<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?topic=barafu&#038;type=post" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/barafu/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Fri, 28 Aug 2026 16:47:28 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/#respond</comments>
					<pubDate>13 Januari 2026 21:05:48 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Amos Kareithi]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/01/14135833/Screenshot-2026-01-14-165633-768x512.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=931</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Barafu, Chakula, Haki za Kimazingira, Ikolojia, Kilimo, Mabadiliko ya Tabianchi, Maji, Maji ya kunywa, Mazingira, Maziwa, Milima, Misitu, Misitu ya Milimani, Miti, Samaki, Uchafuzi, Uhalifu wa Mazingira, Uhifadhi, na  Utawala]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Hii ndiyo nakala ya kwanza katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya pili hapa. Juu ya vilele vya Mlima Kenya, ambako barafu iliwahi kuonekana kama ya milele, na mito kutiririka kwa uhakika kuelekea mabonde yaliyojaa uhai, kuna ishara za hatari zinazoonekana wazi leo. Kupungua kwa barafu za mlima huu wa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/" data-wpel-link="internal">Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Hii ndiyo nakala ya kwanza katika Mfululizo wa Mongabay – Kinachotokea mlimani hakisalii mlimani. Soma nakala ya pili hapa. Juu ya vilele vya Mlima Kenya, ambako barafu iliwahi kuonekana kama ya milele, na mito kutiririka kwa uhakika kuelekea mabonde yaliyojaa uhai, kuna ishara za hatari zinazoonekana wazi leo. Kupungua kwa barafu za mlima huu wa kihistoria hakumaanishi tu kupotea kwa mandhari ya asili, bali pia kunafungua ukurasa mpya wa changamoto kwa mazingira, mito, na jamii zinazoutegemea. Safari ya Lewis Pugh, Msimamizi wa Mradi wa Bahari katika Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP), hadi kwenye barafu za mwisho za Mlima Kenya, inatoa taswira ya kusikitisha ya athari halisi za mabadiliko ya tabianchi, zinazotoka juu ya mlima na kushuka hadi mashambani, misituni na vijijini, ambako maji, imani na maisha yenyewe yako hatarini. Pugh, aliyeshikilia nafasi hiyo katika shirika la UNEP tangu mwaka 2013, aliwasili nchini Kenya kwa matumaini kuwa uwezo wake wa kutoa hotuba zenye mvuto, ulioimarishwa kwa miaka 27 iliyopita, ungezivutia hisia za dunia, kwa namna fulani, kwenye athari mbaya za ongezeko la joto duniani katika eneo la Mlima Kenya. Lewis Pugh, Mwakilishi wa Bahari katika Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP), aliyeukwea Mlima Kenya mnamo Desemba 2025. Picha na Duncan Moore, UNEP. Huku ulimwengu ukijiandaa kwa sikukuu ya Krismasi, kati ya tarehe 4 hadi tarehe 8 mwezi Desemba 2025, Pugh aliparaga kupitia miamba iliyomikali ya volkeno, baadhi ikiwa na umri wa miaka milioni 4, hadi urefu wa mita 4,985 (futi 16,355) juu ya kilele cha Lenana. Lengo lake kuu lilikuwa kuogelea katika Ziwa Lewis.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/01/13/mkwea-milima-wa-unep-lewis-ashuhudia-barafu-za-mwisho-za-mlima-kenya-na-kutabiri-kuwa-zitafifia/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>