<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=miti&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/miti/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Fri, 28 Aug 2026 16:47:28 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Miaka 40 baada ya mpango mkubwa wa upandaji miti Burundi: Nini kilitokea? Nini kinafanyika?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/#respond</comments>
					<pubDate>21 Agosti 2026 18:34:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Thérence Hategekimana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/21141024/3misituMiti_iliyokatwa_kwa_ajili_ya_viazi-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2565</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kutoweka, Misitu, Miti, Moto, na  Moto wa Misitu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Unapoingia ndani ya misitu iliyopandwa na Serikali ya awamu ya pili ya Burundi chini ya Rais Jean-Baptiste Bagaza, utasikitika. Misitu hiyo ambayo hapo awali ilikuwa imestawi vizuri na kuwa ya kijani kibichi, ikitoa makazi kwa aina mbalimbali za wanyama na mimea, ikilinda udongo dhidi ya mmomonyoko na kuchangia katika uhifadhi wa vyanzo vya maji, leo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/" data-wpel-link="internal">Miaka 40 baada ya mpango mkubwa wa upandaji miti Burundi: Nini kilitokea? Nini kinafanyika?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Unapoingia ndani ya misitu iliyopandwa na Serikali ya awamu ya pili ya Burundi chini ya Rais Jean-Baptiste Bagaza, utasikitika. Misitu hiyo ambayo hapo awali ilikuwa imestawi vizuri na kuwa ya kijani kibichi, ikitoa makazi kwa aina mbalimbali za wanyama na mimea, ikilinda udongo dhidi ya mmomonyoko na kuchangia katika uhifadhi wa vyanzo vya maji, leo hii katika baadhi ya maeneo, imepoteza sehemu kubwa ya uoto wake. Miti imetoweka, na kuacha maeneo yaliyoharibiwa, yenye miti michache na yaliyo wazi zaidi. Mpango huo mkubwa wa kitaifa wa upandaji miti nchi nzima, ulianza kutekelezwa kuanzia mwaka 1978. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Shirika la Chakula na Kilimo, (FAO), eneo lililopandwa miti katika kampeni hiyo katika kipindi cha kuanzia mwaka 1978 hadi 1991, lilikadiriwa kuwa na ukubwa jumla ya hekta 56,430. Taarifa zaidi kutoka FAO zinaonyesha kwamba takribani hekta 30,000 za misitu iliyopandwa na binadamu ziliharibiwa wakati wa mgogoro wa Oktoba 1993. Sehemu ya mti iliyokatwa katika kijiji cha Kigozi. Pichah na Thérence Hategekimana. Chapisho la FAO linaonyesha kwamba wakati wa kipindi cha upandaji miti kitaifa, takribani hekta 10,080 kati ya 12,000 zilikuwa zimepangwa kupandwa miti hasa aina za Pinus na Callitris katika eneo la Mugamba-Bututsi. Hata hivyo, utafiti wa hivi karibuni uliochapishwa na Global Forest Watch unaonyesha kwamba, kati ya mwaka 2001 na 2025, takribani hekta 760 za uoto wa miti zilipotea katika eneo hilo.Licha ya misitu ya serikali, maeneo mengine ya misitu nchini Burundi yanakabiliwa na uharibifu. Kulingana na utafiti mwingine uliochapishwa mwaka 2026, Burundi ilipoteza asilimia 40.5 ya eneo la misitu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/21/miaka-40-baada-ya-mpango-mkubwa-wa-upandaji-miti-burundi-nini-kilitokea-nini-kinafanyika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake wa jamii za kiasili wanaourejesha Msitu wa Mau nchini Kenya na kubadilisha majkumu ya kijinsia</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/#respond</comments>
					<pubDate>20 Agosti 2026 21:39:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Juliet Akoth Ojwang]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/20210525/Screenshot-2026-08-21-000438-768x493.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2541</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ahadi za kutokomeza ukataji miti, Ardhi iliyoharibika, Ardhi ya Peati, Dawa ya Asili, Jinsia na Uhifadhi, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Mageuzi ya Ardhi, Mimea, Mimea yenye Tiba, Misitu ya Asili, Miti, Nishati ya mimea, Suluhisho za Asili, Tamaduni za Kiasili, Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili, Upandaji Miti, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kabla ya kupambazuka katika kijiji cha Eor Ewaso, kusini-magharibi mwa Kenya, Judy Mukut huwa tayari ameamka. Kufikia saa kumi na mbili na nusu asubuhi, anakuwa ameshateka maji, kukamua ng&#8217;ombe wa familia, kuandaa kiamsha kinywa, kusafisha nyumba na kuwasindikiza watoto wake shuleni. Baada ya hapo huondoka nyumbani kuelekea kituo cha rasilimali kinachoendeshwa na shirika la wanawake [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/" data-wpel-link="internal">Wanawake wa jamii za kiasili wanaourejesha Msitu wa Mau nchini Kenya na kubadilisha majkumu ya kijinsia</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kabla ya kupambazuka katika kijiji cha Eor Ewaso, kusini-magharibi mwa Kenya, Judy Mukut huwa tayari ameamka. Kufikia saa kumi na mbili na nusu asubuhi, anakuwa ameshateka maji, kukamua ng&#8217;ombe wa familia, kuandaa kiamsha kinywa, kusafisha nyumba na kuwasindikiza watoto wake shuleni. Baada ya hapo huondoka nyumbani kuelekea kituo cha rasilimali kinachoendeshwa na shirika la wanawake wa kiasili la Paran, ambako kazi ya uhifadhi ya siku hiyo huanza. Kwa Mukut, kazi ya uhifadhi wa Msitu wa Mau hufanywa ndani ya saa chache zilizosalia baada ya kutimiza majukumu yake kama mke na mama katika jamii ya Wamaasai. Hata hivyo, juhudi hizi za kusawazisha majukumu zinaakisi mabadiliko ya kimya kimya yanayoendelea katika mojawapo ya mifumo ikolojia muhimu zaidi ya misitu nchini Kenya. Huku wanawake wa jamii za kiasili wanaporejesha hali ya maeneo yaliyoharibiwa ya Msitu wa Mau, wanajipatia pia mapato ya kujitegemea, kushiriki katika maamuzi ya nyumbani na kufufua maarifa ya kiasili kuhusu mazingira, maarifa ambayo kwa vizazi vingi yamekuwa muhimu kwa maisha ya jamii zao kwa vizazi vingi kabla ya kupotea au kusahaulika. Baada ya kuanzishwa mwaka wa 2025, kikundi cha Wanawake cha Paran imekuwa na kufikia mtandao wa vikundi 64 vya wanawake wa kiasili vilivyosajiliwa, vingi vikitoka katika jamii za Wamasai na Waogiek katika kaunti ya Narok, pamoja na jamii katika kaunti za West Pokot na Samburu. Kupitia vitalu vya miti vinavyosimamiwa na jamii, bustani za jikoni, vikundi vya akiba vya vijiji, ufugaji wa nyuki na urejeshaji wa mazingira, shirika hilo limeunganisha uhifadhi wa mazingira na uwezeshaji wa wanawake. Ili kuratibu mtandao wake unaopanuka,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/20/kutana-na-wanawake-wa-jamii-za-asili-wanaourejesha-msitu-wa-mau-nchini-kenya-na-kubadilisha-majukumu-ya-kijinsia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/#respond</comments>
					<pubDate>24 Julai 2026 16:13:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/24162115/Boulengerula-niedeni_John-Measey-1000x667-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2211</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Amfibia, Ardhi iliyoharibika, Biashara ya mbao, Bioanuai, Elimu, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Kutoweka, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Mbao, Miti, Spishi, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Upandaji Miti, Urejesho wa Asili, na  Wanyama wasio na Mifupa ya Mgongo]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[TAITA TAVETA, Kenya &#8211; Kusini mashariki mwa Kenya, ndani ya msitu mnene wa Sagalla, kunapatikana mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni). Mlima huo wa Sagalla, wenye urefu wa zaidi ya mita 1,400 kutoka usawa wa bahari, una miti ya aina mbalimbali inayounda makazi ya Sagalla caecilian. Kiumbe wa kipekee ulimwenguni Kilomita 18 kutoka tambarare za mji wa Voi, Mongabay ilizuru msitu huo wa Sagalla unaoweza kufikiwa kwa gari na pikipiki hadi sehemu fulani, na sehemu iliyosalia hufikiwa kwa miguu. Mnyama wa kipekee wa jamii ya amfibia anayejulikana kama Sagalla caecilian (Boulengerula niedeni. Picha na Patrick Malonza. Mongabay ilitaka kufahamu iwapo jamii inatambua spishi hii na faida zake kwa ikolojia, na ilifanikiwa kukutana na wanajiji wakiwa katika shughuli zao za kila siku shambani. “Mimi sikuwa nafahamu mnyama huyu. Nilikuwa namuona shambani kisha namkatakata kwa jembe au namgonga kwa mawe ili afe, kwa sababu anafanana na nyoka,” anasema Jemimah Mwaiga. Sasa Mwaiga anafahamisha Mongabay kuhusu umuhimu wa kiumbe huyo, na kufafanua jinsi walihusishwa katika kutafuta jina lake la kinyumbani, “kilima mrota”. “Tulijifunza kuwa kiumbe huyo husaidia katika ukulima na ubora wa mchanga kwa kuchanganya mchanga na virutubisho vilivyo mchangani na kuongeza rutuba ya asili ya mchanga,” Mwaiga anaelezea Mongabay. Mwanasayansi wa masuala ya mchanga na mazingira Kenneth Macharia wa shirika la Edge of Existence, anasema kiumbe huyu ni wa kipekee katika mlima wa Sagalla. Huishi katika mazingira yenye unyevunyevu, na mchanga wenye rutuba. Macharia anaongeza: “Jamii zinaweza kuimarisha kilimo pamoja na utunzaji wa mazingira kwa kutumia mbinu bora katika mchanga kama vile kupanda miti ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/24/juhudi-za-jamii-zaendelea-kuondoa-mikaratusi-kumhifadhi-mnyama-wa-kipekee-asiyepatikana-kwingineko-duniani/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>03 Julai 2026 14:13:03 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Asha Bekidusa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/03133945/George-Kimau-akionyesha-eneo-la-Mrima-ambapo-ndani-ya-ardhi-hiyo-kuna-madini-ya-niobium-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1986</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Dawa ya Asili, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Milima, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Kitropiki, Misitu ya Milimani, Miti, Nyani, Sheria, Sheria ya Mazingira, Tamaduni za Kiasili, Teknolojia, Uchimbaji Madini, Uchumi, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Ukataji Miti, Utafiti, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa Mombasa. Anakumbuka mashimo yaliyoachwa baada ya baadhi ya sehemu za msitu kukatwa wakati kampuni zilipokuwa zikifanya tafiti za kutafuta madini. Zaidi ya mwongo mmoja baadaye, anasema, mashimo hayo yanaendelea kujiziba yenyewe. Ukitembea msituni, si rahisi kuona mashimo hayo madogo kwani yamefinikwa, baada ya mimea ya asili kuota tena kwa zaidi ya muongo mmoja. Mrima. Picha na Asha Bekidusa, Mongabay. Neno ‘Mrima’ linatoka katika jamii ya Wadigo, kumaanisha mlima. Msitu huu wa Mrima una rutuba kubwa na bioanuwai ya kipekee. Kadri unavyozidi kupanda mlimani, msitu huwa mnene zaidi na mwanga hupungua. Eneo hili liko kimya, isipokuwa sauti za wanyama, wadudu na miti ambayo mara kwa mara inatikisika kutokana na upepo unaovuma. Kwa mujibu wa Key Biodiversity Areas (KBA), eneo la Mrima lenye umuhimu wa bioanuwai lina ukubwa wa takriban kilomita za mraba 3.76 (sawa na takriban hekta 376), ambapo asilimia 95.77 ya eneo hilo iko chini ya hadhi mbalimbali za ulinzi wa kisheria. Utafiti na uharibifu wa misitu Kutokea miaka ya 1950, wataalamu wa jiolojia na makampuni ya madini wamekuwa wakifanya tafiti katika eneo la Mrima kutathmini uwepo wa madini ya niobium na madini adimu mengine. Stakabadhi za rekodi za kesi ya kampuni ya Cortec zinaonyesha kuwa utafiti wa awali ulifanywa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka uwanjani hadi jukwaa la tabianchi: Kijana wa miaka 13 aongoza vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>23 Juni 2026 18:00:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/23172254/Baraka-havin-fun-at-home.