<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=mito&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/mito/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Sat, 22 Aug 2026 21:21:12 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Ndani ya Kibera, vijana wageuza mapambano dhidi ya taka kuwa kinga dhidi ya mafuriko </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/#respond</comments>
					<pubDate>22 Agosti 2026 00:16:57 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Mary Mwendwa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/08/21145204/Screenshot-2026-08-21-175140-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2561</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Huduma za Mazingira, Mafuriko, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mito, Plastiki, Taka, Uchafuzi, Uchafuzi wa Maji, na  Uhalifu wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KIBERA, Kenya — Safu za paa za bati, kuta za udongo na njia nyembamba zilizojaa watu ndizo unazokutana nazo unapofika katika eneo hili mashariki mwa Mto Ngong. Hii ni Kibera, mojawapo ya makazi duni makubwa barani Afrika, yaliyoko kilomita sita kutoka katikati ya mji mkuu wa Kenya. Makazi hayo yanaenea katika eneo la hekta 225 [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/" data-wpel-link="internal">Ndani ya Kibera, vijana wageuza mapambano dhidi ya taka kuwa kinga dhidi ya mafuriko </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KIBERA, Kenya — Safu za paa za bati, kuta za udongo na njia nyembamba zilizojaa watu ndizo unazokutana nazo unapofika katika eneo hili mashariki mwa Mto Ngong. Hii ni Kibera, mojawapo ya makazi duni makubwa barani Afrika, yaliyoko kilomita sita kutoka katikati ya mji mkuu wa Kenya. Makazi hayo yanaenea katika eneo la hekta 225 karibu na Mto Ngong na vijito vyake, na idadi ya watu inayokadiriwa kufikia 700,000. Sehemu ya Katwekera, ndani ya Kibera, Nairobi. Picha na Mary Mwendwa, Mongabay. Katika baadhi ya maeneo ya makazi hayo, serikali ya Kenya inaendelea na ujenzi wa nyumba za bei nafuu. Mwonekano wa Kibera umeanza kubadilika. Hata hivyo, katika Gatwekera, mojawapo ya vijiji 14 vya Kibera, wakazi wa kipato cha chini wanategemea kazi za muda na biashara ndogo ndogo kando ya njia nyembamba. Asubuhi hiyo ya Jumapili, muziki mkubwa unaotoka madukani na majumbani unachanganyika na mlio wa pikipiki zinazobeba abiria na mizigo kwenye njia hizo. Licha ya msongamano huo, watu wanaonekana kuwa waangalifu. Baadhi yao walionekana kuelekea ibadani. Katikati ya msongamano huo, vijana watatu wanasukuma mkokoteni uliojaa mifuko myeusi ya plastiki iliyojaa taka, wakiteremka mteremko unaopelekea daraja la miguu ndani ya Gatwekera. Nyumba ya mwisho waliyotembelea ilikuwa ya Syprose Akinyi, iliyoko takriban mita 100 kutoka walipokuwa. Wanaelekea eneo la kukusanyia taka, ambapo taka hizo zinapangwa na baadhi yake kuuzwa kwa ajili ya kuchakatwa. Taka zilizobaki husafirishwa hadi dampo la Dandora, lililo umbali wa takriban kilomita 10, kwa kutumia magari ya serikali ya kaunti. Wanachama wa West Family Group wakipanga taka zilizokusanywa kutoka majumbani huko Gatwekera. Vijana hao&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/08/22/ndani-ya-kibera-vijana-wageuza-mapambano-dhidi-ya-taka-kuwa-kinga-dhidi-ya-mafuriko/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/12/30/mageuzi-ya-kisasa-katika-uvuvi-yawaacha-wavuvi-wadogo-wa-tanzania-wakihangaika-kukabiliana-na-maisha/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/12/30/mageuzi-ya-kisasa-katika-uvuvi-yawaacha-wavuvi-wadogo-wa-tanzania-wakihangaika-kukabiliana-na-maisha/#respond</comments>
