<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=kuokoa-misitu&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/kuokoa-misitu/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Wed, 16 Sep 2026 17:46:29 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Tanzania inawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku ikilinda spishi zilizo hatarini kutoweka?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/#respond</comments>
					<pubDate>05 Septemba 2026 00:00:40 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Hillary Mrosso]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/04131104/1-mimeadawa-1-737x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2746</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Dawa ya Asili, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Ikolojia, Kuokoa Misitu, Kupambana na ujangili, Kuzuia Kutoweka kwa Spishi, Matumizi kupita Kiasi, Mifumo ya Ikolojia, Mimea yenye Tiba, Misitu, Misitu ya Asili, Miti, Uokoaji wa Misitu, na  Uwindaji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Matumizi ya mimea na miti kama dawa yanaendelea kuongezeka kwa kasi, hali inayotishia uhai wa baadhi ya spishi, bioanuwai na afya ya misitu. Hali hii inazua swali muhimu: Je, jamii  nchini Tanzania zinawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku spishi zilizo hatarini na misitu vikiendelea kulindwa? Matumizi ya mimea dawa: Hali halisi Taarifa zilizopo zinaonyesha [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Tanzania inawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku ikilinda spishi zilizo hatarini kutoweka?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Matumizi ya mimea na miti kama dawa yanaendelea kuongezeka kwa kasi, hali inayotishia uhai wa baadhi ya spishi, bioanuwai na afya ya misitu. Hali hii inazua swali muhimu: Je, jamii  nchini Tanzania zinawezaje kuendelea kunufaika na mimea ya dawa huku spishi zilizo hatarini na misitu vikiendelea kulindwa? Matumizi ya mimea dawa: Hali halisi Taarifa zilizopo zinaonyesha nchi nyingi duniani sasa zinatumia  mimea kama dawa. Kwa mfano, Ripoti ya mwaka 2019 ya Shirika la Afya Duniani, (WHO) kuhusu mimea na tiba asili ilionyesha kuwa nchi wanachama (nchi ambazo WHO inafanya kazi) 170 kati ya 194, sawa na asilimia 88, zilikuwa zinatumia mimea kutibu maradhi mbalimbali. Aina mbalimbali za mimea ya dawa iliyovunwa kutoka kwenye mimea asilia ikiwa imewekwa tayari kwa kuuzwa kwenye maduka ya dawa asilia katika maeneo ya Morogoro mjini: Picha na Hillary Mrosso. Barani Afrika, ambapo kuna upatikanaji wa mimea na misitu mingi asilia, hali ya matumizi ya mimea dawa ni kubwa zaidi. Kwa mujibu wa ripoti ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ya mwaka 2010 kuhusu matumizi ya dawa asili barani Afrika, kati ya asilimia 70 hadi 80 ya Waafrika wanategemea mimea kwa ajili ya afya zao. Nchini Tanzania, Chapisho la WHO linaonyesha kuwa kati ya asilimia 60 hadi 80 ya wananchi wanatumia mimea dawa kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu na wanyama wa kufugwa. Kwa mujibu wa chapisho hilo, matumizi hayo yanakwenda sambamba na uwepo wa mtandao mpana wa waganga wa jadi, wanaokadiriwa kufikia 75,000 ambao kwa kiasi kikubwa hutegemea mimea hiyo kama chanzo cha&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/05/tanzania-inawezaje-kuendelea-kunufaika-na-mimea-ya-dawa-huku-ikilinda-spishi-zilizo-hatarini-kutoweka/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 11:10:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dan Yessa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/22105214/Screenshot-2026-07-22-135015-768x479.