-Photo-courtesy-of-Lorein-Moruri.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1905</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Elimu ya Mazingira, Haki ya Tabianchi, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uandishi wa Habari za Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Ukataji Miti, na  Upandaji Miti]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ni saa moja asubuhi. Mbwa wawili aina ya Chihuahua wanaonekana kuwa waangalifu kwa uwepo wa mgeni kwenye lango la nyumba ya familia ya Moruri Baraka. Dakika chache baadaye, Baraka anashuka ngazi akiwa ameshika kichanuo mkononi na kujiandaa kwa mahojiano. Dada yake mdogo, ambaye bado hajatimiza miaka sita, anajiunga naye na mara kwa mara hujitosa kujibu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Kutoka uwanjani hadi jukwaa la tabianchi: Kijana wa miaka 13 aongoza vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ni saa moja asubuhi. Mbwa wawili aina ya Chihuahua wanaonekana kuwa waangalifu kwa uwepo wa mgeni kwenye lango la nyumba ya familia ya Moruri Baraka. Dakika chache baadaye, Baraka anashuka ngazi akiwa ameshika kichanuo mkononi na kujiandaa kwa mahojiano. Dada yake mdogo, ambaye bado hajatimiza miaka sita, anajiunga naye na mara kwa mara hujitosa kujibu baadhi ya maswali. Msichana huyo ni mmoja wa mashabiki wake wa karibu. Baraka, mwenye umri wa miaka 13, ameibuka kuwa mmoja wa watetezi vijana wa mazingira wanaotikisa mawimbi nchini Kenya. Baraka alianza kuwa na mapenzi na masuala ya mazingira tangu alipokuwa na umri wa miaka sita. Kufikia Machi 2026, tayari alikuwa amepanda zaidi ya miti 7,600 kwa msaada wa familia na marafiki zake. “Lengo langu halina kikomo. Nataka kupanda zaidi ya miti milioni moja kabla sijafikisha umri wa miaka 18,” anasema. Mafanikio yake makubwa yamekuwa uzinduzi wa kitabu kiitwacho Go Green With Baraka, kinachosimulia shughuli zake za kuhifadhi mazingira kwa msaada wa familia yake. Kitabu hicho kimeandikwa kwa herufi kubwa na lugha rahisi ambayo mtoto anaweza kuielewa na kuhamasika kuitikia wito uliomo ndani yake. Baraka anatumaini kuwa kitabu hicho kitaingizwa katika mtaala wa elimu wa Kenya lakini pia kitapatikana katika maduka mengi zaidi ya vitabu pamoja na majukwaa ya mtandaoni kama Amazon. Baraka anasoma kitabu kiitwacho &#8216;Go Green With Baraka&#8217; anapocheza na dadake mdogo nyumbani kwao Nairobi. Picha kwa hisani ya Lawrine Moruri. Babake Baraka Arnold Warinda (kushoto), mama Lawrine Moruri na rafikiye wakati wa uzinduzi wa kitabu cha &#8216;Go Green With Baraka&#8217; jijini Nairobi mnamo Januari&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/23/kutoka-uwanjani-hadi-jukwaa-la-tabianchi-kijana-wa-miaka-13-aongoza-vita-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 13:12:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09111629/Screenshot-2026-06-09-141545.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1799</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia ya wenzao. Hata hivyo, licha ya jukumu lao kuu katika kulinda bayoanuwai na baadhi ya misitu muhimu zaidi ulimwenguni, wengi wanaendelea kufanya kazi wakiwa na usaidizi mdogo, mishahara midogo, na hali hatarishi sana. Kwa Emmanuel Bahati Lukoo, ukweli huu ni wa kibinafsi sana. Aliwahi kuwa mlinzi katika mbuga ya kitaifa ya Virunga ambapo kwa sasa ni afisa katika Hifadhi ya Kitaifa ya Kahuzi-Biega, alinusurika kifo katika shambulizi la kushutukizia mnamo mwaka wa 2018 na kikundi cha wanamgambo wa jamii kinachojulikana kama Mai-Mai. Wenzake kadhaa waliuawa kwa kuviziwa. Alipigwa risasi, alijeruhiwa na kupata kiwewe cha kisaikolojia, na baadaye kufunguliwa mashitaka mbele ya mahakama ya kijeshi katika kesi iliyohusishwa na ulinzi wa hifadhi, angeweza kuondoka. Badala yake, Bahati alichagua kusimulia hadithi yake katika kitabu kiitwacho Conservation at the Cost of My Youth: The Survival of a Ranger, simulizi ghafi ya dhabihu, hofu, shinikizo za kisiasa, na mara nyingi hali halisi isiyoonekana inayowakabili walinzi wa misitu mashariki mwa DRC. Kwenye mahojiano ya ana kwa ana na Mongabay, Bahati anatafakari safari yake, shambulizi lililokaribia kumuua, kiwewe walichopata walinzi, migogoro kati ya uhifadhi na maisha ya jamii ya eneo hilo, na uingiliaji wa kisiasa unaotatiza ulinzi wa maeneo yaliyohifadhiwa. Zaidi ya hadithi ya kibinafsi,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>21 Mei 2026 16:53:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/21160452/2-Iringa-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1680</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mimea, Misitu, Miti, Upandaji Miti, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati Tanzania ikiendelea kupoteza misitu kwa kasi kutokana na sababu mbalimbali, mradi wa kuhifadhi mazingira mashuleni umeanza kuleta mabadiliko kwa kurejesha miti iliyoanza kutoweka na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi. Takwimu za Global Forest Watch zinaonyesha kuwa Tanzania  ilipoteza hekta milioni 3.48 za uoto wa miti kati ya mwaka 2001 na 2024, kwa mwaka 2024 pekee, ikipoteza hekta 271,000. Sababu zinazotajwa kuchangia upotevu huo ni pamoja na shughuli za binadamu zinazochochewa na hitaji la kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, kupanuka kwa miji na ukataji wa miti kwa ajili ya kujengea nyumba. Chanzo kikuu ni utegemezi mkubwa wa nishati itokayo na miti ambapo zaidi ya asilimia 85 ya kaya nchini Tanzania hutegemea mkaa na kuni kwa ajili ya kupikia. Dk Elikana John, Meneja wa Misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), anasema ili kuingilia kati uharibifu huo, TFS ikishirikiana na taasisi na wadau wa mazingira nchini, imekuwa ikitoa miche ya matunda na ya vivuli ili kutekeleza miradi ya kupanda miti sehemu mbalimbali ikiwemo mashuleni, hospitalini na majumbani. Mwanafunzi Charles Godfrey wa Shule ya Msingi Makweli, Kata ya Vugiri, Halmashauri ya Korogwe akipanda miti katika eneo la shule ikiwa ni utekelezaji wa mradi wa Eco-Schools. Picha na Jenifer Gilla. Katika mikoa ya Morogoro, Iringa na Tanga, baadhi ya shule za msingi na sekondari zimeanzisha utaratibu wa kurejesha miti iliyotoweka kupitia programu ya Eco-Schools ambapo wanafunzi ni washiriki wakuu katika uhifadhi wa mazingira. Programu hiyo inafadhiliwa na Shirika la uhifadhi wa misitu la Tanzania Forest Conservation Group (TFCG).&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/21/mradi-wa-mazingira-mashuleni-warejesha-miti-na-kujenga-ustahimilivu-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/#respond</comments>
					<pubDate>17 Mei 2026 04:00:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Liz Kimbrough]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/15150736/Screenshot-2026-05-15-141515-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1632</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Ulimwenguni]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Ikolojia, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wanaharakati sita wa mazingira kutoka ulimwenguni kote walitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman tarehe 20 Aprili. Ikitambulika kama &#8220;Tuzo ya Nobel ya Kijani,&#8221; Tuzo ya Goldman huwaheshimu wanaharakati kutoka kanda sita za mabara yenye wakazi. Kwa mara ya kwanza katika historia, washindi wote sita ni wanawake. Washindi wa mwaka huu walipambana kulinda popo adimu nchini Nigeria [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/" data-wpel-link="internal">Wanawake sita wanaobadilisha mapambano ya mazingira duniani washinda Tuzo ya Goldman 2026</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wanaharakati sita wa mazingira kutoka ulimwenguni kote walitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman tarehe 20 Aprili. Ikitambulika kama &#8220;Tuzo ya Nobel ya Kijani,&#8221; Tuzo ya Goldman huwaheshimu wanaharakati kutoka kanda sita za mabara yenye wakazi. Kwa mara ya kwanza katika historia, washindi wote sita ni wanawake. Washindi wa mwaka huu walipambana kulinda popo adimu nchini Nigeria kwa kutoa mafunzo kwa wanajamii kuhusu kuzuia moto katika maeneo ya nyika; walishinda kesi ya kihistoria mahakamani nchini Korea Kusini na kulazimisha serikali kuweka malengo madhubuti ya hali ya hewa; walisimamisha mradi wa kuchimba mafuta nchini Uingereza baada ya miaka kumi ya vita vya kisheria; waliishinikiza kampuni kubwa ya uchimbaji madini duniani kusafisha mgodi ulioachwa wenye sumu huko Papua New Guinea; walizuia mgodi mkubwa wa shimo wazi uliopendekezwa katika historia ya Marekani Kaskazini huko Alaska; na wakasaidia kusimamisha miradi ya uchimbaji mafuta kwa mbinu ya kupasua miamba nchini Colombia. &#8220;Wakati tunaendelea kupigana kulinda mazingira na kutekeleza sera za hali ya hewa za kuokoa maisha nchini Marekani na duniani kote, ni wazi kwamba viongozi wa kweli wako miongoni mwetu,&#8221; alisema John Goldman, makamu wa rais wa wakfu wa mazingira wa Goldman. &#8220;Nimefurahi sana kuheshimu kundi letu la kwanza kabisa la wanawake sita, kwani hili ni onyesho kubwa la nafasi ambayo wanawake wanaendelea kuchukua katika jamii ya mazingira ulimwenguni.&#8221; Washindi walitunukiwa katika hafla iliyofanyika San Francisco nchini Marekani tarehe 20 Aprili, iliyoandaliwa na mtangazaji wa Telemundo Vanessa Hauc, pamoja na burudani ya muziki kutoka kundi la Caminos Flamencos. Tukio hilo lilionyeshwa moja kwa moja kuanzia saa 5:30&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/17/wanawake-sita-wanaobadilisha-mapambano-ya-mazingira-duniani-washinda-tuzo-ya-goldman-2026/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>05 Mei 2026 22:27:36 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David AkanaRhett Ayers Butler]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/05212300/Screenshot-2026-05-06-000526-768x504.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1504</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na  Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Maendeleo Endelevu, Mamalia, Mazingira, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Mvua, Uhifadhi, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, volkeno, misitu, na ardhi oevu ndani ya eneo moja lililohifadhiwa. Pia ipo ndani ya mazingira iliyoundwa kwa miongo kadhaa ya ukosefu wa utulivu, ambapo makundi yaliojihami kwa silaha, uchumi usio rasmi, na utawala dhaifu ni sehemu ya maisha ya kila siku. Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga. Picha kwa hisani ya Bitini Ndiyanabo Kanane. Emmanuel de Merode, ambaye ameiongoza Virunga tangu mwaka wa 2008, haanzii na ikolojia. Mafunzo yake ni ya anthropolojia, hali inayounda namna anavyoelezea hifadhi. Anapendekeza kuwa hali ya wanyamapori hutokana na nguvu za kina. Upotevu wa misitu, ujangili, na ukosefu wa usalama sio shida za mazingira pekee. Yanatokana na namna watu wanavyopata riziki, namna mamlaka inavyofanya kazi, na jinsi pesa na rasilimali zinavyozunguka. Katika sehemu ya Mashariki mwa Kongo, uhifadhi hauwezi kutenganishwa na uchumi. Kwa jamii nyingi zinazoizunguka Virunga, chaguo lao ni la haraka. Kuifyeka misitu kwa ajili ya ukulima au kutengeza mkaa kunaweza kuzalisha kipato cha kuendesha maisha. Faida za uhifadhi ni ngumu kuonekana na mara nyingi huonekana zaidi nje ya eneo hilo. Ukosefu wa usawa unajitokeza katika maamuzi ya kila siku kuhusu mafuta, chakula na upatikanaji wa ardhi. Kama De Merode anavyoelezea, mfumo unawalazimisha baadhi ya watu maskini zaidi kubeba gharama ya kulinda mali zinazothaminiwa kimataifa. Shinikizo kwenye mbuga&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>01 Mei 2026 15:34:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/01152749/Antoine-Moses-akipanda-miche-ya-miti-ya-mikoko-katika-eneo-la-Tudor-Mombasa.