Athari za mabadiliko ya tabianchi Habari

RSS
30 Habari

Mahakama ya Kenya yaruhusu kesi ya kihistoria ya taka za sumu ya BP kuendelea

Mwanaharakati wa mazingira kutoka Canada avunja rekodi kwa kupanda mikoko 47,460 kwa saa 24 Kenya

Mabadiliko ya tabianchi yanavyoathiri sekta ya uvuvi nchini Tanzania na mikakati ya kujenga ustahimilivu

Mwanaume Kenya avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kupanda miti 23,326 ndani ya saa 24

‘Earth Day’ yaadhimishwa huku wataalam wakipendekeza namna ya kudhibiti maporomoko

Penzi hatari la mwanamke aliyeishi na duma kama mwanawe kwa miaka miwili

Jinsi Tanzania inavyoweza kubadili athari za mabadiliko ya tabianchi kuwa chanzo endelevu cha maji

Ushoroba wa Kwakuchinja: Manufaa yake kwa Uhifadhi na Jamii Kaskazini mwa Tanzania

Udhibiti wa ukataji misitu nchini Tanzania: Ni vita kati ya uhai na uhifadhi

Mikakati kuokoa misitu Tanzania: Mafanikio, changamoto na mipango ya baadaye

Wakulima wa kahawa Kenya bado wako gizani kuhusu EUDR huku ukataji miti ukiendelea kimyakimya

Mangabey: Nyimbo za jadi zinavyoimarisha uhusiano wa binadamu na tumbili adimu katika misitu ya Tana

Wanawake na mabadiliko ya tabianchi: Athari, changamoto na ushiriki wao katika mipango na maamuzi

Kenya yaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani huku vifo kutokana na mafuriko vikifikia 81

Kasa 350 wawekwa katika viota maalum kufuatia hatari ya kutoweka katika bahari ya Zanzibar

Jamii ya Bonde la Kerio inatumainia suluhisho la kudumu baada ya maporomoko ya ardhi kila mara 

Kadri ujangili unavyoendelea, Tanzania inaongeza silaha mpya: mbwa wa kunusa nyara za wanyamapori

Wataalam washauri suluhisho kukabili mabadiliko ya tabianchi yaletayo ukame na mafuriko

Uelewa mdogo unavyochochea kutoweka kimya kimya kwa kakakuona Tanzania

Mbinu za utalii endelevu zapewa kipaumbele katika mkutano wa kimataifa

Utashi wa kisiasa ni kila kitu: Mahojiano na Waziri wa Mazingira Deborah Barasa

Barafu zikififia kileleni, jamii karibu na Mlima Kenya zinatafuta suluhisho za uhifadhi na kilimo himilivu

Wito wa mkwea milima wa UNEP Lewis baada ya kushuhudia barafu za mwisho za Mlima Kenya

Kenya yaomboleza Craig, jitu mpole aliyekuwa mmoja wa ‘Super tuskers’ waliosalia barani Afrika

Mageuzi ya kisasa katika uvuvi yawaacha wavuvi wadogo wa Tanzania wakihangaika kukabiliana na maisha

Mabadiliko haki ya nishati yamaanisha nini kwa Afrika?

Mahakama Kenya yathibitisha kufutwa kwa leseni ya mradi wa umeme wa makaa ya mawe megawati 1,050

Kutoka kuhesabu miti hadi kuongeza ustahimilivu wa tabianchi, Kampala yaelekeza juhudi kwenye misitu yake

Ushirikiano, ukusanyaji takwimu na ufuatiliaji vyachochea kufikiwa kwa malengo ya Ukuta wa Kijani wa Afrika

Kwenye mafuriko yanayohusiana na tabianchi, mto nchini Uganda wageuka kuwa sumu