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2170</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Elimu ya Mazingira, Gesi, Haki za Kimazingira, Hifadhi, Huduma za Mazingira, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Maji, Maji ya kunywa, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Misitu, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati safi, Sera za Mazingira, Shida ya Maji, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi wa Maji, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, Uchimbaji wa Mafuta, Udanganyifu wa Mazingira, Uhalifu wa Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Umeme, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utalii wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa mstari wa mbele katika kupinga uchimbaji wa madini, mafuta, na gesi katika Bonde la Kongo. Kupitia kampeni na juhudi za kuielimisha jamii, wao na wenzao walifanikiwa kuzuia mipango ya utafutaji wa mafuta ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga. Kwa sasa, Mirindi anapambana dhidi ya uchimbaji katika maeneo mapya 30 ya mafuta yanayochukua asilimia 72 ya Ukanda wa Kijani wa Kongo, mradi muhimu zaidi wa uhifadhi nchini humo unaoenea katika sehemu kubwa ya Bonde la Kongo, eneo ambalo ni makazi ya maelfu ya wanyama na tegemeo muhimu kwa jamii nyingi nchini DRC. Mnamo mwezi Juni, Mirindi alizungumza na Mongabay kuhusu anachomaanisha kupinga uharibifu akiwa ndani ya nchi husika na kuleta mabadiliko katika ngazi ya kimataifa, huku akilinda makazi ya viumbe walio hatarini kutoweka kama vile sokwe wa milimani (Gorilla beringei beringei) na okapi au twiga wa msituni (Okapia johnstoni), ambao hupatikana katika eneo hilo pekee. Ziara ya kwanza ya Pascal Mirindi kwa mkurugenzi wa Hifadhi ya Taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, mwaka wa 2022. Picha kwa hisani ya Pascal Mirindi. Mahojiano haya yametafsiriwa kutoka Kifaransa na kuhaririwa ili kuzingatia urefu na uwazi. Mongabay: Pascal Mirindi ni nani? Pascal Mirindi: Mimi ni raia wa Kongo; nilizaliwa Goma mnamo mwaka wa 1999.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>03 Julai 2026 14:13:03 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Asha Bekidusa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/03133945/George-Kimau-akionyesha-eneo-la-Mrima-ambapo-ndani-ya-ardhi-hiyo-kuna-madini-ya-niobium-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1986</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Dawa ya Asili, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Milima, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Kitropiki, Misitu ya Milimani, Miti, Nyani, Sheria, Sheria ya Mazingira, Tamaduni za Kiasili, Teknolojia, Uchimbaji Madini, Uchumi, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Ukataji Miti, Utafiti, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa Mombasa. Anakumbuka mashimo yaliyoachwa baada ya baadhi ya sehemu za msitu kukatwa wakati kampuni zilipokuwa zikifanya tafiti za kutafuta madini. Zaidi ya mwongo mmoja baadaye, anasema, mashimo hayo yanaendelea kujiziba yenyewe. Ukitembea msituni, si rahisi kuona mashimo hayo madogo kwani yamefinikwa, baada ya mimea ya asili kuota tena kwa zaidi ya muongo mmoja. Mrima. Picha na Asha Bekidusa, Mongabay. Neno ‘Mrima’ linatoka katika jamii ya Wadigo, kumaanisha mlima. Msitu huu wa Mrima una rutuba kubwa na bioanuwai ya kipekee. Kadri unavyozidi kupanda mlimani, msitu huwa mnene zaidi na mwanga hupungua. Eneo hili liko kimya, isipokuwa sauti za wanyama, wadudu na miti