-Picha-kwa-hisani-ya-Wizara-ya-Mazingira-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1485</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maji, Mazingira, Mikoko, Misitu, Miti, Samaki, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kenya wiki hii imekuwa kitovu cha harakati za kuvunja rekodi za dunia za Guinness baada ya mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada, Antoine Moses, kuvunja rekodi yake mwenyewe ya kupanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 tu. Idadi hiyo ilithibitishwa Mei 1, saa 8:01, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi hilo. Antoine alikuwa nchini [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kenya wiki hii imekuwa kitovu cha harakati za kuvunja rekodi za dunia za Guinness baada ya mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada, Antoine Moses, kuvunja rekodi yake mwenyewe ya kupanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 tu. Idadi hiyo ilithibitishwa Mei 1, saa 8:01, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi hilo. Antoine alikuwa nchini humo kwa siku 10 kabla ya tukio hilo, ambapo alipanda miti mingine 13,600 ili kujenga stamina katika maandalizi ya rekodi mpya. “Tumekuwa Kenya kwa siku 10 zilizopita tukipanda mikoko, tukijifunza kutoka kwa jamii na kutengeneza kumbukumbu zisizosahaulika na marafiki wapya,” alisema kabla ya jaribio hilo, na kuongeza: “Baada ya kufikia miti 10,000 chini ya saa nne wakati wa mazoezi, nilijua tuko tayari kusonga mbele zaidi.” Waziri wa Mazingira wa Kenya, Deborah Barasa, alimkaribisha Antoine na alikuwepo alipokuwa akipanda mche wake wa kwanza. Alisema: “Kenya imepata heshima kumkaribisha Antoine Moses… Jaribio lake la kijasiri la kupanda mikoko 40,000 ndani ya saa 24 katika eneo la Tudor Creek, Kaunti ya Mombasa, halimaanishi tu kuweka rekodi mpya, bali ni kubadili mwenendo wa uharibifu wa misitu kabla haujafikia hatua ya hatari. Uwepo wake unaimarisha nafasi ya Kenya kama kiongozi anayeaminika katika juhudi za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.” Timu iliyoratibiwa ya wanajamii, wahifadhi wa mazingira, maafisa wa Huduma ya Misitu Kenya, akiwemo Katibu Mkuu Gitonga Mugambi, pamoja na washirika kutoka Earthlungs, walimpa hamasa, wakitembea pamoja naye ili kumsaidia kutimiza malengo yake. Awali, Antoine aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwamba malengo yake ni kupanda miche 35,500 ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 22:38:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Deodatus Mfugale]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31201251/MKAA-1-12-machi9-2026-768x498.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1289</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Mazingira, Misitu, Miti, Nishati, Nishati Endelevu, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Ni Alfajiri, siku ya Jumamosi, Mariana anadamkia kwenye kibanda chake cha kuuza mkaa ili kupakua mkaa kutoka kwenye magunia na kuuweka kwenye mifuko midogo midogo ili ifikapo asubuhi, awe tayari kuwauzia wateja wa rejareja. Anafahamu mkaa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Ni Alfajiri, siku ya Jumamosi, Mariana anadamkia kwenye kibanda chake cha kuuza mkaa ili kupakua mkaa kutoka kwenye magunia na kuuweka kwenye mifuko midogo midogo ili ifikapo asubuhi, awe tayari kuwauzia wateja wa rejareja. Anafahamu mkaa unaharibu misitu, lakini hana njia nyingine ya kupata riziki ya kila siku kwa ajili yake na watoto wake watatu. Kwa Mariana, kila mfuko anaouza, ni chakula kwa watoto wake, lakini kwa upande wa uhifadhi, ni kifo kwa misitu zaidi katika eneo lake. Hadithi ya Mariana ni kielelezo cha kweli kinachoonyesha hali halisi inayoendelea kwenye jamii mbalimbali nchini Tanzania, ambazo licha ya jitihada na miradi mbalimbali inayoendelea kulinda na kuhifadhi misitu, bado wanaendelea kukata miti kwa matumizi mbalimbali. Kwa Mariana na jamii nyingi nchini, kuacha kukata misitu ni kuchagua uhifadhi badala ya uhai wao. Hii ina maana kwamba hatua hiyo itawafanya wapoteze njia pekee ya kujipatia riziki. Misitu ni msingi wa maisha bora kwa wanadamu na viumbe hai vingine, na pia husaidia kujenga uhusiano wa kutegemeana baina ya mifumo mbalimbali ya maisha. Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), misitu ni nyezo muhimu ya kuondoa umaskini katika jamii zenye kipato cha chini au zisizokuwa na kipato cha kueleweka, kwani huzikinga na majanga mbalimbali ya kiuchumi na kimazingira. Kulingana na Benki ya Dunia, maisha ya watu wapatao bilioni 1.6, ambayo ni zaidi ya asilimia 25 ya watu maskini duniani, hutegemea misitu katika maisha yao,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mikakati kuokoa misitu Tanzania: Mafanikio, changamoto na mipango ya baadaye</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 22:09:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Deodatus Mfugale]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31212151/MSARAZA-PWANI-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1301</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Ikolojia, Maendeleo ya Jamii, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Misitu, Miti, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, Siasa za Mazingira, Siasa za Nishati, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la pili katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la kwanza hapa. Tanzania imekuwa ikichukua hatua mbalimbali ili kupunguza au kumaliza kabisa ukataji ovyo wa misitu ambao kwa sasa ni tishio la kitaifa. Jitihada hizo zinaongozwa na sera na sheria ikiwemo Sera ya Misitu ya Tanzania ya mwaka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/" data-wpel-link="internal">Mikakati kuokoa misitu Tanzania: Mafanikio, changamoto na mipango ya baadaye</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la pili katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la kwanza hapa. Tanzania imekuwa ikichukua hatua mbalimbali ili kupunguza au kumaliza kabisa ukataji ovyo wa misitu ambao kwa sasa ni tishio la kitaifa. Jitihada hizo zinaongozwa na sera na sheria ikiwemo Sera ya Misitu ya Tanzania ya mwaka 1998.  Sera hii imekuwa ikifanyiwa marekebisho mara kwa mara ili kukabiliana na changamoto za wakati huu, na pitio la mwisho lilifanyika mwaka 2017. Miongoni mwa hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa, Kideghesho anasema ni pamoja na kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala kama gesi na gesi asilia, gesi inayotokana na kinyesi cha wanyama. Taarifa zaidi zinaonyesha serikali imedhamiria kurejesha misitu katika eneo la hekta milioni 5.2 ambalo ardhi yake imepoteza ubora kutokana na kukatwa miti hovyo. Kuanzia mwaka 2023, serikali kwa kushirikiana na asasi za kiraia imekuwa ikitekeleza mradi mkubwa wa mageuzi ya matumizi ya nishati itokanayo na miti wenye lengo la kuboresha usimamizi na uvunaji endelevu wa misitu. Wanakijiji wa Msaraza Wilaya ya Pangani wakiandaa udongo kwaajili ya kutengeneza vitalu vya mitiche ya miti ya asili. Picha kwa hisani ya CAN Tanzania. Mradi wa Mchakato Jumuishi wa Kuleta Mabadiliko Katika Mnyororo wa Thamani wa Nishati ya Kuni (Integrated Approach for Transformation of Tanzania Fuel Wood Value Chain Project), ni mmoja wa miradi inayolenga kuboresha ustawi wa jamii zilizo pembezoni na kuhifadhi na kulinda misitu. Mradi huo unaotekelezwa katika wilaya 16 zilizopo kwenye mikoa ya Tabora, Dar es Salaam, Mwanza, Pwani, Tanga na Morogoro, unafadhiliwa na Umoja wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/mikakati-kuokoa-misitu-tanzania-mafanikio-changamoto-na-mipango-ya-baadaye/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/29/eudr-wakulima-wa-kahawa-kenya-wakabiliwa-na-kanuni-za-umoja-wa-ulaya-kuhusu-ukataji-miti-wakati-upotevu-wa-misitu-unaendelea/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/29/eudr-wakulima-wa-kahawa-kenya-wakabiliwa-na-kanuni-za-umoja-wa-ulaya-kuhusu-ukataji-miti-wakati-upotevu-wa-misitu-unaendelea/#respond</comments>
					<pubDate>29 Mechi 2026 20:07:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jackson Okata]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/29194055/Screenshot-2026-03-29-223905.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1262</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Biashara ya Kilimo, Bioanuai, Chakula, Ikolojia, Kilimo, Kilimo cha Kujikimu, Kilimo mseto, Kilimo-ikolojia, Maji, Mimea, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Siasa za Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uchafuzi, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NYERI, Kenya – Wakati Kenya ilipoadhimisha usafirishaji wake wa kwanza wa kahawa inayokidhi viwango vya EUDR kwenda nchini Poland tarehe 25 Machi, hali halisi kwenye maeneo ya uzalishaji ilikuwa tofauti huku ikigubikwa na ugumu usioelezeka. Huku serikali ikisherehekea kusafirisha mzigo wa magunia 320, kila moja likiwa na uzito wa kilo 60 na kutoka katika vyama [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/29/eudr-wakulima-wa-kahawa-kenya-wakabiliwa-na-kanuni-za-umoja-wa-ulaya-kuhusu-ukataji-miti-wakati-upotevu-wa-misitu-unaendelea/" data-wpel-link="internal">Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NYERI, Kenya – Wakati Kenya ilipoadhimisha usafirishaji wake wa kwanza wa kahawa inayokidhi viwango vya EUDR kwenda nchini Poland tarehe 25 Machi, hali halisi kwenye maeneo ya uzalishaji ilikuwa tofauti huku ikigubikwa na ugumu usioelezeka. Huku serikali ikisherehekea kusafirisha mzigo wa magunia 320, kila moja likiwa na uzito wa kilo 60 na kutoka katika vyama 13 vya ushirika, hatua hii iliashiria mafanikio, lakini pia shinikizo. Wakulima wengi bado hawajajiandaa kwa masharti makali dhidi ya ukataji miti ambayo sasa yanaamua upatikanaji wa soko lenye faida la Ulaya. Hili ni jaribio. Mkulima wa kahawa akata mti wa mmea huo ili kuuwezesha kumea upya. Picha na Jacson Ambole, Mongabay. Chini ya jua kali la mchana katika kijiji cha Gaturere, Kaunti ya Nyeri, takribani maili 95 kaskazini-mashariki mwa Nairobi, Nichodemus Muchangi, baba ya watoto wanne, yuko shambani, akili yake ikiwa imetawaliwa na kuhudumia kahawa, jambo ambalo amefanya kwa zaidi ya miongo mitatu. Akiwa na miti 400 ya kahawa katika shamba lake la nusu ekari, Muchangi anasema hajawahi kufanya kazi nyingine tangu aliporithi ardhi hiyo kutoka kwa baba yake alipokuwa na umri wa miaka 13. Sasa ana umri wa miaka 43. Kwa mujibu wa Bruno Linyuri, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya, Kenya ina takribani wakulima wadogo wa kahawa 800,000 walioko katika maeneo 33 ya uzalishaji. Wakulima hawa huzalisha takribani asilimia 70 ya kahawa ya Kenya, ambayo pia ni moja ya vyanzo vikuu vya mapato ya fedha za kigeni nchini. Maeneo ya kilimo cha kahawa nchini Kenya yanajumuisha baadhi ya maeneo muhimu sana kiikolojia, ikiwa ni&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/29/eudr-wakulima-wa-kahawa-kenya-wakabiliwa-na-kanuni-za-umoja-wa-ulaya-kuhusu-ukataji-miti-wakati-upotevu-wa-misitu-unaendelea/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/29/eudr-wakulima-wa-kahawa-kenya-wakabiliwa-na-kanuni-za-umoja-wa-ulaya-kuhusu-ukataji-miti-wakati-upotevu-wa-misitu-unaendelea/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/18/jamii-ya-bonde-la-kerio-inatumainia-suluhisho-la-kudumu-baada-ya-maporomoko-ya-ardhi-ya-mara-kwa-mara/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/18/jamii-ya-bonde-la-kerio-inatumainia-suluhisho-la-kudumu-baada-ya-maporomoko-ya-ardhi-ya-mara-kwa-mara/#respond</comments>
