Spishi zilizo hatarini kutoweka Habari

RSS
25 Habari

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Kenya kupokea swala wa milimani wanne kutoka bustani za wanyama barani Ulaya

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Kadri ujangili unavyoendelea, Tanzania inaongeza silaha mpya: mbwa wa kunusa nyara za wanyamapori

Rekodi juu ya rekodi: Truphena Muthoni atambuliwa tena na Guinness kwa saa 72 za kukumbatia mti

Kenya yahifadhi mabaki ya Craig, tembo mashuhuri ‘Super Tusker’

Jinsi kampeni inayoongozwa na vijana inavyorejesha uhai wa ardhi oevu ya Dunga katika Ziwa Victoria

Toka uhai hadi kifo: Maana ya maisha marefu ya Craig kwa uhifadhi wa tembo

Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha

Kasuku wa Kiafrika waliookolewa warudishwa katika misitu ya DRC

Jinsi Akili Bandia inavyosaidia wahifadhi kuwaelewa vizuri twiga na kuwalinda

Hatimaye Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imechukua hatua kuwalinda kasuku wa kijivu wa Afrika kutokana na biashara haramu

Chui waliosahaulika wazidi kutoweka kwenye kivuli cha uwindaji haramu na biashara

Faru 70 kutoka Afrika Kusini wawasili makao mapya nchini Rwanda

Ili kukusanya mbegu za asili bora, wataalamu wa mimea Uganda hukwea miti mirefu ya msituni

Olivier Nsengimana wa Rwanda ahamasisha ulinzi wa Korongo wa Kijivu Afrika Mashariki

Ugunduzi wa popo walio hatarini kutoweka nchini Rwanda waibua mazungumzo ya uhifadhi

‘Auawa akiwinda kiharamu’: Utekelezaji wa sheria za wanyamapori unapogeuka vurugu

‘Kama wewe, mimi pia nahofia kuangamia kwa tembo’

Kutoonekana kwa tumbili wala gundi Tanzania kwaibua hofu ya kutoweka kwa spishi hiyo

Jamii ya Ogiek walaumiwa na kufukuzwa kwa uharibifu wa misitu, lakini ukataji miti ovyo haujakoma

Mauaji ya tai kwa sumu kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yawashtua na kuwatatanisha wahifadhi

Uwindaji pembe za ndovu wa Amboseli Tanzania wazua hasira, watu wataka usitishwe

Kipunji: Nyani adimu anayehifadhiwa nchini Tanzania

Utajiri wa bioanuai wa Milima ya Tao la Mashariki: Aina mpya sita za vinyonga zatambuliwa Tanzania