<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=elimu-ya-mazingira&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Thu, 06 Aug 2026 18:12:10 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.2</generator>
				<item>
					<title>Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/#respond</comments>
					<pubDate>24 Julai 2026 16:13:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/24162115/Boulengerula-niedeni_John-Measey-1000x667-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2211</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Amfibia, Ardhi iliyoharibika, Biashara ya mbao, Bioanuai, Elimu, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kutoweka, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mbao, Miti, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Upandaji Miti, Urejesho wa Asili, na  Wanyama wasio na Mifupa ya Mgongo]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka tambarare za mji wa Voi, Mongabay ilizuru msitu huo wa Sagalla unaoweza kufikiwa kwa gari na pikipiki hadi sehemu fulani, na sehemu iliyosalia hufikiwa kwa miguu. Mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni. Picha na Patrick Malonza. Mongabay ilitaka kufahamu iwapo jamii inatambua spishi hii na faida zake kwa ikolojia, na ilifanikiwa kukutana na wanajiji wakiwa katika shughuli zao za kila siku shambani. “Mimi sikuwa nafahamu mnyama huyu. Nilikuwa namuona shambani kisha namkatakata kwa jembe au namgonga kwa mawe ili afe, kwa sababu anafanana na nyoka,” anasema Jemimah Mwaiga. Sasa Mwaiga anafahamisha Mongabay kuhusu umuhimu wa kiumbe huyo, na kufafanua jinsi walihusishwa katika kutafuta jina lake la kinyumbani, “kilima mrota”. “Tulijifunza kuwa kiumbe huyo husaidia katika ukulima na ubora wa mchanga kwa kuchanganya mchanga na virutubisho vilivyo mchangani na kuongeza rutuba ya asili ya mchanga,” Mwaiga anaelezea Mongabay. Mwanasayansi wa masuala ya mchanga na mazingira Kenneth Macharia wa shirika la Edge of Existence, anasema kiumbe huyu ni wa kipekee katika mlima wa Sagalla. Huishi katika mazingira yenye unyevunyevu, na mchanga wenye rutuba. Macharia anaongeza: “Jamii zinaweza kuimarisha kilimo pamoja na utunzaji wa mazingira kwa kutumia mbinu bora katika mchanga kama vile kupanda miti ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 11:10:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dan Yessa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/22105214/Screenshot-2026-07-22-135015-768x479.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2170</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Elimu ya Mazingira, Gesi, Haki za Kimazingira, Hifadhi, Huduma za Mazingira, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Maji, Maji ya kunywa, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Misitu, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati safi, Sera za Mazingira, Shida ya Maji, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi wa Maji, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, Uchimbaji wa Mafuta, Udanganyifu wa Mazingira, Uhalifu wa Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Umeme, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utalii wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa mstari wa mbele katika kupinga uchimbaji wa madini, mafuta, na gesi katika Bonde la Kongo. Kupitia kampeni na juhudi za kuielimisha jamii, wao na wenzao walifanikiwa kuzuia mipango ya utafutaji wa mafuta ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga. Kwa sasa, Mirindi anapambana dhidi ya uchimbaji katika maeneo mapya 30 ya mafuta yanayochukua asilimia 72 ya Ukanda wa Kijani wa Kongo, mradi muhimu zaidi wa uhifadhi nchini humo unaoenea katika sehemu kubwa ya Bonde la Kongo, eneo ambalo ni makazi ya maelfu ya wanyama na tegemeo muhimu kwa jamii nyingi nchini DRC. Mnamo mwezi Juni, Mirindi alizungumza na Mongabay kuhusu anachomaanisha kupinga uharibifu akiwa ndani ya nchi husika na kuleta mabadiliko katika ngazi ya kimataifa, huku akilinda makazi ya viumbe walio hatarini kutoweka kama vile sokwe wa milimani (Gorilla beringei beringei) na okapi au twiga wa msituni (Okapia johnstoni), ambao hupatikana katika eneo hilo pekee. Ziara ya kwanza ya Pascal Mirindi kwa mkurugenzi wa Hifadhi ya Taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, mwaka wa 2022. Picha kwa hisani ya Pascal Mirindi. Mahojiano haya yametafsiriwa kutoka Kifaransa na kuhaririwa ili kuzingatia urefu na uwazi. Mongabay: Pascal Mirindi ni nani? Pascal Mirindi: Mimi ni raia wa Kongo; nilizaliwa Goma mnamo mwaka wa 1999.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Taka hadi rasilimali: Jinsi lava wa nzi chuma wanavyopunguza tatizo la taka oza jijini Dar es Salaam</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/taka-hadi-rasilimali-jinsi-lava-wa-nzi-chuma-wanavyopunguza-tatizo-la-taka-oza-jijini-dar-es-salaam/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/taka-hadi-rasilimali-jinsi-lava-wa-nzi-chuma-wanavyopunguza-tatizo-la-taka-oza-jijini-dar-es-salaam/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2026 08:37:04 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dominic Allen]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/15210008/Taka1-1.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2103</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Majadiliano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Mashujaa wa Mazingira, Maudhui ya mazingira yanayoonyesha mabadiliko chanya, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Taka, na  Uchumi wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Katika moja ya eneo la uzalishaji wa lava wa nzi chuma (Black Soldier Fly Larvae) Jijini Dar es Salaam, yanaonekana matenga yaliyopangwa kwa safu, maelfu ya lava wenye rangi ya kijivu wakijongea juu ya mabaki ya chakula yaliyooza. Ingawa wadudu hawa wanaonekana kama funza wa kawaida, lava wa nzi chuma [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/taka-hadi-rasilimali-jinsi-lava-wa-nzi-chuma-wanavyopunguza-tatizo-la-taka-oza-jijini-dar-es-salaam/" data-wpel-link="internal">Taka hadi rasilimali: Jinsi lava wa nzi chuma wanavyopunguza tatizo la taka oza jijini Dar es Salaam</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Katika moja ya eneo la uzalishaji wa lava wa nzi chuma (Black Soldier Fly Larvae) Jijini Dar es Salaam, yanaonekana matenga yaliyopangwa kwa safu, maelfu ya lava wenye rangi ya kijivu wakijongea juu ya mabaki ya chakula yaliyooza. Ingawa wadudu hawa wanaonekana kama funza wa kawaida, lava wa nzi chuma wameanza kuchukuliwa kama sehemu ya suluhisho la tatizo linalozidi kukua la udhibiti wa taka oza katika maeneo ya miji mikubwa kama Dar es Salaam. Kadri miji inavyoendelea kupanuka, ndivyo changamoto ya usimamizi wa taka inavyozidi kuwa kubwa. Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi nchini Tanzania na moja ya miji inayokua kwa kasi zaidi Afrika Mashariki, ni mfano halisi wa changamoto hiyo, ambapo kwa mujibu wa ripoti ya Dar es Salaam Urban Resilience Programme (DURP) ya mwaka 2024, jiji hilo huzalisha takribani tani 5,300 za taka ngumu kila siku. Lori likimwaga taka oza maeneo ya kiwanda cha Mabwepande kwa ajili ya kuchakata taka hizo na kuwalisha lava wa nzi chuma pamoja na kutengeneza mbolea. Picha kwa hisani ya Kiwanda cha Mabwepande. Asilimia 72 ya taka hizo, sawa na takribani tani 3,800 huishia katika madampo au maeneo yasiyo rasmi ya kutupia taka. Matokeo yake imekuwa kuongezeka kwa harufu mbaya, kuzaliana kwa wadudu, kuziba kwa mifereji ya maji na uzalishaji wa gesi chafu zinazochangia mabadiliko ya tabianchi. Lakini wakati mamlaka za mijini zikihangaika kutafuta njia za kukabiliana na tatizo hilo, teknolojia inayotumia lava wa nzi chuma inaanza kuonyesha uwezekano wa kubadili taka oza kuwa rasilimali. Kutoka taka za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/taka-hadi-rasilimali-jinsi-lava-wa-nzi-chuma-wanavyopunguza-tatizo-la-taka-oza-jijini-dar-es-salaam/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/16/taka-hadi-rasilimali-jinsi-lava-wa-nzi-chuma-wanavyopunguza-tatizo-la-taka-oza-jijini-dar-es-salaam/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Elimu asili yapewa nafasi muhimu katika juhudi za kimataifa za kulinda bahari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/25/elimu-asili-yapewa-nafasi-muhimu-katika-juhudi-za-kimataifa-za-kulinda-bahari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/25/elimu-asili-yapewa-nafasi-muhimu-katika-juhudi-za-kimataifa-za-kulinda-bahari/#respond</comments>
					<pubDate>25 Juni 2026 23:31:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/25230559/Our-Ocean-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1930</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, Afrika ya Ikweta, Afrika ya Kati, Kenya, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai wa Baharini, Dawa ya Asili, Elimu, Elimu ya Mazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kasa wa baharini, Maji, Maliasili, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mifumo ya Ikolojia ya Maji Baridi, Mikoko, Misitu ya Asili, Ongezeko la Joto Baharini, Samaki wa Maji Chumvi, Suluhisho za Asili, Tamaduni za Kiasili, Uchafuzi wa Maji, Uhifadhi wa Baharini, Urejesho wa Asili, Uvuvi, na  Uvuvi wa Kupita Kiasi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Jimmy Muranga kutoka Sokoke, kaunti ya Kilifi, Pwani ya Kenya, anakumbuka vizuri enzi za utoto wake, alipokuwa akikaa na babu yake na kuelezwa hadithi na kupewa mafunzo kuhusu utunzaji wa mazingira. Wazee walimueleza jinsi maeneo mbalimbali ya bahari, mikoko na misitu ya pwani ilivyo na umuhimu mkubwa kwa maisha ya binadamu. Kupitia simulizi hizo, Muranga alijifunza kuwa mazingira [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/25/elimu-asili-yapewa-nafasi-muhimu-katika-juhudi-za-kimataifa-za-kulinda-bahari/" data-wpel-link="internal">Elimu asili yapewa nafasi muhimu katika juhudi za kimataifa za kulinda bahari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Jimmy Muranga kutoka Sokoke, kaunti ya Kilifi, Pwani ya Kenya, anakumbuka vizuri enzi za utoto wake, alipokuwa akikaa na babu yake na kuelezwa hadithi na kupewa mafunzo kuhusu utunzaji wa mazingira. Wazee walimueleza jinsi maeneo mbalimbali ya bahari, mikoko na misitu ya pwani ilivyo na umuhimu mkubwa kwa maisha ya binadamu. Kupitia simulizi hizo, Muranga alijifunza kuwa mazingira si rasilimali za kutumia tu, bali ni urithi wa kulindwa kwa ajili ya vizazi vijavyo. Nchini Kenya, ukanda wa pwani wenye urefu wa takriban kilomita 640 ni kitovu cha uchumi wa buluu unaojumuisha uvuvi, utalii, usafiri wa baharini na biashara nyingine zinazotegemea bahari. Karibu watu milioni nne wanaishi katika eneo la pwani, huku maelfu ya wavuvi na makumi ya maelfu ya kaya wakitegemea rasilimali za bahari kwa riziki zao. Hali hiyo inaifanya uhifadhi wa bahari kuwa muhimu si tu kwa mazingira bali pia kwa ustawi wa uchumi wa taifa. Muranga, ambaye sasa ni mvuvi na pia mwenyekiti wa kikundi cha kijamii cha kulinda misitu cha Sokoke, ana jukumu la kuhakikisha kuwa anapitisha elimu hiyo kwa jamii, hasa kwa vizazi vichanga, ili ihifadhiwe kwa vizazi vijavyo. Mwonekano wa sehemu ya Bahari ya Hindi jijini Mombasa, huku mikoko ikionekana upande wa kushoto. Picha na Malavika Vyawahare, Mongabay. Mikoko ni misitu ya kipekee inayostawi katika maeneo ya maji ya chumvi kwenye fukwe za bahari za kanda za kitropiki. Misitu hii huunganisha nchi kavu na bahari, ikifanya kazi muhimu katika kulinda mazingira na ustawi wa jamii za pwani. “Zamani tulikuwa tukikalishwa na mababu zetu tukisimuliwa hadithi na kanuni za kijamii ambazo zilikuwa zinalinda&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/25/elimu-asili-yapewa-nafasi-muhimu-katika-juhudi-za-kimataifa-za-kulinda-bahari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/25/elimu-asili-yapewa-nafasi-muhimu-katika-juhudi-za-kimataifa-za-kulinda-bahari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka uwanjani hadi jukwaa la tabianchi: Kijana wa miaka 13 aongoza vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>23 Juni 2026 18:00:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/23172254/Baraka-havin-fun-at-home.