					<pubDate>18 Mechi 2026 20:28:11 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dann Okoth]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/18191437/Screenshot-2026-03-18-220925-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1154</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mimea, Misitu, Miti, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mabadiliko ya Tabianchi, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Ukataji Miti, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni sehemu ya kwanza ya nakala hii kuhusu maporomoko ya ardhi yaliyotokea nchini Kenya baada ya msimu wa mvua Novemba 2025. Soma sehemu ya pili hapa. KERIO VALLEY, Kenya &#8211; Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Kenya tangu Februari zinazidi kuacha alama zisizofutika kwa watu mijini na vijijini, huku jamii zikikabiliana na majanga. Tayari barabara [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/18/jamii-ya-bonde-la-kerio-inatumainia-suluhisho-la-kudumu-baada-ya-maporomoko-ya-ardhi-ya-mara-kwa-mara/" data-wpel-link="internal">Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni sehemu ya kwanza ya nakala hii kuhusu maporomoko ya ardhi yaliyotokea nchini Kenya baada ya msimu wa mvua Novemba 2025. Soma sehemu ya pili hapa. KERIO VALLEY, Kenya &#8211; Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Kenya tangu Februari zinazidi kuacha alama zisizofutika kwa watu mijini na vijijini, huku jamii zikikabiliana na majanga. Tayari barabara zimezibwa, madaraja yameanguka, huku mashamba yakijaa maji na mafuriko yakizua hofu ya vifo zaidi. Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kufariki kote nchini kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua tangu Februari 2026. Maelfu ya familia pia yamepoteza makazi yao, na wengine wengi kuathirika kwa njia nyingine mbalimbali. Lakini hata kabla ya mvua na mafuriko ya 2026 ambayo yamegonga vichwa vya habari, Bonde la Kerio lililoko magharibi mwa Kenya, lilikuwa limeshuhudia vifo vya takriban watu 39 katika mazingira ya kutatanisha. Ilikuwa Oktoba 31, mwaka jana, wakati ghafla maporomoko ya ardhi yalisomba nyumba, miti, na mashamba ya wakazi wa kijiji cha Chesongoch, Elgeyo Marakwet na kuwazika wengi wakiwa bado hai. Hadi sasa, zaidi ya familia 600, ambazo ni baadhi ya wale walioathiriwa, bado zinaishi kwenye makambi ya wahamiaji wa ndani, huku hofu ya mikasa zaidi ikitanda, hasa baada ya Idara ya Hali ya Hewa kutangaza uwezekano wa mvua zaidi. Hata hivyo, historia ya maporomoko ya ardhi katika eneo hili ni ndefu na yenye mafunzo ya dhahiri. Tukio hilo la mwaka 2025 liliashiria hatari iliyojirudia: mwaka 2010 vifo 14, na mwaka 2012 vifo 26. Mongabay kwenye eneo la tukio Mwezi Februari, 2026, timu ya Mongabay ilitembelea nyumbani kwa Mathias Chelimo katika&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/18/jamii-ya-bonde-la-kerio-inatumainia-suluhisho-la-kudumu-baada-ya-maporomoko-ya-ardhi-ya-mara-kwa-mara/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/18/jamii-ya-bonde-la-kerio-inatumainia-suluhisho-la-kudumu-baada-ya-maporomoko-ya-ardhi-ya-mara-kwa-mara/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Shughuli za eneo la mapumziko la kifahari kisiwani Pemba zinaendelea licha ya hofu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/10/shughuli-za-eneo-la-mapumziko-la-kifahari-kisiwani-pemba-zinaendelea-licha-ya-hofu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/10/shughuli-za-eneo-la-mapumziko-la-kifahari-kisiwani-pemba-zinaendelea-licha-ya-hofu/#respond</comments>
					<pubDate>10 Mechi 2026 20:26:42 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/22203304/Screenshot-2026-04-22-233211-768x474.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1423</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Bioanuai ya Misitu ya Mvua, Haki za Kimazingira, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Mamalia, Mazingira, Misitu, Misitu ya Kitropiki, Misitu ya Mvua, Miti, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Ustawi wa Wanyama, Utawala, Wadudu, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mapema mwaka huu, wafanyakazi walijenga ukuta wa mzunguko kwa ajili ya hoteli ya kifahari katika kisiwa cha Pemba kando ya pwani ya Tanzania. Kuna taarifa chache za umma kuhusu maendeleo ya Mantuli, lakini ukuta huo upo mita mia chache tu magharibi mwa ardhi ya hekta 1,440 (sawa na ekari 3,558) ya Hifadhi ya Asili ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/10/shughuli-za-eneo-la-mapumziko-la-kifahari-kisiwani-pemba-zinaendelea-licha-ya-hofu/" data-wpel-link="internal">Shughuli za eneo la mapumziko la kifahari kisiwani Pemba zinaendelea licha ya hofu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mapema mwaka huu, wafanyakazi walijenga ukuta wa mzunguko kwa ajili ya hoteli ya kifahari katika kisiwa cha Pemba kando ya pwani ya Tanzania. Kuna taarifa chache za umma kuhusu maendeleo ya Mantuli, lakini ukuta huo upo mita mia chache tu magharibi mwa ardhi ya hekta 1,440 (sawa na ekari 3,558) ya Hifadhi ya Asili ya Msitu wa Ngezi-Vumawimbi, ambako wanasayansi wamegundua zaidi ya aina 80 za mimea katika miaka ya hivi karibuni, ambazo baadhi wanahofia zitatoweka kutokana na maendeleo hayo. Kulingana na bao la matangazo karibu na msitu na mipango iliyochapishwa awali kwenye tovuti ya kampuni ya Acoarch Architects iliyo na makao yake makuu Afrika Kusini, vyumba vya mapumziko, madimbwi ya kuogelea, kituo cha mazoezi ya mwili na sehemu za kahawa vitaenea kando ya umbali wa kilomita 3 (karibu maili 2) ya fukwe za Vumawimbi, kuwanyima wakazi wa kijiji cha Makangale kilicho karibu na bahari ufikiaji wa bahari hiyo. Baadhi ya maudhui ya mtandaoni yametolewa, na kampuni ya usanifu majengo haikujibu maswali ya Mongabay. Tim Caro ni mwanaikolojia wa mageuzi ambaye amefanya utafiti katika eneo hilo na ni mwanachama wa shirika la hisani lililosajiliwa nchini Uingereza, kwa jina la Friends of Ngezi, ambalo hufanya kazi na jamii na kukuza uhifadhi wa msitu. Alisema karibu theluthi moja ya wakazi wa Makangale hujihusisha na shughuli za uvuvi, wakifanya safari za kuvua na boti zao kutoka fukwe za Vumawimbi, ambazo pia ni sehemu maarufu ya kubarizi na burudani kwa wakazi wa kisiwani humo. &#8220;Kulingana na ripoti za kila wiki tunazozipokea kutoka kwa jamii,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/10/shughuli-za-eneo-la-mapumziko-la-kifahari-kisiwani-pemba-zinaendelea-licha-ya-hofu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/10/shughuli-za-eneo-la-mapumziko-la-kifahari-kisiwani-pemba-zinaendelea-licha-ya-hofu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kuokoa misitu ya Tanzania kupitia matumizi ya nishati safi ya kupikia bado ni kitendawili</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/02/03/kuokoa-misitu-ya-tanzania-kupitia-matumizi-ya-nishati-safi-ya-kupikia-bado-ni-kitendawili/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/02/03/kuokoa-misitu-ya-tanzania-kupitia-matumizi-ya-nishati-safi-ya-kupikia-bado-ni-kitendawili/#respond</comments>
					<pubDate>03 Februari 2026 13:36:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/02/03130636/wino-3-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=989</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Misitu, Miti, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati Mbadala, Nishati safi, na  Ufanisi wa nishati]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni sehemu ya kwanza ya habari kuhusu Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia, mpango uliozinduliwa kwa lengo la kuokoa misitu. Soma sehemu ya pili hapa.  Katika kipindi ambacho misitu ya Tanzania inaendelea kupotea kwa kasi kutokana ukataji miti unaochochewa na matumizi makubwa ya kuni na mkaa, serikali imezindua Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/02/03/kuokoa-misitu-ya-tanzania-kupitia-matumizi-ya-nishati-safi-ya-kupikia-bado-ni-kitendawili/" data-wpel-link="internal">Kuokoa misitu ya Tanzania kupitia matumizi ya nishati safi ya kupikia bado ni kitendawili</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni sehemu ya kwanza ya habari kuhusu Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia, mpango uliozinduliwa kwa lengo la kuokoa misitu. Soma sehemu ya pili hapa.  Katika kipindi ambacho misitu ya Tanzania inaendelea kupotea kwa kasi kutokana ukataji miti unaochochewa na matumizi makubwa ya kuni na mkaa, serikali imezindua Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia (NSCCE 2024–2034). Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya kaya za Watanzania zinatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034. Uamuzi huu ulitangazwa Mei 2024 na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kama sehemu ya jitihada za kupunguza ukataji misitu, kulinda afya za wananchi wanaotumia mkaa na kuni, na kufikia malengo ya kimataifa ya kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Ripoti ya utafiti wa mwaka 2021 uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Traditional Energy Development Organization (TaTEDO) ilionyesha kuwa asilimia 90 ya kaya za Tanzania hutegemea zaidi mkaa au kuni, huku asilimia 97 ya familia za vijijini zikiathiriwa na moshi hatari wa kuni wanapopika majumbani. Ripoti hiyo inaonyesha ongezeko la matumizi ya mkaa katika kipindi cha miaka kumi — 2007 hadi 2017 — kutokana na miji kuongezeka, hali inayoongeza hatari ya uharibifu wa misitu. Ripoti hiyo ilionya kuwa iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa kudhibiti hali hiyo, matumizi ya nishati hiyo yanakadiriwa kuongezeka maradufu ifikapo mwaka 2030. Wakati  huo huo, Ripoti ya Pamoja ya Utendaji wa Kiuchumi wa Kanda ya Mwaka 2025 (Consolidated Zonal Economic Performance Report 2025) inaonyesha kuwa mauzo ya mkaa nchini Tanzania yaliongezeka kutoka $1,377,953 (TSh bilioni 3.5) kwa mwaka ulioishia Machi, 2023&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/02/03/kuokoa-misitu-ya-tanzania-kupitia-matumizi-ya-nishati-safi-ya-kupikia-bado-ni-kitendawili/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/02/03/kuokoa-misitu-ya-tanzania-kupitia-matumizi-ya-nishati-safi-ya-kupikia-bado-ni-kitendawili/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utashi wa kisiasa ni kila kitu: Mahojiano na Waziri wa Mazingira Deborah Barasa</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/30/utashi-wa-kisiasa-ni-kila-kitu-mahojiano-na-waziri-wa-mazingira-deborah-barasa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/30/utashi-wa-kisiasa-ni-kila-kitu-mahojiano-na-waziri-wa-mazingira-deborah-barasa/#respond</comments>
