<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=udanganyifu-wa-mazingira&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/udanganyifu-wa-mazingira/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Wed, 09 Sep 2026 10:27:30 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi yatimiza miaka 80 huku wanamazingira wakipinga miradi ya maendeleo </title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/#respond</comments>
					<pubDate>07 Septemba 2026 15:25:32 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Anne Ngugi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/09/07154652/1000658672-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2777</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Mgogoro wa Mazingira, Sera za Mazingira, Sheria ya Mazingira, Siasa za Mazingira, Udanganyifu wa Mazingira, na  Uharakati wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI, Kenya — Jumapili ni siku ambayo barabara za Nairobi huwa na shughuli nyingi za kijamii, lakini Agosti 30, kando ya barabara ya Lang&#8217;ata yenye shughuli nyingi, mkabala wa Bomas of Kenya, kundi la watu lilikuwa na ujumbe tofauti. Wakiwa wamevalia mavazi ya kijani, wakibeba mabango na kuimba nyimbo za kuitaka Mbuga ya Kitaifa ya [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/" data-wpel-link="internal">Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi yatimiza miaka 80 huku wanamazingira wakipinga miradi ya maendeleo </a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI, Kenya — Jumapili ni siku ambayo barabara za Nairobi huwa na shughuli nyingi za kijamii, lakini Agosti 30, kando ya barabara ya Lang&#8217;ata yenye shughuli nyingi, mkabala wa Bomas of Kenya, kundi la watu lilikuwa na ujumbe tofauti. Wakiwa wamevalia mavazi ya kijani, wakibeba mabango na kuimba nyimbo za kuitaka Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi ilindwe, watoto na watu wazima walikusanyika kuunga mkono kampeni dhidi ya mipango ya maendeleo ambayo waandamanaji wanasema inaweza kuathiri sehemu ya hifadhi hiyo. Ilikuwa pia siku ambayo Nairobi National Park iliadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwake. Miongoni mwa washiriki wachanga zaidi walikuwa mapacha wenye umri wa miaka 10, Tumaini Mwangi na Malikia Mwangi, walioandamana na mama yao Wanjiru Mwangi. Tumaini alisema alishiriki katika maandamano hayo kwa sababu alitaka hifadhi hiyo ilindwe kwa ajili ya watoto na vizazi vijavyo. &#8220;Nataka kuokoa hifadhi ili watoto wangu wa baadaye waweze kuwaona wanyama,” alisema. Baadhi ya wanaharakati walioshiriki katika maandamano ya kuadhimisha miaka 80 tangu kuanzishwa kwa Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi na kupinga shughuli za ujenzi ndani ya hifadhi hiyo pamoja na mpango wa kuhamisha Nairobi Animal Orphanage. Picha na Anne Ngugi, Mongabay. Alisema angependa serikali, pamoja na Rais William Ruto, ifahamu kwamba watoto na wananchi wanajali kuhusu mustakabali wa hifadhi hiyo. Pacha wake, Malikia, alisema pia aliamua kujiunga na wanaharakati wengine siku hiyo kwa sababu hakutaka kufikia wakati ambapo kizazi chake kitawajua wanyama wa Mbuga ya Kitaifa ya Nairobi kupitia picha pekee. Mama yao alisema uhusiano wake na hifadhi hiyo ulianza miaka mingi iliyopita, alipokuwa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/09/07/mbuga-ya-kitaifa-ya-nairobi-yatimiza-miaka-80-huku-wanamazingira-wakipinga-miradi-ya-maendeleo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 11:10:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dan Yessa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/22105214/Screenshot-2026-07-22-135015-768x479.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2170</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Elimu ya Mazingira, Gesi, Haki za Kimazingira, Hifadhi, Huduma za Mazingira, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Maji, Maji ya kunywa, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Misitu, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati safi, Sera za Mazingira, Shida ya Maji, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi wa Maji, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, Uchimbaji wa Mafuta, Udanganyifu wa Mazingira, Uhalifu wa Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Umeme, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utalii wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa mstari wa mbele katika kupinga uchimbaji wa madini, mafuta, na gesi katika Bonde la Kongo. Kupitia kampeni na juhudi za kuielimisha jamii, wao na wenzao walifanikiwa kuzuia mipango ya utafutaji wa mafuta ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga. Kwa sasa, Mirindi anapambana dhidi ya uchimbaji katika maeneo mapya 30 ya mafuta yanayochukua asilimia 72 ya Ukanda wa Kijani wa Kongo, mradi muhimu zaidi wa uhifadhi nchini humo unaoenea katika sehemu kubwa ya Bonde la Kongo, eneo ambalo ni makazi ya maelfu ya wanyama na tegemeo muhimu kwa jamii nyingi nchini DRC. Mnamo mwezi Juni, Mirindi alizungumza na Mongabay kuhusu anachomaanisha kupinga uharibifu akiwa ndani ya nchi husika na kuleta mabadiliko katika ngazi ya kimataifa, huku akilinda makazi ya viumbe walio hatarini kutoweka kama vile sokwe wa milimani (Gorilla beringei beringei) na okapi au twiga wa msituni (Okapia johnstoni), ambao hupatikana katika eneo hilo pekee. Ziara ya kwanza ya Pascal Mirindi kwa mkurugenzi wa Hifadhi ya Taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, mwaka wa 2022. Picha kwa hisani ya Pascal Mirindi. Mahojiano haya yametafsiriwa kutoka Kifaransa na kuhaririwa ili kuzingatia urefu na uwazi. Mongabay: Pascal Mirindi ni nani? Pascal Mirindi: Mimi ni raia wa Kongo; nilizaliwa Goma mnamo mwaka wa 1999.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>