<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0" xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" >

	<channel>
		<title>Habari za uhifadhi</title>
		<atom:link href="https://swahili.mongabay.com/feed/?s=&#038;type=post&#038;topic=uhifadhi-wa-misitu-wa-mvua" rel="self" type="application/rss+xml" />
		<link>https://swahili.mongabay.com/list/uhifadhi-wa-misitu-wa-mvua/</link>
		<description></description>
		<lastBuildDate>Sat, 05 Sep 2026 00:00:40 +0000</lastBuildDate>
		<language>sw</language>
		<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
		<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<generator>https://wordpress.org/?v=7.0.4</generator>
				<item>
					<title>Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/#respond</comments>
					<pubDate>22 Julai 2026 11:10:17 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Dan Yessa]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/07/22105214/Screenshot-2026-07-22-135015-768x479.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=2170</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, Bonde la Kongo, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Afya, Elimu ya Mazingira, Gesi, Haki za Kimazingira, Hifadhi, Huduma za Mazingira, Kuokoa Misitu, Maeneo yaliyolindwa, Mafuta, Mafuta ya Kisukuku, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Maji, Maji ya kunywa, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Misitu, Nishati, Nishati Endelevu, Nishati safi, Sera za Mazingira, Shida ya Maji, Suluhu za Uhifadhi, Uanaharakati, Uanaharakati wa tabianchi, Uchafuzi wa Maji, Uchimbaji Madini, Uchimbaji Madini Haramu, Uchimbaji wa Mafuta, Udanganyifu wa Mazingira, Uhalifu wa Mazingira, Uharakati wa Mazingira, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Umeme, Uongozi wa Uhifadhi, na  Utalii wa Mazingira]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Kupinga vitalu vipya vya mafuta katika Bonde la Kongo: Mahojiano na mwanaharakati Pascal Mirindi</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Pascal Mirindi ni mwanaharakati wa mazingira anayeishi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na alizaliwa mjini Goma. Aliwahi kuwa mwanachama wa vuguvugu lisilotumia nguvu la La LUCHA, ambalo lilipigania demokrasia nchini DRC. Ingawa La LUCHA ndilo lililomleta kwenye harakati zisizotumia nguvu, alitumia fursa hiyo kupigania mifumo ya ikolojia ya Kongo. Tangu mwaka 2024, Mirindi amekuwa mstari wa mbele katika kupinga uchimbaji wa madini, mafuta, na gesi katika Bonde la Kongo. Kupitia kampeni na juhudi za kuielimisha jamii, wao na wenzao walifanikiwa kuzuia mipango ya utafutaji wa mafuta ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Virunga. Kwa sasa, Mirindi anapambana dhidi ya uchimbaji katika maeneo mapya 30 ya mafuta yanayochukua asilimia 72 ya Ukanda wa Kijani wa Kongo, mradi muhimu zaidi wa uhifadhi nchini humo unaoenea katika sehemu kubwa ya Bonde la Kongo, eneo ambalo ni makazi ya maelfu ya wanyama na tegemeo muhimu kwa jamii nyingi nchini DRC. Mnamo mwezi Juni, Mirindi alizungumza na Mongabay kuhusu anachomaanisha kupinga uharibifu akiwa ndani ya nchi husika na kuleta mabadiliko katika ngazi ya kimataifa, huku akilinda makazi ya viumbe walio hatarini kutoweka kama vile sokwe wa milimani (Gorilla beringei beringei) na okapi au twiga wa msituni (Okapia johnstoni), ambao hupatikana katika eneo hilo pekee. Ziara ya kwanza ya Pascal Mirindi kwa mkurugenzi wa Hifadhi ya Taifa ya Virunga, Emmanuel de Merode, mwaka wa 2022. Picha kwa hisani ya Pascal Mirindi. Mahojiano haya yametafsiriwa kutoka Kifaransa na kuhaririwa ili kuzingatia urefu na uwazi. Mongabay: Pascal Mirindi ni nani? Pascal Mirindi: Mimi ni raia wa Kongo; nilizaliwa Goma mnamo mwaka wa 1999.&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/07/22/kupinga-vitalu-vipya-vya-mafuta-katika-bonde-la-kongo-mahojiano-na-mwanaharakati-pascal-mirindi/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/#respond</comments>
