Mimea Habari

RSS
22 Habari

Wanawake wa jamii za kiasili wanaourejesha Msitu wa Mau nchini Kenya na kubadilisha majkumu ya kijinsia

Wakazi bado wanakabili athari za mgodi uliochafua Mto Kafue, nchini Zambia mwaka 2025

Magugumaji ya Salvinia yaendelea kuhatarisha mazingira na ikolojia ya Ziwa Victoria

Teknolojia ya kisasa yabadilisha ukulima wa mwani na kuongeza kipato cha wakulima Kenya

Pilipili na usingizi wa amani: Kinamama wa Maasai Mara waandika upya hadithi ya kuishi na tembo waharibifu

Usalama wa chakula mashakani: Namna mvutano wa Ghuba unavyotikisa upatikanaji wa mbolea nchini Kenya

Mbinu za uchakachuaji wa mwani zaongeza juhudi za kuimarisha soko nchini

EACOP latishia mifumo ya maji safi na njia za uhamaji wa wanyamapori, ripoti yabaini

Mradi wa mazingira mashuleni warejesha miti na kujenga ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi

Mimea vamizi yatishia mifumo ya ikolojia ya hifadhi maarufu za taifa nchini Tanzania

Wanafunzi wanane wafungwa nchini Uganda kwa kupinga EACOP

Uchimbaji holela wa mawe Mwanza waathiri mazingira na jamii

Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya

Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara 

Uelewa mdogo unavyochochea kutoweka kimya kimya kwa kakakuona Tanzania

Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu

Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria

Mradi unaoongozwa na wafugaji wa Kitanzania washinda tuzo ya kimataifa kwa kuimarisha uhifadhi

Mjini Kivu nchini DRC, Moringa unatoa manufaa muhimu kiafya

Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake

`Mlima wa jongoo’ wa Tanzania watoa spishi sita mpya

Shinikizo kwa mabwawa ya mafunjo Ziwa Viktoria latishia usalama na riziki ya wenyeji