<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=haki-za-ardhi&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/haki-za-ardhi/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Wed, 16 Sep 2026 17:46:29 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>02 Juni 2026 09:54:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Njagi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/02094948/Screenshot-2026-06-02-124936-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1742</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Biashara ya Kaboni, Fedha za Kaboni, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kaboni, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mikopo ya Kaboni, Siasa za Mazingira, Soko ya Kaboni, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Naito Leshao alionyesha hisia za kuchoshwa na miradi ya biashara ya fidia ya hewa ukaa katika mkutano wa kimataifa uitwao Global Landscapes Forum (GLF) wa mwaka 2026 uliofanyika Nairobi, Kenya. Akiwa na hisia kali, Leshao aliuliza maswali kadhaa: kwa nini miradi mikubwa ya kaboni inayodaiwa kuwa kwa ajili ya watu waliolinda ardhi kwa miaka mingi hupitia mikononi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Je, akili bandia inaweza kubadilisha miradi ya kaboni barani Afrika? </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Naito Leshao alionyesha hisia za kuchoshwa na miradi ya biashara ya fidia ya hewa ukaa katika mkutano wa kimataifa uitwao Global Landscapes Forum (GLF) wa mwaka 2026 uliofanyika Nairobi, Kenya. Akiwa na hisia kali, Leshao aliuliza maswali kadhaa: kwa nini miradi mikubwa ya kaboni inayodaiwa kuwa kwa ajili ya watu waliolinda ardhi kwa miaka mingi hupitia mikononi mwa watu wengi kiasi kwamba malipo yanapowafikia wanajamii, wanapata kiasi kidogo sana? Leshao, aliyekuwa akiwakilisha jamii yake kutoka Maasai Mara, aliendelea kwa swali jingine: Je, mnatarajia jamii za kiasili ziendelee kuhifadhi ardhi huku zikilinda mifumo yao ya malisho, wakati matatizo yao hayasikilizwi kuhusu namna mabadiliko ya tabianchi yanavyowaathiri? Maswali tata Maswali yake si mapya katika mijadala ya uhifadhi wa mazingira. Yameendelea kujitokeza tangu Mkataba wa Paris ulipoweka msingi wa ushirikiano wa kimataifa katika biashara ya kaboni kupitia Kifungu cha 6 kama njia ya kupambana na ongezeko la joto duniani huku ukiwa na lengo la kupambana na ongezeko la joto duniani na kuzalisha mapato. Hata hivyo, vigezo vya mfumo huo mara nyingi vimekuwa vikionekana kuwa vya upendeleo, vikiegemea zaidi kwa waendelezaji wa miradi katika mnyororo wa biashara ya kaboni. “Wanakuja na asilimia fulani, lakini nani anaamua hizo asilimia? Nani anasema kwamba jamii hii inapaswa kupata asilimia 10 au 15? Unajuaje kwamba hicho ndicho kiasi kinachokidhi uendeshaji wa jamii hii? Pamoja na kukosekana kwa usawa katika mchakato huu, bado dunia inazihitaji jamii za kiasili kuhifadhi mazingira,” alisema Leshao. Hakukuwa na majibu ya haraka kwa maswali yake, licha ya makadirio mapya kuonyesha kwamba mapato yanayotokana na soko la kimataifa la&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/02/je-akili-bandia-inaweza-kubadilisha-miradi-ya-kaboni-barani-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mabadiliko ya tabianchi yaathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi nchini Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mei 2026 20:07:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/20200154/Picture2.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1672</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DODOMA, Tanzania &#8211; Mabadiliko ya tabianchi yametajwa kama changamoto kubwa iliyoathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi katika kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi Tanzania, Abdallah Ulega, wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/2027, mnamo Mei 20, katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika Makao [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/" data-wpel-link="internal">Mabadiliko ya tabianchi yaathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi nchini Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DODOMA, Tanzania &#8211; Mabadiliko ya tabianchi yametajwa kama changamoto kubwa iliyoathiri utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Ujenzi katika kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi Tanzania, Abdallah Ulega, wakati akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2026/2027, mnamo Mei 20, katika kikao cha bajeti kinachoendelea katika Makao Makuu ya Nchi, Dodoma. Amesema majanga yaliyosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, kama vile mafuriko, yalisababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara na madaraja katika maeneo mbalimbali nchini. Ili kukabiliana na hali kama hiyo, Waziri alisema wizara yake inaboresha miongozo ya usanifu na matumizi ya malighafi za ujenzi kwa kuzingatia uhimilivu wa miundombinu. Upandaji miti kando ya barabara kuu ni miongoni mwa hatua zinazochukuliwa na Serikali kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Picha kwa hisani ya Wizara ya Ujenzi Tanzania. “Vilevile, wizara imepanga kupanda miti 40,000 katika barabara kuu na barabara za mikoa, na kuanza maandalizi ya mpango wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi wa Sekta ya Ujenzi,” amesema waziri. Aidha, amesema wizara itaendelea kuchukua hatua za haraka kurejesha na kujenga upya miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko pamoja na athari nyingine za mabadiliko ya tabianchi. Gharama za uharibifu “Barabara na madaraja yaliyoathirika yatajengwa kwa viwango vinavyoweza kuhimili majanga hayo, ili kuepuka kuongeza mzigo kwa serikali kugharamia uharibifu unaojitokeza kila msimu wa mvua kubwa na kuhakikisha barabara zetu zinapitika majira yote ya mwaka hata wakati wa changamoto za hali ya hewa,” amesema Waziri. Kauli hiyo ya Waziri imekuja kipindi ambacho taifa bado linaugulia maumivu ya hasara kubwa zilizosababishwa na athari za mabadiliko ya tabianchi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/mabadiliko-ya-tabianchi-yaathiri-utekelezaji-wa-majukumu-ya-wizara-ya-ujenzi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mei 2026 12:50:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/20124420/Waziri-Shemdoe-1-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1650</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Ikolojia, Maji, Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Taka, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Serikali ya Tanzania imeandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Taka (2025-2030) ambao unalenga kupunguza uzalishaji wa taka kwa kutumia dhana ya uchumi wa mzunguko ili kutunza mazingira, kuimarisha afya ya jamii na kukuza maendeleo endelevu ya miji. Mkakati huo umekuja kipindi ambacho uzalishaji wa taka ngumu unazidi kuongezeka nchini huku usimamizi wake ukiwa wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/" data-wpel-link="internal">Tanzania yaandaa mkakati wa usimamizi wa taka ngumu kwa ajili kutunza mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Serikali ya Tanzania imeandaa Mkakati wa Taifa wa Usimamizi wa Taka (2025-2030) ambao unalenga kupunguza uzalishaji wa taka kwa kutumia dhana ya uchumi wa mzunguko ili kutunza mazingira, kuimarisha afya ya jamii na kukuza maendeleo endelevu ya miji. Mkakati huo umekuja kipindi ambacho uzalishaji wa taka ngumu unazidi kuongezeka nchini huku usimamizi wake ukiwa wa kiwango cha chini. Kwa mujibu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Tanzania huzalisha kati ya tani milioni 14.4 hadi milioni 20.7 za taka ngumu kila mwaka. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe, jijini Dodoma katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira mijini. Mkutano huo uliwakutanisha viongozi waandamizi wa serikali, washirika wa maendeleo, na wataalamu wa mazingira kwa lengo la kutathmini maendeleo yaliyofikiwa na kuweka mikakati ya kuboresha mifumo ya usimamizi wa taka. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Profesa Riziki Shemdoe na wadau wa usimamizi wa taka wakifuatilia mijadala katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utekelezaji wa Afua za Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira katika Jiji la Dodoma. Picha: Maktaba ya Wizara. Taka na fursa za kiuchumi Waziri Riziki alisema kuwa usimamizi wa taka unapaswa kuingizwa katika mikakati mipana ya uwezeshaji wa kiuchumi kwa kuwa taka zinapaswa kuonekana kama rasilimali ya kiuchumi inayoweza kuzalisha ajira na kipato ikiwa zitasimamiwa ipasavyo. Aliziagiza mamlaka za serikali za&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/20/tanzania-yaandaa-mkakati-wa-usimamizi-wa-taka-ngumu-kwa-ajili-kutunza-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/#respond</comments>
					<pubDate>11 Mei 2026 15:28:34 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/11150848/Lethome-5-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1551</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Mazingira, Maziwa, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi, Uchafuzi wa Hewa, Uhalifu wa Mazingira, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Umeme, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Utunzaji wa mazingira kwa mtazamo wa Sheikh: Nafasi ya dini katika kuifanya dunia kuwa bora kimazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwezi Machi mwaka huu wa 2026 ulikuwa na shughuli nyingi, hasa kwa upande wa dini. Waislamu pamoja na baadhi ya waumini wa Kikristo walikuwa katika vipindi vya mfungo wa Ramadhani na Kwaresima, ambavyo vilihitimishwa kwa sikukuu za Iddi el-Fitri na Pasaka, mtawalia. Mwezi huohuo, Kenya ilikumbwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko na vifo vya watu zaidi ya 82. Mongabay ilimtembelea Sheikh Ibrahim Lethome alipokuwa kwenye mfungo wa Ramadhani ili kupata maoni yake kuhusu juhudi zake katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira. Lethome amejitaja kuwa aliyetekeleza kile ambacho huenda kilionekana kama jukumu dogo katika juhudi za kupinga mradi wa umeme wa makaa ya mawe huko Lamu, Kenya. Juhudi hizo ziliongozwa na viongozi wa Save Lamu pamoja na wawakilishi wa jamii, mawakili wa masuala ya mazingira, wanaharakati na taasisi za serikali pamoja na mamlaka za udhibiti kama NEMA na mahakama za mazingira. Hatimaye, mradi huo ulisitishwa Desemba mwaka 2025. Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano yake na Lynet Otieno wa Mongabay, yaliyofanyika katika ofisi za Msikiti wa Jamiah jijini Nairobi. Mongabay: Tafadhali tueleze kwa ufupi wewe ni nani, kama msomi, kiongozi wa kidini na mwanaharakati wa mazingira. Lethome: Mimi kitaaluma ni mwanasheria na msomi wa elimu ya Kiislamu. Ninafanya kazi katika fani zote mbili. Nimekuwa mwanachama wa Msikiti wa Jamiah kwa miaka 32 sasa. Ninaongoza Idara ya Dini. Pia ni mwanachama wa bodi ya kimataifa ya GreenFaith, na mwenyekiti wa bodi ya GreenFaith-Afrika, taasisi inayotumia mafundisho ya dini kuhamasisha uhifadhi wa mazingira. Mwelekeo wangu ni kuangalia jinsi mafundisho ya dini yanavyoweza kutumika kushughulikia changamoto nyingi ambazo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/11/utunzaji-wa-mazingira-kwa-mtazamo-wa-sheikh-nafasi-ya-dini-katika-kuifanya-dunia-kuwa-bora-kimazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/#respond</comments>