ambayo mara kwa mara inatikisika kutokana na upepo unaovuma. Kwa mujibu wa Key Biodiversity Areas (KBA), eneo la Mrima lenye umuhimu wa bioanuwai lina ukubwa wa takriban kilomita za mraba 3.76 (sawa na takriban hekta 376), ambapo asilimia 95.77 ya eneo hilo iko chini ya hadhi mbalimbali za ulinzi wa kisheria. Utafiti na uharibifu wa misitu Kutokea miaka ya 1950, wataalamu wa jiolojia na makampuni ya madini wamekuwa wakifanya tafiti katika eneo la Mrima kutathmini uwepo wa madini ya niobium na madini adimu mengine. Stakabadhi za rekodi za kesi ya kampuni ya Cortec zinaonyesha kuwa utafiti wa awali ulifanywa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Jamii yajitahidi kuzuia kutokomea kabisa kwa chura asiyepatikana kwingineko isipokuwa nchini Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/02/27/juhudi-za-jamii-kulinda-mazingira-zazuia-kutokomea-kabisa-kwa-chura-asiyepatikana-kwingineko-ulimwenguni-isipokuwa-kenya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/02/27/juhudi-za-jamii-kulinda-mazingira-zazuia-kutokomea-kabisa-kwa-chura-asiyepatikana-kwingineko-ulimwenguni-isipokuwa-kenya/#respond</comments>
					<pubDate>27 Februari 2026 23:09:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Linah Mwamachi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/02/27231307/Screenshot-2026-02-28-015555.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1039</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Amfibia, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kuokoa Misitu, Mgogoro wa Amfibia, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Milimani, Moto wa Misitu, Uepukaji wa Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, na  Vyura]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kusini mashariki mwa Kenya, kilomita zaidi ya 45 kutoka tambarare za mji wa Voi, katika mwambao wa pwani, kuna kilele cha mlima mrefu kwa jina Vuria, wenye urefu wa zaidi ya mita 2,208. Pia kuna miinuko ya milima mingine mirefu kiasi inayoshikilia misitu ya kiasili kama vile Ngangao, Mbololo, Chawia, Fururu, Iyale, Mwambirwa, Msidunyi na mengineyo. [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/02/27/juhudi-za-jamii-kulinda-mazingira-zazuia-kutokomea-kabisa-kwa-chura-asiyepatikana-kwingineko-ulimwenguni-isipokuwa-kenya/" data-wpel-link="internal">Jamii yajitahidi kuzuia kutokomea kabisa kwa chura asiyepatikana kwingineko isipokuwa nchini Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kusini mashariki mwa Kenya, kilomita zaidi ya 45 kutoka tambarare za mji wa Voi, katika mwambao wa pwani, kuna kilele cha mlima mrefu kwa jina Vuria, wenye urefu wa zaidi ya mita 2,208. Pia kuna miinuko ya milima mingine mirefu kiasi inayoshikilia misitu ya kiasili kama vile Ngangao, Mbololo, Chawia, Fururu, Iyale, Mwambirwa, Msidunyi na mengineyo. Msitu wa Ngangao, wa pili kwa ukubwa kwa zaidi ya hektea 120, baada ya msitu wa Mbololo wenye hektea 220, unashikilia na kuhifadhi viumbe hai wasiopatikana kwingineko ulimwenguni, kama vile ndege, amfibia pamoja na miti ya kiasili. Kutokana na madhara yanayochangiwa na mabadiliko ya tabianchi, shughuli za kila siku za binadamu, na moto wa mara kwa mara katika misitu, wanajamii waliamua kuanza kutunza mazingira ya misitu hiyo, baada ya kushawishiwa na wanamazingira, serikali pamoja na asasi za kulinda misitu. Mwanasayansi wa kutambua viumbe hai, John Maghanga, anakiri kuwa halikuwa jambo rahisi kwa jamii kukubali mabadiliko hayo, hadi wanasayansi na wataalamu wa mazingira walipowahamasisha kuhusu uwepo wa viumbe wengi wasiopatikana kwingineko ulimwenguni, kama vile ndege na