Habari

RSS
227 Habari

Vifaa vya uvuvi vilivyokatazwa vyateketezwa kupambana na uvuvi haramu Ziwa Tanganyika

KWS yaendeleza uchunguzi wa vifo vya tembo Amboseli huku mmoja zaidi akitoweka

Sensa: Idadi ya tembo Tanzania bado ni chini ya nusu ya ilivyokuwa miaka 20 iliyopita

Shinikizo laongezeka kwa Kenya kuchunguza vifo vya tembo 15 Amboseli, ikiwemo uchimbaji dhahabu

Aliyehukumiwa miaka 20 jela kwa kukutwa na mguu wa nyumbu, aachiwa huru

Mbuzi mwitu maarufu wa Ethiopia warejea kwenye hatari kubwa ya kutoweka

Sensa yaonyesha ongezekelo la spishi nyingi za wanyama, tishio jipya kwa wanyamapori Tanzania

Wakenya wanaopinga kiwanda cha nyuklia wakabiliwa na uchunguzi wa ugaidi

Tafiti: Uchafuzi wa plastiki ndogondogo unaweza kuchochea ongezeko la usugu dhidi ya antibiotiki

Magugumaji ya Salvinia yaendelea kuhatarisha mazingira na ikolojia ya Ziwa Victoria

Siku ya Walinzi wa Wanyamapori: Walinzi wa jamii wabeba mzigo wa uhifadhi huku ufadhili ukipungua

Safari ya Tanzania kuelekea matumizi ya nishati safi katika usafiri: Nini kimefanyika hadi sasa?

Kenya inachunguza vifo vya kutatanisha vya tembo 15 katika mfumo wa ikolojia wa Amboseli

Teknolojia ya kisasa yabadilisha ukulima wa mwani na kuongeza kipato cha wakulima Kenya

Kesi ya kukutwa na meno ya tembo: Mahakama yatupa rufaa ya Jamhuri

Kesi ya kumiliki nyara za Serikali: Mahakama yabatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela

Juhudi za kuondoa mikaratusi ili kumhifadhi mnyama wa kipekee asiyepatikana kwingineko duniani

Njia safi za kupikia zinaongezeka kwa kasi barani Afrika, lakini  bado haziendani na ongezeko la watu

Mahakama yakagua eneo linalobishaniwa Nairobi, huku KWS ikishutumiwa kwa kuwazuia wanaharakati

Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi

Raia wa Korea Kaskazini anayedaiwa kukutwa na meno ya tembo, aachiwa huru

Kadri akiba ya samaki inavyozidi kupungua katika Ziwa Victoria, wavuvi wageukia vizimba kama tumaini jipya

Taka, wanawake na haki za kimazingira: Ana kwa ana na mwanaharakati wa mazingira Malasen Hamida

Mradi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Lamu wazua hofu za wanaharakati wa mazingira

Taka hadi rasilimali: Jinsi lava wa nzi chuma wanavyopunguza tatizo la taka oza jijini Dar es Salaam

Kuboresha uvuvi unaozidi kutapatapa, Kenya yaongeza ukusanyaji wa takwimu za boti za wavuvi wadogo

Taka za kielektroniki ni janga hatari kwa mazingira na afya ya watu

Ushirikishwaji wa jamii, wadau warejesha ikolojia ya bahari Namakongoro

Kelele baharini: Vita vya jamii kulinda viumbe wa baharini vyapata msukumo wa kimataifa

Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Sokwe

Ana kwa ana na kinara anayefungua njia na kutetea wanawake wa Uganda katika sekta ya uvuvi barani

‘Mpito wa pekee unaowezekana ni mpito wa haki’: Mahojiano na Clemence Schmid wa WEF