					<pubDate>30 Desemba 2025 14:08:38 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Mongabay.com]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/13140426/Screenshot-2026-01-13-165604-768x482.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=922</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Bioanuai, Chakula, Haki za Binadamu, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Jamii Asili, Mabadiliko ya Tabianchi, Maendeleo Endelevu, Maendeleo ya Jamii, Maji, Mazingira, Maziwa, Mito, Sheria ya Mazingira, Spishi zilizo Hatarini Kutoweka, Uhifadhi, Urejeshaji wa Ikolojia, Uvuvi, Uvuvi Haramu, na  Uvuvi wa Kupita Kiasi]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>KILWA, Tanzania &#8211; Baadhi ya wavuvi katika wilaya ya Kilwa nchini Tanzania, ambao ni miongoni mwa watu wa kwanza kupokea boti za uvuvi kupitia mpango wa serikali, vyombo hivyo sasa vimegeuka kuwa mzigo na kuwatwisha gharama kubwa badala ya kuwa msaada. Mpango huo, uliozinduliwa Novemba mwaka 2023 na Wizara ya Mifugo na Uvuvi chini ya uongozi wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/30/mageuzi-ya-kisasa-katika-uvuvi-yawaacha-wavuvi-wadogo-wa-tanzania-wakihangaika-kukabiliana-na-maisha/" data-wpel-link="internal">Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[KILWA, Tanzania &#8211; Baadhi ya wavuvi katika wilaya ya Kilwa nchini Tanzania, ambao ni miongoni mwa watu wa kwanza kupokea boti za uvuvi kupitia mpango wa serikali, vyombo hivyo sasa vimegeuka kuwa mzigo na kuwatwisha gharama kubwa badala ya kuwa msaada. Mpango huo, uliozinduliwa Novemba mwaka 2023 na Wizara ya Mifugo na Uvuvi chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ulilenga kuboresha sekta ya uvuvi kwa kubadilisha boti za mbao zilizopitwa na wakati kwa vyombo vya kisasa vya kuvulia. Rais Samia alipotembelea Kilwa miezi miwili kabla ya uzinduzi wa mpango huo, aliahidi kuwa wavuvi wadogo wangepewa boti hizo kupitia mikopo yenye riba nafuu. Ahadi hiyo iliibua matumaini makubwa miongoni mwa jamii za wavuvi ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikikabiliwa na changamoto za boti chakavu na ukosefu wa mtaji wa kununua vyombo vipya. Ili kufadhili mpango huo, serikali ilishirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), ambayo hutoa mikopo nafuu kwa vikundi vya wavuvi. Mikopo hiyo ina viwango vya riba vya chini, inatoa muda mrefu kwa marejesho, na inajumuisha kipindi cha msamaha wa malipo cha takribani miaka mitano hadi kumi kabla ya kuanza kulipa. “Tunatoa tangazo linalowafikia watu nchi nzima pindi boti zinapopatikana,” alisema Mohammed Sheikh, Mkurugenzi wa Uvuvi katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi. “Vyama vya ushirika vinavyovutiwa vinatuma maombi, na vikikubaliwa, hupokea boti ambazo zinakuwa zimewekewa bima kamili na ziko tayari kwa matumizi.” Thamani ya kila boti hutegemea ukubwa wake (kwa kawaida boti yenye ukubwa wa kati ya mita 5 hadi 14, (futi 16 hadi 46), gharama yake ni takribani shilingi milioni&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/12/30/mageuzi-ya-kisasa-katika-uvuvi-yawaacha-wavuvi-wadogo-wa-tanzania-wakihangaika-kukabiliana-na-maisha/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/12/30/mageuzi-ya-kisasa-katika-uvuvi-yawaacha-wavuvi-wadogo-wa-tanzania-wakihangaika-kukabiliana-na-maisha/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Mradi wa kurejesha mto nchini Kenya wajigharimia na kuleta faida zaidi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/10/29/mradi-wa-kurejesha-mto-nchini-kenya-wajigharimia-na-kuleta-faida-zaidi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/10/29/mradi-wa-kurejesha-mto-nchini-kenya-wajigharimia-na-kuleta-faida-zaidi/#respond</comments>