chura aina ya “Taita Hills Warty”, ambayo wanasayansi wanasema yuko katika hatari ya kuangamizwa kabisa. Wenyeji wa Sagalla_Mghange wakiandaa udongo wakijitayarisha kupanda miti kwenye msitu ulio karibu nao. Picha na Linah Mwamachi. “Wanajamii walichukulia suala hilo uzito, japo shingo upande, kwani  kwa miaka mingi wametegemea miti kwa kuni, kuchoma mkaa na pia kujengea nyumba zao kutumia mbao kutoka kwa miti hiyo,” asema Maghanga. Wanajamii hapa wanatunza mazingira, misitu na kuzuia watu kuchoma moto au kuharibu makazi ya wanyama na viumbe hai katika misitu&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/02/27/juhudi-za-jamii-kulinda-mazingira-zazuia-kutokomea-kabisa-kwa-chura-asiyepatikana-kwingineko-ulimwenguni-isipokuwa-kenya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/02/27/juhudi-za-jamii-kulinda-mazingira-zazuia-kutokomea-kabisa-kwa-chura-asiyepatikana-kwingineko-ulimwenguni-isipokuwa-kenya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mwanamke wa Kenya akumbatia mti kwa saa 72 kupinga kupotea kwa miti anayoipenda</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/#respond</comments>
					<pubDate>18 Desemba 2025 17:05:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/12/23191640/Screenshot-2025-12-23-200925-2-768x485.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=843</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Elimu ya Mazingira, Haki za Kimazingira, Kuokoa Misitu, Mazingira, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Jamii, Miti, Uanaharakati, Uepukaji wa Uharibifu wa Misitu, Uharibifu wa Misitu, Ukataji Miti, na  Visababishi vya Ukataji Misitu]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwanamke mwenye umri wa miaka 22 amepongezwa baada ya kuukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo licha ya hali ya hewa kugubikwa na joto lisilotabirika pamoja na mvua. Tukio hilo lililomfanya mwanamke huyo kuwa kivutio, lilitokea karibu na Mlima Kenya. Kwa ustahimilivu huo, Truphena Muthoni ameivunja rekodi yake ya awali ya kukumbatia mti kwa saa 48 aliyoweka [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/" data-wpel-link="internal">Mwanamke wa Kenya akumbatia mti kwa saa 72 kupinga kupotea kwa miti anayoipenda</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwanamke mwenye umri wa miaka 22 amepongezwa baada ya kuukumbatia mti kwa saa 72 mfululizo licha ya hali ya hewa kugubikwa na joto lisilotabirika pamoja na mvua. Tukio hilo lililomfanya mwanamke huyo kuwa kivutio, lilitokea karibu na Mlima Kenya. Kwa ustahimilivu huo, Truphena Muthoni ameivunja rekodi yake ya awali ya kukumbatia mti kwa saa 48 aliyoweka mapema mwaka huu. Ijumaa, kitabu cha kumbukumbu za maajabu duniani, ama Guinness World Records,kilitambua rasmi rekodi yake ya saa 48, siku moja baada ya kuivunja katika zoezi lililodumu kwa saa 72. “Muda mrefu zaidi wa kuukumbatia mti ni saa 48 na ulifikiwa na Truphena Muthoni (Kenya) huko Nairobi, katika zoezi lililoanza tarehe 31 Januari na kukamilika tarehe 2 Februari 2025,” ilisema taarifa ya Guinness World Records. Muthoni anasherehekea kutambuliwa huko. “Hatimaye imerejea nyumbani. Saa zangu 48 za rekodi ya kukumbatia mti kwa muda mrefu zaidi imesajiliwa. Asante Mungu. Asanteni Wakenya kwa msaada wenu. Sasa nasubiri saa 72 za kukumbatia mti mfululizo zitambuliwe,” Muthoni aliandika kwenye ukurasa wa Facebook. Katika mafanikio yake hayo ya hivi karibuni, Muthoni alikuwa imara, aliuzungushia mikono yake mti mkubwa aina ya Roystonea regia, uliokuwa karibu na ofisi za serikali ya Kaunti ya Nyeri. Wananchi wa kawaida, maafisa wa serikali, maafisa