					<pubDate>09 Juni 2026 13:12:53 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[David Akana]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/06/09111629/Screenshot-2026-06-09-141545.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1799</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika ya Kati, na  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Bioanuai, Hifadhi, Hifadhi za Taifa, Mabadiliko ya Tabianchi, Maeneo yaliyolindwa, Mahojiano na washikadau wa uhifadhi, Mashujaa wa Mazingira, Mazingira, Miti, Suluhu za Uhifadhi, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Utawala, Wanyama, na  Wanyamapori]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Alinusurika shambulio hatari, sasa anataka mazingira bora ya kazi kwa walinzi wa mbuga nchini DRC</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Katika Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Afrika ya kati, kulinda asili kunaweza kugharimu maisha yako. Kwa miaka mingi, walinzi wanaofanya kazi katika mbuga za wanyamapori kama Virunga na Kahuzi-Biega wamefanya kazi katikati ya makundi yenye silaha, usafirishaji haramu wa maliasili, mivutano ya kijamii na vurugu za kudumu ambazo tayari zimegharimu maisha ya mamia ya wenzao. Hata hivyo, licha ya jukumu lao kuu katika kulinda bayoanuwai na baadhi ya misitu muhimu zaidi ulimwenguni, wengi wanaendelea kufanya kazi wakiwa na usaidizi mdogo, mishahara midogo, na hali hatarishi sana. Kwa Emmanuel Bahati Lukoo, ukweli huu ni wa kibinafsi sana. Aliwahi kuwa mlinzi katika mbuga ya kitaifa ya Virunga ambapo kwa sasa ni afisa katika Hifadhi ya Kitaifa ya Kahuzi-Biega, alinusurika kifo katika shambulizi la kushutukizia mnamo mwaka wa 2018 na kikundi cha wanamgambo wa jamii kinachojulikana kama Mai-Mai. Wenzake kadhaa waliuawa kwa kuviziwa. Alipigwa risasi, alijeruhiwa na kupata kiwewe cha kisaikolojia, na baadaye kufunguliwa mashitaka mbele ya mahakama ya kijeshi katika kesi iliyohusishwa na ulinzi wa hifadhi, angeweza kuondoka. Badala yake, Bahati alichagua kusimulia hadithi yake katika kitabu kiitwacho Conservation at the Cost of My Youth: The Survival of a Ranger, simulizi ghafi ya dhabihu, hofu, shinikizo za kisiasa, na mara nyingi hali halisi isiyoonekana inayowakabili walinzi wa misitu mashariki mwa DRC. Kwenye mahojiano ya ana kwa ana na Mongabay, Bahati anatafakari safari yake, shambulizi lililokaribia kumuua, kiwewe walichopata walinzi, migogoro kati ya uhifadhi na maisha ya jamii ya eneo hilo, na uingiliaji wa kisiasa unaotatiza ulinzi wa maeneo yaliyohifadhiwa. Zaidi ya hadithi ya kibinafsi,&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/06/09/alinusurika-shambulio-hatari-sasa-anataka-mazingira-bora-ya-kazi-kwa-walinzi-wa-mbuga-nchini-jamhuri-ya-kidemokrasia-ya-kongo/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Kenya yaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani huku vifo kutokana na mafuriko vikifikia 81</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2026/03/24/kenya-yaadhimisha-siku-ya-hali-ya-hewa-duniani-huku-vifo-kutokana-na-mafuriko-vikifikia-81/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2026/03/24/kenya-yaadhimisha-siku-ya-hali-ya-hewa-duniani-huku-vifo-kutokana-na-mafuriko-vikifikia-81/#respond</comments>
