<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=milima&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/milima/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Fri, 28 Aug 2026 16:47:28 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/#respond</comments>
					<pubDate>03 Julai 2026 14:13:03 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Asha Bekidusa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/03133945/George-Kimau-akionyesha-eneo-la-Mrima-ambapo-ndani-ya-ardhi-hiyo-kuna-madini-ya-niobium-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1986</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Dawa ya Asili, Haki za Wenyeji wa Asili, Hifadhi za Jamii za Asili, Jamii Asili, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Milima, Misitu, Misitu ya Asili, Misitu ya Kitropiki, Misitu ya Milimani, Miti, Nyani, Sheria, Sheria ya Mazingira, Tamaduni za Kiasili, Teknolojia, Uchimbaji Madini, Uchumi, Uharibifu wa Makazi ya Asili, Ukataji Miti, Utafiti, Utawala, Utekelezaji wa Sheria, Vikundi vya Jamii za Asili, na  Wenyeji wa Asili]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Je, tafiti za mara kwa mara za madini katika maeneo ya uhifadhi zinaathiri mazingira?</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Kwa miaka mingi, Nassir Abdallah Bege amekuwa akitembea katika njia za Msitu wa Mrima, katika Kaunti ya Kwale, akiangalia ukuaji wa miti na juhudi za jamii za eneo hilo katika kuulinda. Akiwa mwenyekiti wa Muungano wa Msitu wa Kijamii wa Mrima (Mrima Community Forest Association), amekuwa nguzo muhimu katika uhifadhi wa Mrima, ulio takriban kilomita 65 kusini-magharibi mwa Mombasa. Anakumbuka mashimo yaliyoachwa baada ya baadhi ya sehemu za msitu kukatwa wakati kampuni zilipokuwa zikifanya tafiti za kutafuta madini. Zaidi ya mwongo mmoja baadaye, anasema, mashimo hayo yanaendelea kujiziba yenyewe. Ukitembea msituni, si rahisi kuona mashimo hayo madogo kwani yamefinikwa, baada ya mimea ya asili kuota tena kwa zaidi ya muongo mmoja. Mrima. Picha na Asha Bekidusa, Mongabay. Neno ‘Mrima’ linatoka katika jamii ya Wadigo, kumaanisha mlima. Msitu huu wa Mrima una rutuba kubwa na bioanuwai ya kipekee. Kadri unavyozidi kupanda mlimani, msitu huwa mnene zaidi na mwanga hupungua. Eneo hili liko kimya, isipokuwa sauti za wanyama, wadudu na miti ambayo mara kwa mara inatikisika kutokana na upepo unaovuma. Kwa mujibu wa Key Biodiversity Areas (KBA), eneo la Mrima lenye umuhimu wa bioanuwai lina ukubwa wa takriban kilomita za mraba 3.76 (sawa na takriban hekta 376), ambapo asilimia 95.77 ya eneo hilo iko chini ya hadhi mbalimbali za ulinzi wa kisheria. Utafiti na uharibifu wa misitu Kutokea miaka ya 1950, wataalamu wa jiolojia na makampuni ya madini wamekuwa wakifanya tafiti katika eneo la Mrima kutathmini uwepo wa madini ya niobium na madini adimu mengine. Stakabadhi za rekodi za kesi ya kampuni ya Cortec zinaonyesha kuwa utafiti wa awali ulifanywa na&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/03/je-tafiti-za-mara-kwa-mara-za-madini-katika-maeneo-ya-uhifadhi-zinaathiri-mazingira/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/#respond</comments>
					<pubDate>13 Januari 2026 21:05:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amos Kareithi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/14135833/Screenshot-2026-01-14-165633-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=931</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Barafu, Chakula, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Maji ya kunywa, Mazingira, Maziwa, Milima, Misitu, Misitu ya Milimani, Miti, Samaki, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ndiyo nakala ya kwanza katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya pili hapa. Juu ya vilele vya Mlima Kenya, ambako barafu iliwahi kuonekana kama ya milele, na mito kutiririka kwa uhakika kuelekea mabonde yaliyojaa uhai, kuna ishara za hatari zinazoonekana wazi leo. Kupungua kwa barafu za mlima huu wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/" data-wpel-link="internal">Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ndiyo nakala ya kwanza katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya pili hapa. Juu ya vilele vya Mlima Kenya, ambako barafu iliwahi kuonekana kama ya milele, na mito kutiririka kwa uhakika kuelekea mabonde yaliyojaa uhai, kuna ishara za hatari zinazoonekana wazi leo. Kupungua kwa barafu za mlima huu wa kihistoria hakumaanishi tu kupotea kwa mandhari ya asili, bali pia kunafungua ukurasa mpya wa changamoto kwa mazingira, mito, na jamii zinazoutegemea. Safari ya Lewis Pugh, Msimamizi wa Mradi wa Bahari katika Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP), hadi kwenye barafu za mwisho za Mlima Kenya, inatoa taswira ya kusikitisha ya athari halisi za mabadiliko ya tabianchi, zinazotoka juu ya mlima na kushuka hadi mashambani, misituni na vijijini, ambako maji, imani na maisha yenyewe yako hatarini. Pugh, aliyeshikilia nafasi hiyo katika shirika la UNEP tangu mwaka 2013, aliwasili nchini Kenya kwa matumaini kuwa uwezo wake wa kutoa hotuba zenye mvuto, ulioimarishwa kwa miaka 27 iliyopita, ungezivutia hisia za dunia, kwa namna fulani, kwenye athari mbaya za ongezeko la joto duniani katika eneo la Mlima Kenya. Lewis Pugh, Mwakilishi wa Bahari katika Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP), aliyeukwea Mlima Kenya mnamo Desemba 2025. Picha na Duncan Moore, UNEP. Huku ulimwengu ukijiandaa kwa sikukuu ya Krismasi, kati ya tarehe 4 hadi tarehe 8 mwezi Desemba 2025, Pugh aliparaga kupitia miamba iliyomikali ya volkeno, baadhi ikiwa na umri wa miaka milioni 4, hadi urefu wa mita 4,985 (futi 16,355) juu ya kilele cha Lenana. Lengo lake kuu lilikuwa kuogelea katika Ziwa Lewis.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>