-Photo-courtesy-of-Lorein-Moruri.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1905</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Elimu ya Mazingira, Haki ya Tabianchi, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uandishi wa Habari za Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Ukataji Miti, na  Upandaji Miti]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ni saa moja asubuhi. Mbwa wawili aina ya Chihuahua wanaonekana kuwa waangalifu kwa uwepo wa mgeni kwenye lango la nyumba ya familia ya Moruri Baraka. Dakika chache baadaye, Baraka anashuka ngazi akiwa ameshika kichanuo mkononi na kujiandaa kwa mahojiano. Dada yake mdogo, ambaye bado hajatimiza miaka sita, anajiunga naye na mara kwa mara hujitosa kujibu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Kutoka uwanjani hadi jukwaa la tabianchi: Kijana wa miaka 13 aongoza vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ni saa moja asubuhi. Mbwa wawili aina ya Chihuahua wanaonekana kuwa waangalifu kwa uwepo wa mgeni kwenye lango la nyumba ya familia ya Moruri Baraka. Dakika chache baadaye, Baraka anashuka ngazi akiwa ameshika kichanuo mkononi na kujiandaa kwa mahojiano. Dada yake mdogo, ambaye bado hajatimiza miaka sita, anajiunga naye na mara kwa mara hujitosa kujibu baadhi ya maswali. Msichana huyo ni mmoja wa mashabiki wake wa karibu. Baraka, mwenye umri wa miaka 13, ameibuka kuwa mmoja wa watetezi vijana wa mazingira wanaotikisa mawimbi nchini Kenya. Baraka alianza kuwa na mapenzi na masuala ya mazingira tangu alipokuwa na umri wa miaka sita. Kufikia Machi 2026, tayari alikuwa amepanda zaidi ya miti 7,600 kwa msaada wa familia na marafiki zake. “Lengo langu halina kikomo. Nataka kupanda zaidi ya miti milioni moja kabla sijafikisha umri wa miaka 18,” anasema. Mafanikio yake makubwa yamekuwa uzinduzi wa kitabu kiitwacho Go Green With Baraka, kinachosimulia shughuli zake za kuhifadhi mazingira kwa msaada wa familia yake. Kitabu hicho kimeandikwa kwa herufi kubwa na lugha rahisi ambayo mtoto anaweza kuielewa na kuhamasika kuitikia wito uliomo ndani yake. Baraka anatumaini kuwa kitabu hicho kitaingizwa katika mtaala wa elimu wa Kenya lakini pia kitapatikana katika maduka mengi zaidi ya vitabu pamoja na majukwaa ya mtandaoni kama Amazon. Baraka anasoma kitabu kiitwacho &#8216;Go Green With Baraka&#8217; anapocheza na dadake mdogo nyumbani kwao Nairobi. Picha kwa hisani ya Lawrine Moruri. Babake Baraka Arnold Warinda (kushoto), mama Lawrine Moruri na rafikiye wakati wa uzinduzi wa kitabu cha &#8216;Go Green With Baraka&#8217; jijini Nairobi mnamo Januari&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Miaka kadhaa ya kujenga imani yao: Mazoea ya sokwe watu katika Mbuga ya Kitaifa ya Salonga, DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/#respond</comments>
					<pubDate>19 Juni 2026 16:08:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/19153844/Screenshot-2026-06-19-182917-768x445.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1891</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Bioanuai, Bioanuai ya Misitu ya Mvua, Bustani za wanyama, Chakula, Cites, Elimu, Elimu ya Mazingira, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Huduma ya Mifumo ya Ikolojia, Huduma za Mazingira, Idadi ya watu, Ikolojia, Jamii Asili, Jamii ya Nyani Wakubwa, Jamii za Misitu ya Mvua, Kijani, Makazi, na  Mamalia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>HIFADHI YA KITAIFA YA SALONGA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kabla ya jua kuchomoza, huku sehemu kubwa ya msitu wa mvua ukiwa umefunikwa na kiza, kundi la watafiti na wafuatiliaji laondoka katika kambi ya utafiti ya Inkomu. Marudio yao ni eneo la viota ambako kundi la bonobo lililala usiku uliopita, ndani kabisa ya msitu wa Salonga, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/" data-wpel-link="internal">Miaka kadhaa ya kujenga imani yao: Mazoea ya sokwe watu katika Mbuga ya Kitaifa ya Salonga, DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[HIFADHI YA KITAIFA YA SALONGA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Kabla ya jua kuchomoza, huku sehemu kubwa ya msitu wa mvua ukiwa umefunikwa na kiza, kundi la watafiti na wafuatiliaji laondoka katika kambi ya utafiti ya Inkomu. Marudio yao ni eneo la viota ambako kundi la bonobo lililala usiku uliopita, ndani kabisa ya msitu wa Salonga, ulio katikati mwa DRC. Dhamira yao ni kuwashawishi bonobo (Pan paniscus) kukubali uwepo wa binadamu kama sehemu ya asili ya mazingira yao. Kwa kupata uaminifu wa wanyama, watafiti wanatumai kuunda fursa za kuelewa vyema tabia, ikolojia na afya zao. Mchakato huu wenye bidii wa kuwazoesha bonobo uwepo wa binadamu unahusisha kutumia wakati karibu na nyani siku baada ya siku hadi watakapozoea watu hatua kwa hatua. Ni kazi ya polepole na inayohitaji juhudi kubwa ambayo inaweza kuchukua miaka, inayohitaji uvumilivu, uthabiti na maelfu ya masaa msituni. Muda mrefu kabla ya mapambazuko, mara nyingi karibu saa 3 alfajiri, wafuatiliaji, baadhi yao wakiwa wawindaji haramu wa zamani, ambao ujuzi wao kuhusu msitu umekuwa rasilimali muhimu ya uhifadhi, wanaanza kuelekea kwenye eneo la viota usiku uliopita. Ni lazima wafike kabla kundi hilo la bonobo halijaamka. Kisha huanza harakati za kutwa nzima kupitia moja ya misitu ya mvua iliyo mbali zaidi Duniani, kufuatia nyani kutoka alfajiri hadi wajenge viota vipya kwa ajili ya usiku. &#8220;Wazo zima la kuwazoesha bonobo uwepo wa binadamu ni kukutana nao kila siku kwa njia ya kirafiki sana, isiyo ya mwingiliano ili wakukubali kama sehemu ya msitu,&#8221; anasema Felix Bofeko, mtafiti msaidizi anayefanya kazi na programu ya mazoea ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/19/miaka-kadhaa-ya-kujenga-imani-yao-mazoea-ya-sokwe-watu-katika-mbuga-ya-kitaifa-ya-salonga-drc/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/#respond</comments>
					<pubDate>18 Juni 2026 19:09:16 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Solomon Yimer]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/18185147/Screenshot-2026-06-18-215028-768x445.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1883</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Ethiopia]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyama Wanyama, Biashara ya Wanyamapori, Bustani za wanyama, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Matumizi ya Wanyamapori, Mazingira, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Nyani, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Tabia za Wanyama, Teknolojia ya Uhifadhi Mazingira ya Porini, Tembo, Ufugaji wa Uhifadhi, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Ndani, Uhifadhi wa Wanyamapori, Ukanda wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Uongozi wa Uhifadhi, Ustawi wa Wanyama, Utawala, Wanyama, Wanyama maarufu, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature unaonyesha kuwa maeneo ya hifadhi ya Ethiopia yalipunguza kasi ya ukataji miti na upanuzi wa kilimo, huku yakisaidia kudumisha nyanda za malisho. Lakini utafiti pia unapendekeza kuwa faida zile zile za uhifadhi zinaweza pia kuhusishwa na kupungua kwa usalama wa chakula na ustawi kwa jamii zilizo karibu, huku ukisisitiza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Utafiti mpya wadokeza maeneo yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia yanaweza kuathiri ustawi wa jamii za wenyeji</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Utafiti mpya uliochapishwa katika jarida la Nature unaonyesha kuwa maeneo ya hifadhi ya Ethiopia yalipunguza kasi ya ukataji miti na upanuzi wa kilimo, huku yakisaidia kudumisha nyanda za malisho. Lakini utafiti pia unapendekeza kuwa faida zile zile za uhifadhi zinaweza pia kuhusishwa na kupungua kwa usalama wa chakula na ustawi kwa jamii zilizo karibu, huku ukisisitiza baadhi ya tahadhari katika matokeo yao. Utafiti huo, uliofanywa kwa ushirikiano kati ya watafiti nchini Ethiopia na Uingereza, na Mamlaka ya Uhifadhi wa Wanyamapori ya Ethiopia, ulitathmini matokeo ya kimazingira na kijamii katika maeneo 25 yaliyohifadhiwa nchini Ethiopia katika kipindi cha mwaka wa 2000-2020. Walipima kiwango cha misitu, upanuzi wa kilimo, nyanda za malisho, usalama wa chakula, utofauti wa lishe na ustawi wa nyenzo. Ingawa maeneo yaliyohifadhiwa yalikuwa na ufanisi mkubwa katika kupunguza uharibifu wa mazingira licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa ukuaji wa idadi ya watu, upanuzi wa kilimo, na mahitaji ya ardhi, watafiti waligundua mchangamano wa maslahi (trade-offs) kati ya matokeo ya mazingira na kijamii katika tathmini zao. Maeneo 12 yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo mazuri ya kimazingira kwa gharama ya ustawi wa jamii. Wakati huo huo, maeneo matano kati ya maeneo yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo ya &#8220;faida kwa wote&#8221; kwa uhifadhi wa bioanuwai na ustawi wa jamii na maeneo matatu yaliyohifadhiwa yalikuwa na matokeo ya &#8220;hasara kwa wote&#8221;. &#8220;Ethiopia ina utajiri wa viumbe hai, lakini pia inakabiliwa na changamoto kubwa kuhusu umaskini, usalama wa chakula na mahitaji ya ardhi,&#8221; alisema Sophie Jago, mwandishi mkuu wa utafiti na msaidizi wa utafiti katika Bustani za Kifalme za Mimea za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/18/utafiti-mpya-wadokeza-maeneo-yaliyohifadhiwa-nchini-ethiopia-yanaweza-kuathiri-ustawi-wa-jamii-za-wenyeji/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/#respond</comments>
					<pubDate>05 Juni 2026 15:09:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Hellen Nachilongo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/05125337/Baadhi-ya-wavuvi-katika-eneo-la-Kigambani-wakipakia-chakula-yakiwemo-mafuta-ya-kula-na-mahindi-tayari-kwenda-Mafia-kuvua-samaki.-Picha-na-Hellen-Nachilongo.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1784</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Maudhui ya mazingira yanayoonyesha mabadiliko chanya, Mazingira, Maziwa, Sera za Mazingira, na  Sheria ya Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Mazingira Duniani tarehe 5 Juni mwaka huu kwa msisitizo wa kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hiyo huku ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kulinda Bahari ya Hindi inayozidi kuathiriwa na uchafuzi wa mazingira, hasa ongezeko la taka za plastiki, uvuvi usio [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Mazingira Duniani tarehe 5 Juni mwaka huu kwa msisitizo wa kuchukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, Tanzania inaungana na mataifa mengine kuadhimisha siku hiyo huku ikikabiliwa na changamoto kubwa ya kulinda Bahari ya Hindi inayozidi kuathiriwa na uchafuzi wa mazingira, hasa ongezeko la taka za plastiki, uvuvi usio endelevu pamoja na uharibifu wa mifumo ya ikolojia ya pwani. Hali ikoje? Remy Lema, Meneja wa Kiufundi wa mradi wa ‘Pamoja Tuhifadhi Bahari Yetu’ kutoka International Union for Conservation of Nature (IUCN), anasema sehemu kubwa ya uchafuzi wa bahari inatokana na taka ngumu. Anasema kuwa kwa sasa zaidi ya asilimia 80 ya uchafuzi unaopatikana baharini unatokana na taka ngumu, huku asilimia 10 hadi 12 ikihusishwa na vimiminika mbalimbali, yakiwemo mafuta, kemikali na taka nyingine za majimaji zinazomwagika kwenye mazingira ya bahari. “Bila hatua za haraka za kulinda bahari, Tanzania inaweza kupoteza moja ya rasilimali zake muhimu zaidi za kiikolojia na kiuchumi katika miaka ijayo,” anasema Lema. Uchafuzi wa bahari umegeuka kilio kwa wavuvi. Salum Khamis, anayefanyia kazi zake za uvuvi katika maeneo ya Kunduchi amelalamikia kuongezeka kwa uchafuzi wa bahari, akisema hali hiyo imeanza kuathiri shughuli zao za kila siku na kupunguza kipato kinachotegemea uvuvi. “Kwa sasa plastiki nyingi zinaelea baharini na nyingine huzama. Samaki wanakufa au kuhama maeneo haya…hii inaathiri sana kiasi cha samaki kinachopatikana,” anasema. Mvuvi mwingine kutoka eneo la Feri, Juma Said, anasema mara nyingi nyavu zao hunasa takataka badala ya samaki, jambo linalowaongezea gharama za matengenezo ya vifaa. “Zamani tulikuwa tukipata&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/05/tanzania-yaadhimisha-siku-ya-mazingira-duniani-huku-uchafuzi-wa-bahari-ya-hindi-ukizidi-kuongezeka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Biashara ya chupa za plastiki yaleta mageuzi katika juhudi za uhifadhi wa mazingira mijini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/biashara-ya-chupa-za-plastiki-yaleta-mageuzi-katika-juhudi-za-uhifadhi-wa-mazingira-mijini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/biashara-ya-chupa-za-plastiki-yaleta-mageuzi-katika-juhudi-za-uhifadhi-wa-mazingira-mijini/#respond</comments>