					<pubDate>06 Mei 2026 13:26:49 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dalle Abraham]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/06170355/Screenshot-2026-05-06-200329-768x497.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1525</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchimbaji wa Mafuta, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo Kenya, imeamuru kwamba kesi ya hatua ya ngazi ya juu dhidi ya kampuni kubwa ya mafuta ya Uingereza ya BP inaweza kuendelea kusikizwa kikamilifu. Katika kesi hiyo, inadaiwa kuwa taka za sumu zilizoachwa kutokana na uchimbaji wa mafuta katika miaka ya 1980 zilichafua maji ya ardhini kaskazini mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/" data-wpel-link="internal">Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo Kenya, imeamuru kwamba kesi ya hatua ya ngazi ya juu dhidi ya kampuni kubwa ya mafuta ya Uingereza ya BP inaweza kuendelea kusikizwa kikamilifu. Katika kesi hiyo, inadaiwa kuwa taka za sumu zilizoachwa kutokana na uchimbaji wa mafuta katika miaka ya 1980 zilichafua maji ya ardhini kaskazini mwa Kenya, na kuua zaidi ya watu 500 na maelfu ya mifugo. Kesi hiyo, iliyofunguliwa Februari na walalamikaji 299 katika Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo, ilifikishwa mahakamani na wakazi wa Kargi na Kalacha, makazi mawili yaliyoko katika kaunti ya Marsabit. Inadaiwa katika kesi hiyo kuwa shughuli za uchimbaji wa mafuta zilizofanywa kati ya mwaka 1985 na mwaka 1993 kaskazini na kaskazini-magharibi mwa Kenya na Shirika la Amoco, ambalo lilinunuliwa na BP mwaka wa 1998, vichafuzi hatari na sumu vilimwagwa kwenye mazingira, na kuchafua maji ya ardhini ambayo jamii hutegemea kwa kunywa na kwa mifugo yao. Hati za korti zinadai kuwa taka za kuchimba visima zilizo na isotopu za radiamu, aseniki, madini ya risasi na nitrati, zilitupwa kwenye mashimo yaliyoachwa wazi au ambayo hayakuwekwa katika hali inayotakiwa kiusalama. Katika kesi hiyo, washitakiwa ni pamoja na kampuni ya British Petroleum PLC ambayo ni mshitakiwa wa kwanza, huku wengine 11 wakiwa ni Shirika la Kitaifa la Mafuta la Kenya; mawaziri wa mazingira, maji, afya na madini; Mamlaka ya Rasilimali za Maji; serikali ya kaunti ya Marsabit; mwanasheria mkuu; Mamlaka ya Kitaifa ya Usimamizi wa Mazingira; Mamlaka ya Udhibiti wa nishati ya Nyuklia ya Kenya pamoja na Taasisi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/06/mahakama-ya-kenya-yaruhusu-kesi-ya-kihistoria-ya-taka-za-sumu-ya-bp-kuendelea/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>05 Mei 2026 22:27:36 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David AkanaRhett Ayers Butler]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/05212300/Screenshot-2026-05-06-000526-768x504.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1504</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na  Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Maendeleo Endelevu, Mamalia, Mazingira, Misitu, Miti, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu ya Mvua, Uhifadhi, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Je, unadhani asili inaweza kuushinda mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Kongo?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika sehemu ya Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, majadiliano ya uhifadhi mara nyingi yanahusisha hasara: misitu iliyokatwa, wanyamapori wanaopungua, migogoro inayoenea katika mandhari ambayo hapo awali ilisaidia baadhi ya mifumo tajiri zaidi ya ikolojia ulimwenguni. Katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga, shinikizo hilo limekolezwa. Mbuga hiyo, ambayo ni kongwe zaidi barani Afrika, ina barafu, volkeno, misitu, na ardhi oevu ndani ya eneo moja lililohifadhiwa. Pia ipo ndani ya mazingira iliyoundwa kwa miongo kadhaa ya ukosefu wa utulivu, ambapo makundi yaliojihami kwa silaha, uchumi usio rasmi, na utawala dhaifu ni sehemu ya maisha ya kila siku. Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga. Picha kwa hisani ya Bitini Ndiyanabo Kanane. Emmanuel de Merode, ambaye ameiongoza Virunga tangu mwaka wa 2008, haanzii na ikolojia. Mafunzo yake ni ya anthropolojia, hali inayounda namna anavyoelezea hifadhi. Anapendekeza kuwa hali ya wanyamapori hutokana na nguvu za kina. Upotevu wa misitu, ujangili, na ukosefu wa usalama sio shida za mazingira pekee. Yanatokana na namna watu wanavyopata riziki, namna mamlaka inavyofanya kazi, na jinsi pesa na rasilimali zinavyozunguka. Katika sehemu ya Mashariki mwa Kongo, uhifadhi hauwezi kutenganishwa na uchumi. Kwa jamii nyingi zinazoizunguka Virunga, chaguo lao ni la haraka. Kuifyeka misitu kwa ajili ya ukulima au kutengeza mkaa kunaweza kuzalisha kipato cha kuendesha maisha. Faida za uhifadhi ni ngumu kuonekana na mara nyingi huonekana zaidi nje ya eneo hilo. Ukosefu wa usawa unajitokeza katika maamuzi ya kila siku kuhusu mafuta, chakula na upatikanaji wa ardhi. Kama De Merode anavyoelezea, mfumo unawalazimisha baadhi ya watu maskini zaidi kubeba gharama ya kulinda mali zinazothaminiwa kimataifa. Shinikizo kwenye mbuga&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/05/je-unadhani-asili-inaweza-kuushinda-mgogoro-mashariki-mwa-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>01 Mei 2026 15:34:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/05/01152749/Antoine-Moses-akipanda-miche-ya-miti-ya-mikoko-katika-eneo-la-Tudor-Mombasa.-Picha-kwa-hisani-ya-Wizara-ya-Mazingira-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1485</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bahari, Baharini, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maji, Mazingira, Mikoko, Misitu, Miti, Samaki, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, na  Urejeshaji wa Ikolojia]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kenya wiki hii imekuwa kitovu cha harakati za kuvunja rekodi za dunia za Guinness baada ya mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada, Antoine Moses, kuvunja rekodi yake mwenyewe ya kupanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 tu. Idadi hiyo ilithibitishwa Mei 1, saa 8:01, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi hilo. Antoine alikuwa nchini [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kenya wiki hii imekuwa kitovu cha harakati za kuvunja rekodi za dunia za Guinness baada ya mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada, Antoine Moses, kuvunja rekodi yake mwenyewe ya kupanda miche 47,460 ya mikoko ndani ya saa 24 tu. Idadi hiyo ilithibitishwa Mei 1, saa 8:01, muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi hilo. Antoine alikuwa nchini humo kwa siku 10 kabla ya tukio hilo, ambapo alipanda miti mingine 13,600 ili kujenga stamina katika maandalizi ya rekodi mpya. “Tumekuwa Kenya kwa siku 10 zilizopita tukipanda mikoko, tukijifunza kutoka kwa jamii na kutengeneza kumbukumbu zisizosahaulika na marafiki wapya,” alisema kabla ya jaribio hilo, na kuongeza: “Baada ya kufikia miti 10,000 chini ya saa nne wakati wa mazoezi, nilijua tuko tayari kusonga mbele zaidi.” Waziri wa Mazingira wa Kenya, Deborah Barasa, alimkaribisha Antoine na alikuwepo alipokuwa akipanda mche wake wa kwanza. Alisema: “Kenya imepata heshima kumkaribisha Antoine Moses… Jaribio lake la kijasiri la kupanda mikoko 40,000 ndani ya saa 24 katika eneo la Tudor Creek, Kaunti ya Mombasa, halimaanishi tu kuweka rekodi mpya, bali ni kubadili mwenendo wa uharibifu wa misitu kabla haujafikia hatua ya hatari. Uwepo wake unaimarisha nafasi ya Kenya kama kiongozi anayeaminika katika juhudi za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.” Timu iliyoratibiwa ya wanajamii, wahifadhi wa mazingira, maafisa wa Huduma ya Misitu Kenya, akiwemo Katibu Mkuu Gitonga Mugambi, pamoja na washirika kutoka Earthlungs, walimpa hamasa, wakitembea pamoja naye ili kumsaidia kutimiza malengo yake. Awali, Antoine aliandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kwamba malengo yake ni kupanda miche 35,500 ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/05/01/mwanaharakazi-wa-mazingira-kutoka-canada-apanda-miti-ya-mikoko-47460-kwa-saa-20-katika-pwani-ya-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kufutwa kwa leseni 40 za utafiti wa madini Tanzania kwafichua ukweli wa athari za mazingira</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/#respond</comments>
					<pubDate>28 Aprili 2026 21:53:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Nkwimba Nkwimba]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/28213333/Madini-3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1452</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Ikolojia, Kijani, Mazingira, Misitu, Uchimbaji Dhahabu, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Sekta ya madini nchini Tanzania imetikiswa na hatua ya Serikali kuzifutia leseni za utafiti wa madini kampuni 40 huku ikitoa muda wa siku 30 kwa kampuni nyingine 43 kurekebisha mapungufu yao, la sivyo nazo zitapoteza leseni zao. Wakati watu wengi wameunga mkono hatua hiyo kwa kuangalia matokeo ya uamuzi huo kwa mtazamo wa kiuchumi na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/" data-wpel-link="internal">Kufutwa kwa leseni 40 za utafiti wa madini Tanzania kwafichua ukweli wa athari za mazingira</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Sekta ya madini nchini Tanzania imetikiswa na hatua ya Serikali kuzifutia leseni za utafiti wa madini kampuni 40 huku ikitoa muda wa siku 30 kwa kampuni nyingine 43 kurekebisha mapungufu yao, la sivyo nazo zitapoteza leseni zao. Wakati watu wengi wameunga mkono hatua hiyo kwa kuangalia matokeo ya uamuzi huo kwa mtazamo wa kiuchumi na uwajibikaji, watetezi wa mazingira wameibua hoja nzito kuhusu uharibifu mkubwa wa mazingira unaotokea pindi leseni za utafiti zinapotelekezwa. Waziri wa Madini Antony Mavunde, katika mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika katika makao makuu ya Tanzania, jijini Dodoma, alitaja mambo kadhaa ambayo kampuni hizo zimeshindwa kutekeleza licha ya kupewa onyo na muda wa kurekebisha kasoro zilizobainishwa. Alibainisha kuwa leseni hizo zilifutwa kufuatia ukiukwaji mkubwa wa masharti, ikiwemo kuhodhi maeneo bila kuyaendeleza, kushindwa kulipa ada stahiki, kutotekeleza wajibu wa ushirikishwaji wa Watanzania pamoja na kupuuza miradi ya uwajibikaji kwa jamii. “Tunashuhudia baadhi ya watu wanamiliki leseni kwa miaka mingi bila uwekezaji wowote unaoonekana. Hii si tu inapoteza fursa za kiuchumi bali pia inachochea uharibifu wa mazingira na migogoro katika jamii,” alisema Waziri. Kwa mujibu wa waziri huyo, leseni 40 za utafiti wa madini zilizofutwa ni sawa na eneo lenye ukubwa wa takribani kilomita za mraba 900 sawa na hekari 188,163. Uharibirifu wa mazingira Simulizi za watu tofauti wakiwemo wachimbaji wadogo katika maeneo mbalimbali zinaonyesha jinsi mazingira yanavyoharibiwa iwe katika hatua ya utafiti wa madini ama uchimbaji wenyewe. “Usiku mvua ikinyesha kidogo tu… asubuhi tunakuta shimo limejaa maji na kuta zimeporomoka,” anasema Emmanuel Joseph, mchimbaji mdogo katika Mkoa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/28/kufutwa-kwa-leseni-40-za-utafiti-wa-madini-nchini-tanzania-namna-mazingira-yanavyolipa-gharama-pale-maeneo-ya-uchimbaji-yanapotelekezwa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/wanafunzi-wanane-wafungwa-nchini-uganda-kwa-kupinga-eacop-huku-maswali-ya-mazingira-na-haki-yakizidi-kuibuka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/wanafunzi-wanane-wafungwa-nchini-uganda-kwa-kupinga-eacop-huku-maswali-ya-mazingira-na-haki-yakizidi-kuibuka/#respond</comments>