wa polisi na wahudumu wa afya walimzunguka na kumshangilia wakati wa zoezi hilo. Truphena Muthoni, ambaye alikumbatia mti kwa saa 72 katika Kaunti ya Nyeri, Kenya, chini ya Mlima Kenya. Zoezi hilo lilimalizika tarehe 11 Desemba 2025. Picha: Ukurasa wa X wa Mutahi Kahiga. Kwa Muthoni, “maandamano hayo ya kimya kimya”&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/12/18/mwanamke-wa-kenya-akumbatia-mti-kwa-saa-72-kupinga-kupotea-kwa-miti-anayoipenda/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2024 07:26:05 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ryan Truscott]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/22070836/Screenshot-2025-08-22-100727-768x469.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=199</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kaboni ya Msitu, Kilimo, Kilimo cha Misitu ya Mvua, Kuokoa Misitu, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mikopo ya Kaboni, Misitu, Misitu ya Mvua, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Kaboni, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, na  Usimamizi wa Misitu wa Jamii]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwezi Julai 2023 mtaalamu wa mimea Andrea Bianchi alikuwa akiendesha gari katika Milima ya Nguru iliyoko mashariki mwa Tanzania ambapo aliona maganda makubwa ya matunda ya mti uliokuwa umeota katika shamba la mahindi lililokuwa kando ya barabara. Aliteremka  na alipochunguza aliona miti miwili aina ya Millettia sacleuxii, aina ambayo wanasayansi walidhani imetoweka kabisa. Mpaka sasa maelfu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/" data-wpel-link="internal">‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwezi Julai 2023 mtaalamu wa mimea Andrea Bianchi alikuwa akiendesha gari katika Milima ya Nguru iliyoko mashariki mwa Tanzania ambapo aliona maganda makubwa ya matunda ya mti uliokuwa umeota katika shamba la mahindi lililokuwa kando ya barabara. Aliteremka  na alipochunguza aliona miti miwili aina ya Millettia sacleuxii, aina ambayo wanasayansi walidhani imetoweka kabisa. Mpaka sasa maelfu ya mbegu yamekusanywa na kupandwa ili miche itumike kuboresha msitu na kuurejesha katika hali yake ya asili. Hii ini sehemu ya utekelezaji wa mradi unaolenga kuurudisha msitu katika hali yake ya awali. Aina hii ya miti ni adimu kiasi kwamba haina jina katika lugha ya Kiingereza. Katika lugha ya Kihehe, mtu hutambulika kwa jina la ujumla tu na miti mingine ya jamii hiyo ya Millettia ambayo hupatikana katika eneo hilo. Wenyeji huitambua kwa jina la Muhafu. Hapo awali wanasayansi walifahamu kuwa miti hii adimu ilikuwa ikipatika katika misitu ya hifadhi mitatu tu iliyopo katika milima ya Nguru na Usambara. Lakini misitu ya hifadhi miwili kati ya hiyo ilikatwa na kupotea miongo mingi iliyopita na badala yake kukawa na mashamba ya miwa na misitu ya miti ya kisasa ya mbao. Msitu mmoja wa hifadhi uliobaki ambao upo karibu na mji wa Turiani ni mdogo kiasi cha takriban hecta 49 (eka 121), nao unanyemelewa na wakulima wa mpunga na miwa. “Nilipata wasiwasi mkubwa kuhusu aina hii ya miti, nikaogopa kuwa itakuwa imetoweka moja kwa moja,” alieleza Bianchi ambaye ni mtaalamu wa kurejesha uasili wa misitu ya kitropiki ambaye ndiye aligundua aina hiyo ya miti karibu na Mto Mvaji uliopo karibu na mji wa Turiani. Kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kutoka kwa iliki hadi kaboni: Mradi mpya kabambe nchini Tanzania warejesha msitu wa mvua</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2023/07/18/kutoka-kwa-iliki-hadi-kaboni-mradi-mpya-kabambe-nchini-tanzania-warejesha-msitu-wa-mvua/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2023/07/18/kutoka-kwa-iliki-hadi-kaboni-mradi-mpya-kabambe-nchini-tanzania-warejesha-msitu-wa-mvua/#respond</comments>