					<pubDate>29 Oktoba 2024 00:23:43 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ochieng Ogodo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/28001801/Screenshot-2025-08-28-031539-768x475.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=280</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Maji ya kunywa, Mazingira, Misitu, Mito, Suluhu za Uhifadhi, Uchafuzi wa Maji, Uhifadhi, na  Upangaji wa Miji]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Ugavi wa maji kwa wakazi zaidi ya milioni tano wa mji wa Nairobi na wengine milioni nne pembezoni mwa mji unategemea Mto Tana. Kwa miongo mingi sasa, upanuzi wa kilimo kwenye maeneo ya juu ya bonde la Tana umechochea ukataji wa miti na hivyo kusababisha mmomonyoko wa udongo ambao umeharibu mashamba na kushusha ubora wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/10/29/mradi-wa-kurejesha-mto-nchini-kenya-wajigharimia-na-kuleta-faida-zaidi/" data-wpel-link="internal">Mradi wa kurejesha mto nchini Kenya wajigharimia na kuleta faida zaidi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Ugavi wa maji kwa wakazi zaidi ya milioni tano wa mji wa Nairobi na wengine milioni nne pembezoni mwa mji unategemea Mto Tana. Kwa miongo mingi sasa, upanuzi wa kilimo kwenye maeneo ya juu ya bonde la Tana umechochea ukataji wa miti na hivyo kusababisha mmomonyoko wa udongo ambao umeharibu mashamba na kushusha ubora wa maji ambayo wakaaji wa jiji hilo wanategemea. Kila mara udongo unaposombwa kwa kasi kipindi cha mvua kubwa, mchanga huingia mtoni na kusababisha kupungua kwa rutuba ya mashamba, huku ukiziba mabwawa ya kuzalisha umeme na miundombinu ya kusambaza maji. Mto huu unasafiri kutoka magharibi kuelekea mashariki, kupitia eneo la tambarare na milima ya Kaunti ya Garissa, ambako wafugaji wanafuga mifugo katika mazingira ya ukame ambayo pia hutegemewa na wanyamapori walio hatarini kama swala wa gerenuk na twiga wa Rothschild. Baadaye mto huo hupitia kwenye maeneo yenye misitu kabla ya kuishia kwenye delta kubwa katika Ghuba ya Ungwana. Shida zinazosababishwa na ukosefu wa misitu zimeenea na kuathiri watu wengi kwenye bonde la Tana na kwingineko. Wakazi wengi wa Nairobi hulazimika kununua maji kwa madumu ili kupata ya kunywa, kupikia na kuoga, huku viwanda na biashara vikilazimika kuwa na mipango ya dharura. Kadri idadi ya watu inavyoongezeka na mabadiliko ya tabianchi kuathiri upatikanaji wa mvua, usalama wa maji unazidi kuwa changamoto kubwa. Naabia Ofosu-Amaah, mshauri mwandamizi wa shirika la The Nature Conservancy, anasema iwapo mifumo ya maji safi haina afya, haiwezi kuwa na msingi unaohitajika na binadamu, mimea, wanyama, miji na hata uchumi. Wanyama kama swala wa gerenuk,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/10/29/mradi-wa-kurejesha-mto-nchini-kenya-wajigharimia-na-kuleta-faida-zaidi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/10/29/mradi-wa-kurejesha-mto-nchini-kenya-wajigharimia-na-kuleta-faida-zaidi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Hatua ndogo zafungua njia kwa lengo kubwa la kuhifadhi maeneo oevu ya Afrika Mashariki</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/08/06/hatua-ndogo-zafungua-njia-kwa-lengo-kubwa-la-kuhifadhi-maeneo-oevu-ya-afrika-mashariki/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/08/06/hatua-ndogo-zafungua-njia-kwa-lengo-kubwa-la-kuhifadhi-maeneo-oevu-ya-afrika-mashariki/#respond</comments>