					<pubDate>20 Aprili 2026 15:36:08 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Gerald Ahairwe]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/20185806/IMG_5205-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1409</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Haki ya Tabianchi, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Maji, Mamalia, Mazingira, Maziwa, Mimea, Misitu, Samaki, Siasa za Mazingira, Uchimbaji wa Mafuta, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KAMPALA, Uganda &#8211; Wanafunzi wanane na wanaharakati wa mazingira wamehukumiwa kifungo cha miezi 11 jela nchini Uganda kwa kosa la kusababisha usumbufu wa umma baada ya kuandamana kupinga mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (East African Crude Oil Pipeline &#8211; EACOP), huku hukumu hiyo ikizua maswali mapya kuhusu haki za binadamu na uhuru [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/wanafunzi-wanane-wafungwa-nchini-uganda-kwa-kupinga-eacop-huku-maswali-ya-mazingira-na-haki-yakizidi-kuibuka/" data-wpel-link="internal">Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KAMPALA, Uganda &#8211; Wanafunzi wanane na wanaharakati wa mazingira wamehukumiwa kifungo cha miezi 11 jela nchini Uganda kwa kosa la kusababisha usumbufu wa umma baada ya kuandamana kupinga mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (East African Crude Oil Pipeline &#8211; EACOP), huku hukumu hiyo ikizua maswali mapya kuhusu haki za binadamu na uhuru wa kuandamana. Saa nne asubuhi, ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Buganda Road, Katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda, wanaharakati wa mazingira na wanafunzi wanane walifikishwa kizimbani. Wanafunzi hao wanatoka katika vyuo vikuu mbalimbali nchini Uganda, na wamekuwa gerezani tangu Agosti 1, 2025, baada ya kukamatwa wakiandamana kupinga mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la EACOP. Nje ya Mahakama, kulikuwa na rasharasha za mvua. Wasiwasi ulitanda miongoni mwa wanafunzi wa vuguvugu la “Students Against EACOP” waliokuwa wamefika pale ili kuhudhuria hukumu ya Mahakama hiyo dhidi ya wenzao. Hakimu Mkazi alitangaza kuahirishwa kwa hukumu yao hadi saa nane mchana. Lakini nyakati za chakula cha mchana, kabla ya saa nane, wanafunzi walio nje waliambiwa kwamba wenzao wanane wamehukumiwa kifungo cha miezi 11 jela kwa kosa la kusababisha usumbufu wa umma (common nuisance). Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mkazi Sylvia Muwonge katika chumba chake kwenye Mahakama ya Buganda Road. Mawakili, umma au hata waandishi wa habari hawakuhudhuria. Upande wa utetezi umepinga hukumu hiyo, ukisema kuwa wanafunzi hao wamenyimwa haki ya kupewa dhamana, na vile vile kunyimwa nafasi ya kuridhisha kujitetea. Kato Tumusiime, wakili wa wanaharakati hao, anaelekeza kidole cha lawama kwa upendeleo uliokuwepo katika kesi hiyo tangu mwanzo. “Hukumu ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/wanafunzi-wanane-wafungwa-nchini-uganda-kwa-kupinga-eacop-huku-maswali-ya-mazingira-na-haki-yakizidi-kuibuka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/20/wanafunzi-wanane-wafungwa-nchini-uganda-kwa-kupinga-eacop-huku-maswali-ya-mazingira-na-haki-yakizidi-kuibuka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Vita dhidi ya uchimbaji holela wa mawe Mwanza yahitaji elimu na uwajibikaji kuishinda</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-vita-inayohitaji-elimu-na-uwajibikaji-kuishinda/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-vita-inayohitaji-elimu-na-uwajibikaji-kuishinda/#respond</comments>
					<pubDate>14 Aprili 2026 19:32:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dominic Allen]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/14182846/mawe2-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1351</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Maendeleo ya Jamii, Mazingira, Sera za Mazingira, Uchafuzi, Uharibifu wa Makazi, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la pili la mfululizo wa makala kuhusu uchimbaji holela wa mawe jijini Mwanza. Soma toleo la kwanza hapa. Licha ya kuwepo kwa Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021, Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 pamoja na mikakati mbalimbali ya usimamizi wa mazingira, ikiwemo Mpango Kabambe wa Hifadhi na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-vita-inayohitaji-elimu-na-uwajibikaji-kuishinda/" data-wpel-link="internal">Vita dhidi ya uchimbaji holela wa mawe Mwanza yahitaji elimu na uwajibikaji kuishinda</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la pili la mfululizo wa makala kuhusu uchimbaji holela wa mawe jijini Mwanza. Soma toleo la kwanza hapa. Licha ya kuwepo kwa Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021, Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 pamoja na mikakati mbalimbali ya usimamizi wa mazingira, ikiwemo Mpango Kabambe wa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (2022-2032), bado uchimbaji holela wa mawe umeendelea kuwa jinamizi linalowaumiza wakazi jijini Mwanza. Akizungumzia sababu za hali hiyo kuendelea, Laurent Kitogo, Afisa wa Mazingira kutoka Environmental Management and Economic Development Organization (EMEDO), anataja udhaifu katika usimamizi pamoja na utekelezaji wa sheria kuwa kikwazo kikubwa. “Sheria ni eneo moja na usimamizi wake ni jambo jingine. Tunazo mamlaka kuanzia ngazi za mitaa, vijiji na maeneo yote ambayo watu wanaishi. Sheria imeelekeza kabisa kwamba kutakuwa na maafisa wa mazingira kuanzia ngazi ya mtaa, lakini ukiangalia kwa uhalisia ulivyo, utaona maafisa wa mazingira wanaanzia ngazi ya halmashauri. Huwezi kumkuta afisa wa mazingira katika ngazi ya kata,” anasema. David Joseph, Mkuu wa Idara ya Maliasili na Mazingira jijini Mwanza, anasema kuwa katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza hakuna eneo lililotengwa kwa ajili ya uchimbaji wa mawe, na kwamba wanaochimba, baadhi wanakuwa wanasawazisha viwanja vyao kutokana na kuwa na asili ya miamba, au ni wavamizi ambao wameona hiyo kama fursa ya ujasiriamali. “Watu wanachimba mawe katika miktadha kuu miwili. Moja, asili ya Mwanza ni milima, na sehemu nyingi zina mawe. Hata kama ni tambarare, utakuta kuna mawe…kwa hiyo watu wengine wanachimba yale mawe ili kusawazisha viwanja vyao…hayo mawe&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-vita-inayohitaji-elimu-na-uwajibikaji-kuishinda/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-vita-inayohitaji-elimu-na-uwajibikaji-kuishinda/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/#respond</comments>
					<pubDate>14 Aprili 2026 18:39:24 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dominic Allen]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/15174750/Screenshot-2026-04-14-231107.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1346</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ardhi iliyoharibika, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Mageuzi ya Ardhi, Mimea, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uharibifu wa Makazi, Utawala, na  Wanyama]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu uchimbaji holela wa mawe jijini Mwanza. Soma toleo la pili hapa. Ni asubuhi, na kwa mbali jua linaanza kuchomoza juu ya vilima vya Jiji la Mwanza. Juma anaingia kazini, katikati ya miamba mikubwa ya mawe, mahali anapopaita ofisi yake. Kila siku hufika hapo kutafuta riziki [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/" data-wpel-link="internal">Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza la mfululizo wa makala kuhusu uchimbaji holela wa mawe jijini Mwanza. Soma toleo la pili hapa. Ni asubuhi, na kwa mbali jua linaanza kuchomoza juu ya vilima vya Jiji la Mwanza. Juma anaingia kazini, katikati ya miamba mikubwa ya mawe, mahali anapopaita ofisi yake. Kila siku hufika hapo kutafuta riziki kwa kuponda mawe na kuyauza. Kabla hajapiga nyundo yake kwenye jiwe la kwanza, anafunga macho kwa sekunde chache, moyo wake umejaa hofu na mashaka. Ameshuhudia wenzake wakipoteza maisha baada ya kupondwa na mawe au kufukiwa na vifusi bila msaada. Kwa Juma, maisha yake ni bahati nasibu. Kila siku ni uchaguzi kati ya uhai na kifo. Juma ni miongoni mwa wakazi wengi wa Jiji la Mwanza ambao wanaishi kwa kujishughulisha na upasuaji na uuzaji wa mawe, shughuli ambayo licha ya kuwa na madhara mengi kwa mazingira, afya, jamii na hata kusababisha vifo, vita dhidi yake inaendelea kuwa ngumu kutokana na changamoto mbalimbali. Mchakato hatari wa uchimbaji mawe Jiji la Mwanza nchini Tanzania limeendelea kukua kwa kasi, likichochewa na ongezeko la watu na mahitaji ya makazi pamoja na miundombinu. Jiji hili lenye asili ya milima na miamba linafanya uchimbaji kuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku, ukitoa ajira na kuchangia upatikanaji wa malighafi za ujenzi zinazohitajika. Hata hivyo, nyuma ya faida hizi za kiuchumi, shughuli hizi zinatishia utunzaji wa mazingira na jamii, kwa kuathiri ardhi, bioanuai, usalama wa wachimbaji wenyewe pamoja na wakazi wanaoishi karibu na maeneo ya uchimbaji. Hatari ya kwanza ya shughuli hii inatokana&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/14/uchimbaji-holela-wa-mawe-jijini-mwanza-jinamizi-linalofumbiwa-macho/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/#respond</comments>