					<pubDate>24 Mechi 2026 17:49:14 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Lynet Otieno]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2026/03/24174838/Vehicles-partially-submerged-in-at-a-flooded-parking-lot-in-Nairobi-Kenya-after-days-of-heavy-rainfall-on-March-06-2026.-Photo-Courtesy-of-AA.com_.tr_-1-768x487.jpg" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=1212</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Kenya]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Athari za Mabadiliko ya Tabianchi, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mafuriko, na  Uhifadhi wa Misitu wa Mvua]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Machi 23, 2026 ni siku ya kuadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutambua mchango wa sayansi katika kusaidia binadamu kuelewa na kutabiri hali ya hewa. Huku maadhimisho haya yakiendelea, familia kadhaa kutoka Mashariki mwa Kenya zinaomboleza vifo vya ndugu zao. Watu wawili waliopoteza maisha baada ya ukuta uliolowa kwa maji ya mvua kuwaangukia, na msichana mdogo [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/24/kenya-yaadhimisha-siku-ya-hali-ya-hewa-duniani-huku-vifo-kutokana-na-mafuriko-vikifikia-81/" data-wpel-link="internal">Kenya yaadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani huku vifo kutokana na mafuriko vikifikia 81</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Machi 23, 2026 ni siku ya kuadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutambua mchango wa sayansi katika kusaidia binadamu kuelewa na kutabiri hali ya hewa. Huku maadhimisho haya yakiendelea, familia kadhaa kutoka Mashariki mwa Kenya zinaomboleza vifo vya ndugu zao. Watu wawili waliopoteza maisha baada ya ukuta uliolowa kwa maji ya mvua kuwaangukia, na msichana mdogo pia akachukuliwa na maji alipokuwa akichunga mifugo katika eneo hilo. Katika Kaunti ya Baringo, iliyoko Bonde la Ufa, mwanamke mmoja na mtoto wa miaka minne walifariki baada ya maporomoko ya ardhi kuisomba nyumba yao. Vifo vingine vinavyohusishwa na msimu huu wa mvua vinaendelea kuripotiwa kote nchini, huku matukio ya karibuni yakifanya idadi ya vifo vilivyotokea hadi sasa kufikia 81. Kwa mujibu wa taarifa za ReliefWeb, takribani kaunti 21 kati ya 47 za nchini humo, ukiwemo mji mkuu Nairobi, zimeathirika. Taarifa hiyo imefafanua kuwa “takribani watu 70,000 wamehamishwa makazi yao”. Kabla ya kuanza kwa msimu wa mvua, Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya ilitoa tahadhari. Idara hiyo ilitabiri mvua kubwa, zaidi ya milimita 20 ndani ya saa 24 katika maeneo mbalimbali, na kutoa onyo kuhusu mafuriko, maporomoko ya ardhi, na mwonekano hafifu. Idara hiyo imeendelea kutoa utabiri zaidi wa hali ya hewa kila siku. Athari za mvua kubwa zinahusishwa na sababu mbalimbali, ikiwemo mabadiliko ya tabianchi, upangaji wa miji, na mabadiliko ya matumizi ya ardhi. Pia kumekuwepo madai ya mapungufu katika utawala bora, kama ilivyoripotiwa Gazeti la The Daily Nation. Wakati wa maadhimisho ya jana, Edward Muriuki, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Hali ya Hewa ya Kenya, alisema taasisi hiyo&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2026/03/24/kenya-yaadhimisha-siku-ya-hali-ya-hewa-duniani-huku-vifo-kutokana-na-mafuriko-vikifikia-81/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2026/03/24/kenya-yaadhimisha-siku-ya-hali-ya-hewa-duniani-huku-vifo-kutokana-na-mafuriko-vikifikia-81/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>Miti ya miaka 3,000 Tanzania sasa yatambuliwa kama spishi mpya</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2025/03/20/miti-ya-miaka-3000-tanzania-sasa-yatambuliwa-kama-spishi-mpya/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2025/03/20/miti-ya-miaka-3000-tanzania-sasa-yatambuliwa-kama-spishi-mpya/#respond</comments>