					<pubDate>06 Agosti 2024 15:32:08 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Petro Kotzé]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/01134847/262edbfc-d376-4841-bfe7-23d02866f032-768x371.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=305</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Afrika Mashariki, Ethiopia, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Ardhi iliyoharibika, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo Oevu, Maji, Mazingira, Maziwa, Mito, Sera za Mazingira, Tropiki, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Miaka mitatu baada ya mradi wenye matumaini makubwa ya kurejesha ubora wa ardhi oevu katika maeneo ya Afrika Mashariki, Mhifadhi Julie Milonga anasema kuwa amejifunza mambo mengi kuhusu thamati ya hatua moja baada ya nyingine, japo ni ndogo, katika kufikia malengo makubwa ya uhifandi na utunzaji wa mazingira. Mradi wa Kutoka Chanzo mpaka Bharini ulilenga kutunza na [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/08/06/hatua-ndogo-zafungua-njia-kwa-lengo-kubwa-la-kuhifadhi-maeneo-oevu-ya-afrika-mashariki/" data-wpel-link="internal">Hatua ndogo zafungua njia kwa lengo kubwa la kuhifadhi maeneo oevu ya Afrika Mashariki</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Miaka mitatu baada ya mradi wenye matumaini makubwa ya kurejesha ubora wa ardhi oevu katika maeneo ya Afrika Mashariki, Mhifadhi Julie Milonga anasema kuwa amejifunza mambo mengi kuhusu thamati ya hatua moja baada ya nyingine, japo ni ndogo, katika kufikia malengo makubwa ya uhifandi na utunzaji wa mazingira. Mradi wa Kutoka Chanzo mpaka Bharini ulilenga kutunza na kulinda maeneo ya ardhi oevu yaliyoko katika Bonde la Ufa na mikoko inayopatikana na Bahari ya Hindi na wakati huo huo kuboresha maisha ya jamii zilizoko katika maeneo ya mradi na kuwajengea uwezo wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi. “Tulianza na maono makubwa katika kutekeleza mradi huu,” anasema Mulonga, ambaye ndiye Mkurugenzi wa Wetlands International kwa upande wa Afrika Mashariki, “lakini nikiangalia tulipoanzia nakiri kuwa tulikuwa na malengo makubwa mno ambayo tulitarajia kuyafikia mapema mno.” Mradi ulianza kutekelezwa mwaka 2021 ukihusisha maeneo makubwa ya kiikologia ambayo ni Eneo la Maziwa yaliyoko katika Bonde la Ufa, likianzia kutoka Ziwa Albert na Nyanda za Juu za Ethiopia kwa upande wa kaskazini hadi Ziwa Tanganyika kwa upande wa Kusini na eneo la kiikologia la mikoko la Afrika Mashariki likianzia kusini mwa Somalia mpaka Msumbiji likijumuisha eneo la Lamu nchini Kenya, Delta ya Rufiji iliyoko Tanzania na Delta ya Mto Zambezi nchini Msumbiji. Delta ya Rufiji nchini Tanzania (Picha: Olly Wright kupitia Flickr (CC BY-NC 2.0) Mradi wa Kutoka Chanzo Mpaka Baharini (The Source to Sea Project) unahusisha maziwa ya Bonde la Ufa nchini Ethiopia na Uganda, (ambako ndege huyu aina ya korongo mwenye kichwa cheusi alipigwa picha) na kuenea hadi kusini mwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/08/06/hatua-ndogo-zafungua-njia-kwa-lengo-kubwa-la-kuhifadhi-maeneo-oevu-ya-afrika-mashariki/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/08/06/hatua-ndogo-zafungua-njia-kwa-lengo-kubwa-la-kuhifadhi-maeneo-oevu-ya-afrika-mashariki/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kwenye mafuriko yanayohusiana na tabianchi, mto nchini Uganda wageuka kuwa sumu</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/kwenye-mafuriko-yanayohusiana-na-tabianchi-mto-nchini-uganda-wageuka-kuwa-sumu/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/kwenye-mafuriko-yanayohusiana-na-tabianchi-mto-nchini-uganda-wageuka-kuwa-sumu/#respond</comments>