					<pubDate>07 Aprili 2026 13:39:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/04/15164710/Screenshot-2026-04-15-194412-768x504.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1359</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Misitu, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Huu ni mwisho wa sakata ambalo limevutia wapenzi wa mazingira na utalii nchini Kenya kwa miezi sita iliyopita. Mahakama ya Mazingira na Ardhi, ikifanya kikao chake mjini Narok, ilitupilia mbali ombi lililowasilishwa Agosti 2025 na Meitamei Olol Dapash, mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Wamasai, Utafiti na Uhifadhi. Mhifadhi huyo wa mazingira alikuwa akipinga ufunguzi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/" data-wpel-link="internal">Wasiwasi kuhusu wanyamapori bado unaendelea licha ya uamuzi wa mahakama ya Kenya kuhusu Luxury Safari Camp</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Huu ni mwisho wa sakata ambalo limevutia wapenzi wa mazingira na utalii nchini Kenya kwa miezi sita iliyopita. Mahakama ya Mazingira na Ardhi, ikifanya kikao chake mjini Narok, ilitupilia mbali ombi lililowasilishwa Agosti 2025 na Meitamei Olol Dapash, mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Wamasai, Utafiti na Uhifadhi. Mhifadhi huyo wa mazingira alikuwa akipinga ufunguzi wa Ritz-Carlton, Masai Mara Safari Camp, inayoendeshwa na Lazizi Mara Ltd. “Mahakama inaona haina mamlaka ya kushughulikia suala hili kwa sababu kuna mifumo mbadala ya utatuzi wa migogoro ambayo haikutumiwa na mlalamikaji, hivyo kesi hii iliwasilishwa kabla ya muda wake, na mahakama imeondolewa mamlaka ya kuisikiliza. Bila mamlaka, mikono ya mahakama imefungwa,” uamuzi wa mahakama unasema. Uamuzi wa mahakama unaeleza kuwa mlalamikaji, kabla ya kufungua shauri, alipaswa kuwasilisha malalamiko chini ya Kifungu cha 117 cha Sheria ya Uhifadhi na Usimamizi wa Wanyamapori, ambacho kinataka njia zote za utatuzi, ikiwa ni pamoja na zile za kijamii, zitumike, na pia kukata rufaa chini ya Kifungu cha 129 cha Sheria ya Usimamizi na Uratibu wa Mazingira. Ili kupata taarifa zaidi, Mongabay iliwasiliana na mahakama ya Narok na mamlaka za kaunti, lakini hawakujibu ombi letu la kufanyiwa mahojiano. Kwa mtazamo wa wahifadhi wa mazingira kama Johnson Yiamat, uamuzi huo unatuma ujumbe usio sahihi. “Ninahisi kwamba matokeo ya kiutaratibu hayapaswi kufunika kiini cha hoja zilizowasilishwa,” alisema kupitia ujumbe aliotuma kwa Mongabay. Yiamat ni Mmasai na mwanzilishi wa Osotua Green Alliance, shirika linaloongozwa na jamii lililojikita katika masuala ya uhifadhi wa bioanuwai, hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na uwezeshaji wa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/04/07/wasiwasi-kuhusu-wanyamapori-bado-unaendelea-licha-ya-uamuzi-wa-mahakama-ya-kenya-kuhusu-luxury-safari-camp/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 22:38:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Deodatus Mfugale]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31201251/MKAA-1-12-machi9-2026-768x498.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1289</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Mazingira, Misitu, Miti, Nishati, Nishati Endelevu, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Ni Alfajiri, siku ya Jumamosi, Mariana anadamkia kwenye kibanda chake cha kuuza mkaa ili kupakua mkaa kutoka kwenye magunia na kuuweka kwenye mifuko midogo midogo ili ifikapo asubuhi, awe tayari kuwauzia wateja wa rejareja. Anafahamu mkaa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu uharibifu wa misitu Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Ni Alfajiri, siku ya Jumamosi, Mariana anadamkia kwenye kibanda chake cha kuuza mkaa ili kupakua mkaa kutoka kwenye magunia na kuuweka kwenye mifuko midogo midogo ili ifikapo asubuhi, awe tayari kuwauzia wateja wa rejareja. Anafahamu mkaa unaharibu misitu, lakini hana njia nyingine ya kupata riziki ya kila siku kwa ajili yake na watoto wake watatu. Kwa Mariana, kila mfuko anaouza, ni chakula kwa watoto wake, lakini kwa upande wa uhifadhi, ni kifo kwa misitu zaidi katika eneo lake. Hadithi ya Mariana ni kielelezo cha kweli kinachoonyesha hali halisi inayoendelea kwenye jamii mbalimbali nchini Tanzania, ambazo licha ya jitihada na miradi mbalimbali inayoendelea kulinda na kuhifadhi misitu, bado wanaendelea kukata miti kwa matumizi mbalimbali. Kwa Mariana na jamii nyingi nchini, kuacha kukata misitu ni kuchagua uhifadhi badala ya uhai wao. Hii ina maana kwamba hatua hiyo itawafanya wapoteze njia pekee ya kujipatia riziki. Misitu ni msingi wa maisha bora kwa wanadamu na viumbe hai vingine, na pia husaidia kujenga uhusiano wa kutegemeana baina ya mifumo mbalimbali ya maisha. Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO), misitu ni nyezo muhimu ya kuondoa umaskini katika jamii zenye kipato cha chini au zisizokuwa na kipato cha kueleweka, kwani huzikinga na majanga mbalimbali ya kiuchumi na kimazingira. Kulingana na Benki ya Dunia, maisha ya watu wapatao bilioni 1.6, ambayo ni zaidi ya asilimia 25 ya watu maskini duniani, hutegemea misitu katika maisha yao,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/udhibiti-wa-ukataji-misitu-nchini-tanzania-ni-vita-kati-ya-uhai-na-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-kuhusu-ngorongoro-baadhi-ya-wadau-wazikataa-ripoti-wadai-maoni-ya-wananchi-hayakuingizwa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-kuhusu-ngorongoro-baadhi-ya-wadau-wazikataa-ripoti-wadai-maoni-ya-wananchi-hayakuingizwa/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 21:18:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Yohani Gwangway]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31184733/Ngorongoro3-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1283</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Chakula, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Jamii Asili, Maeneo yaliyolindwa, Mazingira, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Urejeshaji wa Ikolojia, Utafiti, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la pili katika mfululizo wa makala kuhusu mgogoro wa Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania. Soma toleo la kwanza hapa. Baada ya tume mbili zilizoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mwaka 2024, moja kuchunguza zoezi la kuhama kwa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro na nyingine kuchunguza migogoro ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-kuhusu-ngorongoro-baadhi-ya-wadau-wazikataa-ripoti-wadai-maoni-ya-wananchi-hayakuingizwa/" data-wpel-link="internal">Baadhi ya wadau wazikataa ripoti, wadai maoni ya wananchi hayakuingizwa</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la pili katika mfululizo wa makala kuhusu mgogoro wa Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania. Soma toleo la kwanza hapa. Baada ya tume mbili zilizoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mwaka 2024, moja kuchunguza zoezi la kuhama kwa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro na nyingine kuchunguza migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo, kuwasilisha ripoti zake pamoja na kutoa mapendekezo, watu mbalimbali wametoa maoni yao. Hawa ni pamoja na wenyeji wa wilaya ya Ngorongoro, wadau kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali, Muungano wa Kutetea Haki za Wamasai (MISA), na wataalamu kutoka ndani na nje ya Tanzania. Baadhi wameyakataa mapendekezo ya tume hizo. Charles Odero, Mwanaharakati na Mkurugenzi wa Shirika la Civil and Legal Aid Organization CILAO, ambaye amekuwa akipambania haki za binadamu katika eneo la Ngorongoro, anasema kuwa hajaridhishwa kabisa na mapendekezo ya tume zote mbili. “Kama mdau sijaridhika na mapendekezo ya tume kwa sababu mbalimbali lakini moja ni kwamba yamehalalisha uporaji wa haki za jamii ya wafugaji wa asili (Wahadazabe, Wadatogana Maasai) ambao wanategemea ardhi ya Ngorongoro, Loliondo na Natron kama msingi na tegemeo la maisha yao,” anasema. Kundi la Kondoo katika kijiji cha Ololosokwan baada ya kuondolewa ndani ya kilometa za mraba 1502. Kijiji cha Ololosokwan ni miongoni mwa vijiji vilivyoathirika baada ya eneo la pori la akiba la Parloleti kuchukuliwa kutoka kwa wananchi. Picha na Yohani Gwangway. Akizungumzia suala la uhamaji wa hiari, Odero anakiri kuwa zoezi lilikuwa na kasoro nyingine na kushauri mapungufu hayo yaliyoainishwa na tume yafanyiwe kazi mara moja.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-kuhusu-ngorongoro-baadhi-ya-wadau-wazikataa-ripoti-wadai-maoni-ya-wananchi-hayakuingizwa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-kuhusu-ngorongoro-baadhi-ya-wadau-wazikataa-ripoti-wadai-maoni-ya-wananchi-hayakuingizwa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ripoti za tume mbili kuhusu Ngorongoro zafichua ukweli kuhusu uhamaji wa hiari, chanzo cha mgogoro</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2026 20:58:15 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Yohani Gwangway]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/31183248/Ngorongoro-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1275</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Ikolojia, Jamii Asili, Kijani, Maendeleo ya Jamii, Maeneo yaliyolindwa, Sera za Mazingira, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu mgogoro wa Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Hatimaye tume mbili zilizoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mnamo mwezi Desemba mwaka 2024, moja kuchunguza zoezi la kuhama kwa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro, na nyingine kuchunguza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/" data-wpel-link="internal">Ripoti za tume mbili kuhusu Ngorongoro zafichua ukweli kuhusu uhamaji wa hiari, chanzo cha mgogoro</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hili ni toleo la kwanza katika mfululizo wa makala kuhusu mgogoro wa Ngorongoro, Kaskazini mwa Tanzania. Soma toleo la pili hapa. Hatimaye tume mbili zilizoundwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan mnamo mwezi Desemba mwaka 2024, moja kuchunguza zoezi la kuhama kwa hiari kwa wakazi wa Ngorongoro, na nyingine kuchunguza migogoro ya ardhi katika wilaya hiyo, zimewasilisha ripoti na kutoa mapendekezo yao. Tume hizo ziliundwa kwa lengo la kufanya tathmini ya kina na shirikishi kuhusu hali halisi ya migogoro ya muda mrefu katika eneo la Ngorongoro na kutoa mapendekezo yatakayosaidia kupata suluhisho la kudumu. Tume ya kwanza iliongozwa na Musa Iyombe ambaye ni Katibu Mkuu Mstaafu. Wajumbe wengine saba na nafasi zao ni; Sihaba Nkinga- Katibu Mkuu Mstaafu; Alphayo Kidata; Mohamed Mtonga; Valentino Mlowola, Balozi na Mkurugenzi wa Amani, PCCB; George Madafa, Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC); Edward Maura Nduleti na Rehema Moisare wote wakazi wa Ngorongoro. Tume hii ilizinduliwa rasmi tarehe 20 mwezi Februari mwaka 2025 na kuanza kazi rasmi tarehe 25 Februari mwaka huo. Tume ya pili iliongozwa na Gerald Ndika ikiwa na wajumbe wengine ambao ni  Philemon Luhanjo ambaye ni Katibu Mkuu Mstaafu, Zakia Meghji ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Jaji George Masaju (Baadaye alijiondoa baada ya uteuzi wake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani). Wengine ni Richard Muyungi ambaye ni Mshauri wa Rais katika masuala ya Mazingira pamoja na mabadiliko ya tabianchi, Salome Sijaona, Wilbard Kombe kutoka chuo Kikuu cha Ardhi; Emmanuel Luoga&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/31/ripoti-za-tume-mbili-kuhusu-ngorongoro-zafichua-ukweli-kuhusu-uhamaji-wa-hiari-chanzo-cha-mgogoro/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/#respond</comments>
