Haki za ardhi Habari

RSS
20 Habari

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Vita dhidi ya uchimbaji holela wa mawe Mwanza yahitaji elimu na uwajibikaji kuishinda

Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii

Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa

Ripoti za tume mbili kuhusu Ngorongoro zafichua ukweli kuhusu uhamaji wa hiari, chanzo cha mgogoro

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi

Kutoka taka hadi thamani: Jinsi mradi unavyogeuza taka kuwa silaha dhidi ya mabadiliko ya tabianchi

Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu

Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria

Mradi unaoongozwa na wafugaji wa Kitanzania washinda tuzo ya kimataifa kwa kuimarisha uhifadhi

Wamiliki binafsi wa ardhi nchini Kenya waungana kulinda ushoroba wa wanyamapori

Mabadiliko haki ya nishati yamaanisha nini kwa Afrika?

Ziwa kuu zaidi barani Afrika huenda likawa eneo la kinu cha nyuklia cha Kenya

Kenya: Utata waibuka kuhusu hoteli ya Ritz-Carlton iliyomo kwenye Hifadhi ya Maasai Mara, katikati ya shoruba ya uhamaji wa wanyama

Kwa mara ya pili sasa, mradi wa kaboni wa Kenya wasimamishwa

‘Auawa akiwinda kiharamu’: Utekelezaji wa sheria za wanyamapori unapogeuka vurugu

Je, ng’ombe na wanyamapori wanaweza kuishi pamoja katika Hifadhi ya Maasai Mara?