					<pubDate>30 Januari 2026 08:51:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/30072323/Screenshot-2026-01-30-101405-768x478.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=983</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ahadi za kutokomeza ukataji miti, Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Haki za Kimazingira, Mazingira, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Upandaji Miti, Urejeshaji wa Ikolojia, Utawala, na  Utekelezaji wa Sheria]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwaka 2022, William Ruto alipochaguliwa kuwa rais wa Kenya, aliahidi kuwa serikali yake itapanda miti bilioni 15 ifikapo mwaka 2032. Wafuatiliaji wengi waliiona ahadi hiyo kuwa ya kishujaa na yenye malengo makubwa, ahadi inayohitaji mipango ya pamoja, mifumo thabiti ya ufuatiliaji, ufadhili endelevu, pamoja na usimamizi wa muda mrefu kwa kiwango kikubwa sana. Kulingana na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/30/utashi-wa-kisiasa-ni-kila-kitu-mahojiano-na-waziri-wa-mazingira-deborah-barasa/" data-wpel-link="internal">Utashi wa kisiasa ni kila kitu: Mahojiano na Waziri wa Mazingira Deborah Barasa</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwaka 2022, William Ruto alipochaguliwa kuwa rais wa Kenya, aliahidi kuwa serikali yake itapanda miti bilioni 15 ifikapo mwaka 2032. Wafuatiliaji wengi waliiona ahadi hiyo kuwa ya kishujaa na yenye malengo makubwa, ahadi inayohitaji mipango ya pamoja, mifumo thabiti ya ufuatiliaji, ufadhili endelevu, pamoja na usimamizi wa muda mrefu kwa kiwango kikubwa sana. Kulingana na makadirio ya Wizara ya Mazingira, Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Misitu, takribani miti bilioni 1.5 imepandwa hadi sasa. Katika mahojiano ya hivi karibuni na David Akana wa Mongabay Jijini Nairobi, Waziri wa Mazingira wa Kenya, Deborah Barasa, alisema kwamba nchi bado inaweza kufikia lengo la kupanda miti bilioni 15. Hata hivyo, wakati Waziri anatoa kauli hiyo,  ripoti za hivi karibuni za vyombo vya habari kuhusu kampeni ya upandaji miti zimeonyesha mpango huo unakabiliwa na changamoto kubwa. Miongoni mwa changamoto hizo ni upungufu wa fedha, uhaba wa wafanyakazi na miche ya miti pamoja na hali ya ukame iliyodumu kwa muda mrefu. Baadhi ya wataalam wa uhifadhi wanasema kwamba kupanda miti siyo suluhisho la changamoto zote, na kwamba bila mifumo thabiti ya ufuatiliaji na uwajibikaji ulio wazi, juhudi hizi zinaweza kubakia tu kwenye kuhesabu miche badala ya kurejesha mifumo ya ikolojia. Barasa alikiri kwamba kazi hiyo ni nzito, lakini akasisitiza kuwa utashi wa kisiasa na msukumo mkubwa kutoka ngazi za juu za Serikali, pamoja na kitendo cha jamii kuwa na umiliki wa kweli  wa kampeni hiyo, vinaweza kuifanya ahadi hiyo iwe na matokeo endelevu. Barasa alitoa maelezo haya wakati wa sherehe za kuadhimisha urithi wa Wangari Maathai,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/30/utashi-wa-kisiasa-ni-kila-kitu-mahojiano-na-waziri-wa-mazingira-deborah-barasa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/30/utashi-wa-kisiasa-ni-kila-kitu-mahojiano-na-waziri-wa-mazingira-deborah-barasa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Rekodi juu ya rekodi: Truphena Muthoni atambuliwa tena na Guinness kwa saa 72 za kukumbatia mti</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/26/rekodi-juu-ya-rekodi-truphena-muthoni-atambuliwa-tena-na-guinness-kwa-saa-72-za-kukumbatia-mti/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/26/rekodi-juu-ya-rekodi-truphena-muthoni-atambuliwa-tena-na-guinness-kwa-saa-72-za-kukumbatia-mti/#respond</comments>
					<pubDate>26 Januari 2026 20:38:31 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/26205033/Screenshot-2026-01-26-234957-768x413.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=966</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Mazingira, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uanaharakati, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Usimamizi wa Misitu wa Jamii]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwanaharakati chipukizi wa mazingira, Truphena Muthoni, ameweka historia tena kwa kuingia katika Kitabu cha Rekodi cha Guinness kwa mara ya pili, baada ya kukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo kama njia ya &#8220;maandamano ya kimya kimya’’ kupinga uharibifu wa misitu ya asili. Kwa mujibu wa taarifa ya Guinness World Records iliyochapishwa kwenye tovuti yake Januari [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/26/rekodi-juu-ya-rekodi-truphena-muthoni-atambuliwa-tena-na-guinness-kwa-saa-72-za-kukumbatia-mti/" data-wpel-link="internal">Rekodi juu ya rekodi: Truphena Muthoni atambuliwa tena na Guinness kwa saa 72 za kukumbatia mti</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwanaharakati chipukizi wa mazingira, Truphena Muthoni, ameweka historia tena kwa kuingia katika Kitabu cha Rekodi cha Guinness kwa mara ya pili, baada ya kukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo kama njia ya &#8220;maandamano ya kimya kimya’’ kupinga uharibifu wa misitu ya asili. Kwa mujibu wa taarifa ya Guinness World Records iliyochapishwa kwenye tovuti yake Januari 26 mwaka 2026, rekodi ya muda mrefu zaidi ya kukumbatia mti mfululizo ni saa 72, iliyofikiwa na Truphena Muthoni (Kenya) jijini Nairobi, Kenya, kuanzia Desemba 8 hadi 11 mwaka 2025. Katika maelezo yake kwa Guinness World Records, Truphena alisema aliamua kufanya jaribio hilo “ili kupaza sauti kutetea ulinzi wa miti ya asili pamoja na kuheshimu hekima ya jamii za asili, ambazo mifumo yake ya maarifa inaendelea kuwa nguzo muhimu katika kutafuta suluhisho za kimataifa za mabadiliko ya tabianchi.” Mafanikio haya ya saa 72, akiwa katika Kaunti ya Nyeri, yamevuka rekodi yake ya awali aliyoiweka mnamo Februari mwaka 2025, alipokumbatia mti kwa saa 48 katika Bustani ya Kumbukumbu ya Michuki, jijini Nairobi. Rekodi hiyo ya awali pia ilitambuliwa rasmi na Guinness World Records mwezi Desemba mwaka 2025. Akiwa na dhamira thabiti ya kuonyesha kile kilicho ndani ya uwezo wake kwa dunia nzima, Truphena hakula, hakulala wala hakuachilia shina la mti hadi alipotimiza lengo lake. Katika matukio yote mawili, alizungukwa na wahudumu wa afya pamoja na wananchi waliokuwa wakifuatilia tukio hilo. Truphena Muthoni katika ofisi ya Gavana wa Nyeri, Mutahi Kahiga, muda mfupi baada ya Guinness World Records kutambua changamoto yake ya kukumbatia mti kwa saa 72&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/26/rekodi-juu-ya-rekodi-truphena-muthoni-atambuliwa-tena-na-guinness-kwa-saa-72-za-kukumbatia-mti/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/26/rekodi-juu-ya-rekodi-truphena-muthoni-atambuliwa-tena-na-guinness-kwa-saa-72-za-kukumbatia-mti/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/#respond</comments>
					<pubDate>16 Januari 2026 13:59:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amos Kareithi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/17041951/Screenshot-2026-01-17-071935-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=958</guid>

					
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maji, Mimea, Misitu, Miti, Samaki, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni nakala ya pili katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya kwanza hapa. Kumbukumbu za maisha ya utotoni za Gerald Ngatia, afisa mstaafu wa misitu, mwenye umri wa miaka 74, zimemwezesha kusimulia jinsi hapo awali Mto Sagana ungeweza kumbeba tembo na kumpelekea nyanda za chini. “Leo hata panya anaweza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/" data-wpel-link="internal">Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni nakala ya pili katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya kwanza hapa. Kumbukumbu za maisha ya utotoni za Gerald Ngatia, afisa mstaafu wa misitu, mwenye umri wa miaka 74, zimemwezesha kusimulia jinsi hapo awali Mto Sagana ungeweza kumbeba tembo na kumpelekea nyanda za chini. “Leo hata panya anaweza kuuvuka mto. Wakati mwingine tunafanya mikutano ya uhifadhi huku tukikalia mawe katikati ya mto uliokauka kati ya mwezi wa Septemba na mwezi Oktoba, wakati mtiririko wake wa kimazingira uko chini sana,” Ngatia, ambaye ameishi pembezoni mwa Msitu wa Hombe katika Mpango wa Makazi ya Sagana tangu utotoni, aliielezea Mongabay. Gerald Ngatia, afisa mstaafu wa misitu, mwenye umri wa miaka 74, akiwa katika ziara zake karibu na Mto Sagana. Picha na Amos Kareithi. Waendeshaji wa mitumbwi wakipita kwenye maji ya Mto Sagana wakati wa majaribio ya mashindano katika kambi ya maporomoko ya maji ya Sagana mnamo Julai 2025, wakati wa mvua. Picha na Morris Githenya. Hata hivyo, Mto Sagana sio pekee ulioko kwenye mfumo tata wa ikolojia ya Mlima Kenya, ambao viwango vyake vya maji vimepungua mara kadhaa. Mito Rigati na Thegu, ambayo hupokea maji yao kutoka Mlima Kenya na katika hatua mbalimbali kuungana na Mto Sagana, pia inajikakamua. Juu zaidi ya nyanda za juu za Laikipia, Mongabay ilipata mito mingine mikavu. Wafugaji wa mbuzi walikaa juu ya mawe yaliyopogwa kwa maji huku mifugo wao wakijaribu kunywa maji kutoka kwenye vidimbwi madogo yenye harufu kwenye mito hiyo mikavu. Ruth Waithera, anayeishi karibu na Mto Nanyuki, anahadithia kwamba alilazimika kufua nguo katika kile&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/#respond</comments>
					<pubDate>13 Januari 2026 21:05:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amos Kareithi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/14135833/Screenshot-2026-01-14-165633-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=931</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Barafu, Chakula, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Maji ya kunywa, Mazingira, Maziwa, Milima, Misitu, Misitu ya Milimani, Miti, Samaki, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ndiyo nakala ya kwanza katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya pili hapa. Juu ya vilele vya Mlima Kenya, ambako barafu iliwahi kuonekana kama ya milele, na mito kutiririka kwa uhakika kuelekea mabonde yaliyojaa uhai, kuna ishara za hatari zinazoonekana wazi leo. Kupungua kwa barafu za mlima huu wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/" data-wpel-link="internal">Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ndiyo nakala ya kwanza katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya pili hapa. Juu ya vilele vya Mlima Kenya, ambako barafu iliwahi kuonekana kama ya milele, na mito kutiririka kwa uhakika kuelekea mabonde yaliyojaa uhai, kuna ishara za hatari zinazoonekana wazi leo. Kupungua kwa barafu za mlima huu wa kihistoria hakumaanishi tu kupotea kwa mandhari ya asili, bali pia kunafungua ukurasa mpya wa changamoto kwa mazingira, mito, na jamii zinazoutegemea. Safari ya Lewis Pugh, Msimamizi wa Mradi wa Bahari katika Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP), hadi kwenye barafu za mwisho za Mlima Kenya, inatoa taswira ya kusikitisha ya athari halisi za mabadiliko ya tabianchi, zinazotoka juu ya mlima na kushuka hadi mashambani, misituni na vijijini, ambako maji, imani na maisha yenyewe yako hatarini. Pugh, aliyeshikilia nafasi hiyo katika shirika la UNEP tangu mwaka 2013, aliwasili nchini Kenya kwa matumaini kuwa uwezo wake wa kutoa hotuba zenye mvuto, ulioimarishwa kwa miaka 27 iliyopita, ungezivutia hisia za dunia, kwa namna fulani, kwenye athari mbaya za ongezeko la joto duniani katika eneo la Mlima Kenya. Lewis Pugh, Mwakilishi wa Bahari katika Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP), aliyeukwea Mlima Kenya mnamo Desemba 2025. Picha na Duncan Moore, UNEP. Huku ulimwengu ukijiandaa kwa sikukuu ya Krismasi, kati ya tarehe 4 hadi tarehe 8 mwezi Desemba 2025, Pugh aliparaga kupitia miamba iliyomikali ya volkeno, baadhi ikiwa na umri wa miaka milioni 4, hadi urefu wa mita 4,985 (futi 16,355) juu ya kilele cha Lenana. Lengo lake kuu lilikuwa kuogelea katika Ziwa Lewis.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanamke wa Kenya akumbatia mti kwa saa 72 kupinga kupotea kwa miti anayoipenda</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/#respond</comments>