					<pubDate>20 Mechi 2025 10:12:06 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Na Ryan Truscott]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Lynet]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/21100128/Screenshot-2025-08-20-155949-768x485.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=115</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kilimo, Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Misitu, Misitu ya Mvua, Uhifadhi, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, Ukataji Miti, na  Usimamizi wa Misitu wa Jamii]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwanabotania Andrea Bianchi na wataalamu wa mimea wa ndani, Aloyce Mwakisoma na kaka yake, Ruben, walikuwa wakichunguza hifadhi mbili ndogo za misitu ya vijiji katika Milima ya Udzungwa mwaka 2019, walipokutana na miti mikubwa isiyo ya kawaida. Bianchi aliomba ushauri kwa Mwakisoma na kaka yake, lakini hata wao hawakuwa wamewahi kuona miti kama hiyo. “Huu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/03/20/miti-ya-miaka-3000-tanzania-sasa-yatambuliwa-kama-spishi-mpya/" data-wpel-link="internal">Miti ya miaka 3,000 Tanzania sasa yatambuliwa kama spishi mpya</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwanabotania Andrea Bianchi na wataalamu wa mimea wa ndani, Aloyce Mwakisoma na kaka yake, Ruben, walikuwa wakichunguza hifadhi mbili ndogo za misitu ya vijiji katika Milima ya Udzungwa mwaka 2019, walipokutana na miti mikubwa isiyo ya kawaida. Bianchi aliomba ushauri kwa Mwakisoma na kaka yake, lakini hata wao hawakuwa wamewahi kuona miti kama hiyo. “Huu ulikuwa mshangao mkubwa kwa sababu kama wao hawakuijua (spishi hiyo), basi huenda kulikuwa na kitu cha kipekee kuihusu,” anakumbuka Bianchi. Kwa sasa miti hiyo imetambuliwa kama spishi mpya na kupewa jina Tessmannia princeps. Inaaminika kuwa baadhi yake huenda ina umri wa hadi miaka 3,000. Bianchi na wenzake walipata takribani miti 100 ya Tessmannia princeps katika Hifadhi za Misitu ya vijiji vya Boma la Mzinga na Uluti. Wamesema kuwa idadi ndogo na eneo finyu la usambazaji vinaweza kuwa vyanzo vya utowekaji wa spishi hiyo. Jina maalum la spishi hiyo – princeps – linatokana na neno la Kilatini linalomaanisha “wa heshima zaidi” au “mkuu zaidi”, likirejelea matawi yake makubwa yanayopenya juu ya taji la msitu. Miti yenyewe ni mirefu hadi kufikia takribani mita 40 kutoka ardhini, na inapewa nguvu na mizizi yake mikubwa. Miti mingine ya jenasi Tessmannia mara nyingi hupatikana kwenye misitu ya mvua Afrika Magharibi. Aloyce Mwakisoma akionyesha sampuli ya majani ya Tessmannia princeps. Picha na Andrea Bianchi. Wataalamu hao walipata mti mmoja uliokuwa umeanguka wenyewe na kuchukua sampuli ili kupima uzito wa mbao yake. Ndani ya sentimita moja ya mbao kutoka katikati , Bianchi alihesabu pete 12 hadi 15. Kwa kawaida, miti huweka pete moja kwa mwaka, ikimaanisha kwamba miti hii inaweza&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2025/03/20/miti-ya-miaka-3000-tanzania-sasa-yatambuliwa-kama-spishi-mpya/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2025/03/20/miti-ya-miaka-3000-tanzania-sasa-yatambuliwa-kama-spishi-mpya/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
						<item>
					<title>‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora</title>
					<link>https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/</link>
					<comments>https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/#respond</comments>
					<pubDate>16 Julai 2024 07:26:05 +0000</pubDate>
											<dc:creator>
							<![CDATA[Ryan Truscott]]>
						</dc:creator>
										<author>
						<![CDATA[Joycebazira]]>