					<pubDate>18 Julai 2023 14:10:47 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ryan Truscott]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/21145506/6b420f4e-63bc-44ee-ae25-2e87ff784c47-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=131</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Magharibi, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kaboni ya Msitu, Kilimo, Kuokoa Misitu, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mikopo ya Kaboni, Misitu, Misitu ya Mvua, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Kaboni, Usimamizi wa Misitu wa Jamii, na  Uzalishaji wa Kaboni]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>DISANGA, Tanzania — Michele Menegon anatambaa taratibu kupita kwenye nyasi fupi fupi kabla ya kumrukia mnyama wake. Kwa upole, mwanasayansi huyo anainua tuzo yake: spishi ya mjusi wa misituni aina ya Agama isiyojulikana kwa jina. Anaonyesha mjusi huyo kwa wenzake wawili kabla ya kumwachilia tena kwenye nyasi. Mjusi huyo, ambaye ni miongoni mwa wanyama wengi wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2023/07/18/kutoka-kwa-iliki-hadi-kaboni-mradi-mpya-kabambe-nchini-tanzania-warejesha-msitu-wa-mvua/" data-wpel-link="internal">Kutoka kwa iliki hadi kaboni: Mradi mpya kabambe nchini Tanzania warejesha msitu wa mvua</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[DISANGA, Tanzania — Michele Menegon anatambaa taratibu kupita kwenye nyasi fupi fupi kabla ya kumrukia mnyama wake. Kwa upole, mwanasayansi huyo anainua tuzo yake: spishi ya mjusi wa misituni aina ya Agama isiyojulikana kwa jina. Anaonyesha mjusi huyo kwa wenzake wawili kabla ya kumwachilia tena kwenye nyasi. Mjusi huyo, ambaye ni miongoni mwa wanyama wengi wa kipekee wanaoishi katika misitu yenye miinuko mirefu inayofunika iliyoko kando ya kilele cha Milima ya Tanzania ya Nguru, ni mpya kwa sayansi — mpya kiasi kwamba bado hajafanyiwa utafiti rasmi. &#8220;Inashangaza,&#8221; anasema Menegon. &#8220;Humu ndani kuna vitu vingi visivyo na majina.&#8221; Menegon, mtaalamu wa herpetolojia (taaluma ya wanyama watambaao), mtafiti na mhifadhi, binafsi anaelezea spishi kadhaa katika kipindi cha miaka 30 iliyopita: vinyonga, balabala, vyura, na nyoka. Baadhi ya spishi hizo zilipatikana hapa katika Milima ya Nguru, eneo lililojitenga na ambalo karibu kila wakati hufunikwa na mawingu na ukungu. Eneo hilo ni mojawapo ya safu kumi na mbili za milima zinazofanana ambazo huunda mnyororo wa milima mashariki mwa Tanzania unaojulikana kama Milima ya Tao la Mashariki. Utajiri wa wanyama waliomo katika misitu ambao bado hawajagunduliwa, achilia mbali kuelezewa kisayansi, ni mojawapo ya sababu zinazomfanya yeye na wengine kuwa na shauku kubwa ya kuilinda misitu hiyo. Nao huhitaji ulinzi. Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Msitu wa Mkingu yenye ukubwa wa hekta 26,000 (ekari 64,000) ni hifadhi kwa jina tu. Watu wamepanda vyakula katika eneo hili kwa karne nyingi, lakini ongezeko la watu na ongezeko la mahitaji ya ardhi ya ziada kwa ajili ya mazao ya biashara kama&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2023/07/18/kutoka-kwa-iliki-hadi-kaboni-mradi-mpya-kabambe-nchini-tanzania-warejesha-msitu-wa-mvua/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2023/07/18/kutoka-kwa-iliki-hadi-kaboni-mradi-mpya-kabambe-nchini-tanzania-warejesha-msitu-wa-mvua/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>