					<pubDate>03 Juni 2026 12:56:36 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Penzi Nyamungumi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/03130042/Screenshot-2026-06-03-160011.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1754</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Chembechembe ndogo za plastiki, Elimu ya Mazingira, Mazingira, Plastiki, Sheria ya Mazingira, na  Uchafuzi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Kushamiri kwa biashara ya uokotaji wa taka hasa chupa za plastiki katika maeneo ya mijini, huenda kuleta mageuzi katika kushughulikia changamoto za mazingira katika miji mikubwa likiwemo la Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, chupa za plastiki zimekuwa zikitajwa kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira mijini. Zile ambazo hutupwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/biashara-ya-chupa-za-plastiki-yaleta-mageuzi-katika-juhudi-za-uhifadhi-wa-mazingira-mijini/" data-wpel-link="internal">Biashara ya chupa za plastiki yaleta mageuzi katika juhudi za uhifadhi wa mazingira mijini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DAR ES SALAAM, Tanzania &#8211; Kushamiri kwa biashara ya uokotaji wa taka hasa chupa za plastiki katika maeneo ya mijini, huenda kuleta mageuzi katika kushughulikia changamoto za mazingira katika miji mikubwa likiwemo la Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, chupa za plastiki zimekuwa zikitajwa kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira mijini. Zile ambazo hutupwa kwenye mifereji zimekuwa zikiziba njia za maji na kuchangia mafuriko. Aidha, chupa zinapochomwa, moshi wake husababisha maradhi na pia kuathiri mazingira kutokana na asili yake ya kuchelewa kuoza. Hata hivyo, kuibuka na kukua kwa biashara ya chupa za plastiki zilizotumika, ambayo mara nyingi hufanywa na akinamama na vijana, kunaendelea kubadilisha historia. Hivi sasa badala ya kushuhudia barabara zenye mifereji iliyojaa chupa tupu, kinachoonekana ni akinamama na vijana waliobeba viroba vikubwa vyenye chupa hizo. Wakusanyaji wadogo huuza chupa hizo kwa wakusanyaji wakubwa au kwa kampuni zinazojishughulisha na ukusanyaji na urejelezaji wa chupa hizo baada ya matumizi. Taimuru Hamad, Meneja Uzingatiaji Sheria kutoka Baraza la Taifa la Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), anakiri kwamba biashara hiyo imeleta faida kubwa katika ustawi na ulinzi wa mazingira. Chupa za plastiki zilizokusanywa kutoka maeneo mbalimbali Jijini Dar es Salaam zikiwa zimefungwa kwenye mifuko mikubwa kwa ajili ya kupelekwa kwa wanunuzi. Picha na Joyce Bazira. “Kuokotwa kwa hizi chupa kunasaidia sana. Kwanza, kunasaidia katika suala zima la ustawi wa mazingira, lakini pia kwenye suala la usafi. Kama zingekuwa haziokotwi, mazingira yangeendelea kuathirika sana na pia yangekuwa machafu sana,” alisema Taimuru katika mahojiano na Mongabay. Chupa za rangi Pamoja na kazi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/biashara-ya-chupa-za-plastiki-yaleta-mageuzi-katika-juhudi-za-uhifadhi-wa-mazingira-mijini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/03/biashara-ya-chupa-za-plastiki-yaleta-mageuzi-katika-juhudi-za-uhifadhi-wa-mazingira-mijini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>25 Mei 2026 14:00:30 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/25123328/Black-Mamba-Snake-2-Courtesy-Inncocent-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1687</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Nyoka, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Wanyamapori, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Katika ikolojia tete, mwanamme mmoja aendeleza juhudi za kuleta mshikamano kati ya binadamu na nyoka</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kama wanajamii wengine katika vijiji vya milima ya Taita, John Maghanga, maarufu kama John wa Nyoka, aliwaogopa nyoka akiamini kuwa wanapaswa kuuawa pindi wanapoonekana. Mwaka 2019, akiwa katika ziara zake msituni katika milima ya Taita, Maghanga alimgusa nyoka kwa mikono yake kimakosa. Alijawa na hofu akijiuliza: “Kama angeniuma ingekuwaje?” Kabla ya nyoka huyo kuteleza na kupotelea mitini, Maghanga alichukua simu na kupiga picha yake, aliyochapisha kwenye Facebook. Lengo lake lilikuwa kufahamu mengi kuhusu nyoka huyo. Alistaajabu kugundua kuwa nyoka huyo alikuwa mwenye sumu kali. Mongabay ilimtembelea Maghanga na kumpata akiwa ametoka kuhamasisha wanajamii kuhusu nyoka na jinsi ya kuishi nao kwa amani. Alielezea jinsi tukio hilo lilibadili mienendo yake: “Baada ya tukio hilo, uoga wangu kwa nyoka ulianza kufifia, na polepole nikataka kufahamu zaidi kuwahusu. Sasa mimi ni mshauri na mtaalamu wa kukamata nyoka na kuwahamisha sehemu salama.” John Maghanga akimtoa nyoka aliyekuwa ameingia kwa nyumba ya mkaazi wa Taita Taveta. Picha na Linah Mwamachi. Katika vijiji vilivyo milimani na tambarare zinazopakana na mbuga za wanyama za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, kusini mashariki mwa Kenya, wengi wamepoteza maisha kwa kukosa huduma muhimu kwa upesi na wengine kuachwa na makovu ya ulemavu. Migogoro kati ya binadamu na nyoka mara nyingi hutokea katika msimu wa mvua, wanyama hao wanapotoroka hifadhi zao na kutangamana na binadamu. Katika maeneo yaliyopakana na mbuga za wanyamapori za Tsavo Mashariki na Tsavo Magharibi, binadamu pia huwaua nyoka kiholela, kutokana na uoga wa kuumwa, japo si nyoka wote ni hatari. Kupitia shirika la Snake Community Action Now (SCAN) Maghanga sasa anahamasisha umma jinsi ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/25/katika-ikolojia-tete-mwanamme-mmoja-aendeleza-juhudi-za-kuleta-mshikamano-kati-ya-binadamu-na-nyoka-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>21 Mei 2026 16:53:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/21160452/2-Iringa-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1680</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mimea, Misitu, Miti, Upandaji Miti, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka 2024 pekee, ikipoteza hekta 271,000. Sababu zinazotajwa kuchangia upotevu huo ni pamoja na shughuli za binadamu zinazochochewa na hitaji la kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, kupanuka kwa miji na ukataji wa miti kwa ajili ya kujengea nyumba. Chanzo kikuu ni utegemezi mkubwa wa nishati itokayo na miti ambapo zaidi ya asilimia 85 ya kaya nchini Tanzania hutegemea mkaa na kuni kwa ajili ya kupikia. Dk Elikana John, Meneja wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), anasema ili kuingilia kati uharibifu huo, TFS ikishirikiana na taasisi na wadau wa mazingira nchini, imekuwa ikitoa miche ya matunda na ya vivuli ili kutekeleza miradi ya kupanda miti sehemu mbalimbali ikiwemo mashuleni, hospitalini na majumbani. Mwanafunzi Charles Godfrey wa Shule ya Msingi Makweli, Kata ya Vugiri, Halmashauri ya Korogwe akipanda miti katika eneo la shule ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Eco-Schools. Picha na Jenifer Gilla. Katika mikoa ya Morogoro, Iringa na Tanga, baadhi ya shule za msingi na sekondari zimeanzisha utaratibu wa kurejesha miti iliyotoweka kupitia programu ya Eco-Schools ambapo wanafunzi ni washiriki wakuu katika uhifadhi wa mazingira. Programu hiyo inafadhiliwa na Shirika la uhifadhi wa misitu la Tanzania Forest Conservation Group (TFCG).&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mei 2026 12:50:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/20124420/Waziri-Shemdoe-1-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1650</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Ikolojia, Maji, Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Taka, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Serikali ya Tanzania imeandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Taka (2025-2030) ambao unalenga kupunguza uzalishaji wa taka kwa kutumia dhana ya uchumi wa mzunguko ili kutunza mazingira, kuimarisha afya ya jamii na kukuza maendeleo endelevu ya miji. Mkakati huo umekuja kipindi ambacho uzalishaji wa taka ngumu unazidi kuongezeka nchini huku usimamizi wake ukiwa wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/" data-wpel-link="internal">Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Serikali ya Tanzania imeandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Taka (2025-2030) ambao unalenga kupunguza uzalishaji wa taka kwa kutumia dhana ya uchumi wa mzunguko ili kutunza mazingira, kuimarisha afya ya jamii na kukuza maendeleo endelevu ya miji. Mkakati huo umekuja kipindi ambacho uzalishaji wa taka ngumu unazidi kuongezeka nchini huku usimamizi wake ukiwa wa kiwango cha chini. Kwa mujibu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Tanzania huzalisha kati ya tani milioni 14.4 hadi milioni 20.7 za taka ngumu kila mwaka. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe, jijini Dodoma katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira mijini. Mkutano huo uliwakutanisha viongozi waandamizi wa serikali, washirika wa maendeleo, na wataalamu wa mazingira kwa lengo la kutathmini maendeleo yaliyofikiwa na kuweka mikakati ya kuboresha mifumo ya usimamizi wa taka. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Profesa Riziki Shemdoe na wadau wa usimamizi wa taka wakifuatilia mijadala katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira katika Jiji la Dodoma. Picha: Maktaba ya Wizara. Taka na fursa za kiuchumi Waziri Riziki alisema kuwa usimamizi wa taka unapaswa kuingizwa katika mikakati mipana ya uwezeshaji wa kiuchumi kwa kuwa taka zinapaswa kuonekana kama rasilimali ya kiuchumi inayoweza kuzalisha ajira na kipato ikiwa zitasimamiwa ipasavyo. Aliziagiza mamlaka za serikali za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na Norway katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/tanzania-yaahidi-kuendeleza-ushirikiano-na-norway-katika-kukabiliana-na-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/tanzania-yaahidi-kuendeleza-ushirikiano-na-norway-katika-kukabiliana-na-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>17 Mei 2026 21:04:46 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/17210626/Screenshot-2026-05-18-000557.