					<pubDate>27 Mechi 2026 17:49:56 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Diana Wanyonyi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://swahili.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/Screenshot-2026-03-27-200514.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1250</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Elimu ya Mazingira, Filosofia ya Uhifadhi, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Hifadhi, Hifadhi za Jamii za Asili, Maendeleo ya Jamii, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Misitu ya Kitropiki, Nyani, Primates, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Tumbili, Tumbili wa Msituni, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>TANA RIVER, Kenya &#8211; Ni siku ya Jumamosi, majira ya asubuhi. Kwa mbali jua limeanza kuchomoza juu ya msitu wa Tana River, na kijiji cha Baomo kinaanza kuamka polepole. Ukimya wa asubuhi unapambwa na sauti za ndege. Ili kuingia katika kijiji hicho, kilichozungukwa na msitu, kuna njia nyembamba inayokatiza msitu na mashamba, ambayo inaelekea Baomo. Njia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/" data-wpel-link="internal">Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[TANA RIVER, Kenya &#8211; Ni siku ya Jumamosi, majira ya asubuhi. Kwa mbali jua limeanza kuchomoza juu ya msitu wa Tana River, na kijiji cha Baomo kinaanza kuamka polepole. Ukimya wa asubuhi unapambwa na sauti za ndege. Ili kuingia katika kijiji hicho, kilichozungukwa na msitu, kuna njia nyembamba inayokatiza msitu na mashamba, ambayo inaelekea Baomo. Njia hiyo ya asili imeundwa kupitia shughuli za kila siku za binadamu, magari, baiskeli na pikipiki zinazoitumia mara kwa mara. Pia kuna wanyamapori wanaotumia njia hiyo wakienda kutafuta maji na malisho. Mongabay iliona kinyesi cha ndovu kilichokuwa kimesambaa barabarani na kukauka, huku vingine vikiwa bado vibichi na vikitoa harufu kali. Mbegu za mimea na majani yaliyosagika yalionekana ndani ya kinyesi hicho kilichokuwa ardhini. Kwa wakazi wa Baomo, kinyesi hicho si uchafu bali ni ujumbe kuwa wanaishi kwa ukaribu na wanyamapori wakubwa zaidi barani Afrika: ndovu. Kijiji cha Baomo kilichoko katika Kaunti ya Tana River, pwani ya Kenya, kipo karibu na Mto Tana na kimezungukwa na msitu unaohifadhi wanyamapori mbalimbali, wakiwemo fisi, tumbili, ndovu, nyati, dikdik, nyani, twiga, ndege, nyoka na wanyama wengine. Mpalawasi hawezi kukudhuru Mwanahamisi Kandugu Sidi, mama wa umri wa miaka 65, na ambaye ni mkazi wa kijiji cha Baomo. Picha na Diana Wanyonyi, Mongabay. Matawi ya miti yalipoanza kutikisika mbele yangu, Mwanahamisi Kandugu Sidi, mama wa umri wa miaka 65, aliyekuja kunipokea, aliniambia: “Mwanangu usiogope, wala usihofu. Hao ni tumbili ambao pia ni jamii yetu. Sisi kama jamii ya Pokomo tunawaita ‘Mpalawasi’. Hatakudhuru kabisa, anasubiri nimwimbie wimbo wake afurahie aende zake. Subiri nimwimbie:&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/27/nyimbo-za-jadi-zawaunganisha-wana-ndera-na-tumbili-aina-ya-mangabey-na-red-colobus/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>26 Mechi 2026 20:25:45 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/26202110/Lukuvi-1-768x470.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1247</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Sheria ya Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu wa Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, si tu pigo la kisiasa bali pia pengo kubwa kwa juhudi za uhifadhi wa mazingira nchini humo. Alipofariki dunia Machi 25, 2026, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alikuwa bado anahudumu. Aliacha nyuma urithi unaotambulika katika kusuluhisha migogoro ya ardhi katika eneo nyeti linalogusa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Kifo cha Waziri Lukuvi wa Tanzania chaacha pengo katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi na uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu wa Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, si tu pigo la kisiasa bali pia pengo kubwa kwa juhudi za uhifadhi wa mazingira nchini humo. Alipofariki dunia Machi 25, 2026, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alikuwa bado anahudumu. Aliacha nyuma urithi unaotambulika katika kusuluhisha migogoro ya ardhi katika eneo nyeti linalogusa moja kwa moja mustakabali wa rasilimali asili, hifadhi za taifa, na maisha ya jamii zinazozitegemea. Mjane wake amepoteza mume, watoto wamepoteza baba na Watanzania wamempoteza mbunge na mwanasiasa maarufu na mkongwe. Lakini kwa wapenda mazingira nchini, kifo chake kinaamsha kumbukumbu za matumaini kuhusu mafunzo aliyoyaacha katika usuluhishi wa migogoro ya ardhi, hasa kati ya wakulima na wafugaji na katika maeneo yanayopakana na hifadhi za taifa. Taarifa ya kifo cha Lukuvi, ambaye alikuwa pia Mbunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), ilitangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka. “Kwa wengine, Lukuvi alikuwa na kofia nyingi tofauti. Lakini kwetu wapenda mazingira, tunamwona kama shujaa wa usimamizi endelevu wa raslimali asili. Wote tunafahamu migogoro ya ardhi mara nyingi husababisha matumizi mabaya ya maeneo ya hifadhi, uharibifu wa vyanzo vya maji na misitu. Lakini pia hupelekea kupotea kwa makazi ya wanyama pori au mimea ya asili. “Kwa ujumla, usuluhishi wa migogoro ya ardhi ni kiini cha usimamizi endelevu wa rasilimali asili. Ndiyo maana tunamuona Lukuvi kama shujaa, kwa kutambua na kuyasimamia yote hayo,’’ anasema Paul Mphizi, mwanaharakati wa masuala ya mazingira. Katika nafasi yake ya uwaziri katika wizara tofauti, Lukuvi alisimamia kikamilifu masuala ya utatuzi wa migogoro ya&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/26/kifo-cha-waziri-lukuvi-wa-tanzania-chaacha-pengo-katika-usuluhishi-wa-migogoro-ya-ardhi-na-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka taka hadi thamani: Jinsi mradi unavyogeuza taka kuwa silaha dhidi ya mabadiliko ya tabianchi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/11/kutoka-taka-hadi-thamani-jinsi-mradi-unavyogeuza-taka-kuwa-silaha-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/11/kutoka-taka-hadi-thamani-jinsi-mradi-unavyogeuza-taka-kuwa-silaha-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/#respond</comments>
					<pubDate>11 Mechi 2026 16:52:26 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Jenifer Gilla]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/11163742/6.-Ukusanyaji-taka-bila-kutengenishwa-majumbani-unapingwa-na-wadau-wa-mazingira-ukielezwa-kuwa-husababisha-taka-nyingi-kutupwa-dampo.-Picha-Jenifer-Gilla-768x512.jpeg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1088</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Ikolojia, Kilimo, Maendeleo Endelevu, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Taka, na  Uhifadhi Unaofanywa na Jamii]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Nchini Tanzania, kaya nyingi huona taka kama uchafu usio na thamani. Mabaki ya chakula yanapooza na kutoa harufu kali na plastiki zinazotapakaa karibu na makazi, familia nyingi mijini huwa na wasiwasi wa kupata athari za kiafya, hivyo hukimbilia kuzichoma, kuzitupa ovyo au kuzikusanya kwenye magari ili zipelekwe dampo. Vitendo hivyo huchafua mazingira, na kuchochea uzalishaji [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/11/kutoka-taka-hadi-thamani-jinsi-mradi-unavyogeuza-taka-kuwa-silaha-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Kutoka taka hadi thamani: Jinsi mradi unavyogeuza taka kuwa silaha dhidi ya mabadiliko ya tabianchi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Nchini Tanzania, kaya nyingi huona taka kama uchafu usio na thamani. Mabaki ya chakula yanapooza na kutoa harufu kali na plastiki zinazotapakaa karibu na makazi, familia nyingi mijini huwa na wasiwasi wa kupata athari za kiafya, hivyo hukimbilia kuzichoma, kuzitupa ovyo au kuzikusanya kwenye magari ili zipelekwe dampo. Vitendo hivyo huchafua mazingira, na kuchochea uzalishaji wa gesi aina ya Methane, ambayo hutokana na vitu vya kikaboni kama mabaki ya vyakula na taka vinapooza. Gesi hii huchangia kwa kiasi kikubwa athari za mabadiliko ya tabianchi ambayo yanaathiri maisha ya kiuchumi na kijamii ya wanadamu. Taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais iliyowekwa kwenye Mkakati wa Kitaifa wa Usimamizi wa Taka (2025), inasema Tanzania huzalisha kati ya tani milioni 14.4 hadi 20.7 za taka ngumu kwa mwaka. Kati ya hizo, zaidi ya asilimia 60 ni taka za kikaboni, ikiwemo mabaki ya chakula, majani Ripoti ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ya mwaka 2020, inaonyesha kuwa Jiji la Dar es Salaam linaongoza kwa uzalishaji wa taka ambapo kwa mwezi linazalisha taka tani 400,000, kati ya hizo, asilimia 75 huzalishwa majumbani na ni asilimia 30 tu hutupwa kwenye dampo lililopo Pugu Kinyamwezi, Wilaya ya Ilala. Zile zilizosalia huishia kwenye vyanzo vya maji kama vile mifereji, mito, mabwawa na baharini. Boniface Kyaruzi, Mtaalam wa taka na Ofisa Mkuu wa Mazingira NEMC, anasema taka zinapotupwa ovyo mitaani bila kuwa na usimamizi thabiti, huchafua mazingira na kuyasababisha yakose mvuto. Anasema taka hizo zinapokuwa zimezagaa barabarani, maji ya mvua huzipekeka kwenye mito na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/11/kutoka-taka-hadi-thamani-jinsi-mradi-unavyogeuza-taka-kuwa-silaha-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/11/kutoka-taka-hadi-thamani-jinsi-mradi-unavyogeuza-taka-kuwa-silaha-dhidi-ya-mabadiliko-ya-tabianchi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/#respond</comments>
					<pubDate>16 Januari 2026 13:59:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amos Kareithi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/17041951/Screenshot-2026-01-17-071935-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=958</guid>

					
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Kijani, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maji, Mimea, Misitu, Miti, Samaki, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni nakala ya pili katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya kwanza hapa. Kumbukumbu za maisha ya utotoni za Gerald Ngatia, afisa mstaafu wa misitu, mwenye umri wa miaka 74, zimemwezesha kusimulia jinsi hapo awali Mto Sagana ungeweza kumbeba tembo na kumpelekea nyanda za chini. “Leo hata panya anaweza [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/" data-wpel-link="internal">Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni nakala ya pili katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya kwanza hapa. Kumbukumbu za maisha ya utotoni za Gerald Ngatia, afisa mstaafu wa misitu, mwenye umri wa miaka 74, zimemwezesha kusimulia jinsi hapo awali Mto Sagana ungeweza kumbeba tembo na kumpelekea nyanda za chini. “Leo hata panya anaweza kuuvuka mto. Wakati mwingine tunafanya mikutano ya uhifadhi huku tukikalia mawe katikati ya mto uliokauka kati ya mwezi wa Septemba na mwezi Oktoba, wakati mtiririko wake wa kimazingira uko chini sana,” Ngatia, ambaye ameishi pembezoni mwa Msitu wa Hombe katika Mpango wa Makazi ya Sagana tangu utotoni, aliielezea Mongabay. Gerald Ngatia, afisa mstaafu wa misitu, mwenye umri wa miaka 74, akiwa katika ziara zake karibu na Mto Sagana. Picha na Amos Kareithi. Waendeshaji wa mitumbwi wakipita kwenye maji ya Mto Sagana wakati wa majaribio ya mashindano katika kambi ya maporomoko ya maji ya Sagana mnamo Julai 2025, wakati wa mvua. Picha na Morris Githenya. Hata hivyo, Mto Sagana sio pekee ulioko kwenye mfumo tata wa ikolojia ya Mlima Kenya, ambao viwango vyake vya maji vimepungua mara kadhaa. Mito Rigati na Thegu, ambayo hupokea maji yao kutoka Mlima Kenya na katika hatua mbalimbali kuungana na Mto Sagana, pia inajikakamua. Juu zaidi ya nyanda za juu za Laikipia, Mongabay ilipata mito mingine mikavu. Wafugaji wa mbuzi walikaa juu ya mawe yaliyopogwa kwa maji huku mifugo wao wakijaribu kunywa maji kutoka kwenye vidimbwi madogo yenye harufu kwenye mito hiyo mikavu. Ruth Waithera, anayeishi karibu na Mto Nanyuki, anahadithia kwamba alilazimika kufua nguo katika kile&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/16/barafu-zikififia-kileleni-jamii-karibu-na-mlima-kenya-zinatafuta-suluhisho-za-uhifadhi-na-kilimo-himilivu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/05/jinsi-kampeni-inayoongozwa-na-vijana-inavyorejesha-uhai-wa-ardhi-oevu-ya-dunga-ziwa-victoria/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/05/jinsi-kampeni-inayoongozwa-na-vijana-inavyorejesha-uhai-wa-ardhi-oevu-ya-dunga-ziwa-victoria/#respond</comments>
