Bahari Habari

RSS
17 Habari

Wanawake wapiga doria katika bahari ya Pemba katika juhudi za jamii za kulinda rasilimali za baharini

Katika Mkondo wa Mida nchini Kenya, wavuvi sasa wanakabiliana na mabadiliko ya bahari kwa matumaini

Sehemu sita za hifadhi baharini zatambuliwa kama Mbuga za Buluu, nne kati yake zikiwa Afrika

Azimio la Mombasa: Nchi 15 zajitolea kushiriki taarifa za uvuvi ili kukabiliana na uvuvi haramu 

Mashirika ya baharini yanayoongozwa na jamii za Kiafrika ni muhimu kwa mafanikio ya lengo la 30×30

Mbinu za uchakachuaji wa mwani zaongeza juhudi za kuimarisha soko nchini

FAO: Ufugaji wa viumbe vya majini waweka rekodi mpya huku biashara ya dunia ikifikia dola bilioni 184

Ripoti: Njia za meli kubwa za kusafirisha gesi nchini Tanzania zitapita katika maeneo nyeti kiikolojia

Utafiti: Mifumo nyeti ya bahari ya Kenya imo ndani ya maeneo yaliyopangiwa miradi ya mafuta na gesi

Atuwa, mwanamke pekee Zanzibar anayezamia ili kurejesha miamba ya matumbawe iliyoharibika

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Mkakati mpya wa kudhibiti upungufu wa papa nchini Kenya unalenga kuwashirikisha wavuvi

Kasa 350 wawekwa katika viota maalum kufuatia hatari ya kutoweka katika bahari ya Zanzibar

Wanawake Jomvu Creek, Kenya wanasaidia kurejesha pwani inayotoweka kutokana na ufugaji wa kaa

Uhifadhi wa mazingira ya bahari kupitia tengefu unaleta matumaini kwa wavuvi katika pwani ya Kenya

Kujengwa kwa bandari mpya Kenya, tishio kwa viumbe baharini, vitega uchumi

Wanakijiji Kenya waonyesha namna ya kuvuna pweza wengi kwa kuvua kidogo