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1643</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, na  Maendeleo Endelevu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na nchi ya Norway katika kuendeleza hatua za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, uhamishaji wa teknolojia, uwekezaji wa kijani pamoja na ulinzi wa mazingira. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Hamad Yussuf Masauni wakati akizungumza kwenye [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/tanzania-yaahidi-kuendeleza-ushirikiano-na-norway-katika-kukabiliana-na-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na Norway katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na nchi ya Norway katika kuendeleza hatua za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, uhamishaji wa teknolojia, uwekezaji wa kijani pamoja na ulinzi wa mazingira. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Hamad Yussuf Masauni wakati akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Katiba ya Norway yaliyofanyika jijini Dar es Salaam Mei 15, 2026. Alisema Serikali ya Tanzania inaipongeza Norway kwa kuendelea kuwa kinara duniani katika ufadhili wa masuala ya tabianchi na maendeleo endelevu. Akimkaribisha mgeni rasmi, Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, alisema maneno machache kuhusu umuhimu wa siku hiyo pamoja na urafiki na mshikamano kati ya nchi hizo mbili. Uwekezaji zaidi Masauni alisema kuwa wakati Tanzania ikiendelea kutekeleza dira yake ya maendeleo ya 2050 na kuendeleza ukuaji wa kijani pamoja na ustawi shirikishi, inakaribisha kwa moyo mkunjufu ushirikiano zaidi, uwekezaji zaidi, na kuimarishwa kwa mahusiano kati ya mataifa hayo mawili. Masuala ya uhifadhi wa mazingira na ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi ni miongoni mwa vipaumbele katika Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, iliyozinduliwa Julai 2025 na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. “Kwa zaidi ya miongo sita, nchi zetu zimejenga urafiki uliotokana na kuaminiana, ukaimarishwa na mshikamano, na kuendelea kudumishwa na maadili ya pamoja. Ni urafiki ambao umeendelea kudumu licha ya mabadiliko ya siasa za kimataifa na mageuzi katika uchumi wa dunia,” alisema waziri huyo. Aliongeza kuwa Tanzania inathamini kwa dhati ushirikiano endelevu wa Norway katika maeneo kama ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi, nishati jadidifu, kilimo endelevu, elimu, na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/tanzania-yaahidi-kuendeleza-ushirikiano-na-norway-katika-kukabiliana-na-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/tanzania-yaahidi-kuendeleza-ushirikiano-na-norway-katika-kukabiliana-na-athari-za-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/#respond</comments>
					<pubDate>15 Mei 2026 10:00:23 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anne Ngugi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/13194410/IMG-20260513-WA0002-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1602</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Mazingira, Migogoro, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika nyanda za Olemoncho, ndani ya upeo mpana wa Maasai Mara, maisha huanza mapema. Kwa wengi, maisha hayo huanza ardhini. Kuna mdundo wa kipekee ndani ya nyika za Olemoncho; mdundo wa kengele za ng’ombe na nyayo zinazochora njia kwenye udongo mnyevunyevu baada ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kwa muda mrefu, anga la Maasai Mara lilitawaliwa na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/" data-wpel-link="internal">Kutoka kuchunga ng’ombe hadi usukani wa helikopta: Safari ya kijana anayelinda tembo na jamii Maasai Mara</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika nyanda za Olemoncho, ndani ya upeo mpana wa Maasai Mara, maisha huanza mapema. Kwa wengi, maisha hayo huanza ardhini. Kuna mdundo wa kipekee ndani ya nyika za Olemoncho; mdundo wa kengele za ng’ombe na nyayo zinazochora njia kwenye udongo mnyevunyevu baada ya mvua zinazoendelea kunyesha. Kwa muda mrefu, anga la Maasai Mara lilitawaliwa na tai na ndege kubwa za kitalii, lakini leo, kuna mlio mpya wa helikopta unaoashiria mabadiliko ya zama. Hapa ndipo ilipoanzia safari ya Wilson Sairowua &#8216;Tate&#8217;; kijana ambaye mikono yake, iliyozoea kushika fimbo ya uchungaji huku akitembea miguu peku katika mfumo huu wa ekolojia, sasa imeshika usukani wa teknolojia ya kisasa. Wilson si rubani tu, ni daraja la amani linalotumia mbingu kulinda urithi wa ardhi ambapo hatima ya binadamu na tembo zimeunganishwa. Rubani Wilson Sairowua akiwa pamoja na askari wa MEP katika makao makuu ya MEP kwenye eneo la hifadhi la Lemek wakati wa mafunzo ya matumizi ya droni. Picha kwa hisani ya MEP. Kabla hajavaa jaketi la rubani lenye nembo ya shirika la Mara Elephant Project (MEP), au kushika usukani wa helikopta, Wilson alikuwa kijana wa kawaida wa Kimaasai, mchungaji mdogo, mara nyingi akitembea miguu peku, akifuatilia mifugo chini ya jua kali la mchana. Alijua kila mti na kila njia ya siri ya maji, na alikuwa hodari wa kutafsiri nyayo za wanyamapori. Vazi lake lilikuwa shuka na kaptula. Suruali ya kwanza aliivaa akiwa na umri wa miaka 14, alipoingia shule ya upili. “Tulikuwa tunatembea umbali mrefu sana kwenda shule. Wengine wetu hata hatukuwa na viatu. Nikiwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/15/kutoka-kuchunga-ngombe-hadi-angani-safari-ya-rubani-wa-kimasai-anayeunganisha-binadamu-na-tembo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanafunzi wawili kutoka Kenya washinda tuzo ya Earth Prize kwa kubuni kichujio nafuu cha moshi wa magari</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/#respond</comments>
					<pubDate>12 Mei 2026 04:00:21 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Malavika VyawahareMary Mwendwa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11220722/671089-DSC_0303-5f9eed-original-1777544684-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1589</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Ubunifu wa Kijani, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya: Wanafunzi wawili wenye umri wa miaka 17 kutoka kaunti ya Kiambu nchini Kenya, walitangazwa washindi wa Earth Prize kwa kanda ya Afrika mnamo Mei 12, kwa kubuni mfumo wa gharama nafuu wa kuchuja moshi wa magari unaotumia viguguta vya mahindi na maganda ya nazi wa magari walioubuni. Fredrick Njoroge Kariuki na Miron Onsarigo, wanafunzi wa taasisi ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/" data-wpel-link="internal">Wanafunzi wawili kutoka Kenya washinda tuzo ya Earth Prize kwa kubuni kichujio nafuu cha moshi wa magari</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya: Wanafunzi wawili wenye umri wa miaka 17 kutoka kaunti ya Kiambu nchini Kenya, walitangazwa washindi wa Earth Prize kwa kanda ya Afrika mnamo Mei 12, kwa kubuni mfumo wa gharama nafuu wa kuchuja moshi wa magari unaotumia viguguta vya mahindi na maganda ya nazi wa magari walioubuni. Fredrick Njoroge Kariuki na Miron Onsarigo, wanafunzi wa taasisi ya Mpesa Foundation Academy, walitengeneza mfumo huo, HewaSafi, unaomaanisha “hewa ambayo ni safi” kwa Kiswahili, baada ya kuona marafiki na familia wakiugua maradhi yanayohusishwa na uchafuzi wa hewa. Shirika la Earth Foundation, lenye makao yake makuu nchini Uswizi, linatoa Tuzo ya Dunia, ambayo sasa iko katika mwaka wake wa tano, na inatambua vijana wenye umri wa miaka 13 hadi 19 wanaofanya kazi katika kutatua changamoto za mazingira. Timu ya HewaSafi sasa inawania tuzo ya kimataifa, ambayo upigaji kura kwa umma utafunguliwa tarehe 18 Mei, na kufungwa mnamo Mei 27. Mshindi wa toleo la kimataifa atatangazwa tarehe 29 Mei. &#8220;Tatizo la uchafuzi wa hewa lilikuwa la kibinafsi sana kwetu, na ndiyo maana tukaanza kufikiria kupata suluhu,&#8221; Kariuki aliiambia Mongabay. &#8220;Ilikuwa hamasa kubwa kabla ya kuwa mradi.&#8221; Kariuki, ambaye alikulia katika eneo lenye viwanda vingi katika Kaunti ya Nakuru nchini Kenya, alipata ugonjwa sugu wa mapafu akiwa na umri wa miaka 10 ambao bado unamhitaji kutumia dawa kila wiki. Onsarigo, ambaye alikulia magharibi mwa Kenya, alishuhudia vifo na magonjwa mabaya yanayohusiana na hewa chafu. Takwimu kutoka kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa uchafuzi wa hewa husababisha vifo vya mapema milioni 4.4 ulimwenguni kila mwaka. Moshi wa magari ni chanzo kikuu cha uchafuzi wa mazingira katika maeneo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/12/wanafunzi-wawili-kutoka-kenya-washinda-tuzo-ya-earth-prize-kwa-kubuni-kichujio-nafuu-cha-moshi-wa-magari/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/#respond</comments>
					<pubDate>11 Mei 2026 15:28:34 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11150848/Lethome-5-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1551</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Umeme, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu zaidi ya 82. Mongabay ilimtembelea Sheikh Ibrahim Lethome alipokuwa kwenye mfungo wa Ramadhani ili kupata maoni yake kuhusu juhudi zake katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira. Lethome amejitaja kuwa aliyetekeleza kile ambacho huenda kilionekana kama jukumu dogo katika juhudi za kupinga mradi wa umeme wa makaa ya mawe huko Lamu, Kenya. Juhudi hizo ziliongozwa na viongozi wa Save Lamu pamoja na wawakilishi wa jamii, mawakili wa masuala ya mazingira, wanaharakati na taasisi za serikali pamoja na mamlaka za udhibiti kama NEMA na mahakama za mazingira. Hatimaye, mradi huo ulisitishwa Desemba mwaka 2025. Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano yake na Lynet Otieno wa Mongabay, yaliyofanyika katika ofisi za Msikiti wa Jamiah jijini Nairobi. Mongabay: Tafadhali tueleze kwa ufupi wewe ni nani, kama msomi, kiongozi wa kidini na mwanaharakati wa mazingira. Lethome: Mimi kitaaluma ni mwanasheria na msomi wa elimu ya Kiislamu. Ninafanya kazi katika fani zote mbili. Nimekuwa mwanachama wa Msikiti wa Jamiah kwa miaka 32 sasa. Ninaongoza Idara ya Dini. Pia ni mwanachama wa bodi ya kimataifa ya GreenFaith, na mwenyekiti wa bodi ya GreenFaith-Afrika, taasisi inayotumia mafundisho ya dini kuhamasisha uhifadhi wa mazingira. Mwelekeo wangu ni kuangalia jinsi mafundisho ya dini yanavyoweza kutumika kushughulikia changamoto nyingi ambazo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>05 Mei 2026 22:27:36 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David AkanaRhett Ayers Butler]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/05212300/Screenshot-2026-05-06-000526-768x504.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1504</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na  Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Maendeleo Endelevu, Mamalia, Mazingira, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Mvua, Uhifadhi, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, volkeno, misitu, na ardhi oevu ndani ya eneo moja lililohifadhiwa. Pia ipo ndani ya mazingira iliyoundwa kwa miongo kadhaa ya ukosefu wa utulivu, ambapo makundi yaliojihami kwa silaha, uchumi usio rasmi, na utawala dhaifu ni sehemu ya maisha ya kila siku. Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga. Picha kwa hisani ya Bitini Ndiyanabo Kanane. Emmanuel de Merode, ambaye ameiongoza Virunga tangu mwaka wa 2008, haanzii na ikolojia. Mafunzo yake ni ya anthropolojia, hali inayounda namna anavyoelezea hifadhi. Anapendekeza kuwa hali ya wanyamapori hutokana na nguvu za kina. Upotevu wa misitu, ujangili, na ukosefu wa usalama sio shida za mazingira pekee. Yanatokana na namna watu wanavyopata riziki, namna mamlaka inavyofanya kazi, na jinsi pesa na rasilimali zinavyozunguka. Katika sehemu ya Mashariki mwa Kongo, uhifadhi hauwezi kutenganishwa na uchumi. Kwa jamii nyingi zinazoizunguka Virunga, chaguo lao ni la haraka. Kuifyeka misitu kwa ajili ya ukulima au kutengeza mkaa kunaweza kuzalisha kipato cha kuendesha maisha. Faida za uhifadhi ni ngumu kuonekana na mara nyingi huonekana zaidi nje ya eneo hilo. Ukosefu wa usawa unajitokeza katika maamuzi ya kila siku kuhusu mafuta, chakula na upatikanaji wa ardhi. Kama De Merode anavyoelezea, mfumo unawalazimisha baadhi ya watu maskini zaidi kubeba gharama ya kulinda mali zinazothaminiwa kimataifa. Shinikizo kwenye mbuga&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kufutwa kwa leseni 40 za utafiti wa madini Tanzania kwafichua ukweli wa athari za mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/#respond</comments>