					<pubDate>05 Januari 2026 15:12:10 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Achieng’ Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/05144052/PAPYRUS-REEDS-PLANTATION-AT-DUNGA-BEACH-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=886</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, Tanzania, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Chakula, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Huduma za Mazingira, Ikolojia, Kijani, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Maeneo yaliyolindwa, Maji, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Maziwa, Mimea, Misitu, Ndege, Samaki, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Suluhu za Uhifadhi, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Urejeshaji wa Ikolojia, Utafiti, Utawala, na  Uvuvi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Miale ya jua imechomoza na kutengeneza mwanga wa kupendeza juu ya Ziwa Victoria, Afrika Mashariki. Upepo mwanana kutoka ziwani umebeba sauti za kuvutia za ndege, huku mitumbwi ya mbao ya kawaida ikitia nanga taratibu ufukweni. Maji yametulia. Mara kwa mara, ndege aina ya African sacred ibis (Threskiornis aethiopicus) huruka kwa ustadi mkubwa na kunyakua samaki kwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/05/jinsi-kampeni-inayoongozwa-na-vijana-inavyorejesha-uhai-wa-ardhi-oevu-ya-dunga-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Miale ya jua imechomoza na kutengeneza mwanga wa kupendeza juu ya Ziwa Victoria, Afrika Mashariki. Upepo mwanana kutoka ziwani umebeba sauti za kuvutia za ndege, huku mitumbwi ya mbao ya kawaida ikitia nanga taratibu ufukweni. Maji yametulia. Mara kwa mara, ndege aina ya African sacred ibis (Threskiornis aethiopicus) huruka kwa ustadi mkubwa na kunyakua samaki kwa midomo yao kisha hupaa. Mazingira ya Ufukwe wa Dunga ni ya utulivu na amani. Baada ya saa chache, wauza samaki watawasili kuanza majadiliano ya bei na wavuvi waliokesha usiku kucha wakivuta nyavu, ambazo mara nyingi hurudi zikiwa karibu tupu. Kwenye kijito kilichopo nyuma ya msururu wa vibanda vilivyojengwa kwa mbao na bati, njia nyembamba iliyozibwa na mashina ya magugu maji (water hyacinth) yaliyokaushwa imepinda kuelekea kwenye njia ya mbao iliyoinuliwa. Victor Ochieng’ Didi, mwenye umri wa miaka 32, anatembea juu ya mbao hizo akiwa na kundi la watalii wa Kenya. Watazamaji wa ndege kwa mwaka mzima wamekuwa wakipanga kutembelea eneo hilo na kushuhudia mandhari ya kuvutia yenye ndege aina ya papyrus gonolek (Laniarius mufumbiri), ambaye kwa mujibu wa Orodha Nyekundu ya IUCN, ameorodheshwa kama aliye katika hatari ya kutoweka (near threatened). Kulingana na tovuti ya ufuatiliaji wa ndege ya EBird, ndege huyo alionekana mara ya mwisho katika eneo oevu la Dunga mwaka 2024. Victor Ochieng Didi, mwanamazingira na mkazi wa Dunga, Nyalenda, ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya mazingira ya Kikundi cha Utalii wa Ikolojia na Mazingira cha Dunga (DECTTA), ambacho kimekuwa kikifanya juhudi za kufufua ardhi oevu iliyowahi kustawi. Picha na Achieng’ Otieno. Juhudi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/05/jinsi-kampeni-inayoongozwa-na-vijana-inavyorejesha-uhai-wa-ardhi-oevu-ya-dunga-ziwa-victoria/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/05/jinsi-kampeni-inayoongozwa-na-vijana-inavyorejesha-uhai-wa-ardhi-oevu-ya-dunga-ziwa-victoria/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi unaoongozwa na wafugaji wa Kitanzania washinda tuzo ya kimataifa kwa kuimarisha uhifadhi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/12/16/mradi-wa-kibunifu-unaoongozwa-na-wafugaji-wa-kitanzania-washinda-tuzo-ya-kimataifa-kwa-kuimarisha-uhifadhi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/12/16/mradi-wa-kibunifu-unaoongozwa-na-wafugaji-wa-kitanzania-washinda-tuzo-ya-kimataifa-kwa-kuimarisha-uhifadhi/#respond</comments>
					<pubDate>16 Desemba 2025 17:39:02 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Joyce Bazira]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/12/23182123/Screenshot-2025-12-23-204447-768x467.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=850</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Akili Mnemba, Ardhi iliyoharibika, Elimu, Elimu ya Mazingira, Haki za Ardhi, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Mageuzi ya Ardhi, Malisho ya Ng'ombe, Mazingira, Mifugo, Mimea, Nyasi, Suluhisho za Asili, Teknolojia, Teknolojia ya Uhifadhi Mazingira ya Porini, Ufugaji, Ufugaji wa Ng'ombe, Ufugaji wa Uhifadhi, Uhifadhi nje ya Makazi ya Asili, na  Vikundi vya Jamii za Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wafugaji kutoka maeneo ya vijijini nchini Tanzania wametambuliwa kimataifa kwa kufanikiwa kuweka pamoja maarifa ya asili na teknolojia mpya katika juhudi za kurejesha ardhi iliyoharibika na kuhakikisha upatikanaji wa malisho. Mradi huo unaoongozwa na jamii, ujulikanao kama Sustainable Rangelands Initiative (SRI), ulibuniwa na shirika la African People &#38; Wildlife (APW). Hivi karibuni, ulishinda tuzo katika [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/16/mradi-wa-kibunifu-unaoongozwa-na-wafugaji-wa-kitanzania-washinda-tuzo-ya-kimataifa-kwa-kuimarisha-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mradi unaoongozwa na wafugaji wa Kitanzania washinda tuzo ya kimataifa kwa kuimarisha uhifadhi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wafugaji kutoka maeneo ya vijijini nchini Tanzania wametambuliwa kimataifa kwa kufanikiwa kuweka pamoja maarifa ya asili na teknolojia mpya katika juhudi za kurejesha ardhi iliyoharibika na kuhakikisha upatikanaji wa malisho. Mradi huo unaoongozwa na jamii, ujulikanao kama Sustainable Rangelands Initiative (SRI), ulibuniwa na shirika la African People &amp; Wildlife (APW). Hivi karibuni, ulishinda tuzo katika kipengele cha NatureTech Stewards kwenye uzinduzi wa tuzo za IUCN Tech4Nature, wakati wa Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa IUCN, uliofanyika Abu Dhabi Oktoba mwaka huu wa 2025. Mpango wa Sustainable Rangelands Initiative (SRI) unatekelezwa Kaskazini na Kati mwa Tanzania katika wilaya za Simanjiro, Babati, Longido, Same, Monduli, Ngorogoro, na Mwanga. Mkurugenzi wa Uhifadhi wa Jamii na Mazingira wa APW, Neovitus Sianga, anasema maeneo haya yalichaguliwa kwa kuwa ni muhimu kwa shughuli za mifugo na wanyamapori. Kupitia mpango huu, unaotekelezwa na APW kwa kushirikiana na jamii za maeneo husika, kamati za malisho za vijiji pamoja na wafuatiliaji wa maeneo ya malisho waliopatiwa mafunzo, hutumia zana za kidijitali zikiwemo simu za mkononi kukusanya taarifa kuhusu vyanzo vya maji, uoto wa asili, kasi ya ukuaji wa nyasi, afya ya udongo pamoja na uwepo wa vimelea au spishi vamizi. Nasma Mustafa, mmoja wa wafuatiliaji wa malisho kutoka Kijiji cha Engaluka, anaeleza hatua kuu za zoezi hilo: “Tunatumia kipimo cha tepu ya kupimia, kamba na simu. Kamba hulazwa juu ya ardhi kwa urefu wa mita 100, sambamba na kipimo chenye alama tano. Kisha tunaangalia ni alama zipi kati ya hizo tano zinazogusa uoto wa asili na zipi&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/16/mradi-wa-kibunifu-unaoongozwa-na-wafugaji-wa-kitanzania-washinda-tuzo-ya-kimataifa-kwa-kuimarisha-uhifadhi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/12/16/mradi-wa-kibunifu-unaoongozwa-na-wafugaji-wa-kitanzania-washinda-tuzo-ya-kimataifa-kwa-kuimarisha-uhifadhi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wamiliki binafsi wa ardhi nchini Kenya waungana kulinda ushoroba wa wanyamapori</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/12/01/wamiliki-binafsi-wa-ardhi-nchini-kenya-kutoka-jamii-ya-kimasai-wanaungana-kulinda-ushoroba-wa-wanyamapori/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/12/01/wamiliki-binafsi-wa-ardhi-nchini-kenya-kutoka-jamii-ya-kimasai-wanaungana-kulinda-ushoroba-wa-wanyamapori/#respond</comments>
					<pubDate>01 Desemba 2025 22:20:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/12/15222724/Screenshot-2025-12-16-012147-768x478.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=825</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Ardhi, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Mageuzi ya Ardhi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mifugo, Sera za Mazingira, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Utawala, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>&#8220;Angalia, twiga wanatembea mbele yangu. Tuna mamia ya twiga katika hifadhi yetu. Kuna pundamilia pia, unaona? Na tembo pia,&#8221; Nelson Ole Reiyia anaeleza wakati wa mahojiano ya simu na Mongabay, mahojiano ambayo ilibidi yabadilike na kuwa ya video kumpa nafasi mwandishi wa habari kujionea kinachoelezwa. Ole Reiyia ni mwanzilishi mwenza wa hifadhi ya Nashulai Maasai, [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/01/wamiliki-binafsi-wa-ardhi-nchini-kenya-kutoka-jamii-ya-kimasai-wanaungana-kulinda-ushoroba-wa-wanyamapori/" data-wpel-link="internal">Wamiliki binafsi wa ardhi nchini Kenya waungana kulinda ushoroba wa wanyamapori</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[&#8220;Angalia, twiga wanatembea mbele yangu. Tuna mamia ya twiga katika hifadhi yetu. Kuna pundamilia pia, unaona? Na tembo pia,&#8221; Nelson Ole Reiyia anaeleza wakati wa mahojiano ya simu na Mongabay, mahojiano ambayo ilibidi yabadilike na kuwa ya video kumpa nafasi mwandishi wa habari kujionea kinachoelezwa. Ole Reiyia ni mwanzilishi mwenza wa hifadhi ya Nashulai Maasai, iliyoanzishwa mwaka 2016 kwenye mipaka ya Hifadhi maarufu ya Kitaifa ya Maasai Mara katika kaunti ya Narok kusini mwa Kenya, karibu na mpaka wa Tanzania. Utofauti wa hifadhi hii na zile zinazosimamiwa na serikali na mashirika yasiyo ya kiserikali mashariki mwa Afrika, ni kwamba Nashulai inasimamiwa na watu wa asili wa Kimasai na ina utaratibu wake tofauti wa kuendesha shughuli za uhifadhi. Hifadhi hii yenye ukubwa wa zaidi ya hekta  2,400 (ekari 5,930) inaundwa na vipande vya ardhi binafsi vinavyomilikiwa na Wamasai walioamua kujiunga pamoja kwa lengo la kulinda mazingira na haki zao. Wakati katika maeneo mengine nchini Kenya, umiliki binafsi wa ardhi za Wamasai umesababisha kugawanywa kwa maeneo ya malisho na kuleta athari kwenye uhifadhi, Ole Reiyia anasema hali ni tofauti katika hifadhi ya Nashulai kwani utaratibu huo umeleta mabadiliko yanayoonekana na chanya. Badala ya kuacha ardhi ikiwa imegawanywa vipande vipande, wamiliki wa ardhi waliamua kuunganisha mashamba yao pamoja. &#8220;Eneo kubwa la Nashulai lilikuwa ni vumbi tu. Hakukuwa na nyasi kwenye ardhi,” Ole Reiyia aliiambia Mongabay. “Baada ya miaka miwili, kiwango cha nyasi kiliongezeka. Wanawake walifanya kazi na kuhakikisha mto unarejea. Waliondoa tani za taka, kisha wakishirikiana na vijana, wakapanda miche asilia kando ya kingo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/01/wamiliki-binafsi-wa-ardhi-nchini-kenya-kutoka-jamii-ya-kimasai-wanaungana-kulinda-ushoroba-wa-wanyamapori/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/12/01/wamiliki-binafsi-wa-ardhi-nchini-kenya-kutoka-jamii-ya-kimasai-wanaungana-kulinda-ushoroba-wa-wanyamapori/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mabadiliko haki ya nishati yamaanisha nini kwa Afrika?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/11/10/mabadiliko-haki-ya-nishati-yamaanisha-nini-kwa-afrika/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/11/10/mabadiliko-haki-ya-nishati-yamaanisha-nini-kwa-afrika/#respond</comments>