					<pubDate>18 Desemba 2025 17:05:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/12/23191640/Screenshot-2025-12-23-200925-2-768x485.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=843</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Kuokoa Misitu, Mazingira, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Jamii, Miti, Uanaharakati, Uepukaji wa Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu, Ukataji Miti, na  Visababishi vya Ukataji Misitu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwanamke mwenye umri wa miaka 22 amepongezwa baada ya kuukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo licha ya hali ya hewa kugubikwa na joto lisilotabirika pamoja na mvua. Tukio hilo lililomfanya mwanamke huyo kuwa kivutio, lilitokea karibu na Mlima Kenya. Kwa ustahimilivu huo, Truphena Muthoni ameivunja rekodi yake ya awali ya kukumbatia mti kwa saa 48 aliyoweka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/" data-wpel-link="internal">Mwanamke wa Kenya akumbatia mti kwa saa 72 kupinga kupotea kwa miti anayoipenda</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwanamke mwenye umri wa miaka 22 amepongezwa baada ya kuukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo licha ya hali ya hewa kugubikwa na joto lisilotabirika pamoja na mvua. Tukio hilo lililomfanya mwanamke huyo kuwa kivutio, lilitokea karibu na Mlima Kenya. Kwa ustahimilivu huo, Truphena Muthoni ameivunja rekodi yake ya awali ya kukumbatia mti kwa saa 48 aliyoweka mapema mwaka huu. Ijumaa, kitabu cha kumbukumbu za maajabu duniani, ama Guinness World Records,kilitambua rasmi rekodi yake ya saa 48, siku moja baada ya kuivunja katika zoezi lililodumu kwa saa 72. “Muda mrefu zaidi wa kuukumbatia mti ni saa 48 na ulifikiwa na Truphena Muthoni (Kenya) huko Nairobi, katika zoezi lililoanza tarehe 31 Januari na kukamilika tarehe 2 Februari 2025,” ilisema taarifa ya Guinness World Records. Muthoni anasherehekea kutambuliwa huko. “Hatimaye imerejea nyumbani. Saa zangu 48 za rekodi ya kukumbatia mti kwa muda mrefu zaidi imesajiliwa. Asante Mungu. Asanteni Wakenya kwa msaada wenu. Sasa nasubiri saa 72 za kukumbatia mti mfululizo zitambuliwe,” Muthoni aliandika kwenye ukurasa wa Facebook. Katika mafanikio yake hayo ya hivi karibuni, Muthoni alikuwa imara, aliuzungushia mikono yake mti mkubwa aina ya Roystonea regia, uliokuwa karibu na ofisi za serikali ya Kaunti ya Nyeri. Wananchi wa kawaida, maafisa wa serikali, maafisa wa polisi na wahudumu wa afya walimzunguka na kumshangilia wakati wa zoezi hilo. Truphena Muthoni, ambaye alikumbatia mti kwa saa 72 katika Kaunti ya Nyeri, Kenya, chini ya Mlima Kenya. Zoezi hilo lilimalizika tarehe 11 Desemba 2025. Picha: Ukurasa wa X wa Mutahi Kahiga. Kwa Muthoni, “maandamano hayo ya kimya kimya”&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mjini Kivu nchini DRC, Moringa unatoa manufaa muhimu kiafya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/10/09/mjini-kivu-nchini-drc-moringa-unatoa-manufaa-muhimu-kiafya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/10/09/mjini-kivu-nchini-drc-moringa-unatoa-manufaa-muhimu-kiafya/#respond</comments>
					<pubDate>09 Oktoba 2025 19:27:49 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Blaise Kasereka Makuta]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/11/03193952/Screenshot-2025-11-03-223837-768x473.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=725</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Ikolojia, Kilimo, Kilimo-ikolojia, Maarifa ya Jadi, Mazingira, Mimea, Mimea yenye Tiba, Misitu, Miti, Sheria ya Mazingira, Ufugaji, Ufugaji wa Uhifadhi, na  upatikanaji wa chakula]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Moringa, mti ambao mara nyingi huhusishwa na eneo lake la asili la taifa la India, pia ni mmea wenye thamani unaopatikana maelfu ya maili kutoka eneo la Kivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ndani ya nchi, mti wa Moringa huchukua jukumu muhimu la utengenezaji wa dawa za jadi, za jadi-kileo (mchanganyiko wa dawa za [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/10/09/mjini-kivu-nchini-drc-moringa-unatoa-manufaa-muhimu-kiafya/" data-wpel-link="internal">Mjini Kivu nchini DRC, Moringa unatoa manufaa muhimu kiafya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Moringa, mti ambao mara nyingi huhusishwa na eneo lake la asili la taifa la India, pia ni mmea wenye thamani unaopatikana maelfu ya maili kutoka eneo la Kivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ndani ya nchi, mti wa Moringa huchukua jukumu muhimu la utengenezaji wa dawa za jadi, za jadi-kileo (mchanganyiko wa dawa za zamani na mpya) na za kisasa. Kulingana na watabibu na wagonjwa kadhaa wa kienyeji, kutokana na sifa zake za matibabu, moringa unaweza kutumika kutibu magonjwa mbalimbali kama vile kisukari, maumivu ya misuli, udhaifu wa kijinsia na mengine mengi. &#8220;Kando na sifa zake za dawa, moringa una faida nyingi; ni mti wa asili unaorutubisha,&#8221; Jackeline Muderwa, mwanamke mwenye umri wa miaka 69 na mtabibu kutoka mtaa wa Mugunga huko Goma, alielezea katika mahojiano na Mongabay. Anaihusisha na kipindi cha ukoloni wa Ubelgiji karibu katikati ya karne ya 20. &#8220;Wabelgiji waliipanda miti ya moringa kwenye bustani zao na kuitumia kutibu magonjwa yao fulani. Naamini hapo ndipo tulipofahamu manufaa yake. Mara nyingi hata msituni, uwepo wake ulidhihirisha uwepo wa babu wa mtu mahali hapo ambaye huenda alihama.&#8221; Moringa, kwa jina la kibayolojia Moringa oleifera, ni mti unaokua kwa haraka wa familia ya Moringaceae; jina la kibayolojia. Ingawa umeainishwa kimataifa kama spishi isiyojali sana kwenye Orodha Nyekundu ya shirika la IUCN, mti huu unahitaji uangalizi maalum. Hulimwa hasa katika maeneo ya nusu-kame, kitropiki na maeneo ya nusu-tropiki. (Kushoto) Spishi ya Moringa, kwa jina la kibayolojia Moringa oleifera, ni spishi ya miti asili wa India lakini pia inatumika DRC kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/10/09/mjini-kivu-nchini-drc-moringa-unatoa-manufaa-muhimu-kiafya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/10/09/mjini-kivu-nchini-drc-moringa-unatoa-manufaa-muhimu-kiafya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mpango wa PELIS wa Kenya &#8216;wauza’ bioanuai ili kupata riziki na faida za miti</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/09/09/mpango-wa-pelis-wa-kenya-wauza-bioanuai-ili-kupata-riziki-na-faida-za-miti/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/09/09/mpango-wa-pelis-wa-kenya-wauza-bioanuai-ili-kupata-riziki-na-faida-za-miti/#respond</comments>
					<pubDate>09 Septemba 2025 16:04:20 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Isaiah Esipisu]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/23163409/Screenshot-2025-09-23-193259-768x469.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=467</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ardhi iliyoharibika, Bioanuai, Ikolojia, Kilimo, Maendeleo ya Jamii, Mifumo ya Ikolojia, Misitu, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Upandaji Miti, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KAKAMEGA, Kenya — Msitu wa mvua wa kitropiki ulienea mashariki kutoka Bonde la Kongo hadi eneo ambalo sasa ni magharibi mwa Kenya. Hayo karibu yote yamepita sasa, ingawa bado kuna miti mingi ya kuonekana karibu na kitongoji cha Turbo, kaunti ya Kakamega. Mji uko kwenye ukingo wa Hifadhi ya Msitu wa Nzoia, hekta 5,000 (Takriban ekari [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/09/09/mpango-wa-pelis-wa-kenya-wauza-bioanuai-ili-kupata-riziki-na-faida-za-miti/" data-wpel-link="internal">Mpango wa PELIS wa Kenya &#8216;wauza’ bioanuai ili kupata riziki na faida za miti</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KAKAMEGA, Kenya — Msitu wa mvua wa kitropiki ulienea mashariki kutoka Bonde la Kongo hadi eneo ambalo sasa ni magharibi mwa Kenya. Hayo karibu yote yamepita sasa, ingawa bado kuna miti mingi ya kuonekana karibu na kitongoji cha Turbo, kaunti ya Kakamega. Mji uko kwenye ukingo wa Hifadhi ya Msitu wa Nzoia, hekta 5,000 (Takriban ekari 12,400) wa miti aina moja ya kigeni ya mikaratusi na misonobari. Kwa miaka 20 iliyopita, wakati Kenya ikihangaika na jinsi ya kupunguza na kurejesha nyuma upotevu wa haraka wa miti, swali finyu la jinsi ya kudhibiti mashamba mengi ya mbao nchini limejitokeza katika mfumo unaolenga kuboresha maisha, unaojulikana kama Plantation Establishment and Livelihood Improvement Scheme, au PELIS. Mpango huo umesifiwa na kulaaniwa, ukichukuliwa na baadhi ya watu kama njia bora na ya gharama nafuu ya kupanua wigo wa miti huku ikichangia mapato ya ndani na uwekezaji wa jamii katika kulinda misitu; na kukosolewa vikali na wengine kwa kuhimiza ufisadi, kuwezesha uvamizi wa mashamba kwenye ardhi yenye misitu, na kupunguza bioanuai. Maafisa wa Huduma ya Misitu nchini Kenya na wanachama wa Muungano wa misitu ya Jamii ya Nzoia wakipanda miti. Picha na Isaiah Esipisu wa Mongabay. Ukianzishwa mwaka 2007, mpango wa PELIS ni mrithi wa mfumo wa shamba, ambao uliwapa Wakenya wanaoishi karibu na mashamba ya miti mashamba madogo ya kulima katika sehemu za hifadhi za misitu ambazo zilihitaji kupandwa tena baada ya miti kuvunwa au kuharibiwa na moto. Wakulima walitakiwa kupanda miche ya miti katikati ya mazao waliyolima kwa matumizi yao wenyewe, kutunza miche hadi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/09/09/mpango-wa-pelis-wa-kenya-wauza-bioanuai-ili-kupata-riziki-na-faida-za-miti/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/09/09/mpango-wa-pelis-wa-kenya-wauza-bioanuai-ili-kupata-riziki-na-faida-za-miti/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/08/15/kutoka-kuhesabu-miti-hadi-kuongeza-ustahimilivu-wa-tabianchi-kampala-yaelekeza-juhudi-kwenye-misitu-yake/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/08/15/kutoka-kuhesabu-miti-hadi-kuongeza-ustahimilivu-wa-tabianchi-kampala-yaelekeza-juhudi-kwenye-misitu-yake/#respond</comments>
					<pubDate>15 Agosti 2025 18:38:00 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Victoria Schneider]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/25183952/Screenshot-2025-09-25-213910-768x474.