					<pubDate>28 Aprili 2026 21:53:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Nkwimba Nkwimba]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/28213333/Madini-3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1452</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Ikolojia, Kijani, Mazingira, Misitu, Uchimbaji Dhahabu, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Sekta ya madini nchini Tanzania imetikiswa na hatua ya Serikali kuzifutia leseni za utafiti wa madini kampuni 40 huku ikitoa muda wa siku 30 kwa kampuni nyingine 43 kurekebisha mapungufu yao, la sivyo nazo zitapoteza leseni zao. Wakati watu wengi wameunga mkono hatua hiyo kwa kuangalia matokeo ya uamuzi huo kwa mtazamo wa kiuchumi na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/" data-wpel-link="internal">Kufutwa kwa leseni 40 za utafiti wa madini Tanzania kwafichua ukweli wa athari za mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Sekta ya madini nchini Tanzania imetikiswa na hatua ya Serikali kuzifutia leseni za utafiti wa madini kampuni 40 huku ikitoa muda wa siku 30 kwa kampuni nyingine 43 kurekebisha mapungufu yao, la sivyo nazo zitapoteza leseni zao. Wakati watu wengi wameunga mkono hatua hiyo kwa kuangalia matokeo ya uamuzi huo kwa mtazamo wa kiuchumi na uwajibikaji, watetezi wa mazingira wameibua hoja nzito kuhusu uharibifu mkubwa wa mazingira unaotokea pindi leseni za utafiti zinapotelekezwa. Waziri wa Madini Antony Mavunde, katika mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika katika makao makuu ya Tanzania, jijini Dodoma, alitaja mambo kadhaa ambayo kampuni hizo zimeshindwa kutekeleza licha ya kupewa onyo na muda wa kurekebisha kasoro zilizobainishwa. Alibainisha kuwa leseni hizo zilifutwa kufuatia ukiukwaji mkubwa wa masharti, ikiwemo kuhodhi maeneo bila kuyaendeleza, kushindwa kulipa ada stahiki, kutotekeleza wajibu wa ushirikishwaji wa Watanzania pamoja na kupuuza miradi ya uwajibikaji kwa jamii. “Tunashuhudia baadhi ya watu wanamiliki leseni kwa miaka mingi bila uwekezaji wowote unaoonekana. Hii si tu inapoteza fursa za kiuchumi bali pia inachochea uharibifu wa mazingira na migogoro katika jamii,” alisema Waziri. Kwa mujibu wa waziri huyo, leseni 40 za utafiti wa madini zilizofutwa ni sawa na eneo lenye ukubwa wa takribani kilomita za mraba 900 sawa na hekari 188,163. Uharibirifu wa mazingira Simulizi za watu tofauti wakiwemo wachimbaji wadogo katika maeneo mbalimbali zinaonyesha jinsi mazingira yanavyoharibiwa iwe katika hatua ya utafiti wa madini ama uchimbaji wenyewe. “Usiku mvua ikinyesha kidogo tu… asubuhi tunakuta shimo limejaa maji na kuta zimeporomoka,” anasema Emmanuel Joseph, mchimbaji mdogo katika Mkoa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/#respond</comments>
					<pubDate>24 Aprili 2026 13:21:39 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/24153344/Screenshot-2026-04-24-183249-768x492.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1441</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Misitu, Misitu ya Kitropiki, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uharakati wa Mazingira, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Upandaji Miti, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kijana mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya mazingira, ameweka rekodi mpya ya dunia kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24, akivunja rekodi ya awali ya Guinness ya kupanda miti 23,060. Hillary Kiplagat Kibiwott alianzia zoezi hilo katika Kituo cha Misitu cha Kessup kilichoko katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet, tarehe 22 [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/" data-wpel-link="internal">Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kijana mwenye umri wa miaka 29 ambaye ni mwanaharakati wa masuala ya mazingira, ameweka rekodi mpya ya dunia kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24, akivunja rekodi ya awali ya Guinness ya kupanda miti 23,060. Hillary Kiplagat Kibiwott alianzia zoezi hilo katika Kituo cha Misitu cha Kessup kilichoko katika kaunti ya Elgeyo-Marakwet, tarehe 22 Aprili, 2026 chini ya uangalizi mkali wa wawakilishi wa Guinness World Records, Huduma ya Misitu ya Kenya (Kenya Forest Service) pamoja na wahudumu wa afya. Alikamilisha zoezi hilo Alhamisi, tarehe 23 Aprili. Hillary Kibiwott baada ya kukamilisha zoezi la kupanda miti 24,000 ndani ya saa 24 tu. Picha na Uzalendo News. Timu yake kuu ilijumuisha vijana waliokuwa wakichimba mashimo katika eneo la msitu lililoharibiwa lenye ukubwa wa ekari 30 na kumpa miche ya miti, pamoja na baba yake ambaye alimwelekeza na kumsaidia wakati wa zoezi hilo. Akihamasishwa na umati wa watu waliokuwa wakiimba na kushangilia huku wakitaja jina lake, wakiwemo wanafunzi wa shule za msingi, Hillary alipanda wastani wa miche 16 kwa dakika. Zoezi hilo lilikuwa likirushwa moja kwa moja mtandaoni. Wakati anafikia mwisho wa zoezi hilo, alikuwa amechoka sana kiasi kwamba alisafirishwa kwa gari la wagonjwa, lakini alirejea baada ya zaidi ya saa moja akiwa tayari kuzungumza na waandishi wa habari na umati uliokuwa ukimsubiri. Alisema lengo lake lilikuwa kuonyesha kuwa mpango wa kupanda miti bilioni 15 uliozinduliwa na Rais wa Kenya, William Ruto, unawezekana. Kuhusu changamoto wakati wa zoezi hilo, alitaja ardhi yenye milima, joto kali la mchana na baridi ya usiku kuwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/24/mwanaume-kenya-avunja-rekodi-ya-dunia-ya-guinness-kwa-kupanda-miti-23326-ndani-ya-saa-24/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>&#8216;Earth Day&#8217; yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/22/earth-day-yaadhimishwa-huku-wataalam-wakipendekeza-namna-ya-kudhibiti-maporomoko-yanayosababisha-vifo-majeraha-na-kusomba-makazi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/22/earth-day-yaadhimishwa-huku-wataalam-wakipendekeza-namna-ya-kudhibiti-maporomoko-yanayosababisha-vifo-majeraha-na-kusomba-makazi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Aprili 2026 21:25:41 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/22211810/Screenshot-2026-04-23-001707.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1429</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maji, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Uchafuzi, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Aprili 22 ni siku ambayo mataifa 193 duniani yanaadhimisha &#8216;Earth Day&#8217; kwa kufanya mambo mbalimbali, wengine wakipanda miti, kusafisha mazingira, kuondoa takataka za plastiki kwenye mifereji na shughuli nyingine zinazodhihirisha wajibu wa kila mmoja katika kulinda na kutunza mazingira. Lakini katika kitongoji cha Wage, kijiji cha Dimilo, kata ya Kibungo Juu, mkoani Morogoro, zaidi ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/22/earth-day-yaadhimishwa-huku-wataalam-wakipendekeza-namna-ya-kudhibiti-maporomoko-yanayosababisha-vifo-majeraha-na-kusomba-makazi/" data-wpel-link="internal">&#8216;Earth Day&#8217; yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Aprili 22 ni siku ambayo mataifa 193 duniani yanaadhimisha &#8216;Earth Day&#8217; kwa kufanya mambo mbalimbali, wengine wakipanda miti, kusafisha mazingira, kuondoa takataka za plastiki kwenye mifereji na shughuli nyingine zinazodhihirisha wajibu wa kila mmoja katika kulinda na kutunza mazingira. Lakini katika kitongoji cha Wage, kijiji cha Dimilo, kata ya Kibungo Juu, mkoani Morogoro, zaidi ya kaya 15 zinaadhimisha siku hiyo bila kuwa na makazi baada ya kuzikimbia nyumba zao kufuatia maporomoko ya tope  yaliyokumba eneo lao hivi karibuni. Huko wilayani Rungwe, wanasherehekea siku hii huku wakiwa na majonzi mazito kufuatia kupoteza ndugu na jamaa zao zaidi ya watu 20 waliofariki katika maporomoko yaliyosababishwa na mafuriko yaliyotokea Machi 15, 2026. Kutokea kwa maporomoko ni miongoni mwa majanga yaliyoelezwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)  katika taarifa yake kuhusu mwelekeo wa mvua za masika Machi-Mei, 2026. Katika taarifa hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Ladislaus Chang’a alisema maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka (kanda ya Ziwa Victoria, nyanda za juu Kaskazini-mashariki, Pwani ya kaskazini pamoja na maeneo yaliyopo kaskazini mwa mkoa wa Kigoma) katika kipindi cha miezi hiyo, vipindi vifupi vya mvua kubwa vingeweza kujitokeza na kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi. Alisema matukio hayo yangeweza kuleta uharibifu wa miundombinu na mazingira, milipuko ya magonjwa, pamoja na upotevu wa mali na maisha. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC ) nalo lilitoa tahadhari kuhusu hatari ya mvua kubwa na maporomoko ya ardhi ambayo yangeweza kusababisha uharibifu mkubwa. Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Immaculate Semesi, akizungumza na vyombo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/22/earth-day-yaadhimishwa-huku-wataalam-wakipendekeza-namna-ya-kudhibiti-maporomoko-yanayosababisha-vifo-majeraha-na-kusomba-makazi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/22/earth-day-yaadhimishwa-huku-wataalam-wakipendekeza-namna-ya-kudhibiti-maporomoko-yanayosababisha-vifo-majeraha-na-kusomba-makazi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/#respond</comments>
