Maji Habari

RSS
28 Habari

EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini

Tanzania yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, huku uchafuzi wa Bahari ya Hindi ukizidi kuongezeka

Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi

Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika

NuPEA yaweka wazi msimamo wake kufuatia maandamano dhidi ya mradi wa nyuklia Kenya

Jamii za Kenya zapinga mpango wa ujenzi wa kinu cha nyuklia karibu na Ziwa Victoria

Mabadiliko ya tabianchi yaathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi nchini Tanzania

Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira

Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri sekta ya uvuvi nchini Tanzania na mikakati ya kujenga ustahimilivu

‘Earth Day’ yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya

Safari ya mvuvi wa pwani ya Kenya anayeongoza juhudi za vijana za kuokoa kasa wa baharini

Kasa 350 wawekwa katika viota maalum kufuatia hatari ya kutoweka katika bahari ya Zanzibar

Wataalam washauri suluhisho kukabili mabadiliko ya tabianchi yaletayo ukame na mafuriko

Wanawake Jomvu Creek, Kenya wanasaidia kurejesha pwani inayotoweka kutokana na ufugaji wa kaa

Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu

Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya

Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria

Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha

Mabadiliko haki ya nishati yamaanisha nini kwa Afrika?

Mahakama Kenya yathibitisha kufutwa kwa leseni ya mradi wa umeme wa makaa ya mawe megawati 1,050

Ziwa kuu zaidi barani Afrika huenda likawa eneo la kinu cha nyuklia cha Kenya

Olivier Nsengimana wa Rwanda ahamasisha ulinzi wa Korongo wa Kijivu Afrika Mashariki

Jamii ya Ogiek walaumiwa na kufukuzwa kwa uharibifu wa misitu, lakini ukataji miti ovyo haujakoma

Hatua ndogo zafungua njia kwa lengo kubwa la kuhifadhi maeneo oevu ya Afrika Mashariki