kushambulia washirika wa zamani, katika kile watafiti wanakifafanua kuwa ni &#8220;vita vya wenyewe kwa wenyewe&#8221; vya nadra vya sokwe. Utafiti huo mpya, uliochapishwa kwenye jarida la Science, unaangazia uchunguzi wa takriban miongo mitatu kwenye tovuti ya utafiti wa sokwe wa Ngogo, ukiongozwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/17/uhasama-waikumba-jamii-adimu-ya-sokwe-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-uganda/" data-wpel-link="internal">Uhasama waikumba jamii adimu ya sokwe katika mbuga ya kitaifa ya Uganda</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Jamii ya sokwe katika Mbuga ya Kitaifa ya Kibale nchini Uganda iligawanyika katika makundi hasimu na kushambulia washirika wa zamani, katika kile watafiti wanakifafanua kuwa ni &#8220;vita vya wenyewe kwa wenyewe&#8221; vya nadra vya sokwe. Utafiti huo mpya, uliochapishwa kwenye jarida la Science, unaangazia uchunguzi wa takriban miongo mitatu kwenye tovuti ya utafiti wa sokwe wa Ngogo, ukiongozwa na mtaalamu wa wanyama Aaron A. Sandel wa Chuo Kikuu cha Texas huko Austin, nchini Marekani. Yeye na wenzake wanasema hili ni tukio la nadra linaloweza kutokea mara moja tu kila baada ya miaka 500. Limezingatiwa mara moja tu awali na wanadamu. Kabla ya mgawanyiko huo, jamii ya Ngogo ilikuwa kubwa isivyo kawaida, ikiwa na takriban sokwe 150 hadi 200 (Pan troglodytes), na kuifanya kuwa mojawapo ya makundi makubwa zaidi ya sokwe kuwahi kurekodiwa porini. Baada ya mpasuko huo, jamii iligawanyika katika makundi mawili, ambayo watafiti wameyaita makundi ya Kati na Magharibi, yaliyopewa jina la sehemu za misitu walimoishi. Kabla ya sokwe wa Ngogo kugawanywa katika makundi mawili, ilikuwa mojawapo ya makundi makubwa zaidi kuwahi kurekodiwa: kati ya wanyama 150 &#8211; 200. Picha na Aaron Sandel. Kati ya mwaka 2018 na mwaka 2024, kundi la sokwe wa Magharibi lilifanya mashambulizi 24 kwenye kundi la sokwe wa Kati, na kuua angalau wanaume wazima saba na watoto wachanga 17. Sandel aliiarifu Mongabay kuwa mzozo huo bado unaendelea na huenda ukawa na matokeo ya kudumu kwa idadi ya sokwe. &#8220;Kundi la sokwe wa Kati liko hatarini &#8211; wamekuwa na ongezeko kubwa la vifo,&#8221; Sandel alisema. &#8220;Swali kuu ni: Je,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/17/uhasama-waikumba-jamii-adimu-ya-sokwe-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-uganda/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/17/uhasama-waikumba-jamii-adimu-ya-sokwe-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-uganda/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/#respond</comments>
					<pubDate>07 Aprili 2026 13:39:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/15164710/Screenshot-2026-04-15-194412-768x504.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1359</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Huu ni mwisho wa sakata ambalo limevutia wapenzi wa mazingira na utalii nchini Kenya kwa miezi sita iliyopita. Mahakama ya Mazingira na Ardhi, ikifanya kikao chake mjini Narok, ilitupilia mbali ombi lililowasilishwa Agosti 2025 na Meitamei Olol Dapash, mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Wamasai, Utafiti na Uhifadhi. Mhifadhi huyo wa mazingira alikuwa akipinga ufunguzi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/" data-wpel-link="internal">Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Huu ni mwisho wa sakata ambalo limevutia wapenzi wa mazingira na utalii nchini Kenya kwa miezi sita iliyopita. Mahakama ya Mazingira na Ardhi, ikifanya kikao chake mjini Narok, ilitupilia mbali ombi lililowasilishwa Agosti 2025 na Meitamei Olol Dapash, mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Wamasai, Utafiti na Uhifadhi. Mhifadhi huyo wa mazingira alikuwa akipinga ufunguzi wa Ritz-Carlton, Masai Mara Safari Camp, inayoendeshwa na Lazizi Mara Ltd. “Mahakama inaona haina mamlaka ya kushughulikia suala hili kwa sababu kuna mifumo mbadala ya utatuzi wa migogoro ambayo haikutumiwa na mlalamikaji, hivyo kesi hii iliwasilishwa kabla ya muda wake, na mahakama imeondolewa mamlaka ya kuisikiliza. Bila mamlaka, mikono ya mahakama imefungwa,” uamuzi wa mahakama unasema. Uamuzi wa mahakama unaeleza kuwa mlalamikaji, kabla ya kufungua shauri, alipaswa kuwasilisha malalamiko chini ya Kifungu cha 117 cha Sheria ya Uhifadhi na Usimamizi wa Wanyamapori, ambacho kinataka njia zote za utatuzi, ikiwa ni pamoja na zile za kijamii, zitumike, na pia kukata rufaa chini ya Kifungu cha 129 cha Sheria ya Usimamizi na Uratibu wa Mazingira. Ili kupata taarifa zaidi, Mongabay iliwasiliana na mahakama ya Narok na mamlaka za kaunti, lakini hawakujibu ombi letu la kufanyiwa mahojiano. Kwa mtazamo wa wahifadhi wa mazingira kama Johnson Yiamat, uamuzi huo unatuma ujumbe usio sahihi. “Ninahisi kwamba matokeo ya kiutaratibu hayapaswi kufunika kiini cha hoja zilizowasilishwa,” alisema kupitia ujumbe aliotuma kwa Mongabay. Yiamat ni Mmasai na mwanzilishi wa Osotua Green Alliance, shirika linaloongozwa na jamii lililojikita katika masuala ya uhifadhi wa bioanuwai, hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na uwezeshaji wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>