					<pubDate>21 Aprili 2026 00:42:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anne Ngugi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/20151506/Screenshot-2026-04-20-165755-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1399</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kaskazini mwa Kenya, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bustani za wanyama, Elimu ya Mazingira, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Sheria ya Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Tabia za Wanyama, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Uokoaji wa Wanyamapori, Usafirishaji wa Wanyamapori, Wanyama, Wanyama maarufu, Wanyama wanaokula nyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>WAJIR, Kenya &#8211; Katika maeneo kame ya kaskazini mwa Kenya, maisha hayapimwi kwa saa au dakika, bali kwa uvumilivu wa nafsi dhidi ya mazingira. Hapa, katika Kaunti ya Wajir, ardhi imepasuka kwa jua kali, na upepo wa vumbi hubeba harufu ya jasho la mifugo na matumaini ya mvua isiyotabirika. Maisha ya jamii za wafugaji ni [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/" data-wpel-link="internal">Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[WAJIR, Kenya &#8211; Katika maeneo kame ya kaskazini mwa Kenya, maisha hayapimwi kwa saa au dakika, bali kwa uvumilivu wa nafsi dhidi ya mazingira. Hapa, katika Kaunti ya Wajir, ardhi imepasuka kwa jua kali, na upepo wa vumbi hubeba harufu ya jasho la mifugo na matumaini ya mvua isiyotabirika. Maisha ya jamii za wafugaji ni mzunguko usiokwisha wa kutafuta malisho na maji. Lakini ndani ya moyo wa jangwa hili, kumeibuka hadithi inayopinga mantiki ya asili &#8211; ya upendo uliopitiliza, hatari iliyojificha, na mipaka inayofifia kati ya binadamu na mnyama mwitu mwenye kasi kubwa. Ni hadithi ya Bishara Abdirahman Omar, mama wa watoto tisa, ambaye kwa zaidi ya miaka miwili alifanya jambo ambalo wengi wangeliona kama hukumu ya kifo. Mama huyu aliishi na duma ndani ya nyumba kama sehemu ya familia yake. Bishara anakumbuka siku hiyo kwa uwazi kabisa, kana kwamba ilitokea jana. Ilikuwa ni asubuhi yenye joto kali, na yeye alikuwa akitembea porini kutafuta kuni na kuangalia mifugo yake. Katika kichaka kimoja cha miiba, alisikia sauti dhaifu; kilio kidogo kilichofanana na kile cha mtoto wa paka aliyeishiwa nguvu. Aliposogea, alimkuta mtoto wa duma, akiwa mdogo kiasi cha kutoshea kwenye viganja vyake, macho yake yakiwa bado na ukungu wa upofu wa utotoni. “Alikuwa hana msaada kabisa. Nilimwangalia, nikatazama huku na huko nikitarajia kumuona mama yake, lakini hapakuwa na dalili yoyote. Alikuwa ameachwa peke yake kufa kwa njaa au kuliwa na fisi,” Bishara alisimulia, huku akitazama upeo wa macho. Kwa Bishara, hakuona mnyama hatari, bali aliona kiumbe aliyehitaji maziwa na joto. Bila&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/21/penzi-hatari-la-mwanamke-aliyeishi-na-duma-kama-mwanawe-kwa-miaka-miwili/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/#respond</comments>
					<pubDate>20 Aprili 2026 08:59:43 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Isack Dickson]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/20075539/Tembo-kwenye-ushoroba-wa-Kwakuchinja-upande-wa-Ziwa-Manyara.-Picha-na-Isack-Dikson.--768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1384</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati miale ya jua asubuhi ikiangaza wilaya ya Babati kaskazini mwa Tanzania, watoto kutoka kijiji cha Sangaiwe wanapita katika njia zilizopo katikati ya misitu ya asili na kwingine mashambani. Ni umbali isiozidi nusu kilomita kuelekea shule ya Msingi Burunge. Katarina Claudi mwenye umri wa miaka 12, na rafiki yake Magdalena Gabriel ni miongoni mwa wanafunzi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/" data-wpel-link="internal">Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa uhifadhi na jamii Kaskazini mwa Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati miale ya jua asubuhi ikiangaza wilaya ya Babati kaskazini mwa Tanzania, watoto kutoka kijiji cha Sangaiwe wanapita katika njia zilizopo katikati ya misitu ya asili na kwingine mashambani. Ni umbali isiozidi nusu kilomita kuelekea shule ya Msingi Burunge. Katarina Claudi mwenye umri wa miaka 12, na rafiki yake Magdalena Gabriel ni miongoni mwa wanafunzi wa shule hiyo. Kutoka nyumbani kwao hadi hapo shuleni wanatumia dakika 20 tu. Ukiwa katikati ya madarasa ya shule hiyo iliyopo kwenye mteremko wa mlima mdogo wenye mawe makubwa kwa madogo, utasikia sauti za watoto wakiimba na kukariri masomo yao zikiwa zimechanganyikana na sauti za ndege wa porini, na kutengeneza taswira ya kipekee ya maisha yanayoendelea pembezoni mwa moja kati ya mapito muhimu zaidi ya wanyamapori nchini Tanzania. Ushoroba wa Kwakuchinja ni njia muhimu ya asili inayounganisha Hifadhi za Taifa za Tarangire na Ziwa Manyara. Wanyamapori kama tembo, nyumbu, pundamilia na twiga huutumia kuhama kwa uhuru kutoka sehemu moja kwenda nyingine kutafuta maji na malisho. Manufaa ya ushoroba Wilfred Mariani Makamu mwenyekiti wa hifadhi ya Burunge, anasema kuwepo kwa ushoroba kwa huo kumeleta manufaa makubwa si kwa uhifadhi tu, bali pia kwa jamii zinazozunguka hifadhi ya Burunge. Anasema kutokana na kuwepo kwa ushoroba huo wananchi kwanza wananufaika na mapato yanayopatikana kupitia utalii ambayo kwa usimamizi mzuri wa Jumuiya ya Hifadhi ya Jamii ya Burunge, (Burunge WMA) hurudi moja kwa moja kwa wananchi kupitia njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na miradi ya maendeleo, kielimu na kijamii. Kwa mfano, kupitia ushoroba huo, shule mbili; sekondari ya Burunge&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/ushoroba-wa-kwakuchinja-manufaa-yake-kwa-uhifadhi-na-jamii-kaskazini-mwa-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/#respond</comments>
					<pubDate>14 Aprili 2026 18:39:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dominic Allen]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/15174750/Screenshot-2026-04-14-231107.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1346</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ardhi iliyoharibika, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Mageuzi ya Ardhi, Mimea, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Makazi, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu uchimbaji holela wa mawe jijini Mwanza. Soma toleo la pili hapa. Ni asubuhi, na kwa mbali jua linaanza kuchomoza juu ya vilima vya Jiji la Mwanza. Juma anaingia kazini, katikati ya miamba mikubwa ya mawe, mahali anapopaita ofisi yake. Kila siku hufika hapo kutafuta riziki [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/" data-wpel-link="internal">Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu uchimbaji holela wa mawe jijini Mwanza. Soma toleo la pili hapa. Ni asubuhi, na kwa mbali jua linaanza kuchomoza juu ya vilima vya Jiji la Mwanza. Juma anaingia kazini, katikati ya miamba mikubwa ya mawe, mahali anapopaita ofisi yake. Kila siku hufika hapo kutafuta riziki kwa kuponda mawe na kuyauza. Kabla hajapiga nyundo yake kwenye jiwe la kwanza, anafunga macho kwa sekunde chache, moyo wake umejaa hofu na mashaka. Ameshuhudia wenzake wakipoteza maisha baada ya kupondwa na mawe au kufukiwa na vifusi bila msaada. Kwa Juma, maisha yake ni bahati nasibu. Kila siku ni uchaguzi kati ya uhai na kifo. Juma ni miongoni mwa wakazi wengi wa Jiji la Mwanza ambao wanaishi kwa kujishughulisha na upasuaji na uuzaji wa mawe, shughuli ambayo licha ya kuwa na madhara mengi kwa mazingira, afya, jamii na hata kusababisha vifo, vita dhidi yake inaendelea kuwa ngumu kutokana na changamoto mbalimbali. Mchakato hatari wa uchimbaji mawe Jiji la Mwanza nchini Tanzania limeendelea kukua kwa kasi, likichochewa na ongezeko la watu na mahitaji ya makazi pamoja na miundombinu. Jiji hili lenye asili ya milima na miamba linafanya uchimbaji kuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, ukitoa ajira na kuchangia upatikanaji wa malighafi za ujenzi zinazohitajika. Hata hivyo, nyuma ya faida hizi za kiuchumi, shughuli hizi zinatishia utunzaji wa mazingira na jamii, kwa kuathiri ardhi, bioanuai, usalama wa wachimbaji wenyewe pamoja na wakazi wanaoishi karibu na maeneo ya uchimbaji. Hatari ya kwanza ya shughuli hii inatokana&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 22:38:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Deodatus Mfugale]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31201251/MKAA-1-12-machi9-2026-768x498.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1289</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Mazingira, Misitu, Miti, Nishati, Nishati Endelevu, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Ni Alfajiri, siku ya Jumamosi, Mariana anadamkia kwenye kibanda chake cha kuuza mkaa ili kupakua mkaa kutoka kwenye magunia na kuuweka kwenye mifuko midogo midogo ili ifikapo asubuhi, awe tayari kuwauzia wateja wa rejareja. Anafahamu mkaa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Ni Alfajiri, siku ya Jumamosi, Mariana anadamkia kwenye kibanda chake cha kuuza mkaa ili kupakua mkaa kutoka kwenye magunia na kuuweka kwenye mifuko midogo midogo ili ifikapo asubuhi, awe tayari kuwauzia wateja wa rejareja. Anafahamu mkaa unaharibu misitu, lakini hana njia nyingine ya kupata riziki ya kila siku kwa ajili yake na watoto wake watatu. Kwa Mariana, kila mfuko anaouza, ni chakula kwa watoto wake, lakini kwa upande wa uhifadhi, ni kifo kwa misitu zaidi katika eneo lake. Hadithi ya Mariana ni kielelezo cha kweli kinachoonyesha hali halisi inayoendelea kwenye jamii mbalimbali nchini Tanzania, ambazo licha ya jitihada na miradi mbalimbali inayoendelea kulinda na kuhifadhi misitu, bado wanaendelea kukata miti kwa matumizi mbalimbali. Kwa Mariana na jamii nyingi nchini, kuacha kukata misitu ni kuchagua uhifadhi badala ya uhai wao. Hii ina maana kwamba hatua hiyo itawafanya wapoteze njia pekee ya kujipatia riziki. Misitu ni msingi wa maisha bora kwa wanadamu na viumbe hai vingine, na pia husaidia kujenga uhusiano wa kutegemeana baina ya mifumo mbalimbali ya maisha. Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), misitu ni nyezo muhimu ya kuondoa umaskini katika jamii zenye kipato cha chini au zisizokuwa na kipato cha kueleweka, kwani huzikinga na majanga mbalimbali ya kiuchumi na kimazingira. Kulingana na Benki ya Dunia, maisha ya watu wapatao bilioni 1.6, ambayo ni zaidi ya asilimia 25 ya watu maskini duniani, hutegemea misitu katika maisha yao,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mikakati kuokoa misitu Tanzania: Mafanikio, changamoto na mipango ya baadaye</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 22:09:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Deodatus Mfugale]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31212151/MSARAZA-PWANI-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1301</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Maendeleo ya Jamii, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Misitu, Miti, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, Siasa za Mazingira, Siasa za Nishati, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la pili katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la kwanza hapa. Tanzania imekuwa ikichukua hatua mbalimbali ili kupunguza au kumaliza kabisa ukataji ovyo wa misitu ambao kwa sasa ni tishio la kitaifa. Jitihada hizo zinaongozwa na sera na sheria ikiwemo Sera ya Misitu ya Tanzania ya mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/" data-wpel-link="internal">Mikakati kuokoa misitu Tanzania: Mafanikio, changamoto na mipango ya baadaye</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la pili katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la kwanza hapa. Tanzania imekuwa ikichukua hatua mbalimbali ili kupunguza au kumaliza kabisa ukataji ovyo wa misitu ambao kwa sasa ni tishio la kitaifa. Jitihada hizo zinaongozwa na sera na sheria ikiwemo Sera ya Misitu ya Tanzania ya mwaka 1998.  