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=527</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Hali Mbaya ya Hewa, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mimea, Misitu, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Upandaji Miti, Upangaji wa Miji, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KAMPALA — Miaka kumi iliyopita, Mji Mkuu wa Uganda, Kampala, ulikuwa ukikabiliwa na tatizo la ajabu &#8211; miti ilikuwa ikianguka barabarani, kujeruhi watu na kusababisha uharibifu wa magari na mali nyingine. Halmashauri ya Jiji ilifanya uchunguzi na kugundua kuwa chanzo kikubwa cha tatizo hilo kilikuwa ni miti ya zamani iliyozeeka. Kufuatia hali hiyo, Mamlaka ya Jiji la [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/08/15/kutoka-kuhesabu-miti-hadi-kuongeza-ustahimilivu-wa-tabianchi-kampala-yaelekeza-juhudi-kwenye-misitu-yake/" data-wpel-link="internal">Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KAMPALA — Miaka kumi iliyopita, Mji Mkuu wa Uganda, Kampala, ulikuwa ukikabiliwa na tatizo la ajabu &#8211; miti ilikuwa ikianguka barabarani, kujeruhi watu na kusababisha uharibifu wa magari na mali nyingine. Halmashauri ya Jiji ilifanya uchunguzi na kugundua kuwa chanzo kikubwa cha tatizo hilo kilikuwa ni miti ya zamani iliyozeeka. Kufuatia hali hiyo, Mamlaka ya Jiji la Kampala (KCCA) ilianzisha mpango uliosaidia si tu kutatua tatizo la miti kuanguka, bali pia kuleta maboresho ya muda mrefu katika miundombinu ya kijani ya jiji na ustahimilivu wake dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Mwaka 2016, KCCA ilizindua zoezi la miaka miwili la kuhakiki miti katika jiji lote, ambapo wataalamu wa misitu 10 na wataalamu wa takwimu wawili walihesabu na kufanya tathmini ya kila mti kwenye wilaya nne kati ya zile zilizoko katika jiji hilo. Wilaya zilizohusishwa kwenye mpango huo ni; Kololo, Nakasero, Mulago na Makerere. “Hatukuwa na takwimu za awali. Hatukujua tulicho nacho wala tunapotoka,” alisema mtaalamu wa misitu ya mijini kutoka KCCA, Padde Daniel, alipokuwa akizungumza na Mongabay wakati wa Mkutano wa Misitu ya Mijini uliofanyika Johannesburg, Afrika Kusini, mapema mwaka huu. Makutano ya barabara ya Fairway yanayotazamana na uwanja wa gofu wa Kitante, Kampala. Picha na Padde Daniel. Daniel alikuwa mmoja wa wahitimu wapya katika taaluma ya masuala ya misitu walioitwa na KCCA kuongoza juhudi hizo. Yeye na wenzake walihesabu miti kwa njia ya kawaida katika maeneo ya umma na binafsi, zikiwemo hifadhi za mijini. Walikusanya taarifa kwa kutumia vigezo 23, vikiwemo ukubwa wa mti, mahali ulipo, aina ya spishi na hali ya kiafya. Kwa mwaka&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/08/15/kutoka-kuhesabu-miti-hadi-kuongeza-ustahimilivu-wa-tabianchi-kampala-yaelekeza-juhudi-kwenye-misitu-yake/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/08/15/kutoka-kuhesabu-miti-hadi-kuongeza-ustahimilivu-wa-tabianchi-kampala-yaelekeza-juhudi-kwenye-misitu-yake/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ufichuaji wa uharibifu wa misitu katika hifadhi ya sokwe baada ya mashambulizi ya M23 nchini DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/05/31/ufichuaji-uharibifu-misitu-katika-hifadhi-ya-sokwe-baada-ya-mashambulizi-ya-m23-nchini-drc/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/05/31/ufichuaji-uharibifu-misitu-katika-hifadhi-ya-sokwe-baada-ya-mashambulizi-ya-m23-nchini-drc/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mei 2025 14:21:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie TotoLatoya Abulu]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/12135717/Screenshot-2025-09-12-165630-768x473.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=401</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Bonde la Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na  Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara, Maeneo yaliyolindwa, Migogoro, Misitu, Misitu ya Mvua, Miti, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Ukataji Miti ya Msitu wa Mvua, Upotevu wa Makazi, na  Visababishi vya Ukataji Misitu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Miezi sita iliyopita, kundi la waasi la M23 liliuteka mji wa Goma, moja ya miji mikubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Baada ya muda huo, wanaharakati wa ndani, na Mongabay, ambayo ilikusanya picha za satelaiti, walitambua maeneo yenye upotevu mkubwa wa misitu katika Hifadhi ya Taifa ya Kahuzi-Biega, kusini magharibi mwa mji wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/05/31/ufichuaji-uharibifu-misitu-katika-hifadhi-ya-sokwe-baada-ya-mashambulizi-ya-m23-nchini-drc/" data-wpel-link="internal">Ufichuaji wa uharibifu wa misitu katika hifadhi ya sokwe baada ya mashambulizi ya M23 nchini DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Miezi sita iliyopita, kundi la waasi la M23 liliuteka mji wa Goma, moja ya miji mikubwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Baada ya muda huo, wanaharakati wa ndani, na Mongabay, ambayo ilikusanya picha za satelaiti, walitambua maeneo yenye upotevu mkubwa wa misitu katika Hifadhi ya Taifa ya Kahuzi-Biega, kusini magharibi mwa mji wa Goma. Katika eneo hili kubwa la msitu wa msingi, ni nyumbani kwa sokwe wa nyanda za chini za mashariki (Gorilla beringei graueri). Watafiti wanahusisha ongezeko hili la upotevu wa misitu na upanuzi wa uzalishaji haramu wa mkaa, kuporomoka kwa utekelezaji wa uhifadhi, na migogoro ya ardhi. Mnamo Novemba mwaka 2021, kundi la waasi linaloungwa mkono na Rwanda liliibuka tena katika Jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC baada ya takriban muongo mmoja wa kutokuwepo katika eneo hilo. Matukio yaliongezeka mnamo Januari na Februari mwaka 2025, wakati waasi wa M23 walipoanzisha mashambulizi ya haraka na kutwaa udhibiti wa maeneo muhimu katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Kusini, ikiwa ni pamoja na miji mikuu ya majimbo husika, Goma na Bukavu. Maeneo haya yamesalia chini ya udhibiti wa waasi M23 hadi leo. Zaidi ya miji hii mikubwa, kundi lililojihami pia linadhibiti ufikiaji wa maeneo muhimu ya uchimbaji madini na maeneo muhimu yaliyolindwa kimataifa, kama vile Hifadhi ya Taifa ya Virunga na Hifadhi ya Taifa ya Kahuzi-Biega, Maeneo ya Urithi wa Dunia wa UNESCO. Hadi sasa, mzozo huo una athari inayoonekana kwa bioanuwai kwa kuzidisha changamoto zilizopo za uhifadhi na ukataji miti, watafiti wanasema. Katika Kahuzi-Biega, picha za satelaiti kutoka&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/05/31/ufichuaji-uharibifu-misitu-katika-hifadhi-ya-sokwe-baada-ya-mashambulizi-ya-m23-nchini-drc/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/05/31/ufichuaji-uharibifu-misitu-katika-hifadhi-ya-sokwe-baada-ya-mashambulizi-ya-m23-nchini-drc/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ili kukusanya mbegu za asili bora, wataalamu wa mimea Uganda hukwea miti mirefu ya msituni</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/05/28/ili-kukusanya-mbegu-za-asili-bora-wataalamu-wa-mimea-uganda-hukwea-miti-mirefu-ya-msituni/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/05/28/ili-kukusanya-mbegu-za-asili-bora-wataalamu-wa-mimea-uganda-hukwea-miti-mirefu-ya-msituni/#respond</comments>
					<pubDate>28 Mei 2025 13:25:12 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ruth Kamnitzer]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/21131106/Screenshot-2025-08-21-154153-768x472.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=120</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Botania, Mazingira, Misitu, Miti, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uhifadhi, Uokoaji wa Misitu, Urejeshaji, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Usimamizi wa Misitu wa Jamii]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mvule (Milicia excelsa) ni mti mkubwa sana, unaoweza kufikia urefu wa hadi mita 50 (futi 165), ukiwa na shina lenye mzunguko wa hadi mita 6 (futi 20). Ili kukusanya mbegu kutoka mti mkubwa wa aina hii, wapandaji hufanya kazi kwa timu ya watu watatu, anaeleza Sebastian Walaita, ambaye ni msimamizi wa Bustani ya Mimea ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/05/28/ili-kukusanya-mbegu-za-asili-bora-wataalamu-wa-mimea-uganda-hukwea-miti-mirefu-ya-msituni/" data-wpel-link="internal">Ili kukusanya mbegu za asili bora, wataalamu wa mimea Uganda hukwea miti mirefu ya msituni</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mvule (Milicia excelsa) ni mti mkubwa sana, unaoweza kufikia urefu wa hadi mita 50 (futi 165), ukiwa na shina lenye mzunguko wa hadi mita 6 (futi 20). Ili kukusanya mbegu kutoka mti mkubwa wa aina hii, wapandaji hufanya kazi kwa timu ya watu watatu, anaeleza Sebastian Walaita, ambaye ni msimamizi wa Bustani ya Mimea ya Tooro nchini Uganda. Wakiwa wamejipanga kwa usawa kuzunguka shina la mti, hupanda kwa pamoja wakitumia mfumo wa kamba, mikanda ya usalama na misumari ya kupandia. Wanapofika kwenye taji la mti, hupeana ishara na kutawanyika kwenye matawi huku wakikusanya mbegu zilizoiva na kuziweka kwenye mifuko yao kabla ya kushuka chini. Walaita alijifunza kwa mara ya kwanza kupanda miti mirefu kwa ajili ya ukusanyaji wa mbegu zaidi ya miaka 25 iliyopita, kupitia kozi iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Denmark, DANIDA Forest Seed Centre, na tangu wakati huo ameendelea kuboresha ujuzi wake. Kwa miaka mingi, ametoa mafunzo kwa kada ya wataalamu wa mimea kutoka Tooro nchini humo, ambao sasa wanaweza kukusanya mbegu kwa usalama kutoka hata miti migumu zaidi ili  kuboresha uwezo wao wa kueneza spishi asilia, anasema. “Ni mapenzi ya dhati,” anaeleza Walaita. Kukusanya mbegu za miti ya asili kwa ajili ya urejeshaji wa misitu Kupitia Mpango wa Afrika wa Urejeshaji wa Mandhari ya Misitu (AFR100), serikali kote barani zimeahidi kurejesha hekta milioni 100 (sawa na ekari milioni 247) za ardhi ifikapo mwaka 2030. Kuna uelewa unaokua miongoni mwa wahifadhi kuwa ni bora kupanda tena maeneo yaliyoharibiwa kwa kutumia spishi za asili ili kuhifadhi bioanuwai. Aidha,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/05/28/ili-kukusanya-mbegu-za-asili-bora-wataalamu-wa-mimea-uganda-hukwea-miti-mirefu-ya-msituni/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/05/28/ili-kukusanya-mbegu-za-asili-bora-wataalamu-wa-mimea-uganda-hukwea-miti-mirefu-ya-msituni/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mkakati mpya wa kulinda bioanuai muhimu wazinduliwa Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/04/02/mkakati-mpya-wa-kulinda-bioanuai-muhimu-wazinduliwa-tanzania/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/04/02/mkakati-mpya-wa-kulinda-bioanuai-muhimu-wazinduliwa-tanzania/#respond</comments>
					<pubDate>02 Aprili 2025 09:18:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ryan Truscott]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/18091729/One-of-approximately-200-individuals-of-the-kipunji-monkey-in-the-Udzungwa-Mountains_A.-Jarrett-SMALL-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=95</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Fedha za Kaboni, Fedha za Uhifadhi, Kaboni, Kaboni ya Msitu, Kilimo, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Mazingira, Mifumo ya Ikolojia, Mikopo ya Kaboni, Misitu, Misitu ya Mvua, Miti, Uharibifu wa Makazi, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Ukataji Miti, Urejeshaji wa Ikolojia, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wataalamu wa uhifadha wamezindua mradi wa miaka 20 wenye lengo la kulinda eneo muhimu kibailogia nchini Tanzania: Milima ya Udzungwa. Mkakati huu unatoa kipaumbele kwa jamii za eneo hilo ambapo zaidi ya nusu ya bajeti itatumika kwaajili ya miradi ya kiuchumi na kijamii pamoja na kutatua mgongano wa wanyamapori na binadamu. Misitu ya kijani inayopatikana [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/04/02/mkakati-mpya-wa-kulinda-bioanuai-muhimu-wazinduliwa-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mkakati mpya wa kulinda bioanuai muhimu wazinduliwa Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wataalamu wa uhifadha wamezindua mradi wa miaka 20 wenye lengo la kulinda eneo muhimu kibailogia nchini Tanzania: Milima ya Udzungwa. Mkakati huu unatoa kipaumbele kwa jamii za eneo hilo ambapo zaidi ya nusu ya bajeti itatumika kwaajili ya miradi ya kiuchumi na kijamii pamoja na kutatua mgongano wa wanyamapori na binadamu. Misitu ya kijani inayopatikana mwaka mzima katika Milima ya Udzungwa, nyanda na maeneo ya miti mtawanyiko inahifadhi mimea na wanyama ambao hawapatikani katika sehemu nyingine yoyote ulimwenguni. Wanasayansi wanakadiria kuwa katika miaka 2,000 iliyopita eneo hilo limepoteza zaidi ya robo tatu ya misitu yake. Katika karne iliyopita, ongezeko la wakulima wadogo, mashamba ya chai na misitu ya kupandwa kwaajili ya mbao na ukataji miti migumu ya asili kwaajili ya mbao bora kumechoachea uharibifu na kupotea kwa misitu. Nyani Colobus Wekundu wa Udzungwa. Picha na Trevor Jones. Kambi ya utafiti ndani ya Milima ya Udgzungwa. Picha na Nikolaj Scharff. Kasi ya uharibifu na kupotea kwa misitu katika baadhi ya sehemu ilipungua kuanzia mwaka 1992 baada ya kuanzisha maeneo ya uhifadhi. Hata hivyo Trevor Jones, Mkurugenzi wa Mikakati na Maendeleo wa Mpango wa Kulinda Tembo Kusini mwa Tanzania (Southern Tanzania Elephant Program (STEP), anasema kuwa lengo kuu kwa sasa ni kumaliza kabisa uharibifu na upotevu wa misitu na hatimaye kurejeshe mazingira katika hali yake ya asili. Mkakati wa Eneo la Udzungwa (The Udzungwa Landscape Strategy (ULS)) ulizinduliwa mwezi Oktoba mwaka wa 2024, ambao ni ushirikiano baina ya makundi ya uhifadhi, wakala wa serikali na jamii za wenyeji, wenye lengo la kulinda&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/04/02/mkakati-mpya-wa-kulinda-bioanuai-muhimu-wazinduliwa-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/04/02/mkakati-mpya-wa-kulinda-bioanuai-muhimu-wazinduliwa-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>`Mlima wa jongoo’ wa Tanzania watoa spishi sita mpya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/03/26/mlima-wa-jongoo-wa-tanzania-watoa-spishi-sita-mpya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/03/26/mlima-wa-jongoo-wa-tanzania-watoa-spishi-sita-mpya/#respond</comments>