					<pubDate>10 Novemba 2025 09:54:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[John Cannon]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/11/12101218/Screenshot-2025-11-12-131027-768x477.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=769</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Chakula, Haki ya Tabianchi, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Wenyeji wa Asili, Hali ya Hewa, Kijani, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Majadiliano kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Mazingira, Nishati safi, Sera za tabianchi, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Siasa za Tabianchi, Uchafuzi, Ufadhili wa tabianchi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Wakati waandishi wawili wa Mongabay walipokitembelea kijiji cha Lukwangulo kwenye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walipatana na hali halisi ambayo ni ya kawaida katika maeneo mengi ya vijijini barani Afrika: Familia hutumia muda wa thamani kuchanja kuni katika misitu kwa sababu ya kupikia, mara nyingi moja ya vyanzo vyao au hata wakati mwingine,- chanzo chao [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/11/10/mabadiliko-haki-ya-nishati-yamaanisha-nini-kwa-afrika/" data-wpel-link="internal">Mabadiliko haki ya nishati yamaanisha nini kwa Afrika?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Wakati waandishi wawili wa Mongabay walipokitembelea kijiji cha Lukwangulo kwenye Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, walipatana na hali halisi ambayo ni ya kawaida katika maeneo mengi ya vijijini barani Afrika: Familia hutumia muda wa thamani kuchanja kuni katika misitu kwa sababu ya kupikia, mara nyingi moja ya vyanzo vyao au hata wakati mwingine,- chanzo chao pekee cha kupata nishati. Wengine wanaweza kuchangisha pesa za kutosha kwa paneli ya jua ambayo inaweza kuchajisha simu ya mkononi, kuwasha redio na kutoa mwanga kidogo kwa watoto kutwalii. Lakini kwa kawaida haitoshi kwa kazi ya msingi ya kupikia. Tofauti kubwa kati ya hali hii na ulimwengu mpana zaidi unaotumia nishati hiyo inaonekana wazi kwa walio na uwezo finyu au wasiokuwa na uwezo kabisa wa kuufikia. &#8220;Unatokea mjini &#8211; una umeme, una taa. Kwa nini wewe na sio sisi?&#8221; Mukalay Ngoyi, kiongozi kutoka kijiji cha Lukwangulo, aliiambia Mongabay. &#8220;Sisi ni wanadamu kama wewe, na tunahitaji umeme pia.&#8221; Mnamo Novemba 10, Mkutano wa 30 (COP30) wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (UNFCCC),utakuwa Belém, Brazili, kutathmini maendeleo ya kimataifa kuelekea kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa kupunguza uzalishaji wa kaboni. Cha msingi katika kupunguza uzalishaji huo na kufikia lengo la kuweka halijoto duniani kuwa chini ya nyuzi 2° (3.6° Fahrenheit) juu ya viwango vya kabla ya kuanza kwa viwanda ni jinsi tunavyokidhi kuongezeka kwa mahitaji ya nishati, kote duniani na katika maeneo kama kijiji cha Lukwangulo. Lakini viongozi wengi wa jamii hawatakuwa Belém, badala yake wanategemea wengine kuwawakilisha&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/11/10/mabadiliko-haki-ya-nishati-yamaanisha-nini-kwa-afrika/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/11/10/mabadiliko-haki-ya-nishati-yamaanisha-nini-kwa-afrika/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Ziwa kuu zaidi barani Afrika huenda likawa eneo la kinu cha nyuklia cha Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/10/08/ziwa-kuu-zaidi-barani-afrika-huenda-likawa-eneo-la-kinu-cha-nyuklia-cha-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/10/08/ziwa-kuu-zaidi-barani-afrika-huenda-likawa-eneo-la-kinu-cha-nyuklia-cha-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>08 Oktoba 2025 20:18:59 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/11/03202517/Screenshot-2025-11-03-232333-768x480.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=731</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Ardhi, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Maji, Mazingira, Maziwa, Nishati, Nishati Mbadala, Samaki, Samaki wa Maji safi, Siasa za Mazingira, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, na  Uhifadhi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>&#8220;Ni kamilifu!&#8221; anagutuka Anthony Kingi, mwanachama wa jamii ya kijiji cha Uyombo na mwanaharakati wa mazingira. &#8220;Kenya haiuhitaji huu. Hata hivyo, kama ni lazima waujenge, ninafurahi kuwa hauko nyuma ya nyumba yangu.&#8221; Anachoashiri “hicho” Kiwanda kinachorejelewa na Kingi ni kinu cha nyuklia cha megawati 1,000 ambacho serikali ya Kenya inapanga kujenga. Serikali imeorodhesha maeneo matatu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/10/08/ziwa-kuu-zaidi-barani-afrika-huenda-likawa-eneo-la-kinu-cha-nyuklia-cha-kenya/" data-wpel-link="internal">Ziwa kuu zaidi barani Afrika huenda likawa eneo la kinu cha nyuklia cha Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[&#8220;Ni kamilifu!&#8221; anagutuka Anthony Kingi, mwanachama wa jamii ya kijiji cha Uyombo na mwanaharakati wa mazingira. &#8220;Kenya haiuhitaji huu. Hata hivyo, kama ni lazima waujenge, ninafurahi kuwa hauko nyuma ya nyumba yangu.&#8221; Anachoashiri “hicho” Kiwanda kinachorejelewa na Kingi ni kinu cha nyuklia cha megawati 1,000 ambacho serikali ya Kenya inapanga kujenga. Serikali imeorodhesha maeneo matatu ambayo yanaweza kutumika kwa mradi huo wenye thamani ya dola bilioni 3.8. &#8220;Kwa sasa Kenya ipo katika awamu ya pili ya maendeleo ya mpango wa nishati ya nyuklia, ikiwa na lengo la wazi la kuunganisha nishati ya nyuklia kwenye gridi ya kitaifa ifikapo mwaka 2034,&#8221; Shirika la Nishati ya Nyuklia la Kenya (NuPEA) lilisema katika taarifa kwa Mongabay. Mashauriano ya awali kuhusu mradi yalijikita katika sehemu ya Uyombo, kijiji cha wavuvi katika Kaunti ya Kilifi kwenye pwani ya kusini mashariki mwa Kenya. Uamuzi huo ulisababisha upinzani mkubwa kutoka kwa wanakijiji wa Uyombo na wataalam wa mazingira. Kwa miaka mingi, maandamano yalipoongezeka, waandamanaji walivamiwa na polisi, na wengine walikamatwa. Mnamo Juni 27 mwaka huu, kukiwa na shamrashamra ndogo sana, Wizara ya Kawi na Petroli ilitangaza katika Kongamano la Nishati ya Nyuklia katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Jaramogi Oginga Odinga (JOOUST), kilichoko kaunti ya Siaya kwamba inafikiria kujenga kiwanda hicho huko Luanda Kotieno, katika eneo la Bondo kaunti ya Siaya, upande wa pili wa nchi. Sehemu zinazowezekana kuanzishwa kwa mradi wa kinu cha nyuklia kilichopendekezwa cha Kenya. Mbunge wa Rarieda Paul Otiende Amollo, mojawapo ya maeneo bunge sita ya kaunti ya Siaya, alisema wakati&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/10/08/ziwa-kuu-zaidi-barani-afrika-huenda-likawa-eneo-la-kinu-cha-nyuklia-cha-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/10/08/ziwa-kuu-zaidi-barani-afrika-huenda-likawa-eneo-la-kinu-cha-nyuklia-cha-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kenya: Utata waibuka kuhusu hoteli ya Ritz-Carlton iliyomo kwenye Hifadhi ya Maasai Mara, katikati ya shoruba ya uhamaji wa wanyama</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/08/12/kenya-utata-waibuka-kuhusu-hoteli-ya-ritz-carlton-iliyomo-kwenye-hifadhi-ya-maasai-mara-katikati-ya-shoruba-ya-uhamaji-wa-wanyama/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/08/12/kenya-utata-waibuka-kuhusu-hoteli-ya-ritz-carlton-iliyomo-kwenye-hifadhi-ya-maasai-mara-katikati-ya-shoruba-ya-uhamaji-wa-wanyama/#respond</comments>
					<pubDate>12 Agosti 2025 06:41:11 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Elodie Toto]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/11/28064805/Screenshot-2025-11-28-093928-768x481.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=819</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, Kenya, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Haki za Wenyeji wa Asili, Jamii Asili, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika hifadhi ya kitaifa ya Maasai Mara iliyoko nchini Kenya, ujenzi wa hoteli ya kifahari umeibua utata mkubwa. Hoteli hiyo inayojulikana kama Ritz-Carlton Masai Mara Safari Camp, inasimamiwa na kundi la hoteli la Marriott International. Hoteli hii ya kifahari inayotarajia kufunguliwa katikati ya mwezi Agosti, ina idadi ya vyumba binafsi 20, bwawa la kuogelea lisilo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/08/12/kenya-utata-waibuka-kuhusu-hoteli-ya-ritz-carlton-iliyomo-kwenye-hifadhi-ya-maasai-mara-katikati-ya-shoruba-ya-uhamaji-wa-wanyama/" data-wpel-link="internal">Kenya: Utata waibuka kuhusu hoteli ya Ritz-Carlton iliyomo kwenye Hifadhi ya Maasai Mara, katikati ya shoruba ya uhamaji wa wanyama</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika hifadhi ya kitaifa ya Maasai Mara iliyoko nchini Kenya, ujenzi wa hoteli ya kifahari umeibua utata mkubwa. Hoteli hiyo inayojulikana kama Ritz-Carlton Masai Mara Safari Camp, inasimamiwa na kundi la hoteli la Marriott International. Hoteli hii ya kifahari inayotarajia kufunguliwa katikati ya mwezi Agosti, ina idadi ya vyumba binafsi 20, bwawa la kuogelea lisilo na ukingo, spa na huduma nyingine nyingi. Gharama za chini za kulala kwenye hoteli hiyo ni Dola za Kimarekani 3,500 kwa usiku mmoja tu. Hata hivyo kinacholeta utata hapa si hali ya kifahari ya hoteli hiyo bali mahali ilipojengwa, yaani kandokando ya Mto Sand, kwenye njia muhimu inayotumiwa na wanyamapori katika uhamaji wao. “Mahali walipojenga ni eneo linalosifika sana kwa uhamaji mkubwa wa wanyama aina ya nyumbu kati ya Tanzania na Kenya. Kila mwaka, kipindi kama hiki, mamilioni ya wanyama wakiwemo pundamilia na swala, huvuka mto huu. Kwa kawaida, wanyama hawa huvuka kupitia maeneo maalum. Kwa hiyo ujenzi wa hoteli hiyo maeneo hayo, unavuruga sana mwenendo wao,” anaeleza Meitamei Ole Dapash, Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu, Utafiti na Uhifadhi ya Wamasai (MERC), ambaye pia ni mwanachama wa jamii ya Waamasai. Uhamaji mkubwa wa wanyama hutokea katika kipindi kinachoanzia mwezi Juni hadi Oktoba kila mwaka ambapo wanyama wanaoishi kwa kula majani, kutoka Hifadhi ya Serengeti nchini Tanzania huhama kwenda kufuata malisho. Ili kufanikisha safari hii, makundi makubwa huvuka mito kadhaa na hatimaye kufika Hifadhi ya Kitaifa ya Maasai Mara nchini Kenya. Tukio hili la kiasili huvutia maelfu ya watalii, kwa sababu ya muonekano wa makundi makubwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/08/12/kenya-utata-waibuka-kuhusu-hoteli-ya-ritz-carlton-iliyomo-kwenye-hifadhi-ya-maasai-mara-katikati-ya-shoruba-ya-uhamaji-wa-wanyama/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/08/12/kenya-utata-waibuka-kuhusu-hoteli-ya-ritz-carlton-iliyomo-kwenye-hifadhi-ya-maasai-mara-katikati-ya-shoruba-ya-uhamaji-wa-wanyama/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kwa mara ya pili sasa, mradi wa kaboni wa Kenya wasimamishwa</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/05/15/kwa-mara-ya-pili-sasa-mradi-wa-kaboni-wa-kenya-wasimamishwa/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/05/15/kwa-mara-ya-pili-sasa-mradi-wa-kaboni-wa-kenya-wasimamishwa/#respond</comments>