Sera hii imekuwa ikifanyiwa marekebisho mara kwa mara ili kukabiliana na changamoto za wakati huu, na pitio la mwisho lilifanyika mwaka 2017. Miongoni mwa hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa, Kideghesho anasema ni pamoja na kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala kama gesi na gesi asilia, gesi inayotokana na kinyesi cha wanyama. Taarifa zaidi zinaonyesha serikali imedhamiria kurejesha misitu katika eneo la hekta milioni 5.2 ambalo ardhi yake imepoteza ubora kutokana na kukatwa miti hovyo. Kuanzia mwaka 2023, serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imekuwa ikitekeleza mradi mkubwa wa mageuzi ya matumizi ya nishati itokanayo na miti wenye lengo la kuboresha usimamizi na uvunaji endelevu wa misitu. Wanakijiji wa Msaraza Wilaya ya Pangani wakiandaa udongo kwaajili ya kutengeneza vitalu vya mitiche ya miti ya asili. Picha kwa hisani ya CAN Tanzania. Mradi wa Mchakato Jumuishi wa Kuleta Mabadiliko Katika Mnyororo wa Thamani wa Nishati ya Kuni (Integrated Approach for Transformation of Tanzania Fuel Wood Value Chain Project), ni mmoja wa miradi inayolenga kuboresha ustawi wa jamii zilizo pembezoni na kuhifadhi na kulinda misitu. Mradi huo unaotekelezwa katika wilaya 16 zilizopo kwenye mikoa ya Tabora, Dar es Salaam, Mwanza, Pwani, Tanga na Morogoro, unafadhiliwa na Umoja wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ripoti za tume mbili kuhusu Ngorongoro zafichua ukweli kuhusu uhamaji wa hiari, chanzo cha mgogoro</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 20:58:15 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Yohani Gwangway]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31183248/Ngorongoro-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1275</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maendeleo ya Jamii, Maeneo yaliyolindwa, Sera za Mazingira, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu mgogoro wa Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Hatimaye tume mbili zilizoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mnamo mwezi Desemba mwaka 2024, moja kuchunguza zoezi la kuhama kwa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro, na nyingine kuchunguza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/" data-wpel-link="internal">Ripoti za tume mbili kuhusu Ngorongoro zafichua ukweli kuhusu uhamaji wa hiari, chanzo cha mgogoro</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu mgogoro wa Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Hatimaye tume mbili zilizoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mnamo mwezi Desemba mwaka 2024, moja kuchunguza zoezi la kuhama kwa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro, na nyingine kuchunguza migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo, zimewasilisha ripoti na kutoa mapendekezo yao. Tume hizo ziliundwa kwa lengo la kufanya tathmini ya kina na shirikishi kuhusu hali halisi ya migogoro ya muda mrefu katika eneo la Ngorongoro na kutoa mapendekezo yatakayosaidia kupata suluhisho la kudumu. Tume ya kwanza iliongozwa na Musa Iyombe ambaye ni Katibu Mkuu Mstaafu. Wajumbe wengine saba na nafasi zao ni; Sihaba Nkinga- Katibu Mkuu Mstaafu; Alphayo Kidata; Mohamed Mtonga; Valentino Mlowola, Balozi na Mkurugenzi wa Amani, PCCB; George Madafa, Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC); Edward Maura Nduleti na Rehema Moisare wote wakazi wa Ngorongoro. Tume hii ilizinduliwa rasmi tarehe 20 mwezi Februari mwaka 2025 na kuanza kazi rasmi tarehe 25 Februari mwaka huo. Tume ya pili iliongozwa na Gerald Ndika ikiwa na wajumbe wengine ambao ni  Philemon Luhanjo ambaye ni Katibu Mkuu Mstaafu, Zakia Meghji ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Jaji George Masaju (Baadaye alijiondoa baada ya uteuzi wake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani). Wengine ni Richard Muyungi ambaye ni Mshauri wa Rais katika masuala ya Mazingira pamoja na mabadiliko ya tabianchi, Salome Sijaona, Wilbard Kombe kutoka chuo Kikuu cha Ardhi; Emmanuel Luoga&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori yaelekeza nguvu kwenye mafunzo ya vitendo kulinda mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/kuziba-pengo-la-ujuzi-na-uhifadhi-taasisi-ya-wanyama-pori-kenya-yaelekeza-nguvu-kwenye-mafunzo-ya-vitendo-kulinda-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/kuziba-pengo-la-ujuzi-na-uhifadhi-taasisi-ya-wanyama-pori-kenya-yaelekeza-nguvu-kwenye-mafunzo-ya-vitendo-kulinda-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 20:30:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31172318/Graduation1-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1273</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Mazingira, Sera za Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Taasisi ya Utafiti na Mafunzo ya Wanyama pori ya Kenya (WRTI) imefanikiwa kuhamia katika mfumo wa elimu na mafunzo unaozingatia umahiri (Competency-Based Education and Training), ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuandaa wataalamu ambao hawaelewi tu uhifadhi, bali pia wana ujuzi wa vitendo wa kulinda wanyama pori na rasilimali asilia za Kenya. Mkurugenzi na Mtendaji [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/kuziba-pengo-la-ujuzi-na-uhifadhi-taasisi-ya-wanyama-pori-kenya-yaelekeza-nguvu-kwenye-mafunzo-ya-vitendo-kulinda-mazingira/" data-wpel-link="internal">Taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori yaelekeza nguvu kwenye mafunzo ya vitendo kulinda mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Taasisi ya Utafiti na Mafunzo ya Wanyama pori ya Kenya (WRTI) imefanikiwa kuhamia katika mfumo wa elimu na mafunzo unaozingatia umahiri (Competency-Based Education and Training), ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuandaa wataalamu ambao hawaelewi tu uhifadhi, bali pia wana ujuzi wa vitendo wa kulinda wanyama pori na rasilimali asilia za Kenya. Mkurugenzi na Mtendaji Mkuu wa WRTI, Patrick Omondi, alielezea hatua hiyo kama sehemu ya juhudi za kitaifa za kuimarisha uwezo wa kitaalamu katika uhifadhi na usimamizi wa wanyama pori, sambamba na kuhamia kutoka mfumo wa nadharia kwenda katika mbinu za vitendo zinazoendana na mahitaji ya soko la ajira. Omondi alitangaza mabadiliko hayo wakati wa mahafali ya 23 ya taasisi hiyo yaliyofanyika Machi 27, ambapo wahitimu wapatao 499 walitunukiwa vyeti. Mhitimu mmoja ambaye alifariki dunia kabla ya mahafali hayo, alitunukiwa cheti kwa heshima. “Tumepitia upya mitaala yetu ili kuhakikisha inabaki kuwa na uhalisia, na tunaendelea kuimarisha ushirikiano na wadau muhimu ili kuongeza ubora wa mafunzo na kuongeza fursa za ajira kwa wahitimu wetu. &#8220;Mapitio yanayoendelea ya programu za ngazi ya tano yataendelea kutuunganisha na mfumo wa kitaifa wa TVET na kuwezesha wanafunzi wetu kuendelea na masomo kwa urahisi,” alisema Omondi katika hafla hiyo iliyohudhuriwa na wadau wa uhifadhi kutoka serikalini, sekta binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali. Baadhi ya wanufaika wa kozi fupi zilizozinduliwa hivi karibuni, zinazolenga kuwajengea uwezo wataalamu wa sekta ya wanyamapori, ni pamoja na waongoza watalii, ambao wanatarajiwa kuthibitishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Utalii ya Kenya (TRA). Ili kuhimiza ushirikiano kati ya uhifadhi rasmi na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/kuziba-pengo-la-ujuzi-na-uhifadhi-taasisi-ya-wanyama-pori-kenya-yaelekeza-nguvu-kwenye-mafunzo-ya-vitendo-kulinda-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/kuziba-pengo-la-ujuzi-na-uhifadhi-taasisi-ya-wanyama-pori-kenya-yaelekeza-nguvu-kwenye-mafunzo-ya-vitendo-kulinda-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/#respond</comments>
					<pubDate>27 Mechi 2026 17:49:56 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Diana Wanyonyi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://swahili.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/Screenshot-2026-03-27-200514.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1250</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Filosofia ya Uhifadhi, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Hifadhi, Hifadhi za Jamii za Asili, Maendeleo ya Jamii, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Misitu ya Kitropiki, Nyani, Primates, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Tumbili, Tumbili wa Msituni, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>TANA RIVER, Kenya &#8211; Ni siku ya Jumamosi, majira ya asubuhi. Kwa mbali jua limeanza kuchomoza juu ya msitu wa Tana River, na kijiji cha Baomo kinaanza kuamka polepole. Ukimya wa asubuhi unapambwa na sauti za ndege. Ili kuingia katika kijiji hicho, kilichozungukwa na msitu, kuna njia nyembamba inayokatiza msitu na mashamba, ambayo inaelekea Baomo. Njia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/" data-wpel-link="internal">Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[TANA RIVER, Kenya &#8211; Ni siku ya Jumamosi, majira ya asubuhi. Kwa mbali jua limeanza kuchomoza juu ya msitu wa Tana River, na kijiji cha Baomo kinaanza kuamka polepole. Ukimya wa asubuhi unapambwa na sauti za ndege. Ili kuingia katika kijiji hicho, kilichozungukwa na msitu, kuna njia nyembamba inayokatiza msitu na mashamba, ambayo inaelekea Baomo. Njia hiyo ya asili imeundwa kupitia shughuli za kila siku za binadamu, magari, baiskeli na pikipiki zinazoitumia mara kwa mara. Pia kuna wanyamapori wanaotumia njia hiyo wakienda kutafuta maji na malisho. Mongabay iliona kinyesi cha ndovu kilichokuwa kimesambaa barabarani na kukauka, huku vingine vikiwa bado vibichi na vikitoa harufu kali. Mbegu za mimea na majani yaliyosagika yalionekana ndani ya kinyesi hicho kilichokuwa ardhini. Kwa wakazi wa Baomo, kinyesi hicho si uchafu bali ni ujumbe kuwa wanaishi kwa ukaribu na wanyamapori wakubwa zaidi barani Afrika: ndovu. Kijiji cha Baomo kilichoko katika Kaunti ya Tana River, pwani ya Kenya, kipo karibu na Mto Tana na kimezungukwa na msitu unaohifadhi wanyamapori mbalimbali, wakiwemo fisi, tumbili, ndovu, nyati, dikdik, nyani, twiga, ndege, nyoka na wanyama wengine. Mpalawasi hawezi kukudhuru Mwanahamisi Kandugu Sidi, mama wa umri wa miaka 65, na ambaye ni mkazi wa kijiji cha Baomo. Picha na Diana Wanyonyi, Mongabay. Matawi ya miti yalipoanza kutikisika mbele yangu, Mwanahamisi Kandugu Sidi, mama wa umri wa miaka 65, aliyekuja kunipokea, aliniambia: “Mwanangu usiogope, wala usihofu. Hao ni tumbili ambao pia ni jamii yetu. Sisi kama jamii ya Pokomo tunawaita ‘Mpalawasi’. Hatakudhuru kabisa, anasubiri nimwimbie wimbo wake afurahie aende zake. Subiri nimwimbie:&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mkakati mpya wa kudhibiti upungufu wa papa nchini Kenya unalenga kuwashirikisha wavuvi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/mkakati-mpya-wa-kudhibiti-upungufu-wa-papa-nchini-kenya-unalenga-kuwashirikisha-wavuvi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/mkakati-mpya-wa-kudhibiti-upungufu-wa-papa-nchini-kenya-unalenga-kuwashirikisha-wavuvi/#respond</comments>