					<pubDate>05 Februari 2024 11:41:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ashoka Mukpo]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/09/23103154/Screenshot-2025-09-23-133105-768x476.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=426</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Uganda]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Haki ya Tabianchi, Haki za Binadamu, Haki za Kijamii, Haki za Kimazingira, Hali Mbaya ya Hewa, Kemikali, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mafuriko, Mazingira, Mito, Teknolojia ya Uhifadhi Mazingira ya Porini, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ni sehemu ya pili ya mfululizo wa makala kuhusu majanga yanayohusiana na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo ya Magharibi mwa Uganda. Soma Sehemu ya Kwanza hapa.   KASESE, Uganda – Mara tu Mto Nyamwamba unapopita katika miteremko ya Milima ya Rwenzori magharibi mwa Uganda, na hatimaye kuanza kutiririka kuelekea kwenye savanna, unapita kwenye eneo la [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/kwenye-mafuriko-yanayohusiana-na-tabianchi-mto-nchini-uganda-wageuka-kuwa-sumu/" data-wpel-link="internal">Kwenye mafuriko yanayohusiana na tabianchi, mto nchini Uganda wageuka kuwa sumu</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ni sehemu ya pili ya mfululizo wa makala kuhusu majanga yanayohusiana na mabadiliko ya tabianchi katika maeneo ya Magharibi mwa Uganda. Soma Sehemu ya Kwanza hapa.   KASESE, Uganda – Mara tu Mto Nyamwamba unapopita katika miteremko ya Milima ya Rwenzori magharibi mwa Uganda, na hatimaye kuanza kutiririka kuelekea kwenye savanna, unapita kwenye eneo la kushangaza. Katika upande wa pili wa mto kutoka barabarani, hupita marundo ya mawe yaliyopauka kwa jua kwenye mto uliokauka, ardhi iliyoharibiwa. Kuta ndefu zinasimama wazi, zikichomoza katikati ya vilima, kana kwamba mkono wenye nguvu umechukua sehemu ya mandhari hiyo. Miamba mikali huchomoza ghafla kutoka kwenye vichaka vya kijani juu, ikishuka hadi  kwenye shimo tambarare la mchanga na mawe ya rangi ya hudhurungi. Hili ni bwawa la mabaki ya shaba. Pamoja na mabwawa mingine, linatia sumu kwenye sehemu hii ya Uganda. Mabwawa hayo yalijengwa kuhifadhi taka kutoka kwenye mgodi wa shamba uliokuwa unamilikiwa na Falconbridge, kampuni ya Canada ambayo iliendesha shughuli zake katika miteremko ya Milima ya Rwenzori kuanzia miaka ya 1950 hadi mwishoni mwa miaka ya 1970. Wakati wa enzi zake, mgodi wa shaba wa Falconbridge, ulioko kando ya barabara katika mji mdogo wa Kilembe, ulikuwa injini kuu ya uchumi wa Uganda. Mgodi huo uliwahi kuajiri zaidi ya watu 6,000 na ulichangia karibu theluthi moja ya Pato la Taifa. Falconbridge ilifukuzwa nchini Uganda na Idi Amin mwaka 1977, ambaye alitaifisha mgodi huo katika miaka ya mwisho ya utawala wake, akiwa na imani kwamba serikali yake inaweza kuuendesha pamoja na Wakanada na kuweka thamani zaidi ya shaba nyumbani.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/kwenye-mafuriko-yanayohusiana-na-tabianchi-mto-nchini-uganda-wageuka-kuwa-sumu/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/02/05/kwenye-mafuriko-yanayohusiana-na-tabianchi-mto-nchini-uganda-wageuka-kuwa-sumu/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>