<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=simba&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/simba/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Thu, 27 Aug 2026 18:45:41 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Utafiti: Uzio wa nyaya za chuma wasaidia ulinzi wa mifugo dhidi ya mashambulizi ya wanyama wakali Tanzania</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/03/31/utafiti-uzio-wa-nyaya-za-chuma-wasaidia-ulinzi-wa-mifugo-dhidi-ya-mashambulizi-ya-wanyama-wakali-tanzania/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/03/31/utafiti-uzio-wa-nyaya-za-chuma-wasaidia-ulinzi-wa-mifugo-dhidi-ya-mashambulizi-ya-wanyama-wakali-tanzania/#respond</comments>
					<pubDate>31 Mechi 2025 10:37:58 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Gilbert Nakweya]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/13103211/1280px-Lion_Ruaha_National_Park_9_28407027344-1-768x512.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=84</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Mgogoro wa Binadamu na Wanyamapori, Ng'ombe, Paka, Paka Wakubwa, Simba, Wanyama, Wanyama Wanaowinda, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>NAIROBI-Kwa kipindi cha miongo miwili iliyopita, Matambire Mgemaa, mfugaji kutoka kusini mwa Tanzania karibu na Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, amekuwa akilazimika kukesha usiku kucha ili kulinda mifugo yake: mbuzi, kondoo na ng’ombe dhidi ya mashambulizi ya simba na chui katika eneo hilo linalokaliwa na asilimia 10 ya simba wa porini duniani. “Hii ni kazi [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/03/31/utafiti-uzio-wa-nyaya-za-chuma-wasaidia-ulinzi-wa-mifugo-dhidi-ya-mashambulizi-ya-wanyama-wakali-tanzania/" data-wpel-link="internal">Utafiti: Uzio wa nyaya za chuma wasaidia ulinzi wa mifugo dhidi ya mashambulizi ya wanyama wakali Tanzania</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[NAIROBI-Kwa kipindi cha miongo miwili iliyopita, Matambire Mgemaa, mfugaji kutoka kusini mwa Tanzania karibu na Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, amekuwa akilazimika kukesha usiku kucha ili kulinda mifugo yake: mbuzi, kondoo na ng’ombe dhidi ya mashambulizi ya simba na chui katika eneo hilo linalokaliwa na asilimia 10 ya simba wa porini duniani. “Hii ni kazi ngumu sana&#8230;Mchana kutwa nakuwa na mifugo nje kuhakikisha wanakula, usiku, badala ya kulala nakesha …siwezi kulala kwa sababu nitawapoteza,” anasema Mgemaa. Kwa sababu ya uwezo wao mkubwa wa kuona usiku, uwezo ambao huwasaidia kuwinda kwa mafanikio zaidi katika mwanga hafifu, simba, chui na fisi huwa na shughuli nyingi zaidi nyakati za usiku — huwa muda wa mlo wao wa usiku. Lakini utafiti mpya uliochapishwa mwezi huu katika jarida la Conservation Letters umegundua kuwa, kuwepo kwa maboma mengi yaliyoimarishwa kwa kiwango cha kati au cha juu katika maeneo ya ufugaji, kunaweza kulinda mifugo ili isishambuliwe, kwani wanyama hao hujiepusha na maeneo kama hayo. Watafiti wamebaini kuwa maboma haya ya chuma si tu yanawasaidia wamiliki wake kupunguza mashambulizi kwa mifugo yao, bali pia husaidia hata majirani zao. Kusini mwa Tanzania, eneo muhimu kwa uhifadhi wa wanyama wala nyama wakubwa, wafugaji huweka mifugo kwenye maboma yenye uzio usiku, na kupeleka mifugo yao kwenye malisho ya jumuiya wakati wa mchana. Kwa wastani, Mgemaa na majirani zake walikuwa wakipoteza wanyama wawili wa kufugwa kila wiki kutokana na mashambulizi ya wanyama hawa, lakini mashambulizi hayo yamepungua kwa kiasi kikubwa. Mapema mwaka 2024, Mgemaa alijenga boma la chuma aina ya chain-link ili&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/03/31/utafiti-uzio-wa-nyaya-za-chuma-wasaidia-ulinzi-wa-mifugo-dhidi-ya-mashambulizi-ya-wanyama-wakali-tanzania/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/03/31/utafiti-uzio-wa-nyaya-za-chuma-wasaidia-ulinzi-wa-mifugo-dhidi-ya-mashambulizi-ya-wanyama-wakali-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>