					<pubDate>27 Mechi 2026 16:47:15 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anthony Langat]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/06171705/Screenshot-2026-04-06-201423-768x503.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1312</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bahari, Baharini, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Binadamu, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Samaki, Sheria ya Mazingira, Uhifadhi wa Baharini, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, na  Uvuvi wa Kupita Kiasi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya — Katika pwani ya mashariki mwa Kenya, mvuvi mdogo hubeba samaki waliovuliwa siku hiyo na kuwaweka mezani kwa ajili ya kuwakatakata tayari kwa kuuzwa. Kuna uwezekano mkubwa miongoni mwa samaki hao zimo spishi zilizo hatarini zaidi kama papa aina ya scalloped hammerhead na samaki aina ya white-spotted guitarfish. Huu ni mfano mmoja tu wa mwenendo mpana [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/mkakati-mpya-wa-kudhibiti-upungufu-wa-papa-nchini-kenya-unalenga-kuwashirikisha-wavuvi/" data-wpel-link="internal">Mkakati mpya wa kudhibiti upungufu wa papa nchini Kenya unalenga kuwashirikisha wavuvi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya — Katika pwani ya mashariki mwa Kenya, mvuvi mdogo hubeba samaki waliovuliwa siku hiyo na kuwaweka mezani kwa ajili ya kuwakatakata tayari kwa kuuzwa. Kuna uwezekano mkubwa miongoni mwa samaki hao zimo spishi zilizo hatarini zaidi kama papa aina ya scalloped hammerhead na samaki aina ya white-spotted guitarfish. Huu ni mfano mmoja tu wa mwenendo mpana zaidi, ambao kulingana na wahifadhi wa mazingira, unaoonyesha jinsi hatma ya papa na samaki jamii ya pweza walio hatarini, ilivyofungamana kwa karibu na maisha ya wavuvi wanaojitafutia kipato katika Bahari ya Hindi ya Magharibi. Mnamo Februari, ili kuweka mpango kazi unaotekelezeka wa uhifadhi wa papa na samaki jamii ya pweza nchini Kenya, kundi la watunga sera, wanasayansi na viongozi wa jamii walichapisha mkakati wenye malengo 19. Kati ya hayo, zaidi ya malengo 12 yanawahusisha moja kwa moja wavuvi wadogo au yanakusudia kuwashirikisha ili kuhakikisha mafanikio yake. Malengo hayo yanajumuisha kuanzisha maeneo zaidi ya bahari yanayosimamiwa na jamii, kuwashirikisha wavuvi katika maamuzi ya uhifadhi, na kuimarisha utekelezaji wa sheria kuhusu zana za uvuvi na uvuvi wa spishi zilizo hatarini. Tangu mwaka 2023, Kenya tayari ina sera ya uhifadhi wa papa na samaki jamii ya pweza — Mpango wa Kitaifa wa Hatua za Uhifadhi na Usimamizi wa Papa (NPOA-Sharks). Hata hivyo, mpango huo bado unasubiri kuidhinishwa rasmi na serikali. Mkakati uliopendekezwa na wadau unatoa njia ya jinsi ya kuutekeleza. Papa aina ya scalloped hammerhead (Sphyrna lewini), aliyepigwa picha Yonaguni, Japan. Kulingana na utafiti, spishi hii huvuliwa mara kwa mara na wavuvi wadogo nchini Kenya. Picha na Masayuki Agawa kupitia Ocean Image Bank.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/mkakati-mpya-wa-kudhibiti-upungufu-wa-papa-nchini-kenya-unalenga-kuwashirikisha-wavuvi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/mkakati-mpya-wa-kudhibiti-upungufu-wa-papa-nchini-kenya-unalenga-kuwashirikisha-wavuvi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>26 Mechi 2026 20:25:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/26202110/Lukuvi-1-768x470.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1247</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu wa Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, si tu pigo la kisiasa bali pia pengo kubwa kwa juhudi za uhifadhi wa mazingira nchini humo. Alipofariki dunia Machi 25, 2026, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alikuwa bado anahudumu. Aliacha nyuma urithi unaotambulika katika kusuluhisha migogoro ya ardhi katika eneo nyeti linalogusa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu wa Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, si tu pigo la kisiasa bali pia pengo kubwa kwa juhudi za uhifadhi wa mazingira nchini humo. Alipofariki dunia Machi 25, 2026, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alikuwa bado anahudumu. Aliacha nyuma urithi unaotambulika katika kusuluhisha migogoro ya ardhi katika eneo nyeti linalogusa moja kwa moja mustakabali wa rasilimali asili, hifadhi za taifa, na maisha ya jamii zinazozitegemea. Mjane wake amepoteza mume, watoto wamepoteza baba na Watanzania wamempoteza mbunge na mwanasiasa maarufu na mkongwe. Lakini kwa wapenda mazingira nchini, kifo chake kinaamsha kumbukumbu za matumaini kuhusu mafunzo aliyoyaacha katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi, hasa kati ya wakulima na wafugaji na katika maeneo yanayopakana na hifadhi za taifa. Taarifa ya kifo cha Lukuvi, ambaye alikuwa pia Mbunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ilitangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. “Kwa wengine, Lukuvi alikuwa na kofia nyingi tofauti. Lakini kwetu wapenda mazingira, tunamwona kama shujaa wa usimamizi endelevu wa raslimali asili. Wote tunafahamu migogoro ya ardhi mara nyingi husababisha matumizi mabaya ya maeneo ya hifadhi, uharibifu wa vyanzo vya maji na misitu. Lakini pia hupelekea kupotea kwa makazi ya wanyama pori au mimea ya asili. “Kwa ujumla, usuluhishi wa migogoro ya ardhi ni kiini cha usimamizi endelevu wa rasilimali asili. Ndiyo maana tunamuona Lukuvi kama shujaa, kwa kutambua na kuyasimamia yote hayo,’’ anasema Paul Mphizi, mwanaharakati wa masuala ya mazingira. Katika nafasi yake ya uwaziri katika wizara tofauti, Lukuvi alisimamia kikamilifu masuala ya utatuzi wa migogoro ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Safari ya mvuvi wa pwani ya Kenya anayeongoza juhudi za vijana za kuokoa kasa wa baharini</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/safari-ya-mvuvi-wa-pwani-ya-kenya-anayeongoza-juhudi-za-kidijitali-za-kuokoa-kasa-wa-baharini/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/safari-ya-mvuvi-wa-pwani-ya-kenya-anayeongoza-juhudi-za-kidijitali-za-kuokoa-kasa-wa-baharini/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mechi 2026 17:31:42 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Keah]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/20141013/Screenshot-2026-03-20-171000-768x509.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1178</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Baharini, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Kasa, Kasa wa baharini, Maji, Uhifadhi, Uhifadhi wa Baharini, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KWALE, Kenya &#8211; Akiwa na umri wa miaka nane, na akiwa katika darasa la pili, ilikuwa kawaida kwa familia ya Farid Abdallah kula nyama ya kasa. Hii ni kutokana na kwamba baba yake alikuwa mvuvi. &#8220;Baba yangu alikuwa akija nyumbani na nyama ya kasa karibu kila siku. Kama sio yeye aliyemshika, basi ni wavuvi wenzake. Nyama yake ilikuwa ikigawanywa kwa jamii [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/safari-ya-mvuvi-wa-pwani-ya-kenya-anayeongoza-juhudi-za-kidijitali-za-kuokoa-kasa-wa-baharini/" data-wpel-link="internal">Safari ya mvuvi wa pwani ya Kenya anayeongoza juhudi za vijana za kuokoa kasa wa baharini</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KWALE, Kenya &#8211; Akiwa na umri wa miaka nane, na akiwa katika darasa la pili, ilikuwa kawaida kwa familia ya Farid Abdallah kula nyama ya kasa. Hii ni kutokana na kwamba baba yake alikuwa mvuvi. &#8220;Baba yangu alikuwa akija nyumbani na nyama ya kasa karibu kila siku. Kama sio yeye aliyemshika, basi ni wavuvi wenzake. Nyama yake ilikuwa ikigawanywa kwa jamii kama ilivyokuwa desturi. Nyama ya kasa ni tamu sana, na tulikuwa tunafurahia sana kitoweo chake,” alisema Abdallah. Kasa katika ufuo wa bahari Shimoni picha na Dzivula Gube Miaka 35 baadaye, Abdallah, ambaye amefanya uvuvi kwa miaka tisa sasa katika eneo la Shimoni, amekuwa mkereketwa mkubwa wa masuala ya kuhifadhi kasa katika kijiji chake. Abdallah pia anashirikiana na kikundi cha vijana cha Shimoni Turtle Watch kilichoko wadi ya Pongwe-Kikoneni, Shimoni, eneo bunge la Lunga Lunga katika Kaunti ya Kwale, ambacho kimefanya kazi hiyo ya uhifadhi wa kasa kwa miaka saba sasa. Hii ni kutokana na tishio la kupotea kwa kasa kutokana na uchafuzi wa mazingira, mabadiliko ya tabianchi, shughuli za uvuvi na ujenzi kwenye fuo za bahari. Wavuvi wanaochinja kasa waliokufa Zaidi, Abdallah na kikundi hicho walisema wamechukua hatua hiyo ya kumlinda kasa kutokana na tishio kwamba kuna wavuvi wengine ambao wanapokutana na kasa amekufa humchinja na kugawia watu nyama yake, hatua ambayo inahatarisha afya ya jamii. Farid Abdallah Mvuvi akionyesha aina ya karatasi za plastiki zipatikanazo baharini ambazo kasa hupenda kula na ni hatari kwao. Picha na Ruth Keah, Mongabay. Kasa ni aina ya kobe wakubwa wanaoishi baharini. Mnyama huyo hutaga mayai yake ardhini hasa katika ufukwe wa bahari, na kuyafukia humo kwa kati&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/safari-ya-mvuvi-wa-pwani-ya-kenya-anayeongoza-juhudi-za-kidijitali-za-kuokoa-kasa-wa-baharini/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/safari-ya-mvuvi-wa-pwani-ya-kenya-anayeongoza-juhudi-za-kidijitali-za-kuokoa-kasa-wa-baharini/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kasa 350 wawekwa katika viota maalum kufuatia hatari ya kutoweka katika bahari ya Zanzibar</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/kasa-350-wawekwa-katika-viota-maalum-kufuatia-hatari-ya-kutoweka-katika-bahari-ya-zanzibar/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/kasa-350-wawekwa-katika-viota-maalum-kufuatia-hatari-ya-kutoweka-katika-bahari-ya-zanzibar/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mechi 2026 14:00:29 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Las Junior]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/20164352/Screenshot-2026-03-20-194312.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1189</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Bioanuai, Bioanuai wa Baharini, Chakula, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Kasa, Kasa wa baharini, Maeneo yaliyolindwa, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Maji, Mamalia wa Baharini, Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Baharini, na  Uongozi wa Uhifadhi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>ZANZIBAR, Tanzania &#8211; Nchini Tanzania, katika visiwa vya Zanzibar, zaidi ya kasa 350 wamehifadhiwa katika viota maalum kwenye fukwe, hatua ambayo wataalamu wanadai ni muhimu katika kuwalinda dhidi ya ujangili, wanyama wanaowinda, na shughuli nyingi za kibinadamu zinazoendelea katika maeneo ya pwani. Hata hivyo, wahifadhi wa mazingira wanaonya kwamba kulinda viota pekee hakutatosha kubadili kile [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/kasa-350-wawekwa-katika-viota-maalum-kufuatia-hatari-ya-kutoweka-katika-bahari-ya-zanzibar/" data-wpel-link="internal">Kasa 350 wawekwa katika viota maalum kufuatia hatari ya kutoweka katika bahari ya Zanzibar</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[ZANZIBAR, Tanzania &#8211; Nchini Tanzania, katika visiwa vya Zanzibar, zaidi ya kasa 350 wamehifadhiwa katika viota maalum kwenye fukwe, hatua ambayo wataalamu wanadai ni muhimu katika kuwalinda dhidi ya ujangili, wanyama wanaowinda, na shughuli nyingi za kibinadamu zinazoendelea katika maeneo ya pwani. Hata hivyo, wahifadhi wa mazingira wanaonya kwamba kulinda viota pekee hakutatosha kubadili kile wanachoeleza kuwa ni kupungua kwa kiasi kikubwa kwa idadi ya kasa, hasa katika pwani ya kaskazini-mashariki ya Unguja, ambako hapo awali kulishuhudiwa kasa wengi. Casper Morch, ambaye ni mwanaikolojia na msimamizi wa miradi wa Taasisi ya Under the Wave iliyopo Zanzibar, anasema kuna utafiti mdogo sana wa kisayansi kuhusu kasa wa baharini Zanzibar, lakini idadi ya kasa imepungua mara dufu katika miaka ya hivi karibuni. Morch anasema: “Tunajua kumekuwa na upungufu mkubwa wa kuonekana kwa kasa. Zamani wapiga mbizi walikuwa wanaona kasa 30 hadi 40 kwa wiki, lakini sasa wanajiona wenye bahati wakiona hata mmoja tu.” Mmoja wa kasa zaidi ya 350 wa Zanzibar waliohifadhiwa katika viota maalum kwenye fukwe ili kuwalinda dhidi ya ujangili, wanyama wanaowinda, na shughuli nyingi za kibinadamu. Picha kwa hisani ya Under the Wave. Taasisi ya Under the Wave, ikishirikiana na mamlaka za Zanzibar, ilianza uhifadhi wa kasa mwaka 2020, mwaka ambao walibaini kuwa idadi ya kasa ilikuwa ikipungua kwa kasi. “Tulianzisha mara moja viota (aquaria) ambavyo hadi sasa vina kasa takribani 350. Lakini hawawezi kuzaliana kama walivyokuwa wakiishi kwenye makazi yao ya asilia. Hili ni jambo tunalolitambua na tutahakikisha wanarejea na kuwa salama,” anasema Morch. Taasisi hiyo inasema kasa wanahitaji kurudi walipotoka, lakini hilo litakuwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/kasa-350-wawekwa-katika-viota-maalum-kufuatia-hatari-ya-kutoweka-katika-bahari-ya-zanzibar/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/20/kasa-350-wawekwa-katika-viota-maalum-kufuatia-hatari-ya-kutoweka-katika-bahari-ya-zanzibar/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>