					</author>
							<category><![CDATA[Uncategorized]]></category>
										<enclosure url="https://imgs.mongabay.com/wp-content/uploads/sites/37/2025/08/22070836/Screenshot-2025-08-22-100727-768x469.png" type="image/jpeg" />
					<guid isPermaLink="false">https://swahili.mongabay.com/?p=199</guid>

					
											<locations>
							<![CDATA[Afrika, Afrika Mashariki, na  Tanzania]]>
						</locations>
					
											<topic-tags>
							<![CDATA[Kaboni ya Msitu, Kilimo, Kilimo cha Misitu ya Mvua, Kuokoa Misitu, Mabadiliko ya Tabianchi, Mazingira, Mikopo ya Kaboni, Misitu, Misitu ya Mvua, Uharibifu wa Misitu, Uhifadhi Unaofanywa na Jamii, Uhifadhi wa Kaboni, Uhifadhi wa Misitu, Uhifadhi wa Misitu wa Mvua, na  Usimamizi wa Misitu wa Jamii]]>
						</topic-tags>
					
					
											<description>
							<![CDATA[<p>Mwezi Julai 2023 mtaalamu wa mimea Andrea Bianchi alikuwa akiendesha gari katika Milima ya Nguru iliyoko mashariki mwa Tanzania ambapo aliona maganda makubwa ya matunda ya mti uliokuwa umeota katika shamba la mahindi lililokuwa kando ya barabara. Aliteremka  na alipochunguza aliona miti miwili aina ya Millettia sacleuxii, aina ambayo wanasayansi walidhani imetoweka kabisa. Mpaka sasa maelfu [&#8230;]</p>
<p>The post <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/" data-wpel-link="internal">‘Miti iliyotoweka’ yagunduliwa Tanzania na kuleta matumaini mapya ya kurejesha mazingira bora</a> appeared first on <a href="https://swahili.mongabay.com" data-wpel-link="internal">Habari za uhifadhi</a>.</p>
]]>
						</description>
																					<content:encoded>
							<![CDATA[Mwezi Julai 2023 mtaalamu wa mimea Andrea Bianchi alikuwa akiendesha gari katika Milima ya Nguru iliyoko mashariki mwa Tanzania ambapo aliona maganda makubwa ya matunda ya mti uliokuwa umeota katika shamba la mahindi lililokuwa kando ya barabara. Aliteremka  na alipochunguza aliona miti miwili aina ya Millettia sacleuxii, aina ambayo wanasayansi walidhani imetoweka kabisa. Mpaka sasa maelfu ya mbegu yamekusanywa na kupandwa ili miche itumike kuboresha msitu na kuurejesha katika hali yake ya asili. Hii ini sehemu ya utekelezaji wa mradi unaolenga kuurudisha msitu katika hali yake ya awali. Aina hii ya miti ni adimu kiasi kwamba haina jina katika lugha ya Kiingereza. Katika lugha ya Kihehe, mtu hutambulika kwa jina la ujumla tu na miti mingine ya jamii hiyo ya Millettia ambayo hupatikana katika eneo hilo. Wenyeji huitambua kwa jina la Muhafu. Hapo awali wanasayansi walifahamu kuwa miti hii adimu ilikuwa ikipatika katika misitu ya hifadhi mitatu tu iliyopo katika milima ya Nguru na Usambara. Lakini misitu ya hifadhi miwili kati ya hiyo ilikatwa na kupotea miongo mingi iliyopita na badala yake kukawa na mashamba ya miwa na misitu ya miti ya kisasa ya mbao. Msitu mmoja wa hifadhi uliobaki ambao upo karibu na mji wa Turiani ni mdogo kiasi cha takriban hecta 49 (eka 121), nao unanyemelewa na wakulima wa mpunga na miwa. “Nilipata wasiwasi mkubwa kuhusu aina hii ya miti, nikaogopa kuwa itakuwa imetoweka moja kwa moja,” alieleza Bianchi ambaye ni mtaalamu wa kurejesha uasili wa misitu ya kitropiki ambaye ndiye aligundua aina hiyo ya miti karibu na Mto Mvaji uliopo karibu na mji wa Turiani. Kwa&hellip;This article was originally published on <a href="https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/" data-wpel-link="internal">Mongabay</a>]]>
						</content:encoded>
										<wfw:commentRss>https://swahili.mongabay.com/2024/07/16/miti-iliyotoweka-yagunduliwa-tanzania-na-kuleta-matumaini-mapya-ya-kurejesha-mazingira-bora/feed/</wfw:commentRss>
					<slash:comments>0</slash:comments>
														</item>
			</channel>
</rss>