					<pubDate>15 Mei 2025 17:52:16 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/23175405/Screenshot-2025-09-23-205050-768x478.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=485</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Ardhi, Haki za Wenyeji wa Asili, Hali ya Hewa, Jamii Asili, Kaboni, Kijani, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mifugo, Savanna, Siasa za Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Shirika la kuthibitisha mikopo ya kaboni, Verra, limeuweka Mradi wa Kaboni wa Malisho ya Kaskazini mwa Kenya, kwa lugha ya Kingereza, Northern Kenya Rangelands Carbon Project, chini ya mapitio kwa mara ya pili, jambo ambalo limethibitishwa kwa Mongabay kupitia taarifa ya barua pepe. Kabla ya hayo mapitio kukamilika, huo mradi hautaruhusiwa kuuza hati zozote za kaboni unazozizalisha [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/05/15/kwa-mara-ya-pili-sasa-mradi-wa-kaboni-wa-kenya-wasimamishwa/" data-wpel-link="internal">Kwa mara ya pili sasa, mradi wa kaboni wa Kenya wasimamishwa</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Shirika la kuthibitisha mikopo ya kaboni, Verra, limeuweka Mradi wa Kaboni wa Malisho ya Kaskazini mwa Kenya, kwa lugha ya Kingereza, Northern Kenya Rangelands Carbon Project, chini ya mapitio kwa mara ya pili, jambo ambalo limethibitishwa kwa Mongabay kupitia taarifa ya barua pepe. Kabla ya hayo mapitio kukamilika, huo mradi hautaruhusiwa kuuza hati zozote za kaboni unazozizalisha kupitia modeli yake ya kusimamia njia za malisho ya mifugo. Huu uamuzi umekuwa pigo kwa Northern Rangelands Trust (NRT), shirika la uhifadhi lenye makao yake makuu nchini Kenya, ambalo huratibu mtandao wa hifadhi za wanyamapori za jamii zinazoshiriki katika mradi huo wa kaboni. Mapema mwaka huu, mwezi Januari, mahakama ya Kenya iliamua kwamba  hifadhi mbili zilizohusishwa na NRT zilikuwa zimeanzishwa kinyume cha sheria, na bila ushirikishwaji wa umma ipasavyo. Moja ya hifadhi hizo, Biliqo Bulesa Conservancy, imekuwa ikizalisha mikopo ya kaboni kwa kupangilia njia za misimu ya malisho ya mbuzi, ng’ombe na mifugo mingine kwenye maeneo hayo. Wateja wakubwa kama Meta na Netflix, wamenunua mikopo ya kaboni ya mamilioni ya dola tangu mradi kuanzishwa mwaka 2012. Takriban wafugaji 165 kutoka Kaunti ya Isiolo, kaskazini mwa Kenya, walikwenda mahakamani na kudai kuwa viongozi wa hifadhi hiyo hawakufanya mashauriano ya kutosha kabla ya kuisajili mwaka 2007. Verra liliiambia Mongabay kwamba uamuzi wao wa kusimamisha mradi huo ulitokana na ule wa mahakama uliotolewa na jopo la majaji watatu. “Mwanzilishi wa mradi, ambayo ni NRT, inahusika kwenye kesi ya kisheria iliyopelekea hukumu ya mahakama mnamo Januari 2025. Huku ikiwasilisha rufaa, NRT iliomba kusitishwa kwa uamuzi huo, lakini ombi hilo lilikataliwa. Kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/05/15/kwa-mara-ya-pili-sasa-mradi-wa-kaboni-wa-kenya-wasimamishwa/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/05/15/kwa-mara-ya-pili-sasa-mradi-wa-kaboni-wa-kenya-wasimamishwa/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>‘Auawa akiwinda kiharamu’: Utekelezaji wa sheria za wanyamapori unapogeuka vurugu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/03/27/auawa-akiwinda-haramu-utekelezaji-wa-sheria-za-wanyamapori-unapogeuka-vurugu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/03/27/auawa-akiwinda-haramu-utekelezaji-wa-sheria-za-wanyamapori-unapogeuka-vurugu/#respond</comments>
					<pubDate>27 Mechi 2025 14:56:09 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/03140900/Screenshot-2025-09-03-170809-768x472.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=363</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Biashara ya Wanyamapori, Bioanuai, Haki za Ardhi, Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Jamii Asili, Maeneo yaliyolindwa, Mamalia, Mazingira, Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Siasa za Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Wanyama, Wanyamapori, na  Watu wa Jadi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni hadithi ya pili katika mfululizo wa Mongabay – Maeneo Yaliyolindwa Afrika Mashariki. Soma Sehemu ya Kwanza hapa. KITABU, Uganda — Ni saa sita mchana katika sehemu ya Kitabu, mji mdogo ulio kwenye vilima vya magharibi mwa Uganda chini ya milima ya Rwenzori. Mashamba yaliyotunzwa vyema ya maharage na mihogo yako kando ya barabara [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/03/27/auawa-akiwinda-haramu-utekelezaji-wa-sheria-za-wanyamapori-unapogeuka-vurugu/" data-wpel-link="internal">‘Auawa akiwinda kiharamu’: Utekelezaji wa sheria za wanyamapori unapogeuka vurugu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni hadithi ya pili katika mfululizo wa Mongabay – Maeneo Yaliyolindwa Afrika Mashariki. Soma Sehemu ya Kwanza hapa. KITABU, Uganda — Ni saa sita mchana katika sehemu ya Kitabu, mji mdogo ulio kwenye vilima vya magharibi mwa Uganda chini ya milima ya Rwenzori. Mashamba yaliyotunzwa vyema ya maharage na mihogo yako kando ya barabara inayoelekea huko. Wanawake na watoto wadogo wanaonekana wakiwa wamebeba mizigo ya kuni vichwani mwao chini ya jua kali la Oktoba. Chini kabisa, mandhari ya savanna ya kijani kibichi na kahawia inaambaa kwa umbali, na kuenea hadi upeo wa macho ikiwa na maziwa na mito inayomeremeta. Hii ni mbuga ya Taifa ya Malkia Elizabeth, &#8220;kivutio maarufu zaidi cha watalii” nchini Uganda, na mojawapo ya mifumo muhimu zaidi ya ikolojia katika Afrika Mashariki. Misitu yake, mabwawa na nyasi vimeenea katika eneo la karibu kilomita za mraba 2,000 (takribani maili za mraba 765). Kuna tembo wa savanna hapa, pamoja na simba ambao hulala kwenye matawi ya miti, nyati, chui, swala, sokwe, viboko, na zaidi ya aina 600 za ndege tofauti. &#8220;Malkia,&#8221; kama wasimamizi wa mbuga wanavyoiita, ni &#8220;mhifadhi wa binadamu na eneo la uhai&#8221; la UNESCO &#8211; moja ya makazi machache ya wanyamapori yaliyohifadhiwa kwa kiwango hiki ambacho kimebaki barani Afrika. Ramani ya Mbuga ya Taifa ya Malkia Elizabeth nchini Uganda. Shule iliyoko hapa mji wa Kitabusi ya kawaida. Ilianzishwa mwaka 2018 na kundi la waliokuwa wawindaji haramu, na ni moja ya shule chache zilizo karibu na Mbuga ya Malkia Elizabeth ambazo zinapata usaidizi kutoka kwa wafadhili nje ya nchi au, mara kwa mara, kutoka kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/03/27/auawa-akiwinda-haramu-utekelezaji-wa-sheria-za-wanyamapori-unapogeuka-vurugu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/03/27/auawa-akiwinda-haramu-utekelezaji-wa-sheria-za-wanyamapori-unapogeuka-vurugu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, ng’ombe na wanyamapori wanaweza kuishi pamoja katika Hifadhi ya Maasai Mara?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/11/05/je-ngombe-na-wanyamapori-waweza-kuishi-pamoja-katika-hifadhi-ya-masai-mara/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/11/05/je-ngombe-na-wanyamapori-waweza-kuishi-pamoja-katika-hifadhi-ya-masai-mara/#respond</comments>
					<pubDate>05 Novemba 2024 23:29:16 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/27225953/Screenshot-2025-08-28-015359-768x468.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=265</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Haki za Ardhi, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Taifa, Jamii Asili, Mabadiliko ya Matumizi ya Ardhi, Migogoro ya Ardhi, Ng'ombe, Savanna, Tembo, Uhifadhi, Uhifadhi wa Wanyamapori, Utalii, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa kawaida, ngo’mbe wanaofugwa na wanyama wengine kutoka kwenye hifadhi hawachanganyiki na kwa karne nyingi wafugaji wa Afrika Mashariki walikuwa wakitafuta malisho katika mbuga mbalimbali wakipishana na wanyama kama tembo. Siku hizi, maeneo yaliyokuwa hayamilikiwi na watu na yalikuwa yanaonekana kama hayana wenyewe yamekuwa ranchi, mashamba makubwa na hifadhi za taifa ambako ng’ombe hawatakiwi kuonekana. Kuruhusu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/11/05/je-ngombe-na-wanyamapori-waweza-kuishi-pamoja-katika-hifadhi-ya-masai-mara/" data-wpel-link="internal">Je, ng’ombe na wanyamapori wanaweza kuishi pamoja katika Hifadhi ya Maasai Mara?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa kawaida, ngo’mbe wanaofugwa na wanyama wengine kutoka kwenye hifadhi hawachanganyiki na kwa karne nyingi wafugaji wa Afrika Mashariki walikuwa wakitafuta malisho katika mbuga mbalimbali wakipishana na wanyama kama tembo. Siku hizi, maeneo yaliyokuwa hayamilikiwi na watu na yalikuwa yanaonekana kama hayana wenyewe yamekuwa ranchi, mashamba makubwa na hifadhi za taifa ambako ng’ombe hawatakiwi kuonekana. Kuruhusu ng’ombe kuingia katika maeneo hayo kunaweza kusababisha mifugo kuuawa kwa kuwa nyasi ambazo huliwa na nyumbu au nyati, kwa mfano, sasa zinaliwa na ngo’mbe ambao kwa sehemu kubwa huharibu mazingira na kuwalazimu wanyamapori kuhamia katika maeneo finyu. Hoja hii ina mashiko siyo tu kwa sababu ya sera zilizopo katika nchi mbalimbali za Afrika Mashariki, bali pia tafiti zimethibitisha hivyo. Lakini kikundi kimoja cha watafiti kinasema kuwa kulingana na takwimu na taarifa mbalimbali ambazo wamezikusanya kwa miezi 19 katika Maasai Mara National Reserve nchini Kenya, zinaonyesha sura tofauti. Matokeo ya utafiti wao yaliyochapishwa mwezi Septemba mwaka huu yamesababisha mkanganyiko siyo tu kwa wanaikolojia wanaofanya kazi katika mbuga ya Maasai Mara bali pia kwa makampuni ya utalii. Ingawa wafugaji hawaruhusiwi kuingiza mifugo yao katika mbuga hiyo, lakini hulisha huko na wakikamatwa hutozwa faini kubwa. Hata hivyo, hawakomi, hasa wakati wa ukame au kipindi cha kiangazi. Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa mara nyingi wafanyakazi wa MMNR hawajali sana na wanaendelea na shughuli zao. “Kulingana na taarifa tulizokusanya tumeona kuwa athari zinazotokana na kuingizwa ng’ombe kwenye hifadhi ni ndogo sana kwa maisha ya wanyamapori na ustawi wa mazingira pia,” anasema Bilal Butt, Profesa Mshiriki kutoka Chuo Kikuu cha Michigan, Marekani, ambaye alishiriki katika utafiti huo.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/11/05/je-ngombe-na-wanyamapori-waweza-kuishi-pamoja-katika-hifadhi-ya-masai-mara/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/11/05/je-ngombe-na-wanyamapori-waweza-kuishi-pamoja-katika-hifadhi-ya-masai-mara/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>