					<pubDate>26 Mechi 2024 11:48:21 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ryan Truscott]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/19114720/AlainSenghorKNguteProcessingMillipedeSpecimen_HamiduMnendendo-MEDIUM-2-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=417</guid>

					
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Botania, Mazingira, Mimea, Misitu, Misitu ya Kitropiki, Miti, Spishi Mpya, Ugunduzi Mpya, Ugunduzi wa Spishi, Uharibifu wa Makazi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utafiti, Wadudu, Wanyama, Wanyama wasio na Mifupa ya Mgongo, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wanasayansi hivi karibuni walibainisha spishi sita mpya za jongoo, ikiwemo moja kutoka kwenye jenasi mpya kabisa, katika Safu ya Milima ya Mashariki ya Tanzania. Ugunduzi huu umefanya idadi ya spishi mpya zilizopatikana katika Milima ya Udzungwa tangu mwaka 2014 kufikia 81 — jambo linalothibitisha kwa mara nyingine utajiri mkubwa wa bioanuwai katika safu hizi za [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/03/26/mlima-wa-jongoo-wa-tanzania-watoa-spishi-sita-mpya/" data-wpel-link="internal">`Mlima wa jongoo’ wa Tanzania watoa spishi sita mpya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wanasayansi hivi karibuni walibainisha spishi sita mpya za jongoo, ikiwemo moja kutoka kwenye jenasi mpya kabisa, katika Safu ya Milima ya Mashariki ya Tanzania. Ugunduzi huu umefanya idadi ya spishi mpya zilizopatikana katika Milima ya Udzungwa tangu mwaka 2014 kufikia 81 — jambo linalothibitisha kwa mara nyingine utajiri mkubwa wa bioanuwai katika safu hizi za milima zilizojitenga na maeneo mengine. Jongoo hao waliogunduliwa hivi karibuni wanawasaidia watafiti kutathmini urejeshwaji wa mfumo wa ikolojia. Jongoo mmoja kati ya waliogunduliwa hivi karibuni, ambaye kwa kitaalam anajulikana kama, Udzungwastreptus marianae, hukua hadi kufikia urefu wa takriban sentimita 3, na hupatikana katika misitu iliyoko juu ya mita 1,000 kutoka usawa wa bahari. Profesa wa mfumo wa kisayansi wa wanyama na jiografia ya wanyama katika Makumbusho ya Historia Asilia ya Denmark, Henrik Enghoff, ambaye ameelezea spishi 69 kati ya 81 zilizogunduliwa katika milima hiyo, anasema jenasi hiyo imepewa jina Udzungwastreptus kama njia ya kutambua utajiri wa ajabu wa viumbehai katika Milima ya Udzungwa. Milima ya Udzungwa ni sehemu ya Safu ya Milima ya Mashariki ya Tanzania, ambayo ni kisiwa chenye safu ya milima yenye vilele vilivyofunikwa na misitu, vinavyoyeosha umbali wa kilomita 900 (maili 560) kuanzia mashariki hadi kusini mwa Tanzania. Picha na Marc Veraart kupitia Flickr (CC BY 2.0) Udzungwastreptus marianae, ambao ni aina mpya ya jongoo iliyogunduliwa hivi karibuni katika Milima ya Udzungwa, Tanzania, na jongoo wengine hutambaa juu ya sakafu ya msitu kama vichwa vidogo vya treni, huku wakila mabaki ya mimea iliyokufa na takataka za kikaboni. “Baadhi ya jongoo walikuwa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/03/26/mlima-wa-jongoo-wa-tanzania-watoa-spishi-sita-mpya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/03/26/mlima-wa-jongoo-wa-tanzania-watoa-spishi-sita-mpya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Shinikizo kwa mabwawa ya mafunjo Ziwa Viktoria latishia usalama na riziki ya wenyeji</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/shinikizo-kwa-mabwawa-ya-mafunjo-ziwa-viktoria-latishia-usalama-na-riziki-ya-wenyeji/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/shinikizo-kwa-mabwawa-ya-mafunjo-ziwa-viktoria-latishia-usalama-na-riziki-ya-wenyeji/#respond</comments>
					<pubDate>05 Februari 2024 14:49:15 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Patrick Newcombe]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/23140811/Screenshot-2025-09-23-170728-768x472.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=448</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Jamii Asili, Mabwawa, Mazingira, Maziwa, Mfumo Ikolojia wa Baharini, Mimea, Miti, Samaki, Uharibifu wa Makazi, Uhifadhi, Upotevu wa Makazi, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kadri jua linapochomoza kwenye maeneo oevu ya Ziwa Viktoria, wavunaji wa mafunjo wanaonekana wakiingia kwenye mabwawa kuyavuna. Ufukweni, wavuvi ambao wamemaliza shughuli za usiku pia wanavuta mashua zao. Sauti tamu za ndege aina ya papyrus gonolek (Laniarius mufumbiri) pamoja na milio ya ndege wakubwa jamii ya coucal (Centropus monachus) zinasikika vikitoka kwenye mifunjo. Sauti za ndege, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/shinikizo-kwa-mabwawa-ya-mafunjo-ziwa-viktoria-latishia-usalama-na-riziki-ya-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Shinikizo kwa mabwawa ya mafunjo Ziwa Viktoria latishia usalama na riziki ya wenyeji</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kadri jua linapochomoza kwenye maeneo oevu ya Ziwa Viktoria, wavunaji wa mafunjo wanaonekana wakiingia kwenye mabwawa kuyavuna. Ufukweni, wavuvi ambao wamemaliza shughuli za usiku pia wanavuta mashua zao. Sauti tamu za ndege aina ya papyrus gonolek (Laniarius mufumbiri) pamoja na milio ya ndege wakubwa jamii ya coucal (Centropus monachus) zinasikika vikitoka kwenye mifunjo. Mabwawa ya mafunjo wakati wa asubuhi karibu na mji wa Kisumu, Kenya. Picha na Patrick B. Newcombe. Sauti za ndege, binadamu, samaki pamoja na miti ya mafunjo iliyopangwa juu vyote vinaashiria mfumo wa ikolojia unaostawi. Mabwawa haya ya kingo za Ziwa Viktoria na mito mingine ya eneo hili, ni hifadhi ya ndege adimu na samaki wa cichlid waliosalia licha ya kuwekwa kwa samaki wa kibiashara kama sangara (Lates niloticus) majini. Sababu nyingi, ikiwemo uvunaji wa mafunjo (Cyperus papyrus) uliopita kiasi, na kubadilishwa kwa mabwawa kuwa mashamba au maeneo ya ujenzi, sasa zinatishia mfumo huu maalum. Wengi wa wakaazi wanaotegemea mabwawa haya kuwapa riziki wameanza kuwa na wasiwasi kuhusu hatma yake. Dickson Omondiwao akishona mikeka kwa kutumia mafunjo yaliyokaushwa, ili kuyauza mjini Kisumu. Anasema kazi hii, ambayo ameifanya tangu mwaka 1985, imemwezesha kulipa karo za shule kwa watoto wake wanne. Picha na Patrick B. Newcombe. Mfumo wa ikolojia unaoinua maisha Dickson Omondiwao amekuwa akifanya kazi kwenye mabwawa haya yalioko Kaunti ya Kisumu nchini Kenya tangu mwaka 1985. Kila kunapokucha, yeye huingia majini kuvuna mzigo mkubwa wa mafunjo. Anaeleza kuwa kila ifikapo mchana, yeye hushona mikeka, na kukamilisha mitatu kwa siku, kila mmoja ukihitaji takriban mashina 200. Dalali hununua mikeka&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/shinikizo-kwa-mabwawa-ya-mafunjo-ziwa-viktoria-latishia-usalama-na-riziki-ya-wenyeji/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/shinikizo-kwa-mabwawa-ya-mafunjo-ziwa-viktoria-latishia-usalama-na-riziki-ya-wenyeji/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Bomba la mafuta la Afrika Mashariki latupiwa lawama kwa kuharibu makaburi </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2023/11/14/bomba-la-mafuta-la-africa-mashariki-latupiwa-lawama-kwa-kuharibu-makaburi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2023/11/14/bomba-la-mafuta-la-africa-mashariki-latupiwa-lawama-kwa-kuharibu-makaburi/#respond</comments>
					<pubDate>14 Novemba 2023 13:40:15 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Justin Catanoso]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/24140752/Screenshot-2025-09-24-164647-768x471.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=495</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira, Miti, Miundombinu, Nishati, Siasa, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uchumi, Ukataji Miti, Utawala, na  Viwanda]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ripoti ya hivi karibuni illiyochapishwa na shirika la kimataifa linalojumuisha watu wa imani tofauti na linalotetea haki sawa ya kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi, GreenFaith, linadai kuwa Bomba la Mafuta la Afrika Mashariki (EACOP) litaharibu au kunajisi makaburi yapatayo 2,000 katika maeneo litakapopita kutoka Ziwa Albert nchini Uganda hadi bandari ya Tanga iliyopo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2023/11/14/bomba-la-mafuta-la-africa-mashariki-latupiwa-lawama-kwa-kuharibu-makaburi/" data-wpel-link="internal">Bomba la mafuta la Afrika Mashariki latupiwa lawama kwa kuharibu makaburi </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ripoti ya hivi karibuni illiyochapishwa na shirika la kimataifa linalojumuisha watu wa imani tofauti na linalotetea haki sawa ya kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi, GreenFaith, linadai kuwa Bomba la Mafuta la Afrika Mashariki (EACOP) litaharibu au kunajisi makaburi yapatayo 2,000 katika maeneo litakapopita kutoka Ziwa Albert nchini Uganda hadi bandari ya Tanga iliyopo nchini Tanzania. Lakini kampuni ya mafuta ya Kifaransa, TotalEnergies, inapinga madai hayo na kusema kwamba inafuata taratibu za kimataifa za kubaini, kutambua na kushughulikia makaburi, na maeneo mengine muhimu ingawa jamii zinazoishi katika njia litakazopita bomba hilo wamelieleza GreenFaith kuwa kampuni hiyo haisikilizi wala kutilia maanani maoni na wasiwasi wao kuhusu utunzaji wa makaburi. Kuanzia Januari hadi Septemba mwaka huu, GreenFaith walifanya uchunguzi katika wilaya sita nchini Uganda na wilaya tatu nchini Tanzania katika njia yenye urefu wa kilometa 1,441 (maili 895) na kuongea na wakazi wengi ambao ni wenyeji wa maeneo hayo. Katika ripoti yenye kurasa 37, ambayo ilichapisha mwezi Novemmba, shirika hilo linadai kuwa wanaosimamia mradi huo wa bomba la mafuta wanafahamu kuwa mradi huo utaathiri maelfu ya makaburi na sehemu “takatifu” na wametoa majibu yasiyoridhisha au kulipa fidia ndogo kwa waathirika. “Wenyeji wametueleza kuwa TotalEnergies wamekuwa wakiharibu makaburi ya familia zao au ya ukoo mara kwa mara. Uharibifu huu umekuwa ukiendelea hata baada ya wenyeji kuwatahadharisha TotalEnergies kuhusu makaburi hayo na kutoridhishwa kwao na kinachoendelea,” ripoti hiyo inaeleza. EACOP inakiri kuwa makaburi zaidi ya 2,000 yataathiriwa na ujenzi wa bomba hilo la mafuta. Wenyeji wanasema hiyo ni idadi ndogo kwani huenda kuna&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2023/11/14/bomba-la-mafuta-la-africa-mashariki-latupiwa-lawama-kwa-kuharibu-makaburi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2023/11/14/bomba-la-mafuta-la-africa-mashariki-latupiwa-lawama-kwa-kuharibu-makaburi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>